Hiki kikundi cha uchekeshaji cha Mizengwe ni kizuri, kina wasanii wenye uwezo mzuri, mimi ninawapa hongera sana,ila tatizo kimetengewa mda mfupi Sana wa kurushwa kwenye Tv, chonde chonde tuongezeeni mda na siku, ikiwezekana kiwe kinarushwa hata mala mbili kwa siku, mwisho NAWATAKIA HERI YA MWAKA MPYA.
Yaani katika wachekashaji nyie ni namba moja mnawashinda woote huo ni ukweli.yaani mna vipaji sana hongerani sana.yaani wote nyie na sarafina wenu mpo vizuri
Hahahaaaa,,kimbendule hili jina ukilitaja mara nne tano si unapata cancel hahaaaa,,sumaku bhna ila hela haina haina shida teheeeeeeee,kweli pesa sabuni ya roho
We Sumaku si mchezo,kwa kipaji hiki.mkwere nae big up sarafina upo vizuri na mzee matata nae safi yaani mpo vizuri wote.
Pongezi kwa kazi mzuri mizengwe from Kenya nakuru.
nawependaga sana mizegwe mko vizuri
Big up sana mkwere napenda sanabmizengwe mnafundisha
Hiki kikundi cha uchekeshaji cha Mizengwe ni kizuri, kina wasanii wenye uwezo mzuri, mimi ninawapa hongera sana,ila tatizo kimetengewa mda mfupi Sana wa kurushwa kwenye Tv, chonde chonde tuongezeeni mda na siku, ikiwezekana kiwe kinarushwa hata mala mbili kwa siku, mwisho NAWATAKIA HERI YA MWAKA MPYA.
Hatr
haswaaa
Ni kweli hata me naona hvo hivo walekebishe
yani nyie mizengwe ni nomaaaaa balaaaa big up sana
Nawapata sana
yani mizengwe kiboko mkojuu sana...
Yaani katika wachekashaji nyie ni namba moja mnawashinda woote huo ni ukweli.yaani mna vipaji sana hongerani sana.yaani wote nyie na sarafina wenu mpo vizuri
Pongezi Wana mizengwe nyote,mko juu tu Sana ,Odende Jacob from Kenya.
Nimekimbia hadi nimepitiliza nyumba ya pili ndo nimerudia 😂
hahahaha mizengwe nomaaa, jaman kipind chenu kinatuburudisha pia kinatuelimisha watu walika zote, ombi kwenu tunaomba mrefushe kidogo igizo lenu nifupi mnooo.
ahahahaha sumaku nakukubali sana
nampenda mkwele
Mipango inaenda😂😂
Hiii ela mmeweka nyinyi ama imedondokea bhat mbya 😀😀😀
Kutok Dar slam
Nawakubar Sana
Sema kitu kimoja
Mnapunja scene
Eti kaenda english course tena ya kichina...🤣🤣🤣
😂😂😂😂 mtu kabanwa adi kuleta ela ya barua 😂😂😂 ila huyu ba mkwee mmmh hatareee😂😂😂 mamamaeeeh khaaaaaaa 😂😂😂😂😂
“Hii hela mmeweka nyinyi au imedondokea?”
😂😂😂😂😂
Chereko chereko😂😂😂
sumaku noumaaa
haha hahaha ameanza kukopa kwenye barua
Ally kelv kevo j
mizengwe big up
iko pow sanaaaaa mkwele ni nomaaaaa
Chereko! chereko🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Cherekooo
Hahaaaahaaaaaaa baba kiboko jina ukitaja mara 5 unapata nn........,,,
Mtu mwenyewe unaongea kama uko kwenye pochi. 😂😂😂😂
We mzee xifia baba
Wee mwenyewe umebaki na mia saba
mizengwe muko sawa ila tunataka ilo mpya
me ndo yule shusha tugawe 😁😁😁
Tungu Izengo poa
Hiki Nikundi Ambacho Aktetereki Ongera Sana
Eti hata kama unanidanganya hunidanganyi sana
iko powa sana.
Hahahaaaa,,kimbendule hili jina ukilitaja mara nne tano si unapata cancel hahaaaa,,sumaku bhna ila hela haina haina shida teheeeeeeee,kweli pesa sabuni ya roho
hahahaaa jamaahuyu noma sana duuu
Mkwere na wakubali
Bg San
😂😂😂😂nzuriiiii
oyoooo
Hahaaaaah eti aah! hii mbona ina nembo ya jeshi tena haaaah.
Mizengwe juu
Nawapenda sana mizengwe
Mkongo noma
Katuni
Kipindi hiki nakipenda sana. Ila kimepewa muda mfupi sana !! Tunashauri muongeze muda jaman
Safi sana
Nzuri
saruti sana mko poa
mkwe kama huyu hafai 😁😁 duh
bahasha yenyewe haina gundi sijui kama hajalamba hela nyingine😁😀
😄😄😄😄
si umemkubalia kwa saabu hilo panga
watu bana
Nimecheka wallah
jaman ww mzee unafanya kazin gan mbona kila anayekuja anakasoro ila huyo wa simiyu ni kiboko
Rena Sebastian hongeleni
Salute
nimewapenda mko powa
Safi sana"kazi zuri kabisa
yani.safina.unanifrahisha.sana.mpovizuri sana
noma
Ahaha Unaleta barua hauweki ata mia pamoja
Ata Kama unanidanganya unidanganyi Sana mkwere noma🤣
Huyu mzee ni pesa tu na mwanae hana msimamo. Somo zuri mno. Kijana anabanwa hawezi jitetea
nishidaa
Smaku sazengine mkorofi😆😆😆😆
dah nilitamani iendelee
mizegwa naikubali sana mkuju hogera kwakazizuli
safi kaka unatambua kuoa si interview kama jamii zipo hivyo basi tambua dunia imekwisha
Hahahaha
et sogea huku damu isikurukie😁😁
hhhhhhh eti malingo sogea uku nisije kukata bahati mbaya
mshua kachukua mahari tayar
hhhhhh shusha tugaweeeee
Hans sifa
Jamani
nice
nce
Mtt anavirungu km baba yke
Huyu mwanangu nimemsomesha hada tuition
hahahaa... uyo baba ni shida, simiyu to dar is too far
Hahaha😃😆😆😃😃😃😃 nimeipenda sana
mizengwe naipendasana sana
poa😁😁😁😁😁😁😁
kwakweli mizegwe naipendasa nn👍👍👍👍👍👍👍
baba mkwe ni sheeda aisee duuh
hahahahahahaha SHUSHA TUGAWE
haha
😂😂😂😂😂😂👍
wakwe km nyinyu ninooma
mborodita idris
Dh peaa za kushawishi
😂😂😂😂😂
Good job
Mkwereeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Hello good iko poa
hhhhhhh eti unaongea kama upo kwenye sifiria
Hawa hawajawahi kuchujuka tangy nimeanza kuangalia ,miaka hiiiio
😂😂😂😂😂😂😂
May
Mpmb
N
hahahaha
Maringo noma sana😀😀
mzuri
mzuri
😂😂😂😂😂😂😂😂😆
🤣🤣
Mkwere ni shida