Best Naso - Usitoe (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #BestNaso #Usitoe #SlideDigital
    (C) Slide Digital
    Best Naso Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    ffm.bio/qwm8md
    Written & Performed by Best Naso
    Follow Best Naso on:
    www.facebook.c...
    / bestnasotz
    / bestnaso
    open.spotify.c...
    / yamoyoni-single
    www.boomplay.c...
    audiomack.com/...
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz

Комментарии • 1 тыс.

  • @ibrahimhamis5690
    @ibrahimhamis5690 2 года назад +7

    Besti naso natamani sana kuonana nawewe kwani nakukubali sana kwauimbaji wako hongela sana pambana kaka

  • @nancybungei9113
    @nancybungei9113 3 года назад +25

    Wale tunapenda ngoma za best nasso kutoka 254 pita na like

  • @BestNasoMusic
    @BestNasoMusic  3 года назад +295

    Mungu awabariki sn mana siku zote nguvu yangu ni nyinyi sasa chakufanya kuonyesha uzarendo naomba kila mmoja anisaidie kupost wimbo huu Instagram na anitag jina @bestnasotz🙏

  • @mirajihabibu6990
    @mirajihabibu6990 3 года назад +108

    Nilikutana nae msichana alinifunza mapenz..nikutana nae msichana akanifunz kuenzi..🔥🔥 km umeuelew hii kistari like twend sawa 🤗

    • @ntirenganyaamani1965
      @ntirenganyaamani1965 Год назад

      Àrikata kuku sikirizia akaamua ayitoe arafu ikamuwua kwr mup pol

  • @popotekambi4119
    @popotekambi4119 3 года назад +35

    DUH,Huku watu hamlali,Best Naso bonge la msanii,Huku kenya tunakukubali sana Best Naso.
    Naombeni likes zenu wadau

  • @allyhamisi6394
    @allyhamisi6394 3 года назад +30

    Muziki mzuri na una elimisha 💯💯💯 Nasso 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 huu ndo muziki sio wa makiki na matusi Unastahiri Tunzo #BestNasso

  • @amanisalim7939
    @amanisalim7939 3 года назад +41

    Jaman nasso duh like kwahii ngoma.99 Na mm namalizia.1 zitimie 100% kalikinoma

  • @mogesijomo7251
    @mogesijomo7251 3 года назад +3

    Duuh tamuuu sana

  • @edapalewesit7764
    @edapalewesit7764 3 года назад +5

    I love u my brother best naso hakika ningekuwa na uwezo ningekupa tuxo kubwa utabarikiwa zaidi twakuombea maulana apanuwe mipaka yako

  • @jefflangat6052
    @jefflangat6052 Год назад +4

    Niliupenda sana wimbo 'nipe nafasi' miaka ya 2012. Ulikuwa wimbo wako tu pekee mtandaoni. Baadae ukaweka narejea kijijini. Asante kwa kuongeza nyimbo . Nakuenzi sana Toka Meru, Kenya.

  • @aliciahmbura5943
    @aliciahmbura5943 3 года назад +9

    Namkubali sanaa best naso ata waje kina mondy ata takataka zengine mbeleni my favourite musician best naso💪

  • @RamecyMdumi
    @RamecyMdumi 4 месяца назад +2

    Daa hii ngoma tam nimeipenda

  • @sadicksamuel2005
    @sadicksamuel2005 3 года назад +5

    Huyu jamaa hana supporter tu ni level zingne kabisa

    • @wilekumila382
      @wilekumila382 2 года назад

      The great song , inaelmxh xn naso Han nymbo uchwar n bx tu chak mam wa dar narud kijjn dah bg up naso

  • @emmanuellusambya7889
    @emmanuellusambya7889 2 года назад +1

    Oufffff!!!!🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩#Narudi angu kijijini#Naso#...

  • @lumwechanhaiwa849
    @lumwechanhaiwa849 3 года назад +3

    Ngoma iko vizuri sanaaaa

  • @kawambwakawambwa1850
    @kawambwakawambwa1850 3 года назад +15

    Best nasso ungepata mganga mzuri afrika nzima ungeishika

  • @saidjuma6401
    @saidjuma6401 3 года назад +5

    Kaka best nanoso hja wah kufel ngoma zako zina burudisha huku zina fundisha hongela kaka

  • @benjaminsibonike3544
    @benjaminsibonike3544 3 года назад +6

    Anajua mpaka anakeraa ...kwann mnafichwa

  • @godchoosen4830
    @godchoosen4830 3 года назад +99

    Msanii wangu pendwa nakukubali Sana kaka mkubwa, Ni vile tu hizi mbwa zinakuzidi mkwanja na nyota Ila kiuwezo uko VIZURI SANA,
    .
    Kama unaungana na Mimi nipe likes zangu apa

    • @tinohmichaely5999
      @tinohmichaely5999 3 года назад +1

      Hahahaa mbwa tenaaa

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 3 года назад +1

      Mbwa wanazid mbwa mwenzao
      Eeh!!

    • @renzel306
      @renzel306 3 года назад +1

      Ana mashabiki wake weng sana ambao hawako huko kwenye masifa na matusi

    • @saidhatibu9565
      @saidhatibu9565 3 года назад +1

      Kabisaaaaaaaaaaaa yaaani mondy hapa hashiki bas tuuuuu

    • @yktitho6493
      @yktitho6493 3 года назад +1

      Sanaaaa

  • @abubakallyissapumzikakwaam7651
    @abubakallyissapumzikakwaam7651 3 года назад +8

    Best naso mziki mzur sana hujawahi kukosea naso tangu nikufuhamu njimbo zako zimekuwa zakuelimisha nakutengeneza jamii ALLAH akujaliee kwenye kazi zako Kaka 🙏🙏

  • @michozisaidi1419
    @michozisaidi1419 3 года назад +183

    Ngoma kali sana like zenu yani 100 zinanitosha #Usitoe

    • @shadyarif653
      @shadyarif653 3 года назад +1

      ruclips.net/video/iuNB-fSsWNw/видео.html

    • @deemusic8301
      @deemusic8301 3 года назад

      🔥🔥🔥Sana beg up broo

    • @silasluhamba6357
      @silasluhamba6357 3 года назад

      Kizazi xana

    • @alfayongoma4990
      @alfayongoma4990 3 года назад

      Upon vzul sana basso Wang ngoma Kali kinyama

    • @shadyarif653
      @shadyarif653 3 года назад

      ruclips.net/video/5ak3a_1q9Ng/видео.html

  • @bartazaricherango5518
    @bartazaricherango5518 3 года назад +1

    Nakubal mwanangu mwenyewe naso yan #usitoe

  • @markwambura2113
    @markwambura2113 3 года назад +3

    Kutoka Kakukulu Ukerewe Mwanza bestnaso tuko pamoja

  • @tinohmichaely5999
    @tinohmichaely5999 3 года назад +6

    daaaah nyimbo za kufundishaa unasikilizaa mama baba Dada kaka bibi babu na wajukuuu daah respect xanaa kwako bro angu b...

  • @issasalum6293
    @issasalum6293 3 года назад +19

    TUNATAKA NYIMBO KAMA HIZI
    ZINA UJUMBE KWA JAMII
    Naombeni likes kwa huyu jamaa
    #bestnaso 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @elizabethsacri970
    @elizabethsacri970 7 месяцев назад +1

    Ngoma kali sana anatembea na biti ujumbe mzuri sana kaka😊😊😊

  • @mathiasmassai8747
    @mathiasmassai8747 2 года назад +3

    Ngoma inenikumbusha mbl sn so kunadem wng yp Mwanza mwezi jana nilikuwa ny alikuwa anapenda sn kuipiga big up brother ngoma kali

  • @alexkaloki2414
    @alexkaloki2414 3 года назад +2

    Good advice bro Tia bidiii

  • @yktitho6493
    @yktitho6493 3 года назад +3

    Tangu niujue mziki nikiwa mdogo sijapata kuona kama naso ameimba kitu kilicho nitokea namkubali sanaaaa kuliko wasanii woteeeee

  • @apia-gv2mv
    @apia-gv2mv 3 месяца назад +2

    Nakubali nyimbo zako kaka

  • @adamernest4843
    @adamernest4843 3 года назад +18

    BEST NASSO
    Huu wimbo ni mzuri sana
    Yan inabid ufanye MEDIA TOUR
    ili kila mtu ausikie

  • @NeemaOnsama
    @NeemaOnsama Год назад +1

    Neema onesmo best naso mziki yako nimeipenda sana inaujumbe wa kiutuuzima pongez kwako naso

  • @barakajohnh.b8580
    @barakajohnh.b8580 2 года назад +3

    Usitoa mimba yangu vumilia kidogo najua unapenda bata sitareeh usitoa mimba yangu 😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏

  • @videlialabeka4899
    @videlialabeka4899 3 года назад +17

    Kenyans in the house...mimba tusitoe...mimi pia naweka😘😘😘

  • @ramadhanihasani3625
    @ramadhanihasani3625 3 года назад +3

    Naona mziki mzuri umerudi

  • @iamhasani_1797
    @iamhasani_1797 3 года назад +2

    Funzo kubwa sana hili. Ahsante #bestnaso

  • @technologictech2696
    @technologictech2696 3 года назад +3

    Unajua sana bro

  • @ConfusedFlipFlops-bm1xt
    @ConfusedFlipFlops-bm1xt 5 месяцев назад +2

    ❤usitoe mimba yangu

  • @musaguga
    @musaguga 3 года назад +22

    Alieirudia mara kumi Kama Mimi naomba tujuane kwa like, huyu jamaa ni msanii, tangu narudi kijijini mpaka usitoe hamna tusi hata moja, best naso me najiuliza mpaka Leo, hivi huna damu yakisambaa kweli coz nilikusikiaga kwenye ngoma yakisambaa ukiwa na smart boy na mosi, kuanzia mombo hadi lushoto wanakukubali Sana brother, fanya kitu kwa ajili yao.

  • @asnabughe4220
    @asnabughe4220 3 года назад +2

    Nakukubali cn best naso

  • @keivannymusic6194
    @keivannymusic6194 3 года назад +4

    hajawai aribu uyu mzee baba...Namkubali toka 254 🇰🇪 my role model💪💪💪

  • @MusaMusa-ik9ib
    @MusaMusa-ik9ib Год назад +2

    Big up 👍kwa wote mlioirudia ngoma hii mwaka 2023

  • @longututitajiri1426
    @longututitajiri1426 3 года назад +12

    Safi sana mkali wao 🇰🇪🇰🇪🇹🇿✌🏽✌🏽🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @alexsmb3241
    @alexsmb3241 3 года назад +2

    Yes sirrrrrrrrr👍👍👍👍👍👍👍👍

  • @mosesjustin8836
    @mosesjustin8836 3 года назад +7

    Nyimbo nzuli yaushauli

  • @amosilukosi9795
    @amosilukosi9795 3 года назад +1

    Blooo ngoma zote nazikubali zinafundisha sana

  • @miritonbikura5487
    @miritonbikura5487 3 года назад +9

    Jamani mbona tunamsahau huyu jamaa

  • @bobchanda2460
    @bobchanda2460 3 года назад +152

    Hivi kwanini WATANZANIA 🇹🇿 huyu jamaa tusimsapoti kwa speed ya 4G

    • @longututitajiri1426
      @longututitajiri1426 3 года назад +1

      Absolutely true ✍️✍️

    • @laifordjohn8375
      @laifordjohn8375 3 года назад +10

      Bonge la pini daa jamaa anajua gonga like kama unamkubali best naso tumsaport

    • @josephnziku8762
      @josephnziku8762 3 года назад +2

      Weweeee

    • @ericktom7919
      @ericktom7919 3 года назад +6

      Nyimbo zake zote ziko na funzo...kwa namna moja au nyingine....He is the king of message..

    • @luvboywcbnyamz534
      @luvboywcbnyamz534 3 года назад +3

      Mwanangu umenena point,huyu mwamba amepambana miaka kadhaa,tumpelekeni mjini

  • @ngollokante6968
    @ngollokante6968 3 года назад +7

    Natamani uwe wimbo wa funga mwaka maana umenigusa sana na huu ndo utakuwa wimbo wa ushuhuda wangu ndani ya maisha yangu god bless you my brother best nassor

    • @febronearmafwele3525
      @febronearmafwele3525 3 года назад

      So amazing meupenda bt ule wa edga huwa ni story ya kweli ?coz huwa naupenda sana

  • @redmioman8105
    @redmioman8105 2 года назад +2

    Mungu akuongoze katika nyimbo zako

  • @issathabiti2462
    @issathabiti2462 3 года назад +4

    Noma sanaaaaa yan🔥🔥🔥🔥🔥

  • @philemonkavutirwamaghusa9698
    @philemonkavutirwamaghusa9698 3 года назад +1

    Basi Niko Congo naipenda sana muziki wako bro kazi njema yaya

  • @youngfreezer8688
    @youngfreezer8688 3 года назад +3

    Mara lazima tuendelee kusonga mbele big up brother song la kuelimishaa

  • @paullusega909
    @paullusega909 3 года назад +1

    Mshabiki NAMBA 1 wa nasooooo

  • @kulwaboniphace3689
    @kulwaboniphace3689 3 года назад +4

    Msanii Bora sana asiyesifika

    • @abdulishaban7795
      @abdulishaban7795 3 года назад

      Kwel aiseeeeeee yaaan nasikitika saana kumuona naso yuko apa daaaaah

  • @bahatevagre933
    @bahatevagre933 3 года назад +2

    Nakukubali mkuu wangu

  • @shihume256
    @shihume256 3 года назад +27

    Fundi wa mziki mziki halali usiochakachuliwa

  • @beneboybeneboy4386
    @beneboybeneboy4386 3 года назад +1

    Kweli braza asitoe🙏🙏🙏

  • @vailethudson2771
    @vailethudson2771 3 года назад +3

    best nasso nakupendaga sanaaaa unaimba nyimbo zinaelimisha big up sana

  • @badrufadhili5872
    @badrufadhili5872 3 года назад +1

    Brother Nakukubali kinyama imenigusa sna mungu akubalik kk naso

  • @kirugaralucasmatutu9968
    @kirugaralucasmatutu9968 3 года назад +4

    Best naso na chief maker mnautangaza uzuri sana Mkoa Wetu. Tangu Mwl ni ninyi tu sasa

  • @donboyelisha405
    @donboyelisha405 3 года назад +1

    Brother ipo sawa Ila imenichom

  • @peter_paulofficialy
    @peter_paulofficialy 3 года назад +8

    Hakika katika wasanii wang TZ ninaowapenda best nasso namba moja anafata alikiba then barnaba...na wengine wenye kujua kuimba nyimbo zenye ujumbe congratulation#Best Naso

  • @cathernehuya7676
    @cathernehuya7676 3 года назад +2

    Huyu jamaa anaweza knoma mwamba wa Kanda ya ziwa

  • @abdulishaban7795
    @abdulishaban7795 3 года назад +5

    Daaaaah hatar saaana saana kwann usitafute wasanii wakubwa ukawashirikisha jmnjmn

  • @RowanWS
    @RowanWS 3 месяца назад

    Kaz safi best naso my brother napenda kusikiza nikiwa gulf

  • @khamissaid3083
    @khamissaid3083 3 года назад +3

    tumetoka mbali.. tuma, nirudi kijijini, acha tu

  • @AnneNyawara
    @AnneNyawara 18 часов назад

    Hii song iko na mafundisho ndani..congratulations best naso

  • @johmeryvitalis5350
    @johmeryvitalis5350 3 года назад +4

    Nice Nasso fundi wa music💯👍

  • @salummzengaeka9341
    @salummzengaeka9341 3 года назад +1

    Duh yani uyuu jamaaaa dah ananikumbusha wazazi

  • @shedrackatanasio9734
    @shedrackatanasio9734 3 года назад +4

    Usitoe mida yangu naso we ni shda unauwa vibe

  • @jacobkijida4290
    @jacobkijida4290 3 года назад +2

    Ase imenigusa kama kweli dah.. Inauma sana..

  • @kawambwakawambwa1850
    @kawambwakawambwa1850 3 года назад +6

    Daa bonge la ngoma

  • @rizikishemsaga7937
    @rizikishemsaga7937 2 года назад

    Unaimba nyimbo nzuri sanaaaa Mungu akubariki kwa nyimbo nzuri

  • @edwardnelson335
    @edwardnelson335 3 года назад +4

    best nasso on top sahv💣💣💣🔥🔥🔥🔥🔥🔥like nying sana kwake

  • @tktv5863
    @tktv5863 3 года назад +2

    Ngoma kali sana sema hapa kwenye kuzika umetuzingua

  •  3 года назад +4

    Fun Wa Best Nasso Tangu nko Primary school

  • @silvanusnjovu9440
    @silvanusnjovu9440 5 месяцев назад

    Hiyo ngo usitoe mimba umetutoch sana best naso

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 3 года назад +4

    Naso kama naso 🔥🔥

  • @omidopatrick9029
    @omidopatrick9029 8 месяцев назад +1

    nyimbo zako naso zitadumu kwa vizazi vijavyo unafunza wengi na hii ndio maana ya mziki,ujumbe uwafikie

  • @baaliyanuun416
    @baaliyanuun416 3 года назад +4

    Best naso bana unaandika ssna yaan utafika baba pga kaz wala usikate tamaa

  • @mapalwa-online-tv
    @mapalwa-online-tv 3 года назад +2

    Naso makali Sana nimeipenda hii kk

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 3 года назад +3

    Best Naso nakukubali kinoma 🔥🔥🔥💯💯💯

  • @Juliusdinya
    @Juliusdinya Год назад

    Mungu akubariki sana jaman haujawahi kupoteza 🌹🌹🌹♥️♥️♥️🥰🥰

  • @ronibiz6926
    @ronibiz6926 3 года назад +5

    Kaka unajua sasa ata sjui Nini inasababisha Usikue nasafas zajuu kabisa Ila tunafurahi Sana unatufikishia ujumbe mzur wa mashair yako kaka unajua Sana 🔥🔥🔥

  • @fabricekamate1359
    @fabricekamate1359 3 года назад +2

    💪💪💪,up best naso

  • @officialally1178
    @officialally1178 3 года назад +40

    Kama umeguswa like hapa

  • @georgejustinian8083
    @georgejustinian8083 3 года назад +2

    Pambana Juu ya Mziki Wako Wadau Hawakupendeh mema Bro bg Up Saan

  • @veronicamungure1768
    @veronicamungure1768 3 года назад +5

    Final umerudi kaka mashabiki zako tunakupenda milele.

  • @iguchipark8554
    @iguchipark8554 3 года назад +1

    Woopooooooooooopoooh

  • @fyahmnataliani6536
    @fyahmnataliani6536 3 года назад +4

    Best naso🔥🔥🔥🔥

  • @followersnew2944
    @followersnew2944 2 года назад

    Nakukubali sana naso yan nakupenda mpaka bs ukicheki pia uliniimba khadija daaah pamoja sana

  • @boniphacepiusmugeta5611
    @boniphacepiusmugeta5611 3 года назад +3

    Yan hii ngoma ata haichoshi kusikiliza.big up bro🍈

  • @peterlupimo4922
    @peterlupimo4922 3 года назад +1

    Jaman huuu wimbo sichoki kutazama big up Bro nakuombea ufike mbali Na usichoke kutoa nyimbo Kali zenye kuelimisha jamii

  • @jonasbusara8104
    @jonasbusara8104 3 года назад +3

    Msani Best naso unani weza kwa hii song. Sijue Siku gani nitampata aliye kama Wewe huku DRC

  • @mapesaomari6043
    @mapesaomari6043 2 года назад +1

    Saf sana kaka

  • @yeremiaaweda3843
    @yeremiaaweda3843 3 года назад +3

    Usije ukaacha kuelimisha jamii kaka japo haupati sana support na kukua lkn yote ni mwenyenzi MUNGU anatujalia

  • @habbymbegete9007
    @habbymbegete9007 3 года назад +2

    Nc my home boy

  • @reganikalenga8917
    @reganikalenga8917 3 года назад +3

    Hatimae umenifanya niwe shabiki ako kwa hii ngoma umenikamata

  • @doktmtanga7303
    @doktmtanga7303 Год назад +2

    Kaka m naelewa Sana nyimbo zako hazichuji kamwe