Ebitoke - Nina mimba ya Mlela/Nimeonewa sana imetosha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 911

  • @jerrystephen9454
    @jerrystephen9454 4 года назад +30

    Ebitoke nakushauri uache kwenda kwenye hizi interview za kipuuzi

    • @kingrasdee445
      @kingrasdee445 4 года назад

      Kwel kbsa yan mtu baad ya kumshaur afanye nn ndo kwanza wanakenua utafkiri wapo chuo bwenn.

    • @selemansamwel9751
      @selemansamwel9751 4 года назад

      Wajinga sana hawa watu

  • @chepkemoiednah492
    @chepkemoiednah492 4 года назад

    Maswali kama ugomvi kaa nyinyi hamjawaiteleza mahali.....mwache Ebi kivyake kama hamna maswali tulivu

  • @hadijakabona955
    @hadijakabona955 4 года назад +408

    Anaemkubali ebi tujuane ap

  • @tinatina3440
    @tinatina3440 4 года назад +1

    Ebitoke tunakupenda mama. Hii minafki itapata tabu saaaaaanaaaaaaa🙌

  • @sumecute2513
    @sumecute2513 4 года назад +8

    Huyu mwanamke mjinga sana anamaanisha nn yuko kwenye uigizaji

  • @fredabeid5955
    @fredabeid5955 4 года назад

    Mimi ushauri wangu kwa ebitoke alee mimba akizaa alee mtoto mungu atakusaidia tu na kuzaa sio mwisho wa maisha wewe ni super mama

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 4 года назад +21

    🤣🤣🤣🤣 yaani najivunia kuwa mtanzania yaani watanzania tunavitukooooo stress free

    • @TREASUREZION8
      @TREASUREZION8 4 года назад

      🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪From Kenya 😜😜😜😜😜

  • @evergeorge5265
    @evergeorge5265 4 года назад +7

    Mi nilianza klinik nina mimba ya miezi mi wili,,,, ebi lea tu mwanao wanaume wa dizaini ya mlela wako kibao

  • @rehemasaburi9026
    @rehemasaburi9026 4 года назад +8

    Dharau hizi sio interview kuweni proffesional

  • @dinahdianah9653
    @dinahdianah9653 4 года назад

    hawa watangazaji daaah MUNGU anamuona

  • @sashaaishajamani1979
    @sashaaishajamani1979 4 года назад +111

    Dina unaongea tu mapenzi yanauma na maswali yenu kama ugomvi khaaa

    • @siwemamichael690
      @siwemamichael690 4 года назад +2

      Wanajifanya vichaa Dina nae anarithi

    • @faizadulla8663
      @faizadulla8663 4 года назад

      Desperation tu hiyo yakupigania mwanamme... Shame a big shame... Kama unajiamini hawezi kujiaibisha hivi

    • @celinelawrence2015
      @celinelawrence2015 4 года назад

      Konki ebi

    • @happyphilemon7928
      @happyphilemon7928 4 года назад +3

      Kama wanamsanifu hiv😏

    • @wennybarny168
      @wennybarny168 4 года назад

      Wanamuuliza maswali km wanaongea mwehu flan hv, sijapenda kwakweli.

  • @magnusbugingo7471
    @magnusbugingo7471 4 года назад

    munazingua sana D Na huyo mwenzio tengeneza maswali Na muongee Kwa moangilio pia sabamba Na hayo punguza kuzarau akili Na personality za watu design Kama hamujaenda shule ujue Dina sio Vzr tunapenda watu wajifunze kutoka kwenu mambo chanya

  • @kilungodionizi1865
    @kilungodionizi1865 4 года назад +7

    daah pole ebi lea mimba mtt niwako ila nyie.mnamuhojimwenzio hvy km mnamsuta

  • @josiahkamugisha9193
    @josiahkamugisha9193 4 года назад

    Ebitoke anataka kuendana na swagger za wasanii wengne wa bongo,anaweka mambo yanayotakiwa kua private anayaweka public, sasa anasemaje ana mimba ya Mulela kwenye media! Anahitaji counselling asjifananishe na wasanii wengne kwa mambo yasiyomletea faida kwenye sanaa zake,yatakuja kumgharimu,na kaka yake naye ana matatizo huwez kusema kuhusu Dada yako kua ni mjamzito

  • @faithjames2934
    @faithjames2934 4 года назад +9

    Yani mtu anaongea vitu serious nyinyi hata munacheka bure kabisa!😏

  • @tumainmwasamale6831
    @tumainmwasamale6831 3 года назад

    Hongera kwa mimba ebi

  • @عيالي-م6ف
    @عيالي-م6ف 4 года назад

    Watangazaji feki siwapendi nyinyi nyoooooooooooii

  • @hadijasalimu1808
    @hadijasalimu1808 4 года назад

    Mungu atakulipa Ebi

  • @nabdabdi9297
    @nabdabdi9297 4 года назад +1

    Sasa mmemuita kumuoji au kumsuta jamani nyinyi jaman ebu acheni.

  • @allyzicko8149
    @allyzicko8149 4 года назад +1

    Watangazaj wana dharau na kuvaa pia wenyewe hawajui

  • @jemirahwangechi3913
    @jemirahwangechi3913 4 года назад +1

    Ebitoke watu wengine wanakukelelesha usiende hizi interview please ata Mambo yahiyo mimba ungesema aki kua na siri

  • @yahyaibrahim6934
    @yahyaibrahim6934 4 года назад

    Kwamimi kuhojiwa nawatu wakawa wanacheka kipumbavu kama ivyo siendelei kuhojiwa tena apo maana hao wanataka faida tuh

  • @priscathomas2285
    @priscathomas2285 4 года назад +2

    Mmmh watangazaj jmn looh

  • @albertchachawise5321
    @albertchachawise5321 4 года назад +1

    Hahah atari

  • @eugenearplascidor8246
    @eugenearplascidor8246 4 года назад

    Ili lidada lenye ushungi linaboa mxiiiuuu

  • @faizaomary2036
    @faizaomary2036 4 года назад +1

    Huyu ebi anampenda mlela

  • @mustaphakassim5961
    @mustaphakassim5961 4 года назад

    Sasa ayo ni maswali au mnamchamba jaman waja tupunguzeni maneno

  • @theresiajustine2671
    @theresiajustine2671 4 года назад

    Jaman kuna huduma nyeti anazozitak

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 4 года назад +1

    Hamna watangazaj apa dadeki!! Kwa ushaur wng hii media ingefanya changes fasta!! Wanasuta au wanainterview.. Mm apo cngeenda wahlah

  • @saudabakari9190
    @saudabakari9190 4 года назад

    Mmh mhhh jaman nn ichi mmejishusha watangazaji, mmegeuka wachambaji nyie mbweha

  • @salamasefu9434
    @salamasefu9434 4 года назад

    Maswali yenu hayaeleweki

  • @mariamrajab3848
    @mariamrajab3848 4 года назад

    you dada msenge

  • @lailmeeea4908
    @lailmeeea4908 4 года назад +2

    Dunia hii pole sana mdogo wng

  • @kombolizzou5826
    @kombolizzou5826 4 года назад

    Jamaa wanfkii😂😂

  • @evodiakiwale2736
    @evodiakiwale2736 4 года назад +5

    uto dada anaongea sana ni msutaji ama...dina bana had ladha inakata

  • @angelaugustine4314
    @angelaugustine4314 4 года назад

    Mbona mnamuhoji kama mtoto kama mmemdharau vile? Vip

  • @donatharaymond1721
    @donatharaymond1721 4 года назад +14

    nyie watangazaji, mnaboa kweli . Hamna lolote, midomo tu milefu ka nini

  • @dorcasmueni8619
    @dorcasmueni8619 4 года назад

    Maskini Ebitoke

  • @angesmargaret3039
    @angesmargaret3039 4 года назад +5

    Wana habari pia nyny mlimpenda mlee ama vipi sasa mwaongeaje hivyo yani lol tazania umbea mpaka studio 😏😏😏 mmesoma kweli nyie lol aiiii angalieni view za studio za wengine msome pia

    • @lovemiwani4809
      @lovemiwani4809 4 года назад

      Hawa hawajasoma walipendekezwa hawajui kumuhoji mtu

  • @saidimohamed1595
    @saidimohamed1595 4 года назад

    hawa madada wanazingua

  • @comforterchannel803
    @comforterchannel803 4 года назад +15

    Ambao hawajawaelewa hao watangazaji gonga like twende pa1

  • @saidihysn2212
    @saidihysn2212 4 года назад +17

    Izi media nyingine watangazaji wake awawezi ata kumfanyia interview watu Bora wangeenda ata Wasafi media au Clouds fm.

  • @Aselitha84
    @Aselitha84 4 года назад +43

    Nyie wanawake ni wasenge kabisaa , yani hamna hata aibu mnamcheka mtoto wa mwenzenu? Ebitoke ni kama mdogo wenu, she has problems halafu nyie mnamcheka? How fucking stupid are you fucking cunts? Yani mlaaniwe nyie wote na naomba karma iwajie kwasababu hamna hata compassion to your fellow human being, nyie ni wanga, wachawi na absolutely psycho. You’re dogs and wanawake wauaji, hamfai kua watangazaji kabisa, hamna kipaji nyie mnahitaji muende mashambani mkaishi na wanyama, just absolutely unbelievable. Wanawake hovyo na wanaume zenu probably wanajuta kua na nyie. Wauaji nyie, pumbafu zenu 🤬🤬🤬🤬

    • @miryamkissawike3946
      @miryamkissawike3946 4 года назад +1

      this lady is so stupid i undervalue you mmekaa kimbea sana dada we ni sawasawa na mchawi mapovu yanakutoka kama mjinga your so stupid

    • @mimydiamy4663
      @mimydiamy4663 4 года назад

      ALS mataahira kwel yan

    • @aminasalum1042
      @aminasalum1042 4 года назад

      Kweli

    • @jemirahwangechi3913
      @jemirahwangechi3913 4 года назад

      Waah

    • @melangongo6490
      @melangongo6490 4 года назад

      Kweli wa bibi.hawa wajinga sana nikama wana mchekelea mbaya

  • @catherinfabiani5265
    @catherinfabiani5265 4 года назад +27

    Yaan nyie watangazaji ni wasenge sana yaan mm ningekuwa ebi ningewadhusha hy mitandio

  • @salmambula2219
    @salmambula2219 4 года назад +35

    This is not professional at all... U are mocking ebitokee instead of interviewing her.

  • @zakiamohamed8965
    @zakiamohamed8965 4 года назад +11

    Uyo mtangazaji.. Ati n mapenzi tu.. Aya we wachwa ksha tuone... Maana c mapenzi tu!!!!! Wee vipi wewe???

  • @medynation5995
    @medynation5995 4 года назад +44

    wanaosema eb ni m bay swali lina kuja wao wanaweza kuumba hat sisimizi ?.

  • @dnamara7903
    @dnamara7903 4 года назад +60

    She is younger,she need help from you guys. Msimcheke wala kumkejeli

  • @mapenzikatana9990
    @mapenzikatana9990 4 года назад +20

    Ebitoke Lea mimba yako uzae mutoto utamulea dear

  • @christophermlaponi534
    @christophermlaponi534 4 года назад +66

    Watangazaji wambeya, wazushi, kipindi cha hovyo, maswali ya ajabu ajabu !
    Sijui nimefikaje hapa mb zangu !

  • @ummuismail7597
    @ummuismail7597 4 года назад +26

    hicho kidada cha mtandio kama alikua ni mwanae angelikua anamuongelesha hivyo..

    • @kjgaming9715
      @kjgaming9715 4 года назад

      Ana dharau.

    • @rachelracher5428
      @rachelracher5428 4 года назад +3

      Muache ajidai tu n mwanamke kama hajazaa au tayar kashazaa yatamkuta tu

    • @newbeginnings9019
      @newbeginnings9019 4 года назад

      Mbaya zaidi ni wanawake...hatupendani sikuzote....wamearibu interview...

  • @evergeorge5265
    @evergeorge5265 4 года назад +9

    Dina ucjifanye hujui nini maana ya mapenzi kumbuka ulivyokua unalia wakati ule uko clouds

  • @robbarobbz4088
    @robbarobbz4088 4 года назад +27

    Watangazaji mapimbi iyo n interview au mnamsuta

  • @mlongah2736
    @mlongah2736 4 года назад +15

    Nyie sio mapresenter nyie mnaongea tu wenyewe

  • @marygaspary199
    @marygaspary199 4 года назад +8

    Mimi nampongeza kwa ujasiri, na namshauri azae tu. Ishu ya kulea itakuja tu akishazaa na aweke akiba kwenye hizo shughuli zake !

  • @evapendo85
    @evapendo85 4 года назад +4

    Kumanina zenu nyie watangazaji mwaongea kama nyie sio wanawake,ama angekuwa binti yenu mngemkejeli mbwa nyie,

  • @pamelaepimack9197
    @pamelaepimack9197 4 года назад +14

    Watangazaji ninyi ni wasengeee maan watangazaji mko na maswali ya kisenge na hiyo michambo yenu ya kisenge mbwaaa nyieee

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 4 года назад +8

    Sai kila mtu anamcheka ebitoke lakini atakuwa mbali kama hamisa mobetto nani alisema atafika alipofikia n kejeli alizokuwa yuwakejeliwa n kutukanwa

  • @dianahtarus501
    @dianahtarus501 4 года назад +7

    Watangazaji wana maswali ya kishenzi, respect Ebitoke she is right

  • @ritasheriff7814
    @ritasheriff7814 4 года назад +1

    Mwacheni Ebitoke atulize akili yake jamani. Waume siku zote ni wapita njia hawatosheki na mwanamke mmoja. Muombeeni Mungu tu ajifungue salama. Ebitoke bado ni mdogo na pia bado mrembo Mwenyenzi Mungu atampa mwanaume mwengine mwenye busara na anae jua utu. Asiye jua maana haambiwi maana mana haina maana.

  • @sabrakhalfan3587
    @sabrakhalfan3587 4 года назад +26

    Uyo mtangazaji hashuo bwana mishungi tu huna lolote hujui ata kuhoji izo kejeli sio maswali

  • @happysindani6708
    @happysindani6708 4 года назад +4

    Mtangazaji ni ayo tu wengne wote wasenge mama mijitu zima ovyo👌kumuulza mwenzenu maswal ya kisenge kama hayo c bora mkalime uko

  • @hkk2450
    @hkk2450 4 года назад +8

    Mm sijapenda iyo interview yenu Dina yaan km munamdharau uyo binti

    • @misakimasika1087
      @misakimasika1087 3 года назад

      Tolérance.Mumuache Ebitoke murembo.Muache azae mutoto naye atakuwa mu saniiiii

  • @foergivenessrupia7560
    @foergivenessrupia7560 4 года назад +4

    Mmh! Dina mariooh intaveew imekushusha viwango unajua jina lako kubwa lkn Leo umeharibu saana

  • @maryammdoe4784
    @maryammdoe4784 4 года назад +8

    Wadada nyie hamna adabu kueni na nidham mnapomfanyia mtu interview

  • @adijaadija8339
    @adijaadija8339 4 года назад +7

    Nyiye mnahoji kama mna msuta vile masutwa makubwa

  • @lissalaurian3811
    @lissalaurian3811 4 года назад +18

    Nyinyi mnaongea Sana yaani mnakela Sana mbona wengine hamuwafanyiagi ivo maswali mengi kejeli vicheko ndo nn? Khaaa!

  • @gracedelence9163
    @gracedelence9163 4 года назад +46

    Ulimuita ku mshushuwa? Ou noyie pia ni ma hater?
    Akuna swali hata moja muimu mwa mshushuwa tu je angekuwa biti yenu 😏

    • @morineinziani1080
      @morineinziani1080 4 года назад

      Mko na ujinga sana...ebi ni mpoa anamuongelesha kama ni mm siezi

    • @faizadulla8663
      @faizadulla8663 4 года назад

      Wanawake wanaojiamini lazima wacheke coz ni kichekesho sasa amepigana ndio amempata mlela ama ndio atapigana wangapi... Huyu kichaa anatakiwa afungwe tu ndio kichaa kipone

    • @ccmmbele5161
      @ccmmbele5161 4 года назад

      Wana mambo ya kisenge hao embu na mm nijaribu kutoka na mume wake afu anikute anichekeee pumbavu mpenzi yanauma

    • @mymunamymuna4807
      @mymunamymuna4807 4 года назад

      Nyi watangazaji wapuzi mwajichekea tu hpo ingekua ni mabinti zenu mungejichekea ivyo

    • @marymabubakary1561
      @marymabubakary1561 4 года назад

      nyie watangazaji maswali ya kebehi yanaruhusiwa?

  • @sirlankagirl6256
    @sirlankagirl6256 4 года назад +24

    Na nyie watangazaji wajinga saaana kuwa namaswali ya mana sio yakijinga na zarau yenu pumbavu tu🤔🤔🤔🤔🤔

  • @teddylyamba209
    @teddylyamba209 4 года назад +3

    Jifunzeni kuuliza maswali vzuri,,pumba tupu mnapiga kelele,,mmezoea michambo..Ebu igeni Kwa Mirlad na Lil Ommy

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 4 года назад +16

    Bongo siami ng'o 😀😀😀

  • @marygaspary199
    @marygaspary199 4 года назад +8

    Huu siyo muda wakuwalaumu watangazaji, tumeachiwa sehemu za kukoment, basi tuzitumie kumshauri mdogo wetu Ebitoke !

  • @laylaally1695
    @laylaally1695 4 года назад +9

    This is not interview... Mnamuingilia sana ata angewarukia apo2

  • @rahelmasiga1503
    @rahelmasiga1503 4 года назад +7

    Huyu sio wife material ukiwa naye nyumba itakua haina amani halafu anaonekana yy ndiye anatoa pesa

  • @sisterhappy1256
    @sisterhappy1256 4 года назад +2

    Kwaiyo mmemuita mumchambe au

  • @lightnessmungaya3280
    @lightnessmungaya3280 4 года назад +5

    Yaaani nyinyi watangazaji , , mmmmmh mungu anawaona

  • @asharichard6489
    @asharichard6489 4 года назад +6

    Ila uyo dada mbwaa kweli sasa ana fanya nn mbona anamshushua ivo

  • @ansilaulotu7178
    @ansilaulotu7178 4 года назад +5

    Huu ni msuto si interview
    Wadada huko chuo mlisoma nini??

  • @frankocelex9145
    @frankocelex9145 4 года назад +4

    Mmh midada inamiswali yakishangingiii atri adi ina boa kama m n ebi nasepa zang nyoooooo...

  • @kassimkinonono1466
    @kassimkinonono1466 4 года назад +9

    Ebitoke anaongea pouw ila watangazaji daaah!

  • @zeddydaqueensy4612
    @zeddydaqueensy4612 4 года назад +52

    Watangazaji wajinga xana wajichekea tu

  • @neemamwaikenda140
    @neemamwaikenda140 4 года назад +4

    Kilichofanya mumuite ebotoke Nini? Mumchambe ama! Ken alikuja kuomba interview !

  • @sofiaahmed8880
    @sofiaahmed8880 4 года назад +1

    Huyu kaka mlela anachezea ma binti wa wenyewe! Lkni malipo ni hapa hapa duniani,atachezewa dadazake au mkewe.

  • @GraceGrace-jp4nc
    @GraceGrace-jp4nc 4 года назад +3

    Nyie mna maswali ya dharau kama hamjui wanaume walivyo

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 4 года назад +99

    Huyu mwenye shungi kama bi mnyoko huyu Ana dharau Sana sikia maswali anayo uliza halafu anacheka kwa dharau. Ingekuwa mimi ebi ningemtia makofi kwa kweli pumbavu Sana huyu mwanamke

  • @halimahalima4892
    @halimahalima4892 4 года назад +5

    Ebi onger xna mtot nd kila ki2 mung atakujalia

  • @mahamer9903
    @mahamer9903 4 года назад +1

    Pwaaá eti usije ukanitoa kiremba. .....nina nywele mbili kichwani........nani mwingine amecheka. ...? ???Hhhhhhhhh

  • @dnamara7903
    @dnamara7903 4 года назад +84

    Inamaana mmemwita kumsuta?

  • @rachelsaidi
    @rachelsaidi 4 года назад +1

    Jamani tupo. Ninge omba support you at least subscribe kwenye Chanel yangu ya RUclips tu saidiyane tafaAzali

  • @salimkhamis3638
    @salimkhamis3638 4 года назад +5

    Wewe Mtangazaji mwenye Shungi daaaah! Sidhani kama umesomea fani ya Uandishi! Jifundishe jinsi ya kufanya interview na masuali ya kuuliza. Hii interview ni mavi sana

  • @rehemasaburi9026
    @rehemasaburi9026 4 года назад +1

    Nna comment mala tatu
    Udhalilishajii huu
    😏

  • @neytharkhan128
    @neytharkhan128 4 года назад +3

    Msije kumpiga tu mana hayo masuali kama mna ugomvi nae mhh wantangazaji punguzeni ukali

  • @bainamangoma6937
    @bainamangoma6937 4 года назад +1

    Watangazaji tabia zenu mbaya sijapenda. Pole Ebitoke mungu yu pamoja nawe utashinda tu.

  • @mapenzikatana9990
    @mapenzikatana9990 4 года назад +16

    Ebitoke nakupa hongera Sana kwa ujasiri ulionyesha kwa mulela big up dear

  • @salmaoriginaloriginal6478
    @salmaoriginaloriginal6478 4 года назад +1

    Mlipataje chet cha utangazaj wakat uwezo amna achen ushamba

  • @ilovuguyssandimu6508
    @ilovuguyssandimu6508 4 года назад +17

    This gal is desperate of men..u dont fight physically

  • @magneticofficialtz
    @magneticofficialtz 4 года назад +1

    ruclips.net/video/P2PW8XM0tFM/видео.html
    Bonyeza link hyo kuona mama yake na ebitoke kuona alivyosema juu ya mlela atamwotesha busha kichwani😆😆😆

  • @bellauwase8908
    @bellauwase8908 4 года назад +10

    This is not funny to be laughing at🤦🏾‍♀️💀

  • @lydiakangongole6783
    @lydiakangongole6783 4 года назад +8

    Wadada kuweni na busara na maswali yenu

    • @joycengomora1456
      @joycengomora1456 3 года назад

      Ebito jolie fille qui se défend d'une manière responsable mes toutes grandes félicitations ma prunelle Joyce t'aime en plus tu semble être une fille Amoureuse !

  • @anitahbeatrice3379
    @anitahbeatrice3379 4 года назад +51

    This interviwers lack compassion,how they laugh about everything even the serious issue about her being pregnant and rejected is so wrong...its like she was being interviewed with wamama wakiswahili kijiweni🤦🏼