Mimi sikubaliani na swala Musonda kwenda TP MAZEMBE KINZUMBI kuja Yanga nimemfuatilia sana KINZUMBI mchoyo sana mipila miiingi anapiga akiwa nje ya 18 hata kama wenzie wapo kwenye nafasi nzuri ya kufunga hatoi pasi Musonda anatoa pasi za magoli anajua kukaba mechi mbili dhiti ya MAMELODI MUDAU alipata kazi sana kupanda mbele sasa sijui kwanini uongozi umeamua hili ngoja tuone lkn mhh hapana
swala lakua mchoyo linarekebishika kaka kuna wakati mayele alikua mchoyo saana sehemu yakutoa pasi analazimisha kupiga yy na alikua anakosa cjui km kocha nabi alimlekeza aache kua hivo lakini nakumbuka sisi mashabiki tulimpigia fujo saana wengine tulimfuata mpka kwenye insta yke nakumwambia aache kulazimisha kupiga akiwa hayupo kwenye nafasi nzuri yakufunga atoe nafasi kwa wenzie akaja akatulia mechi na mazembe hapa dar alitoa asist kwa twisila mechi na marumo hapa dar anatoa sist kwa morison tena akiwa amebaki na beki 1 tu ila hakulazimsha akatoa pasi ya mwisho mechi na mrumo away akatoa asist kwa musonda tena ilikua kama hivo amebaki na beki 1 nakipa hakulazimisha akatoa kwaio swala la uchoyo linarekebishika usihofu kwa musonda nimchezaji anaepambana sana mi namkubali pale tunacheza mechi ambayo timu nzima inatakiwa ikabe km ile ya mamelodi utamfurahia anavofanya majukumu yakukaba pumzi anayo ila kwa bahati mbaya ukiwa km winga au striker hutakiwi kusifiwa kwa kuba tu unatikiwa ushambulie ufunge mabao musonda kwenye misimu yake 2 sina uhakika km alishawaikufunga bao 8 kwenye ligi kuu msimu ulopita na msimu huu sasa inakua haiwezekani tulimsajili km mshambuliaji namkubali sana ila ndo hvo
Yani yanga sasa inajikanyaga ujuwe kujifanya mnajua sana kumuacha musonda na azizi ni ujingaaa
😅😅😅😅MIAKA YOTE MUNA TAJA WACHEZAJI FLANI WAJA YANGA LAKINI WANAOKUJA NIWWNGINE TOFAUTI😅😅😅😅😅
Mwandishi,, izo MIC unazishika KIMAPEPE,, Tulia acha MAPEPE kwenye izo MIC
Tafuta Hela punguza makasiriko
Sema waandishi wa siku hz hawajui kuuliza maswali yan
Uliza wewe maswali mazuri,
Uko sahihi hawajielewi wanaenda mihemko sio kufuata taratibu za kazi zao alafu ukiwaambia wabishi
L😊l
Lp@@rogersiddy
Kizumbi hana jipya labda viongozi watafute mchezaji mwingine
Sema mumekula tano kolo mkubwa wewe usijitowe momo tunakujuwa ni kolo mkuubwa
ACHA USHAMBA MPIRA WA SASA SI LAZIMA STRKER WAFANANE
Mimi sikubaliani na swala Musonda kwenda TP MAZEMBE KINZUMBI kuja Yanga nimemfuatilia sana KINZUMBI mchoyo sana mipila miiingi anapiga akiwa nje ya 18 hata kama wenzie wapo kwenye nafasi nzuri ya kufunga hatoi pasi Musonda anatoa pasi za magoli anajua kukaba mechi mbili dhiti ya MAMELODI MUDAU alipata kazi sana kupanda mbele sasa sijui kwanini uongozi umeamua hili ngoja tuone lkn mhh hapana
Fact
Hata mimi nakuunga mkono Musonda natamani sana asiondoke aiseee
Hata Mimi sikubaliani kuondika Kwa msonda lakini ngojatusubirie maamuzi ya viongozi maana wao ndo wanamaamuzi
Mawazo yako finyu
swala lakua mchoyo linarekebishika kaka kuna wakati mayele alikua mchoyo saana sehemu yakutoa pasi analazimisha kupiga yy na alikua anakosa cjui km kocha nabi alimlekeza aache kua hivo lakini nakumbuka sisi mashabiki tulimpigia fujo saana wengine tulimfuata mpka kwenye insta yke nakumwambia aache kulazimisha kupiga akiwa hayupo kwenye nafasi nzuri yakufunga atoe nafasi kwa wenzie akaja akatulia mechi na mazembe hapa dar alitoa asist kwa twisila mechi na marumo hapa dar anatoa sist kwa morison tena akiwa amebaki na beki 1 tu ila hakulazimsha akatoa pasi ya mwisho mechi na mrumo away akatoa asist kwa musonda tena ilikua kama hivo amebaki na beki 1 nakipa hakulazimisha akatoa kwaio swala la uchoyo linarekebishika usihofu kwa musonda nimchezaji anaepambana sana mi namkubali pale tunacheza mechi ambayo timu nzima inatakiwa ikabe km ile ya mamelodi utamfurahia anavofanya majukumu yakukaba pumzi anayo ila kwa bahati mbaya ukiwa km winga au striker hutakiwi kusifiwa kwa kuba tu unatikiwa ushambulie ufunge mabao musonda kwenye misimu yake 2 sina uhakika km alishawaikufunga bao 8 kwenye ligi kuu msimu ulopita na msimu huu sasa inakua haiwezekani tulimsajili km mshambuliaji namkubali sana ila ndo hvo