NJIA ALIYOTUMIA LAMATA KUMTOA MENO YA MBELE SOPH WA JUA KALI/HALI YAKE KWASASA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 171

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 2 года назад +36

    Huo ujinga wakutolewa meno kisa uigizaji ukome!

  • @hadija_makange
    @hadija_makange Год назад +2

    Msenge ww sana yn utowe meno kisa kuigiza

  • @user-ef3gw8hq6u
    @user-ef3gw8hq6u 2 года назад +15

    Ulikua unameno yakubandika ndio ukapewe iyo party usitudanganye

  • @AbdRahim-ib9dh
    @AbdRahim-ib9dh 2 года назад +8

    Mwacheni kumdadisi na kumuongelea binadamu mwenzenu kwa kumsimanga na kumuongelea vibaya, kwani nyinyi ndo mliyekamilika!!!, Ukamilifu ni Mungu Pekeyake, hujafa hujaumbika, hata nyinyi mwaeza jikuta katika hali mbaya hata zaidi ya huyo dadangu, inaniuma sana watu wanafurahia kasoro ya mtu, si kutaka kwake bali ni Mungu afanya atakalo, hujui kesho yako utakuaje.

    • @binesiharun2228
      @binesiharun2228 2 года назад +1

      Kwani kuna mtu anakilema hapo sinikutaka kwake kwa tamaa ya pesa kama yy mwenyewe ajioni na tamani ss tuseme nn mm nilijikata tu na kisu bahati mbaya roho yatoka eti leo nikatoe meno yangu mawili kwa kuwa nataka sifa ya kazi huu ni ujinga wa hali ya juu mana sivyo livyo zalowa bali ni pesa tu

    • @zubedahussein7301
      @zubedahussein7301 2 года назад

      😂😂😂et kilema umeshusha msg sijui km umeangalia iyo vidio

  • @mercypeledawson1622
    @mercypeledawson1622 2 года назад +7

    Sijui ni Linie watanzania tutakubali kazi zetu, mbn movie za wengine wanavunjika hat miguu, mikono juu tu ya movie. Sie wenzetu tunafanya kuwagandamiza🤔🤔
    Siku zote Fanya kitu Roho inapenda na so kumfurahisha mwanadamu, as longer as amesema anaipenda kazi yake, it doesnt matter anafanya nini km anafurahi,, just let her be.
    Eboooooooo!!!!!

  • @binesiharun2228
    @binesiharun2228 2 года назад +5

    Upunzi huo sifanyi we mm najipenda kuliko maelezo pesa nataka lkn muchezo na kweli wangu hapana

  • @tricemollel6739
    @tricemollel6739 2 года назад +2

    Good job sophia

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 2 года назад +2

    Utetezi mwiiiingiii kwenye jibu moja jaaaamaaanii

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Год назад +1

    Nimeenda kutoka jino jamani nalia et naogopa yaani lamata alikosa kabisa ubunifu mwingine kutolewa viungo sitaki

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 Год назад +1

    Umeharibu fizi lako ukiongea uinaonesha unaya bandia unabonyea fulani hivi 😂😂

  • @hadiadaoman1981
    @hadiadaoman1981 2 года назад +18

    Mbona joti anawekaga weusi fulan na meno yake anayo ni ujinga kutoa meno kweli mhm 😳😳😳

    • @husnaally6776
      @husnaally6776 2 года назад +1

      Sio bure alirogwa 😂😂 kha mm nilijuaga kudra ya mungu tu kumbe kusudi

    • @mahmoodalghefeili5370
      @mahmoodalghefeili5370 2 года назад

      @@husnaally6776 😂😂😂😂😂

    • @halimasulaiman3229
      @halimasulaiman3229 2 года назад

      Ajatolewa meno

    • @hadiadaoman1981
      @hadiadaoman1981 2 года назад

      @@halimasulaiman3229 katolewa yake halafu kawekwa ya bandia ambayo hayang'oki

  • @munirachangawa2928
    @munirachangawa2928 2 года назад +2

    Sophy sophy sophy.karegeshe meno.

  • @catherinemathew5742
    @catherinemathew5742 2 года назад +1

    Mtangazaj anamaswal mabayaaa🤔Sophia nae altoa meno il amfuraishe director wake lamata🤣🤣🤣il atufkshie ujumbe🤣🤣🤣apo tumepgwa itakua alkua kbogoyo tang zaman✌️

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 2 года назад +2

    Siku utaambiwa ukate mkono na utakubali kwa jili ya kazi mhm hayanikuti habadani

  • @nuraynmakoya803
    @nuraynmakoya803 2 года назад +3

    Hhhhhm hapan kwakwel najipenda sana akaaaa

  • @stellagohage3501
    @stellagohage3501 2 года назад

    Bora ucheke

  • @fatumaselemani7874
    @fatumaselemani7874 2 года назад

    Mashallah

  • @stellah3844
    @stellah3844 2 года назад +5

    Huyu anaweza uza figo walah

  • @fatimabakari8079
    @fatimabakari8079 2 года назад +5

    Uyu Sofia hanameno hata akiongea kwajuu utajuwa ana meno yakubandika

  • @janethmwanda357
    @janethmwanda357 2 года назад +1

    Maakee hapo ncheke kwanzaa

  • @maligeltabatholomeo8128
    @maligeltabatholomeo8128 2 года назад +1

    Mmmmm apo apana jamaniiiiiii!!!!!!!😬😬😬😬😬😬😬

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 2 года назад +2

    Joti Huwa anaweka wino mweusi Kisha anaonekana kama ana pengo

  • @AgnessMasalu-uv8sh
    @AgnessMasalu-uv8sh Год назад

    Hai

  • @ashuraali3451
    @ashuraali3451 2 года назад +1

    Hiyo miwani

  • @nacksuma2263
    @nacksuma2263 Год назад

    Anaogopa atafukuzwa kama menina

  • @vencialuvence2511
    @vencialuvence2511 7 месяцев назад

    Sasa wee sophy so siku ukiambiwa usiwe na miguu itakuaje utakata kisa kaz

  • @asdfhdv9230
    @asdfhdv9230 2 года назад +1

    boya wey sas ungeambiwa ukatwe mkono ungekubali

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 2 года назад +1

    Mmmmmm, siku mungu anakuchoka unapata kilema cha Maisha, utafutaj Gan huo jaman khaaaa

  • @maryamjaphet7175
    @maryamjaphet7175 2 года назад

    Hiyo chanel ni chanel gan

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 2 года назад +2

    Na huo mtindi wako wa kutoshirikisha wazee huyo lamata atakuja kutowa jicho akwambie unatakiwa kuwa kipofu mjinga ww.

  • @xmaramoja362
    @xmaramoja362 2 года назад +3

    hakuna ubunifu kahisa pumbavu yani kila kitu kinaigizwa ukweli pumbavu kweli yani et ung'olewe meno inamaana hakuna ibinifu zaid?

  • @shaniamgunda7838
    @shaniamgunda7838 2 года назад +2

    Mhhhhh ngumu sio mm eti nitoe meno kisa

  • @joycehosea3947
    @joycehosea3947 2 года назад +2

    Hana meno ya mbele mda mrefu tyuu anayo yabandia

  • @julytito3891
    @julytito3891 2 года назад

    Mmmh meno yangu siwez kutoa huo ujinga sifanyi hela napenda Ila sio kihv jmn

  • @dhinatsimbano8854
    @dhinatsimbano8854 2 года назад +20

    Upuuzi huo, kwani mmeshindwa kufanya editing, ukawe kilema kisa.

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew9399 2 года назад

    Dd Unajua Unajua tena ikitokea sini ya kutoa mguu au mkono toa mwaya maana wenzio waliopat Matatizo wameomba

  • @naimaislam552
    @naimaislam552 2 года назад +1

    Mmmmmh jamani

  • @queenhenagu3496
    @queenhenagu3496 2 года назад +7

    Hata kamaa ndo utoe menoo 😂😂😂😂

  • @merrymafole5180
    @merrymafole5180 2 года назад +1

    Mmmm

  • @evamlay8997
    @evamlay8997 2 года назад +2

    Alipata ajali

  • @scollantandu6278
    @scollantandu6278 2 года назад

    Dah menooo mhmm 😭 pole

  • @lhb2062
    @lhb2062 2 года назад +2

    Dhuuuuu!!!umetolew meno ??sothie!!jmn

  • @donaldsixmond4347
    @donaldsixmond4347 Год назад

    Mmenuaje kuwa alitolewa meno

  • @jaharaoman6478
    @jaharaoman6478 2 года назад +3

    Ha kama kweli umekubali kutolewa meno we umevuka mipaka ha njaa izi

    • @hieljoe1017
      @hieljoe1017 2 года назад

      Hana meno anatumia ya bandia. Sio kwamba katoa kwenye movie

  • @estarjunior9511
    @estarjunior9511 2 года назад

    Waongo sophy alipata ajali tegeta alikua ametoka mazoezi kwa mr kevi jamani bongo move acheni uongo jamani me sipendi move za bongo coz wana drama sana😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏

  • @auntmakochela4202
    @auntmakochela4202 2 года назад +1

    Unatoa meno kitu cha kufikisha ujumbe do moja tu

  • @asifiwekitunga4655
    @asifiwekitunga4655 2 года назад +1

    Uongeaji wake tu unaonesha hanaga meno

  • @kuruthumusaid3607
    @kuruthumusaid3607 2 года назад +1

    Hawajui kuedit

    • @zou7470
      @zou7470 2 года назад

      Labda 😏😏

  • @chanceakimana405
    @chanceakimana405 2 года назад +4

    😳

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 2 года назад +1

    Hana meno kitambo tu

  • @mwanaidyhassan2315
    @mwanaidyhassan2315 2 года назад +1

    Anacheka km rose ndauka

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 2 года назад +1

    Wee sirais usidanganye

  • @fatmaismail7683
    @fatmaismail7683 2 года назад +2

    Binafis siwezi kutoa kiungo changu cha mwili eti kuigiza

  • @mwanamgenimohammed7904
    @mwanamgenimohammed7904 Год назад

    Watanzania kwamaswali jmn🤔😂😂

  • @tajilimtoto5009
    @tajilimtoto5009 2 года назад +3

    Alikuwa ana meno bwana anavaaga bandia

  • @sunnahmickdady4305
    @sunnahmickdady4305 2 года назад +1

    😳😳😳😳😳huyu nyie

  • @janethngowi1058
    @janethngowi1058 2 года назад

    Duh

  • @apostleagnes5769
    @apostleagnes5769 Год назад

    Jinga sana kama ulitolewa meno

  • @chantalniyokwizera6683
    @chantalniyokwizera6683 2 года назад +4

    Sofi penda sana

  • @shamillahbianca6999
    @shamillahbianca6999 2 года назад +2

    Lamata hapo hujafanya vizuri...ATI mpunga pia upo...kwaiyo ata Figo waeza uza wewe

  • @mwanajumamohammed6327
    @mwanajumamohammed6327 2 года назад +5

    Apana hakutolewa meno huna dizain flani ..ukifanya nikama ukweli vle lakni uwa hamna kitu

    • @halimasulaiman3229
      @halimasulaiman3229 2 года назад

      Watu wengine wanapenda sana kuwatoa watu akili ujatolewa meno edit tu hiyo 😀

    • @mwanajumamohammed6327
      @mwanajumamohammed6327 2 года назад

      NDIO huyu ajatolewa....vtu kama ivi mcwe mnaamini cnikama kuna..wakat likua watu wanajieka glue ya mkono..na kutwaa vtu flani..wanasema mkono unearibika sababu...ya sabuni..vyakula cjui cream...lakni upande wa tz wakasema ni mdudu ambae upenda sana mboga ya kisambu...watu walipokuja jua..kumbe ni mambo ya wazungu na wachina hamna mdudu wala chakula...so haya pia musiamini huku ulaya yapo sana to..sahii unaona mtu ametolewa jicho..baada ya nusu saa ukaona yuko sawa

  • @rebecasanya8910
    @rebecasanya8910 2 года назад +7

    Heeee Yani mimi nitolewe meno yangu kisa kazi Sasa si Kuna siku utaambiwa unatakiwa kufa kwahiyo itabidi ufe kweli aise hapana huo ni upuuzi

    • @husnamtitiko9312
      @husnamtitiko9312 2 года назад

      Nahis siyo kwel bhna 🤣🤣🤣🤣

    • @asia-bp8of
      @asia-bp8of 2 года назад

      Anawakosema san atakama nikaz ndio umpunguz viung mwenzio acha nife na njaa yangu

    • @rebecasanya8910
      @rebecasanya8910 2 года назад

      @@asia-bp8of 😁😁😁

  • @Chk80
    @Chk80 2 года назад +1

    Duuuh

  • @hawakajoli3927
    @hawakajoli3927 2 года назад

    Waongo hajatolewa meno huyo ni kibogoyo toka mda mi namjua Ana meno yabandiaaa msidanganyike

  • @lucymwari8612
    @lucymwari8612 2 года назад +1

    So inaamanisha n kwl alitolewa meno

  • @zaitunisinamenye1799
    @zaitunisinamenye1799 2 года назад +3

    Uyo ni wehu nywele zîtaota, je meno yataota ?na mguu ukatwe basi

  • @sekelamwangomo5458
    @sekelamwangomo5458 2 года назад

    Kung'oa tu meno yanayouma naogopa sembuse yasiyo na shida yoyote

  • @AbdRahim-ib9dh
    @AbdRahim-ib9dh 2 года назад +3

    Ilibidi awajibu hivo kua aliyatoa kwa sababu ya kazi, maana si kila swali inafaa kujibu mnavotaka nyinyi viumbe, aliwajibu hivo kulingana na mazingira aliyouliziwa,

  • @ingabireshakira9631
    @ingabireshakira9631 2 года назад +4

    Bado kuuza moyo dada

  • @mariammbughi2702
    @mariammbughi2702 2 года назад

    Aisee ndio utoe meno thubutu

  • @saadajuma3538
    @saadajuma3538 Год назад

    Sio kwa kutoana meno looh niwe kibogoyo?hapana

  • @dorcasshirley3871
    @dorcasshirley3871 2 года назад

    Hahahaaaa Hy ataliiii

  • @rayanaabdallah6580
    @rayanaabdallah6580 2 года назад +1

    Upumbavuuuuuuu

  • @sophiashayo1996
    @sophiashayo1996 2 года назад +2

    Bado Figo sasa sophy

  • @mamasia9741
    @mamasia9741 2 года назад +1

    Sio mbaya mbona mm nlitoa matatu skumoja sa apo kuna uajabi gn?maswal ya kjinga ayo

  • @hanifaalhanif6392
    @hanifaalhanif6392 2 года назад

    Took a apo ujinga mtupu academy kupotosha watu nakujindanganya mwenyew utakuta ulikutwa nikibogoyo sio ndo usingizie sanaa

  • @stellah3844
    @stellah3844 2 года назад +2

    Khaaaaa ukatoe meno umelipwa bei gan?Khaaa maake hapo nicheke kwanza🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Official83640
    @Official83640 2 года назад +4

    Km chizi upate kilema chakujitakia kisa kuigiza huo uchizi hasa

  • @isherrashidimkindi3930
    @isherrashidimkindi3930 2 года назад +4

    Huyu Dada ni muongo toka zaman me namuona Hana meno Seema skuiz anavaa bandia labda alitoa yabandia mxiw

  • @leylaiddy5815
    @leylaiddy5815 2 года назад

    Huwa hana meno.. aliyenayo Ni bandia

  • @jokhasuwed5282
    @jokhasuwed5282 2 года назад

    Chizi uyo

  • @mzizirashid709
    @mzizirashid709 2 года назад +2

    Kanikwaza Huyu Dada Jaman anatufanya Sanaa Yetu Haijafika Kiwango Cha Kufanya VITu Vikubwa Huyu Jaman ..... Tumuache Tukutane Baada Ya Miaka Kadhaaa Soko Likishuka Tutaitana Hapa hapa 😂

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 2 года назад +5

    duu kakubali kutoa meno kisa kuigiza duu mm siwezi duu🤣

  • @zubedajamuhur6467
    @zubedajamuhur6467 2 года назад +2

    Jaman jaman hapana huo uhalisia mwingine unipitegetu khaa

    • @gracepius1102
      @gracepius1102 2 года назад

      Bado Figo watatoa kutafuta uhalisia

    • @mariammkwabi7101
      @mariammkwabi7101 2 года назад

      @@gracepius1102 😂😂

    • @Mimy_keys
      @Mimy_keys 2 года назад

      @@gracepius1102 😂😂😂😂😂😂 Eti eeh

  • @rubenkategere3348
    @rubenkategere3348 2 года назад +3

    Jamanii nimefurah kumbe Sophia ni.ndugu yangu soph waguma olige 🤣🤣🤣🤣

    • @erikimethod6246
      @erikimethod6246 2 года назад +1

      Katelelo mwenzio maji kwa wingi 😂😂😂😂

    • @ummusameer142
      @ummusameer142 2 года назад

      Mmm bukob sehem gan sof

    • @rubenkategere3348
      @rubenkategere3348 2 года назад

      @@erikimethod6246 mmhh 😂🤣😀😀🤣🤣😀😀🤣🤣🤣

  • @fatma-vy6ol
    @fatma-vy6ol 2 года назад +1

    Huko ni kukosa Akili unafanya kitu umfurahishe binadamu mwenzako wakati mola wako humfurahishi

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 2 года назад +2

    Ah we sio kweli 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-gz2zm9ro1h
    @user-gz2zm9ro1h 2 года назад +5

    meno ya mbele alikuwa hana kitambo tu alipata ajali akatoka meno

    • @angelkavishe5240
      @angelkavishe5240 2 года назад +4

      ety ukute anatumiaga ya bandia maana amna editing ya vile 😂😂😂😂😂

    • @user-gz2zm9ro1h
      @user-gz2zm9ro1h 2 года назад

      @@angelkavishe5240 anatumiya ya bandiy

    • @duhrurhhddhheud8575
      @duhrurhhddhheud8575 2 года назад

      @@angelkavishe5240 Ipo

  • @abeladominick2980
    @abeladominick2980 2 года назад +1

    😅🤣yoo chonka bojo kumbe we muhaya sikuwazaga

    • @abelabebwa1549
      @abelabebwa1549 2 года назад

      😆😆😆😆😆

    • @fatmamayunga6250
      @fatmamayunga6250 2 года назад

      Sio rahisi Ila huyu atakua alikua anamapengo anaishi na meno ya bandia sio kweli kutoa jino hakutoa muongo huyo

  • @tausihasheem5169
    @tausihasheem5169 2 года назад

    Anaboha

  • @sammystellarndunge4477
    @sammystellarndunge4477 2 года назад

    Napeda soph sana

  • @odiliamathias5424
    @odiliamathias5424 2 года назад +1

    Ovyo

  • @zenachuo2963
    @zenachuo2963 2 года назад +2

    Bora alivyoyatoa mana yalikuwa madogo sana mpk mtu akutazame sana ndoatajua unameno

  • @monahussein707
    @monahussein707 2 года назад +1

    Kwaiyo ayo meno ni bandia

  • @aminaabdallah4359
    @aminaabdallah4359 2 года назад +1

    Jamani kweli huyu hakuwa na meno asidanganye hovyo kweli akiambia atoe chuchu yake atatoa 😂😂😂

    • @sinyoritamoha1629
      @sinyoritamoha1629 2 года назад

      Alipataga ajali ya pikipiki meno ya mbele yakatoka....

    • @rosemaryjoseph2346
      @rosemaryjoseph2346 2 года назад

      Kabisaa Sophia hana meno kitambo anameno ya bandia asicheze na akili za watu

  • @salomejames9639
    @salomejames9639 2 года назад

    Jamn meno ya soph wamepaka rangi t kama joti anavyo fanya acheni ushamba kumsimang mwenzenu

    • @estarjunior9511
      @estarjunior9511 2 года назад

      Sio kweli alipataga ajali tegeta adi alikua anatoka mazoezi kwa mr kevi 2014

    • @estarjunior9511
      @estarjunior9511 2 года назад

      Aache uongo jamani mchango nilitoa

  • @gladysjaji1644
    @gladysjaji1644 2 года назад

    Uongo naye

  • @portinagodson3836
    @portinagodson3836 2 года назад +2

    🤣🤣🤣

  • @Juke995
    @Juke995 2 года назад +1

    Hakutolea meno ni uongo toka zaman anavaa meno ya bandia so hakutolea meno ni anavaaga meno ya bandia mbele alishapoteza meno yake toka zamani tu

    • @salhiayasri4246
      @salhiayasri4246 2 года назад

      Et aseme leo hii katolewa meno kisa kuigiza

    • @husnamtitiko9312
      @husnamtitiko9312 2 года назад

      @@salhiayasri4246 hajatoa bhna 🤣🤣 sema labda alikuwa hana meno sasa hiyo jua kali ikiisha hayo meno angepata wap huyu hajatoa alikuwa hana meno

  • @mmn7480
    @mmn7480 2 года назад +2

    soph kwakwel mawan ayakupndezi naona mwenyew unaona kma yanakupndeza kama kobe mjane😏yni upendezi