Masha'Allah, Hujawahi kuimba Qaswida nzuri kushinda,hii😂😃kwanza hizi sauti ulizozitumia humu na miujiza hasaa,nakukubali Sana Maalim Juma.Allah akupe umri mrefu wenye kheir na ww😃😁
Aisee Mungu fundi wallah yani ukiamua kuhuzunisha had machoz ukiamua kufrai hadi tabassam linaonekana ww au bas acha tu mungu akulinde sana yani una kipaji cha pekee ktk znz hiii na hakuna wa kufanan nae ondoa wsws kbsaaaaa hakuna ....Nakpenda bure
Kiukweli hujawai kuteleza hata siku moja ktk usomaj wako wa qasda Alla azindi kukupa nguvu izid kufanikiwa akufungulie milango ya kheri Allah akupe umri mrefu usidi kuelimisha jamii kuitia Kaz zako Allah akunusuru na mabalaa akulinde na husda za walimwengu hongera Sana Kaka juma 🙏🙏
Usjl hakika ww kwetu huna baya endelea kutufrahisha ila ww fundi wa tasnia ya qaswida yani hii qaswida htr na nusu aisee allah akupe umri mrf aaammmiin
Aslm alykm Juma kunakaswida yenu ile ya udugu wetu na tuushike famili zetu tusizikate nimeitafuta RUclips sijaipata au sijui nimeandika sivo ndio maana haikuja😭😭😭
Mkuu maashaallah uko vizur sana yaani ktk kumbukumbu zangu hajuwahi kufeli, hiyo ni siqa ikishirikana na Nah-wandi na kiitikio kimeishia na bayati. Pamoja sana maalim wangu
Juma Faki, your music and your serene spirit convey a sense of peace. May you live for many years and know old age so that you can reap all the blessings of your destiny.
Na mimi nataka unitungie kaswida ila iwe Audi inshallah inawezkana wezekana nipe muongozo tena sio moja
0777081815 tuma msg kupitia namba hii
Inshallah
Mashallah Walaah kaswida zako ni nzuri sana kaka angu Allah akujarie kila ufanyaro liwe lepesi kwako Inshaallah broo 🥰🥰🥰♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Masha'Allah, Hujawahi kuimba Qaswida nzuri kushinda,hii😂😃kwanza hizi sauti ulizozitumia humu na miujiza hasaa,nakukubali Sana Maalim Juma.Allah akupe umri mrefu wenye kheir na ww😃😁
Kun FAYAKUUN, hakuna wa kuzuia kilichotolewa na Allah 💯
mwalimu tutolee nyingine burudan inatufurahisha sana mungu akikuze kipaj chako uonekane dunia nzima 😎😎😎
We juma mh!!!
Htr hii💥🔥
Mwalim hujawahi kusoea Ni SIIKA flani ivi🔥🔥🔥🔥
Asante sana Hodari wangu Halawa
Kiukweli sijawahi kusikia mtu akisoma Siikaa kwa zanzibar hii lakin ndio kwanzaa nimekuskia ww na hii kazi khattar sanna wallah
Mashallah hufananishwi na mtu wa nchii hii kwa uboraa wako mwalim juma hongeraa bwana weeeee
Mashallah Sh.Juma kwa kweli Allah kakupa kipaji cha aina yake ktk hii fani hujawahi kutoa kazi yako ikawa haina ubora wa hali ya juu
Mwalim Juma Asante mzigo uko juu naupa 99% Ila Mawadah dah 20000% 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
😄😄😄😄😄😄😄
Mawadda iko juu
Mashaallah Ustadh juma fakk unanifanya nilie kabsaa😚😚😚😋
Mashallah allah 🙏 akufanyie wepesi kila penye uzito
Mwalim juma weeeeeee bac bac bac wewe nifundi wamengi
Dah wewe ni fundi zaidi
Ki kweli nakukubali sana ktk qasida zako zote. Na naipenda sana sauti yako dhahabu. ALLAH akuhifadhi na kila shari za dunia
Rejesha pacha Zango binafse
Aisee Mungu fundi wallah yani ukiamua kuhuzunisha had machoz ukiamua kufrai hadi tabassam linaonekana ww au bas acha tu mungu akulinde sana yani una kipaji cha pekee ktk znz hiii na hakuna wa kufanan nae ondoa wsws kbsaaaaa hakuna ....Nakpenda bure
Bismillah Ma Sha Allah sichoki kuiskiliza Allah akuzidishie kipaji uzidi kutupa burdani ya Qaswida
Waaallah nime simama na kucheza mwenyewe maaan safiiiiîi sn tuuuu
Nakoment kwa hasira mashaaallh unjuwa mpk unajuwa tna hujawahi kukosea allh mpe afya njema kiongozi wetu tunkupnda sanaaaaaaaa
Ahsante punguza Hasira 😄😄 shukran sana sana
Unajuwa kutuburudisha kijan ishi tu kadri mungu alivyo kupangia
Mashallah sheikh juma wajua sana Allah akubariki sana kwenye kazi zako amiin
Masha Allah tabaraka Allah naomba no ya Muimbaji nahitaji kaswida kutungiwa Shukran
Mashaallah...Allah aendelee kukikuza vyema kipaji chako kaka faki
Allah akupe kila la kheir kwa kweli unatuburudisha ust jumaa💗💗
Mwamba namkubali mpk namkubali na tena wallah.. maa shaa Allah ❣️❣️❣️
My favorite❤ singer
Allah Allah Allah maasha Allah hongera Sana qaswida nzur
Mashaallah
Mashaallah jamn nakupenda san jumaa big up
Wallah mashaallah hii qaswida nzuri sauti na mnanda ipo poa sn naiskiliza mara 5 kwa siku Mungu akizidishie kipaji
Unajua nn fundi Wang....unajua half unajua tena half unajua sanaaaaaaaaa mashaallah 😍 pamja kindaki ndakiii
Mashaaallah upo juu wangu hakika wewe ni mwamba mungu akuweke ishaallaha
Masha Allah kaswida nzuri sana
Allah akubarik katika kazi yako
Bismillah mashaallah 🔥🔥🔥 Hadi mwili wasisimka kwa mashairi tulivu ndani yake dah Kaka unajua Tena unajua sana
Maalim hii siikaa hatari sanna wallah mashaallah
Huna mpinzan jivunie maalim Juma 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Mashaallah kitu ro inapenda Allah akuzidishie kipaji chako
Masha allah QASDA Tamuuuuuuuuuuu👋👍👍 then imebeba ujumbe mzito.....Big-Up
Ni kaka omari na Dada ilihamu
Na ilham ndio mie omary wngu yuwapi sasa😊
Kiukweli hujawai kuteleza hata siku moja ktk usomaj wako wa qasda Alla azindi kukupa nguvu izid kufanikiwa akufungulie milango ya kheri Allah akupe umri mrefu usidi kuelimisha jamii kuitia Kaz zako Allah akunusuru na mabalaa akulinde na husda za walimwengu hongera Sana Kaka juma 🙏🙏
Kaz kakee hiyo
Asant kake 😄😄
Hakika hii ni qaswida khaswa naomba utuletee km hizi tu hatariii sana sana
Mashallah juma faki ...Naona unendelea kuibembeleza tasnia ya qaswida znz hongera
Asant Sana kwa kutusapoti tuko pa1
Usjl hakika ww kwetu huna baya endelea kutufrahisha ila ww fundi wa tasnia ya qaswida yani hii qaswida htr na nusu aisee allah akupe umri mrf aaammmiin
ماشاءاللہ جزاك اللهُ لخیر
صوتك خلوة مشاري 📚🖊
Mashaallah mna qasweda nzuri
Mwamba shekhe juma upo vizury
Qasida nzuri lkn sijui kwann mnapenda lutaja majina ya watu sasa hii mtu ana harisi yake hawezi kuipiga maana hii mahususi kwa hao uliowataja
Aslm alykm Juma kunakaswida yenu ile ya udugu wetu na tuushike famili zetu tusizikate nimeitafuta RUclips sijaipata au sijui nimeandika sivo ndio maana haikuja😭😭😭
Maalim juma hii ndinga kali sana mashallah hadi rahaaa
💥kunfayakun💥💥
Yan nazid kutoa lang neno kwa hii qaswida mashaallah
Maashallah hapaaa napataaaa burdani wenyeweeeee hasaaaaa naghmaaa zimepitaaaaa pengeweeee zikapenyaaaa kwenye Siqqa hasaaaaa kwakweliiii hapaaa salute nakupaaaaa Baba Muayyad 👌
Duh 😃😃 Bado hujazisahau wewe kweli nizaidi ya dada
GONGA LINK HII HAPA ruclips.net/video/7uVt6KFBPN8/видео.html UONE QASWIDA HII ILIVYOIMBWA NA UKHTY ASIA KWENYE HARUSI YAKE
Mashallah naipenda sn hii qaswida
hongera brother faki qasida nzuri👍👍👍👍👍💞💞🌹🌹❣️🙏
Mashaallah yan ustadh mungu akupe umr mrefu mpk kufika kwenye ndoa yang ili ujekupg show,,,
Ata sichoki kuisikiliza hii qaswida wallah😍
MashaAllah Allah akuzidishie naipenda sanaaa hii kaswida
Mkuu maashaallah uko vizur sana yaani ktk kumbukumbu zangu hajuwahi kufeli, hiyo ni siqa ikishirikana na Nah-wandi na kiitikio kimeishia na bayati. Pamoja sana maalim wangu
Shukran sana Alhabib
Ustaz juma fakih omar mm ww nakuita fundiiiiii
Hii qaswida na alosomewa kiukweli hawaendan hizo sifa lbda kwa wasowajuwa J nakukubal saana mashallah lkn huyo jamaa dah mneshindwa kuvumilia sory
Wallah tunakuombea kwa m/mungu akuongoze na akuzidishie. Hii qaswida na kitu cha kufungia mwaka
Shukran sana Mwalimu wangu
@@jumafaki1697 nahitaji kutungiwa sijui inakuaje gharama
Barakallah
Hii kaswid nzur sn
Hongera juma fiki Allah akuzidishie ishaallah 🙏 🙏
Huwa unakula nini kiongoz mbona sauti sio ya kawaida hii 🎵🎵 wewe fuundi bhaana
Cjawahi jutia kukusikiliza cose unajuwa fundi wa mafundi Allah akubariki.
Shukran Alhabib
Sikaah hatari
Hii qaswida nimeikubali (bayat ya kibabe mno)
Mashallah juma faky 😍❤
Maalim Juma Qaswida yako tangu asubuh mpaka sasa nishaisikiliza zaidi ya 15, wee si wakawaida, you're the most talented one😂
Boss wangu unanifurahisha Asant kwaiyo cjawahi kusoma nzuri Kama hiyo 😄
Haijashinda mayatima
Mashallah ustadh
Safi babu una tisha
Hongera kwa Qaswidah wewe huna mbaya
Mashaallah Allah akuzidishie kipaji
Ustadh juma naomba tuongee kuhusu hii kaswida nataka unitungie harusi yamdogowangu ntakupataje hujaeka namba
Madhaalla
Vitaaa kubwa mwamba sema nahitaji mawasiliano Yako ndugu Nina Jambo langu nahitaji kwa show shughurini kwangu Nijibu Tafadhali
0625876959
Mashaallh
Mashallah fakih uko vema🎉
Mashallaaaaaaaaaaaaaaaaah da yani www huna mpizanu tznia hiiii
Narud tena kusema wewe unajuwa sana Mashallah
Hii kaswida nasikilizaga lakinihamu haiishi
Hapa cjui jini la fimbo lilikua limeshuka mana sio poa
Mwamba me nicoment nini mana majina yote ushaitwa
Mashaaallah hua sichoki kusikiliza
Mashaalah
Maashaallah sauti yako huwa inanikosha
MashAllah Kila la kheri ustadh jms
Mashaallah hongera kiongozi ww ni fundi wa AQz
Shukran Alhabib usisahau kusubscribe
Masha Allah Tabaraak Allah ❤️💖💗
Maaalim wangu nisalimie guruguru mstaafu mwambie atapata soda yke kuna uchaw flani umo ndani kautia hatarrry mnooooo
Duh 😃😃😃 Suma Salam zimefika saivi wewe Ndio guruguru ulobakia kupigwa mawe
Nakukubal Sana ustadh juma
Mashaallah Allah azid kukitunza kipaji chako
mashaallah qaswida nzurr
Syka khatariiiii...hongera kiongoz
MashAllah ivi Prosucer wako nani Mwalim.Juma mbona Yuko Vizur kasida imeendana na Piano
Unajua hiii kasda ni ya kuburudisha lakin nkikuskiza had choz linanitokaa😢
Pole Sana sana
Juma Faki, your music and your serene spirit convey a sense of peace. May you live for many years and know old age so that you can reap all the blessings of your destiny.
Maashaanlaah 💗💗