Ebitoke: Tayari nina nyumba yangu - Full Interview East Africa Radio

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Inteview iliyofanyika tarehe 28 kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio.

Комментарии • 121

  • @sofiaahmad1926
    @sofiaahmad1926 4 года назад

    Ebitoke kaongea ukweli kabisa, Jamani Ben Pol ni handsome sana, mm namkubali sana benpol.

  • @فجرالبلوشي-ل6ت
    @فجرالبلوشي-ل6ت 6 лет назад +1

    Hongera sana ebii

  • @mwanashahassani783
    @mwanashahassani783 6 лет назад +10

    Jamanii mm uwa nafikiria uyu dem anavo ongea ni kuigiza 2 kumbe ni uwongeaje wake duuh patam hapo pa ben pol

  • @saadamrisho5396
    @saadamrisho5396 6 лет назад +6

    ebitoke hongera sana mama ,piga hatua na wanaosema unachukiza na hayo mafuta kumbe ndo hayo yanayokupa riziki mamy

  • @famiathereziadorcas544
    @famiathereziadorcas544 6 лет назад +2

    Nakupenda bure ebi wangu❤ kwanza pokea ongera zako 💪💪

  • @amirsab1158
    @amirsab1158 6 лет назад +3

    Hata benpol nyumba hana lakini ebitoke ume mshinda wengi ume cheza kabisa hongera kuna wasanii wengi hawana hata nyumba

  • @jano254jayc4
    @jano254jayc4 5 лет назад

    Babe gal don't bleach uaself please natural is the best 😍😍

  • @kijakaziseifu1983
    @kijakaziseifu1983 6 лет назад

    Hongera sana ebitoke kwa ujasiri wako

  • @emmanuelpaul5704
    @emmanuelpaul5704 6 лет назад +3

    yan nakukubali sana af umenifurahisha saaaana kwa maendeleo yako tunapenda tuwashabikie watu mnaojitambua kama nyie

  • @marydamian1967
    @marydamian1967 6 лет назад

    Hongera mama watu walikudhalau

  • @nyamalwaleonard793
    @nyamalwaleonard793 6 лет назад

    Acha kujichuna ngozi ww

  • @fatmaamran3154
    @fatmaamran3154 6 лет назад +5

    Ebitoke ukiwa unaenda mahali kama hapo ..jiweke vizur kidogo..weka mafuta mbali kidogo bana haiii

  • @jazlashakila6405
    @jazlashakila6405 5 лет назад

    Ebitoke nakupenda

  • @marydamian1967
    @marydamian1967 6 лет назад

    Hongera bitoke

  • @halimambwego7706
    @halimambwego7706 6 лет назад

    Eebiiii

  • @aimanali8612
    @aimanali8612 6 лет назад +3

    mami acha rangi yako

  • @tifahfauzia9157
    @tifahfauzia9157 6 лет назад

    Ebitoke hongera mum ukomdogo lakini unaakili sana
    amakweli penye nia hapakosi njia, mungu akuongoze na akuepushie husda na hasad za walimwengu na akujaalie ufunge ndoa na ben Pol, duuh uko juu mama kwakweli Hongera sana

  • @mansoormajura6200
    @mansoormajura6200 6 лет назад +7

    ebitoke :masipotaaaa. mama benpol baadae. nawatakia maisha mema na ndoa njema pia.

  • @estheronyoro1452
    @estheronyoro1452 6 лет назад +7

    💖👏👏 nakupenda bure

  • @TopTenKaliTV
    @TopTenKaliTV 6 лет назад

    watanzania woote subscribe top ten Kali

  • @umydaddy4697
    @umydaddy4697 6 лет назад +3

    Ebitoke hongera sana. Lakini kama wengine walivyo coment angalau ukija ktk interview vaa vizuri na usiwe kama ebitoke. Pendeza tukuone upande wa pili. Wa ebitoke tushauona. New year new you please. We love you

  • @mctidohondoa1652
    @mctidohondoa1652 6 лет назад

    Ebitoke nomaaaaa pitia na kwangu bonyeza picha kushoto uufurah pia usisahau ku SUBSCRIBE

  • @elizabethmwandu9899
    @elizabethmwandu9899 6 лет назад +7

    Hongera kwa kununua gari na kujenga nyumba Ebitoke

  • @aishamrembo6769
    @aishamrembo6769 6 лет назад +6

    Ebitoke naona waanza kujiharibu na kupaka mkorogo wajiharibu mamaa

  • @bernadethajohn273
    @bernadethajohn273 6 лет назад +2

    hongera sana ebitoke

  • @dawhiteaissa2522
    @dawhiteaissa2522 6 лет назад

    hongera kwakuwa Na nyumba kwani kwa umri mdogo ulio nao !kwakweli umepambana mama hongera

  • @elizabethelizabeth9214
    @elizabethelizabeth9214 6 лет назад +1

    Nakupenda bure wangu ebitoke

  • @maryamalbahry1387
    @maryamalbahry1387 6 лет назад

    Nimekupenda ebitoke ni wachache sana kuku mbuka wazazi wao walio kuepo kijijin 👏

  • @zamzamhassan4159
    @zamzamhassan4159 6 лет назад

    ebitoke nakupenda mdogo angu kwakila kitu bila wasikuharibu ngozi yako nzuri nayakuvutia .nahisi km umeanza kung'aa mkorogo

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 6 лет назад

    Hongera Ebipol ila usilewe navyo hivyo, kumbuka kujiendeleza kielimu. Nakukubali sanaaaaaa

  • @clairkip753
    @clairkip753 6 лет назад

    Wow congratulations dear Ebi😘😘😘keep it up and be blessed. Happy new year beb. Love u from kenya

  • @waohyeah537
    @waohyeah537 6 лет назад +2

    Hi

  • @chelakhafija762
    @chelakhafija762 6 лет назад

    Ebitoke mbona saiv umekuwa mweupe sana au ndio pesa sabun ya ngoz au vep

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 6 лет назад +5

    ww msichanaba kabisa unahakiri yamaisha ila chunga wanaume
    utatoka

  • @shantelshanty5193
    @shantelshanty5193 6 лет назад +1

    Hongera Ebii 👏👏👏

  • @ssafricancreator9151
    @ssafricancreator9151 6 лет назад

    Sio kweli wewe ungopa2 hipo sikuutajuta kwa umbea wako mimi nakujua vizuri2 kuwa unaongopa

  • @pilimohd271
    @pilimohd271 6 лет назад

    Mama ashura huyo mwenzenu akie sehem kama hiyo hebu nayeye muekeni anekane tofaut sio kila sehem miafuta na miwanja

  • @kayambavitalis8700
    @kayambavitalis8700 6 лет назад +3

    Hongera sana kwa hapo ulipofikia zidi kukaza buti utafika mbali zaidi

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 6 лет назад

    unajichubua sasa hivi khaaaa sema umependeza

  • @rebeccahkerubo4151
    @rebeccahkerubo4151 6 лет назад

    Much love from Kenya....chase ur dreams baby girl

  • @carolcarolmakesh8952
    @carolcarolmakesh8952 6 лет назад

    Very wise words ebitoke God bless you mrembo tia bidiii kwa maisha yako

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 лет назад +1

    Hongera kwa mafanikio

  • @elizabethelizabeth9214
    @elizabethelizabeth9214 6 лет назад +1

    Ongera

  • @bantuempress1744
    @bantuempress1744 6 лет назад +5

    💓💓💓👌👌👌🏃🏃

  • @angelklistofa4914
    @angelklistofa4914 6 лет назад

    Ila ukiwa na hayo mafuta uko kama mchafu yani sehemu kama izo vaa vizur toa wanja uwo

  • @marianundwe2720
    @marianundwe2720 6 лет назад +1

    nice ebilove.....

  • @viviennemanishimwe4397
    @viviennemanishimwe4397 6 лет назад

    Hongera Sana kwa kupata nyumba 😊😊😊

  • @anetnchimani5221
    @anetnchimani5221 6 лет назад

    nakukubar xana ebitoke

  • @alexbalthazar6719
    @alexbalthazar6719 6 лет назад

    Natamani Sana kufanya kazi na wakina ebitoke

  • @alexbalthazar6719
    @alexbalthazar6719 6 лет назад

    Natamani Sana kufanya kazi na wakina ebitoke

  • @devothasweert7148
    @devothasweert7148 6 лет назад

    good job my

  • @misstasha9097
    @misstasha9097 6 лет назад

    Is she bleaching ama mi ndio sioni poa?

  • @elizabethmwandu9899
    @elizabethmwandu9899 6 лет назад +1

    Mmmmhu Ebitoke hauaminiki wewe na maneno yako

  • @Lucymwende349
    @Lucymwende349 6 лет назад

    Good job Ebitoke keep it up

  • @ykottpekottpe7119
    @ykottpekottpe7119 6 лет назад +4

    duh hatari wewe naomba nikutafte uwe mwalimu wangu kwenye tasinia ya uigizaji commedy! hongera sana jambo la ajabu sana koz ni mda mfupi tu! Kwasasa nimegundua "ufreemason ni akili ya mtu, maendeleo ni juhudi na kusaka kipaji" Ulivyokua unajituma kama tahira lakini sasa tupo na wapo na wataendelea kuwepo ambao wanatamani na watatamani kujifunza toka kwako! ♥♥♥♥utakua nyota wa nyota

  • @thauratali3656
    @thauratali3656 6 лет назад

    Mashallah mmefanya jambo lamaana

  • @asiminana4097
    @asiminana4097 6 лет назад +4

    ebitoke hongera sana ,God removed you from nothing to something.

  • @hagaikisapile2116
    @hagaikisapile2116 6 лет назад

    ebitoke mwambie Timothy nataka kukuoa

  • @shukrisharifu4403
    @shukrisharifu4403 6 лет назад

    Hi ni akil ya kipeekee mami wee hongeraa mno

  • @winniemagomba7475
    @winniemagomba7475 6 лет назад

    ongera sana my ebitoke

  • @fatimahabdallah808
    @fatimahabdallah808 6 лет назад

    Hongera sana EBITOKE

  • @mishmish.2148
    @mishmish.2148 6 лет назад

    That's great,ujinga walipa.

  • @djgthehotstepper
    @djgthehotstepper 6 лет назад

    Nakuelewa sana Ebitoke

  • @najma3268
    @najma3268 6 лет назад

    Hongera sana ebitoke

  • @elineymachambua9508
    @elineymachambua9508 6 лет назад

    hongera mtoto

  • @اميساعبدالله
    @اميساعبدالله 6 лет назад

    Ebitokenakupendasanawewe

  • @joycemathayo8978
    @joycemathayo8978 6 лет назад

    atariiiii

  • @bahaticharles4892
    @bahaticharles4892 6 лет назад

    Hongera sana Ebi

  • @tuzomapunda7749
    @tuzomapunda7749 6 лет назад

    HONGERA SANA EBIPOUL

  • @azizaooo6309
    @azizaooo6309 6 лет назад

    ❤❤❤❤hatariiii hongera

  • @keiratmohameed1064
    @keiratmohameed1064 6 лет назад

    Hongera mwaya

  • @bidabidatz
    @bidabidatz 6 лет назад

    Tume kusoma

  • @asmabintikiwashatz9321
    @asmabintikiwashatz9321 6 лет назад

    love love ebitoke

  • @Jordan_g9
    @Jordan_g9 6 лет назад

    Chesiti dah ebiiiii❤❤

  • @leonardodewa5360
    @leonardodewa5360 6 лет назад

    Mambo

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 6 лет назад

    😂😂big up niko na Ben pol wee kiboko

  • @jessibaraza9238
    @jessibaraza9238 6 лет назад

    Big up Ebitoke

  • @husnaramadan4904
    @husnaramadan4904 6 лет назад +1

    Nakapendaga sana haka katt jamani kaebitoke kanaakili sana chapa kazi mama mungu atakusaidia usijali maneno ya watu hao wanaopendeza hawana chochote

  • @mwimbimiheso5513
    @mwimbimiheso5513 6 лет назад +4

    Mm sijawai zarau ebitoke tangu nimjue nampeda sana na ninapenda vichekesho vyao

  • @zwad3gh576
    @zwad3gh576 6 лет назад

    safi sana ebitoke

  • @hongerakkachawasemewwkzbut4996
    @hongerakkachawasemewwkzbut4996 6 лет назад

    ebitoke umenoga

  • @pinkywinixmbugua5026
    @pinkywinixmbugua5026 6 лет назад

    Hayaa tupe maneno 😇😇😇

  • @aishamrembo6769
    @aishamrembo6769 6 лет назад +2

    We ebitoke wacha uongo

  • @peteryohana1616
    @peteryohana1616 6 лет назад

    big up ebi

  • @pena_tz
    @pena_tz 6 лет назад

    Nakuelewaga sana Ebitoke baasitu

  • @stainasmkoko604
    @stainasmkoko604 6 лет назад

    Hongera sana mtoto nakupendaje ebitoke

  • @amirsab1158
    @amirsab1158 6 лет назад +1

    Ebitoke usha zoea futa

  • @khadijamlewa423
    @khadijamlewa423 6 лет назад

    mshamba sana uyo linaongea kama latoka Leo kijijini

  • @m__amiin9094
    @m__amiin9094 6 лет назад +3

    1st views

  • @happinessmataluma1948
    @happinessmataluma1948 6 лет назад

    mbona mi nana hivyo vitu muda sanaa mpaka muanze kujitangaza

  • @brandysatoki2624
    @brandysatoki2624 6 лет назад

    acha kujichubua dya itapendeza zaidi

  • @k.oman121khadijahassan4
    @k.oman121khadijahassan4 6 лет назад

    Sasa apo uko kazini hiyo SI mahujiano jaribu kujiweka sawa😎😎😎😎😎😎😎

  • @lillianwanjiru1169
    @lillianwanjiru1169 6 лет назад +1

    god bless you

  • @sameeralsuleimanalsulieman686
    @sameeralsuleimanalsulieman686 6 лет назад

    Unaongeaje ww sura mbovu

  • @zuenaomary9987
    @zuenaomary9987 6 лет назад +2

    kwani nyumba kitu gani uwezo wakmiliki anao kila kitu nimalengo na mipango unaweza pata Hera nyingi km kichwani zero nyumba utaisikia kwenye bomba lakini unaweza pata pesa kidogo na ukafanya makubwa kila kitu nimalengo na mipango

  • @ajimusa7351
    @ajimusa7351 6 лет назад +3

    Ebitoke umezid ukiw sehem kam hz jiwek angalau vzr haii

    • @angelklistofa4914
      @angelklistofa4914 6 лет назад

      Aji Musa kweli kwasababu tushamjua ajiweke hovyo akiwa kazini ila mazingira ya kawaid awe msafi tuuy

  • @fatumafarah7425
    @fatumafarah7425 6 лет назад

    wow ebitoke wow unakaa mrembo