Mwacheni kumdadisi na kumuongelea binadamu mwenzenu kwa kumsimanga na kumuongelea vibaya, kwani nyinyi ndo mliyekamilika!!!, Ukamilifu ni Mungu Pekeyake, hujafa hujaumbika, hata nyinyi mwaeza jikuta katika hali mbaya hata zaidi ya huyo dadangu, inaniuma sana watu wanafurahia kasoro ya mtu, si kutaka kwake bali ni Mungu afanya atakalo, hujui kesho yako utakuaje.
Kwani kuna mtu anakilema hapo sinikutaka kwake kwa tamaa ya pesa kama yy mwenyewe ajioni na tamani ss tuseme nn mm nilijikata tu na kisu bahati mbaya roho yatoka eti leo nikatoe meno yangu mawili kwa kuwa nataka sifa ya kazi huu ni ujinga wa hali ya juu mana sivyo livyo zalowa bali ni pesa tu
Sijui ni Linie watanzania tutakubali kazi zetu, mbn movie za wengine wanavunjika hat miguu, mikono juu tu ya movie. Sie wenzetu tunafanya kuwagandamiza🤔🤔 Siku zote Fanya kitu Roho inapenda na so kumfurahisha mwanadamu, as longer as amesema anaipenda kazi yake, it doesnt matter anafanya nini km anafurahi,, just let her be. Eboooooooo!!!!!
Mtangazaj anamaswal mabayaaa🤔Sophia nae altoa meno il amfuraishe director wake lamata🤣🤣🤣il atufkshie ujumbe🤣🤣🤣apo tumepgwa itakua alkua kbogoyo tang zaman✌️
NDIO huyu ajatolewa....vtu kama ivi mcwe mnaamini cnikama kuna..wakat likua watu wanajieka glue ya mkono..na kutwaa vtu flani..wanasema mkono unearibika sababu...ya sabuni..vyakula cjui cream...lakni upande wa tz wakasema ni mdudu ambae upenda sana mboga ya kisambu...watu walipokuja jua..kumbe ni mambo ya wazungu na wachina hamna mdudu wala chakula...so haya pia musiamini huku ulaya yapo sana to..sahii unaona mtu ametolewa jicho..baada ya nusu saa ukaona yuko sawa
Ilibidi awajibu hivo kua aliyatoa kwa sababu ya kazi, maana si kila swali inafaa kujibu mnavotaka nyinyi viumbe, aliwajibu hivo kulingana na mazingira aliyouliziwa,
Kanikwaza Huyu Dada Jaman anatufanya Sanaa Yetu Haijafika Kiwango Cha Kufanya VITu Vikubwa Huyu Jaman ..... Tumuache Tukutane Baada Ya Miaka Kadhaaa Soko Likishuka Tutaitana Hapa hapa 😂
Huo ujinga wakutolewa meno kisa uigizaji ukome!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ukome😂🤣🤣
Hiyo mipengo kwani sh ngapi?
Msenge ww sana yn utowe meno kisa kuigiza
Ulikua unameno yakubandika ndio ukapewe iyo party usitudanganye
Yeah alikuwa amepata ajali
Mwacheni kumdadisi na kumuongelea binadamu mwenzenu kwa kumsimanga na kumuongelea vibaya, kwani nyinyi ndo mliyekamilika!!!, Ukamilifu ni Mungu Pekeyake, hujafa hujaumbika, hata nyinyi mwaeza jikuta katika hali mbaya hata zaidi ya huyo dadangu, inaniuma sana watu wanafurahia kasoro ya mtu, si kutaka kwake bali ni Mungu afanya atakalo, hujui kesho yako utakuaje.
Kwani kuna mtu anakilema hapo sinikutaka kwake kwa tamaa ya pesa kama yy mwenyewe ajioni na tamani ss tuseme nn mm nilijikata tu na kisu bahati mbaya roho yatoka eti leo nikatoe meno yangu mawili kwa kuwa nataka sifa ya kazi huu ni ujinga wa hali ya juu mana sivyo livyo zalowa bali ni pesa tu
😂😂😂et kilema umeshusha msg sijui km umeangalia iyo vidio
Sijui ni Linie watanzania tutakubali kazi zetu, mbn movie za wengine wanavunjika hat miguu, mikono juu tu ya movie. Sie wenzetu tunafanya kuwagandamiza🤔🤔
Siku zote Fanya kitu Roho inapenda na so kumfurahisha mwanadamu, as longer as amesema anaipenda kazi yake, it doesnt matter anafanya nini km anafurahi,, just let her be.
Eboooooooo!!!!!
Upunzi huo sifanyi we mm najipenda kuliko maelezo pesa nataka lkn muchezo na kweli wangu hapana
Good job sophia
Utetezi mwiiiingiii kwenye jibu moja jaaaamaaanii
Nimeenda kutoka jino jamani nalia et naogopa yaani lamata alikosa kabisa ubunifu mwingine kutolewa viungo sitaki
Umeharibu fizi lako ukiongea uinaonesha unaya bandia unabonyea fulani hivi 😂😂
Mbona joti anawekaga weusi fulan na meno yake anayo ni ujinga kutoa meno kweli mhm 😳😳😳
Sio bure alirogwa 😂😂 kha mm nilijuaga kudra ya mungu tu kumbe kusudi
@@husnaally6776 😂😂😂😂😂
Ajatolewa meno
@@halimasulaiman3229 katolewa yake halafu kawekwa ya bandia ambayo hayang'oki
Sophy sophy sophy.karegeshe meno.
Mtangazaj anamaswal mabayaaa🤔Sophia nae altoa meno il amfuraishe director wake lamata🤣🤣🤣il atufkshie ujumbe🤣🤣🤣apo tumepgwa itakua alkua kbogoyo tang zaman✌️
Siku utaambiwa ukate mkono na utakubali kwa jili ya kazi mhm hayanikuti habadani
Hhhhhm hapan kwakwel najipenda sana akaaaa
Bora ucheke
Mashallah
Huyu anaweza uza figo walah
Kabisaaa
😂😂
Uyu Sofia hanameno hata akiongea kwajuu utajuwa ana meno yakubandika
Maakee hapo ncheke kwanzaa
Mmmmm apo apana jamaniiiiiii!!!!!!!😬😬😬😬😬😬😬
Joti Huwa anaweka wino mweusi Kisha anaonekana kama ana pengo
Hai
Hiyo miwani
Anaogopa atafukuzwa kama menina
Sasa wee sophy so siku ukiambiwa usiwe na miguu itakuaje utakata kisa kaz
boya wey sas ungeambiwa ukatwe mkono ungekubali
Mmmmmm, siku mungu anakuchoka unapata kilema cha Maisha, utafutaj Gan huo jaman khaaaa
Hiyo chanel ni chanel gan
Na huo mtindi wako wa kutoshirikisha wazee huyo lamata atakuja kutowa jicho akwambie unatakiwa kuwa kipofu mjinga ww.
hakuna ubunifu kahisa pumbavu yani kila kitu kinaigizwa ukweli pumbavu kweli yani et ung'olewe meno inamaana hakuna ibinifu zaid?
Mhhhhh ngumu sio mm eti nitoe meno kisa
Hana meno ya mbele mda mrefu tyuu anayo yabandia
Mmmh meno yangu siwez kutoa huo ujinga sifanyi hela napenda Ila sio kihv jmn
Upuuzi huo, kwani mmeshindwa kufanya editing, ukawe kilema kisa.
Dd Unajua Unajua tena ikitokea sini ya kutoa mguu au mkono toa mwaya maana wenzio waliopat Matatizo wameomba
Mmmmmh jamani
Hata kamaa ndo utoe menoo 😂😂😂😂
😂😂😂kibogoyo
Mmmm
Alipata ajali
Dah menooo mhmm 😭 pole
Dhuuuuu!!!umetolew meno ??sothie!!jmn
Mmenuaje kuwa alitolewa meno
Ha kama kweli umekubali kutolewa meno we umevuka mipaka ha njaa izi
Hana meno anatumia ya bandia. Sio kwamba katoa kwenye movie
Waongo sophy alipata ajali tegeta alikua ametoka mazoezi kwa mr kevi jamani bongo move acheni uongo jamani me sipendi move za bongo coz wana drama sana😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏
Unatoa meno kitu cha kufikisha ujumbe do moja tu
Uongeaji wake tu unaonesha hanaga meno
Hawajui kuedit
Labda 😏😏
😳
Hana meno kitambo tu
Anacheka km rose ndauka
Wee sirais usidanganye
Binafis siwezi kutoa kiungo changu cha mwili eti kuigiza
Watanzania kwamaswali jmn🤔😂😂
Alikuwa ana meno bwana anavaaga bandia
😳😳😳😳😳huyu nyie
Duh
Jinga sana kama ulitolewa meno
Sofi penda sana
Lamata hapo hujafanya vizuri...ATI mpunga pia upo...kwaiyo ata Figo waeza uza wewe
Apana hakutolewa meno huna dizain flani ..ukifanya nikama ukweli vle lakni uwa hamna kitu
Watu wengine wanapenda sana kuwatoa watu akili ujatolewa meno edit tu hiyo 😀
NDIO huyu ajatolewa....vtu kama ivi mcwe mnaamini cnikama kuna..wakat likua watu wanajieka glue ya mkono..na kutwaa vtu flani..wanasema mkono unearibika sababu...ya sabuni..vyakula cjui cream...lakni upande wa tz wakasema ni mdudu ambae upenda sana mboga ya kisambu...watu walipokuja jua..kumbe ni mambo ya wazungu na wachina hamna mdudu wala chakula...so haya pia musiamini huku ulaya yapo sana to..sahii unaona mtu ametolewa jicho..baada ya nusu saa ukaona yuko sawa
Heeee Yani mimi nitolewe meno yangu kisa kazi Sasa si Kuna siku utaambiwa unatakiwa kufa kwahiyo itabidi ufe kweli aise hapana huo ni upuuzi
Nahis siyo kwel bhna 🤣🤣🤣🤣
Anawakosema san atakama nikaz ndio umpunguz viung mwenzio acha nife na njaa yangu
@@asia-bp8of 😁😁😁
Duuuh
Waongo hajatolewa meno huyo ni kibogoyo toka mda mi namjua Ana meno yabandiaaa msidanganyike
So inaamanisha n kwl alitolewa meno
Uyo ni wehu nywele zîtaota, je meno yataota ?na mguu ukatwe basi
Kung'oa tu meno yanayouma naogopa sembuse yasiyo na shida yoyote
Ilibidi awajibu hivo kua aliyatoa kwa sababu ya kazi, maana si kila swali inafaa kujibu mnavotaka nyinyi viumbe, aliwajibu hivo kulingana na mazingira aliyouliziwa,
Bado kuuza moyo dada
Aisee ndio utoe meno thubutu
Sio kwa kutoana meno looh niwe kibogoyo?hapana
Hahahaaaa Hy ataliiii
Upumbavuuuuuuu
Bado Figo sasa sophy
😂😂😂😂
Sio mbaya mbona mm nlitoa matatu skumoja sa apo kuna uajabi gn?maswal ya kjinga ayo
Took a apo ujinga mtupu academy kupotosha watu nakujindanganya mwenyew utakuta ulikutwa nikibogoyo sio ndo usingizie sanaa
Khaaaaa ukatoe meno umelipwa bei gan?Khaaa maake hapo nicheke kwanza🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
Waongo hawa khaa kwa pesa ipi,,kwa uhalisia upi mbwa huyu
Maake hapo tucheke wote😂😂😂
@@janethmwanda357 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Badoo mguu
Km chizi upate kilema chakujitakia kisa kuigiza huo uchizi hasa
PESA MAMAA
@@hellenpatrick3041 Itaishi milele?
@@Official83640 😂😂😂 hpn
Huyu Dada ni muongo toka zaman me namuona Hana meno Seema skuiz anavaa bandia labda alitoa yabandia mxiw
Huwa hana meno.. aliyenayo Ni bandia
Chizi uyo
Kanikwaza Huyu Dada Jaman anatufanya Sanaa Yetu Haijafika Kiwango Cha Kufanya VITu Vikubwa Huyu Jaman ..... Tumuache Tukutane Baada Ya Miaka Kadhaaa Soko Likishuka Tutaitana Hapa hapa 😂
duu kakubali kutoa meno kisa kuigiza duu mm siwezi duu🤣
Yaani cweeeezii
Jaman jaman hapana huo uhalisia mwingine unipitegetu khaa
Bado Figo watatoa kutafuta uhalisia
@@gracepius1102 😂😂
@@gracepius1102 😂😂😂😂😂😂 Eti eeh
Jamanii nimefurah kumbe Sophia ni.ndugu yangu soph waguma olige 🤣🤣🤣🤣
Katelelo mwenzio maji kwa wingi 😂😂😂😂
Mmm bukob sehem gan sof
@@erikimethod6246 mmhh 😂🤣😀😀🤣🤣😀😀🤣🤣🤣
Huko ni kukosa Akili unafanya kitu umfurahishe binadamu mwenzako wakati mola wako humfurahishi
Hapo sasa
Ah we sio kweli 😂😂😂😂😂😂😂😂
meno ya mbele alikuwa hana kitambo tu alipata ajali akatoka meno
ety ukute anatumiaga ya bandia maana amna editing ya vile 😂😂😂😂😂
@@angelkavishe5240 anatumiya ya bandiy
@@angelkavishe5240 Ipo
😅🤣yoo chonka bojo kumbe we muhaya sikuwazaga
😆😆😆😆😆
Sio rahisi Ila huyu atakua alikua anamapengo anaishi na meno ya bandia sio kweli kutoa jino hakutoa muongo huyo
Anaboha
Napeda soph sana
Ovyo
Bora alivyoyatoa mana yalikuwa madogo sana mpk mtu akutazame sana ndoatajua unameno
🤣 🤣 🤣
Zena chuo uachage kunivunja mbavu,nimecheka mno.
🤣🤣
Kwaiyo ayo meno ni bandia
Jamani kweli huyu hakuwa na meno asidanganye hovyo kweli akiambia atoe chuchu yake atatoa 😂😂😂
Alipataga ajali ya pikipiki meno ya mbele yakatoka....
Kabisaa Sophia hana meno kitambo anameno ya bandia asicheze na akili za watu
Jamn meno ya soph wamepaka rangi t kama joti anavyo fanya acheni ushamba kumsimang mwenzenu
Sio kweli alipataga ajali tegeta adi alikua anatoka mazoezi kwa mr kevi 2014
Aache uongo jamani mchango nilitoa
Uongo naye
🤣🤣🤣
Hakutolea meno ni uongo toka zaman anavaa meno ya bandia so hakutolea meno ni anavaaga meno ya bandia mbele alishapoteza meno yake toka zamani tu
Et aseme leo hii katolewa meno kisa kuigiza
@@salhiayasri4246 hajatoa bhna 🤣🤣 sema labda alikuwa hana meno sasa hiyo jua kali ikiisha hayo meno angepata wap huyu hajatoa alikuwa hana meno
soph kwakwel mawan ayakupndezi naona mwenyew unaona kma yanakupndeza kama kobe mjane😏yni upendezi
Kwanza nchekee🤣🤣🙌🏽kobe mjanee