Ebitoke hongera mum ukomdogo lakini unaakili sana amakweli penye nia hapakosi njia, mungu akuongoze na akuepushie husda na hasad za walimwengu na akujaalie ufunge ndoa na ben Pol, duuh uko juu mama kwakweli Hongera sana
Ebitoke hongera sana. Lakini kama wengine walivyo coment angalau ukija ktk interview vaa vizuri na usiwe kama ebitoke. Pendeza tukuone upande wa pili. Wa ebitoke tushauona. New year new you please. We love you
duh hatari wewe naomba nikutafte uwe mwalimu wangu kwenye tasinia ya uigizaji commedy! hongera sana jambo la ajabu sana koz ni mda mfupi tu! Kwasasa nimegundua "ufreemason ni akili ya mtu, maendeleo ni juhudi na kusaka kipaji" Ulivyokua unajituma kama tahira lakini sasa tupo na wapo na wataendelea kuwepo ambao wanatamani na watatamani kujifunza toka kwako! ♥♥♥♥utakua nyota wa nyota
kwani nyumba kitu gani uwezo wakmiliki anao kila kitu nimalengo na mipango unaweza pata Hera nyingi km kichwani zero nyumba utaisikia kwenye bomba lakini unaweza pata pesa kidogo na ukafanya makubwa kila kitu nimalengo na mipango
Ebitoke kaongea ukweli kabisa, Jamani Ben Pol ni handsome sana, mm namkubali sana benpol.
Hongera sana ebii
Jamanii mm uwa nafikiria uyu dem anavo ongea ni kuigiza 2 kumbe ni uwongeaje wake duuh patam hapo pa ben pol
Mwanasha Hassani lol
Hahaha🤣🤣🤣
ebitoke hongera sana mama ,piga hatua na wanaosema unachukiza na hayo mafuta kumbe ndo hayo yanayokupa riziki mamy
saada mrisho mambo
Nakupenda bure ebi wangu❤ kwanza pokea ongera zako 💪💪
Hata benpol nyumba hana lakini ebitoke ume mshinda wengi ume cheza kabisa hongera kuna wasanii wengi hawana hata nyumba
Babe gal don't bleach uaself please natural is the best 😍😍
Hongera sana ebitoke kwa ujasiri wako
yan nakukubali sana af umenifurahisha saaaana kwa maendeleo yako tunapenda tuwashabikie watu mnaojitambua kama nyie
Hongera mama watu walikudhalau
Acha kujichuna ngozi ww
Ebitoke ukiwa unaenda mahali kama hapo ..jiweke vizur kidogo..weka mafuta mbali kidogo bana haiii
Ebitoke nakupenda
Hongera bitoke
Eebiiii
mami acha rangi yako
Ebitoke hongera mum ukomdogo lakini unaakili sana
amakweli penye nia hapakosi njia, mungu akuongoze na akuepushie husda na hasad za walimwengu na akujaalie ufunge ndoa na ben Pol, duuh uko juu mama kwakweli Hongera sana
ebitoke :masipotaaaa. mama benpol baadae. nawatakia maisha mema na ndoa njema pia.
💖👏👏 nakupenda bure
watanzania woote subscribe top ten Kali
Ebitoke hongera sana. Lakini kama wengine walivyo coment angalau ukija ktk interview vaa vizuri na usiwe kama ebitoke. Pendeza tukuone upande wa pili. Wa ebitoke tushauona. New year new you please. We love you
Ebitoke nomaaaaa pitia na kwangu bonyeza picha kushoto uufurah pia usisahau ku SUBSCRIBE
Hongera kwa kununua gari na kujenga nyumba Ebitoke
Ebitoke naona waanza kujiharibu na kupaka mkorogo wajiharibu mamaa
Aisha Mrembo izo taa tu
hongera sana ebitoke
hongera kwakuwa Na nyumba kwani kwa umri mdogo ulio nao !kwakweli umepambana mama hongera
Nakupenda bure wangu ebitoke
Nimekupenda ebitoke ni wachache sana kuku mbuka wazazi wao walio kuepo kijijin 👏
ebitoke nakupenda mdogo angu kwakila kitu bila wasikuharibu ngozi yako nzuri nayakuvutia .nahisi km umeanza kung'aa mkorogo
Hongera Ebipol ila usilewe navyo hivyo, kumbuka kujiendeleza kielimu. Nakukubali sanaaaaaa
Wow congratulations dear Ebi😘😘😘keep it up and be blessed. Happy new year beb. Love u from kenya
Hi
Ebitoke mbona saiv umekuwa mweupe sana au ndio pesa sabun ya ngoz au vep
ww msichanaba kabisa unahakiri yamaisha ila chunga wanaume
utatoka
Hongera Ebii 👏👏👏
Sio kweli wewe ungopa2 hipo sikuutajuta kwa umbea wako mimi nakujua vizuri2 kuwa unaongopa
Mama ashura huyo mwenzenu akie sehem kama hiyo hebu nayeye muekeni anekane tofaut sio kila sehem miafuta na miwanja
Hongera sana kwa hapo ulipofikia zidi kukaza buti utafika mbali zaidi
unajichubua sasa hivi khaaaa sema umependeza
Much love from Kenya....chase ur dreams baby girl
Very wise words ebitoke God bless you mrembo tia bidiii kwa maisha yako
Hongera kwa mafanikio
Ongera
💓💓💓👌👌👌🏃🏃
😍😇💘💢❤💜
Ila ukiwa na hayo mafuta uko kama mchafu yani sehemu kama izo vaa vizur toa wanja uwo
nice ebilove.....
Hongera Sana kwa kupata nyumba 😊😊😊
nakukubar xana ebitoke
Natamani Sana kufanya kazi na wakina ebitoke
Natamani Sana kufanya kazi na wakina ebitoke
good job my
Is she bleaching ama mi ndio sioni poa?
Mmmmhu Ebitoke hauaminiki wewe na maneno yako
Good job Ebitoke keep it up
duh hatari wewe naomba nikutafte uwe mwalimu wangu kwenye tasinia ya uigizaji commedy! hongera sana jambo la ajabu sana koz ni mda mfupi tu! Kwasasa nimegundua "ufreemason ni akili ya mtu, maendeleo ni juhudi na kusaka kipaji" Ulivyokua unajituma kama tahira lakini sasa tupo na wapo na wataendelea kuwepo ambao wanatamani na watatamani kujifunza toka kwako! ♥♥♥♥utakua nyota wa nyota
Ykottpe Kottpe ebitoke
Ebitoke hongera sana uko vizur
Mashallah mmefanya jambo lamaana
ebitoke hongera sana ,God removed you from nothing to something.
ebitoke mwambie Timothy nataka kukuoa
Hi ni akil ya kipeekee mami wee hongeraa mno
ongera sana my ebitoke
Hongera sana EBITOKE
That's great,ujinga walipa.
Nakuelewa sana Ebitoke
Hongera sana ebitoke
hongera mtoto
Ebitokenakupendasanawewe
atariiiii
Hongera sana Ebi
HONGERA SANA EBIPOUL
❤❤❤❤hatariiii hongera
Hongera mwaya
Tume kusoma
love love ebitoke
Chesiti dah ebiiiii❤❤
Mambo
😂😂big up niko na Ben pol wee kiboko
Big up Ebitoke
Nakapendaga sana haka katt jamani kaebitoke kanaakili sana chapa kazi mama mungu atakusaidia usijali maneno ya watu hao wanaopendeza hawana chochote
Mm sijawai zarau ebitoke tangu nimjue nampeda sana na ninapenda vichekesho vyao
safi sana ebitoke
ebitoke umenoga
Hayaa tupe maneno 😇😇😇
We ebitoke wacha uongo
big up ebi
Nakuelewaga sana Ebitoke baasitu
Hongera sana mtoto nakupendaje ebitoke
Ebitoke usha zoea futa
mshamba sana uyo linaongea kama latoka Leo kijijini
khadija mlewa wifu huo acha wifu
Ee we nae lini utabadilishaga hyo rafuz yko
1st views
on Gerald sana ebitoke mungu akuzidishie ujitaidi kumuezi mama yako
Mohammed Amin
mbona mi nana hivyo vitu muda sanaa mpaka muanze kujitangaza
acha kujichubua dya itapendeza zaidi
Sasa apo uko kazini hiyo SI mahujiano jaribu kujiweka sawa😎😎😎😎😎😎😎
god bless you
Unaongeaje ww sura mbovu
kwani nyumba kitu gani uwezo wakmiliki anao kila kitu nimalengo na mipango unaweza pata Hera nyingi km kichwani zero nyumba utaisikia kwenye bomba lakini unaweza pata pesa kidogo na ukafanya makubwa kila kitu nimalengo na mipango
hujamuelewa that why
Na hayo nimajibu ya watu wenye wivu zuena omary
.....
...
Jealous itakuuwa 😂😂😂😂
Ebitoke umezid ukiw sehem kam hz jiwek angalau vzr haii
Aji Musa kweli kwasababu tushamjua ajiweke hovyo akiwa kazini ila mazingira ya kawaid awe msafi tuuy
wow ebitoke wow unakaa mrembo
💖💕💝👌👍💟💚🆒💐🌈
+Fatuma Farah Mary Christmas ebi
🆒💚
pongez ebitoke
Fatuma Farah hii