EXCLUSIVE NA MREMBO ANAE TIKISA TIKTOK, YAJUE MAISHA YAKE ALLEYTA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2023

Комментарии • 204

  • @tanzaniaprank2623
    @tanzaniaprank2623 Год назад +83

    Kama unamkubali dada huyu Gonga like hapa

  • @shafiamustafa7856
    @shafiamustafa7856 Год назад +15

    Kuna watu mna makasiriko jamani huyu dada ni mzuri sana

  • @queendidah8188
    @queendidah8188 Год назад +16

    Acheni wivu bhna uyu dada mzuri mbona alaf kama ni mzuri ni mzuri tu filter haiwez kukubadilisha kitu kama ni sura yake ipo na uziri bdo upo ko kama mtu ni mrembo utabaki kuwa mzuri tu hata utumie filter ☺️

  • @alphamenson3784
    @alphamenson3784 Год назад +2

    Manzi frani hustler sana tangia kitambo na yuko proud kuwa yeye.

  • @alfredkasololo5242
    @alfredkasololo5242 Год назад +10

    Kweli dada huyu ni murembo sana. Namupenda💟🇨🇩. Nilikuwa na mupenzi wangu Rehema, "munyakyusa" mwaka 1984, pale Dar-Es-Salam. Alikuwa anatumika ku waziri ya mambo ya dani. Napenda sana wa dada wa Tanzanie. Wenu kutoka Congo-Kinshasa🙏🇨🇩💟

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 Год назад +4

    Dada mtangazaji nakupenda maashalla unajielewa

  • @maryamhaji9655
    @maryamhaji9655 Год назад +3

    maashallah ni karembo

  • @aureliana569
    @aureliana569 Год назад +3

    Watu mnasem mbay kwani amjua tiktok watu wengi wana tumia filter jaman 😂😂😂😂😂 c bora dad kuna wale wegin tiktok weupeee sas kutan nao kam wamepigwa na 💣 kule wapo softy njo uwaon sura michunusi kam yote pamoj na kutumia filter dad wawatu anahuzuri wake

  • @sarahjohn6925
    @sarahjohn6925 Год назад +2

    Ngj nipite tu nikalale mbn yupo tofauti n kule TikTok daaah hya enewey we mzr😂😂😂😂😂

  • @fattybeniozo488
    @fattybeniozo488 Год назад +2

    Nampenda uyu sister 🥰😘♥️♥️

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 Год назад +5

    Cream mbaya jamanini

  • @yeronimohadrian520
    @yeronimohadrian520 Год назад +2

    Vp apo mbna filter haija take place😂😂 ...!! Anae muhoj ni bonge la black beauty 😍😍...!! Ila girls muda wanakuag wanaji selfie na filter ndio wanafkiriaga wako hivo 😂😂...!!

  • @benjaminkangolo2017
    @benjaminkangolo2017 Год назад +6

    Mtangazaji you have nice voice 👍

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 Год назад +72

    dah tiktok mbaya ,,huyu dem huwa namuona mzuri kumbe kawaida Tu 🤔🤔🤣

  • @butoyisonga900
    @butoyisonga900 Год назад +5

    mzuri sanaa

  • @mukeshimanarashide4714
    @mukeshimanarashide4714 Год назад +2

    Murembo kwakweli🥰🥰

  • @zuberiismail2972
    @zuberiismail2972 Год назад +5

    Mtangazaji nakukubaligi huwa unaakili Sana mshkaj

  • @filidamshani6411
    @filidamshani6411 Год назад +1

    Kumbe mndali mwenzangu ♥️♥️

  • @ntakirutimanasidra1637
    @ntakirutimanasidra1637 Год назад +2

    Nimzuri sna sna ❤❤❤❤😊😊😊

  • @mwakamlindwa366
    @mwakamlindwa366 Год назад

    Ameongea fact hawajubali kwamba hawana kitu love u more

  • @alfredkasololo5242
    @alfredkasololo5242 Год назад +2

    Ikiwa wanasema uko Nigeriane, mimi naona kama upo na damu ya Congo, uko Kasaï, Mbuji-Mayi ao Kananga.

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +6

    Mzuri dada wa watu Masikini comments za binAdamu nyei

  • @user-kl8ct5hr2z
    @user-kl8ct5hr2z Год назад +2

    Na soma comment

  • @happiness3835
    @happiness3835 Год назад +2

    Leo nimekuona vizur sasa unafanana na dada angu kwambali woow nakupenda

  • @khadijasarim4935
    @khadijasarim4935 Год назад +3

    Kusoma sio kufika mbali, na mwanamke kusimama sio lazima kutumia pesa za mwanaume

  • @floramarinyo3517
    @floramarinyo3517 Год назад +8

    Hahaha shikamoo filters

  • @hellenbenny8913
    @hellenbenny8913 Год назад

    Sema tu nampenda

  • @abdulihemedhemed6964
    @abdulihemedhemed6964 Год назад +3

    Filter shikamoo mbn kakoma hvy🤣🤣🤣

  • @jorgecesilio8862
    @jorgecesilio8862 Год назад

    Leyna safi sana

  • @peterdavid4230
    @peterdavid4230 Год назад +4

    first pliolite😂😂😂

  • @daudiamisi7210
    @daudiamisi7210 Год назад

    Daaaah! Mama msichana macho mabaya hata sitamani kumuona tena

  • @aminahusseinafrica
    @aminahusseinafrica Год назад +1

    So beautiful 😍😍😍😍😍💗💓

  • @vivianwailod629
    @vivianwailod629 Год назад

    wanaosema huyu dada mbaya muuwawe😅😅

  • @gervasvilindila3619
    @gervasvilindila3619 Год назад +1

    Aleta mdogo wangu kabisa huyu alikuwa na weusi mzr wa kuteleza kajiaribu na macream

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu Год назад

    Jaman kumbe wifi yangu kweli kabisa ulichosema

  • @AsabaRave
    @AsabaRave Год назад +4

    Mzuri sana

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Год назад

    Mtangazaji unaendelea ku improve but USIMLAZIMISHE MTU km hataki kujibu swali ck ukifanya hivi kwa Chidibeenz atakushushua vibayaa

  • @sabratally7688
    @sabratally7688 Год назад +1

    Wandaliiii hoyeeee

  • @hawasaid7151
    @hawasaid7151 Год назад

    Sanaaa😀

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 Год назад +1

    Kutoboa pua ni jambo la kawaida nahili limeanzwa na wahenga no asilimia ya dunia wengine wanatoboa kwa mwanamke huu ndo urembo kati ya urembo

  • @jorgecesilio8862
    @jorgecesilio8862 Год назад +1

    Mbengo, napenda sana ikiojiwa na uyu mdada anajuwa sana kuoji

  • @mussanangumi1734
    @mussanangumi1734 Год назад

    Mimtangazaji nakupenda sana naomba unisikilize kilio changu

  • @kuliba2609
    @kuliba2609 Год назад +5

    definition of beauty

  • @felistertsere2011
    @felistertsere2011 Год назад +4

    Kumbe kabaya hivi hata bora Mimi🤣🤣🤣🤣🤣 shikamo tiktok

  • @deboramartin8111
    @deboramartin8111 Год назад

    Mwalamusha mndali mwenzangu

  • @mwanapiliali8504
    @mwanapiliali8504 Год назад +1

    Jamani jamani mm kule tik tok cjawahi muona km amevimba vimba macho ila ata hivyo ni mzr kias chake

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +1

    Na mmi nitaanza tktk

  • @s2kizzySnipers11
    @s2kizzySnipers11 Год назад +9

    Izi simu we acha2 niko pale 🤣

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 Год назад +1

    Nakupenda Sana dadangu

    • @anniehance8620
      @anniehance8620 Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwahyo kama unampenda unataka ulipwee 🤔🤔🤔🤔🤔

  • @reilaally5481
    @reilaally5481 Год назад +3

    Macho yamemvimba kumbe 🤣🤣🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @imeldangoda2319
    @imeldangoda2319 Год назад

    Mbeya hiyoooo unawajua vizuri?????

  • @fadhilafadhila9118
    @fadhilafadhila9118 Год назад

    Your so cute

  • @rogerpaluku5728
    @rogerpaluku5728 10 месяцев назад

    Jambo alleitha, umenena swahili nzuri kwa hiyo interview ya kwako, unawaza nini kwa swali ya Masemi ethi urembo siyo utamu?

  • @swaumusharafi3974
    @swaumusharafi3974 Год назад

    jaman Hy dada mzur san

  • @Kg_kasco
    @Kg_kasco Год назад

    Mbona mzuri tu

  • @godfreyathumani9912
    @godfreyathumani9912 Год назад +2

    Hahahaha ukimuona kwenye tik Tok unaweza kataaa km siye huyu

  • @safiyamajidi5388
    @safiyamajidi5388 Год назад

    Dah TikTok

  • @doricenyoni4232
    @doricenyoni4232 Год назад +1

    ❤❤

  • @tunsumemwaki8625
    @tunsumemwaki8625 Год назад +2

    Mmh mbona kama watu wawili tofauti,ila makeup jamani

  • @rosekiravu8587
    @rosekiravu8587 Год назад

    ila watu Wana wivu nyieee😁😁

  • @bukeyenezafreyard3474
    @bukeyenezafreyard3474 Год назад +1

    Weeeh anakaa hivio??😞🙄😆

  • @soumiatanzania8093
    @soumiatanzania8093 Год назад

    Please naomba Namba Yako ya simu nataka tufanye business

  • @rahmamwabora8877
    @rahmamwabora8877 Год назад +1

    Jamani punguzeni filter

  • @user-sq7pz9ex5g
    @user-sq7pz9ex5g Год назад +1

    Kumbe ndio huyuu 🙄🤔😒🏃🏽‍♀️, mtangazaji niletee Princess fetrisha maarufu Sana tik tok plzz

  • @gervasvilindila3619
    @gervasvilindila3619 Год назад

    Kadanga Sana huyo nan?atamuowa kadanga mbeya kahamia DSM ndo maana awez kutaja mpenz Hana mmoja huyo😏

  • @sabratally7688
    @sabratally7688 Год назад +1

    Mwalamsha mama

  • @priscamushi7966
    @priscamushi7966 Год назад

    Mtangazaji anajielewa ila huyo mrembo analeta story za la 7 B

  • @fatmaamissi7251
    @fatmaamissi7251 Год назад

    Nakuped saan

  • @nanamohamed6525
    @nanamohamed6525 Год назад

    Mtu mzima uso umeparama 😆

  • @neemamzande8547
    @neemamzande8547 Год назад +1

    Mtangazaji vua kofia unakera bwana au auna nywele katikati ya kichwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @mukeshimanarashide4714
      @mukeshimanarashide4714 Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣yani mweye munamambo umeona nyele anazo😀😀😀😀😀😀

  • @s2kizzySnipers11
    @s2kizzySnipers11 Год назад +9

    Mbayaaaaaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @woo_20
    @woo_20 Год назад

    na itaji namba zake uyo dada

  • @sistermery4581
    @sistermery4581 Год назад

    Filter shikamkooooo Y

  • @shakirashakira5556
    @shakirashakira5556 Год назад

    Usisahau kutofautisha mndali na mnyakyusa wandali mnasifa zetenu

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Год назад

    26 ni muongo yuko juu 🤣🤣🤣🤣

  • @alolamuya1583
    @alolamuya1583 Год назад +3

    Mzuri Ila aache kujichubua🤣

  • @linahpaul-er5th
    @linahpaul-er5th Год назад

    Wandar niwalimbo sie

  • @rehemaalliy9786
    @rehemaalliy9786 Год назад +1

    Kutoboa pua ni kawaida 2 huku gulf warab watoboa bila shaka na swala tano

  • @lazandasweet9308
    @lazandasweet9308 Год назад +1

    Ukipo mwana wew

  • @mamalamama7010
    @mamalamama7010 Год назад +2

    Mbona nilisikia amefariki na yule George kwa ajali ya pikipiki walisema walikuwa wapenzi

    • @christaoman8890
      @christaoman8890 Год назад

      Hata mm namfananisha sielewi na huko tiktok walisema amefariki

    • @mamalamama7010
      @mamalamama7010 Год назад

      @@christaoman8890 Ndio lkn yule George amefariki kweli niliona walipost msiba wake

    • @sharifabahar9905
      @sharifabahar9905 Год назад +1

      Sio huyu yule anaitwa bebylito

    • @mamalamama7010
      @mamalamama7010 Год назад

      @@sharifabahar9905 lkn wamefanana

    • @Happiness.13
      @Happiness.13 Год назад

      Sio huyu yule Anaitwa Emmy, ni mtu wa Arusha

  • @alimarezi3613
    @alimarezi3613 Год назад +3

    Tiktok Sura nzuri apa ni tofauti

  • @praisesteven7774
    @praisesteven7774 Год назад +3

    kumbe ndio yupo iv tiktok mzur 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆

  • @hellenbenny8913
    @hellenbenny8913 Год назад +2

    Wanajitenga bhana ongea tu ukweli

  • @shelomaday4633
    @shelomaday4633 Год назад +3

    Mbona tikitok nahapa tofauti????

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj8640 Год назад +1

    Yaani inamaana amfaham SIM zinapendezesha

  • @catherinemichael578
    @catherinemichael578 Год назад

    Huyu dada kumbe ni mkubwa

  • @pracxedismathias5555
    @pracxedismathias5555 Год назад

    Wandari wanauza nyungo, mawe yakusugulia miguu, vyuma vyakuchomea chapati na mandazi mafagio flani hivii👉👉ongezea vingine ujuavyo

  • @benjaminkangolo2017
    @benjaminkangolo2017 Год назад +1

    Mzuri tu

  • @magrethdalema9284
    @magrethdalema9284 Год назад +1

    Mbn mzuri tu jmn acheni wivu bhna😒😒

    • @latifsaid4139
      @latifsaid4139 Год назад

      Bora uyu dada mzurii sana kuliko faraja ukimuona live utacheka mpaka ufeee

  • @merrinaedward2220
    @merrinaedward2220 Год назад +1

    🥰🥰🥰

  • @emmanuelsiwale155
    @emmanuelsiwale155 Год назад +2

    Ukiona mtu aweki mahusiano wazi ujue ni mme wa mtu

  • @LailaLaila-kg2qd
    @LailaLaila-kg2qd Год назад +1

    ❤️❤️❤️❤️

  • @mwanjinzara8009
    @mwanjinzara8009 Год назад +2

    Mndari mweupe 😳asili ya mndari ni weusii tuition labda ni mlyamba tunawajua wandari na rangi zao tujuane

    • @shanyabdul2386
      @shanyabdul2386 Год назад +1

      Kajichubua huyu msichana ni mweusi tii namfahamu tangu mtoto mama yake alikua anauza genge pale segerea mwisho

    • @rehemaabdullah7606
      @rehemaabdullah7606 Год назад

      @@shanyabdul2386 😂😂😂😂😂tulia bas watu wasisikiee

  • @leilaibrahim5380
    @leilaibrahim5380 Год назад +3

    Sasa mimi nawauliza kwenye TikTok mbona anaonekana nimzuri mno na niwakawayida tu😀😀

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Год назад +1

    Macho kuvimba

  • @perisbanya3794
    @perisbanya3794 Год назад +1

    Hizi cimu ww zaiza fanya ukajiona mbovu kumbe mzuri😂😂😂😂

    • @praisesteven7774
      @praisesteven7774 Год назад

      😂😂😂😂kumbe sura ipo iv tofaut na tiktok 😆😆

  • @mariaalmack3686
    @mariaalmack3686 Год назад

    Ni mzur ila... ana ng'eng'emuka sna

  • @barakaacrah5266
    @barakaacrah5266 Год назад

    filter 😁

  • @sabraslick1181
    @sabraslick1181 Год назад

    Jmn hiz cm hiz mie nilikuw najion mbya kumb mmh nijiproud

  • @sekundarajab-2434
    @sekundarajab-2434 Год назад

    Sem axnt filitter