Best Naso - Anaringa (Official Lyrics Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #BestNaso #SlideDigital
    (C) Slide Digital
    Best Naso Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    ffm.bio/qwm8md
    Written & Performed by Best Naso
    Follow Best Naso on:
    www.facebook.c...
    / bestnasotz
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 631

  • @justineemmanuel8227
    @justineemmanuel8227 6 месяцев назад +238

    yaan unajua watu tunapenda mziki tofauti et utamkuta mtu na akili zake anashangilia mziki wa matikiti kudondoka af mziki wenye hisia kama huu unaubeza. big up best nasso hujawahi kuferi

    • @HAMISICHACHA
      @HAMISICHACHA 6 месяцев назад +7

      Kwel

    • @MagembeChambani
      @MagembeChambani 6 месяцев назад +1

      Acha ushba sisi tunataka vaibu sitoli zann

    • @TanflixLLC
      @TanflixLLC 6 месяцев назад

      ​Kajifunze kusoma na kuandika kwanza "ushba" ndo nini sasa"​@@MagembeChambani eti sitoli 😅😅

    • @HAMISICHACHA
      @HAMISICHACHA 6 месяцев назад +3

      Mwamba anajua ila tatizo hazisapoti nyimbo zake hazipeleki mahali husika maredioni TV nk anakaa mbali nao sana ila unajua hujataka kuusimamia mziki wako ipasavyo nakupa salut

    • @HAMISICHACHA
      @HAMISICHACHA 6 месяцев назад +1

      Naso hua Ana nishangaza anajua kuimba ila akishaimba anaweka yutubu anatulia yani hazisapoti ila nakupa salut

  • @abdurazakiabdukadiri9949
    @abdurazakiabdukadiri9949 6 месяцев назад +78

    Jaman wimbo mzuri sana, naomben like zenu Kwa walio rudia mala Kwa mala huku mkisoma comment

  • @hamadathuman6939
    @hamadathuman6939 6 месяцев назад +45

    Djaro njoo mskiee kaka katoa lingine tena hilii la moto wanangu mko wapi kwa like zenu

  • @robertevarist1595
    @robertevarist1595 6 месяцев назад +42

    Wasanii wapo wengi tanzania, wadogo kimuziki na wakubwa kimuziki, naomba nichukue nafas hii kukutangaza @Bestnaso kuwa we ni Msanii mkubwa sana tanzania ubora wako tunaujua toka enzi hizo za Mariam🙏🙏🙏🙏👍👍👍👍💪💪💪💪💪

  • @beatricekariuki2525
    @beatricekariuki2525 5 месяцев назад +26

    Bado Wema Sepetu haja comment, dunia ni hard manze. Iyo ngoma tume approve hapa Nairobi

  • @EzzyK438
    @EzzyK438 6 месяцев назад +124

    Oya wanangu hili tulipeleke trending namba 1 mpaka Wema amkubali mwanetu. 👍

  • @fatmaathumani7116
    @fatmaathumani7116 6 месяцев назад +37

    Tunaweza kuifanya iwe on trending ❤❤ tupende vtu vya kueleweka

  • @masadakamusic
    @masadakamusic 6 месяцев назад +40

    Masadaka Music nmekubali hii❤❤❤ Mr best nasso kwa kweli Ngoma zako Niko nazo karibia zote naomba nami unisapoti kwa kolabo angalau nione kama ntafika mahali pia🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @janvierramazani2189
      @janvierramazani2189 6 месяцев назад +3

      Ata na mimi jana ana juwa sana ila jama ku trend bongo njo ime shindikana dhu sema big up sana

  • @jacksonpeter2496
    @jacksonpeter2496 6 месяцев назад +25

    Unajua sana mwamba na wewe ni msanii bora wa muda wote na miak yote na hujawahi kuniangusha bip up mwambaa wewe ni mwamba

  • @zuhurakhasimu969
    @zuhurakhasimu969 5 месяцев назад +7

    Duu Kali ya mwaka 😅da wema kuwa nae Best naso labda mungu atakujali kupata mtoto nae usimringie anakupenda sana ❤

  • @eduhmass3560
    @eduhmass3560 6 месяцев назад +44

    Kama unamkubali Naso tukaitazame video yake mara 8 kira mmoja wetu🙏

  • @MohamedyYahya-fg9lb
    @MohamedyYahya-fg9lb 6 месяцев назад +11

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 atakuli tu kwanza sasahiv yupo singo kama vipi twende kwa mama sepetu

  • @MwazambaMicrofinance
    @MwazambaMicrofinance 5 месяцев назад

    Nasso you are the best🙏🙏🙏 keep on moving brother tunakukubali sana 🎶🎵

  • @youngweezy3846
    @youngweezy3846 6 месяцев назад +24

    Sijawahi kukupinga tangu day one Nasso❤❤

  • @mwambakati2483
    @mwambakati2483 6 месяцев назад +15

    Yani we jamaa wewe ndo msanii wangu bora muda wate wewe ni zaidi yao bonge la Ngoma ongera sana brother best naso ❤

  • @lgdnce8309
    @lgdnce8309 6 месяцев назад +1

    Absolute bro unajuwa sana

  • @MRVYBZ
    @MRVYBZ 6 месяцев назад +27

    My best song, song writer of the year am watching from Kenya🇰🇪

  • @jenisanga-c6r
    @jenisanga-c6r 6 месяцев назад +3

    Ewaaaaa ulikua wap naso ❤❤

  • @FranciscoM-Lou
    @FranciscoM-Lou 5 месяцев назад +3

    Asante sana kwa mziki bora Baba tuna kupenda sana from East ya Dr congo

  • @Lakhishi-oc3kt
    @Lakhishi-oc3kt 4 месяца назад

    Sijuwi mbona nimetokwa na machozi,,, ila basi kakaa nest naso napenda sanaa uimbaji wako sanaaa kama ule wimbo wa woga wa nini ❤❤❤❤❤yaaani sichoki kuisikiliza

  • @BestLeonardtumba
    @BestLeonardtumba 5 месяцев назад

    Good song brother ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉hongela kwakazi

  • @rachelabel-p2q
    @rachelabel-p2q Месяц назад

    Nampenda sana best nassor ni shabiki ako sana

  • @pepekamera2849
    @pepekamera2849 5 месяцев назад +3

    Best nasso na 20% ndo wasanii nimesha kubali .
    Pokeyeni salamu zangu tokea Belgium 🇧🇪. Mimi mkongomani 🇨🇩♥️

  • @VicentAmos-n3e
    @VicentAmos-n3e 6 месяцев назад +16

    Mungu akupe maisha maref madoni,,,kaham

  • @renatusaugustine3410
    @renatusaugustine3410 5 месяцев назад +3

    Ngomaa kalii uje Ukerewe Nansio uipigeee Kwanzaa

  • @JamesMussa-fs1px
    @JamesMussa-fs1px 6 месяцев назад +5

    Kwa kwer hii ngom kwangu Mimi nimeikubali sana iko poah kinoma

  • @INEZASTUDIOPictures
    @INEZASTUDIOPictures 6 месяцев назад +10

    Nakupenda tangu zamani nyimbo zako zimenifunza mengi

  • @DidahMussa
    @DidahMussa 5 месяцев назад +3

    Kwako best naso respect ngoma kali manshaallah

  • @geffc5453
    @geffc5453 6 месяцев назад +28

    Mimi apa ni Kenyan boy 🇰🇪wapi likes jameni

  • @fabricekamate1359
    @fabricekamate1359 4 месяца назад

    Mungu akubariki kwaà maneno enye unatupa Kwa nwimbo zakoo

  • @ZuleikhaMrisho-iw9cy
    @ZuleikhaMrisho-iw9cy 6 месяцев назад +9

    Mapenzi madam sepenga msikilize bro😢😢😢

  • @farajastephano6363
    @farajastephano6363 6 месяцев назад +7

    Sasaje mwamba wetu poa sana kaka mkubwa Mungu akutunze unajua nakukubar sana kaka naso

  • @jaxmkada6797
    @jaxmkada6797 6 месяцев назад +6

    Jamani hata Dom wapo wenye shingo ndefu Kama twiga🤗🤗🤗🤗🇹🇿

  • @IpyanaSauri-ey5qv
    @IpyanaSauri-ey5qv 6 месяцев назад +7

    Brother umetuacha hoi kabisa

  • @tiffah-Rehan
    @tiffah-Rehan 5 месяцев назад +3

    Nasso we kiboko nakukubali mpk bas

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 6 месяцев назад +81

    EMBU WEKENI LIKE ZAKE UYU ...BEST NASSO...ILI TWENDE SAWA..🔥📌☑️

  • @calvintheone299
    @calvintheone299 6 месяцев назад +17

    So amazing ndani ya katavi

  • @ezekielroman4146
    @ezekielroman4146 4 месяца назад

    Jamaaa anajua sana tunajivunia kanda ya ziwa 🎉🎉

  • @jacobojames7086
    @jacobojames7086 6 месяцев назад +6

    hapo tayari wema ameshaelewa muda mchache tutamwita shemeji

  • @HatibuAthuman
    @HatibuAthuman 5 месяцев назад +2

    Best naso best naso wewe endelea tuu niludishie sim yang niliyo nyang'anywa shule kisa mamu wa dar

  • @KefaFulaha-jr8lp
    @KefaFulaha-jr8lp 3 месяца назад

    Nakukubali best naso wewe ni msanii bola sana

  • @fidelbalumejoseph-d1x
    @fidelbalumejoseph-d1x 6 месяцев назад +4

    kaza buti best naso, chi mama atakuelewatu , don't give up

  • @PauloKulaya
    @PauloKulaya 6 месяцев назад +5

    Huyu jamaa anaimba zaidi hata ya harmonize na diamondi anaimba kitu anacho kipitia

  • @DM_15
    @DM_15 6 месяцев назад +7

    Flavour ya sharobaro imefanya ngoma kuatamu kama vanilla. Ngoma inasikilizika hata mbele yababangu na mama

  • @mauridjuma8806
    @mauridjuma8806 5 месяцев назад +3

    jaman wewe wema sepetu,daah nimerudia kusikiliza ujumbe.nakuomba bas umkubali msanii wangu kipenzi.najua na wewe unapitia ujumbe wa kusoma hii ukiisoma ifanyie kaz

  • @Smart_melody_music255
    @Smart_melody_music255 5 месяцев назад +3

    Homeboy best NASO MZIKI mzurii

  • @Jeremiah-t3y
    @Jeremiah-t3y 5 месяцев назад +4

    chibaba whozu atakutwanga mzeebaba

  • @WickieObessa
    @WickieObessa 5 месяцев назад +2

    Naso matawi ya juu siku zote🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Raymusictz2024
    @Raymusictz2024 2 месяца назад

    Hiyokaka nivigumu
    Hawo shidaniwanajiona masta

  • @hybridaccounts
    @hybridaccounts 6 месяцев назад +2

    Super super Best Naso with mega-colossal hits of their own kind.
    Safi sana brother.

  • @VenasAbdallah
    @VenasAbdallah Месяц назад +1

    New songs of 2024 best fire song 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @franckfikiri748
    @franckfikiri748 5 месяцев назад

    My best you are number 1 please nifanyiye yengine song kali kama hii nipo inshini Congo naku follow 5/5

  • @ElizabethSeba-yl2ox
    @ElizabethSeba-yl2ox 5 месяцев назад +2

    😢nakukubar sana rafik ya best naso daah atr kinoma

  • @manasseninteretse8510
    @manasseninteretse8510 5 месяцев назад

    Come back then ❤from🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @williamecharaitlomulen1959
    @williamecharaitlomulen1959 6 месяцев назад +2

    My favourite artists.big up best naso..we need more of your songs

  • @LattyOriginal
    @LattyOriginal 5 месяцев назад +6

    Shida tu unatoka TZ Ungekua mkenya ungehiti

  • @HassanAbdul-xb3dk
    @HassanAbdul-xb3dk 5 месяцев назад

    Brother nakukubar sana,good job.

  • @Dannytitoff254
    @Dannytitoff254 6 месяцев назад +12

    Kwn yeye mwenyewe anasemaje, ila hili ni bonge la ngoma

  • @Kaysam.
    @Kaysam. 6 месяцев назад +4

    Kaka kaua jamani sasa kwanini hapewi support ya kutosha akae pale juu wakati kiti chake kipo kabisa❤❤❤❤

  • @BarakaSalumu-g3p
    @BarakaSalumu-g3p 3 месяца назад

    Unafanya vizuri brother naomba kolaboo

  • @PaulKessy-wj4xe
    @PaulKessy-wj4xe 5 месяцев назад

    Uyu jamaa anajua sana tena sana

  • @MbatiraMgania
    @MbatiraMgania 6 месяцев назад +2

    Unajua mwamba unatuwakilisha Wana mara wew ni staa mkubwa nashangaa huzungumuzwi Sana watu wasiojua ndio wanasemwa

  • @PaulinaKibiliti
    @PaulinaKibiliti 4 месяца назад +1

    nimeipenda jamn kaka umetisha nakubal san

  • @niyocredotv4997
    @niyocredotv4997 5 месяцев назад

    Pacha wangu Best Nasor

  • @pretty-animals254
    @pretty-animals254 5 месяцев назад

    Instrumental balaa, tamu sana

  • @VenniehHeaven
    @VenniehHeaven 6 месяцев назад +4

    Waaah! My all time crush since childhood until now….from dubai ❤❤ unamcrush yeye namimi na ku crush 🤲

    • @rahmahamis807
      @rahmahamis807 6 месяцев назад +1

      @best naso njoo huku Kuna mtu anateseka please Best naso mpende akupendae

  • @macvan8856
    @macvan8856 6 месяцев назад +12

    🎉🎉🎉🎉 feel loved from Kenya bro I like your good work

  • @selemanramadhani-sc5ln
    @selemanramadhani-sc5ln 5 месяцев назад +2

    Wema mpokee mshikaji Tiba hanayo

  • @MagesaMkama
    @MagesaMkama 3 месяца назад

    Huu ndo wimbo wa akili so wale mataira wa kukesha kuimba nyimbo za matusi na chuki. big up broo

  • @MariaVeronica-h7m
    @MariaVeronica-h7m 21 день назад

    Nakukubali sana best naso❤❤❤❤

  • @LenickMesco-wc8ud
    @LenickMesco-wc8ud 5 месяцев назад

    Waoooh good music my brother🥰🥰

  • @fabricekamate1359
    @fabricekamate1359 4 месяца назад

    Tunakupenda goma drc congo

  • @yustina4621
    @yustina4621 5 месяцев назад

    Best nasso Ni mmoja tu

  • @JumanneMwita
    @JumanneMwita 5 месяцев назад

    Nice your song like your song nimeipenda

  • @KevooNhamuka
    @KevooNhamuka 5 месяцев назад +2

    Uyu mwamba yuko vzuri,kama unaujuwa mziki mkali lazima utkubali hi

  • @vedastusrobert7744
    @vedastusrobert7744 4 месяца назад

    wimbo mzuri best nasso

  • @pascodeeofficial289
    @pascodeeofficial289 5 месяцев назад +2

    Huu ushamba huwezi kuja kuimba kasoro za mtu kama hivo si kwamba yeye kapenda kuwa hivo.

  • @jaxmkada6797
    @jaxmkada6797 6 месяцев назад +4

    Naso, Welcome to my story "BLACK ROSE"

  • @BRAINWORKSFILM
    @BRAINWORKSFILM 5 месяцев назад +1

    Best naso big up from Kenya remember you from ogopa djs ... moses osidiana

  • @esthernjeru1480
    @esthernjeru1480 5 месяцев назад +2

    Penda ww sana! Nyimbo zako zinaelimisha

  • @MmLeimba
    @MmLeimba 5 месяцев назад

    Jamaa anajua aisee

  • @KelvinMassawe-sh8dj
    @KelvinMassawe-sh8dj 6 месяцев назад +4

    Best naso hujawahi aribu brother nice song

  • @danielkagola6332
    @danielkagola6332 5 месяцев назад

    Mwamba anajua sanaa bs tu

  • @MorrisNzomo-q9n
    @MorrisNzomo-q9n 6 месяцев назад +2

    Tanzania ina Wanamziki hila Mimi Namukubali sana Best Naso .
    Chukua Maua yako Bro Nakutabua sana 🫡🫡🫡 🇰🇪

  • @TabiaMwaisumo-ss7pz
    @TabiaMwaisumo-ss7pz 5 месяцев назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥nakupenda sana best naso

  • @BENJAMINTHADEOKATOZ
    @BENJAMINTHADEOKATOZ 5 месяцев назад +2

    Best naso steal the one kwenye utunzi wake wa mashairi

  • @thabealaizer3313
    @thabealaizer3313 5 месяцев назад

    Wimbo mzuri na mzuri tena😊

  • @glorynyarandu-ln8rc
    @glorynyarandu-ln8rc 5 месяцев назад

    ❤❤❤❤nakukubali sana best nasso

  • @danystar7878
    @danystar7878 5 месяцев назад

    Bonge La Ngoma Duuuu 🙌🙌🙌🙌🙌

  • @PeterMbezi-q2q
    @PeterMbezi-q2q 4 месяца назад

    Uyu jamaaa namkubali sana

  • @Elkapmuadi
    @Elkapmuadi 6 месяцев назад

    Freesh sana best naso, niko congo🇨🇩

  • @fearful254
    @fearful254 6 месяцев назад +6

    Best naso napenda Ngoma zako for free Mimi ni muimbaji wa nyimbo za injili kutoka kenya

  • @tobadinamhegele8055
    @tobadinamhegele8055 6 месяцев назад +6

    Sema upone mi nakukubali acha tu

  • @shafiichusi1897
    @shafiichusi1897 6 месяцев назад +1

    sepetu wemaaa umesikia kutoka kwa best nasso...🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌......

  • @Joseph-jz2zh
    @Joseph-jz2zh 6 месяцев назад +6

    ujio wawasan huwa nulu ila kumbuka bst naso anakufundisha kitu ambacho hazina yako❤

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 5 месяцев назад +2

    Sasa wema wahi ukachukue mtt kwa naso changamka mama

  • @MATEOJOSEPH-nc8gf
    @MATEOJOSEPH-nc8gf 6 месяцев назад +98

    Ambao mnakubali kazi za Best Naso tujuane Kwa Like anbaye anae Wema hebu amuachie best Naso Kwanza

    • @HAMISICHACHA
      @HAMISICHACHA 6 месяцев назад +4

      Umeona e

    • @HAMISICHACHA
      @HAMISICHACHA 6 месяцев назад +1

      Acha 2

    • @Furahin
      @Furahin 6 месяцев назад +2

      Amuachie jamn naso kitu ya watu hainanga mbaya aki

    • @moblackwakwanzamo3916
      @moblackwakwanzamo3916 5 месяцев назад

    • @MirajChambo
      @MirajChambo 5 месяцев назад +1

      Naitwa miraji mussa chambo mshabiki wa best naso huyujamaa najua

  • @RechaelEasily
    @RechaelEasily 6 месяцев назад +6

    MY boy nini Tena kinaendelea kwenye moyo wako

  • @isneyathuman
    @isneyathuman 6 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤ nakupend

  • @mauridjuma8806
    @mauridjuma8806 5 месяцев назад +2

    good song umemwimbia wema sepetu