TAJI LIUNDI AMCHANA HARMONIZE HANA CHA KUIMBA NA MEEK MILL/CHRIS BROWN KUCHEZA KOMASAVA YA DIAMOND
HTML-код
- Опубликовано: 20 июн 2024
- TUMEPIGA STORY NA MDAU WA BONGOFLEVA kitambo taji liundi amefunguka kuhusu wimbo wa #diamondplatnumz #komasava na jinsi msanii #chrisbrown alivyofanya challenge ya wimbo huo pia amezungumzia kitendo cha msanii #harmonize kwenda dm kwa mick mill na kusema harmonize ataimba nini na msanii huyoo
Развлечения
Baba ni Baba hawezi Kushindanishwa na Watoto Big up # Simba.
Diamond platnumz simbaaaa
Huyu sindio alisema diamond Hana chakuimba Tena????
Yes😂😂😂😂😂
We ni mwehu2
Yes alusema simuelewi kabisa
Kuzimwa kakangu
Simba la masimba dangote
Simba❤❤
The only talent artist in Tanzania
Taji is very smart. Kaongea constructive things. Reporter tried to "Kumpakazia" Harmoniza, jibu la Taji, is superb.
Mario angali cinii sanaa
😅😅😅😅😅😅 kasema juzi tyuu mwamba Hana Cha kuiiimbia dunia Tena 🤣🤣🤣🤣
Platnumz
Mario hapana kwakweli hapo umechemka kwanza kabisa ana limitation ya ukuaji hadi leo awezi hata kufanya interview ya kingeleza mimi nilimtabilia D mwaka 2010 kwamba atakua mwanamziki mkubwa Africa nilitukanwa sana na rafiki zangu kipindi anauza nguo studio
Mwangalie fala huyu. Unamuita mtu mungu mdogo uchawa gani huo wewe liundi unazeeka vibaya sasa
Marioo kwa bongo hana mpinzani atoke sasa hawamfahamu
Baba ni baba
Bwana Taji Liundi,tupunguzage chuki kwa wasanii wetu.
Bado Sanaa kwa diamond
🤫🤫🤫🤫
Simba ni Simba haipingwi kama ngoma nagwa
Unajivunjia heshima kaka. Unalazimisha kitu kisichowezekana. Hao wasanii wako wote jmunaowasifia hapa bongo hata waungane na mbwai wao bado hawatuwezi Diamond. Lakini tunajua chuki ni kwasababu ya media ilivyokutosa
🤔
Kweli ataimba nnuyu
Huyu uchambuzi mbovu.rema sio msanii mkubwa rema ana hit kubwa sana dunian ya calm down.mfano mapopo poo ya yule mtanzanua ulivuka mipaka huwezi tena msanii mkubwa sana
Huyu hajielezei
Huyu jamaa too much porojo.
Huyu mbona haeleweki juzi juzi tu alisema diamond kaishiwa siku hizi hakuna kitu.leo kasahau
We ndo huelewi ila ye anaeleweka Huyu anastand kwenye uhalisia ispokua nyie mnapenda mtu asiwe na mawazo huru awe anafikiri kwenye njia moja tu ya kusifia Sifia huyo drake leo watu wanamwambia kadorola acheni hizo