PROFESSA wa Jua Kali Afunguka -"Kila Mwanaume namtoto Nje ya Ndoa"😂

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • PROFESSA wa Jua Kali Afunguka -"Kila Mwanaume namtoto Nje ya Ndoa"😂

Комментарии • 43

  • @amidakyando2635
    @amidakyando2635 Год назад +1

    Professa bill uko vizuri mzee big up sana jua kali ni nomaa

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +8

    💃💃💃😘Kumbe mzee wa kitambo 😍sauti nime kumbuka Ya Itv kabisa 🤦‍♀️baba bil

  • @bujo255
    @bujo255 Год назад +5

    Sema shikamoo. Heshima ako maana ake nini maaaaaninaaaang

  • @bettykauye7691
    @bettykauye7691 Год назад +5

    Namkubali sana uyu mzee mm from kenya ila mtangazaji ata salamu ati mambo

  • @freshstationar528
    @freshstationar528 Год назад +11

    Huyu mzee nampenda sana

  • @judithjoseph5899
    @judithjoseph5899 Год назад +3

    Huyu mzee alifaa ahojiwe na Zamaradi Mketema huwa anapangilia maswali. Sasa kwa watu ambao hawamfahamu huyu mzee hawataelewa anayehohiwa ni nani..

  • @sarahsamson9362
    @sarahsamson9362 Год назад +4

    Nakupenda bure baba yangu masako

  • @stewartleonard5635
    @stewartleonard5635 Год назад +13

    Mtangazaji hukufanya tafiti kabla ya kumhoji. Rainfred Masako ni Star since 1990s.

    • @nururaymond5
      @nururaymond5 Год назад +1

      Watangazaji wanakurupuka sijui Wana fell wapi..,maswali ya kitotooooo, unawezaje kumfanyia MTU interview ufanyi tafiti ya kuijua Historia yake...,huyu Mzee ni star kabla ya Mitandao

    • @stewartleonard5635
      @stewartleonard5635 Год назад +1

      @@nururaymond5Nadhani ni ukosefu wa ubunifu na uvivu wa kutengeneza content zenye maana.

  • @dubai8594
    @dubai8594 Год назад +11

    Huyu mtangazaji Hana adabu hata chembe
    YAANI NI bonge LA mtu asiyejitambua

  • @jacksonbahemu8172
    @jacksonbahemu8172 Год назад +1

    Mzee Rainfred ni Star tokea wewe hujazaliwa ndugu Mtangazaji

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 Год назад

    Ndo leo nmemkumbuka saut yake 🤣🤣

  • @ahiakkessy5949
    @ahiakkessy5949 Год назад +5

    We binti kajifunze kwenu huna haya weeee uyo Ni babu yako kinyago we nyooooo msalmieeeeeee

  • @edinahmaganga2722
    @edinahmaganga2722 Год назад +1

    Jua kali ni 🔥🔥❤️❤️💃💃💃👏👏👏

  • @mosesmhina9980
    @mosesmhina9980 Год назад +2

    amkia mzee wewe... Mambo na heshma yako ndio Nini Sasa... huyu dada kazngua

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Год назад +11

    Wee mtangangazaji ni mshenzi ww waku muambia mambo vipi uyu baba si Sawa na baba yako?! Halafu et unajiskiaje kuwa star?! ulikua husikilizi vipindi vya ITV na radio one ww ungemjua tu Mimi ni Reeeeeiiin Freeeed Masako wa ITV,,, watu tangu tunazaliwa tunamsikia

    • @julianaharrison4356
      @julianaharrison4356 Год назад +2

      Tusimlaumu mtangazaji inawezekana anatoka mtu Mzee kumzidi huyu anae muhoji 😂😂😂

    • @till...m2585
      @till...m2585 Год назад +1

      😂😂😂😂😂

    • @consolatamedard6593
      @consolatamedard6593 Год назад +2

      @@julianaharrison4356 😂😂😂😂 aisee

    • @mwajumalubunga1534
      @mwajumalubunga1534 Год назад

      ​@@julianaharrison4356ilo nalo neno kbs 😂😳

  • @blendamsimbe6220
    @blendamsimbe6220 Год назад +2

    Mtangazaji umenishinda tabia wewe wa kumwambia Mzee Masako mambo vp mmmh

  • @luqmaandaud3144
    @luqmaandaud3144 Год назад +2

    Katangazi hakana Adabu kama mwehu vile

  • @metrudajoseph5010
    @metrudajoseph5010 Год назад +3

    Msalimie mzee acha ubishoo bwege ww

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Год назад +1

    Mtangazaji sijampenda hana adabu et mambo ovyooo

  • @luciacostantine1714
    @luciacostantine1714 Год назад +3

    Watangazaji wengi akili zao ni hivyo tu, anakueupuka tu hata hajajiandaa mahojiano maan hata tukiachana na salamu aneshindwa hata kumuuliza jina lake ili watu wajue interview inamhusu Nani? Hufai mtangazaji

  • @hawaamohammed6687
    @hawaamohammed6687 Год назад +1

    Kumbe mtangazaji masako was Itv?

  • @heriethmichael6138
    @heriethmichael6138 Год назад +2

    We mtangazajiiii hovyo huyo ni baba ako eti mambo hata salam ya kinafki umeshindwa nyauba wewe

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 Год назад

    MTANGAZAJI anatakakujua KIASI tu....

  • @ikupaalimwene6751
    @ikupaalimwene6751 Год назад

    Yaani watu bado mpo enzi za ukoloni kwamba Shikamoo ndio adabu punguzeni ushamba Shikamoo makelele tu

  • @daimavlog
    @daimavlog Год назад +3

    Wale wa PENDA wa jua kali tukutane kijiweni

  • @stevenabraham3165
    @stevenabraham3165 Год назад

    Au sio mamb vp

  • @danielmwakalinga6049
    @danielmwakalinga6049 Год назад +1

    Alitangaza msiba wa baba wa Taifa

  • @shuskuchaka5742
    @shuskuchaka5742 Год назад

    Ila nimesikia baada ya kumwambia "mambo" akaongeza "Heshima yako" hii nafikiri ni sawa na shikamoo ila kachemka hajamtambulisha mzee kwa watazamaji.

  • @amoursalim7418
    @amoursalim7418 Год назад

    Hayo mambo yakuzibiana njia yapo kila upande hizo ni chuki tu asa dar kuna mtihani

  • @azizaedina8088
    @azizaedina8088 Год назад +1

    ♥️♥️🔥

  • @bahatirobert1009
    @bahatirobert1009 Год назад +1

    Huyu dada mbona kawaida huwaga asalimii hata hata Tessa alimwambia mambo,Hana adabu kabisa anajikuta sijui nani mjinga uyu aangalii umri ,uyo si ni Babu Yako hata wazazi wako hawafikii ukubwa Kwa hao jirekebishe mshenzi ww fyuuuuuuuuuu

  • @cherylcheryl7694
    @cherylcheryl7694 Год назад

    Huyu dada mmemchamba asipo sikia basi

  • @BongoZaKitambo55
    @BongoZaKitambo55 Год назад +2

    Mfukuzen huyo mtangazaji hafai