ITV-MIZENGWE UKIONA CHA NINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 июл 2024
  • Mkwere ajutia uamuzi wake wa kumuacha mke wake eti sababu, mchafu hajui kupika na hajui kuvaa.

Комментарии • 284

  • @ndeshtkyok9387
    @ndeshtkyok9387 4 года назад +4

    Hii imeniumiza sana. Sababu wanawake wengi hawapewi mahitaji mwisho bwana ataka kula vizuri na afuliwe kwa 2,000. Tubadilikeee

  • @lizzyshayo209
    @lizzyshayo209 3 года назад +1

    Tumuangalie Pastor chris oyakhilome pia kwa mafunzo ya kiroho...karibu

  • @sifamugwaneza1178
    @sifamugwaneza1178 5 лет назад +16

    Ila kweli uremb wa mwanamke ni Mme we sas kama hukumgaramia atapendez lin na wapi?! Jmn nimechek ila inamafunzo mengi 😁😁😁😁😁 shukran sana #ITV

  • @jasminembaraka9610
    @jasminembaraka9610 7 лет назад +16

    Hakuna wa kuwafikia Mizengwe big up jmn! sisi mashabiki zenu twawapenda sn😅😅

    • @jacobagenga7917
      @jacobagenga7917 4 года назад

      Wanamizengwe mtaniua jamani kwa vichekesho,na hakuna anaewafikia!!!? Kujeni kwetu Kenya tuwaone Ana kwa Ana!!

  • @zainabbukari1910
    @zainabbukari1910 6 лет назад +39

    Baada ya kucheka yn nimelia kwakweli kanikumbusha matatizo yangu lkn ss nimefanikiwa kwa jasholangu asante mungu funzo hili

    • @obeidluhwago7471
      @obeidluhwago7471 6 лет назад

      Pole da zainabu mapito ya dunia

    • @lucasmhagama8166
      @lucasmhagama8166 6 лет назад

      Pole Dada yangu Mungu yupo

    • @fatmaadam1778
      @fatmaadam1778 6 лет назад +3

      Hata mm nilifanyiwa hivyo hivyo km wameningiza mm mwenzangu hana mtt mm nilikuwa na mtt niliteseka sana lkn kwass Alhamdulillah mungu hamuachi mjawake wanawake tunapitia mengi san

    • @abeidsuleiman6175
      @abeidsuleiman6175 5 лет назад

      Polee sa a

    • @hadijampita3666
      @hadijampita3666 5 лет назад

      Zainab Bukari tuko wengi

  • @mariyaal5366
    @mariyaal5366 5 лет назад +11

    Maskini inauma lakini ni funzo kwetu sisi wanawake tujifunze kujishuhulisha tujipendezeshe wenye wanaume wa kumvalisha mwanamke ni wachache sana

  • @mohamedirashidi71
    @mohamedirashidi71 5 лет назад +2

    Imeakisi maisha halisi ya jamii zetu..
    Hongereni sana

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb 2 года назад

    Nawapenda 🔥🔥🔥❤❤❤❤nimekutana nae sokoni

  • @ephinasanga7231
    @ephinasanga7231 7 лет назад +5

    namkubali sana maringo saba ananivunja mbavu mie

  • @anitaprincess4290
    @anitaprincess4290 5 лет назад +3

    😘ukititaka kujua uzur wa mwanamke mpende kikweli

  • @fredrickitala3903
    @fredrickitala3903 7 лет назад +4

    nawapenda saana mizengwe

  • @mohamedomarhasan5377
    @mohamedomarhasan5377 5 лет назад +2

    Funzo kwa wanaume washenzi kama ni kupika mnapika wote rahisi tu kama mchafu mfundishe usafi nguo Mnunulie riziki mungu anatoa

  • @abdulrwebangira1206
    @abdulrwebangira1206 5 лет назад +1

    Mizengwe kweli mnatisha! Vipande vyenu vinafundisha!!

  • @robertkimario514
    @robertkimario514 4 года назад

    Daaah Haya ya kweli, hapo kitanzi kina mhusu mtu jmn!!!nimeipenda

  • @mnazaretinemi4203
    @mnazaretinemi4203 5 лет назад +1

    Ingawa ni maigizo na yanatufundish ...dah nmechukia sn..sipendi mwanamke aonewe hivo

  • @zainabumohammed6280
    @zainabumohammed6280 5 лет назад +1

    Duh nimeria 😅😅😅 Sana nimekumbuka mbari Sana du

  • @dizzobusiness4241
    @dizzobusiness4241 7 лет назад +9

    washkaji ni sumu ya mjini mngewapa muda zaidi ilituupate ujumbe zaidi maana wanajitahidi sana mizengwe

  • @innocentkimata7274
    @innocentkimata7274 5 лет назад +4

    Bwana mdogo unaonekana unamchafua wife hebu ondoka

  • @atepamashavu6122
    @atepamashavu6122 2 года назад

    mupo good sana kazi nzuri

  • @imansaid9552
    @imansaid9552 7 лет назад

    Hahaha Yan comedy ni nzur natamani niiludie,, Sema Sina MB, Inafundisha, Asante.

  • @zaynsalma3466
    @zaynsalma3466 5 лет назад +4

    Eti unankankania nyumba ya irisi hiii 😂😂

  • @YamunguYb
    @YamunguYb 7 лет назад +4

    Du!! ndio maana najiuaga hahaha

  • @boniphasijosephkh5419
    @boniphasijosephkh5419 7 лет назад +7

    Mkwere unanikumbusha Mzee JANGALA Malingo 7 nae sawa na Mzee MUNDU Mko Juu zaidi.

  • @priscamedadi1108
    @priscamedadi1108 4 года назад

    Nifunzo tosha. Na nitabia kwa wanaume wengi akisha kufuja ndio maneno yao hayooooo hajui kuhudumia wanakwepa majukumu yao tusijibweteke wanawake wenzangu

  • @adoniamaseneje5669
    @adoniamaseneje5669 5 лет назад +1

    hahahaha dah
    vitu vya kizazi sana
    nimeflaaahi sana
    pia nimejifunza kitu

  • @erickkamugisha3466
    @erickkamugisha3466 4 года назад

    Kweli mnaigiza ualisia wa maisha yetu ya kila cku

  • @sweetmama3242
    @sweetmama3242 7 лет назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂 m Congo. Ujumbe mzuri sana.

  • @safiunamugen6947
    @safiunamugen6947 5 лет назад +4

    😂😂😂😂yan apo kila mtu anatoka na funzo

  • @OmanOman-gc1zu
    @OmanOman-gc1zu 5 лет назад +1

    Jamn ni fundisho tosh

  • @shuwehaharunaomariikwena233
    @shuwehaharunaomariikwena233 7 лет назад +1

    nguo hiyo hiyo bathdei chrism mwaka mpya yaani raha sana

  • @robertkimario514
    @robertkimario514 4 года назад

    Amina,biggest up all prepared

  • @binesiharuni2609
    @binesiharuni2609 7 лет назад +4

    ukisema cha nn wenzako wanasema watakipata lini mtoto shoooo😀😀😀😀

  • @lomnyackmiboki1685
    @lomnyackmiboki1685 4 года назад

    Ujumbe mzuri sana kwa jamii

  • @eliaaugustino5750
    @eliaaugustino5750 3 года назад

    M nashid n mamb Zen natk cd Zen m nipo sinza ap ntawapataje

  • @allackymohamedy9712
    @allackymohamedy9712 5 лет назад +1

    daaaah jamn

  • @awashilwavu5513
    @awashilwavu5513 5 лет назад

    Ha hahaaa aaa ,haya maisha yapo sana tu mpo juu

  • @ilhamb1287
    @ilhamb1287 Год назад

    Sura yake inatanuka inarudi😃😃😃😃😃😃

  • @imanmwashitete5243
    @imanmwashitete5243 5 лет назад

    Mwanamke anahitaji matunzo ww usipo mhudumia ninani atamhudumia

  • @julihanjosephyjs6361
    @julihanjosephyjs6361 3 года назад

    Nimecheka mpaka Basi kweli maisha haya yapo.

  • @mnazaretinemi4203
    @mnazaretinemi4203 5 лет назад

    Nilichukia mwanzni mwisho nimefurahi sna...wanaume tufunguke jamani

  • @ezrongodwine9989
    @ezrongodwine9989 6 лет назад +1

    mizengwe INA dhima kubwa ya kuelimisha jamii

  • @Raheema-pp7st
    @Raheema-pp7st 7 лет назад +5

    😄😄😄mbav zang mie jmn😄😄

  • @hamiskalulumbe7768
    @hamiskalulumbe7768 4 года назад

    Ntakukunyuja

  • @leonsbona9765
    @leonsbona9765 7 лет назад +11

    du hadi raha jamani commedian with mafunzo ndani yake

  • @aishakarata2049
    @aishakarata2049 5 лет назад +2

    Nawakubali sana hawa wa2

  • @simondaudi4197
    @simondaudi4197 6 лет назад

    Mizengwe ni shida .. Kila igizo lenu Lina ujumbe.. Unacheka na kuelimika

  • @emanuelsanga6759
    @emanuelsanga6759 5 лет назад

    Nakukubali Sana Dada ake Mimi

  • @abdulmsakatonge4347
    @abdulmsakatonge4347 4 года назад

    Super brand......

  • @yohanajohn117
    @yohanajohn117 2 года назад

    Dahh nmechka adi basi

  • @bintalhwamer5291
    @bintalhwamer5291 6 лет назад +1

    nyiye ni kiboko jamani mbavu zangu miye 😁 😁 😁

  • @hawata7614
    @hawata7614 5 лет назад +2

    Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha
    Wallah rah Leo mzur kumbe eeeeh aaah salalaaaaaaaa

  • @winniembugua4280
    @winniembugua4280 5 лет назад

    Alhamdulillah Mila sio Athmani

  • @lusadirashidi9010
    @lusadirashidi9010 7 лет назад +1

    mh nzuri sana inafunza

  • @binthassan940
    @binthassan940 7 лет назад +2

    hahahaaaa! mko vizur

  • @kijubakidiza7000
    @kijubakidiza7000 6 лет назад +1

    Mizengwe wangepata muda hadi wakama masaa 2

  • @cleverboy3812
    @cleverboy3812 7 лет назад

    mizengwe... mpo juuuu!!

  • @agneswily1942
    @agneswily1942 4 года назад

    Kifupi mwanaume kama huyu mi ndo siwez eti nguo moj krisms ubatiz komnyo sa kumpendezesh mke kz ya nan duu.

  • @ruthshao7587
    @ruthshao7587 5 лет назад +1

    Nice xana

  • @emmanuelhema1218
    @emmanuelhema1218 5 лет назад

    Nawapenda sana uwa mnanifurahisha mno

    • @tumainimosha5603
      @tumainimosha5603 5 лет назад

      Asnath mwaipopo hahahaha duuu nimecheka adi machozi jamani

  • @ignatuslaurent9367
    @ignatuslaurent9367 6 лет назад

    aise nzur sana

  • @mohamedirashidi71
    @mohamedirashidi71 7 лет назад

    hahahaa!! hii kali kweli

  • @shukulukondo8287
    @shukulukondo8287 5 лет назад

    Wadau, Mnakupuka wapi ukisikia hili neno Mchanga wapwani huoo

  • @asumanimusa4437
    @asumanimusa4437 4 года назад

    Umenashukulani nawew

  • @fbhj443
    @fbhj443 6 лет назад +2

    ntakukunyugaaa😂😂😂

  • @abdallahabdallahsaidy3273
    @abdallahabdallahsaidy3273 4 года назад

    Kiwewe ametisha sana gonga like kwake

  • @mariamkombo5325
    @mariamkombo5325 7 лет назад +1

    😂😂😂😂😂iyo noma

  • @giftelia5535
    @giftelia5535 7 лет назад +3

    Naendeshwa na mizimu

  • @zuenamohamed2021
    @zuenamohamed2021 5 лет назад

    Tumepitia yote hayo , unatakiwa upendeze halafu matumizi yenyewe yakukata na shoka nishida.

  • @richardherman2959
    @richardherman2959 5 лет назад

    Big up sana jamani

  • @sarasospeter8280
    @sarasospeter8280 5 лет назад

    Eeee.mungu.wangu.hiyo.ndoo.mitihan😭😭

  • @fatmamajuu5255
    @fatmamajuu5255 5 лет назад +1

    nampendaga huyo dada jamani

  • @saidiyori9761
    @saidiyori9761 5 лет назад +1

    Mna weza

  • @neemaforro8905
    @neemaforro8905 6 лет назад

    ha ha ha ha ila nyie watu mnanipa raha tuache utan lzm MTU ucheke hata kama umenuna ( nikufikirie kwan ajira ha h aha ha utani bwana )

  • @pelusemanueli858
    @pelusemanueli858 5 лет назад

    hahahaha jamani utapata tabu san

  • @muonamuona5021
    @muonamuona5021 6 лет назад +1

    Kavunja kabati 😂😂😂

  • @carendaniel6117
    @carendaniel6117 7 лет назад +1

    hahahaaa mfupi km nyundo ya kugongelea masofa hahaaaa nimecheka sana

  • @ommymboma4535
    @ommymboma4535 7 лет назад +1

    kaz nzuli

  • @zaynsalma3466
    @zaynsalma3466 5 лет назад +7

    Nimelia kwa uchungu Aisee Nakumbuk myak 3 ilio Pita Nilikuw nikiish kama hivyo yani 😭😭nimekumbuk mbali 😭😭😭

  • @hawawezidianakukushusha756
    @hawawezidianakukushusha756 7 лет назад +1

    nzr sana

  • @zuusaidibushiri5556
    @zuusaidibushiri5556 6 лет назад +1

    Yani nairudia kwa furaha duuu hii ilikuwa poa sana

    • @asiahasan7362
      @asiahasan7362 5 лет назад

      Mizengwe mko vizuri Sana nawapenda

  • @obeidluhwago7471
    @obeidluhwago7471 6 лет назад

    haki mungu mbavu zangu nawadai mizengwe

  • @gadaugadau4332
    @gadaugadau4332 5 лет назад

    iko goooooood

  • @mctwinlove262
    @mctwinlove262 7 лет назад

    this is sad guys....wooooa total lessons

  • @nasrarahim8534
    @nasrarahim8534 6 лет назад +1

    Nimecheka mbavu Sina wallah Et

  • @sheillaally8688
    @sheillaally8688 6 лет назад

    mizengwe mwisho wamatatizo hahaa

  • @miriampaulo9027
    @miriampaulo9027 6 лет назад

    Aiisee nyinyi ni nomaaaa

  • @zainababbas4242
    @zainababbas4242 5 лет назад

    Naam mm nimeshakuzwa

  • @natujwamchome1955
    @natujwamchome1955 7 лет назад +1

    hahaaaaa iyo nguo ya sikukuu

  • @mdzainb3722
    @mdzainb3722 4 года назад

    😆😆😆yani nimecheka eti nimekutananae sokoni mmm mara mwanamke Raisi huyu maraooo kavunja Kabati jamani sasa si umenunua wwe alafu unamkana

  • @emmypc8362
    @emmypc8362 4 года назад

    Anataka sotojoo😂😂

  • @zurfapahenge8802
    @zurfapahenge8802 3 года назад

    Mzee matata daah 😥😥

  • @nyangehassan902
    @nyangehassan902 6 лет назад

    Hawa jamaa ni "NATURAL COMMEDIAN" hawana mfano wengine wanabahatisha

  • @dokasnicsongmybladherlaude7607
    @dokasnicsongmybladherlaude7607 7 лет назад

    hongeleni jamani

  • @innocentsomi3214
    @innocentsomi3214 3 года назад

    Et nimeamia ndege miaka kum.

  • @aliyamtonda2931
    @aliyamtonda2931 7 лет назад +2

    😂😂😂twende tukamchangie tumpige

  • @matipwihassan1036
    @matipwihassan1036 4 года назад

    Aki na ukwa

  • @babyfaa7677
    @babyfaa7677 7 лет назад

    hahahaha naisi hao waschna wa enzi za bikidude anambie x1 to nipo home nguo atazileta hahahaha ni shida

  • @pilimashauz2279
    @pilimashauz2279 4 года назад

    Tunajifunza

  • @anisabakari5298
    @anisabakari5298 3 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣hii Kari tenaaaaaa

  • @asmaamuhammed839
    @asmaamuhammed839 5 лет назад

    nimecheka hadi kichwa chauma 😅😅