Best Naso - Mrudishe Dada (Official Music video)
HTML-код
- Опубликовано: 30 ноя 2021
- #BestNaso #MrudisheDada #SlideDigital
(C) Slide Digital
Best Naso Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.bio/qwm8md
Written & Performed by Best Naso
A girl who fell in love with a man and decided to take on the responsibility of flirting with him without examining him. Follow this tragedy through this song. You will either get the meaning through my language or the melody i used!Enjoy!Album name (GIFT OF LIFE)
Artist: Best Naso.
Song: Mrudishe Dada.
Video Directed, Shot & Edited by Xaimaco.
For More Info:
Artis Booking:
+255 756 647 090
+255 714 439 177
Video Booking:
Director Xaimaco
saidymakongoro@gmail.com
+255 719 476 042
Follow Best Naso on:
profile.php?...
/ bestnasotz
/ bestnaso
open.spotify.com/artist/39MQM...
/ yamoyoni-single
www.boomplay.com/search/defau...
audiomack.com/bestnaso
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz Видеоклипы
Team nasso💕
Wekeni nguvu🔥
🔥🔥🔥🔥
Jamani best nasso anajuwa, ila sema wa Tanzania tunapenda wasani wenye sifa
Ukweli
Kabisa
Shida wangine watatumia nguvu za ziada kukubalika
Brother unajua saana sijawahi kukupinga kama umemuelewa huyu fundi wa Bongo Flava like tujuane
Hongera sana kwa wimbo nzuri sana.
Best naso anajua kiukwl ambaye atampinga huyo m2 bc akazikwe kwa sasa
Good boys
Good boys
Daaaaaah Aise Namuelewa saana Huyu Mwamba
Hongera Naso, Unaimba nyimbo kila mtu anasikia sio kama wangine wanaimba za Vijana.I wish uwe Kinara wa East Africa Music.
Nasso wewe ni kifaa Cha jamii mim binafsi nakukubali Sana hongera.
Ukweli AKO fity
Kazi mzuri sana
www chuma nakubali nyimbo xako
Yan naso bas sina jinsi ila nakukubal sana
😭😭😭😭😭😭😭Sina la kukomenti Ila Nisha jikuta mwenye machozi
Imenitoa machozi nimemkumbuka ndugu yangu alikuwa akipigwa na mume wake siku moja alitoroka hakuludi hadi leo 😥😥😫😓😧
Kaka hongera sana kwa nyimbo nzuri👏👏👏👏❤❤❤
Nakupenda kaka yangu love you so much your songs
Kweli naso unaimba vinzuri nakupenda bule napenda uimbaji wako,
Kaziiii nzuriiii dada zetuuu jaman wana tabuuu sana acheni tu
Congratulations best naso hii wimbo mrudishe dada imenikuxa kwenye moyo ,,pick up mungu akujalie nguvu saidi ya kipawa kwenye ulimi yako mziki moto sana
Ki2 bomba
Mwanzaaaa iyoooo
Kazi njema Nasson
Best nasso we ni fundi
Moto best naso 💪💪🙌🙌👄👏👏👏💂
And I will always say you the bst artist, nyimbo zako zinamafunzi to our current generation, Kenya🇰🇪 in 🇬🇧🇬🇧#❤🔥🔥
Daah wimbo mzuri wa mafunzo zaidi,nguvu nyingi niza kutafutia familia sio za fita big up nazo🙏🙏
Duuuh my brother unajua kuimba masha llah
Kaliii #BestNaso mwe ye Jumbezake
Nakubali Madon member BRAZZA VILLY apa
ngoma kali sana broo saluti kwako 💪💪🤜🤜🇹🇿
Jamn best nyimbo zako huwa nazikukubali tangu nikiwa shule ya msingi ulipotoa wimbo wa tuma ,MUNGU azidi kukiinua jmn.
Hongera sana kaka besti naso unafundisha sana ♥️♥️♥️♥️♥️
Ngoma Kali Sana aiseee ujumbu mzur Sana
hamza. nakukubali sna best naso
Daah kiukweli kazi ni nzur sema sisi ambaye tunaimba kuelimisha ndo tuko chini sana wakupotosha jamii ndo wapo juu 💯✅
Naso nyimbo zako hazimalizi ladha bigap sana nakukubali mtuwangu
Next naso nakupenda wewe Adi nyimbo zako
Best naso u are the best unanimba songs za kuelemisha watu
Kaka unaongoza kwa nyimbo za kuelimisha wanasikiliza wakubwa mbaka watoto daah ningekuwa na uwezo wakukupa tuzo ningekupa nakuelewa tangu bola niludizangu vijijini tia comment yako hapa kama umemuelewa kama mimi
Nimekuelewa broo
Nakuelewa sana best naso
♥️♥️♥️🙏🙏
❤❤❤❤❤❤
Uko p w
Ast xaan na mim nimeipnda mungu akulide xaan Best naso
Hongera cn uko vinzuri unaimba mpaka raha
My favorite Artist in East Africa 🔥🔥🔥
Heshama kwako kaka hakika wenimwalim/
Mungu akuzidixhie brooo
Wimbo nzuri sana wenye hisia kali kwenye maisha halisia kama umekugusa kama mimi. GONGA LIKE.💙💙❤️❤️💛💛💛💚💚🙏
Hapa kama Beziii in Mwanza
Nzuri broo best nasoro
Hakika best naso nyimbo zako zina mafunzo sana Kwa jamiii ya Leo mungu akubariki sana
Yani best ww kiboko yao yani nakukubali sana mungu akubarki sana
Kroo saf bro imenigusa
Ngoma kaliii, duuh tatzo nyotatu axe ila jamaa yuko gd
Naso umenigusa hapa niliacha ndoa yangu kwa mingumi na dharau kama za uyo kaka ujumbe uwafikie wanaume wote wenye tabia kama hizi 🙏🏻
Saf sana best naso unaimba nyimbo nzur tofaut na nyngne
Hongera best ns nyimbo zako kal zinasisimua akli saf
Kaka nakuekenya salute mzee wee ni mkali, hujawahi feli💪💪pambana mwamba tuko nawewe
Naupenda wimbo mrudishe dada yang
Nakubali kakah piga kazi
ongeraaaa sana Kwa Kwa nyimbo zko zenye ujumbe,
Kazi yako na jina lenyewe laendana Best, BEST NAZO 🇰🇪 Love
Uko vizuri elimisha jamani
Hatali sana nasso nyimbo nzuri yenye ujumbe mzito sana
Best Naso...,, 🇧🇭 much love from Qatar
Wimbo mzuli Sana unaelimisha ata unaweza ukaweka ukasilikisa na watoto wakauelewa
Nakubal brother hujawah Kosea
Ongera sana best naso kwa ujumbe nzuri
Wimbo muzuri sana wenye mafunzo mazuri ndani
Mashairi yenye akiri
Daaah, huyu jamaa sijui kwanini! Ila basi tu!
Waooow bonge la message lazima wakae
Kaka umetisha sana
Ujumbe mzuri saaaana video nayo iko poa jaman ur the best
Kwangu wimbo wa milele,nisiseme wa mwaka.
Hongela Naso Best
Hongera best bro umeshinda ngoma kali mno mji wa kwetu sote unyanyasaji nooooo
Best naso hiyo Kali kalib kahama
Educative song.gonga like kama ume iona toka East Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Hizi ndio nyumbo unazoimba vizuri sana..yani umebobea kwenye nyimbo za mafunzo
Hi nyimbo inaniumiza sana sana nikiisikiliza nakumbuka mateso ya mama yangu 😭😭😭😭😭😭😫😫😫yapo kama haya pia nakumbuka mama yangu mdogo aliteswa na mume wake alimpiga anazimia siku moja alimpiga mpaka akafariki😭😭😭😭😭😭😭😫😫😫😫😭😭Ni kweli hii nyimbo ujumbe mzuri watu wengi wanapitia haya maisha God bless you
Best naso umeua goma kali sana 🔥🔥🔥
Big up bro ujumbe umefika
Ongela uko vizuri nyimbo zako zinafundisha
Hujawai kosea kuimba brother
Duuh safi sana kazi nzur sanaa
Best naso ni mmoja to hapa bongo
Brother nyimbo kali sna mpende dada yko asipigwe akakonda kwa mume mrudishe hajaua
Dahhhh nampend San mung azid kumbarik watoa tunz mwonen nayeee biggg up be
Best one since narudi vijijin hiii imetisha tenaa..
Safi kk ukopw
Mason kaka nakuaminia sana kwa nyimbo zako zenye ujumbe unaoeleweka sio kama wengine wamekazana matusi tu na mapenzi,,so mwingine ni bishoo toka kbg town dodoma wananiita machina the done
Kali kaka
Mwanza tena🇹🇿🔥🔥🔥
Bonge la ngoma umetisha best naso mungu akubaliki san
Naso nakupataji kaka maana ujawai towa nyimbo ovooo jamen
Hongera mzee baba nyimbo nzur
Funzo kubwa sana
Nakubali brother Best naso kwa tungo zenye ujumbe kwa jamiiii wengine wahuni2
Hongera sana best naso kaz nzur mngu akutangulie
Namkubali sana best kwenye nyimbo zako broo
Kazi nzuri mtoto Mara wakilisha vyema
Hongera sana brother nakubari sana nyimbo zako
Wimbo mzuli Sana yani wewe mungu akuongezee kipaji zaidi ya hapo napenda nyimbo zako zote kaka hongera nakupenda 💞💕💞💕💓💓♥️♥️🤲🤲🙏🙏🇹🇿😌😌 mungu yu nawewe popote
We si mshabiki wa daimond lkn😂😂😜
Sana Kaka me mwenyewepiy namwelewa sana
Ooo bwasheee mludishe dada yangu hongera naso
Ayah mzeh wew ni mwimbaji mzuri mno
Nakukubali miaka mia naso ase kwa nyimbo zako
I like this song so much good kaka mungu akuzindishie nyimbo zako zanifuza na sio mimi 2 kwakila rika aisee
Kaka Nasso ukovizuri
Kwa ujumbe mungu akujalie
Ujawai kubaatsha best basso uwezo unao
Mashabiki mnaoshabikia majina kuliko wadhafu wao mtaendelea kushabikia mpaka lini????????
Naso kaka hujawahi kuchapia ndomaana naendelea kukupa 💯✔️ hakika watanzania hatuna zaidi yako tunakupenda sana pambana nyuma tunakufuata kukupa zako surpoter
🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
kutesa wanawake ilikuwaga zamani
Kaka mm nakukubali san endelea hivy hivy mungu yupo kaka naso
Kali kaka nasoo 👊👊👊
Kaka best naso mara tunazidikuwakilisha mipia naimba by chans
Mwamba hii ngoma nakukubali sanaaaaaaaaaaa