HUKUMU YA MUZIKI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Apostle Mtalemwa alitumia mfano wa muziki wa Tabu ley {MUZINA}
    kuelezea jinsi watu wanavyohukumu bila kufanya utafiti wa kina Muziki huu una maneno ya Mungu na siyo ya kidunia.
    ILI KUCHANGIA HUDUMA HII TUMA SADAKA YAKO KATIKA NAMBA HII
    0682 979585 {JINA ECG CHURCH}

Комментарии • 306

  • @peterkamba8082
    @peterkamba8082 3 года назад +3

    Mtumishi hapa sijahukumu, lakini tuweke mambo wazi.
    Aitha tukae moto ama baridi kulingana Ufunuo wa yoana lakini sio fungufugu. Huu wimbo umefanywa na mtu ambaye hajaokoka na kundi ambalo ni la kidunia. Ujumbe ni mzuri ndio lakini ulifanywa katika mazingira yapi, ya kiroho ama ya kidunia. Unamaanisha waimbaji secular music wakiimba nyimbo zuri na zenye ujumbe wa Mungu sisi wakristo tuwe tunazichukua kwa madhabau ya Mungu? Hapa huko na mchezo. Tafakari sana sana secular singers wanasitahili kukujia kwa madhabau sio sisi tuendee kwao tulete kwa madhabau. Hapa itakuwa ya kwamba Roho wa Mungu hana ufunuo kwetu tena kwa sababu sio kila mmoja amwitoa bwana bwana atauona ufalme wa Mungu. Kindly brethren najua bado tuko dunianni hatujafika binguni, hili Jambo nilakuangaliwa sana sana tena kiroho. Revisit this issue as early as yesterday.

    • @mcwaya1
      @mcwaya1 2 года назад

      DO NOT JUDGE, kama ni secular musicians na ni wakristo wao hawapaswi kumtukuza Mungu? Mungu hana mipaka hiyo ambayo wewe unaiweka

    • @stephenkahindi8678
      @stephenkahindi8678 2 года назад

      Nakuunga mkono mia kwa mia....
      Hapa kuna shida fiche

  • @georgemkali6299
    @georgemkali6299 3 года назад +2

    ANGALIZO WAPENDWA
    Katika siraha zake ni pa1 na watu wenye hekima,wachaji na wenye ushawishi mkubwa ktk kanisa.
    TARATIBU ATAJIPENYEZA HUKU AKIWATEKA WENGI NA KUWATUPA SHIMONI NA KWA KUWA ALIYENENA WALIMPOKEA VYEMA

    • @luthermajoji7300
      @luthermajoji7300 3 года назад +1

      Ndugu yangu.... Ufahamu wa kiroho ni hazina kubwa sana sana. HAPA SIYO SWALI LA KUHUKUMU AU KUTOKUHUKUMU... BALI NI ROHO YA DUNIA NA YA TAMAA MBAYA NDIYO MSUKUMO MKUBWA WA HIKI TUNACHOKIONA

    • @georgemkali6299
      @georgemkali6299 3 года назад +1

      @@luthermajoji7300 Mungu atuepushe tusitumbukie na tumsihi Mungu sana juu ya vita ya kiroho

  • @paulpius6566
    @paulpius6566 3 года назад +6

    Nilifarijika sana nilipoisikia tafsiri ya Wimbo huu kwa mara ya kwanza mwaka 1997 ulitafsriwa na mtangazaji wa Redio Free Africa katika kipindi cha Bolingo time. Aisee mungu mkubwa

    • @fadhililihinda6491
      @fadhililihinda6491 3 года назад

      Asilimia kubwa ya wana music wa Congo/Zaire wa kizazi kile walijifunzia mambo ya music makanisani; hadi wale wapiga magitaa kina Diblo, Dally Kimoko, waimbaji kama huyu Tabu Ley, Bozi Boziana wote ni watoto wa sunday school. Bozi Boziana alikuja kubadiri dini na kua muislamu hasa baada ya ile ziara yake ya Tanzania nadhani mwaka 1992

    • @joshuakapai9380
      @joshuakapai9380 3 года назад

      1994

  • @krafydrafy7854
    @krafydrafy7854 3 года назад +5

    Wapendwa ktk Bwana bila kujali dini Wala dhehebu tunaomba musabuscribe kwa wingi ktk channel hii, mpaka kufikia July/mwezi wa saba tuwe family ipatayo laki 500000 na zaidi....

  • @doricelema2591
    @doricelema2591 3 года назад +8

    Duuh! Kweli tusiwe wepesi kuhukumu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻. Mimi nilikuwa sijui mtumishi, asante sana. Muzinaaa 🔥🔥🔥💃🏻💃🏻💃🏻

  • @gracekwila5674
    @gracekwila5674 3 года назад +10

    😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥 hatari na nusu... Kiukweli mtumishi nilivyoona nilijudge na mimi nikaona hee leo mtumishi amekula nini ila nilivyosoma maneno ya huo wimbo aaaah nimetubu kwa machozi kama petro🙌🙌🙌 kweli don't judge

    • @fadhililihinda6491
      @fadhililihinda6491 3 года назад

      Pole sana sister, zipo nyingi sana hizo nyimbo za Wakongo/Zaire. Kina Kanda bongoman, marehemu Aurlus Mabelee, nk wote hao kwenye album zao walikuaga wanachanganya na wimbo wa kumtukuza Mungu, Kuna nyimbo 1 inaitwa NINA imeimbwa na Nyiboma na Pepe Kalle ni ya Kimungu pia; wanamuziki wa Zaire wa wakati ule zilikuaga products za kanisani. Nadhani huyu mwamba ali record hi baada ya mpenzi/mke wake kumtosa mzee huyu.

  • @Mc_Kibonge_Mwepesi
    @Mc_Kibonge_Mwepesi 3 года назад

    Kule disco mauno Kama yote kumbe wanacheza gosple!😛😛😛😛😛😛

  • @MARCELINMDENDEMI
    @MARCELINMDENDEMI 4 месяца назад

    Hakika ww ni mtumishi wa Mungu....... Ubarikiwe Sana! Endelea na kazi ya BWANA mwalimu.

  • @odhiamboamayo1436
    @odhiamboamayo1436 3 года назад +1

    Wale ambao walikua wanapita nje ya kanisa si walishindwa mumeamua aje kwa Kanisa 😂😂😂😂😂😂

  • @yvonnemashuda3004
    @yvonnemashuda3004 3 года назад +5

    Hakika kanisani ni sehemu ya kuponya Moyo..tukacheza na kufurahi!!
    Mungu akubariki Baba.

  • @omutsyabandi4869
    @omutsyabandi4869 7 месяцев назад

    SIKUKUWA NA MTOTO WA KIUME. nILIFANYISA WIMBO HU WA mZEE tABULEY nIKAMUPATA kIJANA MARUFU.!! Mngu a sifiwe sana..

  • @patrickandrea4829
    @patrickandrea4829 3 года назад +1

    Tucheze mpaka keshooooooo safi sana

  • @charlespeter4675
    @charlespeter4675 3 года назад

    Huyo ndo Chief Apostle Mtalemwa salute kwako Mtu wa MUNGU

  • @AgnessNyansambo
    @AgnessNyansambo 6 месяцев назад

    Aposto wewe ni kitu kingine mmmmmh!!!!!!!Mungu wa mbinguni akutunze Mwanangu

  • @godianmande4920
    @godianmande4920 3 года назад +5

    Dah, you almost messed me up Apostle, I was wondering what's going on here!!
    The only faith that held me up, was the fact that I know who my mentor is thus I kept on with curiosity...
    I never knew what this song was all about, I repent for my thoughts.
    Indeed, we should not judge the matter after hearing from one side.
    Blessed art thou Man of God.

  • @stephenkahindi8678
    @stephenkahindi8678 2 года назад +1

    Let the Spirit of God guide us all, coz there's a spirit behind everything we say or do...

  • @jovinjonasbuy6092
    @jovinjonasbuy6092 3 года назад +6

    Kwa kweli itakuwa vigumu binadamu kama Mimi kuingia katika ufalme wa mbingu
    Mwenyezi mungu naomba unisamehe dhambi zangu nilizotenda bila kujua

  • @rehemar3659
    @rehemar3659 3 года назад +5

    Mungu nisamehe maana hata Mimi nikuskia hii nyimbo ikitumika Sana lakini sikujua ninyimbo ya Mungu kama nimekujaji Kwa kufikiri nisamehe pia

  • @geraldnjali9077
    @geraldnjali9077 3 года назад

    Aisee.. nimekuelewa sana mtumishi wa MUNGU.. kila siku napata kitu kimpya ..

  • @mariselilekibalunye5933
    @mariselilekibalunye5933 Год назад

    Mchungaji please unapotea hapo si vituko show , ebu ubiri mchungaji please , Wacha utani .

  • @yangikaefaraja
    @yangikaefaraja 3 года назад +2

    Tatizo sio wimbo kupigwa bar ila lugha njo ilikuwa tatizo wa Tanzania 🇹🇿 abajuwi lingala sisi tulikuelewa Pastor apo unasaidiya watu wengi Mungu aku bariki

  • @wangarimuriithi8748
    @wangarimuriithi8748 3 года назад +5

    This is such a lovely lesson and delivered so well.
    I was today years old when I found out what a wonderful and powerful message this song sends. I had always just taken it as a catchy Rhumba tune.
    Thank you very much for translating and bringing it to our attention.
    Barikiwa.

  • @yohanekasonkwa2612
    @yohanekasonkwa2612 3 года назад +1

    Hao wadda wanavaaje hivo mchungaji! Unahubiri vizuri Siku zote lakin kemea sana hao Dada! Yan wapo uchi

  • @beatusnsiima8005
    @beatusnsiima8005 3 года назад

    Ila sasa waUMINI WENGINE NAONA KAMA WAKICHEZA NA KUSIKIA MIDUNDO HIYOOO HA HA HA HA HA WANAKATIKA KAMA WAKIKUMBUKIA MINENGUO YA KULE MISRI HA HA HA HA

  • @waisengodesire2530
    @waisengodesire2530 3 года назад

    Wachungaji mnauwezo wakuchanganya watu hadi wakubali uwongo uliofanana ukweli. Ila ukweli unabaki kuwa ukweli; ni kwamba shetani likitajwa jina la Mungu anahogopa ila kibali cha kwenda mbunguni hana. Ukimsikia shetani anaongea na Mungu sio kwamba ameokoka, umuulize AYUBU kama nimedanganya. Ukweli nikwamba wewe ndiye mchungaji wa Kwanza kucheza wimbo huo kanisani! Congo ilio chimbuko ya wimbo huo haujawai chezwa kwenye kwenye nyumba yote Ile ya ibada. Sasa mchungaji kati ya wa congo wanaoelewa lugha hiyo na wewe unaousikia kwa tafsiri bora nani? Mchungaji tuambie ukweli wewe ni Nani? Ili tukujuwe! Hakuna cha judgement hapo.

  • @amosipaulo7829
    @amosipaulo7829 3 года назад

    Mchungaji samahani baba naomba yako au mnapatikana wapi au namba yangu nihii 0769261411

  • @diamondgeyser7987
    @diamondgeyser7987 3 года назад

    Furahini katika Bwana tena nasema FURAHINI

  • @upendodagras9371
    @upendodagras9371 3 года назад

    Nimekuelewa pastor mungu azidi kukupak mafuta yake

  • @joshuajacob2475
    @joshuajacob2475 3 года назад +3

    Hauja hubiri saaana lakn message nimeipata "DON'T JUDGE TOO QUICK"... powerful

  • @jacklinefronia6652
    @jacklinefronia6652 3 года назад

    Hata wapita njia huko nje najua walishangaa Leo rada ya church ni gani na hii design song imeshika I think wengi wamecheza wakikumbuka kamnyweso🤣🤣🤣🤣

  • @matekesaid8524
    @matekesaid8524 3 года назад

    Hakika nimejifunza mi nilikuwa sielewi .ubarikiwe mtumishi unanibarki Sana

  • @wisembuya7891
    @wisembuya7891 Год назад

    Hakika nijejifunza kitukikubwa sana katika ibada hii Mungu aturehem.

  • @AgnessNyansambo
    @AgnessNyansambo 3 месяца назад

    Aaaaa...men Apostle very powerful explanation mayGod bless you

  • @luthermajoji7300
    @luthermajoji7300 3 года назад +1

    JAMANI JAMANI!! HAWA WOOOTE HAKUNA MWENYE ROHO MTAKATIFU HATA MMOJA AKAWASHITUA WENZAKE???? SIYO BURE KIBWETERE ALIWAWEZA WATU WAKE... DAH AISEE!!!! SO SAD 😑😑😭😭😭😭😭

    • @NDINGUFAMILY
      @NDINGUFAMILY 3 года назад

      Umesikiliza au umeelewa ujumbe au umecoment tu kwa sababu umesukia wimbo?

    • @edwinotiatomarwa.6361
      @edwinotiatomarwa.6361 3 года назад +1

      Nawahurumia sana na Mungu amsamehe huyo pastor maana haelewi jinsi shetani alivyo mjanja!

    • @luthermajoji7300
      @luthermajoji7300 3 года назад

      Ndugu yangu @@NDINGUFAMILY, kwani wimbo si ndiyo huo mmesema hauna shida? Mimi siongelei wimbo kabisa ila naangalia spirit behind the whole issue!! Jiulize tu swali dogo......HUO WIMBO ULIOIMBWA NA MTU WA MADHABAHU NYINGINE (Demonic/siyo mwana wa Asafu, siyo mwimba sifa za Bwana, hana Roho wa Mungu nk. ) UNAWEZAJE WIMBO WA NAMNA HII KUSISIMUA WANA MUNGU KIASI HICHO?? LIKO TATIZO NDUGU. Hapa sijahukumu bali ni halisi (facts)

  • @omutsyabandi4869
    @omutsyabandi4869 7 месяцев назад

    ASANTE WEWE PASTOR, WATU WAJULISHE UWALISHE JAMBO LA MUNGU. ZAIDI YA NYIMBO A WA ZAIRE ZA MBATANA NA MUNGU.

  • @DavidMalimbegu-dq8tp
    @DavidMalimbegu-dq8tp 7 месяцев назад

    Mtumishi umenifundisha kitu tusihukumu bila kufanya utafiti wa kina

  • @MushagalusaLeonard-zw8rr
    @MushagalusaLeonard-zw8rr 5 месяцев назад

    Unapo liona chukizo la uharibifu linasimama mahali ptakatifu asomae na afahamu

  • @omutsyabandi4869
    @omutsyabandi4869 7 месяцев назад

    Apostle MTALEMWA, UWEZI KULEMEWA. MOLA AWE NAWE MILELE. AMINA.

  • @atiliosanga6955
    @atiliosanga6955 3 года назад

    Tablei huyo kumbe tafsili take iko vizuri

  • @deboramudogo9934
    @deboramudogo9934 3 года назад +1

    Kucheza mpaka kushika vitambi kweli huko ndio lugha yangu tunasema kuvina

  • @josephomondiodundo3131
    @josephomondiodundo3131 3 года назад +1

    Correct

  • @riseandshine9620
    @riseandshine9620 3 года назад +1

    Wow,

  • @MushagalusaLeonard-zw8rr
    @MushagalusaLeonard-zw8rr 5 месяцев назад

    Anae tukuka hapo si MUNGU ila Ni shetani

  • @cyliakamuthoni8748
    @cyliakamuthoni8748 3 года назад +5

    Oyaaaa apostle that was my f favourite and many didn't know it was a gospel uko juu mtumishi live long with wisdom

  • @innocentmickerclips3622
    @innocentmickerclips3622 2 года назад

    Wapita njia nashuku hiyo siku walihukumu hilo kanisa 😅😅

  • @neemahamis6399
    @neemahamis6399 3 года назад +3

    Haaaaa kweli usilolijua ni usiku wa giza😁😁😁 leo ndio nimeelewa huu wimbo ni wa Mungu. Chief😍😍 Mungu akubariki Mafunuo yangezeke kanisa letu ECG liongezeke mara dufu ameen🙏

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 3 года назад

    Tatizo ni moja, kumekosekana utofauti kati ya mapigo ya muziki wa kidini na wa kidunia. Lakini mi naamini ni lazima kuwe na tofauti.

  • @vagasonmwani5122
    @vagasonmwani5122 3 года назад +1

    Sisi tupo Congo tunajua maana yake.

  • @mildredwekesa5844
    @mildredwekesa5844 2 года назад

    Ctajudge tena,Asante saana mtumishi

  • @parsalaachpelente4406
    @parsalaachpelente4406 3 года назад

    Baraka ... Pastor karibu kenya

  • @freddeus7634
    @freddeus7634 3 года назад +1

    Huduma yako IPO vizuri ila jitahidi mtumishi waambie waumini wako hasa wanawake wajitahidi kuvaa kwa heshima maana naona wengine wamevaa suruali wanaleta matamanio ni hilo tu

  • @mariamahenge1409
    @mariamahenge1409 2 года назад

    Ubarikiwe baba sikujua maana ya wimbo huu

  • @maarifahub5066
    @maarifahub5066 3 года назад +2

    Ubarikiwe kwa tafsir nilijua muzina wa litata vinakaribiana na kiha

  • @aminamogan6547
    @aminamogan6547 3 года назад +2

    Barikiwa Sana mtumishi ninaiman cku moja utakuja kanisan kwangu

  • @noelswai2619
    @noelswai2619 3 года назад +2

    Huu ni ufunuo mkubwa saana, hata wanaoucheza bar hawajui maana yake.

  • @ibrahimnaftar9037
    @ibrahimnaftar9037 3 года назад

    Uke na tundum nimekupend bur

  • @emmanuelmwanawima6266
    @emmanuelmwanawima6266 3 года назад

    Ahimidiwe mungu wa mbinguni

  • @amosmbulazi298
    @amosmbulazi298 3 года назад

    Amen barikiwa mpendwa

  • @ritaroggs
    @ritaroggs 3 года назад

    watu wanaogopa kudance

  • @sallygrace1495
    @sallygrace1495 3 года назад +1

    Hii nyimbo itabidi
    waimbe siku ya
    harusi yangu 🔥🧎‍♀️
    Ubarikiwe!!

  • @shedrackjacob6038
    @shedrackjacob6038 3 года назад

    Mmmmmh kweli asante sana

  • @hangayamafenya8883
    @hangayamafenya8883 3 года назад

    hongera.kaka.posta

  • @kitashinetz1820
    @kitashinetz1820 3 года назад +1

    Mimi sionagi shida, nakulaga ngoma zote na Church ntaimba za kumsifu Mungu 🙄🙄

  • @elisantennko7811
    @elisantennko7811 3 года назад

    Ahahahaaa pastor umetisha baba nitakuja skumoja

  • @janeolimo426
    @janeolimo426 3 года назад

    Uhamishiwe kanisani.

  • @gospotv
    @gospotv 3 года назад +7

    Blessings

  • @ayubuleonard930
    @ayubuleonard930 3 года назад

    Mungu umulehemu aliyetunga wimbo huu pepe kare nikiwa

  • @betridafidelis9411
    @betridafidelis9411 3 года назад +1

    Ubarikiwe mm niliucheza Sana enzi hizi sikujua ni kipi kinaongelewa nimefurahi Apostle

  • @beyou5538
    @beyou5538 3 года назад +3

    Amina mtumishi nahic hii nyimbo itakua yakuitia sasa😂

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 3 года назад +1

    Nilivyokua mtoto nilikua naimba '' KWA JINA LA BABA NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU KWA JINA LA BABA YETU KWA JINA"

  • @hisanifamily
    @hisanifamily 3 года назад +2

    Nashukuru Mungu maana sikuhukumu nilipoanza kuskiza. Nilikaa nikisubiri neno la mwisho ndiposa nihukumu. Lakini badala yake nimepata baraka na kutubu pia 🙏

  • @parsalaachpelente4406
    @parsalaachpelente4406 3 года назад

    Injili ende mbele

  • @mwanjekeyz8671
    @mwanjekeyz8671 3 года назад

    Ili kanisa liko wapi

  • @sintacollin2204
    @sintacollin2204 3 года назад +1

    Sijawahi kujuta toka niijue madhabahu hii

  • @abwogaokeda4760
    @abwogaokeda4760 3 года назад

    Those who disliked... What was their Reason?

  • @christineoyigo3546
    @christineoyigo3546 3 года назад +3

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, I am touched too. The meaning is a mystery that drunkards know not.

    • @bikabucha7905
      @bikabucha7905 3 года назад +1

      True, I wish they could know....

  • @sokosibora7161
    @sokosibora7161 3 года назад +2

    Kwa mara ya kwanza kujua tafsiri yake kwa kweli nipenda sana ubarikiwe sana mtu wa Mungu

  • @jobwanyama1073
    @jobwanyama1073 3 года назад +2

    Very true we should not be quick to judge before having enough investgations

  • @jaredmoturi5783
    @jaredmoturi5783 3 года назад +1

    Blessed Sana mchungaji!!!! Just known the truth behind musina.Fabulous!!!!

  • @angmzb3391
    @angmzb3391 3 года назад

    Heshima sana

  • @abdulymasombor9448
    @abdulymasombor9448 3 года назад

    Mko Kenya au

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 3 года назад +1

    Kuto kuelewa maruga nako nishida kubwa wawo kutokujuwa kuna sababishaga mtu una jaji .kweli

  • @kiranjaevaredi7750
    @kiranjaevaredi7750 3 года назад

    Dah kweli

  • @samsonmgonja4014
    @samsonmgonja4014 3 года назад +2

    Nimekumbuka mbali sana,tulicheza disco waliita siku ya bakulutu,bolingo time,vijana wa zamani hapo umewashika

    • @sokosibora7161
      @sokosibora7161 3 года назад +1

      Hakika nmebarikiwa kupitia huu wimbo baada ya kujua tafsiri yake

  • @enockkilatu41
    @enockkilatu41 3 года назад

    Don't judge anyone who can not understand

  • @alainndikumana7013
    @alainndikumana7013 3 года назад

    Sawa kabisa

  • @wegorokibajiro9098
    @wegorokibajiro9098 3 года назад

    Upuuzi mtupu

  • @hudsonrobert3307
    @hudsonrobert3307 3 года назад

    i had to subscribe to this channel asap

  • @jeremiahmbogua442
    @jeremiahmbogua442 3 года назад +2

    I also danced the song instantly. Thank you apostle Mtalemwa. God forgive us for wrong judgement.

  • @dansonkaijage9536
    @dansonkaijage9536 3 года назад +1

    Kuna kila sababu ya kujifunza na kujitakasa hapa nimepata somo kubwa

  • @onlinemateustv1925
    @onlinemateustv1925 3 года назад +2

    Nyimbo nyingi za Congo muwe nazo makini nyingi sana zipo hivyo yaan unaweza ijaji kumbe maneno yautukufu matupu kuna wimbo nilishawahi sikiliza wa koffi olomide wa zamani sikuyelewa ila kuna nzambe nyingi nyingi na hallelujah

  • @clementlazaro4923
    @clementlazaro4923 3 года назад

    Mmmh

  • @onyangosylvester6353
    @onyangosylvester6353 3 года назад +1

    Wah, I wanna download the song and sing it and sing and sing 😂

  • @joycemaige8683
    @joycemaige8683 3 года назад +1

    Halleluya Halleluya mtumishi wangu 🙌sijutii kuwa humu ecg ⛪

  • @tausimhando6866
    @tausimhando6866 3 года назад +1

    Wapi hi 5 ya chief,watanikoma kitaa

  • @mr.helmet6167
    @mr.helmet6167 3 года назад +2

    1st day to listen to you and you have really teacher me alot

  • @emmanuelsmihulu725
    @emmanuelsmihulu725 3 года назад

    Barikiwa Mtumishi

  • @lispermomanyi8715
    @lispermomanyi8715 3 года назад +1

    They should call a teacher too,you're amazing

  • @suzanakamala3615
    @suzanakamala3615 3 года назад +1

    Mtumishi, INJILI YAKO NGUM!

  • @atiliosanga6955
    @atiliosanga6955 3 года назад

    Iliimba kwaumakini sana