LUKAMBA AMCHANA HARMONIZE KUCHUKUA MAGARI WATU WAKIONDOKA KWAKE/WASANII HAWANA PESA/WASAFI FESTIVAL

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 42

  • @chidaga_tz5653
    @chidaga_tz5653 10 месяцев назад +5

    daah sema mnyamwezi anajipakulia sanaa manyamaa

  • @gagedamoursarusaru8079
    @gagedamoursarusaru8079 10 месяцев назад +3

    Very confident ❤️both of you! Lukamba tokosssss ❤️❤️❤️

  • @mussamc641
    @mussamc641 10 месяцев назад

    Oya lukamba .. toa goma 1 uliite . LUKA MACASH.. yaan lukamba mapesa .

  • @partypulsetv
    @partypulsetv 10 месяцев назад +4

    Dope❤... nifikisheni 2k subscribers,niko na mixes kaliii🔥🔥🔥

  • @kahindicharokiti2093
    @kahindicharokiti2093 10 месяцев назад +6

    Hakuna kitu hapo lukamba anafeki maisha saana😮

  • @user-hs6em4yb1s
    @user-hs6em4yb1s 10 месяцев назад

    Ww choko tu ww huna lolote harmo ❤❤❤❤❤❤❤

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 10 месяцев назад

    Eti mimi handsome, smart mwanamme mzimaaaa. Ukiona mwanamme anajisifu mie handsome basi ujue japo siki moja alipigwa nyuma kiboko cha matako. Huwezi kujisifu hivyo kama choko fulani hivi.

  • @BrightnessGasper
    @BrightnessGasper 10 месяцев назад +1

    Hajuagi kuchagua madem 😢 duh so kwa dem huyo khaaa 😂😂 tafuta dem ambae ukipita nae ex anatetemeka😂😂 sasa huyu na cecy si the same 😅😅😅 sijui anaokotaga wapi na huyu

  • @sotechalanda4075
    @sotechalanda4075 10 месяцев назад +2

    1st comment

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 10 месяцев назад +1

    Lukamba anajitahidi kujitafuta

  • @EnockLubengo-ry9ze
    @EnockLubengo-ry9ze 10 месяцев назад

    I love your confidence kkkkkk 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 10 месяцев назад +1

    Mapema ya kuigiza da eti na mabusu juu

  • @majutoeliasi
    @majutoeliasi 10 месяцев назад +1

    Uyu yupo au mzimu

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 10 месяцев назад +7

    Hakuna mahusiano hapo acting tu 😏

  • @fatmamansour676
    @fatmamansour676 10 месяцев назад

    Aliachwa hicho kigari na vile anapenda kupewa hajui kutafuta

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf 10 месяцев назад +4

    Huyu yuko hai kumbe

  • @sylviembirize
    @sylviembirize 10 месяцев назад

    ❤❤❤❤

  • @jonathanpaulo4379
    @jonathanpaulo4379 10 месяцев назад

    Uyu matako sana jamaa

  • @pacifiquemuzo7446
    @pacifiquemuzo7446 10 месяцев назад

    Lukamba wewe ni mtapelisana

  • @user-uw7yf9dr4h
    @user-uw7yf9dr4h 10 месяцев назад

    Lukamba wewe shobo nyingi siulimkataaaa diamond kumbe wewe chokooo

  • @mishiomarhassan7115
    @mishiomarhassan7115 10 месяцев назад

    😅😅😅😅😅pipa na mfiniko 😅

  • @pilimwanza8117
    @pilimwanza8117 10 месяцев назад +3

    Hebu aende uko Aaliyah gari lake alilichukua. Tanasha nae? Walobakia wote wamejinunulia wenyewe. kashaanza kujikomba tena kwa Diamond. Nyambafff

    • @strong8534
      @strong8534 10 месяцев назад

      Wewe ni pimbi kabisa. Tanasha kaacha mwenyewe

  • @hamisially-sy5fm
    @hamisially-sy5fm 10 месяцев назад

    Akichuwa niyakwakwe ww yanakusus nn nunuwa yakwako kisha yache

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 10 месяцев назад

    🤣🤣🤣🤣🤣hizo nywele jmn😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @JamallyJuma-mg3gl
    @JamallyJuma-mg3gl 10 месяцев назад

    Ongea vitu vya kiume boya ww

  • @philippemukandama2960
    @philippemukandama2960 10 месяцев назад +1

    Lukamba kama mkongo, eti mimi Nina hela.😂😂😂😂😂😂😂😂
    Eti duka yenye samani ya 100 million shillings.
    Acheni maisha ya fake 😂😂😂😂😂😂

  • @babailu2133
    @babailu2133 10 месяцев назад

    Mshamba tu wewe kwendaga

  • @user-zn4lc5pw3y
    @user-zn4lc5pw3y 10 месяцев назад

    acha ujiga

  • @fuadaladawi1255
    @fuadaladawi1255 10 месяцев назад +1

    Car belong to company not harmonize.lukamba understand that.thats reality.mshamba wewe

    • @omogo2030
      @omogo2030 10 месяцев назад

      Kwani za wasafi does not belong to the company? Na ya Kajala he haikuwa ya kampuni?

  • @fundiwasoka
    @fundiwasoka 10 месяцев назад

    Huna lolote chawa ww

  • @neemapraigory8832
    @neemapraigory8832 10 месяцев назад +1

    Nawewe hutomnyaganya namatusi kama hamo

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 10 месяцев назад +2

    Hawa watoto wajingaa sana ukitaka kuwaiga waongo sitaki watoto wangu waishi haya maisha ya uongo