Best Naso - Anaringa (Official Lyrics Video)
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- #BestNaso #SlideDigital
(C) Slide Digital
Best Naso Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.bio/qwm8md
Written & Performed by Best Naso
Follow Best Naso on:
www.facebook.c...
/ bestnasotz
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - Видеоклипы
yaan unajua watu tunapenda mziki tofauti et utamkuta mtu na akili zake anashangilia mziki wa matikiti kudondoka af mziki wenye hisia kama huu unaubeza. big up best nasso hujawahi kuferi
Kwel
Acha ushba sisi tunataka vaibu sitoli zann
Kajifunze kusoma na kuandika kwanza "ushba" ndo nini sasa"@@MagembeChambani eti sitoli 😅😅
Mwamba anajua ila tatizo hazisapoti nyimbo zake hazipeleki mahali husika maredioni TV nk anakaa mbali nao sana ila unajua hujataka kuusimamia mziki wako ipasavyo nakupa salut
Naso hua Ana nishangaza anajua kuimba ila akishaimba anaweka yutubu anatulia yani hazisapoti ila nakupa salut
Jaman wimbo mzuri sana, naomben like zenu Kwa walio rudia mala Kwa mala huku mkisoma comment
Sawa likes we ndo umeimba?
Nimzuri sana
Djaro njoo mskiee kaka katoa lingine tena hilii la moto wanangu mko wapi kwa like zenu
Wasanii wapo wengi tanzania, wadogo kimuziki na wakubwa kimuziki, naomba nichukue nafas hii kukutangaza @Bestnaso kuwa we ni Msanii mkubwa sana tanzania ubora wako tunaujua toka enzi hizo za Mariam🙏🙏🙏🙏👍👍👍👍💪💪💪💪💪
Bado Wema Sepetu haja comment, dunia ni hard manze. Iyo ngoma tume approve hapa Nairobi
Oya wanangu hili tulipeleke trending namba 1 mpaka Wema amkubali mwanetu. 👍
😂
Kabisa yani
💪💪
Kweli kudadeki
Kwani wema yeye anasemaje
Tunaweza kuifanya iwe on trending ❤❤ tupende vtu vya kueleweka
Masadaka Music nmekubali hii❤❤❤ Mr best nasso kwa kweli Ngoma zako Niko nazo karibia zote naomba nami unisapoti kwa kolabo angalau nione kama ntafika mahali pia🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ata na mimi jana ana juwa sana ila jama ku trend bongo njo ime shindikana dhu sema big up sana
Unajua sana mwamba na wewe ni msanii bora wa muda wote na miak yote na hujawahi kuniangusha bip up mwambaa wewe ni mwamba
Umenena ukweli kabisaaa
Duu Kali ya mwaka 😅da wema kuwa nae Best naso labda mungu atakujali kupata mtoto nae usimringie anakupenda sana ❤
Kama unamkubali Naso tukaitazame video yake mara 8 kira mmoja wetu🙏
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 atakuli tu kwanza sasahiv yupo singo kama vipi twende kwa mama sepetu
Nasso you are the best🙏🙏🙏 keep on moving brother tunakukubali sana 🎶🎵
Sijawahi kukupinga tangu day one Nasso❤❤
Yani we jamaa wewe ndo msanii wangu bora muda wate wewe ni zaidi yao bonge la Ngoma ongera sana brother best naso ❤
Absolute bro unajuwa sana
My best song, song writer of the year am watching from Kenya🇰🇪
Likewise ❤
Ewaaaaa ulikua wap naso ❤❤
Asante sana kwa mziki bora Baba tuna kupenda sana from East ya Dr congo
Sijuwi mbona nimetokwa na machozi,,, ila basi kakaa nest naso napenda sanaa uimbaji wako sanaaa kama ule wimbo wa woga wa nini ❤❤❤❤❤yaaani sichoki kuisikiliza
Good song brother ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉hongela kwakazi
Nampenda sana best nassor ni shabiki ako sana
Best nasso na 20% ndo wasanii nimesha kubali .
Pokeyeni salamu zangu tokea Belgium 🇧🇪. Mimi mkongomani 🇨🇩♥️
Mungu akupe maisha maref madoni,,,kaham
Ngomaa kalii uje Ukerewe Nansio uipigeee Kwanzaa
Kwa kwer hii ngom kwangu Mimi nimeikubali sana iko poah kinoma
Nakupenda tangu zamani nyimbo zako zimenifunza mengi
Kwako best naso respect ngoma kali manshaallah
Mimi apa ni Kenyan boy 🇰🇪wapi likes jameni
Mungu akubariki kwaà maneno enye unatupa Kwa nwimbo zakoo
Mapenzi madam sepenga msikilize bro😢😢😢
Sasaje mwamba wetu poa sana kaka mkubwa Mungu akutunze unajua nakukubar sana kaka naso
Jamani hata Dom wapo wenye shingo ndefu Kama twiga🤗🤗🤗🤗🇹🇿
Brother umetuacha hoi kabisa
Nasso we kiboko nakukubali mpk bas
EMBU WEKENI LIKE ZAKE UYU ...BEST NASSO...ILI TWENDE SAWA..🔥📌☑️
So amazing ndani ya katavi
Jamaaa anajua sana tunajivunia kanda ya ziwa 🎉🎉
hapo tayari wema ameshaelewa muda mchache tutamwita shemeji
Best naso best naso wewe endelea tuu niludishie sim yang niliyo nyang'anywa shule kisa mamu wa dar
😂😂😂
Nakukubali best naso wewe ni msanii bola sana
kaza buti best naso, chi mama atakuelewatu , don't give up
Huyu jamaa anaimba zaidi hata ya harmonize na diamondi anaimba kitu anacho kipitia
Flavour ya sharobaro imefanya ngoma kuatamu kama vanilla. Ngoma inasikilizika hata mbele yababangu na mama
jaman wewe wema sepetu,daah nimerudia kusikiliza ujumbe.nakuomba bas umkubali msanii wangu kipenzi.najua na wewe unapitia ujumbe wa kusoma hii ukiisoma ifanyie kaz
Homeboy best NASO MZIKI mzurii
chibaba whozu atakutwanga mzeebaba
Naso matawi ya juu siku zote🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hiyokaka nivigumu
Hawo shidaniwanajiona masta
Super super Best Naso with mega-colossal hits of their own kind.
Safi sana brother.
New songs of 2024 best fire song 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇰🇪🇰🇪🇰🇪
My best you are number 1 please nifanyiye yengine song kali kama hii nipo inshini Congo naku follow 5/5
😢nakukubar sana rafik ya best naso daah atr kinoma
Come back then ❤from🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
My favourite artists.big up best naso..we need more of your songs
Shida tu unatoka TZ Ungekua mkenya ungehiti
Brother nakukubar sana,good job.
Kwn yeye mwenyewe anasemaje, ila hili ni bonge la ngoma
Tumpeleke msoma
Kaka kaua jamani sasa kwanini hapewi support ya kutosha akae pale juu wakati kiti chake kipo kabisa❤❤❤❤
Unafanya vizuri brother naomba kolaboo
Uyu jamaa anajua sana tena sana
Unajua mwamba unatuwakilisha Wana mara wew ni staa mkubwa nashangaa huzungumuzwi Sana watu wasiojua ndio wanasemwa
nimeipenda jamn kaka umetisha nakubal san
Pacha wangu Best Nasor
Instrumental balaa, tamu sana
Waaah! My all time crush since childhood until now….from dubai ❤❤ unamcrush yeye namimi na ku crush 🤲
@best naso njoo huku Kuna mtu anateseka please Best naso mpende akupendae
🎉🎉🎉🎉 feel loved from Kenya bro I like your good work
Wema mpokee mshikaji Tiba hanayo
Huu ndo wimbo wa akili so wale mataira wa kukesha kuimba nyimbo za matusi na chuki. big up broo
Nakukubali sana best naso❤❤❤❤
Waoooh good music my brother🥰🥰
Tunakupenda goma drc congo
Best nasso Ni mmoja tu
Nice your song like your song nimeipenda
Uyu mwamba yuko vzuri,kama unaujuwa mziki mkali lazima utkubali hi
wimbo mzuri best nasso
Huu ushamba huwezi kuja kuimba kasoro za mtu kama hivo si kwamba yeye kapenda kuwa hivo.
Naso, Welcome to my story "BLACK ROSE"
Best naso big up from Kenya remember you from ogopa djs ... moses osidiana
Penda ww sana! Nyimbo zako zinaelimisha
Jamaa anajua aisee
Best naso hujawahi aribu brother nice song
Mwamba anajua sanaa bs tu
Tanzania ina Wanamziki hila Mimi Namukubali sana Best Naso .
Chukua Maua yako Bro Nakutabua sana 🫡🫡🫡 🇰🇪
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥nakupenda sana best naso
Best naso steal the one kwenye utunzi wake wa mashairi
Wimbo mzuri na mzuri tena😊
❤❤❤❤nakukubali sana best nasso
Bonge La Ngoma Duuuu 🙌🙌🙌🙌🙌
Uyu jamaaa namkubali sana
Freesh sana best naso, niko congo🇨🇩
Best naso napenda Ngoma zako for free Mimi ni muimbaji wa nyimbo za injili kutoka kenya
Sema upone mi nakukubali acha tu
sepetu wemaaa umesikia kutoka kwa best nasso...🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌......
ujio wawasan huwa nulu ila kumbuka bst naso anakufundisha kitu ambacho hazina yako❤
Sasa wema wahi ukachukue mtt kwa naso changamka mama
Ambao mnakubali kazi za Best Naso tujuane Kwa Like anbaye anae Wema hebu amuachie best Naso Kwanza
Umeona e
Acha 2
Amuachie jamn naso kitu ya watu hainanga mbaya aki
❤
Naitwa miraji mussa chambo mshabiki wa best naso huyujamaa najua
MY boy nini Tena kinaendelea kwenye moyo wako
Jamaa anaimba poa upo wapi dadii
❤❤❤❤❤ nakupend
good song umemwimbia wema sepetu