Unafanya Diet ili upungue? Unajitesa bure na unakosea unapofanya hivi! Msikilize Mtaalam wa Lishe

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
    Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Комментарии • 112

  • @strong8534
    @strong8534 Год назад +20

    Sky kwa kweli média yako inajua kitu ambacho jami inakihitaji. Tunafaidika na mengi na kujifunza vingi kupitia sns ktk nyanja nyingi tofauti: health, sports, entertainment, tecnologia, politics, general knowledge, etc...

  • @shanatatrigger6537
    @shanatatrigger6537 Год назад +9

    Huyo Muhindi anaongea sana japo anatoa somo zuri ila anambana sana mwba haongei 🤣🤣🤣

    • @ilhamkhan4361
      @ilhamkhan4361 Год назад +1

      Its true she dont allow him to talk she dominates the whole interview

    • @exclusivetv7918
      @exclusivetv7918 Год назад

      Sas n mzaramo lazima aongee

  • @nsanyarasheeed8693
    @nsanyarasheeed8693 Год назад +9

    Nafurahi napooa vijana tuliotoka hood moja tunapiga hatua hongera ISSA MBAGA kwa kutoa elimu now.

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 Год назад +18

    Nutritionist Fatema anaweza pia kufanya stand up Comedy 😂😂😂
    Kwa wanaofanya Diet😂😂😂

  • @ngwacahnyagwaswa9979
    @ngwacahnyagwaswa9979 Год назад +8

    Nimempenda muuguzi makini very humble

  • @mwajumaamanzi2198
    @mwajumaamanzi2198 Год назад +6

    Dk Fatma ana points ila ampe nafasi na mwenzie ama la basi wapangiwe presentation zao kwa muda tofauti kila mmoja awe na nafasi
    Ila big up kwa maarifa haya

  • @muniramuniraally5357
    @muniramuniraally5357 Год назад +7

    Dada anaongea sna Jmn taratbu na mpe mtu uhuru wa kuongea sio kuingilia mtu akiongea mh

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Год назад +7

    Asantenii jmn mbarikiwe ngoja nianze mfumo huu kibonge mie 😂😂😂

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Год назад +7

    Huyu dada anavitu Virginia kusaidia jamii na huyo Jamaa nae yuko vizuri

  • @ahz6907
    @ahz6907 Год назад +6

    Muuguzi makini yupo makini sana.very composed and to the point...

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 Год назад +5

    ATTA NI UNGA WA NGANO USIO ISIYOKOBOLEWA

  • @maryfides591
    @maryfides591 21 день назад

    Jamani mbona mnatuchanganya sana sasa tumuerewe nani naninani mkweli kuusu diet?

  • @deborajohn7285
    @deborajohn7285 Год назад +6

    Muuguzi makini

  • @biglizer
    @biglizer Год назад +5

    Dr wa kihindi ,anachekesha,yeye ndio kila ktu anadakia

  • @uhaitvnevergiveup9306
    @uhaitvnevergiveup9306 28 дней назад

    HYO FATUMA HYO MZALAMO ILA YUKO VIZURI HAHAHAH

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 Год назад +4

    Ata ni unga wa ngano fresh kutoka makete unaweza nunua ngano ukasaga unga wako mwenyewe kuliko wa madukani

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 Год назад +2

    Yaani Wanalishe na Wauguzi hawa wamekuwa wakweli.
    "Sexual Dysfunction" au "Erection Dysfunction" au "Premature Ejaculation" sio kitaalamu madaktari wangu, ni kwa Kiingereza.

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Год назад +3

    Shukurani zangu kwako kwa tv yako vipindi vyote viko kwa mfano dj sma,mama tell Yule Dada mhaya ninamwelewa Sana

  • @hamsikrasheedi1796
    @hamsikrasheedi1796 Год назад +5

    wa kwanza ku comment 😂🤞🏼

    • @Anayrah7203
      @Anayrah7203 Год назад +2

      Umeelew somo au ndo umekimbilia ku comment

  • @rjb31
    @rjb31 Год назад +5

    #SnS Never disappoint 🧠🔥

  • @strong8534
    @strong8534 Год назад +4

    Interesting conversation. Big up bro Sky

  • @mdumashop7423
    @mdumashop7423 Год назад +6

    dada unaongea sana muachie mwenzio nafasi

    • @pikanaauntzuu1466
      @pikanaauntzuu1466 Год назад +3

      Sky mwenyewe ndio kampa nafasi kubwa ya maswali kuliko mwanaume maana yy ndio anawauliza

    • @mykidsfitnessuk
      @mykidsfitnessuk Год назад

      Aki huyu kaka ni mtulivu.Yaani amekuwa interrupted na huyu dada mara nyingi lakini haonyeshi makasiriko au kupoteza mtiririko wa yale anayotaka kusema.

    • @machetebogota4218
      @machetebogota4218 Год назад

      Kesha sema ye mzaramo ASA unataka aweje jmne lkn Yuko vzr Sana MashallAh

  • @Winstonfying
    @Winstonfying Год назад +4

    Watu makini 👏👏

  • @aishaibrahim5607
    @aishaibrahim5607 Год назад +1

    Ndo naangalia leo kha mmemchamba dda wawatu jpo sijaona kosa lake kikubwa anajaribu kumkumbusha mwenzie anaposahau

  • @abubakariali9848
    @abubakariali9848 Год назад +2

    Ngombe ipo 😆 😂 😆

  • @jacquelinesamson
    @jacquelinesamson Год назад +1

    Very interesting wataalamu wote wameeleza vizuri sana Congratulations Asanteni kwa kutuelimisha

  • @hassaniissa9444
    @hassaniissa9444 Год назад +2

    Dah aise wako vzr sana nimewasikiliza hatua kwa hatua ila jamaa nimemkubali katoa helimu yakueleweka sana SNS tuko pamoja mnajitambua na mnatutambua nini familia yenu kitu inataka

  • @J4UPro
    @J4UPro Год назад +2

    SNS kisima cha maarifa

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Год назад +3

    Ahsante sana Fatma

  • @sabbob574
    @sabbob574 Год назад +3

    Well presented. Thanks Doctors

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Год назад +1

    Ngombe kienyeji ipo mzaramu uyo

  • @SeekerMaulid
    @SeekerMaulid Год назад +1

    Docta Fatma. Nimekuelewa vizuri sana.

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo9793 Год назад +1

    Muko vizur sana madockta wetu jamani elimuu nzur sana muliotupa

  • @millymack1370
    @millymack1370 Год назад +2

    Part 2??

  • @lujobilz7482
    @lujobilz7482 Год назад +6

    Hii dada nimeipenda sana eti kumbe imeweka dawa ya kuharisha😅😅😅

  • @hajilipamba7261
    @hajilipamba7261 Год назад +1

    Big up kaka issa Allah akuzidishie elimu na akupe ufahamu

  • @samuelmuthui4699
    @samuelmuthui4699 Год назад +1

    Huyo dada😄😄😝

  • @devothadeogratius3684
    @devothadeogratius3684 Год назад +3

    Impressive

  • @nicenice3881
    @nicenice3881 Год назад +1

    Warudi tena wiki ijayo

  • @eaglecrown6470
    @eaglecrown6470 Год назад +1

    Safi Sana doctors wetu🙏🏿🇹🇿😊

  • @kkkkkkk2714
    @kkkkkkk2714 Год назад +2

    Sky chicha ipo😂

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Год назад +2

    Safi

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 Год назад +2

    MashaAllah

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад +2

    Nimewapenda mno

  • @echolude
    @echolude Год назад +1

    Watching this from the States as a Kenyan. We need this kind of information and insight expediently. Love how well they treat Kiswahili and share information in the proper context with eloquence and humor.

  • @dearmama4336
    @dearmama4336 Год назад +1

    Dr Fatma unakiherehere mfyuuuu

  • @brunopeter9776
    @brunopeter9776 2 месяца назад

    Ugali nusu watu watatu wanne😂😂 Ila sio wasukuma

  • @kibodizotz-bh6xg
    @kibodizotz-bh6xg Год назад

    Nimewaelewa vrz sn nisaiih sn brother sky

  • @halimaomar3280
    @halimaomar3280 Год назад

    Mm nliishi na mwanaume kwa mda wa miaka 18 alikua sawa kitendo la ndoa ela alikua na tatizo nlikuja nkaligundua lilimfanya pia hakunishikisha uja uzito mda huo wote nlipotoka nje nkaona tofauti na nkashika mimba nkazaa nae alikua yuakojoa mikojo mingi tena ina harufu ambapo sikuona kwa huyu alonipa mimba mikojo kama hiyo labda lasababishwa na nn nalo hilo

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Год назад

    Yaani hawa watalaam wote wapo vizuri. Poly clinic kama hela yako haieleweki usijaribu kuhesabu matone ya mvua.

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 Год назад

    🍒🍒:::::asante 🍒🍒
    🍒🍒:::kwaushauri mzuri sana 🍒🍒

  • @janetahmed6948
    @janetahmed6948 Год назад +1

    wema 😂😂😂

  • @AbdallahArizona
    @AbdallahArizona Месяц назад

    Kiswahili chao nakipenda sana

  • @adamj9723
    @adamj9723 Год назад +2

    ❤️🙏

  • @biubwasalim3460
    @biubwasalim3460 Год назад

    MashaAllah zamni cc ilikuwa nurse midwife ni mwanammke tu

  • @agkimedicallaboratory
    @agkimedicallaboratory Год назад +2

    Waoooo

  • @fhhfhj7719
    @fhhfhj7719 Год назад

    Muugunzi makini wakupetu tunzo😢😢 wallh

  • @dismaskimario389
    @dismaskimario389 Год назад

    Nimempenda huyu binti jinsi alivyojieleza

  • @festusjchunya7246
    @festusjchunya7246 Год назад

    Mzaramo. ng'ombe anaitwa ngombe!!

  • @heavenlightlowassa7433
    @heavenlightlowassa7433 Год назад

    Fatema juma huyu anaongea kama nn

  • @sghdrdhidf7603
    @sghdrdhidf7603 Год назад

    Nimewapenda na nimewaekewa mungu awalinde awazidishie kila hatua nitawatafuta

  • @enelicachilale9952
    @enelicachilale9952 Месяц назад

    Lllllllllll

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 Год назад

    Safi sana, mko vizuri sana.

  • @deusoden3614
    @deusoden3614 Год назад

    Tafadhali naomba namba za simu za wataalamu zetu.

  • @ChekanaoYahaya
    @ChekanaoYahaya Месяц назад

    Asanteni sana

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb Год назад

    Muuguzi nitakucheki mwanang

  • @kelvinjames5357
    @kelvinjames5357 Год назад

    Ninaomba nisaidie nikutane na Fatima jmn anisaidie yani ninamatatizo mengi kwenye mwili wangu.

  • @salimsaid3292
    @salimsaid3292 Год назад

    Thanks Doctors keep it up

  • @asiaikhallah1697
    @asiaikhallah1697 Год назад

    Ragin mmbaga 🔥🔥

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 Год назад

    Shukrani

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba7890 Год назад

    Ahsant sana

  • @omarhababuu3159
    @omarhababuu3159 Год назад +5

    4 kucoment

  • @mussachichajr
    @mussachichajr Год назад +6

    Rangi ya mtume

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Год назад +6

      Uswahili unaacha kuskiza vitu vya msingi we unawaza mapenzi tu

    • @saidkaim768
      @saidkaim768 Год назад +3

      😀😀😀😀😀 kazi unayo ina maana weye umeona rangi tu

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад +1

      Kweli kila mtu ana vipaumbele vyake aisee🤣

  • @ediusgabriely615
    @ediusgabriely615 Год назад +3

    very educative interview🥰🥰 Thank you guys...

  • @mariamtambwe8665
    @mariamtambwe8665 Год назад +1

    I am late to see this video. Dear GOD I really need this . Nataka awe doctor wangu kbsa

  • @chikudunia6273
    @chikudunia6273 Год назад

    Namuelewa sana Muuguzi Makini alinifunza mengi ujauzito wangu wa kwanza

  • @feisalabdallah8632
    @feisalabdallah8632 Год назад +2

    Next time muwe munamzimia Mike uyo Fatima

    • @machetebogota4218
      @machetebogota4218 Год назад +1

      Mwacheni hamuijui wazaramo walivyo kah. Sikilizeni mada nzuri iyo

    • @nanamohamed9398
      @nanamohamed9398 Год назад

      😁😁😁

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 Год назад +2

      Dada anaongeza matirio sehem ambayo jamaa angepita bila kuyasema dada nimemwelewa sana

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin7521 Год назад

    Nyie hamjaja kanda ya ziwa mtu anakula kg ya ugali

  • @Makakulaya
    @Makakulaya Год назад +1

    Tanzania inchi yawajinga inatawaliwa nawa hinde nawa arabe. Wa weusi nimuziki na kiki tu

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 Год назад +5

      Sasa cjakuelwa unamanisha nini unavyosema tanzania nchi ya kijinga hapa bado cjakuelwa ebu nipe elimu yako kidogo coz mimi nimetemebea robo ya dunia na nimerudi tanzania nimeona ndo kunanifaa

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Год назад +8

      ​@@hajjiomary2383 kwanza kuandika hajui utamuelewa anachosema alafu anachuk na waarabu na wahindi kusudio lake

    • @goodlucksteven6377
      @goodlucksteven6377 Год назад +4

      Hana akili uyuu mjinga mmoja uyuu

    • @martinmuthii1900
      @martinmuthii1900 Год назад

      Nawewe pia ukiwemo

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Год назад +3

      @@goodlucksteven6377 wakati akiumwa anakimbilia uko uko India si ujinga huo banian mbaya lkn kiatu chake dawa