UOZO HUU WAMCHEFUA RAIS SAMIA, AWA MBOGO BALAA, AMTAJA MAKONDA KWENYE HILI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 105

  • @josephudoba5563
    @josephudoba5563 7 месяцев назад +5

    Mama mpole sana badilika kidogo uonyeshe sura ya mama mkali ndie mlezi Bora

  • @marymgimwa
    @marymgimwa 7 месяцев назад +4

    Mungu aliyemuumba makonda amlinde yeyote aliyekinyume nae kufa na afe

  • @GilbertNhigula
    @GilbertNhigula 7 месяцев назад

    Mh , Uko Vizuri Sana !, Msema Kweli ni Mpendwa wa Mungu .

  • @IsraelUrasa
    @IsraelUrasa 4 месяца назад +1

    Kweli makonda siyotuu mkuu wa mkoa Arusha ila nimtumishi wa mungu

  • @GraceMkandawile-j5w
    @GraceMkandawile-j5w 7 месяцев назад

    Mama shkamoo , saf sana mwenyezimungu akupe maisha marefu

  • @mashaurimageme2678
    @mashaurimageme2678 7 месяцев назад +1

    Asante mama kwa kuona makonda Anafanya kanzi zuri

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 7 месяцев назад

    ,inshaalah mjane na watoto wake watano yatima Allah atawapa haki yao haki haipotei inachelewa

  • @omarijonny
    @omarijonny 7 месяцев назад +1

    hongera mama

  • @thetruth8979
    @thetruth8979 7 месяцев назад

    Hiyo kweli kabisa

  • @selinalawala2270
    @selinalawala2270 7 месяцев назад

    Kweli wananchi hatuna Raha , tunatamani siku mmoja hii nchi ibadilike, haki za watu hazifanyiwi kazi vizuri.

  • @willymgaya7618
    @willymgaya7618 7 месяцев назад

    MH. RAIS, HAO WEZI USIWAONGELEE TU JUKWANI. TUNAOMBA WAKAMATWE NA WASHITAKIWE. NDIPO CCM TUTAWAELEWA.

  • @fredyjoackimu-bk1tf
    @fredyjoackimu-bk1tf 6 месяцев назад

    Thank you Mama,ila wachukulie hatua hao wanaokukwamisha

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 7 месяцев назад +1

    Hao watu wanyongwe tu Mama mtoto usipo mchapa anazoea vibaya.

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta 7 месяцев назад

    Hongera Sana mama yetu 🎉kuna mjambazi na majangili yanawajangilia watu Ardhi zao ,kisha Wana matumbo kama vigoma vya asili,hatuna furaha kweli hawa watu wenye nafasi serekalini ,kwenye taasisi wanawajambazia watu ,tuko wakimbizi kwenye nchi yetu

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 7 месяцев назад +1

    Sasa mama baaday ya kuwabain hao wez unawachukulia hatuwa GANA tatzo mama unalalamika tu mbona watu wenye njaa wanaiba vyuma vya reli mnawachukulia hatua je hao wanaoiba mabilion nashangaa unawaangalia tu kama vp tumpe makonda nchi hii au kasbu Majaliwa Ndo awanyooshe

  • @nenolauzima5281
    @nenolauzima5281 6 месяцев назад

    Kwa maana nyingine raia wajiandae kisaikolijia kulipa kodi...utendaji ukipimwa kwa makusanyo nchi hii, masikini wataumia sana.

  • @mangesajoseph5284
    @mangesajoseph5284 7 месяцев назад

    Mama na rais wetu wa jamhuri ya Tanzania ipo siku utashinda tuzo ya normal .watanzania tunaimani na wewe mama upo vizuri utashinda kwa kishindo 2025

  • @mangesajoseph5284
    @mangesajoseph5284 7 месяцев назад

    Utashinda tunzo ya norbel siku Moja mama nakukubali Sana mama

  • @EzekieliKatigizu
    @EzekieliKatigizu 4 месяца назад

    Mama unasema kweli kunamajizi yanavuruga tunakusingizia wewe yabane mama yetu

  • @DevidiCosmas
    @DevidiCosmas 7 месяцев назад

    Unawalea vibaya mama

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 7 месяцев назад

    Ahsante mama kwa kuligundua hilo

  • @restitutalucian78
    @restitutalucian78 7 месяцев назад +1

    Jamani kwani madini tena hamna? Hizo maliasili imebaki historia. Mhh7😢

  • @sheilamarandu2750
    @sheilamarandu2750 7 месяцев назад

    Kweli mama

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 6 месяцев назад

    Inawezekana Rais sio mbaya kama wananchi wanavyomfikiria inamaanishabwatendaji wake ndio wanajinufaisha na kufanya Rais achukiwe na Wananchi

  • @andrewmalamsha3042
    @andrewmalamsha3042 7 месяцев назад

    Rais anaumia sana ujue

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it 7 месяцев назад

    Wambie mamangu

  • @success-only
    @success-only 7 месяцев назад +2

    Ingelikuwa yakweli unayoyasema usingekuwa Una wabagua wamasai ktk kanda ya kazkazini
    Lkn huwa unazungumza hiki na kufanya jingine kiukweli
    Wananchi tumekochoka

    • @hasanichengula68
      @hasanichengula68 7 месяцев назад

      Sema wewe siyo wanainchi misijamchoka bado namwitaji

    • @godsonishengoma5378
      @godsonishengoma5378 7 месяцев назад

      @@hasanichengula68 asilimia kbwa ya wananch tumemchoka.. Nashangaa kmkbal hali hata dini yako haimruhusu.. Kmbk yey ni mwanamke kapewa saut ya kbembeleza hata aongee kwa ukali vp hawez ms2ua m2 ndo mana anachoagza kwa wasaidizi wake hakzingatiwi..

  • @JohnOkechi-m7b
    @JohnOkechi-m7b 4 месяца назад

    Raisi analipwa mshahara munge alipwa mshahara nk lakini viongozi wa ngazi ya kijiji na kitongoji hawalipwi chochote na wao ndo walinzi niwao ndiyo chanzo cha migogolo ya aridhi na mengi hayana haki kwasababu viongozi wananunuliwa

  • @sheilamarandu2750
    @sheilamarandu2750 7 месяцев назад

    Sana mama mimi mjane nimedhulumiwa na wifi na ana mtandao mkubwa kila mahali nimeenda sijafaulu mama asante ninaenda kumuona waziri slaa

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani1186 7 месяцев назад

    Mama Hao unaowambia nendeni mkafanyie kazi ni Hao hao unawaombia kila siku au unawabadilisha mama sidhani kama watabadilika😢

  • @kulwamaguzmaguzu2202
    @kulwamaguzmaguzu2202 7 месяцев назад

    Umeme mama vp

  • @josephmchila6467
    @josephmchila6467 4 месяца назад

    Aksante kulegeza kikokotoo,lakini warudishe denominator kwenye formula urudi 540, Kama itakuwa hii 580, haitasaidia

  • @OswardMadege-gd7yo
    @OswardMadege-gd7yo 7 месяцев назад

    Asiye na kitu basi tu ni mateso nchi hii rais unachosema ni kweli ila Hawa watu Hawana hofu ya Mungu kabisa

  • @ERNESTAMAHENGE
    @ERNESTAMAHENGE 4 месяца назад

    shikamoo

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 7 месяцев назад

    Ardhi hakuna mahakama mama

  • @ArnoldMbulawa
    @ArnoldMbulawa 7 месяцев назад +1

    Mama kwanini usibadilike ukawa kama mama wa kambo???
    Usiwe mpoele watanzania wanataka wapekekeshwe kama punda, kuwa kama King "magufuli"

  • @IsraelUrasa
    @IsraelUrasa 4 месяца назад

    Mama aridhi imeleta maumivu kwa watu mama samia

  • @KipajiMgalula1
    @KipajiMgalula1 6 месяцев назад

    Mama kasulu ya kigoma wanaichi tuishi Kama sio watanzania mlima sunzu diwani na timu yake wanatupora aridhi na hatuna msaada kila kiongozikaonjeshwa maslahi tunsmba msaada uchunguzi ufanyike wa mgogoro huu

  • @AgustiAgustisabinisilayo
    @AgustiAgustisabinisilayo 7 месяцев назад

    Mama tunakupenda ila kuna wanao kuangushwa makomdaaa baba laooo

  • @mchunguliechibwa198
    @mchunguliechibwa198 7 месяцев назад

    Yani nchi yangu hilivyo na utawala,uongozi wa ovyoo imagine raisi kiongozi wa nchi hanakubali kuna wizi na ubadhilifu kwenye serikali yake...ccm ni chama cha wezi na utawala wake ni ovyooo kabisa..katiba mpya ndio solution ya yote hayo..

  • @danielkanso
    @danielkanso 7 месяцев назад

    Naam kiongozi umegusa. Mambo muhimu sana inahitajika ufuatiliaji wa hali ya juu sana Raisi baadhi watendaji wa serikali hawako sawa wanaonea sana watu

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 7 месяцев назад

    ,hospitali ya mabilioni inateketea wenye haki yao wanazalilika

  • @shabanimataka8418
    @shabanimataka8418 7 месяцев назад

    Rais ao watu usiwaombe kuwa waadilifu ao ni kuwalazinisha wawe sawa na wasipokuwa ivyo watimue na atakae onekana anahaki za watu lazima azitoe na sio kumtoa sehem 1 kwenda nyengine

  • @MunsiCosmas-tg2df
    @MunsiCosmas-tg2df 6 месяцев назад

    Ama kwel hapa du Kaz ipo

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg 7 месяцев назад +2

    Hizi makonda amazogawa zinatoka wapi jamani Rais wetu Mama yetu mpendwa, au ni mshahara wake ndio anaougawa

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os 7 месяцев назад

    Watieni watu jela. Wanyongeni maharamia hawa. Kuwaomba watendaji waende wakafanye kazi umeomba sana. Washukie sasa mama Samia . Binadamu inaelekea haendi mstari ulionyooka hadi mijekedi. Wagonge hawa wavaa tai na suti wanaoitafuna hii nchi. Lawama dhamana dhima iko kwako. KUWA MKALI

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 7 месяцев назад

    Mbona huwafukuzi kama hayati magufuli alivyokuwa anawafukuza wewe unawalea mama mijizi fanya kweli

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 7 месяцев назад

    Mama ukienda hivi watakuvua mpaka vidani ulivyovaa, ni mpole mno! Mhe. Magufuli alikuwa akizungumzia wizi aliimanisha na kimsingi bila kunyonga Mafisadi hadharani hatutakwenda popote.

  • @evancykashaga6576
    @evancykashaga6576 6 месяцев назад

    Tunamtaka Alhapi Bwana kwanini hamtaki kumteuwa, faha sisi wanne kwa furaha sikweli watu wanaishi kwa uchungu ivi aliye sema muongo kabisa

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 7 месяцев назад

    Waambie hawa unaowateuwa hawatupendi sisi wanyonge !!!

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 7 месяцев назад

    Mama Mwaka 2025 kura zetu zinakuhusu, makonda kumrudisha MAKONDA CCM amewaamsha sana hai wavivu. Mungu akuweke

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 7 месяцев назад

    ,wakuu mkoa WA wilaya waliopita walikuwepo nawanajua lakini ndio hivyo

  • @SafariMsafi-um1pz
    @SafariMsafi-um1pz 7 месяцев назад

    Jifunzeni kwa magufuli alivyokuwa akifanya kwa majipu

  • @MariamWiliam-z8k
    @MariamWiliam-z8k 7 месяцев назад

    Mama tuletee makonda wilaya yachunya tafadhari tunakuomba mama chonde

  • @HappyNkya-x9v
    @HappyNkya-x9v 7 месяцев назад

    Mama asante sana kwa kuwaeleza ukweli Mama tunamba ututazame pia kwenye swala la ukusanyaji wa Fedha za Taka Mama watu hatuna Amani sh 3000 MAMA kwa mwezi tunaomba tazama na hili Mama

  • @user13375
    @user13375 4 месяца назад

    Na ww upo😮

  • @PropKibali-f8d
    @PropKibali-f8d 7 месяцев назад

    LKN, KWA NN MNANG'ANG'ANIA KUTUTAWALA WKT KILA SIKU MNALALAMIKIANA KIUTENDAJI HAMUWEZI JAMANI, SI MTOKE?

  • @sheilamarandu2750
    @sheilamarandu2750 7 месяцев назад

    Mama chukulia watendaji wa ardhi sheria ni wabaya mno unauliza kiwanja kipo wapi mbezi ukiserch wanasema kipo morogoro watendaji wako wa ardhi wanakuangusha mno

  • @mufaddalmoawalla8522
    @mufaddalmoawalla8522 7 месяцев назад

    Wanauziana mizigo bila risiti za tra,na TRA pia wanahusika na baadhi ya wafanyabiashara wakubwa kariakoo, ndo maana waligomaa store zisisajaliwe,hebu mama mhe,rais uje uangalie.sasa hivi Magherafelt kariakoo zimekuwa magodawni

  • @OswardMadege-gd7yo
    @OswardMadege-gd7yo 7 месяцев назад

    Wananchi kweli wamechoka na wizi wa wahudumu wa serikali Sasa wanadamu Hawa wamemwachia Mungu tu Hali ya wananchi ni ngumu

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 7 месяцев назад +1

    Hiii ni shida

  • @bwagizoselemani8434
    @bwagizoselemani8434 7 месяцев назад

    Shida hamuchukui hatua hilo ndio tatizo sasa watu wanafanya mchezo munachekeana sana

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz 7 месяцев назад

    Sijawahi kuona serikali kama hii watu wanaupiga mwingi sana halafu wanamsifia hahaha kwa kweli chukua chako mapema soon uchaguzi

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 7 месяцев назад

    Sema mama huku tanga mama mjane kazulumiwa haki zake na taasisi moja ya kidini mwisho mahakama nayo ikawapa taasisi hiyo hospitali ya mabilioni inateketea wakuuwamkoa WA wilaya wapo

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 7 месяцев назад

    Hawa wezi tunashidwa kuwashughulikia aswa wa vikundi feki kwa ajili ni wana CCM ifike wakati hii roho ya ccm ife kabisa tunachekeana xna, Alafu tunafunga safari za Nje kuomba misada na mikopo ndani tunashidwa kusimamia rasilimali zetu, umasikini utadumu adi Yesu aludi

  • @FredHerman-vs8yw
    @FredHerman-vs8yw 7 месяцев назад

    Mama ao ndiyo wanaokufelisha usiwachekee

  • @AyubuSaid-d5z
    @AyubuSaid-d5z 7 месяцев назад

    Kalimeni sio shamba

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do 7 месяцев назад +2

    Ndo maana wanataka ugombee Tena ili waendelee kuiba

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 7 месяцев назад

    ,mashekh na maimamu imekuwa NI tatizo

  • @Cryptocurrency_Tanzania
    @Cryptocurrency_Tanzania 7 месяцев назад

    Wewe ndio final say after God Mama.. angalia sheria inataka nini kisha watu hao sheria ifanye kazi yake. ..

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 7 месяцев назад

      Sheria inafanya kazi mtu anapokuwa gerezani lakin hii ya kupangiwa kazi nyingne basi ujue sheria inalea uozo hawa jamaa wanaibiwa sana na wanaiba sana

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 7 месяцев назад

    Badilisheni katibatu ndodawa 2

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 4 месяца назад

    Ww uwe unawasikiliza wananchi shida zao kama mtanguliz wako unawatuma watu wez kazi alaf unawabembeleza w mama ww huoni tatzo nenda mwenyew

  • @AlbethaGasper
    @AlbethaGasper 7 месяцев назад

    Tena mama hao wanamchukia maklonda sana

  • @jesusnametv4935
    @jesusnametv4935 6 месяцев назад

    mama anaupiga mwingi halafu anaibiwa kila siku ,

  • @AllyBachu-k3p
    @AllyBachu-k3p 7 месяцев назад

    Mama wanakuchukulia poa 2025 wanatoa ushinde ili waendelee kuiba mama fata nyayo za JPM tumbua majipu Bila hivyo KWA maneno huwawezi Hilo ni kundi hatari kikulacho linguini mwako

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 7 месяцев назад

    Mtaa wa amana Kuna milori mikubwa Barbara zinaharibiwa

  • @melkizedekwiliam-hi7bz
    @melkizedekwiliam-hi7bz 7 месяцев назад

    Huyu mama tumpe kura. Anaonyesha uzalendo hasa.

  • @irumvadonciella7937
    @irumvadonciella7937 7 месяцев назад

    Wapo busy nakuandika utafikilia wanenda kulitendea haki very sad

  • @deven.oauditx7547
    @deven.oauditx7547 7 месяцев назад

    Mama imarisha vitengo vya ukaguzi wa ndani na uwalinde ili ukusaidie kudhibiti mianya ya wizi wa fedha za serikali.

  • @danielkanso
    @danielkanso 7 месяцев назад

    Wamasai vip jama mbona wanateseka sana nafikiri hawa watu watazamwe kwa jicho la tatu

  • @mangesajoseph5284
    @mangesajoseph5284 7 месяцев назад

    Mama piga kazi na makonda yupo vizuri Sana wewe ndiyo rais wetu wanyonge Hadi 2035

  • @seifusengondo9170
    @seifusengondo9170 6 месяцев назад

    anatupa stori au atapambana nao hao majambazi wa kalamu

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 7 месяцев назад

    Angalia kwenye madini wanaochukua maliseni wananyanyasa sana

  • @AllyBachu-k3p
    @AllyBachu-k3p 7 месяцев назад

    Tunawasubiri 2025 tumewachoka

  • @NzilentaIssa
    @NzilentaIssa 7 месяцев назад

    Dawinurodi

  • @elioimer8423
    @elioimer8423 7 месяцев назад

    Wamasai mnawanyang’anya ardhi , ng’ombe zao kila mahali katika nchi hii lakini , hivi mnataka waende wapi. Wakienda Zanzibar ni tabu kwa sababu mnawanyima kufuata mila na desturi yao. Waache wakae kwenye ardhi yao kwani mnawafanya watangetange kila kona. Ni tabular na manyanyaso katika ardhi na nchi yao

  • @mufaddalmoawalla8522
    @mufaddalmoawalla8522 7 месяцев назад

    Matrilioni zinapotea kariakoo tuu,kwa seconds 0.05seconds mnaibiwa mitaani

  • @YapukaHassan-i7l
    @YapukaHassan-i7l 7 месяцев назад

    Watendaji wako hawana lolote kazi kukusifia 2 mama

  • @VeronicaNangale
    @VeronicaNangale 7 месяцев назад

    Mitano tena kwa Mama.
    hasa wizara ya ardhi umetuvalisha nguo kwa kweli. Mungu mwema.

  • @DavisNchinga
    @DavisNchinga 7 месяцев назад

    Lukwa ichunguzwe

  • @aminibraisonngwiso3175
    @aminibraisonngwiso3175 7 месяцев назад

    Asante umetusemea kabisaa mama yetu,tunakushukuru sana

    • @aminibraisonngwiso3175
      @aminibraisonngwiso3175 7 месяцев назад

      Yaani kupitia maneno ya kuridhisha kama haya anayosema Mkuu wa nchi tayari tuna matumaini ya kupata haki zetu.na ni kweli kuna wababe wa ardhi sio mchezo ni hatari.lakini Hongera Mama kwa kuthamini wanyonge tunahisi unyonge kwisha habari yake.

  • @SalumChema
    @SalumChema 4 месяца назад

    Hadi.vijiji.mgobe.lewa.msambiazi.kalekwa.welei.kwambaazi.god.sheni.nakwambia.mamakamahujui.na.vinahati.lakn.hawataki.watuwamezuiliwa.kulima.wanapanda.miti.mkoa.wa.Tanga.wilaya,,korogwe..mkoa.Tanga.nakadizimerudiswa,na.wanavijiji.tunaombalifanyiekazi.Toka,75.vijii.vipo.kilatunapoendatunakwama.wakatu.tuliletwa.Na.nyerere

  • @LengaiSerea
    @LengaiSerea 7 месяцев назад

    Ngorongoro kimezidi kunyang'anywa aridhi zutu

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 7 месяцев назад

      Huko token token ili tupate maeneo ya utalii mkijenga huko tutatalii wapi

  • @nemeskimbe376
    @nemeskimbe376 7 месяцев назад

    Sasa nani wa kusimamia kama hutokuwa mkali mama wanakuchukulia poa na maisha yanakuwa magumu kwa mwananchi

  • @RudelphZabron
    @RudelphZabron 7 месяцев назад

    Mheshimiwa Rais huwezi kuondoa migogoro ya aridhi kama bado Sheria ya aridhi bado inasema aridhi ni Mali ya umma na inahodhiwa na Rais kwa manufaa ya wananchi wote
    Mh.Rais badilisha Sheria ya umilikiaji wa aridhi.

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 7 месяцев назад

    Mgogoro wa Ardhi mimi hapa nimepolwa nusu ya kiwanja changu ninacholipia hsti ysngu toka 1982kimepolwa na bint anaesema anafanya kazi kwa waziri mkuu hashauliwi namtu

  • @KipajiMgalula1
    @KipajiMgalula1 6 месяцев назад

    Mama kasulu ya kigoma wanaichi tuishi Kama sio watanzania mlima sunzu diwani na timu yake wanatupora aridhi na hatuna msaada kila kiongozikaonjeshwa maslahi tunsmba msaada uchunguzi ufanyike wa mgogoro huu