Happy ndugu yangu kusema kweli unafanya kazi kubwa sana,tazama mfano hai hadi ndugu yetu mwenye mapungufu lakini ametambua kazi yako,mungu akubariki,sisi huku DRC tunafanya mandalizi ya kukualika
Yaani leo nimefurahi sana mkuu wa mkoa unajua kuishi na watu umemsikiliza dada hata kama hana akili nzuri hujambagua ni viongozi wachache sana wenye moyo huo mungu azidi kukubariki siku zote za maisha yako
Asante sana, mungu akusimamie na akuongoze mh Ally Happy. Hakika wewe ni mfano wa kuigwa na viongozi wote hasa hawa vijana. Maa sha Allah. Mmempa furaha dada yetu na amani ya moyo wake Hakika Umefanya kubwa kumthamini na kumpa fursa ya kufanya alilotaka kufanya kwa ajili yako. Kafurahi (ame Happy) kama jina lako. Allah akuhifadhie ujira wa wema wako .....
Mhesshimiwa, hiyo ni ishara nzuri, hata mitume walifuatwa na watu wa aina hiyo, wanaona ni mzaha lakini Mungu anaonyesha jinsi anavyokuamini kuwatumikia watu wa aina zote. Unaonyedha uelewa mkubwa wa mambo haya Barikiwa sana Mungu atakutumia sana kwa wanjonge wake
Mheshimiwa Happy wewe ni mvumilivu na mnyenyekevu sana na mwenye busara na hekima nyingi,naona Mungu anakupeleka mahali siku zijazo uwe kiongozi mkubwa sana katika nchi yetu kama sio rais basi hata waziri mkuu wetu!!
Naomba tukumbuke na tuwe na uelewa kwamba, hatuwezi kumkosea Mungu, tunajikosesha baraka za Mungu. Tuamke, Dada yetu amemsifu Mungu katika hali yake na watu wengi kuguswa na huduma yake. Great moments in life yaweza kuletwa na asiyetarajiwa, Mungu hana upendeleo.
Kweli kabisa dada Eva Mungu ni wa ajabu sana.. Mpaka nimetoa machozi mana huyu Dada amebeba kitu cha thamani sana kuliko wengine wote walio kuwako eneo hilo..#Kweli aliwanyima wenye hekima wa dunia hii akawapa wanyonge..walionekana hawana thamani kwenye macho ya wanadamu..mungu ambariki huko aliko.
Mimi nikiangaliaaga hii kweli mweshimiwa wewe ni kiongozi wa kuigwa da huyo mwanadada kajisikia vizuri Sana kwa kweli kajiona nae ni binadam kama wengine hongera Sana mweshimiwa
500 Tu inamtosha hataki hata ela nyingi..!! Hana makuu... happy alimuumizaga sana.!! Ila awali ya yote kiongozi alijua kumpa furaha naye pia bila kumbagua...!!
yaan viongozi wanakazi jaman hapi baba mungu akuongezee miaka maana sio kwa moyo huo kaka angu yaan nataman nihamie iringa kwakweli maana nimekupenda bure kabisa mim
Kaka hapi, wahimize Ustawi wa jamii kuwalea hawa ndugu zetu, huyo dada alitakiwa awe ndani ya nyumba ya malezi kwa muda wa usiku,tusiwaache bila uangalizi kwani watu wabaya watapata fursa. Iringa oyeeeee
Mimi nilijua unawaonea hospitali ya Iringa kwa macho yng nimeshuhudia uzembe wa mama kukosa mtoto na mwingine akifokewa na medical attendant nikamzalisha Mimi.Mungu akusaidie kwa moyo huo.Naamini Magufuli hajakosea kuwachagua vijana ila nililipoti kwa muuguzi mkuu.Naomba mkuu wa mkoa usiache kuwasaidia watanzania wasijua haki zao
Utu nk kitendo cha kuheshimu na kuthamini kila kiumbe pasipo kujali itikadi za kidini,siasa wala rangi .... huu ni mfano mzuri wa utu maan hata yeye anastahili kusililizwa na anaweza tumika kufikisha ujumbe kwa jamii ....ht alichokifanya ni ujumbe madhubuti kabisa...
Mimi binafsi najiuliza maswali yasiyo na majibu, kama mlemavu wa akili anamtukuza Mungu, sisi tuliiojaliwa akili timamu tunashindwa kumpa Mungu utukufu, kumbuka waliokuwepo wote kila mtu alikuwa na lake lakini mlemavu yule anasema anataka kutembea na Mungu milele, sisi je tunataka kutembea na nani milele?
Huyu dada ana matatizo kidgo ya akili very famours pale mafinga bt she charming funny and humble #mkuu WA mkoa nakup pongez zako mungu akusimamie
Tujuane bas tulocheka kwa sauti kubwa😂😂😂😂dada katisha
😂😂😂😂😂😂
😄😀😄😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hatari sana
I love u Hapi u r amazing God bless u much. Am not from Tanzania but u sir. Ur deeds speaks loud. Keep it up sir.
Mungu akupe maisha marefu mweshimiwa na siku moja uwe rais ili uteteye wanyonge na uendeleye mawazo ya GPM the light of Africa magufuli.
Happy ndugu yangu kusema kweli unafanya kazi kubwa sana,tazama mfano hai hadi ndugu yetu mwenye mapungufu lakini ametambua kazi yako,mungu akubariki,sisi huku DRC tunafanya mandalizi ya kukualika
Yani uyu muheshimiwa anapendwa adi na Wagonjwa mashallah ni bishara njemaa
Mungu akusahidie sanaa Dada. Hakika anaonekana kama ana akl vizur hla n majaribu kwelh atakua anapiatia tena meng sanaa. Mungu akutie nguvu
Asante saana mtu wa watu unaesikiliza kila mtu. Mungu akubariki Iringa illilala sio siri
Noma kweli uyo dada kanifurahisha sana😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏
Yaani leo nimefurahi sana mkuu wa mkoa unajua kuishi na watu umemsikiliza dada hata kama hana akili nzuri hujambagua ni viongozi wachache sana wenye moyo huo mungu azidi kukubariki siku zote za maisha yako
Hapi ww ndio kama sio rais mbasi utakuja kuwa waziri mzuri sana nakupenda nakubali bro big up my brother uwo ndio utabiri wangu asante
Asante sana, mungu akusimamie na akuongoze mh Ally Happy. Hakika wewe ni mfano wa kuigwa na viongozi wote hasa hawa vijana. Maa sha Allah. Mmempa furaha dada yetu na amani ya moyo wake Hakika Umefanya kubwa kumthamini na kumpa fursa ya kufanya alilotaka kufanya kwa ajili yako. Kafurahi (ame Happy) kama jina lako. Allah akuhifadhie ujira wa wema wako .....
Asante muheshimiwa kwa kumpq furaha na yy nimefarijika sana ubarikiwe
huyo dada amemtangaza Mungu aliye hai wakati sisi ambao ni wenye akili timamu tumeshindwaa
Huyo ndy alikuwa mfunga mkutano😂😂😂👏👏
Aksante mweshimiwa mkuu wa mkoa kwa upendo uliouonyesha kwa huyo dada Mungu akubariki
Ni mkuu wa mkoa gan
😂😂😂😂😂mh msaidie huyo dada mfarijini tu hii ni serikali ya wanyonge
Mungu anatisha atukuzwe milele. Hakuna aliyekumbuka kumpa sifa lkn kamwinua huyu dada wamwimbie. Amina
Sanaaa Romana
Nimelia jamani alieomba miatano anaupendo mkubwa sana
Mkuu wa mkoa Hapi Mwenyezi Mungu akubariki sana
Hapi, uliniumiza moyo wange sana, alie sikia neno hilo agonge like hapa
Nakupend San hap kwakusaidia watazania mungu Akubark sanaaa
Mhesshimiwa, hiyo ni ishara nzuri, hata mitume walifuatwa na watu wa aina hiyo, wanaona ni mzaha lakini Mungu anaonyesha jinsi anavyokuamini kuwatumikia watu wa aina zote. Unaonyedha uelewa mkubwa wa mambo haya Barikiwa sana Mungu atakutumia sana kwa wanjonge wake
mungu akubariki dada huyo muhubiri na muheshimiwa
Safi sana kaka Ally Hapi umeinyesha Upendo kwa kila MTU Mungu akubarikii 🙏
Mheshimiwa Happy wewe ni mvumilivu na mnyenyekevu sana na mwenye busara na hekima nyingi,naona Mungu anakupeleka mahali siku zijazo uwe kiongozi mkubwa sana katika nchi yetu kama sio rais basi hata waziri mkuu wetu!!
Makofi kwa huyu Dada Mlemavu.Crap.....!!!!!Crap.....!!!! .Haya asante sana Mungu Kubaliki.
👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊
Asante mkuu unafanya jambo jema watu wameteseka siku nyingi unavyowasaidia watu mungu atakuona inshallah,
Huyu dada aliyeimba kachangamsha sana👏👏👏
Haaaaaaaaaaaaaaa...... Happy umeuumiza moyo wa dada. Mungu mkubwa
Ila Mwenyenzi mungu anamakusudi makubwa sana juu yako na watu wa IRINGA...BLESSED MH.
Hapi God bless you....
So genuine. Iam touched
Muheshimiwa mungu anakupenda , umepata baraka kwakweli
oooh I'm soo happy wallah pale RCALI HAPI akiimba nae ...Mola awajaze furaha daima
Safi sana mungu katembea na wew milele dada
Naomba tukumbuke na tuwe na uelewa kwamba, hatuwezi kumkosea Mungu, tunajikosesha baraka za Mungu. Tuamke, Dada yetu amemsifu Mungu katika hali yake na watu wengi kuguswa na huduma yake. Great moments in life yaweza kuletwa na asiyetarajiwa, Mungu hana upendeleo.
Hapi umemuheshimu Huyu dada naye kakuimbia na kawimbo ka faraja
Uongozi kazi jaman du!
Mkuu wa mkoa Leo umegusa mioyo ya watu
Safi sana RC Hapi hao ndio wananchi wako na hii ndio inavopendeza hata yeye amepata faraja hasa kwa vile unamuumiza moyo wake. Hongera sana .
Mungu ni mwema huwatumia hata watu wasiotazamiwa kabisa
mungu huweka kitu cha thamani kwa kile ambacho watu hudhani hakina maana na umuhimu ,ubarikiwe mh hapy.
Kweli kabisa dada Eva
Mungu ni wa ajabu sana..
Mpaka nimetoa machozi mana huyu
Dada amebeba kitu cha thamani sana kuliko wengine wote walio kuwako eneo hilo..#Kweli aliwanyima wenye hekima wa dunia hii akawapa wanyonge..walionekana hawana thamani kwenye macho ya wanadamu..mungu ambariki huko aliko.
100% mungu akubariki sana kiongozi one day utakuja kuongonza nchi nzima
mm nimpinzani lkn RC hpa umenikuna Gud huchagui hubagui good leader Super
Jamali jamali amekukuna wapi
Kazi kweli kweli, ivi ukisema usikilize kesi za dunia nzima si balaa
eliezari osena
hatari sana! ndo madudu yatakuwa kama yoteeee🙌
😀😀😀😀😀
habibu Mkomwa 😁
Huyu Dada amefanya jambo kubwa sana na Mungu ambariki japo hapi umemwumiza moyo
Mimi nikiangaliaaga hii kweli mweshimiwa wewe ni kiongozi wa kuigwa da huyo mwanadada kajisikia vizuri Sana kwa kweli kajiona nae ni binadam kama wengine hongera Sana mweshimiwa
Mungu akubariki Mh ally tunajivunia Kupata mtu Kama wewe Mungu akulinde daima
Dah! Mwenyezi Mungu akufanyie wepes we we Ni mtetezi wa wanyonge
safi sana viongozi mmemuelewa sana kuwa yy ni nani asanteni sana maana nimecheka kwa sauti asana na nipo kazini🤣🤣🤣
😂😂😂Shida kwelkwel
Huyo niyesu amekuja kivingine kabisa ahsante mh hap hujaangalia idhaifu wake jamani watu waivi waitaji Upendo wetu
😂😂😂Mimi nasema karibu nyumban kumbe unataka jero😂😂😂Tuiombee Amani Tz yetu
Ally kweli wewe ni kiongozi
Hapi ww ni kiongozi nzuri nakukubali sana yan nimekupenda naisi uyo dada ametuwakilisha na sisi😂😂😂😂
Maskini mitihani mungu ampe afya
mungu ni mwema mkuu wa mkoa ap upo sawa
500 Tu inamtosha hataki hata ela nyingi..!! Hana makuu... happy alimuumizaga sana.!! Ila awali ya yote kiongozi alijua kumpa furaha naye pia bila kumbagua...!!
mbavu zangu Mimi
Daaaah mungu mkuwaaa..ina umizaa sanaa
said banga
said banga 😂😂😂😂🏃🏃
😂😅😅😅😅😅😅this is funny she is so creative mmekuwa serious sana
Huyu ni mtumishi w Yesu ameihubiri injili
Mungu ni mwema mbarikiwe wote.asaidiwe huyu binti.
Hapy umekutana na mtu amekupenda kazi kwako
Happy. Umebarikiwa sana. Daaa
hongera rc una huruma na Mungu akufikishe mbali
yaan viongozi wanakazi jaman hapi baba mungu akuongezee miaka maana sio kwa moyo huo kaka angu yaan nataman nihamie iringa kwakweli maana nimekupenda bure kabisa mim
Ni ajabu na kweli ujumbe mzuri umepitia kwa huyu dada mungu ambariki sana.kwa ni wote wiomfikia mkuu wa mkoa wanapiganiat matumbo yao .
Kumbe Ally hapi ni mwenye uvumilivu sana kuanzia kitambo sana hongera sana ahahahha safiii MUNGU alikuja hapooo kupitia huyo MTU
Umejua kunichekesha rehema mafinga et ww mm sura yangu nyororo 🤣🤣🤣🤣🤣
Nguvu ya JERO😂😂😂
😀Mungu huleta furaha sehem isiyotarajiwa ubarikiwe dada wa mia tano 😀😀👏
Kaka hapi, wahimize Ustawi wa jamii kuwalea hawa ndugu zetu, huyo dada alitakiwa awe ndani ya nyumba ya malezi kwa muda wa usiku,tusiwaache bila uangalizi kwani watu wabaya watapata fursa. Iringa oyeeeee
Hapi uko safi sana yani ungekua burundi kwetu pako kama tz tusingenyanyasika
Kanifurahisha sana Mungu ambariki na anponye
Kama umeguswa kama Mimi hadi nimetoa machozi like twende pamoja
Huyo dada aliwabariki kazi yenu emeeeeen😂😂😂😂😊😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣wewe unaitwa nani? Haki uliumiza moyo wangu ila nimempenda sana huyu Dada ni mtu wa Mungu jamani
Mafinga hoyeeee!!!!! RC Mungu akutie nguvu!!!!!
Sawa sawa karibuni nyumbani. 500 tu. Kazi kweli kweli. Na haya ni majaribu kweli kweli.
Lkn nayy wala sio mchoyo kawakaribisha nyumbani kwaoooooo,,bc mkuu ukitoka uko pitia na uku ,,
Mimi nilijua unawaonea hospitali ya Iringa kwa macho yng nimeshuhudia uzembe wa mama kukosa mtoto na mwingine akifokewa na medical attendant nikamzalisha Mimi.Mungu akusaidie kwa moyo huo.Naamini Magufuli hajakosea kuwachagua vijana ila nililipoti kwa muuguzi mkuu.Naomba mkuu wa mkoa usiache kuwasaidia watanzania wasijua haki zao
Dah kweli mungu yupo
Rc msaidie mwenzio kazimika
kiongoz mashuur,ujua kuliongoza kund lake
Naupenda sana mkoa wangu
Utu nk kitendo cha kuheshimu na kuthamini kila kiumbe pasipo kujali itikadi za kidini,siasa wala rangi .... huu ni mfano mzuri wa utu maan hata yeye anastahili kusililizwa na anaweza tumika kufikisha ujumbe kwa jamii ....ht alichokifanya ni ujumbe madhubuti kabisa...
Kiongozi mwema hurinda raia wake Axante HAPPY 😃
nmekuwa nikifuatilia hiz ziara za mkuu wetu ila mafinga mmenishinda kwa kwel
Happy umenifurahisha sana
Ongera kaka uchaguhi mtu
Mungu awalinde watu wake woteee
Stepu za kucheza tu mihoi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Jaman nimechek kwa nguvu dad katisha sn jaman du....!! Ila sio kosa lake ulanzi unachangia
Happ umeniumiza moyo wanguu😂😂😂😂 dada amemzimikia mkuu
Hahhahahhaha Yesu Mwema, msipoihubiri injili, bwana atainua mawe yatahubiri, hakika Dada umenifurahisha sana, na umenifunza jambo.
Kweli ALIY hap wewe nimuumin Allah akupe wepes akupe rehma uendelee kuwa mskiv
Amina 👏 mtumishi 😃😃😃
Mimi binafsi najiuliza maswali yasiyo na majibu, kama mlemavu wa akili anamtukuza Mungu, sisi tuliiojaliwa akili timamu tunashindwa kumpa Mungu utukufu, kumbuka waliokuwepo wote kila mtu alikuwa na lake lakini mlemavu yule anasema anataka kutembea na Mungu milele, sisi je tunataka kutembea na nani milele?
Fact
Point kubwa sana sisi tumekumbwa na malalamiko mwanzo mwisho
Da huyu wa 500 kaazi ipo happy unayo
Hapi, Mungu pamoja nawe. Hii kutoka moyoni.
Ali hapi ana kazi sana mungu akubariki
Ahhhhhh 500tu
RC uko vizr ajabu....
Kwa huu ushirikishi wa mgonjwa wa akili......
Dada katika makofi yake dada yake✌✌👍👍👍👍😂😂😂😂😂😂😂😂🙏
Mungu akusaidi Rc
yani nakupendaga sana RC hapi jembe sana ww jembe sana hapi nakupendaga brooo
Safii Sana kiongozi.. Daah hongeraa