Tabia ya mkwere ya kupenda kuyaongea mamboyake hadharani yamfikisha pabaya baada ya kugundulika kuwa anamtumia mpezi wa Sumaku kama njia ya kujipatia kipato.
Mie now mtu akija namwambia nahitaji mwanaume wa kunisaidia.Mmoja alifata akajua dem akiwa nje ndio atatoboa ikifika mwisho wa mwezi yy n shida tu nashukuru mungu hajui mwili wangu wala hela yangu nikaona huu mzigo baba pumzika tu acha nimlee mwanangu staki mahusiano
duuuuh ama kweli mapenz maumivu....hususani pale unapotanguliza maslahi ya kitu kuliko utu, ..kwa namna hii tunaweza kuyagawa mapenz ktka makundi, ya dhati na batili. Yapasa tuwe wakweli kwa tunaowapenda au wanaotupenda, usaliti sio dili.
wanaume kama hawa wapo sana tu nawanawake kama hawa wapo
hawajamaa wakovizuri sana nawakubari sana
Haya mapenzi siyawezi kabisaa 😂😂😂
Jamani mnanifrahisha mno ktk michezo yenu, kiukweri mko vizuri sana.
Hiii nyumbaa mnaipenda sana ila hii clip ina fundisho sana
nikweli sana 🇨🇩💯🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤️❤️❤️🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Haahaaa😀😀😀Marioo hata kubembeleza hajui
Napenda sana hii michezo
hayabwna enziza za jk
Kwahiyo kila mmoja na mnyonge wake
mubasharrrrraaaaa😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌👈👈😍
Mwenyewe Nataka kupewa leo nionge Mwanaume pukaaaa....Yn nidange Ili nionge usenge uwoooo
uwiiii uko kupenda balaa
Niambie Wangu 💖
Mie now mtu akija namwambia nahitaji mwanaume wa kunisaidia.Mmoja alifata akajua dem akiwa nje ndio atatoboa ikifika mwisho wa mwezi yy n shida tu nashukuru mungu hajui mwili wangu wala hela yangu nikaona huu mzigo baba pumzika tu acha nimlee mwanangu staki mahusiano
Hawa jamaa wanajua sana
Hahahahahahahaha jamaa wako vzr!!!!
Gamers guide
Haaaaahaaaahaaahaahaaaahaaa
nawapenda sana jomon
😅😅😅😅😅eti mpenzi wngu shikamoo
Nimefurai sana
hahaha 😂😂wanajitahidi sana hawa kuchekesha..
duuuuh ama kweli mapenz maumivu....hususani pale unapotanguliza maslahi ya kitu kuliko utu, ..kwa namna hii tunaweza kuyagawa mapenz ktka makundi, ya dhati na batili. Yapasa tuwe wakweli kwa tunaowapenda au wanaotupenda, usaliti sio dili.
Iko vizur
Mariooo😀
Dah hawa jamaa hawajawahi niangusha
Awa jamaa bna!..😅
Eti nashindia maji tu leo
njoo ule kuku , hahaahahaaaaaaaa
Watu wa vitonga
Muwe mnabadilishaa hata location Sio kila sk nyumba moja tuuu???
Ubauhakika kila siku nyumba moja tuuu??
Sasa waje kwako??
Maringo saba yuko vizuri sana
😀😀😀😀🔥🔥
♡
Mfukuze huyo mwanaume anakutumia ni tapeli
Nc
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nishidaa
movie nzuri ila mjitaidi kwa sauti nindogo snaa
uchumba
Huyu simu yake mbovu
Cm yako mbovu wewe
malingo unani cheksha
Ok
sif zimemponza walah 😂😂😂😂
Neema himemlevya hahaha
financial women
Zamwizi 40
Huyo mwanamke anaboa hicho kiswahili chake
pamoja
duuuu
Wanawake km hqwa walikuwa 1945
nis
😁😁😁😁😁😁😁😁
😁😁😁😁
chuga B !!
mm
😁😁😁😁😁
😅😅😅😅
hivi huyu nimkongo kweli au
ni mpare
Mkongo wp uyoo mzarom wa mkamba
Haaaa haaaa haaaa
😃😆😆😃😃😃😆
😆😆😆😆😆😄
Kiswahili hakijalishi
fatama all
Haya mapenzi siyawezi kabisaa 😂😂😂
Nasraty Aqram mnatish san
Bado hujapenda...