Best Naso - Narudi Kijijini (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 янв 2023
  • #BestNaso #Narudikijijini #SlideDigital
    (C) Slide Digital
    Best Naso Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    ffm.bio/qwm8md
    Written & Performed by Best Naso
    Follow Best Naso on:
    profile.php?...
    / bestnasotz
    / bestnaso
    open.spotify.com/artist/39MQM...
    / yamoyoni-single
    www.boomplay.com/search/defau...
    audiomack.com/bestnaso
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 491

  • @brendagrasher7270
    @brendagrasher7270 3 месяца назад +143

    Kama unaiskia hii ngoma 2024 nipee likes😊🥺🫂

  • @davidsaleh8869
    @davidsaleh8869 4 месяца назад +58

    Kama upo apa 2024❤❤❤ gonga like

  • @stevanish585
    @stevanish585 2 месяца назад +42

    Kama mda huu unasikiliza ngo hii nipe like❤❤

  • @HansBisimwa
    @HansBisimwa 2 месяца назад +12

    Gonga like hapa kama umeitazama hii hit in 2024

  • @maobundala3376
    @maobundala3376 Год назад +524

    Hii Ngoma ilinitoaga machozi hicho kipnd kulingana na maisha 😔 kama unaikubali hii Ngoma Gonga like twende wote ♥️

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 3 месяца назад +40

    Kama upo 2024 unasikiliza ngoma hii tujuane

  • @MussaMaximiliani
    @MussaMaximiliani 13 дней назад +3

    Kama usikiliza ngoma hii gonga like 21/6/2025

  • @user-el1mb5qe2c
    @user-el1mb5qe2c 3 месяца назад +46

    Panga la zamani ukali ule ule 2024 kama tuko pamoja gonga like twende sawa

  • @anneakimana-od6bq
    @anneakimana-od6bq Год назад +156

    Kama unasikiliza wimbo huu 2023

  • @Akili820
    @Akili820 9 дней назад +1

    Kama uko nasikiliza hi nyimbo leo 2024 dondosha like hapa 🇨🇩🇨🇩☝️

  • @user-et2gb4xw5u
    @user-et2gb4xw5u 2 месяца назад +8

    Wale tunaosikiliza hii nyimbo 2024 tujuane❤

  • @muzunguabdulaziz2400
    @muzunguabdulaziz2400 5 месяцев назад +5

    kila kitu kina mwisho...duniani tunapita🔥🔥🔥🔥👏👏👏

  • @bonifacewasonga8295
    @bonifacewasonga8295 4 месяца назад +16

    This guy is badly talented. Hongera Sana Best Nasso. Siku 1 nikiwa Rais/Mbunge ntakualika Uje unitumbuize❤❤❤❤. Mad Respect, pokea Maua yako🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @ericahmutune1394
    @ericahmutune1394 Год назад +95

    My first time kuisikiza na nimeipenda❤kenya twapenda vina ujumbe kama hizi. Kama hii wimbo imekufunza kitu tia kidole hapa

  • @mussahancy6591
    @mussahancy6591 5 месяцев назад +28

    Gonga like tuliosikiliza 2024

  • @QueenFlora-zb5sn
    @QueenFlora-zb5sn 6 месяцев назад +5

    Yaani hii ngoma apana nakumbuka mbali sana❤❤❤❤

  • @user-ql3ie4kl8o
    @user-ql3ie4kl8o 5 месяцев назад +5

    Naupenda huwimbo sana❤❤

  • @PamelaJonas-dh6lg
    @PamelaJonas-dh6lg 10 месяцев назад +5

    Penda sana wewe best naso Mungu akulinde

  • @NancyNash955
    @NancyNash955 6 месяцев назад +39

    2024 n still a vybe with lots of memories😢😊❤❤

  • @janewamboh1657
    @janewamboh1657 4 месяца назад +18

    Am still in love with this song 💖💖 in 2024🎉 from 🇰🇪

  • @Macho_Ya_Huruma_Na_Moyo_Je
    @Macho_Ya_Huruma_Na_Moyo_Je Год назад +35

    Tangu utotoni miaka kumi iliyopita na nkama ni juziu BEST Nasso to the world 🔥🔥

  • @NancyNash955
    @NancyNash955 6 месяцев назад +16

    This song still hits me diff since I knew it when living with distant relatives,,,,it wasn't easy from one house to another😢😢😢11:47 on 6/1/2024 still listening😢😊

  • @user-je8cu3nu2s
    @user-je8cu3nu2s 4 месяца назад +10

    2024 ngoma bado inaleta raah

  • @ElizabethShija-do9vr
    @ElizabethShija-do9vr 5 месяцев назад +6

    Hiii ngoma ina nikumbusha mbali sana niliko toka daah naipenda kiufup

  • @lucymtuka3199
    @lucymtuka3199 9 месяцев назад +7

    Bora urudi kwa mama yako mwanangu huu wimbo unamafunzo sana

  • @wybzokizzy4416
    @wybzokizzy4416 Год назад +180

    Best Nasso song still a hit in 2023🔥🔥🔥 love from Kenya 🇰🇪🇰🇪

    • @emilianmbogela6547
      @emilianmbogela6547 Год назад +2

      GOOD

    • @joeyseclipse3117
      @joeyseclipse3117 10 месяцев назад +3

      If things get tough in the CBD or cities we go back to the drawing board... kanairo tings ain't going well. Moshatha is calling buana🤣🤣🤣

    • @violetolero4314
      @violetolero4314 6 месяцев назад

      ❤❤

    • @FlorenceNjogu-xl3pw
      @FlorenceNjogu-xl3pw 3 месяца назад +1

      Mimi narudi kwetu subukia😂

    • @wybzokizzy4416
      @wybzokizzy4416 3 месяца назад

      @@FlorenceNjogu-xl3pw Nakuru 😂😂😂

  • @athumanmvung2947
    @athumanmvung2947 6 месяцев назад +15

    Kuelekea 31/12/2023 kwenda 2024 tujuane

  • @magdalinemusau1158
    @magdalinemusau1158 Год назад +6

    aii ni kweli bora ukae maskini kuliko kua mtumwa wa mapenzi

  • @williammasinde9186
    @williammasinde9186 2 месяца назад +6

    Firt listened this song after strong divorce, juu ya umaskini😥😥 huu wimbo ulinitoa machozi stii favorite 😢 all kenyans and Tanzanians wenye mnasikza kwanga tu hiyo like na salamu tukienda😢

  • @simonmusongole8181
    @simonmusongole8181 Год назад +16

    🔥🔥🔥🎵🎶🎵 kwangu mi mpia nitaisikiliza paka kifo changu🚶🚶💯

  • @louvainamuri3212
    @louvainamuri3212 Год назад +14

    Wimbo mzuri za Jana, leo, na kesho... Wa congomani tuna kubali🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @user-xl3kb9lx9j
    @user-xl3kb9lx9j 2 месяца назад +4

    Hi ngoma kali Kam unakubali naomb like yako❤

  • @amiyorobaa5594
    @amiyorobaa5594 Год назад +52

    My best song !!. Since 2013..... repeat button kila time.. TUTOKE pia was top.. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @kevinnjeru5385
    @kevinnjeru5385 12 дней назад +1

    ngoma kali sana

  • @user-xh7wy2mi2j
    @user-xh7wy2mi2j 15 дней назад

    Kwa kweli tz imepoteza mvuto wa uimbaji. Skiliza nyimbo za zamani gisi zinaladha kuliko za sasa. Asante best nason

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 Год назад +6

    hingoma ilikua kalisna icho kipindi 🇨🇩 APA hingoma ilifanyaga vizuri sn

  • @user-df8vy2gf9e
    @user-df8vy2gf9e 9 месяцев назад +3

    Mpaka leo hii bado naupenda sana Yan sana na huyu jamaa anaimba nyimbo nzuri sana sema wabongo vichwa ngumu wanamuziki wazuri hatuwasapoti

  • @user-rd4in1io8d
    @user-rd4in1io8d 10 месяцев назад +6

    Naipenda sana nyimbo hii Kwanzaa Enzi zile mpaka sasa

  • @user-wo3pd3en4j
    @user-wo3pd3en4j 10 месяцев назад +7

    Hii ngoma ilitamba afu bonge la ujumbe ,wajumbe hatujatendea haki hii ngoma Bado Ina nafasi kubwa hatariiii

  • @WEZOMBIE47
    @WEZOMBIE47 11 месяцев назад +7

    Brother rudi kwenye game
    Njoo home mziha negero tuliani madizini tumekumis kaka

  • @user-tj2pu3mt7m
    @user-tj2pu3mt7m 4 месяца назад +5

    From mbeya mumalila 2024 bado naikubali nipo dar__salam nataka nirundi mbeya

  • @amimo3904
    @amimo3904 Год назад +16

    nmerudi huu mwaka tena kusema hii ngoma remains the main hit

  • @user-qq3bi4eh8x
    @user-qq3bi4eh8x 6 месяцев назад +4

    Nani kama best naso maisha marefu kwako broo by madoni member kahama moja

  • @josemangula8806
    @josemangula8806 Год назад +5

    Hu wimbo simu yangu ya kwanza kununua na ilikuwa kiswaswadu ilikuwa na hu wimbo tu nakumbuka wakat huo nipo kijijini njombe nalima ndo nimetoka tu kumaliza shule ya msingi mda wote napiga hu wimbo

  • @roggerssimon122
    @roggerssimon122 2 месяца назад +3

    Dah nmekumbka mbal sana 😢😢😢😢nmejkuta nakumbka ndg na rafk nliowazika RIP wote waliotanguliaa😢😢😢😢😢😢

  • @bornfaceadeya9165
    @bornfaceadeya9165 2 месяца назад +3

    Nyimbo lenye funzo.

  • @isaacmalala2349
    @isaacmalala2349 3 месяца назад +2

    Niliwahi lia siku moja hii ngoma ikicheza

  • @jacque21
    @jacque21 9 месяцев назад +4

    Nani hataambia best naso vile nampenda haki❤❤❤❤❤

  • @ashamahadi5281
    @ashamahadi5281 Год назад +10

    Wimbo huu haunishi hamu napenda kuisikiliza zaidi na zaidi mashairi yana ujumbe mzuri tamathali za semi zipo muruwa.

  • @chitwangandembo6302
    @chitwangandembo6302 11 месяцев назад +29

    Dah hii ngona miaka hio kwenye top 10 ya dijaro arungu kila week inashika namba moja mwaka mzima wale wamikoani mnaelewa tupien like hapa twende wote✌🏽

  • @user-jr3li4zm7m
    @user-jr3li4zm7m 6 месяцев назад +2

    Hii ngoma hainiishi hamuu siku zotee

  • @user-lg7tm9jx2b
    @user-lg7tm9jx2b 6 месяцев назад +2

    Kaka nyimbo zako nzuri kweli.

  • @emmaakumu4911
    @emmaakumu4911 Год назад +20

    My favourite song hii 2023,wap likes za best naso

  • @babubrown45-wr1lo
    @babubrown45-wr1lo 8 месяцев назад +4

    Niliwah kupata mchepuko ukwa na dharu nilivyo ipg hi ngoma mbna alia 😭😭 na dharau alicha sik iyo nakubal best naso

  • @zuwenakidumba3384
    @zuwenakidumba3384 Год назад +6

    huyu broo namkubali saanaaa

  • @musaking8838
    @musaking8838 Год назад +13

    Hii ngoma sichoki kuianglia mpaka maisha yajayo

  • @innocentjoseph805
    @innocentjoseph805 25 дней назад

    Mchukuwe/ akikiba, diamond ,harmonize hawawezi tunga nyimbo nzuri kama hii, salute kwako my home boyo

  • @user-wm5nm2zj7n
    @user-wm5nm2zj7n 3 месяца назад +1

    Hii ngoma kali🔥

  • @user-yy7dd5rx7k
    @user-yy7dd5rx7k 5 месяцев назад +3

    2024 hizi ndo nyimbo zenye ujumbe,unaweza sikiliza hata ukiwa umekaa seating room na wazazi wako

  • @MoiseIrumva-qc2fu
    @MoiseIrumva-qc2fu 4 месяца назад +2

    Bado unanizonga huu wimboo2024🔥🔥🔥

  • @violetmsonde8737
    @violetmsonde8737 Месяц назад

    Niliupenda saaana huu wimbo. Ni message moja nzuri saana

  • @dorcasnyongesa2080
    @dorcasnyongesa2080 5 месяцев назад +3

    Nyumbani kwetu ni maskini sawa;lakini si ulinikuta naishi bana😢the nostalgia is real

  • @doreenfelician1241
    @doreenfelician1241 10 месяцев назад +3

    Dah hu wimbo naupend mpk sasa

  • @edimundjanuary170
    @edimundjanuary170 6 месяцев назад +3

    Kuna nyimbo unaweza ichukulia simple ila imebeba ujumbe mkubwa sana,ukilinganusha na matukio yanayoendelea,kwa waliokuwa na kipato kikubwa kuliko waume zao ni mara chache kuwapenda wazazi wao na wanapenda kutawala maeneo yote ingawa imeimbwa kumlenga mwanamke ila wanaume nao wapo,Mzazi ni mzazi tuu.

  • @CosmasMunge-mb2cg
    @CosmasMunge-mb2cg 5 месяцев назад +2

    Tumeishi kwa ndugu na tumeona manyanyaso waliyonayo na tunapousikiliza huu wimba hakika unatukumbusha yote.

  • @neemameshack105
    @neemameshack105 Год назад +10

    Wimbo huu ni maisha harisi ksbisaaa❤️❤️❤️❤️2023

    • @osakyosaky
      @osakyosaky Год назад

      Kila mtu anachek hii ikoj 🎉

  • @esthermoti5339
    @esthermoti5339 Год назад +12

    Nyimbo nzuri sana nimeupenda huu wimbo

  • @arnoldkasoma886
    @arnoldkasoma886 Год назад +22

    Best Singer All the time...

  • @user-wq8qd1ny3t
    @user-wq8qd1ny3t Месяц назад

    Nyimbo ni mzuri Sana nime angaria mara 1000

  • @afaqsur3883
    @afaqsur3883 7 месяцев назад +2

    Inanikumbusha mbali sana kimaisha

  • @MilkaKabangi
    @MilkaKabangi 13 дней назад +1

    The way I love this song ❤❤❤❤❤❤....

  • @collinsmunialo7431
    @collinsmunialo7431 4 месяца назад +3

    nyumbani kwetu ni maskini SAWA, lakini si ulinikuta naishi 💯📌@254

  • @nicksonwangila9274
    @nicksonwangila9274 10 месяцев назад +3

    Mwoootooo.
    Truth about love.

  • @user-ws3zj1wn9j
    @user-ws3zj1wn9j 28 дней назад

    😢😢 hakika kaka nassoro salum nakupenda kaka yangu imba basi kama mwanzo ulivyo kuwa ukiimba hivi kama vile narudi kijijini na mamu wa dar na nipe nafasi na maisha ni utata na salome na nitakusahau na khadija na usitoe mimba yangu na tuma ringa na Hellena na lemika na wanawake wabaya

  • @TwitikeMwakyonde
    @TwitikeMwakyonde Месяц назад

    Acha,tumaisha,aya,tumuombe,mungu,manyanyaso,kwangu,sum,

  • @AdrianomarcelinoMangasala
    @AdrianomarcelinoMangasala 5 месяцев назад +1

    ❤napenda sana kusikiliza muziki huu

  • @shedrackchristopher2611
    @shedrackchristopher2611 19 дней назад

    Hii Ndo Ngoma yangu Bora ya mda wote kutoka kwa bast nasso

  • @Herimilende96
    @Herimilende96 Год назад +7

    Mimi wa kwanza like zangu

  • @SalmaKhamis-ew5kz
    @SalmaKhamis-ew5kz Месяц назад

    Sikuja dar salaama kushangaa mataaa 🥰🥰🥰

  • @Boazi_TV
    @Boazi_TV Месяц назад

    Duuuh namim nakuunga mkono hata kam n ndug mateso syatak bola nkaish maisha yangu ya enz

  • @user-iv2qy4wn3c
    @user-iv2qy4wn3c 7 дней назад +1

    Mama cooki

  • @OlimpyaMachange
    @OlimpyaMachange Месяц назад

    Aisee Ngoma inanikumbusha mbali saaana.

  • @user-cr8cs2qc8f
    @user-cr8cs2qc8f 2 месяца назад

    Naso hii ngoma kali sana.big up bro❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @elizabethnguma3379
    @elizabethnguma3379 3 месяца назад

    Watu wa zamani mlikua na mziki mzuri,,,,nmelia 😢🫂🫂

  • @sharonabok-vm3vv
    @sharonabok-vm3vv Год назад +33

    Best song ever it actually reminds me far.thankz best naso live long bro

  • @reginahkiswili825
    @reginahkiswili825 2 месяца назад

    Bado ngoma iko sawa 2024

  • @naomijulius4271
    @naomijulius4271 4 месяца назад +25

    Waliorudi Tena 2024 Gonga like😊

    • @TwitikeMwakyonde
      @TwitikeMwakyonde 3 месяца назад +1

      Kisa,umeletwa,mjini,imekuwashida,manyanyasokwangu,sum

  • @momedebacar5575
    @momedebacar5575 Год назад +4

    Ngoma Kali🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @mohamedjumbe9309
    @mohamedjumbe9309 Год назад +4

    iih Ngoma ni balaa kabisa

  • @user-ox5lc4cm6u
    @user-ox5lc4cm6u 6 месяцев назад +5

    Inafanya nimkumbke mama anguu dar!!❤🎉

    • @TwitikeMwakyonde
      @TwitikeMwakyonde 3 месяца назад

      Umenikumbusha mbalisana uuwimbo,kukaakwamtu,shidayataka,moyo,

    • @TwitikeMwakyonde
      @TwitikeMwakyonde 3 месяца назад

      Nabebavilago,vyangu,manyanyasokwangu,sum

    • @TwitikeMwakyonde
      @TwitikeMwakyonde 3 месяца назад

      Acha,tu,maishasafarindefu,mtuanamuakukuchafuatu manyanyasokwangusum

  • @user-xo4xq6rr3f
    @user-xo4xq6rr3f Месяц назад

    Ngoma ya zamani iko juu kuliko za Sahii ❤😂

  • @indiansonglomanticlove8493
    @indiansonglomanticlove8493 Год назад +4

    Sema mziki ukiujua umejua tuu

  • @joycemshai2452
    @joycemshai2452 Месяц назад

    Nime tafuta hii nyimbo waaa kila niki andika haiji bt nashukuru mugu nimeipata roho ime ridhika. Big up ❤

  • @luchirimusa231
    @luchirimusa231 Год назад +48

    kama ushai ishi kwa ndugu wa damu au lafiki wa dhati unaielewa hii ngoma sana. manyanyaso kisa nipo kwako wee usinikumbushe. 2023 gonga likes

    • @Lilian-gx9wg
      @Lilian-gx9wg 5 месяцев назад +3

      Kuishi n mtu wa damu ni shida tupu cwez kusahau nilichopitia 2018 😢😢 hpo mm n mgeni mjini

    • @MinaahOmary-wd8ls
      @MinaahOmary-wd8ls 2 месяца назад

      😢😢😢

    • @meryrogey
      @meryrogey 19 дней назад

      Acha kbsaaa hayaa maisha asikuambiee mtuuu

  • @EstherKaveza
    @EstherKaveza 6 месяцев назад +1

    Napenda sana songs za Best naso Nampa pogezi❤❤❤❤

  • @MATIKOINSPIRES
    @MATIKOINSPIRES 2 месяца назад

    So touching. Napenda sana ila pia naumia sana

  • @johnmainamuturi1162
    @johnmainamuturi1162 День назад

    Iko na message kwa vijana wa sasa

  • @swaumuntandu9127
    @swaumuntandu9127 Месяц назад

    Jaman zilipendwa 2024 mpoo🎉🎉

  • @MASHAKAMNYONGE
    @MASHAKAMNYONGE Месяц назад

    Mpk sasa ngoma ipo moto na ujumbe wake

  • @josephsayi3236
    @josephsayi3236 6 месяцев назад +1

    Nzuri hii, mafundisho inanikumbusha mbali sana,