Eti mimi handsome, smart mwanamme mzimaaaa. Ukiona mwanamme anajisifu mie handsome basi ujue japo siki moja alipigwa nyuma kiboko cha matako. Huwezi kujisifu hivyo kama choko fulani hivi.
Hajuagi kuchagua madem 😢 duh so kwa dem huyo khaaa 😂😂 tafuta dem ambae ukipita nae ex anatetemeka😂😂 sasa huyu na cecy si the same 😅😅😅 sijui anaokotaga wapi na huyu
daah sema mnyamwezi anajipakulia sanaa manyamaa
Very confident ❤️both of you! Lukamba tokosssss ❤️❤️❤️
Oya lukamba .. toa goma 1 uliite . LUKA MACASH.. yaan lukamba mapesa .
Dope❤... nifikisheni 2k subscribers,niko na mixes kaliii🔥🔥🔥
Hakuna kitu hapo lukamba anafeki maisha saana😮
Kufek nn😂😂😂ameongea ukweli
😂😂anaonyesha tu
Problem 😂😂
Ww choko tu ww huna lolote harmo ❤❤❤❤❤❤❤
Eti mimi handsome, smart mwanamme mzimaaaa. Ukiona mwanamme anajisifu mie handsome basi ujue japo siki moja alipigwa nyuma kiboko cha matako. Huwezi kujisifu hivyo kama choko fulani hivi.
Hajuagi kuchagua madem 😢 duh so kwa dem huyo khaaa 😂😂 tafuta dem ambae ukipita nae ex anatetemeka😂😂 sasa huyu na cecy si the same 😅😅😅 sijui anaokotaga wapi na huyu
1st comment
Lukamba anajitahidi kujitafuta
I love your confidence kkkkkk 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Mapema ya kuigiza da eti na mabusu juu
Uyu yupo au mzimu
Hakuna mahusiano hapo acting tu 😏
Aliachwa hicho kigari na vile anapenda kupewa hajui kutafuta
Huyu yuko hai kumbe
😂
Muko nae kuzimu
Ila kua mweusi
❤❤❤❤
Uyu matako sana jamaa
Lukamba wewe ni mtapelisana
Lukamba wewe shobo nyingi siulimkataaaa diamond kumbe wewe chokooo
😅😅😅😅😅pipa na mfiniko 😅
Hebu aende uko Aaliyah gari lake alilichukua. Tanasha nae? Walobakia wote wamejinunulia wenyewe. kashaanza kujikomba tena kwa Diamond. Nyambafff
Wewe ni pimbi kabisa. Tanasha kaacha mwenyewe
Akichuwa niyakwakwe ww yanakusus nn nunuwa yakwako kisha yache
🤣🤣🤣🤣🤣hizo nywele jmn😂😂😂😂😂😂😂😂
Ongea vitu vya kiume boya ww
Lukamba kama mkongo, eti mimi Nina hela.😂😂😂😂😂😂😂😂
Eti duka yenye samani ya 100 million shillings.
Acheni maisha ya fake 😂😂😂😂😂😂
Mshamba tu wewe kwendaga
acha ujiga
Car belong to company not harmonize.lukamba understand that.thats reality.mshamba wewe
Kwani za wasafi does not belong to the company? Na ya Kajala he haikuwa ya kampuni?
Huna lolote chawa ww
Nawewe hutomnyaganya namatusi kama hamo
Ndio luka
Hawa watoto wajingaa sana ukitaka kuwaiga waongo sitaki watoto wangu waishi haya maisha ya uongo