MIZENGWE- MSTAAFU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • Mzee Matata ni mstaafu, anawatoto wawili ambao ni wakubwa wanaojitegemea Safina na Mkwele, lakini bado wamekuwa tegemezi kwa Baba yao mstaafu ambae nae pamoja na ustaafu wake hakuwahi kujenga bado anaishi katika nyumba aliyowekwa na rafiki yake kwa miaka mingi ili aiangalie, baada ya kustaafu alipata mafao yake na stahiki zake zote, lakini watoto wake walimlaghai kwa kwenda kumkopa na mwishowake kushindwa kujenga na kuendelea kuishi katika nyumba aliyowekwa, mwisho wa siku mwenyenyumba anagundua kuwa Matata amestaafu na kuamua kwenda kumwambia ahame na ashindwe la kufanya na kubaki mdomo wazi mbele ya watoto wake.

Комментарии • 38