Kazi Yangu Ikiisha - Mbarikiwa Mwakipesile ( Tenzi no 102 ) video song

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 окт 2024

Комментарии • 79

  • @catherinemutindi5031
    @catherinemutindi5031 Месяц назад +3

    Kweli maisha yetu ya hapa duniani ipo siku yatafikia mwisho kama mitume na manabii je tutakuwa tumemfanyia yesu kazi gani .mbarikiwa mbarikiwa na kikosi kizima cha kikosi kazi napenda nyimbo zenu.❤❤❤❤

  • @EstherJerald-tc6ct
    @EstherJerald-tc6ct 6 дней назад

    Hakika hiii tenzi ni faraja sana
    Mungu aniwezeshe siku hiyo kazi yangu itakapoisha nije nimwoone mwokozi wangu😂😂😂

  • @EstherJerald-tc6ct
    @EstherJerald-tc6ct 28 дней назад

    Hakika kazi yangu ikiisha ha duniani natamani nimwoone mwkozi aliyenifia msalabani

  • @JeniphMunishi
    @JeniphMunishi 3 месяца назад +4

    Asant sasa kwahuduma hiinzuri mungu akubariki sasa kaka

  • @GeophreyMarika-du1zd
    @GeophreyMarika-du1zd Год назад +5

    Tuishi tukijua iko cku itafika hatutakuwepo.
    Tukeshe tukiomba bila kuchoka tuupate mwisho mwema

  • @bahatimgaya4045
    @bahatimgaya4045 2 дня назад

    Mbarikiwa naomba sehemu ya roho yako nigawie na mimi

    • @mtumishiDanny
      @mtumishiDanny  2 дня назад

      @@bahatimgaya4045 ameen na iwe hivyo kwa jina la Yesu

  • @elinykshade4834
    @elinykshade4834 2 месяца назад +1

    Huu mwimbo unanipa sana nguvu ya kusimama kila nnapojiona nimepungukiwa..allelujah

  • @ngwearobert1277
    @ngwearobert1277 Год назад +4

    Wimbo huu umeninya kumurudia mungu mpasasa nimeamua kurudi kusali baada ya kuusikiliza kwa makani huu wimbo

  • @ElizabethMuthui-k5g
    @ElizabethMuthui-k5g 4 месяца назад +2

    The song is xoo touching 😭😭😭😭,,lord have mercy upon us ,,,

  • @trizafrances4304
    @trizafrances4304 10 месяцев назад +2

    Niko mbali mtumishi nakukumbuka kwa maombi mungu akuonellanie utoke huko jela yetu ni maombi triza ni kiwa mombasa

  • @getrudenabwayo4754
    @getrudenabwayo4754 7 месяцев назад +1

    If Kuna mtu anasikizanga huu wimbo hati mwisho kama hajamwaga machozi naomba anigawie hiyo roho ngumu, my daughter, dad, auntie cousin brother continue resting in peace

  • @elyseeniyonshima6200
    @elyseeniyonshima6200 Год назад +3

    Wimbo huu zimeniamkisha kurudi kwa yesu zinanisaidia sana mbarikiwa Mungu akubalikiwe naishi hapa Rwanda kigali

  • @isaacchiwinga1915
    @isaacchiwinga1915 11 месяцев назад

    Wanadamu hatuna budi kutafakari maisha yetu hapa duniani ili kuufikia ufalme wa mbinguni

  • @MlambeshiKushgang
    @MlambeshiKushgang 6 месяцев назад

    Mungu ni mwema na mwaminifu , kama aliweza kuwatoa paulo na sila usk wa manane na kwet ni mwaminifu mungua atakutetetea kama arisema nilikujua toka tumbon mwa mama ako niriktakasa kwaiyo hashindw kamwe

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 10 месяцев назад +1

    Ni kweli wenye haki watapitia mateso, Mungu akutunze gerezani umalize kifungo salama urudi kumtumikia Mungu

  • @newlizyonedldm
    @newlizyonedldm 9 месяцев назад

    Bwana akutie nguvu mtumishi wa Mungu, umalize kifungo chako salama, majaribu ni mtaji wa kukomaza Imani, barikiwa mtumishi

  • @Christianngaga
    @Christianngaga 10 месяцев назад

    Mungu baba mwaminifu sana katika mambo yote atakukumbuka hata huko gerezani mtumishi

  • @carolinebisieri7674
    @carolinebisieri7674 Год назад +2

    Very good song mbarikiwe ningependa kujua maneno niwe nikiimba aki😊

  • @jumagoldeni6881
    @jumagoldeni6881 9 месяцев назад

    Hakika mungu Ni mwema kwetu uishi siku nying Sana na heri dunian ❤❤❤❤❤❤

  • @RozinaMwanda
    @RozinaMwanda 7 месяцев назад

    Nimejawa nafuraha kwakuachjwa kweli Mungu ainuliwe pia makonda MunguAmkumbuke amina

  • @ewaterservices402
    @ewaterservices402 8 месяцев назад

    mch zephani peter Makorongo chemba nyimbo hizi zinaujumbe kwetu siku zote

  • @NeemaAbdala-z8b
    @NeemaAbdala-z8b 10 месяцев назад +1

    najisikia amani nikisikiliza wimbo huu moyoni

  • @RaphaelToroka
    @RaphaelToroka 9 месяцев назад

    Kwa kweli mungu azidi kukupandisha mahali pa juu kila siku maana hii nyimbo imetubariki

  • @donzaky6775
    @donzaky6775 Год назад +2

    Wimbo huu una upako ndani yaké... Umenibariki Sana.

  • @dominiqueharerimana5536
    @dominiqueharerimana5536 Год назад +1

    Nawasalimu wateule wote wote kwa Zina la mwokozi wetu Yesu kristo mwe neema ,ndugu zangu hakika tuko katika Vita kwa upande wetu sisi ambae tulichagua kua suja wa wokovu nawatia nguvu musikate tamaa Safari yetu ipo karibu kumalizikana musiogope tuko pamoja .

    • @mtumishiDanny
      @mtumishiDanny  Год назад +1

      Amen mtumishi wa Mungu. Ubarikiwe sana

  • @gloriaabuga4129
    @gloriaabuga4129 Месяц назад

    I will be there😢😊

  • @StevenCharz-zr4ds
    @StevenCharz-zr4ds 4 месяца назад

    Mbarikiwa sana mtumishi Kwa wimbo huu

  • @hosianapanga9343
    @hosianapanga9343 9 месяцев назад

    MUNGU wa mbinguni atakuonekania Mc Mbarikiwa.

  • @AbasChaula-u4f
    @AbasChaula-u4f Год назад +1

    Mwakipesile on fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 GOD bless you man of GOD

  • @neema5650
    @neema5650 Год назад +1

    My favourite song,,,Nitamjua mwokozi

  • @LucyFrancis-c8i
    @LucyFrancis-c8i 10 месяцев назад

    Nakupenda sana huu wimbo baba jaman barikiwa sana

  • @jennipherray7001
    @jennipherray7001 Год назад +2

    Nabarikiwa na huu wimbo Thank you God 🙏

    • @upendomhewa8202
      @upendomhewa8202 Год назад

      Yaan Mimi sijui jamani naomba Mimi na ukoo wangu wote tukaingie yerusalamu mji ambao mungu ametuandalia alisema anakwenda kutuandalia makao alipo yeye na sisi tutakua amina

    • @jackm3364
      @jackm3364 Год назад

      Za wee. Nana m
      Hi bb.

  • @LabaniAkyoo
    @LabaniAkyoo Год назад

    Ee Mungu tusaidie mwisho wetu, usiniache Baba yangu,

  • @nitazirwedaniella5903
    @nitazirwedaniella5903 10 месяцев назад

    Mungu abariki sana numefura kwauwimbo

  • @Sarahmanasl
    @Sarahmanasl 2 месяца назад

    Amen amen God bless you in Jesus neme 🙏🙏🙏🙏

  • @NeemaAbdala-z8b
    @NeemaAbdala-z8b 10 месяцев назад

    mungu wambiguni akubari wimbaji 🙏🙏☝️

  • @christinakubanda3955
    @christinakubanda3955 Год назад +1

    Kuanzia Leo naokoka

    • @mtumishiDanny
      @mtumishiDanny  Год назад

      Ameeen maamuzi ya kishujaa hayoooo . Hongera sanaaaaa

  • @AminaIbrahim-sp8cj
    @AminaIbrahim-sp8cj 4 месяца назад

    Mungu akubarik mtumish wa mungu

  • @evaIlomo
    @evaIlomo 10 месяцев назад

    Naupenda sana huu wimbo

  • @given3322
    @given3322 11 месяцев назад

    Ubarikiwee sana songa mbele baba

  • @bboylilp9325
    @bboylilp9325 7 месяцев назад +1

    2024🎉❤❤❤

  • @blessedjanoh8257
    @blessedjanoh8257 Год назад +1

    I love this songs...I always cry when singing

  • @Aminaabdi-jh2wj
    @Aminaabdi-jh2wj 4 месяца назад

    kasabuti barikiwa

  • @bboylilp9325
    @bboylilp9325 7 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 Год назад

    Ameni Ameni Mtumishi.

  • @susanmwangi8748
    @susanmwangi8748 Год назад

    Naupenda huu wimbo sana.❤

  • @EdaLuwi
    @EdaLuwi 2 месяца назад

    Balikiwa sanatumishi

  • @MweriMzigua
    @MweriMzigua 9 месяцев назад

    Thank you for this song

  • @susanmwangi8748
    @susanmwangi8748 Год назад

    This song melts my heart It's my favorite 💘💘💘

  • @rebeccakalyasa3056
    @rebeccakalyasa3056 9 месяцев назад

    Chanzo Cha mm kuokoka bwana hatakuacha

  • @CashMunanyi
    @CashMunanyi Год назад

    It has a powerful message

  • @TeclaMwenda
    @TeclaMwenda 2 месяца назад

    Kaka,mngu azidi kukutendea kadri yauhitaji wako

  • @FrankMolle
    @FrankMolle Год назад

    Ameen ❤❤

  • @laurinechepngeno
    @laurinechepngeno Год назад

    Amen 🙏

  • @KennedyMukalo
    @KennedyMukalo Год назад

    Powerful song

  • @adelaidemakhungu5843
    @adelaidemakhungu5843 Год назад

    Amen

  • @ericksonnyakundi
    @ericksonnyakundi Год назад

    Nabarikiwa n Huu wimbo

  • @MwanduJiganga-pf8uu
    @MwanduJiganga-pf8uu 10 месяцев назад

    Ameee

  • @chakafay1175
    @chakafay1175 Год назад

    TAFADHALI UNAWEZA WEKA LYRICS

  • @MlambeshiKushgang
    @MlambeshiKushgang 6 месяцев назад

    Natokea chanika

  • @alfredkiplimo6636
    @alfredkiplimo6636 Год назад

    So touching song ever ❤❤🔥🔥👏👏

  • @MariamThomas-bg4rc
    @MariamThomas-bg4rc 5 месяцев назад

    Asante

  • @mathayoraulent2756
    @mathayoraulent2756 Год назад

    Asanti

    • @nikorausaberi3585
      @nikorausaberi3585 Год назад

      Nakumbuka tukio la huzuni hapo ni la moda mfupi barikiwa mtumishi

    • @user-ye5lr7jv7o
      @user-ye5lr7jv7o Год назад

      Nice mtumishi wa mungu ubarikiwe sana

  • @RehemaOmbwai-oh1eu
    @RehemaOmbwai-oh1eu Год назад

    Download

    • @ReckyKanyika
      @ReckyKanyika Год назад

      Amina nabarikiwa sana na wimbo huu