Next time ukitaka kuzungumzia magari makubwa kama haya fanya research ya kutosha..au mcheki troni motors akuelezee vizuri...there is no way utalinganisha chochote cha hii gari na ist..siyo taa wala switches za milango.
Likiharibika uwe na kitega uchumi cha uhakika maana chombo kinachoharibika thamani yake sawa na kujenga vyumba vya uwani upate kodi sivyo litapandwa na kuku na wengine watazalia humo
Car reviews unastahili kujitahidi. Watch @carnversation on how to review about landcruiser lc200. Ukisema si ya luxury nakushangaa ajabu. Baadae Toyota waliamua kuifanya iwe more luxurious wakaleta model ya Lexus 570
Yaan hii ni very basic review...kuna very important information ambazo kama car reviewer lazima uzitaje ambazo ndo features specific to that csr under the subject..or else video na audio quality iko poa. Hizo kufanana ni body style...but zipo na very different trims na specs.. check mwenzako dr mechanics yule ana touch details za muhimu sana kwenye review..so good ku improve kwenye eneo hilo
Kaka hongera kwa kazi nzuri. Naomba utuelezee Toyota Land Cruiser 300 Series aina ya GXR na VXR za 2022 ambazo zinasifika kutumia Mafuta kidogo ya Petrol Badala ya Diesel na Engine Capacity ni V6 Twin Turbo na siyo V8 za Diesel kama 200 series.🇹🇿🇹🇿
Umeona bro hajapata diter ya gari hilo hiyo gari sio VXR akiingia ndani kwenye VXR yenyewe mbona atafrai kinoma, hiyo ni VX wameipimpu shoo hiyo nimeindesha sana
Snash... naomba nitoe ushauri... nafatilia sana reviews zako zote kiasi kwamba nimeeka notifications... ILA SEHEMU moja wazingua kwenye review za magari HUIELEZI GARI VIZURI INAVYO TAKIWA mfano kama ni ndani kwenye dashboard elezea technology iliyopo... mode features za gari zilizopo, gari inatofauti gani na gari zingine, KAMA ni engine elezea ubora wake wa engine , na engine iliyopo ni ina utofauti gani na zingine. Lakinj sio unavyo elezea tuu shwaaaaa shwaaaaaa.. fatilia gari kwa undani ijue details zake then toa review. NASHKURU KUTOA WAZO LANGU mmi kama CAR ENTHUSIAST.
Anachokifny hapa ni kutangaza biashara! Yaan..mwenye hilo gar amempa kulitangaza ili liuzwe kwaiy usitegemee kuskia changamoto zake kwa %100 But kwa uelewa wang hiyo engine iliyopo humo ni tatzo no 1 ila hawez sema
Alafu hakuna kitu kinaitwa dar es salaam dar hii umefanya sababu ya matangazo ila hii review Bado ebu tupe background ya Toyota kidogo tupe series ya land cruiser au umetuchoka snash
Ivi bro unaweza kutufanyia review ya gari kampuni ya Toyota Land cruiser zx khann 300 .Kaka Afu ivi Mana ya V8 , V6 n.k sijajuaga maana ya iyo v8 inamanisha nini kaka
Broo nakubali sana review zako lakin kuhusu magar jitahd kuijuagar vzur kisha ndio ufanye review coz nakuona unavyoongea kuhusu iyo gar km hukuwa umejipanga mapema kwaio broo kwa ushaur uwe ushaiangalia pemben kabla kurekod ila nakukubali sana💖
Kabla ya Kutangaza kuhusu Magari,,Fanya Homework..Literature Review..Elezea Watu waelewe,,Aina ya Engine, Suspension,Fuel consumption,....
Moja kati ya riview mbovu kutoka kwako mzee baba hii
utamu wake ni pale unapostart engine hiyo sound yake daaah ni insane😍😍😍👌
Snash hili gari huna details zake hii umeipiga kichovu sana
Hyo gar Ni nzuri nje tu, ndani tulipigwa
Snash nakufuatlia sana, uko na kipaji cha hali ya ubora hongera sana kwa kufanya vipindi vizuri vya teknolojia kama hivi.
Enda shule first ujifahamishe mambo kuhusu gari.... You are veeeery far!!!!!!!! Bure
Nilikuwa nasubiri one day ufanye review ya hii kitu, bonge moja la gari.... U made it
cha kwanza hii ni face lift imefanyiwa upgrading hii ni vx na sio gx yanii kwa ligha rahisi hii ni old model ya 2010
Hapana sio gari ya 2014 ni ya 2021
Moja ya ambayo ninaikumbali sana maisha I mwangu ni Toyota land cruiser
Good job . Tufanyie Review ya Lexus LX 570
Kazi safi ila hii so review. Ni kutuonyesha tu linavyoonekana gari. Review yataka details hasa.
Next time ukitaka kuzungumzia magari makubwa kama haya fanya research ya kutosha..au mcheki troni motors akuelezee vizuri...there is no way utalinganisha chochote cha hii gari na ist..siyo taa wala switches za milango.
N kukuongezea at top speed 260km /hr gari hii dar to moro n saa 1 tu...hayo masaa 3 n ya vitz.
Brother tunaomba review ya Trailer ya EON...inayo tolewa na azam please
Mmmmmh hii gari leo hujaipenda nakufaham ingekula sifa hapoooo
Snash uko smart sana! Emb nifanyie review ya Lexus LX 570
Likiharibika uwe na kitega uchumi cha uhakika maana chombo kinachoharibika thamani yake sawa na kujenga vyumba vya uwani upate kodi sivyo litapandwa na kuku na wengine watazalia humo
Car reviews unastahili kujitahidi.
Watch @carnversation on how to review about landcruiser lc200.
Ukisema si ya luxury nakushangaa ajabu.
Baadae Toyota waliamua kuifanya iwe more luxurious wakaleta model ya Lexus 570
Asante sana bro nmependa uchambuzi wako, kazi nzuri, watching from +254
Jina la gari tu unakosea sasa V8 ndio gari gani iyo gari inaitwa Toyota Land Cruiser J200. Izo V8 sio jina
200 series 😂
Hongera endelea kujfunza kuhusu magari ili utupe elimu vzur zaidi ya magari
Yaan hii ni very basic review...kuna very important information ambazo kama car reviewer lazima uzitaje ambazo ndo features specific to that csr under the subject..or else video na audio quality iko poa. Hizo kufanana ni body style...but zipo na very different trims na specs.. check mwenzako dr mechanics yule ana touch details za muhimu sana kwenye review..so good ku improve kwenye eneo hilo
Hujaitendea haki in details.kwa hii umetupiga
Dashboard imefichwa kutokana steering haijanyooshwa sawa
uko vizuri mzee baba
Hello pia gari imetengenezwa kitaalam na hawabahatishi na imeelezewa kwa maelezo yaliyo kamilika. Soma gari kabla ya uielezsa
Big up bro
Nimeskia shillingi million 200 nikashinda kenya😂😂😂kumbe Tanzania jamani
Naomba utupe riview Toyota Prado tx
Sauti nzurii ila kazi hadimuu,,, fanya upekuzi wa kinda alafu uje tenaa
Kijana kwenye gali bado sana
@snash .. secret invasion episode two tyr ... Fanya ufanye review bro 💪
Humu tz sio 😌💞💞💞
Kaka hongera kwa kazi nzuri. Naomba utuelezee Toyota Land Cruiser 300 Series aina ya GXR na VXR za 2022 ambazo zinasifika kutumia Mafuta kidogo ya Petrol Badala ya Diesel na Engine Capacity ni V6 Twin Turbo na siyo V8 za Diesel kama 200 series.🇹🇿🇹🇿
Hapana unamdanganya hii hajaifanya vizuri hii kazingua
Magari hayo sasa yanakuwa uniform kila mtu anatakakuwa na gari ya jinsi hiyo , bongo ulimbukeni mwingi sana
Pamoja mkuu ... 🔅
❤ from kenya
Dar es salaam to dar ni wap mzazi?
Snash tunaomba review ya GMC
Bro hii umeipiga juujuu sana asee
uko vzuri kaka.. elezea obora wa engne
Mzee baba speed 260km/hour.maana yake kama hakuna foleni wala touch ni saa moja tu Dar/moro
260 huwez futa kizembe😂
Gari inapaa au
Barabara nzima inakuwsga na foren
Huwa wanatembea masaa mawili kasoro kwa mwendo wao kulingana na nature ya barabara zetu
Vzr ila hujataja sifaa za gari ilooo
Mbona hujaongelea wese Consumption
Nina shida na namba yako kwenye mambo ya teknology
Bro emu tufanyie v 8 new model sio ya 2014 ipo v8 2022 vipi kuhus hiyo tufanyie hiy
Dar es salam Kwenda Dar ni masaaa mangapi umesema???
Tupatie review ya gari vx toleo la 2020
Milioni 200 una nyumba 2 za kupangisha za uhakika unakula kodi kama mshahara wako wa mwezi
Fany review ya gari ya outlander Mitsubishi
Daresalaam dar😅😅😅 snash bhna
???
Hahahahahahahahahhah😂 2014 damn what fk alafu radio yakupachika hahahahha
Nimenda hiyoo,bila wasiwasi nitawatafuta wakati ukifika
masaa matatu kama unapaa, ila kwa sasa changamoto ni nyingi sana
Ingekuwa vizuri sana kama ungeifanyia review ya V8 current model ya last year
anaipata wap sas
Kweli kabisa
@@directorimmah_vfx3043😂😂😂 walahi nimecheka
Nakubali safari ipo hapo
tulete saa model ya 2023 ambayo ni lc300
Tanzania wezi jamani haswa TRA millioni 200 😂😂😂😂
Kazi fafi
si mbaya ila endelea kujifunza. kuna mengi ya kitechnical kuelezea gari
Ufanye review V8 ya 2020
moro ist samoja kwann v8 itumie masa3 no
Hii gari simple sababu umesema ni GX, cheki ZX au VX-R siko na features kibao
Kama ukimaliza kisahani Dar moro dakika kadhaa tu
Hello! Snash I’m your biggest fan from Sweden I want you to do a review of Toyota Prius I will be happy if you do that ❤
I have one..i own it for 5 years...ni Gari poa sema inataka mtu mfatiliaji na mtunzajia
@@tanzaniacarschannel6975 g to
@@tanzaniacarschannel6975let me or, l,l. K PPP
Dar es salam---Dar hahaahah umechapia
bei yake sh ngapi
Its a good review in terms of video and audio quality ....but the presentation has no crucial details for a good understanding.
That's fact he's not prepared at all
Bro hii ya leo umelipwa kdg sana 😝😝
Wambie wawe wanatoa hela nzur nawe ufanye vzr matangazo yao
...jipange na upate detail nzuri kabla hutoa revew yako...vinginevyo rubish..
Umeona bro hajapata diter ya gari hilo hiyo gari sio VXR akiingia ndani kwenye VXR yenyewe mbona atafrai kinoma, hiyo ni VX wameipimpu shoo hiyo nimeindesha sana
Daresalam Dar???hahaaa sawa bwana lakn Moro Dar 2 hours Dar Dodoma 5 hours
Snash... naomba nitoe ushauri... nafatilia sana reviews zako zote kiasi kwamba nimeeka notifications... ILA SEHEMU moja wazingua kwenye review za magari HUIELEZI GARI VIZURI INAVYO TAKIWA mfano kama ni ndani kwenye dashboard elezea technology iliyopo... mode features za gari zilizopo, gari inatofauti gani na gari zingine, KAMA ni engine elezea ubora wake wa engine , na engine iliyopo ni ina utofauti gani na zingine. Lakinj sio unavyo elezea tuu shwaaaaa shwaaaaaa.. fatilia gari kwa undani ijue details zake then toa review. NASHKURU KUTOA WAZO LANGU mmi kama CAR ENTHUSIAST.
Asante kwa ushauri na kwakutufuatilia
Anachokifny hapa ni kutangaza biashara!
Yaan..mwenye hilo gar amempa kulitangaza ili liuzwe kwaiy usitegemee kuskia changamoto zake kwa %100
But kwa uelewa wang hiyo engine iliyopo humo ni tatzo no 1 ila hawez sema
@@danielmkama24❤
@@danielmkama24 kwann tatizo
Hamna gari iitwayo land cruiser v8
Kaka embu ukipata mda naomba uzingumzie kidogo toyota rush
mzee naitaka iyo
Alafu hakuna kitu kinaitwa dar es salaam dar hii umefanya sababu ya matangazo ila hii review Bado ebu tupe background ya Toyota kidogo tupe series ya land cruiser au umetuchoka snash
Ime upgradiwa
Miambili na kitu manaake taja Bei kamil tujue
Wow this is nice showcasing in Swahili🎉🎉🎉
Thank you so much 🙂
Dar es salaam to dar wanangu ame chapia😅😅😅😅🤣🤣🤣
Ntatengeneza kibubu niifadhi kidg kdg niinunue
Umenifurahisha sana🤣🤣kila kasoro utasema coz ni ya 2014
Mbn steering na tyre vipo opposite
Kwa niaba taomba na review ya gari aina ya Toyota rush.
daaah bro umezingua mbn v8 zipo nying zeny technology ya kisasa tupigie hizo
V8 yenye ipo
Gari yenyewe ni 16 million model 2014
Duu kumbe Automatic transmission 😮
Mkulugw ebu tuambie kuusu ile GMC ya yule mwamba
Toyota blade na toyota auris tuaomba review za izo gari maana kumiliki golf gti au polo kibongo bongo ni mtihani😅😅😅
Fanya fahamu utamu wa Toyota Alphard tafadhali..pia ufafanue tofauti ya Alphard na vellfire
Hii sasa ndio gari hizo IST ni usafiri tuu ilimradi ufike 😂
Ivi bro unaweza kutufanyia review ya gari kampuni ya Toyota Land cruiser zx khann 300 .Kaka
Afu ivi Mana ya V8 , V6 n.k sijajuaga maana ya iyo v8 inamanisha nini kaka
V8 nii engine kubwa saana Nikama kuendesha aist tano au nne ivyo v8 niukubwa wa ingine
Hiyo gari umeiponda coz ni.ya 2014😂😂
Broo nakubali sana review zako lakin kuhusu magar jitahd kuijuagar vzur kisha ndio ufanye review coz nakuona unavyoongea kuhusu iyo gar km hukuwa umejipanga mapema kwaio broo kwa ushaur uwe ushaiangalia pemben kabla kurekod ila nakukubali sana💖
Bado aja jiamini kwenye reviews za magari ana pwaya kwenye camera wakati wa kufanya review za magari
Anajua namna ya kufanya ameanza vizuri ame enda vizuri Sasa ameanza kushusha ubora kwa kukosa umakini snash
Hajui kabisa kureview😂😂
Anamumunya mumunya tu!
Anatumalizia bando zetu.Atafute kazi nyingine 😂😂
Iyo hela mbn ndogo
Kaz kaz mzee baba pambana
Inabei GAN mwamba?MAANA umesema miambili na something tu .