EBITOKE APEWA MILIONI 100 NA YUSUPH MLELA "ALIZIMIA MARA 6" KAKA YAKE AFUNGUKA CHANZO CHA KURUDIANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • #Ebitoke #YusuphMlela #Kakawaebitoke
    Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
    FOLLOW US
    Follow on Instagram: / mwendokasitv
    Follow on Facebook: / mwendokasimedia

Комментарии • 129

  • @rukiasalim2512
    @rukiasalim2512 4 года назад +27

    Aliye sikia Mlela anaweza akamsababishia ebi corona tujuane😃😃😃😃

  • @Sppah697
    @Sppah697 4 года назад +7

    Ebutoke Miss Tanzania 2020!

  • @hosianagodfrey8974
    @hosianagodfrey8974 4 года назад +16

    Kama umesikia neno "i zink" badal ya i think😄😄gong like

  • @irenekatumwa5963
    @irenekatumwa5963 4 года назад +8

    Jaman ebi sio wa kwanza kurudiana na mpenzi wake ata nyie mnaokoment nadhani mlisha achana na wapenzi wenu afu mkarudiana

  • @janepherjamson4166
    @janepherjamson4166 4 года назад +7

    Duu Ebi umeamua kutoa million 100 kumpa mlela wee nomaa siajabu hata kwenu hujajenga Ila unajua kuonga Mlela hawezi hata siku 1kukupa million 100 we kweli choko.

  • @morineinziani1080
    @morineinziani1080 4 года назад +1

    Kama mlela alikuwa analishwa na ebi.leo hii ametowa wapi pesa..hiyo ni makangari ameletewa sio pesa bt ebi ukiacha simko utakufa ukimwi ebu heshimu mwili wako

  • @timaosthman2304
    @timaosthman2304 4 года назад +17

    Hiyo pesa itakuwa ebitoki diyo kampa milela

  • @ashameyomar2321
    @ashameyomar2321 4 года назад +9

    Milioni 100 Kwani ni za bandia? Anunue gari basi, uongo tu...

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 4 года назад +1

    Mmh! Ila nyie watu!

  • @Sppah697
    @Sppah697 4 года назад +11

    Sasa ile mimba ya Ebitoke ilienda wapi?

  • @geofreymsengi9971
    @geofreymsengi9971 4 года назад +4

    Mmeanza million 100 na umbea wenu

  • @latahilehsein3749
    @latahilehsein3749 4 года назад +4

    Haaa kweli wenye akili wamepelekwa mental, wasokuwa na akili wako uraiyani

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 4 года назад +9

    Uongo mtupu mlela atoe milioni moja njaa tupu Leo huyo mlela aumwe basi misaaada mnataka kwa wasamaria wema

    • @joycenyakiha8121
      @joycenyakiha8121 4 года назад

      Umeona labda alitoa laki moja

    • @aminaomary908
      @aminaomary908 4 года назад

      Makubwa anaoa au zawad hiyo milion mia😂😂😂

  • @mishiomarabdhallahassan6106
    @mishiomarabdhallahassan6106 4 года назад

    Kati ya wale wanafki huyu kitenge ni moja wao. sasa watangaza mimba ya dadako ww ndio mwenye kumuonea period zake. yakiharibika watukana watu tena watia na kupiga magoti haswaa

  • @fisjaykitamuliko1183
    @fisjaykitamuliko1183 4 года назад +10

    Kama unaamini aka ka Kaka nikaongo tena ka shamba naomba liké

  • @johndieme6402
    @johndieme6402 4 года назад +1

    Mulera hanapesa ebitoke jo ana pesa USi daganye hakuna wanaume wa Bogo wakupa mwanamuke amani

  • @abuhassan9552
    @abuhassan9552 4 года назад

    Wewe wacha urongo kama uko na ilimu ungefuata Dadako matakoni nakumgawadia waume hata wivu huna mjinga wewe

  • @dorislema1814
    @dorislema1814 4 года назад

    nyie mna mambo ya ajabu sana nilikua nishamchukia mlela kwa tabia yake cjui ntafanyaje nimpende tena

  • @princess-uf5ux
    @princess-uf5ux 4 года назад +13

    😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏Ebitoke Hana akili jamani

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 4 года назад +1

      Haha hata mimi nilitaka kusema labda Ebi ndo kampa mlela bado hajakoma tu bado afauzi pesa, za umis sasa mlela mimi nilikuwa Utani alitania kumwambia umempa million Mia dada, yangu hila jaman Sasa hivi mlela yupo tayali kufanya lolote atakaloambiwa kutokana yeye si ndo kabembeleza kuludi japo Ebi bado anamtaka akijushauwa tu kusema akisema waludiane hayo kubali nikasemaga ni uongo tu atamkudia na kwel

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 4 года назад +1

      Do mkaka wa watu simco jaman analia anamsaliti mwenziwe hivi hivi

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 4 года назад +1

      Uyu kaka mtu anapata sana pesa kwaajil ya Ebi na ndo mana anashadadia hadi mtangazaji alisema

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 4 года назад

      Si Kam bibi alimpaga ant yangu wa mwisho nyumba wengine walioasilika.

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 4 года назад

      Ya kinyongo ni sumu sio kuzur

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 4 года назад +4

    Du, kweli tv, zimeingiliwa na uchizi. Hawa ndio wanaotufanya mbuzi wa Xmass.

  • @dorislema1814
    @dorislema1814 4 года назад

    au ilikua kiki jaman kuna kiki zipo serious ivo kweli ad kupelekana basata,me cjui

  • @vero57
    @vero57 4 года назад +3

    HAKUNA MTU MBAYA,MWACHENI EBITOKE WETU

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 4 года назад +5

    Ndio maana unashuriwa ukiwa na hasira usiropokeropoke ovyo kama ulivyokuwa unaropoka ropoka kipindi wamekorofishana Ebitoke na Mlela leo hii unasema hata kama mtu akikukata atatoka Mlela ni jinsi gani unavyompenda duuu hii nayo ni Kali kwa kweli.Leo hii umesahau matusi yote uliyomtukana Mlela.

  • @miriamlaurean2226
    @miriamlaurean2226 4 года назад +2

    Kama kuna mtu kasikia neno beree gonga like👇

  • @qaltumsaid3095
    @qaltumsaid3095 4 года назад +2

    Tunasubir next episode 😂😂😂

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 4 года назад +2

    Mmmmhu hapo tumedanganywa kabisa.Kipindi kile walipogombana Mlela na Ebitoke siri zilivuja hivyo mara ooooh nilikuwa namnunulia boksa mara ooooh na chakula tulichokuwa tunakula nilikuwa namnunulia Mimi na amechukua pesa zangu nyingi sana leo hii Mlela akupe milioni 100? Hapo ninakataa .Ebitoke yaani wewe binti haujielewi kabisa kipindi kile uliongea maneno mengi sana mara Mlela amenipa mimba amenitelekeza leo hii imekaaje?Mpaka huyo kitenge amekwenda kupigana na mlela kwa ajili yako mmmmhu yetu macho kutazama kinachoendelea.

  • @Mohabmts
    @Mohabmts 4 года назад +1

    Wakifunga ndoa ndipo nitaamini wamejifunza kupitia makosa la sivyo,sijui tawaweka upande gani

  • @mwanapilisalim3568
    @mwanapilisalim3568 4 года назад +1

    huo ndio ushenzi sasa juzi mwavuana mawigi leo hii mumerudiana shwaini nyie😈😈

  • @lucyrenatus171
    @lucyrenatus171 4 года назад +1

    Jaman jamn mapnz mnayafaham mapenz ebu yaachan hayo hata kam wameludiana waachen mapenz yananguvu san

  • @timaosthman2304
    @timaosthman2304 4 года назад +2

    Kila mtu yuwajuwa milela yuwahonga pesa na wanawake

  • @tumatuma6478
    @tumatuma6478 4 года назад +2

    mlela amewatukana kistaarabu kwa mlivo mdhalilisha

  • @magretnyadzua2281
    @magretnyadzua2281 4 года назад +2

    Wacha uongo wewe kaka unakaa nguonguo na dadayako ghaiii

  • @fidesbenard2836
    @fidesbenard2836 4 года назад +3

    😂😂😂😂🤣🤣I

  • @elmeldahmakori4076
    @elmeldahmakori4076 4 года назад

    Waaah hta nimeshindwa nicomment nn

  • @getrudecharles6212
    @getrudecharles6212 4 года назад

    Aiseee muigizaji ni muigizaji tu

  • @bolingomwana5963
    @bolingomwana5963 4 года назад +1

    Ivi simco ni basi tena

  • @amidanzogusabirembo9249
    @amidanzogusabirembo9249 4 года назад +1

    Uongo mtupu ivi ebitoke unaakili kweli huwa unasahawu mbio kweli

  • @nasranahimana2481
    @nasranahimana2481 4 года назад +2

    Ebitok mshamb tu jaman asiwashangaze

  • @ndayisengafrorence3991
    @ndayisengafrorence3991 4 года назад

    😆😆😆😆😆ati nimeongea kingereza ukumbuke watu awajuw kizungu 😆😆😆😆 uyu Kaka chizi kabisaaa masikini Ebitoke amuna kitu kabisaaa Mulela umukamuwe kabisaa mpaka kakome

  • @morineinziani1080
    @morineinziani1080 4 года назад

    Lakini huyu mkaka ako na akili ya umama..coz jenye ebi ana fanya yeye anafuata tu kama ng'ombe inayo frutwa na kamba

  • @mamayaoharistar4599
    @mamayaoharistar4599 4 года назад

    Mulela alizimia mara ngapi bro? Sasa mimba ipo ama vipi?Wewe kaka usimpoteze dadako baadaye muanze kulia tena eti wakikukata wewe ni nani damu?🙌🙌🙌🙌🙌

  • @mabeekeniya9710
    @mabeekeniya9710 4 года назад

    Langu jicho tuu

  • @frederickkimweri1899
    @frederickkimweri1899 4 года назад +4

    Kuliko kuweka comments za kumponda au kumtukana mtu ni bora ukae kimya waungwana

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga8060 4 года назад +2

    ninyi msituletee comedy apa najua pesa azinukii kama pilau lakn million 100 kwa usawa huu wa mzee magu ?ngoja me niendelee kusoma comments

  • @nurustephan7873
    @nurustephan7873 4 года назад

    Hahhaa I love u stupid kitenge ,walioskia kutoa damu unamwna mlele tujuane .

  • @gracedelence9163
    @gracedelence9163 4 года назад +1

    Aisha njo uku

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho 4 года назад +1

    Sadiki ukipenda🔫tunasubiriya new story after 2months😂

    • @chachabeauty9780
      @chachabeauty9780 4 года назад

      Hahahah

    • @arasaummy7141
      @arasaummy7141 4 года назад

      Kwa kweli hii ni sadiki ukipenda...
      Kusadikika n nchi iliomilikiwa na ebi mlela, beyonce wa buza, siste fey, umbertutty, baby queen wa dula makabila... kuna yule wanamwita rucky baby ambae amepotea n.k

  • @nourumouniry7120
    @nourumouniry7120 4 года назад

    Hilo jamaa halina akili jaman wandishi mbna mnakaz kwer kukaa kulihoji hilo chiz Eti yusuph kampa million 100 haha hahaha wacha nipite tyuu

  • @rehemasiwakwi6687
    @rehemasiwakwi6687 4 года назад

    Makubwaaa hayoooo yaani kumsaport koteee kuleeee Leo anarudia utumboo ule ule xaxa nampa onyoo waachanee tena aweke public ataona cha mtema kuniiii nyooooo mfyuuuuuuu

  • @tahiyalukio7036
    @tahiyalukio7036 4 года назад +1

    Kuna watu wanafiki dunia hiii

  • @eneolatukio8493
    @eneolatukio8493 4 года назад

    Minduku yenu wote nyie kuanzia huyo Ebi adi hiyo mibaba

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 года назад +3

    Mnafiki Sana We Mkaka,Subiri Episode 2,Halafu Uje Utukane Mlela kwa Tamaa ya Millions.

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 4 года назад +1

    Wasanii_waongo_mnooooo

  • @mjukuumaiige8559
    @mjukuumaiige8559 4 года назад

    Mlela kamiss kula bure, mavaz, na kuchuna

  • @superwomankulwa620
    @superwomankulwa620 4 года назад

    Uyo kitenge muongo sana fyuuu ana lolote kuwadi mkubwa

  • @rahmaali4009
    @rahmaali4009 4 года назад +1

    Bongo siami

  • @asinatikarim5401
    @asinatikarim5401 4 года назад +1

    Loooo

  • @patrishadickson3365
    @patrishadickson3365 4 года назад

    uongo mtupu wabongo kwa kiki duh

  • @callgodbaraka9904
    @callgodbaraka9904 4 года назад

    Hata wewe kaka apelekwe kwa ospitali ya vichaa jamani

  • @fatimamowa8166
    @fatimamowa8166 4 года назад

    Mhh mlela mwenyewe anataka za abitoki 😀😀

  • @nurustephan7873
    @nurustephan7873 4 года назад

    Kitenge una akili nying had aibu

  • @callgodbaraka9904
    @callgodbaraka9904 4 года назад

    Ebi akapimwe hakili jamani sio bure uwiiiiiiiiiiiii

  • @prettyney3812
    @prettyney3812 4 года назад

    Jmn. Maisha haya ni balaa eb mungu anakuona

  • @kilalomaerlymauya6632
    @kilalomaerlymauya6632 4 года назад +3

    Huna akili ww

  • @catherinedavidy9017
    @catherinedavidy9017 4 года назад

    Kaka mtangazaji uko smart

  • @alihakizimana7206
    @alihakizimana7206 4 года назад

    Ebutoki maraya 2020

  • @dechaggagirl1614
    @dechaggagirl1614 4 года назад

    Duuh ebitoke ukapimwe mavi c mzm ww mxiiu

  • @sabinacostantine3856
    @sabinacostantine3856 4 года назад

    Eti still bado we kaka unakwama wapi

  • @merrylucas3643
    @merrylucas3643 4 года назад

    Jamani mapenzi ayaingiliwi tujue hiro kama wamerudiana nivyema nawe eb punguza kuropokwa hasira hasara

  • @chantalgakima2276
    @chantalgakima2276 4 года назад

    Pole sana CIMCO

  • @herriethkwegiar8582
    @herriethkwegiar8582 4 года назад

    Njoon mnioji mimi

  • @bolingomwana5963
    @bolingomwana5963 4 года назад

    Mlela unatuzingua aki

  • @kuluthumkaguna9174
    @kuluthumkaguna9174 4 года назад

    Yule.kijana.anaesuka.mabutu.yukowapi.ndo.kapigwa.chini

  • @chainbre275
    @chainbre275 4 года назад

    Ebitoke umetuangusha mama kwaujasiri nakujituma kwako ckutegemea ila ndo hivyo

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 4 года назад

    megi yakojiyano

  • @mathayogodfrey3524
    @mathayogodfrey3524 4 года назад

    Duuh ebi jaman

  • @sandreenabdul9955
    @sandreenabdul9955 4 года назад

    Uko rofa sana

  • @MA-kh2lr
    @MA-kh2lr 4 года назад

    Hahahahhahahaaaaaaa Mlela huyu ambae apelekwa Lunch Na Ebi na vibukta kununuliwa.

  • @khneesajumaa2052
    @khneesajumaa2052 4 года назад +1

    Ngoja akipitie kidhungu kwa mala ya pili😆😆😆😅😅😅👌👌👌👌

  • @safiunamugen2523
    @safiunamugen2523 4 года назад

    Nani ameona mlela anataka tu pesa ya Ebi gonga like

  • @mamugonas607
    @mamugonas607 4 года назад

    Alizimia mara ngapi?

  • @jacklinijohn3953
    @jacklinijohn3953 4 года назад

    Jamani binadam kwani kugombana ndohuwezi rudiana nampenzi wako hao niwapenzi coz mwanaume nimtu zaifu sana naunafikia kipindi unaishi nae bahati mbaya au nzuri unakuja kumfumania live kabisa ana duu inakuuma sana naunaondoka lakini anakaa nakujuwa samani yako anakuja kuomba msamah mrudiane naunamsamehe. Sinibinadam tunamazaifu ko msipende kutoa notis mbaya hayo nimapenzi yao

  • @lgdnce3052
    @lgdnce3052 4 года назад

    Lol yani muesabu 1million manayake ni laki 1 umeona .

  • @katewinniewandoe2863
    @katewinniewandoe2863 4 года назад

    Nani ameskia "Mlela has changeged" 😂😂😂

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 4 года назад

    WEWE KITENGE NA EBITOKE MNA STAHILI KUPIGWA FIMBO NYINGI SANA JU MNA CHEZEYA HAKILI ZAWATU

  • @bernadettemahungu7120
    @bernadettemahungu7120 4 года назад

    😂😂😂😂 TZ TZ TZ 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 has a lot going on damm