Roho ya mauti iepuke taifa la Tanzania na ulimwengu wote kwa jina la yesu kristo wa Nazareth aliye hai makataa kwa watu wakubwa pia na kwa watoto na wtu wote tuseme amen
Nakataa Roho za mauti ya kila aina, mauti ya mwili, mauti ya kiuchumi, mauti ya imani na kila aina ya mauti kwangu na familia yangu na ndugu zangu wote
Ee Mwenyezi Mungu utusamehe makosa yetu yote, nasi tunawasamehe wote kwa jina la Yesu Kristo, ninakataa roho za mauti kwangu na familia yangu na watoto zangu, na ndugu zangu wote na mume wangu kiafya, kiroho, kiuchumi, kielimu na kwenye nyanja zote kwa jina la Yesu Kristo
2 Mambo ya Nyakati 7:14 ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.
Nimekuelewa mtumishi wa Mungu ulawiti kwA watoto shuleni vijana mashoga Tz inang'ang'ana na bandari naamini ma'ana watu.wanang'ang'ana na uchumi kizazi kinaangamia.unafikili Mungu anapenda hali kama hili
1 Yohana 4:1-5 Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu. Na kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani. Ninyi, watoto wadogo, mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia. Hao ni wa dunia; kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia
Nakataa roho ya mauti kwangu Kwa baba wa watoto wangu na watoto wangu na familia yangu yote ktk jina KUU la YESU AMEEEN. Hatutakufa tutaish ili tuyathimulie matendo makuu ya MUNGU. AMEN
Makataa roho ya mauti kwangu, kwa familia yangu yote, na wote wasio na wakiombea, katika jina la Jesu Christo mwana wa Mungu aliye hai, Amina Amina Amina.
Nakataa roho za mauti kwenye familia yangu ukoo wangu watu wanaonihusu marafiki pia malioniumiza .BABA MUNGU NAOMBA UTUREHEMU BWANA TUMEKUTENDA DHAMBI BWANA.
Jukumu la Kuomba Ni Letu Sote Mathayo 26:39-41 Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe. Akawajia wale wanafunzi, akawakuta wamelala, akamwambia Petro, Je! Hamkuweza kukesha pamoja nami hata saa moja? Kesheni, mwombe, msije mkaingia majaribuni; roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu.
ili ukutane na ufalme wa mbinguni ni lazima tufe leo tunaambiwa tukatae kufa kweli hii inaingiia akilini mambo ya mungu ni siri. na kufa ni lazima ila kuishi si lazima. jua hilo
Ezekieli 18:20 Roho itendayo dhambi, ndiyo itakayokufa; mwana hatauchukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanawe, haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na uovu wake mwenye uovu utakuwa juu yake.
NAPINGA ROHO ZA MAUTI KATIKA MAISHA YANGU, MAISHA YA FAMILIA YANGU, MAISHA YA UZAO WANGU NA PIA KATIKA MATAIFA YETU, MUNGU KUTUEPUSHE NA KILA YA MAUTI KATIKA JINA KUU LIPITALO MAJINA YOTE JINA LA BWANA WETU YESU KRISTO WA NAZARETH MUNGU WETU ALIYE HAI AMEEEEEEEEN AND AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN AND AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN AND AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN AND AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN.
Isaya 38:1-6 (KJV) Siku hizo Hezekia aliugua, akawa katika hatari ya kufa; na Isaya nabii, mwana wa Amozi, akaenda kwa mfalme, akamwambia, Bwana asema hivi, Tengeneza mambo ya nyumba yako; maana utakufa, wala hutapona. Basi Hezekia akajigeuza, akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba Bwana, akasema, Ee Bwana, kumbuka haya, nakusihi, kwamba nimekwenda mbele zako katika kweli na kwa moyo mkamilifu, na kutenda yaliyo mema machoni pako. Hezekia akalia sana sana. Ikawa, neno la Bwana likamjia Isaya, kusema, Enenda ukamwambie Hezekia, Bwana, Mungu wa Daudi, baba yako, asema hivi, Mimi nimeyasikia maombi yako, nimeyaona machozi yako; tazama, nitaziongeza siku zako, kiasi cha miaka kumi na mitano. Nami nitakuokoa wewe, na mji huu, na mkono wa mfalme wa Ashuru, nami nitaulinda mji huu.
Ezekieli 18:20-22 (KJV) Roho itendayo dhambi, ndiyo itakayokufa; mwana hatauchukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanawe, haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na uovu wake mwenye uovu utakuwa juu yake. Lakini mtu mbaya akighairi, na kuacha dhambi zake zote alizozitenda, na kuzishika amri zangu zote, na kutenda yaliyo halali na haki, hakika ataishi, hatakufa. Dhambi zake zote alizozitenda hazitakumbukwa juu yake hata mojawapo; katika haki yake aliyoitenda ataishi.
Nabii wa kweli Kwa mujibu wa maandiko akisema leo mvua inanyesha kweli inanyesha.Ila nyie manabii mnaosema naona kama nyie manabii wa mnaoongozwa na roho mtaka vitu
Ndugu kwanza unatakiwa ujue Maana ya Unabii na Nabii, Unabii ni ujumbe ulioongozwa na roho ya Mungu, ufunuo kutoka kwa Mungu. Biblia inasema kwamba manabii “walisema yaliyotoka kwa Mungu kama walivyoongozwa na roho takatifu.” (2 Petro 1:20, 21) Kwa hiyo, nabii ni mtu anayepokea ujumbe kutoka kwa Mungu na kuwapitishia wengine ujumbe huo.-Matendo 3:18. KUNA WATU WALITABIRI NABII ZIKAJA KUTOKEA BAADA YA MIAKA MIA3 UKO. NABII ISAYA ALITABIRI AKASEMA TAZAMA BIKIRA ATACHUKUA MIMBA NA KUZAA MTOTO MWANAMUME. LAKINI UNABII ULE ULITIMIA BAADA YA KIPINDI KIREFU SANA. Kaa vizur na Mungu alieziumba Mbingu na Nchi 🙏 Na kwa uwezo wa Roho wake MTAKATIFU atakufundisha. Na utajua Upi ni ujumbe uliotoka kwa Mungu na Upi sio.
Yoeli 2:13 rarueni mioyo yenu, wala si mavazi yenu, mkamrudie Bwana, Mungu wenu; kwa maana yeye ndiye mwenye neema, amejaa huruma; si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema, naye hughairi mabaya.
@@ELIYA33 Sasa unapowaambia watu wakatae Roho za mauti wakati Mungu alisema hakika mtakufa ilikuwaje apo? Na mm nakushauri kama mtu wa MUNGU waambie watu waache dhambi na siyo kukataa Roho za mauti mtu anakataaje Roho ya mauti wakati angali mwenye dhambi?? Mshahara wa dhambi n mauti
ruclips.net/video/FWsrSBnyPCE/видео.html
Ninawi litubu na kufunga adi wanyama,Mungu akagaili,yona 3:1--10
Nakataa roho ya mauti katika familia yangu na ukoo wangu wote
Roho ya mauti iepuke taifa la Tanzania na ulimwengu wote kwa jina la yesu kristo wa Nazareth aliye hai makataa kwa watu wakubwa pia na kwa watoto na wtu wote tuseme amen
AMINA
Nakataa Roho za mauti ya kila aina, mauti ya mwili, mauti ya kiuchumi, mauti ya imani na kila aina ya mauti kwangu na familia yangu na ndugu zangu wote
Mungu awape maono zaid
SIFA NA UTUKUFU NI KWA MUNGU🙏🙏🙏
Nakataa roho ya mauti kwa ndugu zangu woote na watoto wangu na mimi mwenyewe kwa jina la Yesu in the might name of Jesus name
Nakataaroho yamauti kwenye family yangu sote tunao mpenda MUNGU kuriko kitu chochote ishindwe kwa damu ya YESU
Amen
Nakataa roho za umauti ktk family yangu Kwa jina la yesu kristor ninazipinga Kwa damu ya yesu amina
Eimen
Ee Mwenyezi Mungu utusamehe makosa yetu yote, nasi tunawasamehe wote kwa jina la Yesu Kristo, ninakataa roho za mauti kwangu na familia yangu na watoto zangu, na ndugu zangu wote na mume wangu kiafya, kiroho, kiuchumi, kielimu na kwenye nyanja zote kwa jina la Yesu Kristo
Amen 🙏
Mtumishi wa mungu
Karibu wasiliana na Mtu wa Mungu Eliya ( +255759074049 )
Nakataa roho ya mauti Kwa Jina la Yesu Kwa familia yangu mme wangu watoto wangu n ndugu zangu n mm mwenyew Amen
Amen
Ee Mwenyezi Mungu Tukinge na umauti Mimi na familia yangu Amina pia bariki watumishi wako wote
Amina 🙏
Mungu atusimamie
2 Mambo ya Nyakati 7:14
ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.
Nimekuelewa mtumishi wa Mungu ulawiti kwA watoto shuleni vijana mashoga Tz inang'ang'ana na bandari naamini ma'ana watu.wanang'ang'ana na uchumi kizazi kinaangamia.unafikili Mungu anapenda hali kama hili
MUUMBAJI WA MBINGU NA NCHI ATUSAIDIE🙏
😢😢😢
Acheni kuapotosha watu,yesu alisema makristo wa uongo watatokea,na kundanganya wengi,mnatetea mishahara,nawaombea Mungu awasamee
1 Yohana 4:1-5
Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.
Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu.
Na kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani.
Ninyi, watoto wadogo, mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia.
Hao ni wa dunia; kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia
Nakataa roho ya mauti kwangu Kwa baba wa watoto wangu na watoto wangu na familia yangu yote ktk jina KUU la YESU AMEEEN. Hatutakufa tutaish ili tuyathimulie matendo makuu ya MUNGU. AMEN
Nakataa roho za mauti kwangu watoto wangu na uzao wangu wote Kwa jina la yesu Kristi. Amen.
Nakataa roho za mauti kwangu watoto wangu na uzao wangu Katika jina la yesu Kristo. Amen
Makataa roho ya mauti kwangu, kwa familia yangu yote, na wote wasio na wakiombea, katika jina la Jesu Christo mwana wa Mungu aliye hai, Amina Amina Amina.
Amina tuendelee kuomba🙏
Nakataa roho za mauti kwangu na familia yangu. Haleluya. 💪
1:07
Nakataa roho ya mauti kwenye familia yangu katika jina la yesu Alie hai.
Napinga katka familia yangu nakataaa katika jina la Yesu y
Yesu Yesu tuponye roho zeu na mwili
Amina 🙏
Amen 🙏
Nakataa roho za mauti kwenye familia yangu ukoo wangu watu wanaonihusu marafiki pia malioniumiza .BABA MUNGU NAOMBA UTUREHEMU BWANA TUMEKUTENDA DHAMBI BWANA.
🙏🙏 AMINA
Mungu akimpa mtumishi wake unabii huwa anampa na sababu ila hujatoa sababu ya vifo 2024 umeeleza tu vifo.
MHUBIRI 7:14
Nakataa roho ya mauti kwa jina la Yesu alie hai smina
Akuna mwanadamu ange penda maiti kwahivyo mtayisjiwa kwa maovi ili mumsjoriki pastor.tafafhali usiwe wale tulitabitiwa kuwa watakuja nabii wa uongo.
Kama watumishi wa Mungu mnaonyeshwa yatakayotokea, mnaweza kumwomba Mungu abadirishe mabaya yaliyopo mbele yetu
Jukumu la Kuomba Ni Letu Sote
Mathayo 26:39-41 Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.
Akawajia wale wanafunzi, akawakuta wamelala, akamwambia Petro, Je! Hamkuweza kukesha pamoja nami hata saa moja?
Kesheni, mwombe, msije mkaingia majaribuni; roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu.
Roho za mauti sishindwe kwa DAMU YA YESU KRISTO
Eimen 🙏
Nakataa Kwa jina la YESU
Kama wanaondoka waondoke hawaoni midhambi duniani ilivoshamili wanafikili Mungu atawaacha.watu waishi wanavotaka.hawez
WANADAMU HUWA HAWAPENDI KUAMBIWA UKWELI
Nakataa roho ya mauti kwenye family yangu na ndugu zangu
Hofu ni dhambi.Kila jambo ni jema kwa wakati wake chini ya Mbingu,kuishi ni bahati na kufa ni lazima.Mhubiri 3:1-7
K.Torat 28:15
Kufa kabla ya wakat ndo tunakataa
@@petermatabwa2133 kumbe Kuna kufa Kwa wakati??
Nakataa roho ya mauti kwenye familia yangu na ndg zangu
Nakataa kabisa katika jlna yesu
JINA LA YESU KRISTO ( AMEN 🙏)
ili ukutane na ufalme wa mbinguni ni lazima tufe leo tunaambiwa tukatae kufa kweli hii inaingiia akilini mambo ya mungu ni siri. na kufa ni lazima ila kuishi si lazima. jua hilo
Luka 8:10
Akasema, Ninyi mmepewa kuzijua siri za ufalme wa Mungu; bali wengine kwa mifano, ili wakiona wasione, na wakisikia wasielewe.
Roho ya mauti iniepuke kwa jina la Yesu
Amen
Tumtafu Mungu atuepushe na majanga
Huwezi kukataa umauti kwasababu kila nafsi itaonja umauti ikifika saa yko na siku lazima utakufa tu
Ezekieli 18:20 Roho itendayo dhambi, ndiyo itakayokufa; mwana hatauchukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanawe, haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na uovu wake mwenye uovu utakuwa juu yake.
Huo unabii sio wa kweli
Kwn wengine so watu wamungu ,, kwel wanamacho lakini hawaoni wanamsikio lakn hawasikii, kweli kabisa
Mithali 23:7
Hivi kuna siku watu hawafi!?.
Nikisema mwakani watu wataugua,kutakuwepo na ajali nyingi,watu watachukiana nk,je huo ni unabii?.
SEMA NAWEWE KAMA NI RAHISI
nakataa roho ya mauti kwa nyumba yangu in Jesus name
AMEN
Nakataa roho ya mauti KWENYE ukoo want mwaka uwe was barkaa kwngu
NAPINGA ROHO ZA MAUTI KATIKA MAISHA YANGU, MAISHA YA FAMILIA YANGU, MAISHA YA UZAO WANGU NA PIA KATIKA MATAIFA YETU, MUNGU KUTUEPUSHE NA KILA YA MAUTI KATIKA JINA KUU LIPITALO MAJINA YOTE JINA LA BWANA WETU YESU KRISTO WA NAZARETH MUNGU WETU ALIYE HAI AMEEEEEEEEN AND AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN AND AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN AND AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN AND AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN.
AMINAH🙏
Jaman nabii za sikuhizi
Watu wengi Mmeshazoea kutabiriwa mema tu Apo cha msingi ni Kukaa vizur na Mungu alieziumba Mbingu na Nchi 🙏 Rehema zake ziendelee kutufunika.
Wewe je?
TUNATAKIWA KUOMBA ILI MABAYA HAYA YASITUPATE🙏
Mmmh MM nimekuelewa tu balikpapan na MUNGU wa mbingu na NCHI ANISAIDIE KUKAA VIZURI NA YY KUFA KUPO LAKINI VIFO VINGINE MUNGU HAJALUHUSU
TUENDELEE KUOMBA 🙏🙏
Yaani wakristo nima jinga kupitiliza machungaji yenu njaaa zina wasumbua sana
🙏🙏🙏
Kwan kufa ndo itakuwa imeanza Leo acha kuwa kipofu ww na kuongoza watu shimoni
Isaya 38:1-6 (KJV) Siku hizo Hezekia aliugua, akawa katika hatari ya kufa; na Isaya nabii, mwana wa Amozi, akaenda kwa mfalme, akamwambia, Bwana asema hivi, Tengeneza mambo ya nyumba yako; maana utakufa, wala hutapona.
Basi Hezekia akajigeuza, akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba Bwana,
akasema, Ee Bwana, kumbuka haya, nakusihi, kwamba nimekwenda mbele zako katika kweli na kwa moyo mkamilifu, na kutenda yaliyo mema machoni pako. Hezekia akalia sana sana.
Ikawa, neno la Bwana likamjia Isaya, kusema,
Enenda ukamwambie Hezekia, Bwana, Mungu wa Daudi, baba yako, asema hivi, Mimi nimeyasikia maombi yako, nimeyaona machozi yako; tazama, nitaziongeza siku zako, kiasi cha miaka kumi na mitano.
Nami nitakuokoa wewe, na mji huu, na mkono wa mfalme wa Ashuru, nami nitaulinda mji huu.
Acha uongo ww
Ezekieli 18:20-22 (KJV) Roho itendayo dhambi, ndiyo itakayokufa; mwana hatauchukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanawe, haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na uovu wake mwenye uovu utakuwa juu yake.
Lakini mtu mbaya akighairi, na kuacha dhambi zake zote alizozitenda, na kuzishika amri zangu zote, na kutenda yaliyo halali na haki, hakika ataishi, hatakufa.
Dhambi zake zote alizozitenda hazitakumbukwa juu yake hata mojawapo; katika haki yake aliyoitenda ataishi.
Nabii wa kweli Kwa mujibu wa maandiko akisema leo mvua inanyesha kweli inanyesha.Ila nyie manabii mnaosema naona kama nyie manabii wa mnaoongozwa na roho mtaka vitu
🙏🙏🙏
Ndugu kwanza unatakiwa ujue Maana ya Unabii na Nabii,
Unabii ni ujumbe ulioongozwa na roho ya Mungu, ufunuo kutoka kwa Mungu. Biblia inasema kwamba manabii “walisema yaliyotoka kwa Mungu kama walivyoongozwa na roho takatifu.” (2 Petro 1:20, 21) Kwa hiyo, nabii ni mtu anayepokea ujumbe kutoka kwa Mungu na kuwapitishia wengine ujumbe huo.-Matendo 3:18.
KUNA WATU WALITABIRI NABII ZIKAJA KUTOKEA BAADA YA MIAKA MIA3 UKO. NABII ISAYA ALITABIRI AKASEMA TAZAMA BIKIRA ATACHUKUA MIMBA NA KUZAA MTOTO MWANAMUME. LAKINI UNABII ULE ULITIMIA BAADA YA KIPINDI KIREFU SANA.
Kaa vizur na Mungu alieziumba Mbingu na Nchi 🙏 Na kwa uwezo wa Roho wake MTAKATIFU atakufundisha. Na utajua Upi ni ujumbe uliotoka kwa Mungu na Upi sio.
Acha kudanganya watu ww, ,, kunamtu ambae hatakufa? Ww vp ww,, kunamtu alie ishi milele? Yani baadhi ya wakristo hamna k2
Isaya 38:1-10
Nakataa roho za mauti
Nakataaa roho ya maut
MUNGU Huwa anazuiliwa akiamua jambo lake?
Yoeli 2:13 rarueni mioyo yenu, wala si mavazi yenu, mkamrudie Bwana, Mungu wenu; kwa maana yeye ndiye mwenye neema, amejaa huruma; si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema, naye hughairi mabaya.
@@ELIYA33 Sasa unapowaambia watu wakatae Roho za mauti wakati Mungu alisema hakika mtakufa ilikuwaje apo? Na mm nakushauri kama mtu wa MUNGU waambie watu waache dhambi na siyo kukataa Roho za mauti mtu anakataaje Roho ya mauti wakati angali mwenye dhambi?? Mshahara wa dhambi n mauti
Ndugu Kasome kitabu cha Kutoka Sura ya 11 na 12
@@ELIYA33 hakitanisaidia unabii wako feki
Anaejua kesho yako ni allah peke yake
Amosi 3:7 Hakika Bwana MUNGU hatafanya neno lo lote, bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake.