EBITOKE APEWA MILIONI 100 NA YUSUPH MLELA "ALIZIMIA MARA 6" KAKA YAKE AFUNGUKA CHANZO CHA KURUDIANA
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- #Ebitoke #YusuphMlela #Kakawaebitoke
Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
FOLLOW US
Follow on Instagram: / mwendokasitv
Follow on Facebook: / mwendokasimedia
Aliye sikia Mlela anaweza akamsababishia ebi corona tujuane😃😃😃😃
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@josehenry7333 😂😂😂😂😂😂
Ha haaaa
Ebutoke Miss Tanzania 2020!
Kama umesikia neno "i zink" badal ya i think😄😄gong like
Jaman ebi sio wa kwanza kurudiana na mpenzi wake ata nyie mnaokoment nadhani mlisha achana na wapenzi wenu afu mkarudiana
hiyo ndio aibu singefanya kurufiana na x over my dead body
Duu Ebi umeamua kutoa million 100 kumpa mlela wee nomaa siajabu hata kwenu hujajenga Ila unajua kuonga Mlela hawezi hata siku 1kukupa million 100 we kweli choko.
Kama mlela alikuwa analishwa na ebi.leo hii ametowa wapi pesa..hiyo ni makangari ameletewa sio pesa bt ebi ukiacha simko utakufa ukimwi ebu heshimu mwili wako
Hiyo pesa itakuwa ebitoki diyo kampa milela
Milioni 100 Kwani ni za bandia? Anunue gari basi, uongo tu...
😂 😂 😂 😂 😂 😂
Mmh! Ila nyie watu!
Sasa ile mimba ya Ebitoke ilienda wapi?
Kweli iko wapi
Ili choropoka,ilikua kiki tu, hakua na mimba wala nini
Kaporomoshaaaa jamanii, laaana kubwa,kwa Mungu
Kaporomoshaaaa jamanii laaana kubwa,kwa Mungu
🤣🤣🤣
Mmeanza million 100 na umbea wenu
Haaa kweli wenye akili wamepelekwa mental, wasokuwa na akili wako uraiyani
Uongo mtupu mlela atoe milioni moja njaa tupu Leo huyo mlela aumwe basi misaaada mnataka kwa wasamaria wema
Umeona labda alitoa laki moja
Makubwa anaoa au zawad hiyo milion mia😂😂😂
Kati ya wale wanafki huyu kitenge ni moja wao. sasa watangaza mimba ya dadako ww ndio mwenye kumuonea period zake. yakiharibika watukana watu tena watia na kupiga magoti haswaa
Kama unaamini aka ka Kaka nikaongo tena ka shamba naomba liké
Mulera hanapesa ebitoke jo ana pesa USi daganye hakuna wanaume wa Bogo wakupa mwanamuke amani
Wewe wacha urongo kama uko na ilimu ungefuata Dadako matakoni nakumgawadia waume hata wivu huna mjinga wewe
nyie mna mambo ya ajabu sana nilikua nishamchukia mlela kwa tabia yake cjui ntafanyaje nimpende tena
😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏Ebitoke Hana akili jamani
Haha hata mimi nilitaka kusema labda Ebi ndo kampa mlela bado hajakoma tu bado afauzi pesa, za umis sasa mlela mimi nilikuwa Utani alitania kumwambia umempa million Mia dada, yangu hila jaman Sasa hivi mlela yupo tayali kufanya lolote atakaloambiwa kutokana yeye si ndo kabembeleza kuludi japo Ebi bado anamtaka akijushauwa tu kusema akisema waludiane hayo kubali nikasemaga ni uongo tu atamkudia na kwel
Do mkaka wa watu simco jaman analia anamsaliti mwenziwe hivi hivi
Uyu kaka mtu anapata sana pesa kwaajil ya Ebi na ndo mana anashadadia hadi mtangazaji alisema
Si Kam bibi alimpaga ant yangu wa mwisho nyumba wengine walioasilika.
Ya kinyongo ni sumu sio kuzur
Du, kweli tv, zimeingiliwa na uchizi. Hawa ndio wanaotufanya mbuzi wa Xmass.
Nakweli
au ilikua kiki jaman kuna kiki zipo serious ivo kweli ad kupelekana basata,me cjui
HAKUNA MTU MBAYA,MWACHENI EBITOKE WETU
Ndio maana unashuriwa ukiwa na hasira usiropokeropoke ovyo kama ulivyokuwa unaropoka ropoka kipindi wamekorofishana Ebitoke na Mlela leo hii unasema hata kama mtu akikukata atatoka Mlela ni jinsi gani unavyompenda duuu hii nayo ni Kali kwa kweli.Leo hii umesahau matusi yote uliyomtukana Mlela.
Kama kuna mtu kasikia neno beree gonga like👇
Tunasubir next episode 😂😂😂
Mmmmhu hapo tumedanganywa kabisa.Kipindi kile walipogombana Mlela na Ebitoke siri zilivuja hivyo mara ooooh nilikuwa namnunulia boksa mara ooooh na chakula tulichokuwa tunakula nilikuwa namnunulia Mimi na amechukua pesa zangu nyingi sana leo hii Mlela akupe milioni 100? Hapo ninakataa .Ebitoke yaani wewe binti haujielewi kabisa kipindi kile uliongea maneno mengi sana mara Mlela amenipa mimba amenitelekeza leo hii imekaaje?Mpaka huyo kitenge amekwenda kupigana na mlela kwa ajili yako mmmmhu yetu macho kutazama kinachoendelea.
Wakifunga ndoa ndipo nitaamini wamejifunza kupitia makosa la sivyo,sijui tawaweka upande gani
huo ndio ushenzi sasa juzi mwavuana mawigi leo hii mumerudiana shwaini nyie😈😈
Jaman jamn mapnz mnayafaham mapenz ebu yaachan hayo hata kam wameludiana waachen mapenz yananguvu san
Kila mtu yuwajuwa milela yuwahonga pesa na wanawake
mlela amewatukana kistaarabu kwa mlivo mdhalilisha
Wacha uongo wewe kaka unakaa nguonguo na dadayako ghaiii
😂😂😂😂🤣🤣I
Waaah hta nimeshindwa nicomment nn
Aiseee muigizaji ni muigizaji tu
Ivi simco ni basi tena
Uongo mtupu ivi ebitoke unaakili kweli huwa unasahawu mbio kweli
Ebitok mshamb tu jaman asiwashangaze
Ukweli
😆😆😆😆😆ati nimeongea kingereza ukumbuke watu awajuw kizungu 😆😆😆😆 uyu Kaka chizi kabisaaa masikini Ebitoke amuna kitu kabisaaa Mulela umukamuwe kabisaa mpaka kakome
Lakini huyu mkaka ako na akili ya umama..coz jenye ebi ana fanya yeye anafuata tu kama ng'ombe inayo frutwa na kamba
Mulela alizimia mara ngapi bro? Sasa mimba ipo ama vipi?Wewe kaka usimpoteze dadako baadaye muanze kulia tena eti wakikukata wewe ni nani damu?🙌🙌🙌🙌🙌
Langu jicho tuu
Kuliko kuweka comments za kumponda au kumtukana mtu ni bora ukae kimya waungwana
Umesema.kweli matusi yanini jamani ni huruka zao
ninyi msituletee comedy apa najua pesa azinukii kama pilau lakn million 100 kwa usawa huu wa mzee magu ?ngoja me niendelee kusoma comments
Hahhaa I love u stupid kitenge ,walioskia kutoa damu unamwna mlele tujuane .
Aisha njo uku
Sadiki ukipenda🔫tunasubiriya new story after 2months😂
Hahahah
Kwa kweli hii ni sadiki ukipenda...
Kusadikika n nchi iliomilikiwa na ebi mlela, beyonce wa buza, siste fey, umbertutty, baby queen wa dula makabila... kuna yule wanamwita rucky baby ambae amepotea n.k
Hilo jamaa halina akili jaman wandishi mbna mnakaz kwer kukaa kulihoji hilo chiz Eti yusuph kampa million 100 haha hahaha wacha nipite tyuu
Makubwaaa hayoooo yaani kumsaport koteee kuleeee Leo anarudia utumboo ule ule xaxa nampa onyoo waachanee tena aweke public ataona cha mtema kuniiii nyooooo mfyuuuuuuu
Kuna watu wanafiki dunia hiii
Minduku yenu wote nyie kuanzia huyo Ebi adi hiyo mibaba
Mnafiki Sana We Mkaka,Subiri Episode 2,Halafu Uje Utukane Mlela kwa Tamaa ya Millions.
Wasanii_waongo_mnooooo
Mlela kamiss kula bure, mavaz, na kuchuna
Uyo kitenge muongo sana fyuuu ana lolote kuwadi mkubwa
Bongo siami
Loooo
uongo mtupu wabongo kwa kiki duh
Hata wewe kaka apelekwe kwa ospitali ya vichaa jamani
Mhh mlela mwenyewe anataka za abitoki 😀😀
Kitenge una akili nying had aibu
Ebi akapimwe hakili jamani sio bure uwiiiiiiiiiiiii
Jmn. Maisha haya ni balaa eb mungu anakuona
Huna akili ww
We unazo
Hahahahahaha
Niukwel wote wawili
@@nzeyimanamwavita1904 🤣🤣🤣
Kaka mtangazaji uko smart
Ebutoki maraya 2020
Duuh ebitoke ukapimwe mavi c mzm ww mxiiu
Eti still bado we kaka unakwama wapi
Jamani mapenzi ayaingiliwi tujue hiro kama wamerudiana nivyema nawe eb punguza kuropokwa hasira hasara
Ebi ovyoooo
Pole sana CIMCO
Njoon mnioji mimi
Mlela unatuzingua aki
Yule.kijana.anaesuka.mabutu.yukowapi.ndo.kapigwa.chini
🤣🤣🤣
Ebitoke umetuangusha mama kwaujasiri nakujituma kwako ckutegemea ila ndo hivyo
Bakuleke
megi yakojiyano
Duuh ebi jaman
Uko rofa sana
Hahahahhahahaaaaaaa Mlela huyu ambae apelekwa Lunch Na Ebi na vibukta kununuliwa.
Ngoja akipitie kidhungu kwa mala ya pili😆😆😆😅😅😅👌👌👌👌
Nani ameona mlela anataka tu pesa ya Ebi gonga like
Alizimia mara ngapi?
Mara 6
Jamani binadam kwani kugombana ndohuwezi rudiana nampenzi wako hao niwapenzi coz mwanaume nimtu zaifu sana naunafikia kipindi unaishi nae bahati mbaya au nzuri unakuja kumfumania live kabisa ana duu inakuuma sana naunaondoka lakini anakaa nakujuwa samani yako anakuja kuomba msamah mrudiane naunamsamehe. Sinibinadam tunamazaifu ko msipende kutoa notis mbaya hayo nimapenzi yao
Lol yani muesabu 1million manayake ni laki 1 umeona .
Nani ameskia "Mlela has changeged" 😂😂😂
WEWE KITENGE NA EBITOKE MNA STAHILI KUPIGWA FIMBO NYINGI SANA JU MNA CHEZEYA HAKILI ZAWATU
😂😂😂
😂😂😂😂 TZ TZ TZ 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 has a lot going on damm