TOYOTA LAND CRUISER V8 - Fahamu utamu wake na kwanini viongozi Wanapagawa nayo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 июн 2023
  • TOYOTA LAND CRUISER V8, Fahamu utamu wake na kwanini viongozi wanaipenda lakini ubaya wake pia upo.
  • НаукаНаука

Комментарии • 230

  • @israelmkaka2807
    @israelmkaka2807 11 месяцев назад +6

    Kabla ya Kutangaza kuhusu Magari,,Fanya Homework..Literature Review..Elezea Watu waelewe,,Aina ya Engine, Suspension,Fuel consumption,....

  • @stanleynombwe4865
    @stanleynombwe4865 10 месяцев назад +5

    Moja kati ya riview mbovu kutoka kwako mzee baba hii

  • @martinalberty8011
    @martinalberty8011 10 месяцев назад +2

    utamu wake ni pale unapostart engine hiyo sound yake daaah ni insane😍😍😍👌

  • @KingGeoffreyMoviesReview
    @KingGeoffreyMoviesReview 11 месяцев назад +8

    Snash hili gari huna details zake hii umeipiga kichovu sana

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 11 месяцев назад +2

    Hyo gar Ni nzuri nje tu, ndani tulipigwa

  • @tukuyufm
    @tukuyufm 11 месяцев назад +5

    Snash nakufuatlia sana, uko na kipaji cha hali ya ubora hongera sana kwa kufanya vipindi vizuri vya teknolojia kama hivi.

  • @charleswanyoike8000
    @charleswanyoike8000 10 месяцев назад +1

    Enda shule first ujifahamishe mambo kuhusu gari.... You are veeeery far!!!!!!!! Bure

  • @prospersanga7942
    @prospersanga7942 8 месяцев назад +1

    Nilikuwa nasubiri one day ufanye review ya hii kitu, bonge moja la gari.... U made it

  • @Kangaboy..
    @Kangaboy.. 11 месяцев назад +5

    cha kwanza hii ni face lift imefanyiwa upgrading hii ni vx na sio gx yanii kwa ligha rahisi hii ni old model ya 2010

  • @sammalaxy9500
    @sammalaxy9500 10 месяцев назад +2

    Hapana sio gari ya 2014 ni ya 2021

  • @user-kw9yh1hz5s
    @user-kw9yh1hz5s 4 месяца назад

    Moja ya ambayo ninaikumbali sana maisha I mwangu ni Toyota land cruiser

  • @iconramar9366
    @iconramar9366 11 месяцев назад +7

    Good job . Tufanyie Review ya Lexus LX 570

  • @jettwriters
    @jettwriters 10 месяцев назад +3

    Kazi safi ila hii so review. Ni kutuonyesha tu linavyoonekana gari. Review yataka details hasa.

  • @elliahbenard9037
    @elliahbenard9037 11 месяцев назад +3

    Next time ukitaka kuzungumzia magari makubwa kama haya fanya research ya kutosha..au mcheki troni motors akuelezee vizuri...there is no way utalinganisha chochote cha hii gari na ist..siyo taa wala switches za milango.

  • @elliahbenard9037
    @elliahbenard9037 11 месяцев назад +2

    N kukuongezea at top speed 260km /hr gari hii dar to moro n saa 1 tu...hayo masaa 3 n ya vitz.

  • @amaningobayi7114
    @amaningobayi7114 11 месяцев назад +6

    Brother tunaomba review ya Trailer ya EON...inayo tolewa na azam please

  • @idmtech9868
    @idmtech9868 11 месяцев назад +1

    Mmmmmh hii gari leo hujaipenda nakufaham ingekula sifa hapoooo

  • @user-rd4ih1ry2k
    @user-rd4ih1ry2k 9 месяцев назад +1

    Snash uko smart sana! Emb nifanyie review ya Lexus LX 570

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 10 месяцев назад +1

    Likiharibika uwe na kitega uchumi cha uhakika maana chombo kinachoharibika thamani yake sawa na kujenga vyumba vya uwani upate kodi sivyo litapandwa na kuku na wengine watazalia humo

  • @collins_._
    @collins_._ 10 месяцев назад +1

    Car reviews unastahili kujitahidi.
    Watch @carnversation on how to review about landcruiser lc200.
    Ukisema si ya luxury nakushangaa ajabu.
    Baadae Toyota waliamua kuifanya iwe more luxurious wakaleta model ya Lexus 570

  • @phylicegaj8523
    @phylicegaj8523 10 месяцев назад

    Asante sana bro nmependa uchambuzi wako, kazi nzuri, watching from +254

  • @iddymaneno7332
    @iddymaneno7332 10 месяцев назад +4

    Jina la gari tu unakosea sasa V8 ndio gari gani iyo gari inaitwa Toyota Land Cruiser J200. Izo V8 sio jina

  • @goodlucklukinga7817
    @goodlucklukinga7817 10 месяцев назад +2

    Hongera endelea kujfunza kuhusu magari ili utupe elimu vzur zaidi ya magari

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 10 месяцев назад +1

    Yaan hii ni very basic review...kuna very important information ambazo kama car reviewer lazima uzitaje ambazo ndo features specific to that csr under the subject..or else video na audio quality iko poa. Hizo kufanana ni body style...but zipo na very different trims na specs.. check mwenzako dr mechanics yule ana touch details za muhimu sana kwenye review..so good ku improve kwenye eneo hilo

  • @adamwaziry2253
    @adamwaziry2253 11 месяцев назад +2

    Hujaitendea haki in details.kwa hii umetupiga

  • @issaadinaniissa6487
    @issaadinaniissa6487 7 месяцев назад +1

    Dashboard imefichwa kutokana steering haijanyooshwa sawa

  • @jumasemi256
    @jumasemi256 11 месяцев назад +1

    uko vizuri mzee baba

  • @iddmohamed3711
    @iddmohamed3711 11 месяцев назад +1

    Hello pia gari imetengenezwa kitaalam na hawabahatishi na imeelezewa kwa maelezo yaliyo kamilika. Soma gari kabla ya uielezsa

  • @benmsuya6016
    @benmsuya6016 7 месяцев назад +1

    Big up bro

  • @YasirXuk
    @YasirXuk 10 месяцев назад +2

    Nimeskia shillingi million 200 nikashinda kenya😂😂😂kumbe Tanzania jamani

  • @user-cr2fd5xq5w
    @user-cr2fd5xq5w 11 месяцев назад +1

    Naomba utupe riview Toyota Prado tx

  • @robertmunyua1784
    @robertmunyua1784 10 месяцев назад +1

    Sauti nzurii ila kazi hadimuu,,, fanya upekuzi wa kinda alafu uje tenaa

  • @ayoubmwasile76
    @ayoubmwasile76 10 месяцев назад +1

    Kijana kwenye gali bado sana

  • @geofreyelbarick5220
    @geofreyelbarick5220 11 месяцев назад +1

    @snash .. secret invasion episode two tyr ... Fanya ufanye review bro 💪

  • @humanityshow
    @humanityshow 10 месяцев назад +1

    Humu tz sio 😌💞💞💞

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 11 месяцев назад +2

    Kaka hongera kwa kazi nzuri. Naomba utuelezee Toyota Land Cruiser 300 Series aina ya GXR na VXR za 2022 ambazo zinasifika kutumia Mafuta kidogo ya Petrol Badala ya Diesel na Engine Capacity ni V6 Twin Turbo na siyo V8 za Diesel kama 200 series.🇹🇿🇹🇿

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 10 месяцев назад +1

    Magari hayo sasa yanakuwa uniform kila mtu anatakakuwa na gari ya jinsi hiyo , bongo ulimbukeni mwingi sana

  • @geofreyelbarick5220
    @geofreyelbarick5220 11 месяцев назад +2

    Pamoja mkuu ... 🔅

  • @mangretmutinda
    @mangretmutinda 10 месяцев назад +1

    ❤ from kenya

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz7311 11 месяцев назад +1

    Dar es salaam to dar ni wap mzazi?

  • @nikymatela7013
    @nikymatela7013 11 месяцев назад +2

    Snash tunaomba review ya GMC

  • @johnbm4490
    @johnbm4490 11 месяцев назад +1

    Bro hii umeipiga juujuu sana asee

  • @user-tw9xq2hj9f
    @user-tw9xq2hj9f 10 месяцев назад +1

    uko vzuri kaka.. elezea obora wa engne

  • @salehegiza3305
    @salehegiza3305 11 месяцев назад +24

    Mzee baba speed 260km/hour.maana yake kama hakuna foleni wala touch ni saa moja tu Dar/moro

  • @bakariibrahim8971
    @bakariibrahim8971 10 месяцев назад +1

    Vzr ila hujataja sifaa za gari ilooo

  • @biotechforlife3420
    @biotechforlife3420 10 месяцев назад +1

    Mbona hujaongelea wese Consumption

  • @MzirayPessa-qj4il
    @MzirayPessa-qj4il 8 месяцев назад +1

    Nina shida na namba yako kwenye mambo ya teknology

  • @IbrahimIdrisa-xm7pq
    @IbrahimIdrisa-xm7pq 11 месяцев назад +1

    Bro emu tufanyie v 8 new model sio ya 2014 ipo v8 2022 vipi kuhus hiyo tufanyie hiy

  • @condradyjoseph4208
    @condradyjoseph4208 11 месяцев назад +1

    Dar es salam Kwenda Dar ni masaaa mangapi umesema???

  • @user-pf7hd2yg8k
    @user-pf7hd2yg8k 11 месяцев назад +1

    Tupatie review ya gari vx toleo la 2020

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 10 месяцев назад +1

    Milioni 200 una nyumba 2 za kupangisha za uhakika unakula kodi kama mshahara wako wa mwezi

  • @munene-tv.304
    @munene-tv.304 11 месяцев назад +2

    Fany review ya gari ya outlander Mitsubishi

  • @KaizaMsigala-kj4un
    @KaizaMsigala-kj4un 11 месяцев назад +3

    Daresalaam dar😅😅😅 snash bhna

  • @nkurunzizaachel1357
    @nkurunzizaachel1357 10 месяцев назад +1

    Hahahahahahahahahhah😂 2014 damn what fk alafu radio yakupachika hahahahha

  • @user-xr6nn9xz4s
    @user-xr6nn9xz4s 11 месяцев назад +1

    Nimenda hiyoo,bila wasiwasi nitawatafuta wakati ukifika

  • @Jameskaguo
    @Jameskaguo 11 месяцев назад +1

    masaa matatu kama unapaa, ila kwa sasa changamoto ni nyingi sana

  • @ferdinandkaulule127
    @ferdinandkaulule127 11 месяцев назад +5

    Ingekuwa vizuri sana kama ungeifanyia review ya V8 current model ya last year

  • @salummussa1139
    @salummussa1139 11 месяцев назад +1

    Nakubali safari ipo hapo

  • @romessjunior5643
    @romessjunior5643 11 месяцев назад +2

    tulete saa model ya 2023 ambayo ni lc300

  • @lodrickmwambene133
    @lodrickmwambene133 7 месяцев назад +1

    Tanzania wezi jamani haswa TRA millioni 200 😂😂😂😂

  • @livingstonekiptoo6541
    @livingstonekiptoo6541 11 месяцев назад +1

    Kazi fafi

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 11 месяцев назад +1

    si mbaya ila endelea kujifunza. kuna mengi ya kitechnical kuelezea gari

  • @prospersanga7942
    @prospersanga7942 8 месяцев назад +1

    Ufanye review V8 ya 2020

  • @rkhamis5886
    @rkhamis5886 11 месяцев назад +1

    moro ist samoja kwann v8 itumie masa3 no

  • @ahmedkipachu9629
    @ahmedkipachu9629 10 месяцев назад +1

    Hii gari simple sababu umesema ni GX, cheki ZX au VX-R siko na features kibao

  • @eliaspius4949
    @eliaspius4949 11 месяцев назад +2

    Kama ukimaliza kisahani Dar moro dakika kadhaa tu

  • @Solomon785
    @Solomon785 11 месяцев назад +18

    Hello! Snash I’m your biggest fan from Sweden I want you to do a review of Toyota Prius I will be happy if you do that ❤

    • @tanzaniacarschannel6975
      @tanzaniacarschannel6975 10 месяцев назад

      I have one..i own it for 5 years...ni Gari poa sema inataka mtu mfatiliaji na mtunzajia

    • @maryambello5519
      @maryambello5519 10 месяцев назад

      @@tanzaniacarschannel6975 g to

    • @polykarpgama4098
      @polykarpgama4098 10 месяцев назад

      ​@@tanzaniacarschannel6975let me or, l,l. K PPP

  • @erickdaniel610
    @erickdaniel610 11 месяцев назад +1

    Dar es salam---Dar hahaahah umechapia

  • @jumamarco
    @jumamarco 9 месяцев назад +1

    bei yake sh ngapi

  • @gisbertdamasius2192
    @gisbertdamasius2192 11 месяцев назад +11

    Its a good review in terms of video and audio quality ....but the presentation has no crucial details for a good understanding.

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 11 месяцев назад +1

    Bro hii ya leo umelipwa kdg sana 😝😝
    Wambie wawe wanatoa hela nzur nawe ufanye vzr matangazo yao

  • @lucianoluciano6795
    @lucianoluciano6795 11 месяцев назад +2

    ...jipange na upate detail nzuri kabla hutoa revew yako...vinginevyo rubish..

    • @masatumtani1588
      @masatumtani1588 11 месяцев назад +1

      Umeona bro hajapata diter ya gari hilo hiyo gari sio VXR akiingia ndani kwenye VXR yenyewe mbona atafrai kinoma, hiyo ni VX wameipimpu shoo hiyo nimeindesha sana

  • @AgredaMoyo
    @AgredaMoyo Месяц назад

    Daresalam Dar???hahaaa sawa bwana lakn Moro Dar 2 hours Dar Dodoma 5 hours

  • @salomemwambete4603
    @salomemwambete4603 11 месяцев назад +6

    Snash... naomba nitoe ushauri... nafatilia sana reviews zako zote kiasi kwamba nimeeka notifications... ILA SEHEMU moja wazingua kwenye review za magari HUIELEZI GARI VIZURI INAVYO TAKIWA mfano kama ni ndani kwenye dashboard elezea technology iliyopo... mode features za gari zilizopo, gari inatofauti gani na gari zingine, KAMA ni engine elezea ubora wake wa engine , na engine iliyopo ni ina utofauti gani na zingine. Lakinj sio unavyo elezea tuu shwaaaaa shwaaaaaa.. fatilia gari kwa undani ijue details zake then toa review. NASHKURU KUTOA WAZO LANGU mmi kama CAR ENTHUSIAST.

    • @snashtz
      @snashtz  11 месяцев назад +1

      Asante kwa ushauri na kwakutufuatilia

    • @danielmkama24
      @danielmkama24 11 месяцев назад +3

      Anachokifny hapa ni kutangaza biashara!
      Yaan..mwenye hilo gar amempa kulitangaza ili liuzwe kwaiy usitegemee kuskia changamoto zake kwa %100
      But kwa uelewa wang hiyo engine iliyopo humo ni tatzo no 1 ila hawez sema

    • @shafikisuse
      @shafikisuse 11 месяцев назад +1

      ​@@danielmkama24❤

    • @machasofficialsite6221
      @machasofficialsite6221 11 месяцев назад

      ​@@danielmkama24 kwann tatizo

  • @abelkemboi1857
    @abelkemboi1857 10 месяцев назад +1

    Hamna gari iitwayo land cruiser v8

  • @josephpaul6179
    @josephpaul6179 11 месяцев назад +1

    Kaka embu ukipata mda naomba uzingumzie kidogo toyota rush

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 11 месяцев назад +1

    mzee naitaka iyo

  • @KingGeoffreyMoviesReview
    @KingGeoffreyMoviesReview 11 месяцев назад +2

    Alafu hakuna kitu kinaitwa dar es salaam dar hii umefanya sababu ya matangazo ila hii review Bado ebu tupe background ya Toyota kidogo tupe series ya land cruiser au umetuchoka snash

  • @khelefshein176
    @khelefshein176 11 месяцев назад +1

    Ime upgradiwa

  • @AlsonKipomela-bq1vk
    @AlsonKipomela-bq1vk 10 месяцев назад +1

    Miambili na kitu manaake taja Bei kamil tujue

  • @vincentogallo1210
    @vincentogallo1210 10 месяцев назад +1

    Wow this is nice showcasing in Swahili🎉🎉🎉

    • @snashtz
      @snashtz  10 месяцев назад

      Thank you so much 🙂

  • @MnankaSamo-mo3ib
    @MnankaSamo-mo3ib 10 месяцев назад +1

    Dar es salaam to dar wanangu ame chapia😅😅😅😅🤣🤣🤣

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 11 месяцев назад +1

    Ntatengeneza kibubu niifadhi kidg kdg niinunue

  • @bhanaee
    @bhanaee 11 месяцев назад +1

    Umenifurahisha sana🤣🤣kila kasoro utasema coz ni ya 2014

  • @kakaziller
    @kakaziller 11 месяцев назад +2

    Mbn steering na tyre vipo opposite

  • @shikopamedia356
    @shikopamedia356 11 месяцев назад +1

    Kwa niaba taomba na review ya gari aina ya Toyota rush.

  • @IbrahimIdrisa-xm7pq
    @IbrahimIdrisa-xm7pq 11 месяцев назад +1

    daaah bro umezingua mbn v8 zipo nying zeny technology ya kisasa tupigie hizo

  • @user-fx4tz6wt6z
    @user-fx4tz6wt6z 3 месяца назад

    V8 yenye ipo

  • @joelsonko1183
    @joelsonko1183 11 месяцев назад +1

    Gari yenyewe ni 16 million model 2014

  • @bagengift3488
    @bagengift3488 11 месяцев назад +3

    Duu kumbe Automatic transmission 😮

  • @sumakitengo1356
    @sumakitengo1356 11 месяцев назад +1

    Mkulugw ebu tuambie kuusu ile GMC ya yule mwamba

  • @collinsghambi7315
    @collinsghambi7315 11 месяцев назад +1

    Toyota blade na toyota auris tuaomba review za izo gari maana kumiliki golf gti au polo kibongo bongo ni mtihani😅😅😅

  • @lionking3015
    @lionking3015 11 месяцев назад +3

    Fanya fahamu utamu wa Toyota Alphard tafadhali..pia ufafanue tofauti ya Alphard na vellfire

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 11 месяцев назад +1

    Hii sasa ndio gari hizo IST ni usafiri tuu ilimradi ufike 😂

  • @RAHY_MOON
    @RAHY_MOON 7 месяцев назад +1

    Ivi bro unaweza kutufanyia review ya gari kampuni ya Toyota Land cruiser zx khann 300 .Kaka
    Afu ivi Mana ya V8 , V6 n.k sijajuaga maana ya iyo v8 inamanisha nini kaka

    • @SophlaJackson-nt1nc
      @SophlaJackson-nt1nc 7 месяцев назад +1

      V8 nii engine kubwa saana Nikama kuendesha aist tano au nne ivyo v8 niukubwa wa ingine

  • @pierreruben
    @pierreruben 11 месяцев назад +1

    Hiyo gari umeiponda coz ni.ya 2014😂😂

  • @user-vg7zs4kq5j
    @user-vg7zs4kq5j 11 месяцев назад +6

    Broo nakubali sana review zako lakin kuhusu magar jitahd kuijuagar vzur kisha ndio ufanye review coz nakuona unavyoongea kuhusu iyo gar km hukuwa umejipanga mapema kwaio broo kwa ushaur uwe ushaiangalia pemben kabla kurekod ila nakukubali sana💖

    • @smootkizy_jr
      @smootkizy_jr 11 месяцев назад +2

      Bado aja jiamini kwenye reviews za magari ana pwaya kwenye camera wakati wa kufanya review za magari

    • @KingGeoffreyMoviesReview
      @KingGeoffreyMoviesReview 11 месяцев назад

      Anajua namna ya kufanya ameanza vizuri ame enda vizuri Sasa ameanza kushusha ubora kwa kukosa umakini snash

    • @wilsonmatunda4937
      @wilsonmatunda4937 11 месяцев назад

      Hajui kabisa kureview😂😂
      Anamumunya mumunya tu!
      Anatumalizia bando zetu.Atafute kazi nyingine 😂😂

  • @jumannemuyaha3401
    @jumannemuyaha3401 11 месяцев назад +1

    Iyo hela mbn ndogo

  • @adamhatibu9993
    @adamhatibu9993 11 месяцев назад +1

    Kaz kaz mzee baba pambana

  • @michaelkitebo9305
    @michaelkitebo9305 10 месяцев назад

    Inabei GAN mwamba?MAANA umesema miambili na something tu .