MAFINGA NOMA MAMA KAMUULIZA RC HAPI 'ÚNAITWA NANI''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 345

  • @ibrahimmzee535
    @ibrahimmzee535 4 года назад +4

    Huyu dada ana matatizo kidgo ya akili very famours pale mafinga bt she charming funny and humble #mkuu WA mkoa nakup pongez zako mungu akusimamie

  • @arafazakir1763
    @arafazakir1763 5 лет назад +40

    Tujuane bas tulocheka kwa sauti kubwa😂😂😂😂dada katisha

  • @carolinemulinge1586
    @carolinemulinge1586 5 лет назад +2

    I love u Hapi u r amazing God bless u much. Am not from Tanzania but u sir. Ur deeds speaks loud. Keep it up sir.

  • @richardburengengwa6998
    @richardburengengwa6998 Год назад

    Mungu akupe maisha marefu mweshimiwa na siku moja uwe rais ili uteteye wanyonge na uendeleye mawazo ya GPM the light of Africa magufuli.

  • @ndahuraamoti4079
    @ndahuraamoti4079 4 года назад +1

    Happy ndugu yangu kusema kweli unafanya kazi kubwa sana,tazama mfano hai hadi ndugu yetu mwenye mapungufu lakini ametambua kazi yako,mungu akubariki,sisi huku DRC tunafanya mandalizi ya kukualika

  • @queenhusna204
    @queenhusna204 4 года назад +2

    Yani uyu muheshimiwa anapendwa adi na Wagonjwa mashallah ni bishara njemaa

  • @msafirlaizer2368
    @msafirlaizer2368 5 лет назад +10

    Mungu akusahidie sanaa Dada. Hakika anaonekana kama ana akl vizur hla n majaribu kwelh atakua anapiatia tena meng sanaa. Mungu akutie nguvu

  • @chrispinjohn144
    @chrispinjohn144 5 лет назад +8

    Asante saana mtu wa watu unaesikiliza kila mtu. Mungu akubariki Iringa illilala sio siri

  • @dickisoniryoba3989
    @dickisoniryoba3989 5 лет назад +17

    Noma kweli uyo dada kanifurahisha sana😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏

    • @stellalagwelagwe5539
      @stellalagwelagwe5539 4 года назад

      Yaani leo nimefurahi sana mkuu wa mkoa unajua kuishi na watu umemsikiliza dada hata kama hana akili nzuri hujambagua ni viongozi wachache sana wenye moyo huo mungu azidi kukubariki siku zote za maisha yako

  • @oscarmbedule2826
    @oscarmbedule2826 5 лет назад +5

    Hapi ww ndio kama sio rais mbasi utakuja kuwa waziri mzuri sana nakupenda nakubali bro big up my brother uwo ndio utabiri wangu asante

  • @sportsentertainmentvideo6633
    @sportsentertainmentvideo6633 5 лет назад +1

    Asante sana, mungu akusimamie na akuongoze mh Ally Happy. Hakika wewe ni mfano wa kuigwa na viongozi wote hasa hawa vijana. Maa sha Allah. Mmempa furaha dada yetu na amani ya moyo wake Hakika Umefanya kubwa kumthamini na kumpa fursa ya kufanya alilotaka kufanya kwa ajili yako. Kafurahi (ame Happy) kama jina lako. Allah akuhifadhie ujira wa wema wako .....

  • @bintkirunga4274
    @bintkirunga4274 5 лет назад +4

    Asante muheshimiwa kwa kumpq furaha na yy nimefarijika sana ubarikiwe

  • @charlzlyimo1982
    @charlzlyimo1982 5 лет назад +6

    huyo dada amemtangaza Mungu aliye hai wakati sisi ambao ni wenye akili timamu tumeshindwaa

  • @mariamhadija7236
    @mariamhadija7236 5 лет назад +6

    Huyo ndy alikuwa mfunga mkutano😂😂😂👏👏

  • @jofreyndyalusa9515
    @jofreyndyalusa9515 5 лет назад +3

    Aksante mweshimiwa mkuu wa mkoa kwa upendo uliouonyesha kwa huyo dada Mungu akubariki

  • @allymliloh1760
    @allymliloh1760 5 лет назад +21

    😂😂😂😂😂mh msaidie huyo dada mfarijini tu hii ni serikali ya wanyonge

  • @romanambelle6356
    @romanambelle6356 5 лет назад +6

    Mungu anatisha atukuzwe milele. Hakuna aliyekumbuka kumpa sifa lkn kamwinua huyu dada wamwimbie. Amina

  • @twahashearer8302
    @twahashearer8302 5 лет назад +2

    Mkuu wa mkoa Hapi Mwenyezi Mungu akubariki sana

  • @donatharaymond1721
    @donatharaymond1721 5 лет назад +45

    Hapi, uliniumiza moyo wange sana, alie sikia neno hilo agonge like hapa

  • @victoriastephano4075
    @victoriastephano4075 4 года назад

    Nakupend San hap kwakusaidia watazania mungu Akubark sanaaa

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np 5 лет назад +6

    Mhesshimiwa, hiyo ni ishara nzuri, hata mitume walifuatwa na watu wa aina hiyo, wanaona ni mzaha lakini Mungu anaonyesha jinsi anavyokuamini kuwatumikia watu wa aina zote. Unaonyedha uelewa mkubwa wa mambo haya Barikiwa sana Mungu atakutumia sana kwa wanjonge wake

  • @wendelipwera7582
    @wendelipwera7582 5 лет назад +17

    Safi sana kaka Ally Hapi umeinyesha Upendo kwa kila MTU Mungu akubarikii 🙏

  • @tonywilliams8819
    @tonywilliams8819 5 лет назад +3

    Mheshimiwa Happy wewe ni mvumilivu na mnyenyekevu sana na mwenye busara na hekima nyingi,naona Mungu anakupeleka mahali siku zijazo uwe kiongozi mkubwa sana katika nchi yetu kama sio rais basi hata waziri mkuu wetu!!

  • @geoffreymwangi6627
    @geoffreymwangi6627 4 года назад +2

    Makofi kwa huyu Dada Mlemavu.Crap.....!!!!!Crap.....!!!! .Haya asante sana Mungu Kubaliki.

    • @ashuramhando5285
      @ashuramhando5285 2 года назад

      👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊

  • @mswadikubushumbilo7170
    @mswadikubushumbilo7170 5 лет назад

    Asante mkuu unafanya jambo jema watu wameteseka siku nyingi unavyowasaidia watu mungu atakuona inshallah,

  • @leilainnocent6532
    @leilainnocent6532 5 лет назад +5

    Huyu dada aliyeimba kachangamsha sana👏👏👏

  • @danielmadenyeka4248
    @danielmadenyeka4248 5 лет назад +5

    Haaaaaaaaaaaaaaa...... Happy umeuumiza moyo wa dada. Mungu mkubwa

  • @mcrootsav7712
    @mcrootsav7712 4 года назад

    Ila Mwenyenzi mungu anamakusudi makubwa sana juu yako na watu wa IRINGA...BLESSED MH.

  • @e.j.starelia5672
    @e.j.starelia5672 4 года назад +1

    Hapi God bless you....

  • @aishaaisha4082
    @aishaaisha4082 2 года назад

    So genuine. Iam touched

  • @najma3268
    @najma3268 5 лет назад +3

    Muheshimiwa mungu anakupenda , umepata baraka kwakweli

  • @zezezeze8408
    @zezezeze8408 5 лет назад

    oooh I'm soo happy wallah pale RCALI HAPI akiimba nae ...Mola awajaze furaha daima

  • @wanjalakelabu186
    @wanjalakelabu186 5 лет назад +1

    Safi sana mungu katembea na wew milele dada

  • @fredtchalewandeki1431
    @fredtchalewandeki1431 5 лет назад

    Naomba tukumbuke na tuwe na uelewa kwamba, hatuwezi kumkosea Mungu, tunajikosesha baraka za Mungu. Tuamke, Dada yetu amemsifu Mungu katika hali yake na watu wengi kuguswa na huduma yake. Great moments in life yaweza kuletwa na asiyetarajiwa, Mungu hana upendeleo.

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 5 лет назад +7

    Hapi umemuheshimu Huyu dada naye kakuimbia na kawimbo ka faraja

  • @hobokelamwakajuja4174
    @hobokelamwakajuja4174 5 лет назад +16

    Uongozi kazi jaman du!

  • @josephharri9015
    @josephharri9015 5 лет назад +19

    Mkuu wa mkoa Leo umegusa mioyo ya watu

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 4 года назад

    Safi sana RC Hapi hao ndio wananchi wako na hii ndio inavopendeza hata yeye amepata faraja hasa kwa vile unamuumiza moyo wake. Hongera sana .

  • @charlzlyimo1982
    @charlzlyimo1982 5 лет назад +4

    Mungu ni mwema huwatumia hata watu wasiotazamiwa kabisa

  • @evvajohn9209
    @evvajohn9209 5 лет назад +2

    mungu huweka kitu cha thamani kwa kile ambacho watu hudhani hakina maana na umuhimu ,ubarikiwe mh hapy.

    • @navongelysrlynsozsye8494
      @navongelysrlynsozsye8494 5 лет назад +1

      Kweli kabisa dada Eva
      Mungu ni wa ajabu sana..
      Mpaka nimetoa machozi mana huyu
      Dada amebeba kitu cha thamani sana kuliko wengine wote walio kuwako eneo hilo..#Kweli aliwanyima wenye hekima wa dunia hii akawapa wanyonge..walionekana hawana thamani kwenye macho ya wanadamu..mungu ambariki huko aliko.

  • @lugayilajohn6269
    @lugayilajohn6269 4 года назад

    100% mungu akubariki sana kiongozi one day utakuja kuongonza nchi nzima

  • @jamalijamali6450
    @jamalijamali6450 5 лет назад

    mm nimpinzani lkn RC hpa umenikuna Gud huchagui hubagui good leader Super

  • @eliazarinyakiema1969
    @eliazarinyakiema1969 5 лет назад +10

    Kazi kweli kweli, ivi ukisema usikilize kesi za dunia nzima si balaa

  • @newbornhaule1635
    @newbornhaule1635 5 лет назад +16

    Huyu Dada amefanya jambo kubwa sana na Mungu ambariki japo hapi umemwumiza moyo

    • @khalifaidrisa2488
      @khalifaidrisa2488 2 года назад

      Mimi nikiangaliaaga hii kweli mweshimiwa wewe ni kiongozi wa kuigwa da huyo mwanadada kajisikia vizuri Sana kwa kweli kajiona nae ni binadam kama wengine hongera Sana mweshimiwa

  • @attusanga8210
    @attusanga8210 5 лет назад

    Mungu akubariki Mh ally tunajivunia Kupata mtu Kama wewe Mungu akulinde daima

  • @clemencesekabigwa5895
    @clemencesekabigwa5895 5 лет назад

    Dah! Mwenyezi Mungu akufanyie wepes we we Ni mtetezi wa wanyonge

  • @janethbernard5340
    @janethbernard5340 5 лет назад +4

    safi sana viongozi mmemuelewa sana kuwa yy ni nani asanteni sana maana nimecheka kwa sauti asana na nipo kazini🤣🤣🤣

  • @esterbegina1022
    @esterbegina1022 5 лет назад +5

    Huyo niyesu amekuja kivingine kabisa ahsante mh hap hujaangalia idhaifu wake jamani watu waivi waitaji Upendo wetu

  • @fainnamvungi4364
    @fainnamvungi4364 5 лет назад +5

    😂😂😂Mimi nasema karibu nyumban kumbe unataka jero😂😂😂Tuiombee Amani Tz yetu

  • @fadhumoyusuf7092
    @fadhumoyusuf7092 4 года назад +1

    Ally kweli wewe ni kiongozi

  • @atamotivetv8104
    @atamotivetv8104 3 года назад

    Hapi ww ni kiongozi nzuri nakukubali sana yan nimekupenda naisi uyo dada ametuwakilisha na sisi😂😂😂😂

  • @alitesco4943
    @alitesco4943 4 года назад +1

    Maskini mitihani mungu ampe afya

  • @lucasmapunduone4616
    @lucasmapunduone4616 10 месяцев назад

    mungu ni mwema mkuu wa mkoa ap upo sawa

  • @saidbanga
    @saidbanga 5 лет назад +32

    500 Tu inamtosha hataki hata ela nyingi..!! Hana makuu... happy alimuumizaga sana.!! Ila awali ya yote kiongozi alijua kumpa furaha naye pia bila kumbagua...!!

  • @klystry1234
    @klystry1234 4 года назад

    😂😅😅😅😅😅😅this is funny she is so creative mmekuwa serious sana

  • @marcomartin5266
    @marcomartin5266 5 лет назад

    Huyu ni mtumishi w Yesu ameihubiri injili

  • @margarethsaramaki1100
    @margarethsaramaki1100 5 лет назад +5

    Mungu ni mwema mbarikiwe wote.asaidiwe huyu binti.

    • @asteriambwei95
      @asteriambwei95 5 лет назад

      Hapy umekutana na mtu amekupenda kazi kwako

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 2 года назад

    Happy. Umebarikiwa sana. Daaa

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 5 лет назад

    hongera rc una huruma na Mungu akufikishe mbali

  • @sekelahassan8490
    @sekelahassan8490 4 года назад

    yaan viongozi wanakazi jaman hapi baba mungu akuongezee miaka maana sio kwa moyo huo kaka angu yaan nataman nihamie iringa kwakweli maana nimekupenda bure kabisa mim

  • @kunambidingoka4796
    @kunambidingoka4796 5 лет назад

    Ni ajabu na kweli ujumbe mzuri umepitia kwa huyu dada mungu ambariki sana.kwa ni wote wiomfikia mkuu wa mkoa wanapiganiat matumbo yao .

  • @GAYOTV2023
    @GAYOTV2023 2 года назад

    Kumbe Ally hapi ni mwenye uvumilivu sana kuanzia kitambo sana hongera sana ahahahha safiii MUNGU alikuja hapooo kupitia huyo MTU

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 5 лет назад +7

    Umejua kunichekesha rehema mafinga et ww mm sura yangu nyororo 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @eliazarinyakiema1969
    @eliazarinyakiema1969 5 лет назад +5

    Nguvu ya JERO😂😂😂

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 5 лет назад +5

    😀Mungu huleta furaha sehem isiyotarajiwa ubarikiwe dada wa mia tano 😀😀👏

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np 5 лет назад +5

    Kaka hapi, wahimize Ustawi wa jamii kuwalea hawa ndugu zetu, huyo dada alitakiwa awe ndani ya nyumba ya malezi kwa muda wa usiku,tusiwaache bila uangalizi kwani watu wabaya watapata fursa. Iringa oyeeeee

  • @celestinbimenyimana5260
    @celestinbimenyimana5260 5 лет назад +1

    Hapi uko safi sana yani ungekua burundi kwetu pako kama tz tusingenyanyasika

  • @amanichomola6696
    @amanichomola6696 5 лет назад

    Kanifurahisha sana Mungu ambariki na anponye

  • @godfreysanga2405
    @godfreysanga2405 5 лет назад +14

    Kama umeguswa kama Mimi hadi nimetoa machozi like twende pamoja

  • @kaniogachief6151
    @kaniogachief6151 5 лет назад +2

    Huyo dada aliwabariki kazi yenu emeeeeen😂😂😂😂😊😂😂

  • @elinahdaudi8195
    @elinahdaudi8195 4 года назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣wewe unaitwa nani? Haki uliumiza moyo wangu ila nimempenda sana huyu Dada ni mtu wa Mungu jamani

  • @furahalunyungu936
    @furahalunyungu936 5 лет назад

    Mafinga hoyeeee!!!!! RC Mungu akutie nguvu!!!!!

  • @Itarusii
    @Itarusii 5 лет назад +1

    Sawa sawa karibuni nyumbani. 500 tu. Kazi kweli kweli. Na haya ni majaribu kweli kweli.

  • @tatukachingwe2290
    @tatukachingwe2290 5 лет назад +3

    Lkn nayy wala sio mchoyo kawakaribisha nyumbani kwaoooooo,,bc mkuu ukitoka uko pitia na uku ,,

  • @ombendaud5938
    @ombendaud5938 5 лет назад

    Mimi nilijua unawaonea hospitali ya Iringa kwa macho yng nimeshuhudia uzembe wa mama kukosa mtoto na mwingine akifokewa na medical attendant nikamzalisha Mimi.Mungu akusaidie kwa moyo huo.Naamini Magufuli hajakosea kuwachagua vijana ila nililipoti kwa muuguzi mkuu.Naomba mkuu wa mkoa usiache kuwasaidia watanzania wasijua haki zao

  • @mohachibu0017
    @mohachibu0017 5 лет назад +1

    Dah kweli mungu yupo

  • @annasangwa4989
    @annasangwa4989 5 лет назад +1

    Rc msaidie mwenzio kazimika

    • @huldanjiro7419
      @huldanjiro7419 5 лет назад

      kiongoz mashuur,ujua kuliongoza kund lake

  • @muinjiristimgimbe6678
    @muinjiristimgimbe6678 5 лет назад

    Naupenda sana mkoa wangu

  • @MariamSanga.
    @MariamSanga. 5 лет назад +1

    Utu nk kitendo cha kuheshimu na kuthamini kila kiumbe pasipo kujali itikadi za kidini,siasa wala rangi .... huu ni mfano mzuri wa utu maan hata yeye anastahili kusililizwa na anaweza tumika kufikisha ujumbe kwa jamii ....ht alichokifanya ni ujumbe madhubuti kabisa...

  • @tasianyamuremye6539
    @tasianyamuremye6539 5 лет назад +3

    Kiongozi mwema hurinda raia wake Axante HAPPY 😃

  • @lukemelyemwenga2910
    @lukemelyemwenga2910 5 лет назад +3

    nmekuwa nikifuatilia hiz ziara za mkuu wetu ila mafinga mmenishinda kwa kwel

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi6378 4 года назад

    Happy umenifurahisha sana

  • @kassimali1943
    @kassimali1943 5 лет назад +2

    Ongera kaka uchaguhi mtu

  • @dr.sarahbusongo
    @dr.sarahbusongo 5 лет назад +2

    Mungu awalinde watu wake woteee

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 3 года назад

    Stepu za kucheza tu mihoi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @janefrolakalinga5664
    @janefrolakalinga5664 3 года назад

    Jaman nimechek kwa nguvu dad katisha sn jaman du....!! Ila sio kosa lake ulanzi unachangia

  • @jacklinejosam3713
    @jacklinejosam3713 11 месяцев назад

    Happ umeniumiza moyo wanguu😂😂😂😂 dada amemzimikia mkuu

  • @neemasanga4536
    @neemasanga4536 4 года назад

    Hahhahahhaha Yesu Mwema, msipoihubiri injili, bwana atainua mawe yatahubiri, hakika Dada umenifurahisha sana, na umenifunza jambo.

  • @selemanimalema5309
    @selemanimalema5309 4 года назад

    Kweli ALIY hap wewe nimuumin Allah akupe wepes akupe rehma uendelee kuwa mskiv

  • @happykipeya8516
    @happykipeya8516 5 лет назад

    Amina 👏 mtumishi 😃😃😃

  • @robertmaginga6132
    @robertmaginga6132 5 лет назад +7

    Mimi binafsi najiuliza maswali yasiyo na majibu, kama mlemavu wa akili anamtukuza Mungu, sisi tuliiojaliwa akili timamu tunashindwa kumpa Mungu utukufu, kumbuka waliokuwepo wote kila mtu alikuwa na lake lakini mlemavu yule anasema anataka kutembea na Mungu milele, sisi je tunataka kutembea na nani milele?

  • @upendohalisi80
    @upendohalisi80 5 лет назад +5

    Da huyu wa 500 kaazi ipo happy unayo

  • @davidmkeya6326
    @davidmkeya6326 5 лет назад

    Hapi, Mungu pamoja nawe. Hii kutoka moyoni.

  • @agustinojoseph5077
    @agustinojoseph5077 5 лет назад

    Ali hapi ana kazi sana mungu akubariki

  • @alexalexsebahire5695
    @alexalexsebahire5695 5 лет назад +1

    Ahhhhhh 500tu

  • @msemwawalter837
    @msemwawalter837 5 лет назад +4

    RC uko vizr ajabu....
    Kwa huu ushirikishi wa mgonjwa wa akili......

  • @marthadachi6731
    @marthadachi6731 4 года назад

    Dada katika makofi yake dada yake✌✌👍👍👍👍😂😂😂😂😂😂😂😂🙏

  • @rebecajacob7250
    @rebecajacob7250 5 лет назад

    Mungu akusaidi Rc

  • @fatimamohammed2332
    @fatimamohammed2332 5 лет назад

    yani nakupendaga sana RC hapi jembe sana ww jembe sana hapi nakupendaga brooo

  • @jumamohamedi8388
    @jumamohamedi8388 5 лет назад

    Safii Sana kiongozi.. Daah hongeraa