😂😂😂 mzee wa dodoma! Hii kali! Tunaomba nyengine!!! Shout out to all characrers and fans of this comedy!!! Benedict lusese be blessed brother! Love your good work
@@lusese1 am always around sir coz i have already subscribe and turned ON my notification 👍🙌🏻 yaan ile comedy ya shule kwanza lazima niitizame kila siku😂😂😂😂so much funny!
Mimi dereva tax msema ukweli 😂 hahaaa
Mkwele mwehu yaan kaahidiwa kuhunuliwa gari na angepata zaid Ila umbea tu 😂😂
Mm ni dereva tex msema kweli
Mzee wa dodoma area D hahaaa
Safina mwisho napenda kwa ushupavu wake
Hatari sana
😂😂😂😂Eti asanteeee
Hahaaaa dereva tax noma. Baba limevaa na kitenge cha nyumba ndogo😂😂😂😂
😂😂😂 mzee wa dodoma! Hii kali! Tunaomba nyengine!!! Shout out to all characrers and fans of this comedy!!! Benedict lusese be blessed brother! Love your good work
i thank you Fey Twist, many more to come 2020 dont go nowhere stick around.
@@lusese1 am always around sir coz i have already subscribe and turned ON my notification 👍🙌🏻 yaan ile comedy ya shule kwanza lazima niitizame kila siku😂😂😂😂so much funny!
Huge salute to you, we apreciate.
Hapa Area D karibu na ikulu
Cha umbea 😂😂😂😂😂😂😂
😀😀😀😀ati afadhali nife kwa ajili ya dodoma
Nakubali sana mkwele kazi yako
🤣🤣🤣 nakumbuk dereva bodaboda alimleta jaman getto kumuonyesh mkewe alimpelek Kwa danga
Iko vizuli inairimisha
Kwel nyinyi ndiyo kash kash
Mumeuw
Kama msomaji comment Kama Mimi gonga laik
Tupoooo😃😃
Znakusaidia nn
Hahahahahahaha mkwere
😂😂😂nimechek hd,nimelia
Hahahahahaaaa et nikusanyie mawe
😂😂 mzee wadodoma nzr sana kazi zenu
Asante sana
Very interested congratulations casts
Kilichokuokoa mkwere ni kwamba hayo ni maigizo.Vinginevyo sina cha kusema.🤔🤔🤔
Sa we bwana umeaga unaenda Dodoma...Sasa hapa mkuhungu,msarato au uwanja wa ndege?
Begi la mfanyakaz wa Dodoma
We usiamulie
Nikusanyie mawe hahaha
😂😂😂😂😂😂
Ww. Usiamlie😄😄😄😄😄
Na dereva tax kweil ndo amezalilisha mwenzake
Yani haka kadereva tex nakazibuwa kambea sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Eti kwa mtogore 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahahaaaa kakomeshwa
Sabasi umelipwa Mara tatu na umezunguka hujapata elf50 za gari umepata 20 usiofata yako umbea utakuuwa mwanamume
Hatari
aseee mkwere unanogesha story, ila hapo kuna funzo kubwa pia ktk kazi yako chunga mdomo wako mfano : mkwere
😁😁😁
Nice sin, lakin angekuwepo character msichana ambae ni nyumba ndogo ingekuwa poa
🤣🤣🤣
Ilauyo dreva Tex awemakini akija kurudiwa akaliwa ndogo shaur zake
Aaaa wapi huyo mlandogo atajuta maishani kwake, sisi ndio watukutu ya mujini.
😂😂😂😂😂😂😂
Siri imefichuka
Kwamtogoreeee
Hahahahahaha dreva tax kauaa......
Yote kwa yote mizengwe ni wasaniii wazur mnoooo
HIIIIIIIIII
KIBOKO SANAAAAA
DUUUUUUUUU
SUMAKUUUUUU
KANASWAAAAA YEYEEEEE
Yaani wewe Mkwele sio kabisaaaaaa!!!
Usiamulie ..usiamulie acha nipigwe
Dereva tax mkuda
Nyimbp za pastoti munishi
Nyimbo pastoli munishi
Nyimbo za munishi
Ponjoro Mkoi
Nimeikubari sana
Hatari