Unafanya Diet ili upungue? Unajitesa bure na unakosea unapofanya hivi! Msikilize Mtaalam wa Lishe
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Sky kwa kweli média yako inajua kitu ambacho jami inakihitaji. Tunafaidika na mengi na kujifunza vingi kupitia sns ktk nyanja nyingi tofauti: health, sports, entertainment, tecnologia, politics, general knowledge, etc...
Hakika
Huyo Muhindi anaongea sana japo anatoa somo zuri ila anambana sana mwba haongei 🤣🤣🤣
Its true she dont allow him to talk she dominates the whole interview
Sas n mzaramo lazima aongee
Nafurahi napooa vijana tuliotoka hood moja tunapiga hatua hongera ISSA MBAGA kwa kutoa elimu now.
Nutritionist Fatema anaweza pia kufanya stand up Comedy 😂😂😂
Kwa wanaofanya Diet😂😂😂
Ha ha ha mwenyewe nimeliona hilo 😂
8
Nimempenda muuguzi makini very humble
Dk Fatma ana points ila ampe nafasi na mwenzie ama la basi wapangiwe presentation zao kwa muda tofauti kila mmoja awe na nafasi
Ila big up kwa maarifa haya
Dada anaongea sna Jmn taratbu na mpe mtu uhuru wa kuongea sio kuingilia mtu akiongea mh
Asantenii jmn mbarikiwe ngoja nianze mfumo huu kibonge mie 😂😂😂
Huyu dada anavitu Virginia kusaidia jamii na huyo Jamaa nae yuko vizuri
Muuguzi makini yupo makini sana.very composed and to the point...
ATTA NI UNGA WA NGANO USIO ISIYOKOBOLEWA
Jamani mbona mnatuchanganya sana sasa tumuerewe nani naninani mkweli kuusu diet?
Muuguzi makini
Dr wa kihindi ,anachekesha,yeye ndio kila ktu anadakia
😂😂
HYO FATUMA HYO MZALAMO ILA YUKO VIZURI HAHAHAH
Ata ni unga wa ngano fresh kutoka makete unaweza nunua ngano ukasaga unga wako mwenyewe kuliko wa madukani
Yes...hiyo ni bora zaidi
Yaani Wanalishe na Wauguzi hawa wamekuwa wakweli.
"Sexual Dysfunction" au "Erection Dysfunction" au "Premature Ejaculation" sio kitaalamu madaktari wangu, ni kwa Kiingereza.
Shukurani zangu kwako kwa tv yako vipindi vyote viko kwa mfano dj sma,mama tell Yule Dada mhaya ninamwelewa Sana
wa kwanza ku comment 😂🤞🏼
Umeelew somo au ndo umekimbilia ku comment
#SnS Never disappoint 🧠🔥
Interesting conversation. Big up bro Sky
dada unaongea sana muachie mwenzio nafasi
Sky mwenyewe ndio kampa nafasi kubwa ya maswali kuliko mwanaume maana yy ndio anawauliza
Aki huyu kaka ni mtulivu.Yaani amekuwa interrupted na huyu dada mara nyingi lakini haonyeshi makasiriko au kupoteza mtiririko wa yale anayotaka kusema.
Kesha sema ye mzaramo ASA unataka aweje jmne lkn Yuko vzr Sana MashallAh
Watu makini 👏👏
Ndo naangalia leo kha mmemchamba dda wawatu jpo sijaona kosa lake kikubwa anajaribu kumkumbusha mwenzie anaposahau
Ngombe ipo 😆 😂 😆
Very interesting wataalamu wote wameeleza vizuri sana Congratulations Asanteni kwa kutuelimisha
Dah aise wako vzr sana nimewasikiliza hatua kwa hatua ila jamaa nimemkubali katoa helimu yakueleweka sana SNS tuko pamoja mnajitambua na mnatutambua nini familia yenu kitu inataka
SNS kisima cha maarifa
Ahsante sana Fatma
Well presented. Thanks Doctors
Ngombe kienyeji ipo mzaramu uyo
Docta Fatma. Nimekuelewa vizuri sana.
Muko vizur sana madockta wetu jamani elimuu nzur sana muliotupa
Part 2??
Hii dada nimeipenda sana eti kumbe imeweka dawa ya kuharisha😅😅😅
Big up kaka issa Allah akuzidishie elimu na akupe ufahamu
Huyo dada😄😄😝
Impressive
Warudi tena wiki ijayo
Safi Sana doctors wetu🙏🏿🇹🇿😊
Sky chicha ipo😂
Safi
MashaAllah
Nimewapenda mno
Watching this from the States as a Kenyan. We need this kind of information and insight expediently. Love how well they treat Kiswahili and share information in the proper context with eloquence and humor.
Dr Fatma unakiherehere mfyuuuu
Ugali nusu watu watatu wanne😂😂 Ila sio wasukuma
Nimewaelewa vrz sn nisaiih sn brother sky
Mm nliishi na mwanaume kwa mda wa miaka 18 alikua sawa kitendo la ndoa ela alikua na tatizo nlikuja nkaligundua lilimfanya pia hakunishikisha uja uzito mda huo wote nlipotoka nje nkaona tofauti na nkashika mimba nkazaa nae alikua yuakojoa mikojo mingi tena ina harufu ambapo sikuona kwa huyu alonipa mimba mikojo kama hiyo labda lasababishwa na nn nalo hilo
Yaani hawa watalaam wote wapo vizuri. Poly clinic kama hela yako haieleweki usijaribu kuhesabu matone ya mvua.
🍒🍒:::::asante 🍒🍒
🍒🍒:::kwaushauri mzuri sana 🍒🍒
wema 😂😂😂
Kiswahili chao nakipenda sana
❤️🙏
MashaAllah zamni cc ilikuwa nurse midwife ni mwanammke tu
Waoooo
Muugunzi makini wakupetu tunzo😢😢 wallh
Nimempenda huyu binti jinsi alivyojieleza
Mzaramo. ng'ombe anaitwa ngombe!!
Fatema juma huyu anaongea kama nn
Nimewapenda na nimewaekewa mungu awalinde awazidishie kila hatua nitawatafuta
Lllllllllll
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍
Safi sana, mko vizuri sana.
Tafadhali naomba namba za simu za wataalamu zetu.
Asanteni sana
Muuguzi nitakucheki mwanang
Ninaomba nisaidie nikutane na Fatima jmn anisaidie yani ninamatatizo mengi kwenye mwili wangu.
Naomba nambaya dr Fatma
Thanks Doctors keep it up
Ragin mmbaga 🔥🔥
Shukrani
Ahsant sana
4 kucoment
Asanten sana 🙏
Rangi ya mtume
Uswahili unaacha kuskiza vitu vya msingi we unawaza mapenzi tu
😀😀😀😀😀 kazi unayo ina maana weye umeona rangi tu
Kweli kila mtu ana vipaumbele vyake aisee🤣
very educative interview🥰🥰 Thank you guys...
I am late to see this video. Dear GOD I really need this . Nataka awe doctor wangu kbsa
Namuelewa sana Muuguzi Makini alinifunza mengi ujauzito wangu wa kwanza
Next time muwe munamzimia Mike uyo Fatima
Mwacheni hamuijui wazaramo walivyo kah. Sikilizeni mada nzuri iyo
😁😁😁
Dada anaongeza matirio sehem ambayo jamaa angepita bila kuyasema dada nimemwelewa sana
Nyie hamjaja kanda ya ziwa mtu anakula kg ya ugali
Tanzania inchi yawajinga inatawaliwa nawa hinde nawa arabe. Wa weusi nimuziki na kiki tu
Sasa cjakuelwa unamanisha nini unavyosema tanzania nchi ya kijinga hapa bado cjakuelwa ebu nipe elimu yako kidogo coz mimi nimetemebea robo ya dunia na nimerudi tanzania nimeona ndo kunanifaa
@@hajjiomary2383 kwanza kuandika hajui utamuelewa anachosema alafu anachuk na waarabu na wahindi kusudio lake
Hana akili uyuu mjinga mmoja uyuu
Nawewe pia ukiwemo
@@goodlucksteven6377 wakati akiumwa anakimbilia uko uko India si ujinga huo banian mbaya lkn kiatu chake dawa