PUMZIKA SALAMA LOWASA- Peter Msechu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 69

  • @NonieyManyama
    @NonieyManyama 7 месяцев назад +4

    Jamaa uko vizuri sana katika hii tasnia ya music wa majonzi yaani unajua mpaka basi alafu zinaingia moyoni mpaka mtu unajikuta unalia bila kutarajia

  • @Alexanderlyimo
    @Alexanderlyimo 7 месяцев назад +4

    Nilitaka kushangaa mtoto wa komba usitoe nyimbo

  • @humphreynyiti516
    @humphreynyiti516 7 месяцев назад +4

    Swahiba kikwete?dah hii nchii hii haya bhana pumzika mamvii we will be missing you great hero from chuganiani

  • @vanessajames2192
    @vanessajames2192 7 месяцев назад +2

    Mbona swaiba wako kikwete 😂 nimejikuta nacheka kwenye maombolezo anyway pumzika kwa aman mzee pamoja nakwamba umeondoka mi namheshimu Mungu wako ameacha wamalize utabiri ndo akafanya kazi yake hata kigogo kafanyiwa surprise

  • @faidhacute
    @faidhacute 7 месяцев назад +2

    KILA nafsi itaonja umauti hakika yan mnavowaua kama vle mtadumu milele, watu umri ushaenda lakn mnafanya mamb ya ajabu

  • @josephkiwale374
    @josephkiwale374 7 месяцев назад +2

    Msechu ni hatar na nusu kwenye nyimbo za misiba

  • @mohammedmhina3973
    @mohammedmhina3973 7 месяцев назад +5

    Duh unawez kukuta msechu hata nyimbo yako iko tayar

  • @ybmtaakwamtaaofficial3415
    @ybmtaakwamtaaofficial3415 6 месяцев назад +1

    Kaka msechu we nomaaa😂

  • @noelyrajabu105
    @noelyrajabu105 7 месяцев назад +2

    Niulizeni mimi huu wimbo alishauandaa kitambo sana😂😂😂 tangu uchaguzi wa Magufuli maana alitarajia yatamkuta haya baada ya kukosa kiti cha uraisi #Shkamoomsechu🤣🤣🙌🙌

  • @vocalisttz
    @vocalisttz 7 месяцев назад

    WIMBO mwingine wa maombolezo
    vocalist TZ - KWAHERI LOWASA
    ruclips.net/video/8kShTvo0Edk/видео.htmlsi=Gnn3d-nmUtF9wc0Z

  • @daynecleonard5906
    @daynecleonard5906 7 месяцев назад +1

    Rest in peace kiongoz wetu😢

  • @voisaclassic1866
    @voisaclassic1866 7 месяцев назад +1

    Ngoma kali sana ila najiuliza msechu hzi ngoma hua unaziandaa kabla ya matukio au baada ya tukio maake uko fasta kama umeme🤣

  • @andrewmmassy5204
    @andrewmmassy5204 7 месяцев назад +1

    "Talented artist" amazing voice

  • @vocalisttz
    @vocalisttz 7 месяцев назад

    WIMBO mwingine wa maombolezo
    vocalist TZ - KWAHERI LOWASA
    ruclips.net/video/8kShTvo0Edk/видео.htmlsi=Gnn3d-nmUtF9wc0Z

  • @vocalisttz
    @vocalisttz 7 месяцев назад

    WIMBO mwingine wa maombolezo
    vocalist TZ - KWAHERI LOWASA
    ruclips.net/video/8kShTvo0Edk/видео.htmlsi=Gnn3d-nmUtF9wc0Z

  • @OphiryNtirniga
    @OphiryNtirniga 7 месяцев назад +1

    Ongera sana Mr umeimba tone & pitch safi, ongera sana kalb kwetu kigoma kasulu town

  • @EmmanuelZenda-ji5gc
    @EmmanuelZenda-ji5gc 7 месяцев назад +2

    We mzee ukisikia tu mtu yupo mahututi wewe unaenda studio😂

  • @RobatiMwambakale-jm5lj
    @RobatiMwambakale-jm5lj 7 месяцев назад +3

    Msechuu 😂😂😂

  • @deeclassicafrica
    @deeclassicafrica 7 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉

  • @anordlaurent8751
    @anordlaurent8751 7 месяцев назад +2

    Ira msechu daaaaah

  • @HancyKabisama
    @HancyKabisama 7 месяцев назад +4

    Mwamba hii ngoma ilisha andaliwa ila jina ndo lilikuwa bado

  • @emanuelmkama1325
    @emanuelmkama1325 7 месяцев назад +3

    Unajua snaa bro,

  • @ostakiambilinyi6614
    @ostakiambilinyi6614 7 месяцев назад +1

    Wimbo mzuri hongera msechu

  • @EliyaolemeekLaizer
    @EliyaolemeekLaizer 7 месяцев назад +1

    Mungu alase pema maala pazuri peponi

  • @zakariakingu
    @zakariakingu 7 месяцев назад +1

    Great song

  • @JohnMahu-f1g
    @JohnMahu-f1g 6 месяцев назад

    Mungu akupe rehema zake ufike pepon salama akukinge na moto jehanam

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum 7 месяцев назад +14

    Kila Anaekwenda Kinyume na Mzee wa Msoga Anapunguzwa, so sad 😔. Huyu Mzee wamemchelewesha tu ila nae baada ya Magufuli alitakiwa aende. Tanzania tuna Viongozi wasiopenda Kukosolewa na Kusemwa mabaya yao. Pumzike kwa Amani Mashujaa wa Kweli.

    • @fabiannsumba9428
      @fabiannsumba9428 7 месяцев назад +5

      Huna Akili Mzee kaumwa tangu kipindi cha kampeni acheni kuhukimu mengine mwachieni mungu

    • @lyrics_forum
      @lyrics_forum 7 месяцев назад +1

      @@fabiannsumba9428 Tangu Lini mwenye Akili Akaanza Kubishana, Zuzu kweli kweli.

    • @WilfredWilfred-v5q
      @WilfredWilfred-v5q 7 месяцев назад

      Ivi ww n doctor kwl....acha kuwaza ujinga ...mbn una uelewa mdg kwa iyo una maana asingekwenda kinyume na uyo msoga asingekufa acheni chuki za kisiasa...elimu yako haijakusaidia

    • @MWAMPOSAONESMO-vh2yw
      @MWAMPOSAONESMO-vh2yw 7 месяцев назад +3

      Hahahahaha wacha nisiseme nifunge zipu mdomo zooooo

    • @Boniphaceshayo5
      @Boniphaceshayo5 7 месяцев назад +1

      Je na siku mzee wa msoga akitutoka utasema nini na utamshutumu nani

  • @KassimKiunda
    @KassimKiunda 7 месяцев назад +1

    Nakukubali piter❤❤

  • @philbertnestory3207
    @philbertnestory3207 7 месяцев назад +1

    Hahahahahahhah anakaaaga namashaili ya vifo huyu mwamba pumzika kwaamani Lowasa mchangowako nimkubwa kwenye taifa la Tanzania 😢😢😢

    • @madisonjonathan4112
      @madisonjonathan4112 7 месяцев назад

      Hahaha,msechu ni noma sana,ni mzalendo wa kweli#R.I.P EDWARD

  • @noelyrajabu105
    @noelyrajabu105 7 месяцев назад +3

    Jamaa ana album ya nyimbo za maombolezo za viongozi woteee niaminini mm huu wingo kauandaa sa ngap?🤣🤣🤣🤣🙌

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 7 месяцев назад +1

    Inahuzunisha sana

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 7 месяцев назад +2

    Msechu naimani umesha tunga nyimbo za matukio yote tz

  • @RobatiMwambakale-jm5lj
    @RobatiMwambakale-jm5lj 7 месяцев назад +1

    Wee jaaamaaa ujawai feri

  • @hamadimussa2119
    @hamadimussa2119 7 месяцев назад

    Msechu ashaamtungia hadi kikwete, kimbembe na kituko ni pale akiondoka yeye kabla ya aliowatungia nyimbo 😂😂

  • @JamesIsatujobe
    @JamesIsatujobe 7 месяцев назад +1

    Hongera bro

  • @bonifacehaule8189
    @bonifacehaule8189 7 месяцев назад

    hapo kwenye uswahibaaaaa ni uongooooooo

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 7 месяцев назад +1

    Ukute una nyimbo hizo mahabara za Viongozi....una kipaji Nimeamini

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 7 месяцев назад

    😭😭

  • @LillianFelician
    @LillianFelician 7 месяцев назад

    😢😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 R.I.P Lowassa

  • @ZaylinahNindae
    @ZaylinahNindae 7 месяцев назад +1

    Rip lowasa ila msechuuu sio bure unaratiba za woteeee

  • @Manyesha6290
    @Manyesha6290 7 месяцев назад

    Rip lowasa

  • @vocalisttz
    @vocalisttz 7 месяцев назад

    WIMBO mwingine wa maombolezo
    vocalist TZ - KWAHERI LOWASA
    ruclips.net/video/8kShTvo0Edk/видео.htmlsi=Gnn3d-nmUtF9wc0Z

  • @laizalaizimesivLaizalaizimesiv
    @laizalaizimesivLaizalaizimesiv 7 месяцев назад

    Mama lowsasa pole Santa

  • @RaymondMsuya-x3w
    @RaymondMsuya-x3w 7 месяцев назад

    Nimekumbuka kauli ya ommy

  • @Elimunamalezi
    @Elimunamalezi 7 месяцев назад +1

    Yaani anachokifanya ni uedit jina tuu hata wimbo wa mwinyi anao tayari na hata mawaziri wengine,sijui kama anao pia wa mpango na kikwete hahaahaha

    • @catherinelandas1938
      @catherinelandas1938 7 месяцев назад

      Hahaha

    • @elizabethbazobonankila
      @elizabethbazobonankila 7 месяцев назад

      Dah! Hii comment yako kama ulimtabiria Mzee wa watu na nyimbo chap ametoa kama ulivyosema😢😂😂😂😂

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 7 месяцев назад

    Msechu mzalendo wa kweli kwa kutunga hizi nyimbo hawakuwez baba