Kweli maisha yetu ya hapa duniani ipo siku yatafikia mwisho kama mitume na manabii je tutakuwa tumemfanyia yesu kazi gani .mbarikiwa mbarikiwa na kikosi kizima cha kikosi kazi napenda nyimbo zenu.❤❤❤❤
If Kuna mtu anasikizanga huu wimbo hati mwisho kama hajamwaga machozi naomba anigawie hiyo roho ngumu, my daughter, dad, auntie cousin brother continue resting in peace
Mungu ni mwema na mwaminifu , kama aliweza kuwatoa paulo na sila usk wa manane na kwet ni mwaminifu mungua atakutetetea kama arisema nilikujua toka tumbon mwa mama ako niriktakasa kwaiyo hashindw kamwe
Nawasalimu wateule wote wote kwa Zina la mwokozi wetu Yesu kristo mwe neema ,ndugu zangu hakika tuko katika Vita kwa upande wetu sisi ambae tulichagua kua suja wa wokovu nawatia nguvu musikate tamaa Safari yetu ipo karibu kumalizikana musiogope tuko pamoja .
Yaan Mimi sijui jamani naomba Mimi na ukoo wangu wote tukaingie yerusalamu mji ambao mungu ametuandalia alisema anakwenda kutuandalia makao alipo yeye na sisi tutakua amina
Kweli maisha yetu ya hapa duniani ipo siku yatafikia mwisho kama mitume na manabii je tutakuwa tumemfanyia yesu kazi gani .mbarikiwa mbarikiwa na kikosi kizima cha kikosi kazi napenda nyimbo zenu.❤❤❤❤
Hakika hiii tenzi ni faraja sana
Mungu aniwezeshe siku hiyo kazi yangu itakapoisha nije nimwoone mwokozi wangu😂😂😂
Hakika kazi yangu ikiisha ha duniani natamani nimwoone mwkozi aliyenifia msalabani
Asant sasa kwahuduma hiinzuri mungu akubariki sasa kaka
Tuishi tukijua iko cku itafika hatutakuwepo.
Tukeshe tukiomba bila kuchoka tuupate mwisho mwema
Mbarikiwa naomba sehemu ya roho yako nigawie na mimi
@@bahatimgaya4045 ameen na iwe hivyo kwa jina la Yesu
Huu mwimbo unanipa sana nguvu ya kusimama kila nnapojiona nimepungukiwa..allelujah
Wimbo huu umeninya kumurudia mungu mpasasa nimeamua kurudi kusali baada ya kuusikiliza kwa makani huu wimbo
The song is xoo touching 😭😭😭😭,,lord have mercy upon us ,,,
Niko mbali mtumishi nakukumbuka kwa maombi mungu akuonellanie utoke huko jela yetu ni maombi triza ni kiwa mombasa
Amina
If Kuna mtu anasikizanga huu wimbo hati mwisho kama hajamwaga machozi naomba anigawie hiyo roho ngumu, my daughter, dad, auntie cousin brother continue resting in peace
Wimbo huu zimeniamkisha kurudi kwa yesu zinanisaidia sana mbarikiwa Mungu akubalikiwe naishi hapa Rwanda kigali
Tunakuombe
Wanadamu hatuna budi kutafakari maisha yetu hapa duniani ili kuufikia ufalme wa mbinguni
Mungu ni mwema na mwaminifu , kama aliweza kuwatoa paulo na sila usk wa manane na kwet ni mwaminifu mungua atakutetetea kama arisema nilikujua toka tumbon mwa mama ako niriktakasa kwaiyo hashindw kamwe
Ni kweli wenye haki watapitia mateso, Mungu akutunze gerezani umalize kifungo salama urudi kumtumikia Mungu
Mbona alifungwa
Bwana akutie nguvu mtumishi wa Mungu, umalize kifungo chako salama, majaribu ni mtaji wa kukomaza Imani, barikiwa mtumishi
From your mouth to the ears of God, amen.. what happened?
Mungu baba mwaminifu sana katika mambo yote atakukumbuka hata huko gerezani mtumishi
Very good song mbarikiwe ningependa kujua maneno niwe nikiimba aki😊
Hakika mungu Ni mwema kwetu uishi siku nying Sana na heri dunian ❤❤❤❤❤❤
Nimejawa nafuraha kwakuachjwa kweli Mungu ainuliwe pia makonda MunguAmkumbuke amina
mch zephani peter Makorongo chemba nyimbo hizi zinaujumbe kwetu siku zote
najisikia amani nikisikiliza wimbo huu moyoni
Kwa kweli mungu azidi kukupandisha mahali pa juu kila siku maana hii nyimbo imetubariki
Wimbo huu una upako ndani yaké... Umenibariki Sana.
Upako wa ajabu
Nawasalimu wateule wote wote kwa Zina la mwokozi wetu Yesu kristo mwe neema ,ndugu zangu hakika tuko katika Vita kwa upande wetu sisi ambae tulichagua kua suja wa wokovu nawatia nguvu musikate tamaa Safari yetu ipo karibu kumalizikana musiogope tuko pamoja .
Amen mtumishi wa Mungu. Ubarikiwe sana
I will be there😢😊
Mbarikiwa sana mtumishi Kwa wimbo huu
MUNGU wa mbinguni atakuonekania Mc Mbarikiwa.
Mwakipesile on fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 GOD bless you man of GOD
My favourite song,,,Nitamjua mwokozi
Nakupenda sana huu wimbo baba jaman barikiwa sana
Nabarikiwa na huu wimbo Thank you God 🙏
Yaan Mimi sijui jamani naomba Mimi na ukoo wangu wote tukaingie yerusalamu mji ambao mungu ametuandalia alisema anakwenda kutuandalia makao alipo yeye na sisi tutakua amina
Za wee. Nana m
Hi bb.
Ee Mungu tusaidie mwisho wetu, usiniache Baba yangu,
Nabarikiwa Sana na huu wimbo
Mungu abariki sana numefura kwauwimbo
Amen amen God bless you in Jesus neme 🙏🙏🙏🙏
mungu wambiguni akubari wimbaji 🙏🙏☝️
Kuanzia Leo naokoka
Ameeen maamuzi ya kishujaa hayoooo . Hongera sanaaaaa
Mungu akubarik mtumish wa mungu
Naupenda sana huu wimbo
Ubarikiwee sana songa mbele baba
2024🎉❤❤❤
I love this songs...I always cry when singing
kasabuti barikiwa
❤❤❤❤❤❤
Ameni Ameni Mtumishi.
Naupenda huu wimbo sana.❤
Balikiwa sanatumishi
Thank you for this song
This song melts my heart It's my favorite 💘💘💘
Chanzo Cha mm kuokoka bwana hatakuacha
It has a powerful message
Kaka,mngu azidi kukutendea kadri yauhitaji wako
Ameen ❤❤
Amen 🙏
Powerful song
Amen
Nabarikiwa n Huu wimbo
The best song
Ameee
TAFADHALI UNAWEZA WEKA LYRICS
Natokea chanika
So touching song ever ❤❤🔥🔥👏👏
Asante
Asanti
Nakumbuka tukio la huzuni hapo ni la moda mfupi barikiwa mtumishi
Nice mtumishi wa mungu ubarikiwe sana
Download
Amina nabarikiwa sana na wimbo huu