Ust. juma Faki (Aqaz) -Ndoa ni Baraka 2021

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • Usisahau kusubscribe nakushare kwa wengine link hii

Комментарии • 254

  • @nusraharuna
    @nusraharuna Месяц назад

    Na mimi nataka unitungie kaswida ila iwe Audi inshallah inawezkana wezekana nipe muongozo tena sio moja

  • @zainabhassan3456
    @zainabhassan3456 2 года назад +4

    Mashallah Walaah kaswida zako ni nzuri sana kaka angu Allah akujarie kila ufanyaro liwe lepesi kwako Inshaallah broo 🥰🥰🥰♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @haydarhamad6532
    @haydarhamad6532 2 года назад +9

    Masha'Allah, Hujawahi kuimba Qaswida nzuri kushinda,hii😂😃kwanza hizi sauti ulizozitumia humu na miujiza hasaa,nakukubali Sana Maalim Juma.Allah akupe umri mrefu wenye kheir na ww😃😁

  • @MouniraMangilile
    @MouniraMangilile 2 месяца назад

    Kun FAYAKUUN, hakuna wa kuzuia kilichotolewa na Allah 💯

  • @zaydmohamed-vn1ef
    @zaydmohamed-vn1ef 3 месяца назад

    mwalimu tutolee nyingine burudan inatufurahisha sana mungu akikuze kipaj chako uonekane dunia nzima 😎😎😎

  • @abdallahjahoor193
    @abdallahjahoor193 2 года назад +3

    We juma mh!!!
    Htr hii💥🔥

  • @princehalawa_official7980
    @princehalawa_official7980 2 года назад +3

    Mwalim hujawahi kusoea Ni SIIKA flani ivi🔥🔥🔥🔥

  • @allyninja7082
    @allyninja7082 6 месяцев назад

    Kiukweli sijawahi kusikia mtu akisoma Siikaa kwa zanzibar hii lakin ndio kwanzaa nimekuskia ww na hii kazi khattar sanna wallah

  • @binamubinamu1151
    @binamubinamu1151 2 года назад +6

    Mashallah hufananishwi na mtu wa nchii hii kwa uboraa wako mwalim juma hongeraa bwana weeeee

  • @watibf5731
    @watibf5731 2 года назад +3

    Mashallah Sh.Juma kwa kweli Allah kakupa kipaji cha aina yake ktk hii fani hujawahi kutoa kazi yako ikawa haina ubora wa hali ya juu

  • @binallyamuz6895
    @binallyamuz6895 2 года назад +1

    Mwalim Juma Asante mzigo uko juu naupa 99% Ila Mawadah dah 20000% 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

    • @jumafaki1697
      @jumafaki1697  2 года назад

      😄😄😄😄😄😄😄
      Mawadda iko juu

  • @yaseenyaasir1772
    @yaseenyaasir1772 2 года назад +1

    Mashaallah Ustadh juma fakk unanifanya nilie kabsaa😚😚😚😋

  • @mariamramadhan4296
    @mariamramadhan4296 Год назад +1

    Mashallah allah 🙏 akufanyie wepesi kila penye uzito

  • @allyismail3927
    @allyismail3927 2 года назад +1

    Mwalim juma weeeeeee bac bac bac wewe nifundi wamengi

  • @user-dy5eo2cy4m
    @user-dy5eo2cy4m Год назад

    Ki kweli nakukubali sana ktk qasida zako zote. Na naipenda sana sauti yako dhahabu. ALLAH akuhifadhi na kila shari za dunia

  • @athmankhatibu7976
    @athmankhatibu7976 11 месяцев назад

    Rejesha pacha Zango binafse

  • @idatally3846
    @idatally3846 2 года назад

    Aisee Mungu fundi wallah yani ukiamua kuhuzunisha had machoz ukiamua kufrai hadi tabassam linaonekana ww au bas acha tu mungu akulinde sana yani una kipaji cha pekee ktk znz hiii na hakuna wa kufanan nae ondoa wsws kbsaaaaa hakuna ....Nakpenda bure

  • @khamisshehe1955
    @khamisshehe1955 2 года назад +1

    Bismillah Ma Sha Allah sichoki kuiskiliza Allah akuzidishie kipaji uzidi kutupa burdani ya Qaswida

  • @jumaajambiamusa8214
    @jumaajambiamusa8214 Год назад

    Waaallah nime simama na kucheza mwenyewe maaan safiiiiîi sn tuuuu

  • @fatmanassor1504
    @fatmanassor1504 Год назад

    Nakoment kwa hasira mashaaallh unjuwa mpk unajuwa tna hujawahi kukosea allh mpe afya njema kiongozi wetu tunkupnda sanaaaaaaaa

    • @jumafaki1697
      @jumafaki1697  Год назад

      Ahsante punguza Hasira 😄😄 shukran sana sana

  • @user-if4dc1ig9w
    @user-if4dc1ig9w 9 месяцев назад

    Unajuwa kutuburudisha kijan ishi tu kadri mungu alivyo kupangia

  • @alhajrahassan89
    @alhajrahassan89 Год назад

    Mashallah sheikh juma wajua sana Allah akubariki sana kwenye kazi zako amiin

  • @mwanatumujuma4973
    @mwanatumujuma4973 2 года назад +1

    Masha Allah tabaraka Allah naomba no ya Muimbaji nahitaji kaswida kutungiwa Shukran

  • @stivualoycegwau6141
    @stivualoycegwau6141 2 года назад +2

    Mashaallah...Allah aendelee kukikuza vyema kipaji chako kaka faki

  • @yussramussaame1401
    @yussramussaame1401 Год назад +1

    Allah akupe kila la kheir kwa kweli unatuburudisha ust jumaa💗💗

  • @hadhiriddy2275
    @hadhiriddy2275 Год назад

    Mwamba namkubali mpk namkubali na tena wallah.. maa shaa Allah ❣️❣️❣️

  • @khaliddadi2063
    @khaliddadi2063 2 года назад +3

    My favorite❤ singer

  • @saramohd8534
    @saramohd8534 2 года назад +1

    Allah Allah Allah maasha Allah hongera Sana qaswida nzur

  • @NasmaMohammed-px4qs
    @NasmaMohammed-px4qs 3 месяца назад

    Mashaallah jamn nakupenda san jumaa big up

  • @khamisshehe1955
    @khamisshehe1955 2 года назад

    Wallah mashaallah hii qaswida nzuri sauti na mnanda ipo poa sn naiskiliza mara 5 kwa siku Mungu akizidishie kipaji

  • @zakiaali79
    @zakiaali79 2 года назад

    Unajua nn fundi Wang....unajua half unajua tena half unajua sanaaaaaaaaa mashaallah 😍 pamja kindaki ndakiii

  • @HawaKusaga-vv3lu
    @HawaKusaga-vv3lu Год назад

    Mashaaallah upo juu wangu hakika wewe ni mwamba mungu akuweke ishaallaha

  • @abdul-malikothman5837
    @abdul-malikothman5837 Год назад

    Masha Allah kaswida nzuri sana
    Allah akubarik katika kazi yako

  • @jamilahjuma9273
    @jamilahjuma9273 2 года назад +4

    Bismillah mashaallah 🔥🔥🔥 Hadi mwili wasisimka kwa mashairi tulivu ndani yake dah Kaka unajua Tena unajua sana

  • @allyninja7082
    @allyninja7082 6 месяцев назад

    Maalim hii siikaa hatari sanna wallah mashaallah

  • @wahidaame3779
    @wahidaame3779 2 года назад

    Huna mpinzan jivunie maalim Juma 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @gudiboyjose9085
    @gudiboyjose9085 2 года назад

    Mashaallah kitu ro inapenda Allah akuzidishie kipaji chako

  • @MahirRashid-ih1nz
    @MahirRashid-ih1nz Год назад

    Masha allah QASDA Tamuuuuuuuuuuu👋👍👍 then imebeba ujumbe mzito.....Big-Up

  • @aminadjuma7555
    @aminadjuma7555 Год назад

    Ni kaka omari na Dada ilihamu

    • @ilhamsaid3809
      @ilhamsaid3809 2 месяца назад

      Na ilham ndio mie omary wngu yuwapi sasa😊

  • @zaitunimustapha9718
    @zaitunimustapha9718 2 года назад

    Kiukweli hujawai kuteleza hata siku moja ktk usomaj wako wa qasda Alla azindi kukupa nguvu izid kufanikiwa akufungulie milango ya kheri Allah akupe umri mrefu usidi kuelimisha jamii kuitia Kaz zako Allah akunusuru na mabalaa akulinde na husda za walimwengu hongera Sana Kaka juma 🙏🙏

  • @rashidhamad9193
    @rashidhamad9193 2 года назад +3

    Kaz kakee hiyo

  • @ahmaditara8535
    @ahmaditara8535 2 года назад

    Hakika hii ni qaswida khaswa naomba utuletee km hizi tu hatariii sana sana

  • @idatally3846
    @idatally3846 2 года назад

    Mashallah juma faki ...Naona unendelea kuibembeleza tasnia ya qaswida znz hongera

    • @jumafaki1697
      @jumafaki1697  2 года назад

      Asant Sana kwa kutusapoti tuko pa1

    • @idatally3846
      @idatally3846 2 года назад

      Usjl hakika ww kwetu huna baya endelea kutufrahisha ila ww fundi wa tasnia ya qaswida yani hii qaswida htr na nusu aisee allah akupe umri mrf aaammmiin

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 2 года назад +2

    ماشاءاللہ جزاك اللهُ‎ لخیر

  • @mzurzamzam1877
    @mzurzamzam1877 2 года назад +6

    صوتك خلوة مشاري 📚🖊

  • @ZubedaAlly-uc4fg
    @ZubedaAlly-uc4fg 4 месяца назад

    Mashaallah mna qasweda nzuri

  • @nurasalimu2403
    @nurasalimu2403 2 года назад

    Mwamba shekhe juma upo vizury

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 Год назад

    Qasida nzuri lkn sijui kwann mnapenda lutaja majina ya watu sasa hii mtu ana harisi yake hawezi kuipiga maana hii mahususi kwa hao uliowataja

  • @user-si2mp2io9t
    @user-si2mp2io9t 10 месяцев назад

    Aslm alykm Juma kunakaswida yenu ile ya udugu wetu na tuushike famili zetu tusizikate nimeitafuta RUclips sijaipata au sijui nimeandika sivo ndio maana haikuja😭😭😭

  • @kasimkombo1937
    @kasimkombo1937 2 года назад

    Maalim juma hii ndinga kali sana mashallah hadi rahaaa

  • @omarshirazy8946
    @omarshirazy8946 Год назад

    💥kunfayakun💥💥

  • @omarabdalla165
    @omarabdalla165 2 года назад

    Yan nazid kutoa lang neno kwa hii qaswida mashaallah

  • @smilefaty2093
    @smilefaty2093 2 года назад

    Maashallah hapaaa napataaaa burdani wenyeweeeee hasaaaaa naghmaaa zimepitaaaaa pengeweeee zikapenyaaaa kwenye Siqqa hasaaaaa kwakweliiii hapaaa salute nakupaaaaa Baba Muayyad 👌

    • @jumafaki1697
      @jumafaki1697  2 года назад

      Duh 😃😃 Bado hujazisahau wewe kweli nizaidi ya dada

  • @mulasdigitaltv131
    @mulasdigitaltv131 2 года назад

    GONGA LINK HII HAPA ruclips.net/video/7uVt6KFBPN8/видео.html UONE QASWIDA HII ILIVYOIMBWA NA UKHTY ASIA KWENYE HARUSI YAKE

  • @maimunarobba2725
    @maimunarobba2725 Год назад

    Mashallah naipenda sn hii qaswida

  • @hamisimjaka8664
    @hamisimjaka8664 2 года назад

    hongera brother faki qasida nzuri👍👍👍👍👍💞💞🌹🌹❣️🙏

  • @omarabdalla165
    @omarabdalla165 2 года назад

    Mashaallah yan ustadh mungu akupe umr mrefu mpk kufika kwenye ndoa yang ili ujekupg show,,,

  • @safiarashid8444
    @safiarashid8444 Год назад

    Ata sichoki kuisikiliza hii qaswida wallah😍

  • @muhsiniddi5174
    @muhsiniddi5174 2 года назад

    Mkuu maashaallah uko vizur sana yaani ktk kumbukumbu zangu hajuwahi kufeli, hiyo ni siqa ikishirikana na Nah-wandi na kiitikio kimeishia na bayati. Pamoja sana maalim wangu

  • @alijabu6226
    @alijabu6226 2 года назад

    Ustaz juma fakih omar mm ww nakuita fundiiiiii

  • @HamyarMohd-vb1qv
    @HamyarMohd-vb1qv Год назад

    Hii qaswida na alosomewa kiukweli hawaendan hizo sifa lbda kwa wasowajuwa J nakukubal saana mashallah lkn huyo jamaa dah mneshindwa kuvumilia sory

  • @sheikhsabaya7234
    @sheikhsabaya7234 2 года назад

    Wallah tunakuombea kwa m/mungu akuongoze na akuzidishie. Hii qaswida na kitu cha kufungia mwaka

    • @jumafaki1697
      @jumafaki1697  2 года назад

      Shukran sana Mwalimu wangu

    • @timeabdi6116
      @timeabdi6116 2 года назад

      @@jumafaki1697 nahitaji kutungiwa sijui inakuaje gharama

  • @AbdallahAbeid-c3r
    @AbdallahAbeid-c3r 19 дней назад

    Barakallah

  • @ilhamsaid3809
    @ilhamsaid3809 2 месяца назад

    Hii kaswid nzur sn

  • @mwanapilikaiama4013
    @mwanapilikaiama4013 2 года назад +1

    Hongera juma fiki Allah akuzidishie ishaallah 🙏 🙏

  • @yasirmtumwa4490
    @yasirmtumwa4490 2 года назад

    Huwa unakula nini kiongoz mbona sauti sio ya kawaida hii 🎵🎵 wewe fuundi bhaana

  • @mansourmwadini7939
    @mansourmwadini7939 2 года назад

    Cjawahi jutia kukusikiliza cose unajuwa fundi wa mafundi Allah akubariki.

  • @sarmbadmkali6150
    @sarmbadmkali6150 Год назад

    Sikaah hatari

  • @ahmadjuma6083
    @ahmadjuma6083 2 года назад

    Hii qaswida nimeikubali (bayat ya kibabe mno)

  • @shadidamossy5217
    @shadidamossy5217 2 года назад +3

    Mashallah juma faky 😍❤

  • @haydarhamad6532
    @haydarhamad6532 2 года назад +1

    Maalim Juma Qaswida yako tangu asubuh mpaka sasa nishaisikiliza zaidi ya 15, wee si wakawaida, you're the most talented one😂

    • @jumafaki1697
      @jumafaki1697  2 года назад +1

      Boss wangu unanifurahisha Asant kwaiyo cjawahi kusoma nzuri Kama hiyo 😄

    • @IBRAHIMALI-isal
      @IBRAHIMALI-isal 2 года назад

      Haijashinda mayatima

  • @farasimothman8528
    @farasimothman8528 Год назад

    Mashallah ustadh

  • @abdulihakimu3816
    @abdulihakimu3816 2 года назад +1

    Safi babu una tisha

  • @rahmakhamis3300
    @rahmakhamis3300 2 года назад

    Hongera kwa Qaswidah wewe huna mbaya

  • @zainabimam9062
    @zainabimam9062 Год назад

    Mashaallah Allah akuzidishie kipaji

  • @user-dr7jn4op8g
    @user-dr7jn4op8g Год назад

    Ustadh juma naomba tuongee kuhusu hii kaswida nataka unitungie harusi yamdogowangu ntakupataje hujaeka namba

  • @aminadjuma7555
    @aminadjuma7555 Год назад

    Madhaalla

  • @sheikhsharifmaduatz2871
    @sheikhsharifmaduatz2871 2 года назад

    Vitaaa kubwa mwamba sema nahitaji mawasiliano Yako ndugu Nina Jambo langu nahitaji kwa show shughurini kwangu Nijibu Tafadhali

  • @user-ph7yg2wp2e
    @user-ph7yg2wp2e Год назад

    Mashaallh

  • @UmmiMuhammad-hg2pe
    @UmmiMuhammad-hg2pe 3 месяца назад

    Mashallah fakih uko vema🎉

  • @khamisridhwan934
    @khamisridhwan934 2 года назад

    Mashallaaaaaaaaaaaaaaaaah da yani www huna mpizanu tznia hiiii

  • @allyismail3927
    @allyismail3927 2 года назад

    Narud tena kusema wewe unajuwa sana Mashallah

  • @aminadjuma7555
    @aminadjuma7555 Год назад

    Hii kaswida nasikilizaga lakinihamu haiishi

  • @fahadayoub850
    @fahadayoub850 2 года назад

    Hapa cjui jini la fimbo lilikua limeshuka mana sio poa

  • @fahadayoub850
    @fahadayoub850 2 года назад

    Mwamba me nicoment nini mana majina yote ushaitwa

  • @HawaKusaga-vv3lu
    @HawaKusaga-vv3lu Год назад

    Mashaaallah hua sichoki kusikiliza

  • @UmmiMuhammad-hg2pe
    @UmmiMuhammad-hg2pe 3 месяца назад

    Mashaalah

  • @bintmaghas8794
    @bintmaghas8794 2 года назад +1

    Maashaallah sauti yako huwa inanikosha

  • @kulthumabass9616
    @kulthumabass9616 2 года назад

    MashAllah Kila la kheri ustadh jms

  • @khamisally6924
    @khamisally6924 2 года назад

    Mashaallah hongera kiongozi ww ni fundi wa AQz

    • @jumafaki1697
      @jumafaki1697  2 года назад

      Shukran Alhabib usisahau kusubscribe

  • @rukiaregeya5649
    @rukiaregeya5649 2 года назад +4

    Masha Allah Tabaraak Allah ❤️💖💗

  • @mulasdigitaltv131
    @mulasdigitaltv131 2 года назад

    Maaalim wangu nisalimie guruguru mstaafu mwambie atapata soda yke kuna uchaw flani umo ndani kautia hatarrry mnooooo

    • @jumafaki1697
      @jumafaki1697  2 года назад +1

      Duh 😃😃😃 Suma Salam zimefika saivi wewe Ndio guruguru ulobakia kupigwa mawe

  • @mariamhamisi3294
    @mariamhamisi3294 Год назад

    Nakukubal Sana ustadh juma

  • @fatmasuleiman1237
    @fatmasuleiman1237 2 года назад

    Mashaallah Allah azid kukitunza kipaji chako

  • @jassy1171
    @jassy1171 Год назад

    mashaallah qaswida nzurr

  • @bakathiri6999
    @bakathiri6999 2 года назад

    Syka khatariiiii...hongera kiongoz

  • @hemednassor2362
    @hemednassor2362 2 года назад

    MashAllah ivi Prosucer wako nani Mwalim.Juma mbona Yuko Vizur kasida imeendana na Piano

  • @zakiaali79
    @zakiaali79 2 года назад

    Unajua hiii kasda ni ya kuburudisha lakin nkikuskiza had choz linanitokaa😢

  • @franknobre3485
    @franknobre3485 Год назад

    Juma Faki, your music and your serene spirit convey a sense of peace. May you live for many years and know old age so that you can reap all the blessings of your destiny.

  • @ashurasaidy6568
    @ashurasaidy6568 Год назад +1

    Maashaanlaah 💗💗