VITABU 8000 VYA USHOGA NA VILAINISHI VYAKAMATWA TABORA | KIONGOZI MSTAAFU AHUSISHWA KUHUSIKA
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- WATANZANIA NJOONI HAPA 😡😡 Shehena la vitabu limekamatwa na vitabu zaidi ya elfu nane Mkoani Tabora ,vitabu hivyo vyabkufundisha watoto kusagana na kufirana vilikuwa vinaenda kugawiwa kwenye shule za Msingi na sekondari pamoja na vilainishi.
na Taasisi hii ni miongoni mwa Taasisi tulizozitaja na Makao Makuu yake yapo hapa Dar es salaam @albert_john_chalamila Umeona kazi alioifanya Mkuu wa Mooa wa Tabora??? Tunahitaji kuona Makao Makuu ya Tasisi hii ya kishetani UNAIFUNGA KAMA ALIVYOFANYA MKUU WA MKOA WA TABORA NA KUWEKA HADHARANI👌
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha ameagiza kuifungia Taasisi isiyo ya kiserikali ya Athuman Kapuya Foundation kufanya shughuli zake mkoani Tabora kwa kujihusisha na uhamasishaji wa masuala ya mapenzi ya jinsia moja baada ya kubainika kusambaza vitabu vinavyodaiwa kukiuka maadili pamoja na vifaa vingine vilivyopigwa marufuku nchini vikiwemo vilainishi kwenye shule 139 za msingi na sekondari mbili
#gwajima #mchungajigwajima #ushoga
Hatarii Mungu atusaidie
Amen
Jambo la ushoga liwe tamko la kitaifa kwamba ushoga no tz
Ltbq ni wapuuzi. Watu wa shetani warudi kwao
Mbona hajamunesha sura,yake waschana ubungo mulionyesha,sura zao hii mnafucha
Matukiokamahaya hukuti koment nahata midiakubwa zinakaakimya viongozi wangazizajuu huwasikii hawa wazungu watachukuamalizetu badae kama wanachotamaji mtungin mwanaume akivuja hakunanguvukazi teena hapa kilichobaki mwenyeizmungu aikusanye duniayake sisi tumeshindwa
Huyu alimishwe juani mchana kutwa ndio analeta balaa la mafutiko Tz. Mungu ambadilishe atubu na kuiamini injili. Misaada ya nje sasa hivi msipokee
Safi sana Mungu akubariki kiongozi mwenye kujua wajibu wa dhamana uliyopewa na Mungu, embu viongozi wengine muige mfano huu