MIZENGWE- MSTAAFU
HTML-код
- Опубликовано: 7 сен 2024
- Mzee Matata ni mstaafu, anawatoto wawili ambao ni wakubwa wanaojitegemea Safina na Mkwele, lakini bado wamekuwa tegemezi kwa Baba yao mstaafu ambae nae pamoja na ustaafu wake hakuwahi kujenga bado anaishi katika nyumba aliyowekwa na rafiki yake kwa miaka mingi ili aiangalie, baada ya kustaafu alipata mafao yake na stahiki zake zote, lakini watoto wake walimlaghai kwa kwenda kumkopa na mwishowake kushindwa kujenga na kuendelea kuishi katika nyumba aliyowekwa, mwisho wa siku mwenyenyumba anagundua kuwa Matata amestaafu na kuamua kwenda kumwambia ahame na ashindwe la kufanya na kubaki mdomo wazi mbele ya watoto wake.
Jamani wanani chekesha eti mumefiwa
Meri imezama na magari yangu safina oyeeeee√
Hahahaaa nipo nalalaaaaaaa maringo saba bana
miichezo ya zamani ilikuwa mizuri siku hizi mnaanza kuharibu
daaah kwel kazi ipo
Unajuwaga Congo kuna Nini. Mcongo Nouma sana hhhhhhhhhh kkkkkkkkkk
Nawakubali sana kwa kaz zenu kikweli mnafunza sana tena sana dah mungu awaongoze
Mko sawa wote jamani
Nimewakubali
.
Nice
Nawapenda wote jamani Yaani wanatowa mafunzo tosha🙏🏼😍
Niko nalalaaaaaaaaa😂😂😂
M po poa sana ivi ni vipaji
Sumaku fundi sana
Different about youuuuuuuu mzee Nouma sana hhhhhhhhhh kkkkkkkkkk
Yesu ni Mungu na ni mwanadam
Yesu ni Bwana
hahaahhaahhahahahah... ET different about you hatareee
😁😁
safi
Super
mmenikumbusha mbali San japo siri yangu ,ilaninacho waomba endeleen kutoa somo kama hili (mbalikiwe sana ktk kaz yenu)
Dah kaka Mimi Mwenyewe nakumbuka mbali sana kikweli dah
ni kisanga
Ahahhhh mkwele
aaanhaaaa
Jamaa wapo poa sana yanu
tunatak mupost mpya au haziko mbona hamuziweki video mpya bwana
Hata mtu akinipigia namwambia Mm iko nalaaaaaalaaaa
Mkongo unibamba saaaana
hiii8ooi
😅😂
ziko gud ila tupeni mpya
hahaha
hahahahaha
hiii8ooi