Safi sana bro Ali kitu hicho ulichofanya unaeza kiona kama kidogo ila siyo kidogo kabisaaa ni jambo kubwa sana kumkumbuka mwenzio mwenye uhitaji hasa kwa kuilinda afya yake(madawa)! Mungu akutangulie na aendeleee kukubariki ww ni mfano wa kuigwa #KingKiba #givingBackToSociety #Inspirational
M,mungu akuzidishie rizki Mara dufu na akupe umri mrefu Ali kiba wanadai umeiga achana nao ww wafanya kwa uwezo wako waache hao wenye kutafuta sifa ww wajiwekea akhera yako ya kesho inshaallah
Daaah mwenyezi Mungu akuzindishiye na akulinde maana niwa chache sana wanao tabuwa umuimu wa watu waliyo kufanya usimame sehemu uliyo itamani kwenye maisha my God bless you many years
Maa sha Allah alikiba angekua na meneja huyu tangu muda angekua bali sana kimziki kwakweli anajielewa......HAYA MNAOSEMA ALIKIBA MTU WA KIGOMA LEO MMESIKIA ETIEE ALIKIBA MUHEHE😀😀 NDIO MAANA WIMBO WA KIGOMA ALIKATAA KUSHILIKI
Nilishawah kumsikia ht mond akisem ss binadam Ali kaka angu tumetok mkoa moj kigom kumbe iringa kiba ban hat hasem watu wot hiv karibun ndo tumejua km si mkigoma
inafurahisha sana siku hizi eti wana sanaa wanajihusisha na jamii[nice to see] ila ni kama mashindano fulani..huyu kafanya nami lazima nifanye..many of the artists ,it is fake...[maziwa] trust me, utaona tofauti kati ile genuine na fake...in any ways, well done,but be REAL
@@m.mmarckus6298 hiyo sio point,point ni genuinity yake..kumbuka wengi wanaotoa hiyo michango,maziwa maji, madawa ni SPONSORS[ sio msanii kama msanii],ni wasanii wachache saana wanatoa ela yao wenyewe au by fund raising..nyingine ni ka vile wanapromote their gigs.. It is like a trend.
Ali kiba ww n mtu wa watu bro,endelea kua na moyo huo na ata mm nkija kua na uwezo wa kimaisha kama wako ntatoa misaada kwa watu wote wenye hali duni na ntatoa nchi nzma
Safi sana bro Ali kitu hicho ulichofanya unaeza kiona kama kidogo ila siyo kidogo kabisaaa ni jambo kubwa sana kumkumbuka mwenzio mwenye uhitaji hasa kwa kuilinda afya yake(madawa)! Mungu akutangulie na aendeleee kukubariki ww ni mfano wa kuigwa #KingKiba #givingBackToSociety #Inspirational
M,mungu akuzidishie rizki Mara dufu na akupe umri mrefu Ali kiba wanadai umeiga achana nao ww wafanya kwa uwezo wako waache hao wenye kutafuta sifa ww wajiwekea akhera yako ya kesho inshaallah
Ma shaa Allah mtu mwenye heshima zake Allah akuvushe kwa kila hatuwa na kila unacho kitowa Allah akuzidishie
Kiukweli mm ni team wcb hila Kings mnafanya vitu muhim kwenye jamii safi sana
Hakika jambo jema ni furaha kwa uma
Allah akuekee king 👑 Kiba kwa kufundisha watanzania madili mema na usiachie kamba wee mkalii
Daaah mwenyezi Mungu akuzindishiye na akulinde maana niwa chache sana wanao tabuwa umuimu wa watu waliyo kufanya usimame sehemu uliyo itamani kwenye maisha my God bless you many years
Allah akujaalie uishi miaka mingi ili jamii iendelee kunufaika kwa uwepo wako Allah akubaliki na akulinde king kiba IN-SHA-ALLAH
Yaa Allah mpe kila lenye na kheri na umzidishie moyo wa kutuhurumia ndugu zake kwa kila ajaliwacho kutupa
Ameen Ameen Ameen
Amin
Allahumma amiin
Mungu akupe maisha marefu kwa hiki unacho kifanya
Mashaallah Ali mungu akupe moyo huo huo pia akupe maisha marefu
Ameen Ameen Ameen
Safi sana KING KIBA
Najisikia vzr huwa nakupenda kumbe pia ni mnyaru mwezangu
King kiba yanii upo juuuu kiba endelea hivyo hivyo king
Safi sana king mungu akuzidishie🤲
Maa sha Allah alikiba angekua na meneja huyu tangu muda angekua bali sana kimziki kwakweli anajielewa......HAYA MNAOSEMA ALIKIBA MTU WA KIGOMA LEO MMESIKIA ETIEE ALIKIBA MUHEHE😀😀 NDIO MAANA WIMBO WA KIGOMA ALIKATAA KUSHILIKI
Ebhana, Sasa mbn alkuwa haongei Basi sisi 2mebaki na wengne
Nilishawah kumsikia ht mond akisem ss binadam Ali kaka angu tumetok mkoa moj kigom kumbe iringa kiba ban hat hasem watu wot hiv karibun ndo tumejua km si mkigoma
Ila roho imeniuma kweli kweli,, hata hamu kwa Leo ndo imeisha... Sasa kwahyo Abudulkiba naye vp mbn kgm all Stars alkuwepo au ndo wanatuigzia
@@kingdazzostarboy1431 labda walikuwa hawajajua au sababu ya mama
Ila kweli labda mama ngja nfatlie mn kgm tmepoteza tayar
👑 Kiba mwenyewe huyo kipenzi cha watu 👑 👑 👑 👑
Yeee baba tunakusubiri ruvuma king kiba unstoppable
Hongera kiba
Kila hatua dua allah akufungulie milang ya rizik
Kibebe hooooyeeeeeeeee!!
Alikiba 🚩 ya tanzania toka kitambo mkamuurizie r kely
Uko sawa
Alikiba 🇹🇿
Mungu ukulinde king wetu uzidi kufanikiwa nakusadia jamii ishara
Hujionyeshi ila unatoa kwa ajili ya waja sio kwa ajili ya binaadamu wajua binaadamu hata ufanyeje halionekani ila kwa m,mungu utalikuta inshaallah
MashaAllah tabarakaAllah Allah akuzidishie pale palipo pungua kiba
King kibaaaaa
king kiba👑👏👏👍
Kipenzi cha watu Ali Kibaaaa
King kiba umeongea point
Unforgettable
Ongera Sana king Mungu akupe maisha marefu
Alikiba baba mhehe mama muha
Nakukubali kiba ukipata usisahau uliko toka
Good boy 👑 kiba
Hogera kingkiba
ALLAH akujalie kiba
Penda saan teamu kiba hakika mwaka huu umefany mambo makubwa Allah akujalie kher katik makaz yako na uwe na moy huo huo ulonao alikib gong lik
Ally endelee kua na moyo huo mungu yupo pamoja nawe kidogo unachotoa mungu atakuongezea zaid Inshaallah
Hongeren sana Yee babaaaa
Nimependa sana kwa hiki Alikiba
King kiba sifa zote zishatoka pamoja sana mungu yupo pamoja nasi sote duniani
King kiba
Mungu akizidishie kiba
Safi sana King Kiba
King kiba 4getable king of music tanzania
King
Nice
Nic
MayGod be with you brother kibaaaa
Ongera sana King kiba
Cute
Keep it up king kiba
Mashallah Ali May Allah bless you
King muhimu sana kuregesha mkono
Good sana
Safi
Iringa itajengwa na wana Iringa Safi kasesera
Mungu akupe unachostail king
Namkubali kiba
Wonderful
Wanyalukolo msijifiche rudini kuijenga Iringa jamani
Mungu mlinde king wetuu
Iko poa sana king
Nice work King
Unanielewaaaa hahaha huyo ndio Ali
Kiba MWENYEZI AKUJALIE KILA JAMBIM
👏👏👏❤❤❤
King; 🎤🎺🎸📀🎧
Big up broo
Safiiii
Kam usikia king kiba oyeeeee kutok kwa mkuu wa wilay
Saf Sana kiba
Saaan kiba
Inamana kiba ni mhehe na sio mha from kigoma kama watu wengi wanavojua,na ilikuaje akahusika kwenye kigoma all star
Mama ake mhehe yy muha
Mama mzazi wa kigoma
@@mariammussa2540 sio mama ake baba ake mtu wa iringa mama kigoma
@@@khadijakhadija6212kumbe bas sawa hata hivyo hakijaharibika kitu ndio maana mstaarabu wahehevoyeee😊😊😊😊
Ww ulimuona kahusika
👑
♥️♥️♥️💫
Kiba sf
🇹🇿👑
Hongera sana kaka
King....
yangaleo
Yebabaaaaa wataelewa tu.......
❤️❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥
👑 🔥
Nee'ma warehma
Huyu Mkuu wa mkoa kafanana kabisa na Kenyatta
inafurahisha sana siku hizi eti wana sanaa wanajihusisha na jamii[nice to see] ila ni kama mashindano fulani..huyu kafanya nami lazima nifanye..many of the artists ,it is fake...[maziwa] trust me, utaona tofauti kati ile genuine na fake...in any ways, well done,but be REAL
Wasiposaidia mnasema duuuu
Nothing new you can done satisfying everyone.........
Fanya bas na ww au kwakuwa Aliy kafanay, ila angekuwa mond sifa kibao htar sana nyie binadam
@@m.mmarckus6298 hiyo sio point,point ni genuinity yake..kumbuka wengi wanaotoa hiyo michango,maziwa maji, madawa ni SPONSORS[ sio msanii kama msanii],ni wasanii wachache saana wanatoa ela yao wenyewe au by fund raising..nyingine ni ka vile wanapromote their gigs.. It is like a trend.
@@shimmymayeye3282 nature of a human being,we gotta live n breath it!
Umenielewa
Kibaa
Kila la heri Kiba
Nani kasikia "arlikiba" & "arlipo"
Ali kiba ww n mtu wa watu bro,endelea kua na moyo huo na ata mm nkija kua na uwezo wa kimaisha kama wako ntatoa misaada kwa watu wote wenye hali duni na ntatoa nchi nzma
Mnafanya kitu kizuri sana kufikia jamii
Kamwene
Meneja uko poa sana
tafuta nymbo ya kigoma all stars inaitwa nyumban
alikb ni mtu wakigoma nyinyi ila babu yake mtu wa iringa muulize alizaliwa wap
ww mtoto hufata kwabb
Mamake ndio wkigoma bba nimuhhe kigoma bbake alikuwa mfnykxi wleli kigoma
Pole pole hata bodyguard atatembea nao tu sababu haya nayo hakuwa nayo ila kajikuta tu anaiga pasipo kujua@ ali.
Anamuamini mungu hataki ulizi wa binadamu mwenzake mungu pekee ndo anae mlinda
Benny Mpatanishi we inaonekan hujielew kam team fulan.....umeig had comment bla xhaka haahaaa
@@AdAhmed-cy7ii umeongea point sana
@@AdAhmed-cy7ii kwani ht Huyo bodigady anamtegemea mungu
Anaiga kwa nani mfyuu
King kibaaaaaa
King kiba
Nice