Hata mm nilifanyiwa hivyo hivyo km wameningiza mm mwenzangu hana mtt mm nilikuwa na mtt niliteseka sana lkn kwass Alhamdulillah mungu hamuachi mjawake wanawake tunapitia mengi san
Nifunzo tosha. Na nitabia kwa wanaume wengi akisha kufuja ndio maneno yao hayooooo hajui kuhudumia wanakwepa majukumu yao tusijibweteke wanawake wenzangu
Hii imeniumiza sana. Sababu wanawake wengi hawapewi mahitaji mwisho bwana ataka kula vizuri na afuliwe kwa 2,000. Tubadilikeee
Tumuangalie Pastor chris oyakhilome pia kwa mafunzo ya kiroho...karibu
Ila kweli uremb wa mwanamke ni Mme we sas kama hukumgaramia atapendez lin na wapi?! Jmn nimechek ila inamafunzo mengi 😁😁😁😁😁 shukran sana #ITV
Kweli ww
Hakuna wa kuwafikia Mizengwe big up jmn! sisi mashabiki zenu twawapenda sn😅😅
Wanamizengwe mtaniua jamani kwa vichekesho,na hakuna anaewafikia!!!? Kujeni kwetu Kenya tuwaone Ana kwa Ana!!
Baada ya kucheka yn nimelia kwakweli kanikumbusha matatizo yangu lkn ss nimefanikiwa kwa jasholangu asante mungu funzo hili
Pole da zainabu mapito ya dunia
Pole Dada yangu Mungu yupo
Hata mm nilifanyiwa hivyo hivyo km wameningiza mm mwenzangu hana mtt mm nilikuwa na mtt niliteseka sana lkn kwass Alhamdulillah mungu hamuachi mjawake wanawake tunapitia mengi san
Polee sa a
Zainab Bukari tuko wengi
Maskini inauma lakini ni funzo kwetu sisi wanawake tujifunze kujishuhulisha tujipendezeshe wenye wanaume wa kumvalisha mwanamke ni wachache sana
mwa
Safi sanaaaa
Imeakisi maisha halisi ya jamii zetu..
Hongereni sana
Nawapenda 🔥🔥🔥❤❤❤❤nimekutana nae sokoni
namkubali sana maringo saba ananivunja mbavu mie
😘ukititaka kujua uzur wa mwanamke mpende kikweli
nawapenda saana mizengwe
Funzo kwa wanaume washenzi kama ni kupika mnapika wote rahisi tu kama mchafu mfundishe usafi nguo Mnunulie riziki mungu anatoa
penda sana😘😘
Mizengwe kweli mnatisha! Vipande vyenu vinafundisha!!
Daaah Haya ya kweli, hapo kitanzi kina mhusu mtu jmn!!!nimeipenda
Ingawa ni maigizo na yanatufundish ...dah nmechukia sn..sipendi mwanamke aonewe hivo
Duh nimeria 😅😅😅 Sana nimekumbuka mbari Sana du
washkaji ni sumu ya mjini mngewapa muda zaidi ilituupate ujumbe zaidi maana wanajitahidi sana mizengwe
Dizzo Business uj.
Dizzo Business
Awadh Ramadhan
I
Bwana mdogo unaonekana unamchafua wife hebu ondoka
mupo good sana kazi nzuri
Hahaha Yan comedy ni nzur natamani niiludie,, Sema Sina MB, Inafundisha, Asante.
😂 😂 😂
aise
Eti unankankania nyumba ya irisi hiii 😂😂
Du!! ndio maana najiuaga hahaha
Mkwere unanikumbusha Mzee JANGALA Malingo 7 nae sawa na Mzee MUNDU Mko Juu zaidi.
Nifunzo tosha. Na nitabia kwa wanaume wengi akisha kufuja ndio maneno yao hayooooo hajui kuhudumia wanakwepa majukumu yao tusijibweteke wanawake wenzangu
hahahaha dah
vitu vya kizazi sana
nimeflaaahi sana
pia nimejifunza kitu
Kweli mnaigiza ualisia wa maisha yetu ya kila cku
😂😂😂😂😂😂😂 m Congo. Ujumbe mzuri sana.
😂😂😂😂yan apo kila mtu anatoka na funzo
Umeona heee yani awa wanaume ni shetan
Jamn ni fundisho tosh
nguo hiyo hiyo bathdei chrism mwaka mpya yaani raha sana
Amina,biggest up all prepared
ukisema cha nn wenzako wanasema watakipata lini mtoto shoooo😀😀😀😀
Ujumbe mzuri sana kwa jamii
M nashid n mamb Zen natk cd Zen m nipo sinza ap ntawapataje
daaaah jamn
Ha hahaaa aaa ,haya maisha yapo sana tu mpo juu
Sura yake inatanuka inarudi😃😃😃😃😃😃
Mwanamke anahitaji matunzo ww usipo mhudumia ninani atamhudumia
Nimecheka mpaka Basi kweli maisha haya yapo.
Nilichukia mwanzni mwisho nimefurahi sna...wanaume tufunguke jamani
mizengwe INA dhima kubwa ya kuelimisha jamii
😄😄😄mbav zang mie jmn😄😄
Ntakukunyuja
du hadi raha jamani commedian with mafunzo ndani yake
Leons Bona nimeipenda sana
*****
ila ingekuwa tamu zaidi kama wangeonesha na jinsi safina alivokutana na sumaku na kumuoa
Leons Bona m
william masanja
Nawakubali sana hawa wa2
A c
Mizengwe ni shida .. Kila igizo lenu Lina ujumbe.. Unacheka na kuelimika
Nakukubali Sana Dada ake Mimi
Super brand......
Dahh nmechka adi basi
nyiye ni kiboko jamani mbavu zangu miye 😁 😁 😁
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha
Wallah rah Leo mzur kumbe eeeeh aaah salalaaaaaaaa
Alhamdulillah Mila sio Athmani
mh nzuri sana inafunza
hahahaaaa! mko vizur
Mizengwe wangepata muda hadi wakama masaa 2
mizengwe... mpo juuuu!!
Nice muve
Kifupi mwanaume kama huyu mi ndo siwez eti nguo moj krisms ubatiz komnyo sa kumpendezesh mke kz ya nan duu.
Nice xana
Nawapenda sana uwa mnanifurahisha mno
Asnath mwaipopo hahahaha duuu nimecheka adi machozi jamani
aise nzur sana
hahahaa!! hii kali kweli
Wadau, Mnakupuka wapi ukisikia hili neno Mchanga wapwani huoo
Umenashukulani nawew
ntakukunyugaaa😂😂😂
Kiwewe ametisha sana gonga like kwake
😂😂😂😂😂iyo noma
Naendeshwa na mizimu
Mambo
Tumepitia yote hayo , unatakiwa upendeze halafu matumizi yenyewe yakukata na shoka nishida.
Big up sana jamani
Eeee.mungu.wangu.hiyo.ndoo.mitihan😭😭
nampendaga huyo dada jamani
Mna weza
ha ha ha ha ila nyie watu mnanipa raha tuache utan lzm MTU ucheke hata kama umenuna ( nikufikirie kwan ajira ha h aha ha utani bwana )
hahahaha jamani utapata tabu san
Kavunja kabati 😂😂😂
hahahaaa mfupi km nyundo ya kugongelea masofa hahaaaa nimecheka sana
hongeleni
Hahahahaha
kaz nzuli
Nimelia kwa uchungu Aisee Nakumbuk myak 3 ilio Pita Nilikuw nikiish kama hivyo yani 😭😭nimekumbuk mbali 😭😭😭
Polee
Pole sn mamy...familia nyingi zimepitia hali hii..
nzr sana
Yani nairudia kwa furaha duuu hii ilikuwa poa sana
Mizengwe mko vizuri Sana nawapenda
haki mungu mbavu zangu nawadai mizengwe
Duhhh nomaa kweli
iko goooooood
this is sad guys....wooooa total lessons
Utaipenda
Nimecheka mbavu Sina wallah Et
Bongo muvu
mizengwe mwisho wamatatizo hahaa
Aiisee nyinyi ni nomaaaa
Naam mm nimeshakuzwa
hahaaaaa iyo nguo ya sikukuu
😆😆😆yani nimecheka eti nimekutananae sokoni mmm mara mwanamke Raisi huyu maraooo kavunja Kabati jamani sasa si umenunua wwe alafu unamkana
Anataka sotojoo😂😂
Mzee matata daah 😥😥
Hawa jamaa ni "NATURAL COMMEDIAN" hawana mfano wengine wanabahatisha
hongeleni jamani
Et nimeamia ndege miaka kum.
😂😂😂twende tukamchangie tumpige
Aliya mtonda en
mamavp
Aki na ukwa
hahahaha naisi hao waschna wa enzi za bikidude anambie x1 to nipo home nguo atazileta hahahaha ni shida
baby faa hahaaaàa
Tunajifunza
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hii Kari tenaaaaaa
nimecheka hadi kichwa chauma 😅😅