Best Naso - Usitoe (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- #BestNaso #Usitoe #SlideDigital
(C) Slide Digital
Best Naso Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.bio/qwm8md
Written & Performed by Best Naso
Follow Best Naso on:
www.facebook.c...
/ bestnasotz
/ bestnaso
open.spotify.c...
/ yamoyoni-single
www.boomplay.c...
audiomack.com/...
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Besti naso natamani sana kuonana nawewe kwani nakukubali sana kwauimbaji wako hongela sana pambana kaka
Wale tunapenda ngoma za best nasso kutoka 254 pita na like
💌💌
Mungu awabariki sn mana siku zote nguvu yangu ni nyinyi sasa chakufanya kuonyesha uzarendo naomba kila mmoja anisaidie kupost wimbo huu Instagram na anitag jina @bestnasotz🙏
Umemaliza
Kiukweli utafika mbali Sana
Usjal mzee baba bamoko sana
Unajua Sana kaka
Bro naomba nichek 0719821623
Nilikutana nae msichana alinifunza mapenz..nikutana nae msichana akanifunz kuenzi..🔥🔥 km umeuelew hii kistari like twend sawa 🤗
Àrikata kuku sikirizia akaamua ayitoe arafu ikamuwua kwr mup pol
DUH,Huku watu hamlali,Best Naso bonge la msanii,Huku kenya tunakukubali sana Best Naso.
Naombeni likes zenu wadau
Safi sana Best Naso.
Safi sana Best Naso.
Pamojasana
Muziki mzuri na una elimisha 💯💯💯 Nasso 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 huu ndo muziki sio wa makiki na matusi Unastahiri Tunzo #BestNasso
Jaman nasso duh like kwahii ngoma.99 Na mm namalizia.1 zitimie 100% kalikinoma
Kaka pamojasa na
Duuh tamuuu sana
I love u my brother best naso hakika ningekuwa na uwezo ningekupa tuxo kubwa utabarikiwa zaidi twakuombea maulana apanuwe mipaka yako
Niliupenda sana wimbo 'nipe nafasi' miaka ya 2012. Ulikuwa wimbo wako tu pekee mtandaoni. Baadae ukaweka narejea kijijini. Asante kwa kuongeza nyimbo . Nakuenzi sana Toka Meru, Kenya.
Namkubali sanaa best naso ata waje kina mondy ata takataka zengine mbeleni my favourite musician best naso💪
Daa hii ngoma tam nimeipenda
Huyu jamaa hana supporter tu ni level zingne kabisa
The great song , inaelmxh xn naso Han nymbo uchwar n bx tu chak mam wa dar narud kijjn dah bg up naso
Oufffff!!!!🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩#Narudi angu kijijini#Naso#...
Ngoma iko vizuri sanaaaa
Best nasso ungepata mganga mzuri afrika nzima ungeishika
Daaaaah🤣😂😂😂
Live
Mganga ni Mungu pekeeake
Mungu mwema hofu kwenu
Kaza bubi usipkate tamaa
Kaka best nanoso hja wah kufel ngoma zako zina burudisha huku zina fundisha hongela kaka
Anajua mpaka anakeraa ...kwann mnafichwa
Msanii wangu pendwa nakukubali Sana kaka mkubwa, Ni vile tu hizi mbwa zinakuzidi mkwanja na nyota Ila kiuwezo uko VIZURI SANA,
.
Kama unaungana na Mimi nipe likes zangu apa
Hahahaa mbwa tenaaa
Mbwa wanazid mbwa mwenzao
Eeh!!
Ana mashabiki wake weng sana ambao hawako huko kwenye masifa na matusi
Kabisaaaaaaaaaaaa yaaani mondy hapa hashiki bas tuuuuu
Sanaaaa
Best naso mziki mzur sana hujawahi kukosea naso tangu nikufuhamu njimbo zako zimekuwa zakuelimisha nakutengeneza jamii ALLAH akujaliee kwenye kazi zako Kaka 🙏🙏
Ngoma kali sana like zenu yani 100 zinanitosha #Usitoe
ruclips.net/video/iuNB-fSsWNw/видео.html
🔥🔥🔥Sana beg up broo
Kizazi xana
Upon vzul sana basso Wang ngoma Kali kinyama
ruclips.net/video/5ak3a_1q9Ng/видео.html
Nakubal mwanangu mwenyewe naso yan #usitoe
Kutoka Kakukulu Ukerewe Mwanza bestnaso tuko pamoja
daaaah nyimbo za kufundishaa unasikilizaa mama baba Dada kaka bibi babu na wajukuuu daah respect xanaa kwako bro angu b...
TUNATAKA NYIMBO KAMA HIZI
ZINA UJUMBE KWA JAMII
Naombeni likes kwa huyu jamaa
#bestnaso 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nikweli kabisa ❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤ nakupend
Bestnaso tuna penda nyimbo zajo
Ngoma kali sana anatembea na biti ujumbe mzuri sana kaka😊😊😊
Ngoma inenikumbusha mbl sn so kunadem wng yp Mwanza mwezi jana nilikuwa ny alikuwa anapenda sn kuipiga big up brother ngoma kali
Good advice bro Tia bidiii
Tangu niujue mziki nikiwa mdogo sijapata kuona kama naso ameimba kitu kilicho nitokea namkubali sanaaaa kuliko wasanii woteeeee
Yk
Nakubali nyimbo zako kaka
BEST NASSO
Huu wimbo ni mzuri sana
Yan inabid ufanye MEDIA TOUR
ili kila mtu ausikie
Neema onesmo best naso mziki yako nimeipenda sana inaujumbe wa kiutuuzima pongez kwako naso
Usitoa mimba yangu vumilia kidogo najua unapenda bata sitareeh usitoa mimba yangu 😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
Kenyans in the house...mimba tusitoe...mimi pia naweka😘😘😘
Umeona e
❤❤ umeielewa vilivyo pia
Naona mziki mzuri umerudi
Funzo kubwa sana hili. Ahsante #bestnaso
Unajua sana bro
❤usitoe mimba yangu
Alieirudia mara kumi Kama Mimi naomba tujuane kwa like, huyu jamaa ni msanii, tangu narudi kijijini mpaka usitoe hamna tusi hata moja, best naso me najiuliza mpaka Leo, hivi huna damu yakisambaa kweli coz nilikusikiaga kwenye ngoma yakisambaa ukiwa na smart boy na mosi, kuanzia mombo hadi lushoto wanakukubali Sana brother, fanya kitu kwa ajili yao.
Nakukubali cn best naso
hajawai aribu uyu mzee baba...Namkubali toka 254 🇰🇪 my role model💪💪💪
Big up 👍kwa wote mlioirudia ngoma hii mwaka 2023
Safi sana mkali wao 🇰🇪🇰🇪🇹🇿✌🏽✌🏽🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Yes sirrrrrrrrr👍👍👍👍👍👍👍👍
Nyimbo nzuli yaushauli
Blooo ngoma zote nazikubali zinafundisha sana
Jamani mbona tunamsahau huyu jamaa
Hivi kwanini WATANZANIA 🇹🇿 huyu jamaa tusimsapoti kwa speed ya 4G
Absolutely true ✍️✍️
Bonge la pini daa jamaa anajua gonga like kama unamkubali best naso tumsaport
Weweeee
Nyimbo zake zote ziko na funzo...kwa namna moja au nyingine....He is the king of message..
Mwanangu umenena point,huyu mwamba amepambana miaka kadhaa,tumpelekeni mjini
Natamani uwe wimbo wa funga mwaka maana umenigusa sana na huu ndo utakuwa wimbo wa ushuhuda wangu ndani ya maisha yangu god bless you my brother best nassor
So amazing meupenda bt ule wa edga huwa ni story ya kweli ?coz huwa naupenda sana
Mungu akuongoze katika nyimbo zako
Noma sanaaaaa yan🔥🔥🔥🔥🔥
Basi Niko Congo naipenda sana muziki wako bro kazi njema yaya
Mara lazima tuendelee kusonga mbele big up brother song la kuelimishaa
Mshabiki NAMBA 1 wa nasooooo
Msanii Bora sana asiyesifika
Kwel aiseeeeeee yaaan nasikitika saana kumuona naso yuko apa daaaaah
Nakukubali mkuu wangu
Fundi wa mziki mziki halali usiochakachuliwa
Nikwel
Kweli braza asitoe🙏🙏🙏
best nasso nakupendaga sanaaaa unaimba nyimbo zinaelimisha big up sana
Brother Nakukubali kinyama imenigusa sna mungu akubalik kk naso
Best naso na chief maker mnautangaza uzuri sana Mkoa Wetu. Tangu Mwl ni ninyi tu sasa
Brother ipo sawa Ila imenichom
Hakika katika wasanii wang TZ ninaowapenda best nasso namba moja anafata alikiba then barnaba...na wengine wenye kujua kuimba nyimbo zenye ujumbe congratulation#Best Naso
Huyu jamaa anaweza knoma mwamba wa Kanda ya ziwa
Daaaaah hatar saaana saana kwann usitafute wasanii wakubwa ukawashirikisha jmnjmn
Kaz safi best naso my brother napenda kusikiza nikiwa gulf
tumetoka mbali.. tuma, nirudi kijijini, acha tu
Hii song iko na mafundisho ndani..congratulations best naso
Nice Nasso fundi wa music💯👍
Duh yani uyuu jamaaaa dah ananikumbusha wazazi
Usitoe mida yangu naso we ni shda unauwa vibe
Ase imenigusa kama kweli dah.. Inauma sana..
Daa bonge la ngoma
Unaimba nyimbo nzuri sanaaaa Mungu akubariki kwa nyimbo nzuri
best nasso on top sahv💣💣💣🔥🔥🔥🔥🔥🔥like nying sana kwake
Ngoma kali sana sema hapa kwenye kuzika umetuzingua
Fun Wa Best Nasso Tangu nko Primary school
Hiyo ngo usitoe mimba umetutoch sana best naso
Naso kama naso 🔥🔥
nyimbo zako naso zitadumu kwa vizazi vijavyo unafunza wengi na hii ndio maana ya mziki,ujumbe uwafikie
Best naso bana unaandika ssna yaan utafika baba pga kaz wala usikate tamaa
Naso makali Sana nimeipenda hii kk
Best Naso nakukubali kinoma 🔥🔥🔥💯💯💯
Namimi yilishanikuta huu wimbo unanikumbuxha balisana yani
Big up bst
Mungu akubariki sana jaman haujawahi kupoteza 🌹🌹🌹♥️♥️♥️🥰🥰
Kaka unajua sasa ata sjui Nini inasababisha Usikue nasafas zajuu kabisa Ila tunafurahi Sana unatufikishia ujumbe mzur wa mashair yako kaka unajua Sana 🔥🔥🔥
Tunakubal sana
Uko juu kuliko yeyote tz
💪💪💪,up best naso
Kama umeguswa like hapa
Pambana Juu ya Mziki Wako Wadau Hawakupendeh mema Bro bg Up Saan
Final umerudi kaka mashabiki zako tunakupenda milele.
Woopooooooooooopoooh
Best naso🔥🔥🔥🔥
Nakukubali sana naso yan nakupenda mpaka bs ukicheki pia uliniimba khadija daaah pamoja sana
Yan hii ngoma ata haichoshi kusikiliza.big up bro🍈
harmonica
Jaman huuu wimbo sichoki kutazama big up Bro nakuombea ufike mbali Na usichoke kutoa nyimbo Kali zenye kuelimisha jamii
Msani Best naso unani weza kwa hii song. Sijue Siku gani nitampata aliye kama Wewe huku DRC
Saf sana kaka
Usije ukaacha kuelimisha jamii kaka japo haupati sana support na kukua lkn yote ni mwenyenzi MUNGU anatujalia
Nc my home boy
Hatimae umenifanya niwe shabiki ako kwa hii ngoma umenikamata
Kaka m naelewa Sana nyimbo zako hazichuji kamwe