LUKAMBA AELEZEA ALIVYOZUIWA HADI DIAMOND AKAGOMA KUENDELEA NA SHOW IVORY COAST
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- LUKAMBA AELEZEA ALIVYOZUIWA HADI DIAMOND AKATAKA KUGOMA KUFANYA SHOW IVORY COAST
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
LUKAMBA AELEZEA ALIVYOZUIWA 'KUM-SHOOT' DIAMOND HADI AKUGOMA KUFANYA SHOW IVORY COAST
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #DiamondPlatnumz
Diamond anajtambua na anapenda kuona kila mtu akiwa anapewa heshima. Mungu amuweke sana.
Ww skpingi
@@msalabanireko1518 Tunakubaliana sana. Ss ndo mashabiki pekee tuliopigania msanii wetu dhidi ya vyombo vitatu vikubwa vya habari vikiwa vinamchafua na kutaka kumpoteza na tukavishinda na msanii wetu akaendelea kuwa juu hadi leo🦁. What the die hard Fans ..
Hd msasa oficial KITANZI gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomfunika MBOSO KHAN ruclips.net/video/Cdyxj5ymOR4/видео.html
Ameeen
@@rosemahenge9071 appreciated 👍
Diamond 💎 did a very nice job that day for lukamba you need to respect your co partners who help you to get money
Mwambieni boss amutegenezee kitambulisho chake,WCB wasafi Diamond fotografie ili wakienda kwa show akivae,hatosumbuliwa tena nimawazo yangu kwa boss
Kweli asee 💪
Unaakili ww kuliko boss wa lukamba
@@maryamnassor9482 😀😀😀 you made my day
@@maryamnassor9482 😂😂😂😂😂😂😅😅
Hd msasa oficial KITANZI gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomfunika MBOSO KHAN ruclips.net/video/Cdyxj5ymOR4/видео.html
Changamoto zakazi mzee perfect lukamba👏
Uyu nae kila siku mambo ayo ayo tu
Broh mshana umeongea
For sure mzee nilazma wawapange
Mapema kabisa tupo na Grapher video
Dimond amtengezee some thing Lukamba anapokwenda pahala cha kumjulisha kama huyu photo grafa wake
Jamani nitasema ukweli mimi nisha oza kwa lukaba huyu boy napenda sana l love you so much lukaba natamani uwe mme wangu 💋 jamani 😭😭
Muwe na vitambulisho basiii😢😢😢 pole luk
Watengeze badge zao zakuonyesha wao n team,bila hivyo watateseka Sana
Mpaka hapo ujaelewa tu
sio lazima uzungumzie camera mibei sana unazijua camera zenye bei lakini alafu pia kama nyie mnapo kwenda kwenye show namnakwenda kufanya show nawewe mpiga Pic wake na video kwanini msifanyiwe kitamhulisho cha kuingia Katika show amjui sheria za kimataifa punguzeni usha sio kila kitu mtajua nyie ulizeni watu wengine
Love you likamba
Kweli kabisa
duh umesuka nywele na herini.masikioni.kijana wa kiislam , Allah atuongoze
Acha zako kwani ww mkamilivu tetea moyo wako kijana
Huyu ni kuma sana lukamba
Sasa wewe inakuhusu nn...vitu vyote kaumbiwa mwanadamu,kasome vitabu
Mtandaoni waachie wenyewe
@@vincentmushi1247 wewe ni kafiri huwezi kuelewa ndio mana utasema inanihusu nini , sisi waislam sote ni ndugu tunatakiwa tukumbushane
@@yahyahamad1802 ona sasa ulivyo mpumbavu kwa kuwaita wenzio makafiri
Je haujasoma maandiko yanayosema usihukumu utahukumiwa?huu ndio udhaifu wako,kuhusu kumkumbusha wazazi wake wanatosha...unamkumbushia mtandaoni atakusoma saa ngapi...
Lukamba is right... Ammy girl wewe ndio kizungu kimekuchenga
Kwani yeye ni lugha yake msiwe watumwa wa lugha
Lukamba jifundishe lugha cha kinge una banwa banwa Sana sababu hujui kijitetea!!
Lukamba saut y simb umeichkuwa kinom yn
Mbona lukamba anasauti kma ya diamond jamn au masikio yangu
Paka wa ikulu anasaman ya ikulu pia
Uhakika hujakosea
Hujakosea bro
Si ni boss wake🤣🤣
Muulize konde boy maana akiwa wasafi alikuwa anaimba kama Diamond wafanyakazi wanaiga sauti ya boss
Noma
Safi
Mvae badge's za kuwatambulisha kama sehemu ya team.
I think uwe unavaa black clothes na badge ili iwe rahisi pia wakutambulishe on security before the show
Good
Maybe they were trying by all means to tighten up their Security to protect Simba. The crew must always have a identification or accreditation.
point
Hd msasa oficial KITANZI gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomfunika MBOSO KHAN ruclips.net/video/Cdyxj5ymOR4/видео.html
🤣🤣🤣🤣🤣kizungu na Tz jamani
wasafi huyu jamaa ana maneno sana asha waikusema yeye ni namba one Afrika leo vipitena ana lolote Diamondi Platnumz pingia chini huyu vijana wapo wingi sana nawa shida alisha sema kua yeye ana ela pinga chini huyu kamukubwa atakufelisha huyu jamaa kipi ambacho anala mika
Mwamba hua namkubalisana lukamba
Nakubali
Diamond huyu photography wake amnunulie unform hiyo itamzaidia
🙌🙌🙌🙌
Diamond ni msanii anaejielewa san
🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Simba forever
Hzo Heleni za mkewe
Ati watu waona hujui kengereza😅😅😅😅😅😅
Lukama janaume! Namkubali alivyopambana na Mange,haogopi panya.Mwanaumeee heee!
Wasaf chama langu
✌
Kwann Sasa msiwe mnavaa vitambulisho vinavyowatambulisha kua nyie ni video grafa
Mahelen ya nn mtto wa kiume!!!??.....
Content ×89
Nice
Hizo hereni bora ungechora daimond tu ijulikane kuwa wew ni photography wake.
Am the first one to view dis one
Kabla bado sijassikiliza, huyu ni fala, kwani kila siku kukimbizwa yeye, kwanini?
Anaingiyaga na sura ya zombie!
Jamani ammy amesema talk to my boss nawe ammy unaongea vitu mtu ajasema
Ata wewe pia uwa unaangaika Sana stejini
Ndo Kaz yakee
😬😬
*️⃣5️⃣
duh mitihani kwani kijana wa kiume mpaka usuke nywele?
Sio kusuka tyu nywele mpaka kuvaa heleni za kuning'inia🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Itakua dada huyo au
@@penny__amyleon itakua dada huyo au
@@mohamedhaji2200 ah ndio.ivo.tunaiga.tu.mpaka.tunajisahau.
@@yahyahamad1802 kwa kweli. Hivi kwani ukiimba bila kusuka hupendwi
Lukawise,,,,
Show inaboa hawana story
Punguza wivu panya wee sijui ata unateseka ukiwa wpi
Usiangalia vitu vinavyo kukela ,,,🤣🤣🤣
Kanye ulale
Lukamba😂
Huyo girl huwa ana harbu intavyuuuu
Anaboa sana makelele mengi
You are not professional simple
😂😂😂😂
Hii ni Baraka sana 🔥🔥🔥🔥🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼
ruclips.net/video/CTKEv7VUpRc/видео.html
DAWA ZA KUTIBU MAGONJWA YA MOYO YA AINA ZOTE*#
m.ruclips.net/video/RsM9NvFhdoM/видео.html
Hawajui kiingereza, wa naongea French, wanakutana maswahili hajui kiingereza, hajui French, disaster 😠😠
Msiwe watumwa wa luhga Kila mtu afe na lugha yake mbona wenyewe hawajifunzi kiswahili
@@julietisrael4711 Kiki, kitu kimoja ambacho wabongo wengi hawajui ni kwamba "Tanzania kiingereza ni moja ya official languages. Official languages Tanzania ni Kiswahili na kiingereza.
Hao ni kiki tu hawana lolote
Duuuuuh umeliona tukio lenyewe au
Acha makasiriko panya
@@salim02tv24 Nimeiona vizuri labda uangalie wewe kwa makini
@@owenmutale6691 Kwa nini mbwa weee
DAWA ZA KUTIBU MAGONJWA YA MOYO YA AINA ZOTE*#
m.ruclips.net/video/RsM9NvFhdoM/видео.html