Acheni wivu bhna uyu dada mzuri mbona alaf kama ni mzuri ni mzuri tu filter haiwez kukubadilisha kitu kama ni sura yake ipo na uziri bdo upo ko kama mtu ni mrembo utabaki kuwa mzuri tu hata utumie filter ☺️
Kweli dada huyu ni murembo sana. Namupenda💟🇨🇩. Nilikuwa na mupenzi wangu Rehema, "munyakyusa" mwaka 1984, pale Dar-Es-Salam. Alikuwa anatumika ku waziri ya mambo ya dani. Napenda sana wa dada wa Tanzanie. Wenu kutoka Congo-Kinshasa🙏🇨🇩💟
Watu mnasem mbay kwani amjua tiktok watu wengi wana tumia filter jaman 😂😂😂😂😂 c bora dad kuna wale wegin tiktok weupeee sas kutan nao kam wamepigwa na 💣 kule wapo softy njo uwaon sura michunusi kam yote pamoj na kutumia filter dad wawatu anahuzuri wake
Vp apo mbna filter haija take place😂😂 ...!! Anae muhoj ni bonge la black beauty 😍😍...!! Ila girls muda wanakuag wanaji selfie na filter ndio wanafkiriaga wako hivo 😂😂...!!
Kama unamkubali dada huyu Gonga like hapa
Kuna watu mna makasiriko jamani huyu dada ni mzuri sana
Mno
Acheni wivu bhna uyu dada mzuri mbona alaf kama ni mzuri ni mzuri tu filter haiwez kukubadilisha kitu kama ni sura yake ipo na uziri bdo upo ko kama mtu ni mrembo utabaki kuwa mzuri tu hata utumie filter ☺️
Iv unajua mtu mzur wewe
Nimzuri mbona sote tunatumia filter lakin hakuna mtu mbaya 😢😊😊😊
Manzi frani hustler sana tangia kitambo na yuko proud kuwa yeye.
Kweli dada huyu ni murembo sana. Namupenda💟🇨🇩. Nilikuwa na mupenzi wangu Rehema, "munyakyusa" mwaka 1984, pale Dar-Es-Salam. Alikuwa anatumika ku waziri ya mambo ya dani. Napenda sana wa dada wa Tanzanie. Wenu kutoka Congo-Kinshasa🙏🇨🇩💟
Nice dear
Mtangazaji yumo
Tunashkurr
Dada mtangazaji nakupenda maashalla unajielewa
maashallah ni karembo
Watu mnasem mbay kwani amjua tiktok watu wengi wana tumia filter jaman 😂😂😂😂😂 c bora dad kuna wale wegin tiktok weupeee sas kutan nao kam wamepigwa na 💣 kule wapo softy njo uwaon sura michunusi kam yote pamoj na kutumia filter dad wawatu anahuzuri wake
Ngj nipite tu nikalale mbn yupo tofauti n kule TikTok daaah hya enewey we mzr😂😂😂😂😂
Nampenda uyu sister 🥰😘♥️♥️
Cream mbaya jamanini
Vp apo mbna filter haija take place😂😂 ...!! Anae muhoj ni bonge la black beauty 😍😍...!! Ila girls muda wanakuag wanaji selfie na filter ndio wanafkiriaga wako hivo 😂😂...!!
Mtangazaji you have nice voice 👍
dah tiktok mbaya ,,huyu dem huwa namuona mzuri kumbe kawaida Tu 🤔🤔🤣
😂😂😂😂😂 pole
Jaman
Kweri 😂😂😂
😂😂😂😂😂 kwani hujui😅😅😅😅
Usiamini😂kila unacho kiona kwenye social media 😂😂😂
mzuri sanaa
Murembo kwakweli🥰🥰
Mtangazaji nakukubaligi huwa unaakili Sana mshkaj
Kumbe mndali mwenzangu ♥️♥️
Nimzuri sna sna ❤❤❤❤😊😊😊
Ameongea fact hawajubali kwamba hawana kitu love u more
Ikiwa wanasema uko Nigeriane, mimi naona kama upo na damu ya Congo, uko Kasaï, Mbuji-Mayi ao Kananga.
Mzuri dada wa watu Masikini comments za binAdamu nyei
Na soma comment
Leo nimekuona vizur sasa unafanana na dada angu kwambali woow nakupenda
Kusoma sio kufika mbali, na mwanamke kusimama sio lazima kutumia pesa za mwanaume
Hahaha shikamoo filters
Sema tu nampenda
Filter shikamoo mbn kakoma hvy🤣🤣🤣
Leyna safi sana
first pliolite😂😂😂
Daaaah! Mama msichana macho mabaya hata sitamani kumuona tena
So beautiful 😍😍😍😍😍💗💓
wanaosema huyu dada mbaya muuwawe😅😅
Aleta mdogo wangu kabisa huyu alikuwa na weusi mzr wa kuteleza kajiaribu na macream
😂😂😂
Jaman kumbe wifi yangu kweli kabisa ulichosema
Mzuri sana
Mtangazaji unaendelea ku improve but USIMLAZIMISHE MTU km hataki kujibu swali ck ukifanya hivi kwa Chidibeenz atakushushua vibayaa
Wandaliiii hoyeeee
Sanaaa😀
Kutoboa pua ni jambo la kawaida nahili limeanzwa na wahenga no asilimia ya dunia wengine wanatoboa kwa mwanamke huu ndo urembo kati ya urembo
Mbengo, napenda sana ikiojiwa na uyu mdada anajuwa sana kuoji
Sanaaah
Mimtangazaji nakupenda sana naomba unisikilize kilio changu
definition of beauty
Kumbe kabaya hivi hata bora Mimi🤣🤣🤣🤣🤣 shikamo tiktok
Kweli kabisa smart zinatubeba
Yani kumbe kawaida🤣🤣😹😂
Mwalamusha mndali mwenzangu
Jamani jamani mm kule tik tok cjawahi muona km amevimba vimba macho ila ata hivyo ni mzr kias chake
🤣🤣🤣🤣🤣
Na mmi nitaanza tktk
Izi simu we acha2 niko pale 🤣
Hahahhahahaha Jamani
Mbona mzuri tu jamani
Nakupenda Sana dadangu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwahyo kama unampenda unataka ulipwee 🤔🤔🤔🤔🤔
Macho yamemvimba kumbe 🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️
🤣🤣🤣ww
🤣🤣🤣
😂😂😂
Mbeya hiyoooo unawajua vizuri?????
Your so cute
Jambo alleitha, umenena swahili nzuri kwa hiyo interview ya kwako, unawaza nini kwa swali ya Masemi ethi urembo siyo utamu?
jaman Hy dada mzur san
Mbona mzuri tu
Hahahaha ukimuona kwenye tik Tok unaweza kataaa km siye huyu
Mbaya
Dah TikTok
❤❤
Mmh mbona kama watu wawili tofauti,ila makeup jamani
Filter simchezo
ila watu Wana wivu nyieee😁😁
Weeeh anakaa hivio??😞🙄😆
Please naomba Namba Yako ya simu nataka tufanye business
Jamani punguzeni filter
Kumbe ndio huyuu 🙄🤔😒🏃🏽♀️, mtangazaji niletee Princess fetrisha maarufu Sana tik tok plzz
Jomon
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣
Kadanga Sana huyo nan?atamuowa kadanga mbeya kahamia DSM ndo maana awez kutaja mpenz Hana mmoja huyo😏
Mwalamsha mama
Panandi
Mtangazaji anajielewa ila huyo mrembo analeta story za la 7 B
Nakuped saan
Mtu mzima uso umeparama 😆
Mtangazaji vua kofia unakera bwana au auna nywele katikati ya kichwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣yani mweye munamambo umeona nyele anazo😀😀😀😀😀😀
Mbayaaaaaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kaa wewe😂😂
Hater
Zaa wako malaika tumuone chefyu ya mbuzi wewe 😏
na itaji namba zake uyo dada
Filter shikamkooooo Y
Usisahau kutofautisha mndali na mnyakyusa wandali mnasifa zetenu
26 ni muongo yuko juu 🤣🤣🤣🤣
Mzuri Ila aache kujichubua🤣
Hajichubui bhana😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Wandar niwalimbo sie
Kutoboa pua ni kawaida 2 huku gulf warab watoboa bila shaka na swala tano
Warabu weachatu ilakuswali ana siyonjokwingia.pepuni matendoyakotu
Ukipo mwana wew
Mbeya oyeeeeeeee
Mbona nilisikia amefariki na yule George kwa ajali ya pikipiki walisema walikuwa wapenzi
Hata mm namfananisha sielewi na huko tiktok walisema amefariki
@@christaoman8890 Ndio lkn yule George amefariki kweli niliona walipost msiba wake
Sio huyu yule anaitwa bebylito
@@sharifabahar9905 lkn wamefanana
Sio huyu yule Anaitwa Emmy, ni mtu wa Arusha
Tiktok Sura nzuri apa ni tofauti
Mmmh..muongo akuna tofaut..
kumbe ndio yupo iv tiktok mzur 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
🤣🤣🤣 mi nakuja mzee ila tiktok anaonekana mzur
Wanajitenga bhana ongea tu ukweli
Mbona tikitok nahapa tofauti????
huo mkorogooo ssa😂😂😂😂
Yaani inamaana amfaham SIM zinapendezesha
Hahahahahah watakua hawajui 😝
Huyu dada kumbe ni mkubwa
Wandari wanauza nyungo, mawe yakusugulia miguu, vyuma vyakuchomea chapati na mandazi mafagio flani hivii👉👉ongezea vingine ujuavyo
Mzuri tu
Tena sana
Mbn mzuri tu jmn acheni wivu bhna😒😒
Bora uyu dada mzurii sana kuliko faraja ukimuona live utacheka mpaka ufeee
🥰🥰🥰
Cute
Ni mzuli ndio Ila co Kama ninavyomuonaga
Ukiona mtu aweki mahusiano wazi ujue ni mme wa mtu
❤️❤️❤️❤️
Mndari mweupe 😳asili ya mndari ni weusii tuition labda ni mlyamba tunawajua wandari na rangi zao tujuane
Kajichubua huyu msichana ni mweusi tii namfahamu tangu mtoto mama yake alikua anauza genge pale segerea mwisho
@@shanyabdul2386 😂😂😂😂😂tulia bas watu wasisikiee
Sasa mimi nawauliza kwenye TikTok mbona anaonekana nimzuri mno na niwakawayida tu😀😀
Edit na Snapchat 😜😂😂😂
Kwani hujui hizi cm zilivo?
Macho kuvimba
Hizi cimu ww zaiza fanya ukajiona mbovu kumbe mzuri😂😂😂😂
😂😂😂😂kumbe sura ipo iv tofaut na tiktok 😆😆
Ni mzur ila... ana ng'eng'emuka sna
😂😂😂😂😂
filter 😁
Jmn hiz cm hiz mie nilikuw najion mbya kumb mmh nijiproud
Sem axnt filitter