MATAJIRI TANO TANZANIA 2024 || Top 5 matajiri wakubwa zaidi Tanzania 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 дек 2023
  • MATAJIRI WAKUBWA ZAIDI TANZANIA 2024
    Leo nimefurahi kukuletea video ya kusisimua kuhusu wasanii matajiri zaidi Tanzania
    Subscribe to Top5Tz: / top5tz
    Kwenye video hii tunakutajia listi ya matajiri wasanii mwaka huu 2023
    Tutajibu maswali yako yote kama:
    nani tajiri namba moja tanzania?
    nani msanii mkubwa tanzania?
    msanii gani tajiri tanzania?
    wasanii matajiri tanzania forbes?
    wasanii matajiri duniani?
    nani tajiri namba moja tanzania?
    wasanii matajiri tanzania 2022?
    wasanii matajiri tanzania 2023?
    Na mengine mengi. Pata taarifa hizi na nyingi zaidi hapa kwenye chaneli yetu ya yotube.
    TOP 5 MATAJIRI WAKUBWA TANZANIA :
    Wasanii na magari yao
    • TOP 5 WASANII WENYE MA...
    • Listi ya magari ya bei...
    • WASANII MATAJIRI TANZA...
    Angalia video zetu zingine hapa:
    VIpengele vyetu
    0:15 Number 5
    0:58 Number 4
    1:37 Number 3
    2:11 Number 2
    2:58 Number 1
    4:10 Like comment and subscribe
    #Tanzania #TanzanianMusic #BongoFlava #AfricanMusic #TanzaniaMpya #TanzaniaMusicIndustry #Wasafi #DiamondPlatnumz #Harmonize #Rayvanny #Bongo #Afrobeats #WCB #TanzaniaYaSasa #TanzaniaTheBeautiful #TanzaniaUnforgettable #TanzaniaSwahiliCulture #TanzaniaWildlife #TanzaniaTravel #TanzaniaSafari #ExploreTanzania #TanzaniaTourism #TanzaniaNaturalBeauty
    #wasanii #matajiri #diamondplatnumz #harmonize #tiktok #alikiba #utajiri
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 139

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 2 месяца назад +2

    Mungu awahifadhi yarab amen 🙏

  • @SalminRahis-kd9sv
    @SalminRahis-kd9sv Месяц назад +5

    We kuma ni bora uwe shoga maana akuna unachojua

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 6 месяцев назад +12

    Apo number moja Said salim Bakhresa mbona nyumba za fumba Boat kilimanjaro hujazitaja tajir hawez kugombania Ubunge wala tajir hatekwi

    • @ramahaji2395
      @ramahaji2395 13 дней назад

      Ingia google nawe acha ubishi

  • @RabiaIddi-ci2uz
    @RabiaIddi-ci2uz 4 месяца назад +3

    na mimi taingia soon kwenye hii orodha

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 20 дней назад

    Umenisahau namimi wee jamaa mtoa ripoti unazingua🙏🇹🇿

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 6 месяцев назад +2

    Hamuwez kuja Zanzbar kma hamjapanda Zanzbar One au Kilimanjaro halafu fyoko fyoko Bakhresa yuko juu Mungu amzidishie Amin

  • @CynthiaEsekon-s6u
    @CynthiaEsekon-s6u 5 дней назад

    Bless

  • @abdulhakhashim764
    @abdulhakhashim764 2 месяца назад

    Yaaah .!no1 ni bakharesa .. 💪👍

  • @henrynuhu2557
    @henrynuhu2557 6 месяцев назад +5

    miaka 2 mbele ntamuona Simba la masimba dangote

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 2 месяца назад

    Oooh allah tujaalie kila la kheri mola wangu mtukufu na utuweke sehemu salama pa kumjua allah

  • @jaxmkada6797
    @jaxmkada6797 4 месяца назад +2

    We muongo na takwimu zakoooo.

  • @user-th9ut7ro8p
    @user-th9ut7ro8p 4 месяца назад +1

    Kweli Bakhresa anastahili kuwa namba moja.

  • @theplateboy-ym9xz
    @theplateboy-ym9xz 3 месяца назад +1

    Voici cette artiste il est connu sous le nom thę plåtę bøy mais de son vrai nom c'est ndombe kaba Ezéchiel ii connais bien chanté c l'artiste chanteur danser compositeur il et congolais de père et de mère 🇨🇩🇨🇩📀📀

  • @samiboybb
    @samiboybb 7 дней назад

    Nme ipenda

  • @user-ql6fg3bs8y
    @user-ql6fg3bs8y 3 месяца назад

    Wee bado sana

  • @JaphetyLubasha-vw5hr
    @JaphetyLubasha-vw5hr 6 месяцев назад +3

    😂😂😂 tatzoo la RUclips waongooo sana yaan daaahh 😊

  • @AdiliLadislaus
    @AdiliLadislaus 3 месяца назад +1

    Mafuruki kashafariki

  • @frankmajila7632
    @frankmajila7632 6 месяцев назад +2

    Watu bwana, jamaa kasema anazaidi ya mabus 30. kiswahili ni kigumu sana

  • @khalfanseif8027
    @khalfanseif8027 13 дней назад

    Uongo Mtupu Huna Focus Kabisa

  • @KINGSAGENCYCOMPANYLTD
    @KINGSAGENCYCOMPANYLTD Месяц назад

    Jamaa liongo sana. Kwanza Ally Mfuruki alishakufa

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 7 месяцев назад +3

    Wizi tuuu

  • @frankmwinuka3413
    @frankmwinuka3413 6 месяцев назад +2

    Vipi Gsm ni wa ngapi kwa utajiri?

  • @user-cj7oo7mi1x
    @user-cj7oo7mi1x Месяц назад

    Msanii gani anaongoza utajili Tanzania

  • @user-so5jf8nf3e
    @user-so5jf8nf3e 7 месяцев назад +1

    Liongo kweli ilo

  • @iddkaoneka7485
    @iddkaoneka7485 3 месяца назад +1

    Rostam ni Mfursi(Muiran na sio mhindi)

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 24 дня назад

    We jamaa mwongo Sana kama hapo et Rostam kawekeza kwenye Vodacom 😂😂 Rostam yupo tigo na zantel siyo vocadom

  • @aaroneu07
    @aaroneu07 3 месяца назад

    Ally Mufuruki ni Marehemu. Kafariki muda sana. Hii list ni takataka.

  • @user-um8xn4ge4i
    @user-um8xn4ge4i Месяц назад

    Daaa kweli bongo maskini khaaa matsjiri wote hamna mwenye utajiri wa bilion 5 USA dollars mhhh alafu hawa wahindi ndio ma sponsorship wa CCM tutafika tukiwa tumechoka bongo nchi maskini sana africa kumbe

  • @mr.jcubic1554
    @mr.jcubic1554 14 дней назад

    Matajili

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x 6 месяцев назад

    N I utajiri cash, auvitu

  • @SimionMajaliwa-wg8xi
    @SimionMajaliwa-wg8xi 2 месяца назад

    Msenge wew tengua kauli kwa kusema ngozi nyeus

  • @user-my5yp6xx5s
    @user-my5yp6xx5s 6 месяцев назад +1

    acheni ukuma wenu

  • @kibambiibrahim5714
    @kibambiibrahim5714 4 дня назад

    Alishakufa tangu mwaka 2024 Mbona hujasoma?

  • @benjaminchakwe9815
    @benjaminchakwe9815 7 месяцев назад +2

    Ety abood anamabasi 30 tu 😂😂😂wasenge tu nyinyi

  • @mohamedimiraji5495
    @mohamedimiraji5495 6 месяцев назад +2

    Tunaomb na list ya maskini watano TZ

    • @swedywamba5535
      @swedywamba5535 5 месяцев назад

      Lazima watatoka dodoma wote wa5

    • @EnocyDaud-xt8vj
      @EnocyDaud-xt8vj 5 месяцев назад

      Wa kwanza ni wewe

    • @mohamedimiraji5495
      @mohamedimiraji5495 5 месяцев назад

      @@EnocyDaud-xt8vj Ama kweli wewe ni hewa kabisa. Ndio matatizo ya maskini wa kitanzania mtu akiwa maarufu tu Basi kwao ndiye tajiri namba moja😅

    • @bakaribakari6444
      @bakaribakari6444 2 месяца назад

      ​@@swedywamba5535😂😂😂 kwa nn

  • @SaidMaganga-yi4ez
    @SaidMaganga-yi4ez Месяц назад

    Apo kwenye namba moja uongo wa kwanza ni bakherasa

  • @user-uo9tq8cc7q
    @user-uo9tq8cc7q 3 месяца назад +1

    Wewe bwege hizo takwimu umezipata kwa utafiti Gani?

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646 7 месяцев назад +2

    Kaka fanya utafiti tena... hata huyo Rostam siyo mhindi kabisaaa

  • @mwitanyahiri4586
    @mwitanyahiri4586 2 месяца назад

    Mo hawezi kuwa na hiyo hela

  • @hilarymark7583
    @hilarymark7583 7 месяцев назад +2

    Ally Mafuruki alifariki 2019

  • @MandoliiMoshi
    @MandoliiMoshi 27 дней назад

    We n fala kiazi ww

  • @MwandosyaMajele
    @MwandosyaMajele 3 месяца назад

    Mayele 0:23

  • @babaabro8847
    @babaabro8847 7 месяцев назад

    Gsm vp 😮😮

  • @danielmweta8716
    @danielmweta8716 6 месяцев назад +2

    Kweli nyie manyumbu kweli yaani abood anampita pesa oil com,wold oil na cameli oil acheni upotoshaji

  • @MayanziBubinza
    @MayanziBubinza 7 дней назад

    GSM wa yanga a.k.a. Utopolo yuko wapi?

  • @alisalimo2861
    @alisalimo2861 6 месяцев назад +2

    Ww muogo😊

  • @habibrizzyone
    @habibrizzyone Месяц назад

    Takwimu zako za kifala

  • @user-lg7yl8zr1o
    @user-lg7yl8zr1o 6 месяцев назад

    Kumanyoko

  • @davisfidelis4149
    @davisfidelis4149 5 месяцев назад

    Ana asili ya Uajemi,Iran

  • @FransisLaurenti
    @FransisLaurenti 3 месяца назад

    Gsm anashika nafasiyangapa ndugu

  • @KilimanjaroBand
    @KilimanjaroBand 2 месяца назад

    Hii list katoa mkundu kwake

  • @talalballeth4330
    @talalballeth4330 2 месяца назад

    Hujui lolote angalia unachojua

  • @salehkhamiss2449
    @salehkhamiss2449 5 месяцев назад

    we falaa ali mafuruki kafariki mwaka 2020 akiwa na utajiri wa dola million 100 pekee

  • @user-br1fc9xn2u
    @user-br1fc9xn2u 3 месяца назад

    Kwa abood umechemka hata kumi Bora hayumo fanya utafiti vzr Tanzania wengi wamemzid

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 6 месяцев назад +1

    Rostam aziz ana asili ya kihindi?? We jamaa wewe
    Afu ali mfuruki ni marehemu

  • @AginesKihoo-zw3yf
    @AginesKihoo-zw3yf 5 месяцев назад

    Mo ni Simba Simba ni mo hatariii tupu

  • @Marjeby
    @Marjeby Месяц назад

    Nyiee vipi aiseee miwe mnafanya research kabla yakuandaa hizi documents zenu hivi umetoa wapi tarifa kuwa Rostam ni muhindi lakini pia nani kakwambia Abdulaziz Aboud ana miaka 61 hapo maana ni moja tu kuwa hujafanya research yoyote umekurupuka tuu

  • @exaudyjm5170
    @exaudyjm5170 5 месяцев назад

    1 uyo ndio 2 kaka acha zako

  • @user-fo5bg6tv5s
    @user-fo5bg6tv5s 5 месяцев назад

    Waongo asas na abud

  • @angelsulle7177
    @angelsulle7177 5 месяцев назад

    Mungu uniepushe na utajiri wa majini kinachonipa Amani kitokee kwako na ktk mikono ulonipa wewe

    • @davisfidelis4149
      @davisfidelis4149 5 месяцев назад

      Hakika! Matajiri wengi TZ utajiri wao mh!

  • @MuhsinJuma-wo2bg
    @MuhsinJuma-wo2bg Месяц назад

    Ww ni msenge tuu nani alikuambia kuhusu pesa zao hawa matajir

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v 6 месяцев назад

    Mailing au mzima mfuruki

  • @OfficialMsamiboy-zh4tu
    @OfficialMsamiboy-zh4tu 7 месяцев назад +1

    Tajir ni Mungu pekee yake.

  • @erodasterrichard1535
    @erodasterrichard1535 5 месяцев назад

    Mhhh.....mjomba, uongo umezid

  • @hashimmwipallo120
    @hashimmwipallo120 7 месяцев назад

    Uyu boya anakalili

  • @SNIPER_ZOMBIE
    @SNIPER_ZOMBIE 4 месяца назад

    duh acha uongo bro😂

  • @Meky-of9vy
    @Meky-of9vy 2 месяца назад

    Ww ni mshabik wa Simba ulomuweka moo juu na bakhresa ukamshusha chini

  • @dinamossy5149
    @dinamossy5149 6 месяцев назад +1

    Fanya utafiti kabla ya kuandika,usipotoshe watu

  • @mndewaog990
    @mndewaog990 20 дней назад

    We huyo ali mafuruki mbn ashafariki

  • @kassimjakaya6991
    @kassimjakaya6991 4 месяца назад

    Naomba kuliza ally mafuruki Bado yupo hai?

  • @kismarthashvan
    @kismarthashvan 6 месяцев назад +1

    Basi 30 unaakili matakoni😂😂😂

  • @kamamussa6792
    @kamamussa6792 4 месяца назад

    Hahah kwamba Rostam Aziz ni muhindi 😂😂😂😂, halafu Huyo number tatu alifariki siku nyingi, we wa mchongo

  • @user-se2xp8vv4h
    @user-se2xp8vv4h 6 месяцев назад

    E

  • @ramadhaniomary7083
    @ramadhaniomary7083 6 месяцев назад

    Kama mnajua tuambieni nyinyi basi jamaa anatupa takwimu wengine mnasema muongo

    • @hamzamfyagidzi6344
      @hamzamfyagidzi6344 2 месяца назад

      Et utajiri wa mo trion4 cash
      Sasa wewe huoni kama anakwambia
      Usiku wakati jua lina waka
      Amiliki trion5 cash
      Amekuwa banck

  • @NadeemKhan-zo8dc
    @NadeemKhan-zo8dc 7 месяцев назад

    Msenge kwli muongo

  • @user-ok9ls1qs7x
    @user-ok9ls1qs7x 5 месяцев назад

    Moo bakhalesa amuwezi musitudanganye

  • @hamadhamis9763
    @hamadhamis9763 7 месяцев назад +1

    ivi we jamaa unaakili kweli

    • @salehkhamiss2449
      @salehkhamiss2449 5 месяцев назад

      uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂

    • @salehkhamiss2449
      @salehkhamiss2449 5 месяцев назад

      uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂

    • @salehkhamiss2449
      @salehkhamiss2449 5 месяцев назад

      uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂

    • @salehkhamiss2449
      @salehkhamiss2449 5 месяцев назад

      uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂

    • @salehkhamiss2449
      @salehkhamiss2449 5 месяцев назад

      uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂

  • @Jumapili-ws5em
    @Jumapili-ws5em Месяц назад

    Acha uongo wa kitapeli mo azidi backilesa acha zako

  • @user-du1ls3zf4s
    @user-du1ls3zf4s 5 месяцев назад

    Kwendraaaaa acha kutudanganya ww

  • @kassimjakaya6991
    @kassimjakaya6991 4 месяца назад

    Achane uongo

  • @user-ls6bd6ft4v
    @user-ls6bd6ft4v 5 месяцев назад

    Ali mufuruki alifariki miaka kadhaa iliyopita!..

  • @user-ce8qf3nc3s
    @user-ce8qf3nc3s 6 месяцев назад

    Acha uongo ww izo takeimu za uongo moo pesa za mtoto wakilinton nusu ya pesa ya chensiar chriton ww hujui lolotr

  • @masoudnzowa4608
    @masoudnzowa4608 4 месяца назад

    Sio kweli.. Rostam ni Tajiri kuliko unavyohisi then asili yake ni iran na sio India

  • @user-vy8tb2hq9w
    @user-vy8tb2hq9w 6 месяцев назад

    Siokweri wengine umechapia

  • @user-th5ji7wh5q
    @user-th5ji7wh5q 6 месяцев назад

    Oya acha uwongo mo anamzidi baresa

  • @RichardKatani
    @RichardKatani 3 месяца назад

    Ali Mfuruki alishafariki nani anamilki makampuni yake?

  • @WilsonLuvinga
    @WilsonLuvinga 2 месяца назад

    Tupate kuona malizake

  • @majaliwamajaliwa4407
    @majaliwamajaliwa4407 7 месяцев назад

    We mjingaa kweli

  • @user-lw8uk6xw2h
    @user-lw8uk6xw2h Месяц назад

    et huyu ni ngozi nyeusi mavi yako

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk 6 месяцев назад

    Jinga xna.

  • @mussamgonola3983
    @mussamgonola3983 7 месяцев назад

    Kweli jamaa ni Muongo ros

  • @user-yw3qh6qj8g
    @user-yw3qh6qj8g 3 месяца назад

    Muongo

  • @jumaally8387
    @jumaally8387 6 месяцев назад

    We jamaa acha usenge basi,sasa ndio uongo gani huu!?

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 5 месяцев назад

      Hao ndio matajiri hata ukiwabadilisha badilisha utakuta ni haohao.

  • @ChescoMsigwa
    @ChescoMsigwa 21 день назад

    Mm hamjaniweka iyo takwimu ni fake

  • @davisfidelis4149
    @davisfidelis4149 5 месяцев назад

    Mh! Chanzo cha taarifa? Manake hadi kucululate utajiri wa mtu in monetary terms ni kazi aisee,na sidhani kama tushafika huko!

  • @MuuYascohy-oc7os
    @MuuYascohy-oc7os 7 месяцев назад +2

    We msenge acha kupotosha watu Mafuruki alishafariki,alaf et Abood anagar 30 we umezaliwa jana ?? Abood anagar zaid ya 100

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 7 месяцев назад

      Hata mm nimeshangaa aboud tangu miaka ya 90 ana basi 30 tu huyu fala kweli

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 7 месяцев назад

      Sio hayo tu pia ana malori kibao

  • @qariuzzamaantanzania7074
    @qariuzzamaantanzania7074 Месяц назад

    Taarifa nyingi c kamilifu.....

  • @user-rh2ul6hb8i
    @user-rh2ul6hb8i 6 месяцев назад +1

    Acha uongo. Mbwa wewe

  • @samsonwaanda7568
    @samsonwaanda7568 6 месяцев назад

    Mfuruki mbona alishatangulia mbele ya haki

  • @shabanisaid3972
    @shabanisaid3972 6 месяцев назад

    wewe ni muongo sana eti bakheresa anautajiri wa usd1400 amekuwa namba mbili na mo deuji anatajiri wa usd 1300 amekuwa namba 1 moja wewe ni kivuluge kweli naona unapigwa mbata