ASKOFU MWANAMAPINDUZI "WALITAKA KUNITEKA Wakashindwa POLISI WAKANIKAMATA/LISSU KUWA WAKILI WANGU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • ASKOFU MWANAMAPINDUZI "WALITAKA KUNITEKA Wakashindwa POLISI WAKANIKAMATA/LISSU KUWA WAKILI WANGU"
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Комментарии • 41

  • @gangan4618
    @gangan4618 2 месяца назад

    Huwa nakuelewa sana mchungaji Mwanamapinduzi na shehe Kadogoo

  • @kusemmanuel2211
    @kusemmanuel2211 3 месяца назад +3

    Mumeumiya saana, neno ni neno,

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 3 месяца назад +1

    Kwel maisha magum alafu mama enu kajigeuza chura na nyie mnaomtetea na nyie ni WAtoto wa chura hakubalik mchungaj nakukubali

  • @MichaelMwasese
    @MichaelMwasese 3 месяца назад +1

    Eze usifanye kaz zaMungu nyamaza ww si mambo ako yaenda cool man inchi hii wewe kula kuku kimpango wako watu wanteseka te.na watu like wewe ndigu zako wanteseka machaka yenu nyamza shida nn sininyi mko poa acha kuwaudhi gnz babu tz kunashida kunamhra vongz wamelewa naww pia kausha

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 3 месяца назад

    Kamawewe unakataa basi mungu anajuwa

  • @fauzseif7344
    @fauzseif7344 3 месяца назад

    Hata nyani watasema wanataka kutekwa hakuna kiongozi wadini uankaa na wavuruga amani unajiita wewe niwa mungu msikifanye chama cha chadema watu wakakiona ni cha udini kila mchungaji chadema mitume wenu woote huko baadhi ya maaskofu huko duh

  • @MichaelMwasese
    @MichaelMwasese 3 месяца назад

    Desider unàendesha baskeli au unandeswa 😂😂😂😂😂😂

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 месяца назад

    Hapo mchungaji ulikua unajitafutia balaa poleee

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747 3 месяца назад

    Wewe mtangazaji HUJITAMBUI.. UNAULIZA MASWALI YA KIJINGA.. KWAIO WEWE MRU AKISEMA WEWE NI MWANAMMKE UTAKATAA ULIZE UMEJUAJE KAMA WEWE NI MWANAMME.. EBU RUDI DARASANI....

  • @brownmasai774
    @brownmasai774 3 месяца назад

    Askofu achana na huyo mwandishi uchwara. Nadhani angependelea avuliwe nguo ili jinsia yake ijulikane.

  • @MichaelMwasese
    @MichaelMwasese 3 месяца назад

    Wengine humu msichangie mkizidi kuchonga aya kitawakuta kitu ayaa

    • @magrethpaul5959
      @magrethpaul5959 3 месяца назад

      Na uwakumbushe wakikutwa na hatia hukumu yake haichelewi ni siku hiyo hiyo yani hali chwi😂

  • @HASSANMKUYASALUM-wu4ey
    @HASSANMKUYASALUM-wu4ey 3 месяца назад

    UNAPIGANIA NCHI YETU WAKATI CHAMA CHAKO KINACHAFUA AMANI ILIOPO SASA

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 2 месяца назад

    Watotot wa chura mambo

  • @LucianaMosha-wu4vv
    @LucianaMosha-wu4vv 3 месяца назад

    Kwanini uongelee kwenye mkutano wa chama pinzani??? Wakati mtumishi wangu hupaswi kufungama na upande wowote.

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 3 месяца назад

    wewe Nimchungaji ambae huna adabu

  • @MichaelMwasese
    @MichaelMwasese 3 месяца назад

    Namm nataka udiwani nipite bila kupingwa cdm oyeeee😮😮😮😮

  • @EzekiaYamawasa
    @EzekiaYamawasa 3 месяца назад

    Hapo hakuna mchungaji bali ni siasa tu maana unaongea ukiwa chadema acha siasa

  • @jaberalyafei274
    @jaberalyafei274 3 месяца назад

    Uongo huezikua kama Nabii Musa acha uchochezi baba

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 3 месяца назад +1

    Hivi nyie Gwajima ni nani si Askofu na yuko Bungeni? Hata marehemu mama Luakatare si alikuwa Mchungaji?

    • @faustinebahenobi3412
      @faustinebahenobi3412 3 месяца назад

      Umesha wamaliza big up

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 3 месяца назад

      Waambie2 hawajui. Gwajima yapo bungeni. Mungu Baba ni wa haki,Anayaona yote haya. Mwambieni Gwajima naye stoke bungeni kama unajeuri. 😊

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 3 месяца назад

    mbona gwajima ni.mbunge au ndo kwa sababu .....

  • @maspro6294
    @maspro6294 3 месяца назад

    Wewe utabaki kubwaka kama mbwa koko hakuna atakae wapa Nchi hii Mavibaraka ya mabeberu na ukimaliza kubwaka ukapige mswaki domo lako Lina nuka kama Choo

    • @JoshuaStanley-qu3im
      @JoshuaStanley-qu3im 3 месяца назад +1

      Huna adabu wewe

    • @annaezra2344
      @annaezra2344 3 месяца назад

      ​@@JoshuaStanley-qu3imkabisa

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 3 месяца назад

      Mbwa koko2 ni wewe usiyejitambua

    • @EmmaculateGembe
      @EmmaculateGembe 3 месяца назад

      @@monicamwita7865na nyinyi vibaraka wa warabu mpaka mumewauzia bandari kwa mikataba mibovu

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 3 месяца назад

      Acha watu waendelee kubweka maana panauma. Na ikiwa mtu hajakataliwa na Mungu mchezo uwe huru , katiba mpya, tume huru ns jeshi lilinde amani tu siyo kuwakandamiza wengine ili tushuhudie ni nini mapenzi ya Mungu.

  • @EzekiaYamawasa
    @EzekiaYamawasa 3 месяца назад

    Hapo hakuna mchungaji bali ni siasa tu maana unaongea ukiwa chadema acha siasa 8:40

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 3 месяца назад

      Kanisa na kamili huwezi kutekwa. Ni vitu vinaenda pamojà.

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 3 месяца назад

    Alaf ww mtangazaj ni nyoko

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 3 месяца назад

    Mtangazaj ni chiz

  • @henryndosi2002
    @henryndosi2002 3 месяца назад

    Huyu ni🌈

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 3 месяца назад

    Askofu huyu ni shoga