UNABII WA MWAKA 2024 UNATISHA, WATU KUFA?? ROHO ZA MAUTI ZIMEMWAGWA KILA MAHALI DUNIA NZIMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 103

  • @ELIYA33
    @ELIYA33  Год назад

    ruclips.net/video/FWsrSBnyPCE/видео.html

    • @ELIYA33
      @ELIYA33  Год назад

      Ninawi litubu na kufunga adi wanyama,Mungu akagaili,yona 3:1--10

  • @nurumohamed5251
    @nurumohamed5251 9 месяцев назад +2

    Nakataa roho ya mauti katika familia yangu na ukoo wangu wote

  • @LesionGodson
    @LesionGodson 7 месяцев назад +1

    Roho ya mauti iepuke taifa la Tanzania na ulimwengu wote kwa jina la yesu kristo wa Nazareth aliye hai makataa kwa watu wakubwa pia na kwa watoto na wtu wote tuseme amen

  • @deneagrofarms5884
    @deneagrofarms5884 7 месяцев назад +1

    Nakataa Roho za mauti ya kila aina, mauti ya mwili, mauti ya kiuchumi, mauti ya imani na kila aina ya mauti kwangu na familia yangu na ndugu zangu wote

  • @LilianJoshua-kj8ei
    @LilianJoshua-kj8ei 5 месяцев назад

    Mungu awape maono zaid

    • @ELIYA33
      @ELIYA33  5 месяцев назад

      SIFA NA UTUKUFU NI KWA MUNGU🙏🙏🙏

  • @mariamfaicalhassan2890
    @mariamfaicalhassan2890 8 месяцев назад

    Nakataa roho ya mauti kwa ndugu zangu woote na watoto wangu na mimi mwenyewe kwa jina la Yesu in the might name of Jesus name

  • @MerryKashaija-jk9xh
    @MerryKashaija-jk9xh 6 месяцев назад

    Nakataaroho yamauti kwenye family yangu sote tunao mpenda MUNGU kuriko kitu chochote ishindwe kwa damu ya YESU

  • @DorothyChilembo
    @DorothyChilembo Год назад +1

    Nakataa roho za umauti ktk family yangu Kwa jina la yesu kristor ninazipinga Kwa damu ya yesu amina

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 Год назад +1

    Ee Mwenyezi Mungu utusamehe makosa yetu yote, nasi tunawasamehe wote kwa jina la Yesu Kristo, ninakataa roho za mauti kwangu na familia yangu na watoto zangu, na ndugu zangu wote na mume wangu kiafya, kiroho, kiuchumi, kielimu na kwenye nyanja zote kwa jina la Yesu Kristo

  • @charlesLeleshi
    @charlesLeleshi 6 месяцев назад

    Mtumishi wa mungu

    • @ELIYA33
      @ELIYA33  6 месяцев назад

      Karibu wasiliana na Mtu wa Mungu Eliya ( +255759074049 )

  • @AishaHussein-d8i
    @AishaHussein-d8i 7 месяцев назад

    Nakataa roho ya mauti Kwa Jina la Yesu Kwa familia yangu mme wangu watoto wangu n ndugu zangu n mm mwenyew Amen

  • @DicksonLogius-ul6ds
    @DicksonLogius-ul6ds Год назад +1

    Ee Mwenyezi Mungu Tukinge na umauti Mimi na familia yangu Amina pia bariki watumishi wako wote

  • @marymchuno599
    @marymchuno599 5 месяцев назад

    Mungu atusimamie

    • @ELIYA33
      @ELIYA33  5 месяцев назад

      2 Mambo ya Nyakati 7:14
      ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Год назад +1

    Nimekuelewa mtumishi wa Mungu ulawiti kwA watoto shuleni vijana mashoga Tz inang'ang'ana na bandari naamini ma'ana watu.wanang'ang'ana na uchumi kizazi kinaangamia.unafikili Mungu anapenda hali kama hili

    • @ELIYA33
      @ELIYA33  Год назад +1

      MUUMBAJI WA MBINGU NA NCHI ATUSAIDIE🙏

  • @Dailylife1858
    @Dailylife1858 6 месяцев назад

    😢😢😢

  • @JamesIbrahim-el4zw
    @JamesIbrahim-el4zw 9 месяцев назад

    Acheni kuapotosha watu,yesu alisema makristo wa uongo watatokea,na kundanganya wengi,mnatetea mishahara,nawaombea Mungu awasamee

    • @ELIYA33
      @ELIYA33  9 месяцев назад

      1 Yohana 4:1-5
      Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.
      Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu.
      Na kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani.
      Ninyi, watoto wadogo, mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia.
      Hao ni wa dunia; kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia

  • @user-Ndashuka001
    @user-Ndashuka001 9 месяцев назад

    Nakataa roho ya mauti kwangu Kwa baba wa watoto wangu na watoto wangu na familia yangu yote ktk jina KUU la YESU AMEEEN. Hatutakufa tutaish ili tuyathimulie matendo makuu ya MUNGU. AMEN

    • @SarahKapella-rm2of
      @SarahKapella-rm2of 8 месяцев назад

      Nakataa roho za mauti kwangu watoto wangu na uzao wangu wote Kwa jina la yesu Kristi. Amen.

    • @SarahKapella-rm2of
      @SarahKapella-rm2of 8 месяцев назад

      Nakataa roho za mauti kwangu watoto wangu na uzao wangu Katika jina la yesu Kristo. Amen

  • @angel54223
    @angel54223 Год назад +1

    Makataa roho ya mauti kwangu, kwa familia yangu yote, na wote wasio na wakiombea, katika jina la Jesu Christo mwana wa Mungu aliye hai, Amina Amina Amina.

    • @ELIYA33
      @ELIYA33  Год назад

      Amina tuendelee kuomba🙏

  • @lusianguno6434
    @lusianguno6434 Год назад

    Nakataa roho za mauti kwangu na familia yangu. Haleluya. 💪

  • @Dailylife1858
    @Dailylife1858 4 месяца назад

    1:07

  • @memoryngambi7570
    @memoryngambi7570 Год назад

    Nakataa roho ya mauti kwenye familia yangu katika jina la yesu Alie hai.

  • @blandinakimbe8910
    @blandinakimbe8910 Год назад

    Napinga katka familia yangu nakataaa katika jina la Yesu y
    Yesu Yesu tuponye roho zeu na mwili

  • @espererancesudi7600
    @espererancesudi7600 Год назад +1

    Amen 🙏

  • @dariaassey159
    @dariaassey159 Год назад +1

    Nakataa roho za mauti kwenye familia yangu ukoo wangu watu wanaonihusu marafiki pia malioniumiza .BABA MUNGU NAOMBA UTUREHEMU BWANA TUMEKUTENDA DHAMBI BWANA.

  • @EzekielWaree
    @EzekielWaree Год назад +1

    Mungu akimpa mtumishi wake unabii huwa anampa na sababu ila hujatoa sababu ya vifo 2024 umeeleza tu vifo.

  • @jastinewilliam4475
    @jastinewilliam4475 10 месяцев назад

    Nakataa roho ya mauti kwa jina la Yesu alie hai smina

  • @philiplangat4467
    @philiplangat4467 6 месяцев назад

    Akuna mwanadamu ange penda maiti kwahivyo mtayisjiwa kwa maovi ili mumsjoriki pastor.tafafhali usiwe wale tulitabitiwa kuwa watakuja nabii wa uongo.

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 Год назад

    Kama watumishi wa Mungu mnaonyeshwa yatakayotokea, mnaweza kumwomba Mungu abadirishe mabaya yaliyopo mbele yetu

    • @ELIYA33
      @ELIYA33  Год назад

      Jukumu la Kuomba Ni Letu Sote
      Mathayo 26:39-41 Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.
      Akawajia wale wanafunzi, akawakuta wamelala, akamwambia Petro, Je! Hamkuweza kukesha pamoja nami hata saa moja?
      Kesheni, mwombe, msije mkaingia majaribuni; roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu.

  • @elizmutai9562
    @elizmutai9562 Год назад +1

    Roho za mauti sishindwe kwa DAMU YA YESU KRISTO

  • @JoyceSikana
    @JoyceSikana Год назад

    Nakataa Kwa jina la YESU

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Год назад +1

    Kama wanaondoka waondoke hawaoni midhambi duniani ilivoshamili wanafikili Mungu atawaacha.watu waishi wanavotaka.hawez

    • @ELIYA33
      @ELIYA33  Год назад

      WANADAMU HUWA HAWAPENDI KUAMBIWA UKWELI

  • @ObedLaizer-x8w
    @ObedLaizer-x8w 5 месяцев назад

    Nakataa roho ya mauti kwenye family yangu na ndugu zangu

  • @brownmtofole
    @brownmtofole Год назад +1

    Hofu ni dhambi.Kila jambo ni jema kwa wakati wake chini ya Mbingu,kuishi ni bahati na kufa ni lazima.Mhubiri 3:1-7

  • @charlesLeleshi
    @charlesLeleshi 6 месяцев назад

    Nakataa roho ya mauti kwenye familia yangu na ndg zangu

  • @robertnthiwa3743
    @robertnthiwa3743 Год назад +1

    Nakataa kabisa katika jlna yesu

    • @ELIYA33
      @ELIYA33  Год назад

      JINA LA YESU KRISTO ( AMEN 🙏)

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala5307 8 месяцев назад

    ili ukutane na ufalme wa mbinguni ni lazima tufe leo tunaambiwa tukatae kufa kweli hii inaingiia akilini mambo ya mungu ni siri. na kufa ni lazima ila kuishi si lazima. jua hilo

    • @ELIYA33
      @ELIYA33  8 месяцев назад

      Luka 8:10
      Akasema, Ninyi mmepewa kuzijua siri za ufalme wa Mungu; bali wengine kwa mifano, ili wakiona wasione, na wakisikia wasielewe.

  • @IsayaPatrick-v1x
    @IsayaPatrick-v1x 8 месяцев назад

    Roho ya mauti iniepuke kwa jina la Yesu

  • @StephanoMaongezi
    @StephanoMaongezi Год назад

    Tumtafu Mungu atuepushe na majanga

  • @amournassorsaid7694
    @amournassorsaid7694 9 месяцев назад

    Huwezi kukataa umauti kwasababu kila nafsi itaonja umauti ikifika saa yko na siku lazima utakufa tu

    • @ELIYA33
      @ELIYA33  9 месяцев назад

      Ezekieli 18:20 Roho itendayo dhambi, ndiyo itakayokufa; mwana hatauchukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanawe, haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na uovu wake mwenye uovu utakuwa juu yake.

  • @michaelmwalimu6057
    @michaelmwalimu6057 9 месяцев назад

    Huo unabii sio wa kweli

  • @omarkabogo1580
    @omarkabogo1580 Год назад

    Kwn wengine so watu wamungu ,, kwel wanamacho lakini hawaoni wanamsikio lakn hawasikii, kweli kabisa

  • @thelivingwordchannel9027
    @thelivingwordchannel9027 9 месяцев назад

    Hivi kuna siku watu hawafi!?.
    Nikisema mwakani watu wataugua,kutakuwepo na ajali nyingi,watu watachukiana nk,je huo ni unabii?.

  • @marymutavi
    @marymutavi Год назад

    nakataa roho ya mauti kwa nyumba yangu in Jesus name

  • @FadhilRichard
    @FadhilRichard 9 месяцев назад

    Nakataa roho ya mauti KWENYE ukoo want mwaka uwe was barkaa kwngu

  • @joansashlynleo4537
    @joansashlynleo4537 Год назад +1

    NAPINGA ROHO ZA MAUTI KATIKA MAISHA YANGU, MAISHA YA FAMILIA YANGU, MAISHA YA UZAO WANGU NA PIA KATIKA MATAIFA YETU, MUNGU KUTUEPUSHE NA KILA YA MAUTI KATIKA JINA KUU LIPITALO MAJINA YOTE JINA LA BWANA WETU YESU KRISTO WA NAZARETH MUNGU WETU ALIYE HAI AMEEEEEEEEN AND AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN AND AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN AND AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN AND AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN.

  • @aokalelitv4546
    @aokalelitv4546 9 месяцев назад

    Jaman nabii za sikuhizi

    • @mwaisacollection3387
      @mwaisacollection3387 9 месяцев назад

      Watu wengi Mmeshazoea kutabiriwa mema tu Apo cha msingi ni Kukaa vizur na Mungu alieziumba Mbingu na Nchi 🙏 Rehema zake ziendelee kutufunika.

  • @IvoFransis
    @IvoFransis Год назад +1

    Wewe je?

    • @ELIYA33
      @ELIYA33  Год назад

      TUNATAKIWA KUOMBA ILI MABAYA HAYA YASITUPATE🙏

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Год назад

    Mmmh MM nimekuelewa tu balikpapan na MUNGU wa mbingu na NCHI ANISAIDIE KUKAA VIZURI NA YY KUFA KUPO LAKINI VIFO VINGINE MUNGU HAJALUHUSU

    • @ELIYA33
      @ELIYA33  Год назад

      TUENDELEE KUOMBA 🙏🙏

  • @yusuphibrahim-yq9mv
    @yusuphibrahim-yq9mv Год назад

    Yaani wakristo nima jinga kupitiliza machungaji yenu njaaa zina wasumbua sana

  • @emmanuelgwanchele4168
    @emmanuelgwanchele4168 Год назад

    Kwan kufa ndo itakuwa imeanza Leo acha kuwa kipofu ww na kuongoza watu shimoni

    • @ELIYA33
      @ELIYA33  Год назад

      Isaya 38:1-6 (KJV) Siku hizo Hezekia aliugua, akawa katika hatari ya kufa; na Isaya nabii, mwana wa Amozi, akaenda kwa mfalme, akamwambia, Bwana asema hivi, Tengeneza mambo ya nyumba yako; maana utakufa, wala hutapona.
      Basi Hezekia akajigeuza, akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba Bwana,
      akasema, Ee Bwana, kumbuka haya, nakusihi, kwamba nimekwenda mbele zako katika kweli na kwa moyo mkamilifu, na kutenda yaliyo mema machoni pako. Hezekia akalia sana sana.
      Ikawa, neno la Bwana likamjia Isaya, kusema,
      Enenda ukamwambie Hezekia, Bwana, Mungu wa Daudi, baba yako, asema hivi, Mimi nimeyasikia maombi yako, nimeyaona machozi yako; tazama, nitaziongeza siku zako, kiasi cha miaka kumi na mitano.
      Nami nitakuokoa wewe, na mji huu, na mkono wa mfalme wa Ashuru, nami nitaulinda mji huu.

  • @emmanuelgwanchele4168
    @emmanuelgwanchele4168 Год назад +1

    Acha uongo ww

    • @ELIYA33
      @ELIYA33  Год назад

      Ezekieli 18:20-22 (KJV) Roho itendayo dhambi, ndiyo itakayokufa; mwana hatauchukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanawe, haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na uovu wake mwenye uovu utakuwa juu yake.
      Lakini mtu mbaya akighairi, na kuacha dhambi zake zote alizozitenda, na kuzishika amri zangu zote, na kutenda yaliyo halali na haki, hakika ataishi, hatakufa.
      Dhambi zake zote alizozitenda hazitakumbukwa juu yake hata mojawapo; katika haki yake aliyoitenda ataishi.

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Год назад

    Nabii wa kweli Kwa mujibu wa maandiko akisema leo mvua inanyesha kweli inanyesha.Ila nyie manabii mnaosema naona kama nyie manabii wa mnaoongozwa na roho mtaka vitu

    • @ELIYA33
      @ELIYA33  Год назад

      🙏🙏🙏

    • @mwaisacollection3387
      @mwaisacollection3387 9 месяцев назад

      Ndugu kwanza unatakiwa ujue Maana ya Unabii na Nabii,
      Unabii ni ujumbe ulioongozwa na roho ya Mungu, ufunuo kutoka kwa Mungu. Biblia inasema kwamba manabii “walisema yaliyotoka kwa Mungu kama walivyoongozwa na roho takatifu.” (2 Petro 1:20, 21) Kwa hiyo, nabii ni mtu anayepokea ujumbe kutoka kwa Mungu na kuwapitishia wengine ujumbe huo.​-Matendo 3:​18.
      KUNA WATU WALITABIRI NABII ZIKAJA KUTOKEA BAADA YA MIAKA MIA3 UKO. NABII ISAYA ALITABIRI AKASEMA TAZAMA BIKIRA ATACHUKUA MIMBA NA KUZAA MTOTO MWANAMUME. LAKINI UNABII ULE ULITIMIA BAADA YA KIPINDI KIREFU SANA.
      Kaa vizur na Mungu alieziumba Mbingu na Nchi 🙏 Na kwa uwezo wa Roho wake MTAKATIFU atakufundisha. Na utajua Upi ni ujumbe uliotoka kwa Mungu na Upi sio.

  • @omarkabogo1580
    @omarkabogo1580 Год назад

    Acha kudanganya watu ww, ,, kunamtu ambae hatakufa? Ww vp ww,, kunamtu alie ishi milele? Yani baadhi ya wakristo hamna k2

  • @joboyjohn
    @joboyjohn Год назад

    Nakataa roho za mauti

  • @georgeexavier5921
    @georgeexavier5921 Год назад

    Nakataaa roho ya maut

  • @emmanuelgwanchele4168
    @emmanuelgwanchele4168 Год назад

    MUNGU Huwa anazuiliwa akiamua jambo lake?

    • @ELIYA33
      @ELIYA33  Год назад

      Yoeli 2:13 rarueni mioyo yenu, wala si mavazi yenu, mkamrudie Bwana, Mungu wenu; kwa maana yeye ndiye mwenye neema, amejaa huruma; si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema, naye hughairi mabaya.

    • @emmanuelgwanchele4168
      @emmanuelgwanchele4168 Год назад

      @@ELIYA33 Sasa unapowaambia watu wakatae Roho za mauti wakati Mungu alisema hakika mtakufa ilikuwaje apo? Na mm nakushauri kama mtu wa MUNGU waambie watu waache dhambi na siyo kukataa Roho za mauti mtu anakataaje Roho ya mauti wakati angali mwenye dhambi?? Mshahara wa dhambi n mauti

    • @ELIYA33
      @ELIYA33  Год назад

      Ndugu Kasome kitabu cha Kutoka Sura ya 11 na 12

    • @emmanuelgwanchele4168
      @emmanuelgwanchele4168 Год назад

      @@ELIYA33 hakitanisaidia unabii wako feki

  • @dolamussa8749
    @dolamussa8749 Год назад

    Anaejua kesho yako ni allah peke yake

    • @ELIYA33
      @ELIYA33  Год назад

      Amosi 3:7 Hakika Bwana MUNGU hatafanya neno lo lote, bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake.