PART II: BEN POL ATAJA SABABU KUU ILIYOVUNJA NDOA, ILIKUA WATU 10 TU "TUMEPATA TULICHOKITAKA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Hii ni sehemu ya pili ya EXCLUSIVE INTERVIEW ya Mwimbaji Staa wa Bongofleva Ben Pol na Millard Ayo, Frida Amani na Vido Vidox kwenye AMPLIFAYA ya CLOUDS FM iliyorekodiwa siku kadhaa zilizopita, kwenye sehemu hii ya pili amezungumzia mengi ikiwemo sababu zilizoivunja ndoa yake, ndoa kuhudhuriwa na Watu 10 na mengine "tumepata tulichokitaka"

Комментарии • 125

  • @utamuwaleo1970
    @utamuwaleo1970 Год назад +7

    Bonge la interview, Millard u never disappoint..
    Ben u'r a genius man....
    Vijana tujifunze kwa hili...

  • @pellestianomasai1220
    @pellestianomasai1220 Год назад +2

    Ben Paul is very smart. He has a very high sense of understanding himself and the World around him.... For him to be Articulate as he is, provides a very good platform for his fans, youths and the World as a whole to learn from his life experiences.... Kudos to you Ben....

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Год назад +6

    Napenda Ben hakurupuki kujibu maswali which is very good ni akiba ya kesho 👍👌❤

  • @Raphael99
    @Raphael99 Год назад +5

    Ni goodluck gozbert uyoooo nipeni like zangu🤩🤩🤩🤩🤩

  • @epiphaniaallute2726
    @epiphaniaallute2726 Год назад +2

    Dah.... interview ngumu sana hii. Hongera sana Ben Paul, umejikaza sana kiume kujibu maswali ambayo wengi naimani wamejifunza na kupata majibu waliyokuwa wanajiuliza. Big up @millardayo

  • @joshuaedward275
    @joshuaedward275 Год назад +2

    Tunapenda Ko move na watu wote ....ndugu , marafiki .....wakti maamuzi ni yako...hiyo dogo nimeipenda sana

  • @samwelmakanzajr1194
    @samwelmakanzajr1194 Год назад +14

    Godluck gozbert ametengeneza hyo ngoma

  • @redemtamkemwa8222
    @redemtamkemwa8222 Год назад +7

    I really appreciate BEN PAUL.MUNGU ATAKUVUSHA TUU ni heri kuishi na Amani kuliko kuishi na mateso

  • @yusuphkilua3649
    @yusuphkilua3649 Год назад +6

    "kuyapa maisha yangu maana" lazima nijifunze kitu katika kila interview ya ben pol this is a genius

  • @fredchui1
    @fredchui1 Год назад +4

    Educative. Long live brother, Ben.

  • @antidiusegbert5562
    @antidiusegbert5562 Год назад +22

    Ben is a humble and down to earth . Bottom line she took advantage of his innocence 👍🏾

    • @lee81721
      @lee81721 Год назад +10

      Most Narcissists are always humble and innocent but deep down they are lethal.
      They will always make you look bad

    • @fanityubu
      @fanityubu Год назад +4

      Huwajui watu humble ?

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад

      @@fanityubu angeandika kwa kiswahili tu....

    • @leen2733
      @leen2733 Год назад +2

      What is he a baby? so that one can take advantage of his innocence?

  • @Witnessvlog
    @Witnessvlog Год назад +8

    Migogoro ni kawaida Ben. Hata familia zetu zina migogoro kila siku. Baba na mtoto hawaelewani . Ndoa ni kazi na ni kazi kumpenda mtu hasa ukishajua madhaifu yake. Na hapo ndio watu hukataa tamaa. Ukisema uvunje ndoa kwakila mgogoro utavunja ndoa kila siku. Kumbuka ndoa ni watu 2 waliokutana ukubwani . Ko miaka 3 ya mwanzo ni ngumu kwasabab ni kuadjust na ku accomodate tabia za mtu. Kusema redflags kwenye mahusiano ukichunguza kila ndoa hata zilizo fanikiwa zipo ni vile hawachagua kuangalia vikwazo vilivyotokea kabla ya ndoa.
    Kiufupi ndoa ni ngumu ni kam tumbo kila siku kulilisha. so It's continued work. You work on yourself as well cos na patner wako ana grow as well.
    Kifo cha dada na covid it wasn't your faults. Huwez sema mliharakisha na sio bahati mbaya. Et kisa watu hawakuhudhulia😢😢 ndo maana mmeachana? kwani ndoa si watu 2 na mashaidi😢? Ben you should man up na ujue ndoa ni nini. Si wazazi walilidhia ni vile tu situation😢.
    Ni vizuri pis kuachukua breaks kabla ya taraka. Kupeana nafasi ya kujitakafari . Ndio kama sasa hiv unataka kumrudia lakin haiwezekani😢
    I hope you get well soon❤
    True love is beating the odds.

    • @tamemahmad9902
      @tamemahmad9902 Год назад +2

      Umeongea kweli tu. Mm nimeachwa kwa madhaifu yangu hakuweza kujua km ni madhaifu alizani nafanya makusudi nahata km ilikuwa kusudi nilifanya kwa kumaanisha. Sasa amegundua mengi mazuri kwangu anataka arudi tuwe pamoja lkn nishaolewa. Amebaki anajuta na kujilaum. Kwakujiridhisha amekuwa yupo karibu sana na familia yangu lkn mm na yeye hatuna mawasiliano.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      @@tamemahmad9902 pole na hongera sana. Yes hakuna mtu mkamilifu hata kidogo. Ndio maana ukisema uoe mkamilifu utaoa wake 10 kupata sifa zote unazozihitaji.

    • @afropatriot7769
      @afropatriot7769 Год назад +2

      Ukiona mwanaume anasema alishindwa unapaswa uelewe kashindwa ,Sisi wanaume hatukubali kushindwa kirahisi lakin ukisikia au ukiona mwanaume kakubari imeisha unapaswa uelewe, Matokeo ya kulazimisha watu kuishi eti IPO siku Mambo yatakua sawa unaweza kuja kuzika mtu na mwingine akaenda jela ,yametokea Sana ,hata hao ambao hawauani wengi utakuta presha na visukari kwa sababu ya kuutesa moyo kwenye mahusiano ambayo yameshashindikana, tufike muda waafrica tuelewe it is okey to divorce kama mambo yamekwama,ili kuruhusu health relationship ,hata kuachana ni kuboresha mahusiano ,this guy is healing inawezakuchukua muda llakin atapona tu

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад +2

      @@afropatriot7769 Umesema vyema kaka. Na na sapoti point yako kwa asilimia 100%. Sisapoti violence hata kidogo wala emotional abuse. Ukisikiliza maongezi ya ben Wana issue ya communication ambayo ni issue ngumu.
      Na nimeandika hiv kwasabab bado anamtaka anerlisa kwa ground. Afu huku anakuja kusema hakuenjoy

  • @zuenampandeni3347
    @zuenampandeni3347 Год назад +4

    Allah nakuomba unijalie mume mwengu na baba mwema wa watoto wangu.

  • @openmindtz
    @openmindtz Год назад +2

    Hapo mwishon umegusa maisha yangu... The woman i hv ni jeur na titi for tat

  • @itspatricklucas
    @itspatricklucas Год назад +7

    Ben is so humble gadamn it, God bless this guy

  • @tinamlongo3765
    @tinamlongo3765 Год назад +2

    Benpol unabusara sana in your talk

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Год назад

    Huyo anakua Mungu,sio uwezo wa kibinadamu
    Yaani Mungu ametupa Roho wake Ili kutujulisha,kutuongeza!
    Kwahiyo Ben alikuwa Mungu usiseme binadamu

  • @khadijakayuzi8471
    @khadijakayuzi8471 Год назад +4

    Hilo ndilo tatizo la kuzidiwa kipato na mwanamke, mwanamke mwenye pesa na hana lkn hijiamini na dio doa nyingi za mastaa zinateli hapo 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @ashakufakunoga4904
    @ashakufakunoga4904 Год назад +4

    Mafunzo kabla yandoa nimuhimu sana Ben nakuelewa sana

  • @samuelseverua
    @samuelseverua Год назад +3

    [18:03] Huyo mwanamke mwanahabari anatamani sana kujua vitu personal. Bila mantiki ya uhusika wa tukio husika. Thats Un-proffesional...

  • @inversedelcruise676
    @inversedelcruise676 Год назад +2

    Jamaa kaongea kiume sana ila nashangaa milard hajamuekea hata maji.. Dah sio poa kabisaaaaaaa

  • @tusaradrusia9670
    @tusaradrusia9670 Год назад +17

    Watu wemgi mna mlaumu benpol lakini izi issue ziko sana kwenye nyumba za watu aswa mwana mke akiwa nakipato cha juu

    • @jumaally8567
      @jumaally8567 Год назад

      Mwanaume wa ukweli ndio huwa hivyo Ben hongera sana na akwende akavimbie wengine huko🙌

  • @adamwilliam8103
    @adamwilliam8103 Год назад +4

    Tumejifunza mambo mengi sana . Thanx Bro

  • @frolencejovenary667
    @frolencejovenary667 Год назад +2

    Pole Beni Paul

  • @anithastaford1564
    @anithastaford1564 Год назад +2

    Sijaona kibaya alichoongea, big up ben po, yo one of the kind guys

  • @mwalimuwakujitolea2030
    @mwalimuwakujitolea2030 Год назад +4

    Benpol anajibu massaging technically sana na kubakisha akiba ya kesho

  • @augustinekitulo
    @augustinekitulo Год назад +2

    great interview

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Год назад +12

    Depression ni mbaya sana, Therapy ni muhimu sana.

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 Год назад +2

    nime mpenda ben pol

  • @sheckycobb5240
    @sheckycobb5240 Год назад +2

    Depression is real, mficha maradhi kifo humuumbua, Bora uliamua kua mkweli

  • @hiuchionekwa9122
    @hiuchionekwa9122 Год назад +2

    Tulio pitia mtihani huu tumekuelewa

  • @saygeorge970
    @saygeorge970 Год назад +3

    Iv uyo dada mtangazaji uko kuongea kama mchaga anaona swaaaga anatuboa bana ebu ongea kiswahili kinachoeleweka bana acha ukabila bana

  • @peterlaurent5969
    @peterlaurent5969 Год назад

    umenenepa benard

  • @haniphajerome1753
    @haniphajerome1753 Год назад +2

    Kwa haraka haraka tu kwa kinachoendelea mtandaoni inaonekana mwanamke ndo anamatatizo

  • @michellejones3823
    @michellejones3823 Год назад +2

    Anerlisa typing…

  • @jamilahathumani4222
    @jamilahathumani4222 Год назад +2

    Ben nakuelewa Sana,,Yan ben. Huyu dada atakuja kujua baadae kuwa amepoteza mpenz wa kwer

  • @sadasaid4408
    @sadasaid4408 Год назад +5

    Ben kabadilika kawa na shavu

  • @dcmboy
    @dcmboy Год назад

    Kaka Ben lov

  • @mussamsella8560
    @mussamsella8560 Год назад +2

    Kuna dini haziruhusu talaka na zipo zinazoruhusu talaka,Msingi wa dini kwa mwanadamu ni kukidhi mahitaji yake(mwanadamu) katika maisha yake ya kila siku.
    Ipo dini imeweka wazi sifa za muoaji na muolewaji ....
    Ukisikiriza hii stori unapata mambo kadhaa ya ya kujifunza.Kikubwa tuoe/tuolewe na watu wa aina yetu vinginevo utajikuta unaishi maisha yasiyo yako.

  • @daud405
    @daud405 Год назад +6

    vijana mjifunze na bado. mnapenda kulelewa .Ben bado unamlilia hela zake pumbavu . you think your handsome wil take u any where

  • @merianhalibunyoha2629
    @merianhalibunyoha2629 Год назад +2

    Numeejoy untevee akika

  • @tracyglory9804
    @tracyglory9804 Год назад +2

    Sio kila swali unatakiwa kujibu bro. Mengine mute

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Год назад +14

    Vijana wa kiume waktz sikuiz mnapenda sana wadada tuwalee kipesa ndio maana hampat heshima ktk kwa wenza wenu, nitafute pesa y kukulisha n bado nikupe mahaba🤔🤔

    • @JOHNJOHN-pu7wb
      @JOHNJOHN-pu7wb Год назад +2

      Sasa hapo kuna ubaya gani? 😅

    • @daud405
      @daud405 Год назад +2

      nyie ndo mnataka wanaume handsome .kwani mnalazimishwa na nani

    • @jastinpastore7003
      @jastinpastore7003 Год назад +2

      Dada mim nawew nani anampa mwenzie mahaba, a m a man

    • @kazkaz1943
      @kazkaz1943 Год назад

      @@jastinpastore7003 kamuulize beni

    • @shabanimarwa6174
      @shabanimarwa6174 Год назад

      Very true... Ben aliangalia masilah saana kwa yule dada.. coz mdada mwenyew mbibi yule sasa alikua na mvuto gani wa kumshika Ben kama sio mwana aliwaza pesa tuu....

  • @pastorteddywaziri5754
    @pastorteddywaziri5754 Год назад +4

    Ben pol anatia huruma but kitu ninachoona Padri aliyewafungisha ndoa alikuwa ana Mungu haswa na Uzi wa ndoa Yao ulikazwa haswa hivyo kujitengamanisha kwao ni mpaka waende Kwa huyo Padri awaombee rehema kwa Mungu awafungie yeye ndipo wanaweza achana kila mtu akaendelea na maisha yake Kwa amani According to part 2 hii ya interview Kaka atafute TU mwanamke mwingine aoe rasmi kwa taratibu za Mungu Ili hii laana ya( kuvunjika ndoa) isije jirudia Tena.

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Год назад

    Aisee tuwaombee kaka zetu, maana wanawake tunajua ku force sana

  • @baebaat6929
    @baebaat6929 Год назад +2

    22:59

  • @mariasalomemelchiorkaigaru1974
    @mariasalomemelchiorkaigaru1974 Год назад +2

    alivyomalizia mwishoni dongooo ila nimeipenda

  • @hawahabibu3881
    @hawahabibu3881 Год назад +8

    Ulivyomuacha Ebitoke jee? Malipo hapa hapa Duniani

    • @geographyteacher.2961
      @geographyteacher.2961 Год назад

      😂😂😂🙌

    • @joyce55727
      @joyce55727 Год назад

      Alisha sahau😃😃😃

    • @hawahabibu3881
      @hawahabibu3881 Год назад

      @@joyce55727 aliona Ebi cyo type yake akafata warembo wenye matako makubwa Mungu sasa kamlipia ningekuwa mm Ebi ningecheka kwa heruf kubwa😅

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 Год назад +2

    Uliingia kwenye Ndoa kabla mahusiano hayajakubali??

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Год назад +2

    Kwani Ben ni Muislam au Mkristo?

  • @christinajisena2634
    @christinajisena2634 Год назад +2

    Ebitoke uko wapi ebu njoo na juisi ya miwa (bill kwangu) usikilize kakako anachoongea

  • @jamilasalim7165
    @jamilasalim7165 Год назад +2

    Sikwakunoni huko mnakula Nini jamani

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Год назад +8

    Ben Pol you have to set boundaries, setting boundaries is a form of self - care too, you don’t have to answer those personal questions about your divorce, bro don’t entertain foolishness. Radio and tv presenters in Tanzania should learn how to ask relevant questions when they interview an artist. Please ask Ben Pol about his music not about his divorce!

    • @lovenessstanley362
      @lovenessstanley362 Год назад +6

      They were both famous and their relationship was so public, you can not blame the hosts for asking those questions because it was ben and anne first who let the public in their everyday's life, so kama wameachana and we are seeing changes we have to ask. And ben being a celebrity doesn't mean we are only interested in his music, we love to hear and see how they live too.
      Na hao hosts wanafanya tu kazi yao, angekua ben uncomfortable about the questions asingejibu but he was, so take a chill pill n chill

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Год назад +2

      @@lovenessstanley362 there is something which is called privacy you can’t talk about your divorce so openly in the public ! Why that kenyan woman doesn’t talk so openly about her divorce in the public, definitely she is smart and she knows the meaning of privacy

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 Год назад +2

      Muachie mwenyewe, depression is real, itakuaje akiongea ni process ya healing

  • @mmn7480
    @mmn7480 Год назад +2

    nilikuwa naitafuta

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Год назад

    Ben hana mvuto tena

  • @japhtv9858
    @japhtv9858 Год назад +8

    Inaonesha BEN alimpenda huyo demu sema demu ni mjeur kwa sababu ya pesa zake

    • @Mastermind25491
      @Mastermind25491 Год назад +3

      True,,Ben angempiga mimba tu

    • @tonygee5680
      @tonygee5680 Год назад +1

      Umejuaje wewe? Tumsikize x wake upande wake kisha aamua

  • @tonygee5680
    @tonygee5680 Год назад +8

    Kaka hukushikiwa bunduki wacha kuji dhalilisha move on kaka rudi kwa level yako ya kina Ebitoke

  • @salimmachila5736
    @salimmachila5736 Год назад +1

    Kwa ufupi jamaa alichoka kukaliwa na mke tajiri mkikuyu... o

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 Год назад

    Kuna mengi yakujifunza japo vinachekesha lakn sio rahisi kukaa kwenye mahusiano ambayo hayafai

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 Год назад

    Duuuu mtangazaji mashavu kamandimu

  • @stevenkiswaga1064
    @stevenkiswaga1064 Год назад

    Ni mwamba da frida

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Год назад +6

    Hajapoteza kitu yule bint ndo alipoteza pesa kumpeleka mwanaune madubai s mchezo, mgogo akajikuta Miami kila kukicha kwa pesa za mwenzie 😳

    • @kennethbenjamin275
      @kennethbenjamin275 Год назад +2

      Huyu jamaa kutwa kumtajataja x wake vp tena
      Jamaa inaelekea alikuwa mterezoo pale

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 Год назад

      @@kennethbenjamin275 yn had kero

  • @saimarmuhsin9578
    @saimarmuhsin9578 Год назад +2

    Nyumba yenu ilikuwa mfano wa nyumba ya buibui hahahaa

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Год назад +2

    Wanawake wa Kenya wako tofauti sana na wanawake wa Tanzania , wanawake wa Kenya hawajui kujishusha Labda uwe na uwezo mkubwa wa Kipesha kuliko wewe .

    • @salehabdalla7773
      @salehabdalla7773 Год назад +2

      Kumbe kwan ww ni mkenya au mtnzania

    • @michellemachiso4089
      @michellemachiso4089 Год назад

      Don't play with kikuyu women...u will end up in a septic tank

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Год назад

      @@salehabdalla7773 mimi ni binadamu mkuu , soma hoja yangu mkuu wanawake wa Kenya uwa hawataki upumbavu na upuuzi

  • @lovenessmushendwa1230
    @lovenessmushendwa1230 Год назад

    WATANZANIA NINAJAMBO LANGU MUHIMU , NAWEZA PATA CONNECTION YA OFISI YA MILLARD AYO, NAMBA YA OFISI AU MMOJA WAO YOYOTE, MILLARD DM TOKA JULY HAJAFUNGUA HAJAONA

  • @zabibuking8704
    @zabibuking8704 Год назад

    33:13

  • @levinaasenga2794
    @levinaasenga2794 Год назад

    Mbona amjampa ata maji

  • @cholocaptain1623
    @cholocaptain1623 Год назад +4

    Frida wa moto

  • @isihakaliyuma107
    @isihakaliyuma107 Год назад +2

    Ni ukweli m2pu aliyopitia mwamba mwanamke akiwa na kipato kwao hata familia Yao hukunyanyasa

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 Год назад +2

    Ben aende ampigie maiti Ebitoke akubali kurudiana naye. Baada ya kumtoa Bikra alisepa.

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Год назад

    Haka kadada mhhhh

    • @jan6703
      @jan6703 Год назад

      Naona kanatoa ulimi sijui maanake nini

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 Год назад +6

    Banaboyiiii🤣🤣🤣.yan janaume kila siku kuongelea dem huwa sipendi mxuu shobo tu hili jinga la Tz bado linamtaka dem .kwendraaa

    • @johnngongi4810
      @johnngongi4810 Год назад

      Hicho kipindi kimerecordiwa siku moja sema kimepostiwa nusu nusu na kingine wabongo mnatabia ya kumwona mwanaume anae date na mwanamke mwenye pesa basi mnamsakama sasa unavyomnanga una hisi uko sawa!!

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 Год назад

      @@johnngongi4810 nipo sawa ndio nilishaachana na boya wa hivo akawa ananiongelea kutwa nzima alafu mm nipo kimya mbona amenyooka ameonekana mjinga nakufulia juu.🤭🤭🤭 kuna watu ukiwapenda wanahisi huwez kuwaacha 😂😂😂nilibwaga hakuamin

    • @Markhomestz
      @Markhomestz Год назад

      @@estermathias8354hujui lolote funga bakuli
      Kaoge ukue kiakiri

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 Год назад

      @@Markhomestz vichaa nao mnakoment humu we unaejua umefaidika nn ebu kwanza piga mswaki mxuu😂😂🤸🏽‍♂️🤸🏽‍♂️💃💃🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

    • @timoliiisaya3824
      @timoliiisaya3824 Год назад

      @@estermathias8354 we Ni tahira

  • @hamismbekae3050
    @hamismbekae3050 Год назад

    Therapy kwa Mtanzania au mwa Africa Frida are you mad? Sis, Therapy does not work for Africans my stop kuiga vitu vya wazungu as for you Ben Pol stop kidding yourself ulikonda kwasbb mkwanja ulipunguwa na pia wazaramo walikucheka bro eti Therapy bro please acha uongo mchana mtupu 😏

  • @tonygee5680
    @tonygee5680 Год назад +8

    Very very weak African man 😢looking for sympathy