Mbona swaiba wako kikwete 😂 nimejikuta nacheka kwenye maombolezo anyway pumzika kwa aman mzee pamoja nakwamba umeondoka mi namheshimu Mungu wako ameacha wamalize utabiri ndo akafanya kazi yake hata kigogo kafanyiwa surprise
Niulizeni mimi huu wimbo alishauandaa kitambo sana😂😂😂 tangu uchaguzi wa Magufuli maana alitarajia yatamkuta haya baada ya kukosa kiti cha uraisi #Shkamoomsechu🤣🤣🙌🙌
Kila Anaekwenda Kinyume na Mzee wa Msoga Anapunguzwa, so sad 😔. Huyu Mzee wamemchelewesha tu ila nae baada ya Magufuli alitakiwa aende. Tanzania tuna Viongozi wasiopenda Kukosolewa na Kusemwa mabaya yao. Pumzike kwa Amani Mashujaa wa Kweli.
Ivi ww n doctor kwl....acha kuwaza ujinga ...mbn una uelewa mdg kwa iyo una maana asingekwenda kinyume na uyo msoga asingekufa acheni chuki za kisiasa...elimu yako haijakusaidia
Jamaa uko vizuri sana katika hii tasnia ya music wa majonzi yaani unajua mpaka basi alafu zinaingia moyoni mpaka mtu unajikuta unalia bila kutarajia
Nilitaka kushangaa mtoto wa komba usitoe nyimbo
Swahiba kikwete?dah hii nchii hii haya bhana pumzika mamvii we will be missing you great hero from chuganiani
Mbona swaiba wako kikwete 😂 nimejikuta nacheka kwenye maombolezo anyway pumzika kwa aman mzee pamoja nakwamba umeondoka mi namheshimu Mungu wako ameacha wamalize utabiri ndo akafanya kazi yake hata kigogo kafanyiwa surprise
KILA nafsi itaonja umauti hakika yan mnavowaua kama vle mtadumu milele, watu umri ushaenda lakn mnafanya mamb ya ajabu
Msechu ni hatar na nusu kwenye nyimbo za misiba
Duh unawez kukuta msechu hata nyimbo yako iko tayar
Kaisha tutungia taifa zima😢
Kaka msechu we nomaaa😂
Niulizeni mimi huu wimbo alishauandaa kitambo sana😂😂😂 tangu uchaguzi wa Magufuli maana alitarajia yatamkuta haya baada ya kukosa kiti cha uraisi #Shkamoomsechu🤣🤣🙌🙌
WIMBO mwingine wa maombolezo
vocalist TZ - KWAHERI LOWASA
ruclips.net/video/8kShTvo0Edk/видео.htmlsi=Gnn3d-nmUtF9wc0Z
Rest in peace kiongoz wetu😢
Ngoma kali sana ila najiuliza msechu hzi ngoma hua unaziandaa kabla ya matukio au baada ya tukio maake uko fasta kama umeme🤣
"Talented artist" amazing voice
WIMBO mwingine wa maombolezo
vocalist TZ - KWAHERI LOWASA
ruclips.net/video/8kShTvo0Edk/видео.htmlsi=Gnn3d-nmUtF9wc0Z
WIMBO mwingine wa maombolezo
vocalist TZ - KWAHERI LOWASA
ruclips.net/video/8kShTvo0Edk/видео.htmlsi=Gnn3d-nmUtF9wc0Z
Ongera sana Mr umeimba tone & pitch safi, ongera sana kalb kwetu kigoma kasulu town
We mzee ukisikia tu mtu yupo mahututi wewe unaenda studio😂
Hahaha
Msechuu 😂😂😂
🎉🎉🎉
Ira msechu daaaaah
Mwamba hii ngoma ilisha andaliwa ila jina ndo lilikuwa bado
😂😂😂
Unajua snaa bro,
Wimbo mzuri hongera msechu
Mungu alase pema maala pazuri peponi
Great song
Mungu akupe rehema zake ufike pepon salama akukinge na moto jehanam
Kila Anaekwenda Kinyume na Mzee wa Msoga Anapunguzwa, so sad 😔. Huyu Mzee wamemchelewesha tu ila nae baada ya Magufuli alitakiwa aende. Tanzania tuna Viongozi wasiopenda Kukosolewa na Kusemwa mabaya yao. Pumzike kwa Amani Mashujaa wa Kweli.
Huna Akili Mzee kaumwa tangu kipindi cha kampeni acheni kuhukimu mengine mwachieni mungu
@@fabiannsumba9428 Tangu Lini mwenye Akili Akaanza Kubishana, Zuzu kweli kweli.
Ivi ww n doctor kwl....acha kuwaza ujinga ...mbn una uelewa mdg kwa iyo una maana asingekwenda kinyume na uyo msoga asingekufa acheni chuki za kisiasa...elimu yako haijakusaidia
Hahahahaha wacha nisiseme nifunge zipu mdomo zooooo
Je na siku mzee wa msoga akitutoka utasema nini na utamshutumu nani
Nakukubali piter❤❤
Hahahahahahhah anakaaaga namashaili ya vifo huyu mwamba pumzika kwaamani Lowasa mchangowako nimkubwa kwenye taifa la Tanzania 😢😢😢
Hahaha,msechu ni noma sana,ni mzalendo wa kweli#R.I.P EDWARD
Jamaa ana album ya nyimbo za maombolezo za viongozi woteee niaminini mm huu wingo kauandaa sa ngap?🤣🤣🤣🤣🙌
Hahahaha
Inahuzunisha sana
Msechu naimani umesha tunga nyimbo za matukio yote tz
😂
@@libetztanzania-kiswahilina2845 pamoja sana
Wee jaaamaaa ujawai feri
Msechu ashaamtungia hadi kikwete, kimbembe na kituko ni pale akiondoka yeye kabla ya aliowatungia nyimbo 😂😂
😄😄😄
Hongera bro
hapo kwenye uswahibaaaaa ni uongooooooo
Ukute una nyimbo hizo mahabara za Viongozi....una kipaji Nimeamini
😭😭
😢😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 R.I.P Lowassa
Rip lowasa ila msechuuu sio bure unaratiba za woteeee
Rip lowasa
WIMBO mwingine wa maombolezo
vocalist TZ - KWAHERI LOWASA
ruclips.net/video/8kShTvo0Edk/видео.htmlsi=Gnn3d-nmUtF9wc0Z
Mama lowsasa pole Santa
Nimekumbuka kauli ya ommy
Inasemaje
Yaani anachokifanya ni uedit jina tuu hata wimbo wa mwinyi anao tayari na hata mawaziri wengine,sijui kama anao pia wa mpango na kikwete hahaahaha
Hahaha
Dah! Hii comment yako kama ulimtabiria Mzee wa watu na nyimbo chap ametoa kama ulivyosema😢😂😂😂😂
Msechu mzalendo wa kweli kwa kutunga hizi nyimbo hawakuwez baba
Lakininaeiposiku huhumzeewamsoga
Mrithi wa komba