Best Naso - Nimekuweka (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 22 фев 2024
- #BestNaso #SlideDigital
(C) Slide Digital
Best Naso Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.bio/qwm8md
Written & Performed by Best Naso
Follow Best Naso on:
profile.php?...
/ bestnasotz
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz Видеоклипы
Best naso fans gonga like here 😘😘😘
Baba wa music wa bongo nyimbo inaelewka mwanzo mpk mwisho nakuelewaga san mwanangu best nakupa maua yako
Nko hapa kuwakilisha wakenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌💘🔥🔥🔥🔥
Noble nimekusee😂
Yaani wewe unanimalizaga
Imeingia trending duh mimi nilivyo sikia tu kwamara yakwanza nikasema hii ni hitsong🎉🎉🎉🎉🎉 bestnasso
BIG UP! brother siongei mengi kwa kua kazi yenyewe inajielez Done
🎉🎉🎉nimekuweka moyoni
Good job 👍👍👍 my brother
🎉🎉💯
Nice my Brow🎉
Your big fan here❤🔥🔥🔥
Ngoma Kali naonbeni lak zngu
Kaka nasso namkubali sana nyimbo zake huwa ni za kipekee
Home boy never Disappoint
Hii tone ya leo uloanza nayo sio yako kabisa mzee. Ungemuachia Chui ndio zake kabisa hizo sauti
Nakubali bro ngoma Kali hujawahi nangusha
🎉🎉atar
Naso nakukubali sana
Ernest Ismail katika waasanii wote Tanzania huy ni msanii pekee ninayo mpenda na kumkubal sana
Here we go bro
Dijaro wa rungu amehama tbc sijui Sasa mwanetu radio gani itamsapoti 😭😭😭mana ngoma kali
Bien Man
Safiii
Unajuaaa Tena unajua tenaaa
Talented boy big up bro 🎉
Ujawai kosea broo👍👍👍👍
Wimbo mzuli
Fundi wa muziki Tanzania 🔥
Kuimba unajua sana sijui kwann haupati fame kama wengine
brother unajua sana sema tuu huja amua kuwekeza kwenyo music
Ngoma inapenyaa sana kwenye masikio Yao sema hawajuiii
Tuko pamoja naona Sasa hivi bongo flavour ipo good 🥀 umeweza kuwakilisha saana best nassa
Wowooo kesho upo. Mjin kwetu tunakusubili kwa hamu❤❤❤ nasso
🎉🎉🎉💪🏾🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Unyama mwing Naso
We ni 🔥 Sana kak mkubw ongeraaa Sana
Dah! bro huu mwaka sasa naona ndo umeufungua rasmi, umebadilika sana bro, bonge moja la ngoma af video kali🙏🙏🙏🙏 @bestnaso
Yaani Location nzuri sana na wimbo mzuri ila Vidioqueen kazngua
Big song
Nasso umetisha kaka nafurahi sasa unarudi kwenye ubora wako
Safi Sana nyimbo nzuri xn video yaan kichupa kimetulia mungu aendelee kukupambania
kila kukicha unazidisha unoma naso dahaa!
Aloooooo🥰🥰
Good song, dood job ❤from Mozambique
👏🏾👏🏾👏🏾🙏🏾
Fanya bc collaboration hata na phina au rayvvan au harmonise itakua pw
Nice song mtaa❤❤❤
Nasso nakukubali sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Legend 🔥
Nakubali sana ngoma za besti naso
Ila nasso unaweza ongeza vitu
Jamaaa huyu Ana weze san
Best nazo. One of my favourite musician
Tukiacha unafiki kuna jins ume change mzee naso hii ngoma kali sana mzee
Nice❤❤
Nice❤❤❤
Mtu wangu wa damu, nipo hapa kuiskiliza hadi mwisho
Umetisha sana mwamba
Umeuwa sana kaka pamoja sana jaguar hiinzur sana
Kazi nzuri broo 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Anchilia njiwe moja kubwa la Moto tena wew na mitego....we mis you guys....your chemistry it's ligit.
🎉🎉🎉🎉 song Big up King wa kanda ya ziwa
Nazooo
Ipo vizuri bro hii ngoma nimeielewa
Sana brother mungu aibaliki kazi yako
Best naso we ni Baba Yao,naitwa Ouma wuodabandu natokea inchini Kenya mi napenda Ngoma zako zote hakuna yenye sipendi ,kwanzia kwa wimbo Narudi kijijini, wa awake wabaya, unaniweza,zte ni poa nitafute RUclips utasikia
Good Mr naso
Dj Arongu hayupo sasa
Nzuri nimeipenda bro 👍👍👍🔥👋🤟
❤ Best Nazo, nakupenza saaana musanii wangu you are number one❤ in Africa❤❤ DR. Congo Love you
Nime kuweka moyonii❤❤ hatar sana
Mzee wa madon mwite wamasaspender
Haki bro una talent
video kali sana king wa madon
Naomba kafanyike ka remix muweke phina , kontawa, stamina, vanilla au baddest itakuwa bonge la hitsong lakin kazi nzuri sana ❤❤❤❤❤🎉
Remix je!
Best nasso ft Jay melody-nimekuweka remix
Congratulation best nasso from Mozambique 🇲🇿
Big up best naso
All the way from TikTok
Hakika nimekuweka moyoni
Sending love from 254, best nase is always best as the name suggest 🤞🤞🫶
Huyo binti ni mrembo sana
So amazing song 🎵 congratulations
Nasso on this one Respect 🙏
Best naso best music
Song Htar 🎉
Brother unajuwa Sasa ngoma Yako imetulia pia hata video yake ina quality ya hali ya juu❤
Naso big up sana
Hatali
Kaka île ni fimbo zanyimbo nakufata begakwa bega Niko apa Congo RDC Tanganyika
❤❤❤❤❤ safi sana ngoma kali
Ngoma Kali Mkuu👍👍
Hujawai iangusha kanda ya ziwa
Congratulations🎉🎉🎉
bro nilijua umepoah ila saivi ngoma ulizo achia kwanzia ile ya walikuwepo umeua vibe big up 💪💪💪
Unatisha kaka nakupata vzur
Platnumz we zombi unajalibu
Hongera Naso
🇰🇪
🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪🙏
Vixen mzuri kuliko wimbo
Hii iko sawa kabisa 👏🏼👏🏼👏🏼
Kayombo ...yapendeza
Mwamba💪🙏🔥💥
Unaweza kaka nakubali