TAJI LIUNDI AMCHANA HARMONIZE HANA CHA KUIMBA NA MEEK MILL/CHRIS BROWN KUCHEZA KOMASAVA YA DIAMOND

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 июн 2024
  • TUMEPIGA STORY NA MDAU WA BONGOFLEVA kitambo taji liundi amefunguka kuhusu wimbo wa #diamondplatnumz #komasava na jinsi msanii #chrisbrown alivyofanya challenge ya wimbo huo pia amezungumzia kitendo cha msanii #harmonize kwenda dm kwa mick mill na kusema harmonize ataimba nini na msanii huyoo
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 30

  • @jabirshomar8247
    @jabirshomar8247 2 дня назад +1

    Baba ni Baba hawezi Kushindanishwa na Watoto Big up # Simba.

  • @ZawadiRobati
    @ZawadiRobati 6 дней назад +6

    Diamond platnumz simbaaaa

  • @mudrikramadhani32
    @mudrikramadhani32 6 дней назад +12

    Huyu sindio alisema diamond Hana chakuimba Tena????

  • @TundaJr
    @TundaJr 7 дней назад +5

    Simba la masimba dangote

  • @user-jh9yv1zp1l
    @user-jh9yv1zp1l 6 дней назад +6

    Simba❤❤

    • @bonirodi6301
      @bonirodi6301 3 дня назад

      The only talent artist in Tanzania

  • @VictorChrispinSamson
    @VictorChrispinSamson 5 дней назад

    Taji is very smart. Kaongea constructive things. Reporter tried to "Kumpakazia" Harmoniza, jibu la Taji, is superb.

  • @user-uj4pi6ru4o
    @user-uj4pi6ru4o 6 дней назад +2

    Mario angali cinii sanaa

  • @venancengunda3879
    @venancengunda3879 6 дней назад +3

    😅😅😅😅😅😅 kasema juzi tyuu mwamba Hana Cha kuiiimbia dunia Tena 🤣🤣🤣🤣

  • @paizinhosaide-cv9pm
    @paizinhosaide-cv9pm 5 дней назад

    Platnumz

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 6 дней назад +2

    Mario hapana kwakweli hapo umechemka kwanza kabisa ana limitation ya ukuaji hadi leo awezi hata kufanya interview ya kingeleza mimi nilimtabilia D mwaka 2010 kwamba atakua mwanamziki mkubwa Africa nilitukanwa sana na rafiki zangu kipindi anauza nguo studio

  • @user-op7vm9mr3z
    @user-op7vm9mr3z 6 дней назад +1

    Mwangalie fala huyu. Unamuita mtu mungu mdogo uchawa gani huo wewe liundi unazeeka vibaya sasa

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 6 дней назад +1

    Marioo kwa bongo hana mpinzani atoke sasa hawamfahamu

  • @BelarmeChristophe
    @BelarmeChristophe 2 дня назад

    Baba ni baba

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 6 дней назад

    Bwana Taji Liundi,tupunguzage chuki kwa wasanii wetu.

  • @nassororashidi33
    @nassororashidi33 6 дней назад

    Bado Sanaa kwa diamond

  • @TundaJr
    @TundaJr 7 дней назад +1

    🤫🤫🤫🤫

  • @Boyluke-luke
    @Boyluke-luke 6 дней назад

    Simba ni Simba haipingwi kama ngoma nagwa

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 6 дней назад

    Unajivunjia heshima kaka. Unalazimisha kitu kisichowezekana. Hao wasanii wako wote jmunaowasifia hapa bongo hata waungane na mbwai wao bado hawatuwezi Diamond. Lakini tunajua chuki ni kwasababu ya media ilivyokutosa

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 7 дней назад

    🤔

  • @MsalabaniReko
    @MsalabaniReko 6 дней назад

    Kweli ataimba nnuyu

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 6 дней назад

    Huyu uchambuzi mbovu.rema sio msanii mkubwa rema ana hit kubwa sana dunian ya calm down.mfano mapopo poo ya yule mtanzanua ulivuka mipaka huwezi tena msanii mkubwa sana

  • @mr_kajomba_og5719
    @mr_kajomba_og5719 6 дней назад

    Huyu hajielezei

  • @chizashungu8364
    @chizashungu8364 6 дней назад

    Huyu jamaa too much porojo.

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 6 дней назад

    Huyu mbona haeleweki juzi juzi tu alisema diamond kaishiwa siku hizi hakuna kitu.leo kasahau

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 6 дней назад

      We ndo huelewi ila ye anaeleweka Huyu anastand kwenye uhalisia ispokua nyie mnapenda mtu asiwe na mawazo huru awe anafikiri kwenye njia moja tu ya kusifia Sifia huyo drake leo watu wanamwambia kadorola acheni hizo