Watangazaji wanakurupuka sijui Wana fell wapi..,maswali ya kitotooooo, unawezaje kumfanyia MTU interview ufanyi tafiti ya kuijua Historia yake...,huyu Mzee ni star kabla ya Mitandao
Wee mtangangazaji ni mshenzi ww waku muambia mambo vipi uyu baba si Sawa na baba yako?! Halafu et unajiskiaje kuwa star?! ulikua husikilizi vipindi vya ITV na radio one ww ungemjua tu Mimi ni Reeeeeiiin Freeeed Masako wa ITV,,, watu tangu tunazaliwa tunamsikia
Watangazaji wengi akili zao ni hivyo tu, anakueupuka tu hata hajajiandaa mahojiano maan hata tukiachana na salamu aneshindwa hata kumuuliza jina lake ili watu wajue interview inamhusu Nani? Hufai mtangazaji
Huyu dada mbona kawaida huwaga asalimii hata hata Tessa alimwambia mambo,Hana adabu kabisa anajikuta sijui nani mjinga uyu aangalii umri ,uyo si ni Babu Yako hata wazazi wako hawafikii ukubwa Kwa hao jirekebishe mshenzi ww fyuuuuuuuuuu
Professa bill uko vizuri mzee big up sana jua kali ni nomaa
💃💃💃😘Kumbe mzee wa kitambo 😍sauti nime kumbuka Ya Itv kabisa 🤦♀️baba bil
Sema shikamoo. Heshima ako maana ake nini maaaaaninaaaang
Namkubali sana uyu mzee mm from kenya ila mtangazaji ata salamu ati mambo
Huyu mzee nampenda sana
Huyu mzee alifaa ahojiwe na Zamaradi Mketema huwa anapangilia maswali. Sasa kwa watu ambao hawamfahamu huyu mzee hawataelewa anayehohiwa ni nani..
Nakupenda bure baba yangu masako
Mtangazaji hukufanya tafiti kabla ya kumhoji. Rainfred Masako ni Star since 1990s.
Watangazaji wanakurupuka sijui Wana fell wapi..,maswali ya kitotooooo, unawezaje kumfanyia MTU interview ufanyi tafiti ya kuijua Historia yake...,huyu Mzee ni star kabla ya Mitandao
@@nururaymond5Nadhani ni ukosefu wa ubunifu na uvivu wa kutengeneza content zenye maana.
Huyu mtangazaji Hana adabu hata chembe
YAANI NI bonge LA mtu asiyejitambua
Yani kamenikera hakajui ni legend uyu
Hi ! Mambo inatosha
Mzee Rainfred ni Star tokea wewe hujazaliwa ndugu Mtangazaji
Ndo leo nmemkumbuka saut yake 🤣🤣
We binti kajifunze kwenu huna haya weeee uyo Ni babu yako kinyago we nyooooo msalmieeeeeee
Kwa kwel mambo vp kwa baba yake kabisa
Jua kali ni 🔥🔥❤️❤️💃💃💃👏👏👏
amkia mzee wewe... Mambo na heshma yako ndio Nini Sasa... huyu dada kazngua
Wee mtangangazaji ni mshenzi ww waku muambia mambo vipi uyu baba si Sawa na baba yako?! Halafu et unajiskiaje kuwa star?! ulikua husikilizi vipindi vya ITV na radio one ww ungemjua tu Mimi ni Reeeeeiiin Freeeed Masako wa ITV,,, watu tangu tunazaliwa tunamsikia
Tusimlaumu mtangazaji inawezekana anatoka mtu Mzee kumzidi huyu anae muhoji 😂😂😂
😂😂😂😂😂
@@julianaharrison4356 😂😂😂😂 aisee
@@julianaharrison4356ilo nalo neno kbs 😂😳
Mtangazaji umenishinda tabia wewe wa kumwambia Mzee Masako mambo vp mmmh
Katangazi hakana Adabu kama mwehu vile
Msalimie mzee acha ubishoo bwege ww
Mtangazaji sijampenda hana adabu et mambo ovyooo
Watangazaji wengi akili zao ni hivyo tu, anakueupuka tu hata hajajiandaa mahojiano maan hata tukiachana na salamu aneshindwa hata kumuuliza jina lake ili watu wajue interview inamhusu Nani? Hufai mtangazaji
Kumbe mtangazaji masako was Itv?
We mtangazajiiii hovyo huyo ni baba ako eti mambo hata salam ya kinafki umeshindwa nyauba wewe
MTANGAZAJI anatakakujua KIASI tu....
Yaani watu bado mpo enzi za ukoloni kwamba Shikamoo ndio adabu punguzeni ushamba Shikamoo makelele tu
Wale wa PENDA wa jua kali tukutane kijiweni
Au sio mamb vp
Alitangaza msiba wa baba wa Taifa
Ila nimesikia baada ya kumwambia "mambo" akaongeza "Heshima yako" hii nafikiri ni sawa na shikamoo ila kachemka hajamtambulisha mzee kwa watazamaji.
Hayo mambo yakuzibiana njia yapo kila upande hizo ni chuki tu asa dar kuna mtihani
♥️♥️🔥
Huyu dada mbona kawaida huwaga asalimii hata hata Tessa alimwambia mambo,Hana adabu kabisa anajikuta sijui nani mjinga uyu aangalii umri ,uyo si ni Babu Yako hata wazazi wako hawafikii ukubwa Kwa hao jirekebishe mshenzi ww fyuuuuuuuuuu
Huyu dada mmemchamba asipo sikia basi
Ajitambui
Mfukuzen huyo mtangazaji hafai