Kuhsu siasa wasanii watanzania machawa wote niwachumia tumboni ndo maana makonda walikua wanamuabudu wanampost kilasiku make hawajielewi wananidhamu ya woga,Tundulisu alipigwa risasi hakuna msanii alie post very sana wasanii wabongo wake kwa waume wamekaa kimalaya malaya very stupid
Ni sawa sasa msifananishe na Diamond platnamz bas mfananishe na level zake ambao mnawajua.
Harmonize âme beba Tanzania kwa sasa mpaka kwetu Congo ana uwa sana❤
Acha Shobo Mzaire !!! M23 malizana nayo kwanza
Imagine bila diamond hii interview tusingeiona, hili zee lazima limsafirie ili liwe relevant
Ostaz mbua
KUBWA JINGA HILOOOOOOOO😂😂😂😂😂😂😂
mjinga wakwanza Tanzania nihuyo jama mtu mnzima hovyo
Juma ni akili nyingi msema kweli
Hii ndo nn sasa jamani uwiiii
😂😂😂😂😂jibu acha kuzengua 😂😂😂😂😂
Huyu jama natani ampte kicha
Ivi wewe dada mbona unapoteza mda wako kuhoji watu wanafiki namna hiyo
Ki vipi wewe uli taka useme nini😂
Huyu mzee anaongea pumba sana,subiri dudu baya konki akujibu na chuki zako
Watu wengine hakili hamna duuh
Ww ndio huna akili
Tukirudi kwako wewe Baba nahiyo pua yako bila kumuongelea chibu hupumui haibu unamuandama mtoto mdogo huoni haibu?hapo ndo unaniudhi kabisaa
Kuhsu siasa wasanii watanzania machawa wote niwachumia tumboni ndo maana makonda walikua wanamuabudu wanampost kilasiku make hawajielewi wananidhamu ya woga,Tundulisu alipigwa risasi hakuna msanii alie post very sana wasanii wabongo wake kwa waume wamekaa kimalaya malaya very stupid
Hatuko kwenye Siasa !! Raia Tundulisu Tena!! Jiangalie Raia