mimi kwa maoni yangu vyama vya upinzani tanzania vinatakiwa kujitafakari,uchaguzi ulishapita wakati huu ni kutatua kero za wananchi,serikali iliyoko madarakani iachwe ifanye kazi ikishwidwa wakat utahukumu na sio kuwatoa matamko watu waandamane kwa. faida ya nani?watanzania tutafakari sana
Dah Bwana Magufuli ananifurahisha sana
Magu nakukubali saana.........itengamaze nchi yetu nengine baadae wanaotafuta democracy waendeleee kuktaftia na Mm ntawasaidia tochi
mimi kwa maoni yangu vyama vya upinzani tanzania vinatakiwa kujitafakari,uchaguzi ulishapita wakati huu ni kutatua kero za wananchi,serikali iliyoko madarakani iachwe ifanye kazi ikishwidwa wakat utahukumu na sio kuwatoa matamko watu waandamane kwa. faida ya nani?watanzania tutafakari sana
washaanza kupanic,this is democratic state Mr
Jishughulikie wewe Bila Mwanzilishi Mkuu wa Vurugu! Tutatangulia tukutane na Polisi wako
I can't wait umalize uongozi for real.. hukuchaguliwa ufanye hivyo.. you were elected to lead not to rule
Punguza preshaa
where is democracy?
madaraka yanachanganya sana, ni zaid ya kilevi