BABA YANGU KIPOFU Full episode/15/

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 сен 2024
  • #love

Комментарии • 1,1 тыс.

  • @BabaJoani
    @BabaJoani  Месяц назад +619

    NAWASIKILIZA SANA WATAZAMAJI WANGU LEO DAKIKA 50 TUENDELEE KUFURAHI PAMOJA, MSISAHAU KUTUSAMEHE MAPUNGUFU YETU,PIA SUBSCRIBE CHANNEL HII YA BABA JOAN, MBARIKIWE SANA MSIKOSE BANDO.

    • @IsmaelOkongo13
      @IsmaelOkongo13 Месяц назад +24

      Big up 🎉🎉🎉🎉🎉

    • @mwanaakidaomar4663
      @mwanaakidaomar4663 Месяц назад +16

      Tuko radh tukope tufungwe kwa maden lkn baba joan utupe burdan

    • @jacklinesesile5136
      @jacklinesesile5136 Месяц назад +8

      Ur the best ❤

    • @Marim-sj7oi
      @Marim-sj7oi Месяц назад +7

      Kazi nzuri baba joan ❤🎉❤🎉❤🎉

    • @nouratraashid4868
      @nouratraashid4868 Месяц назад +8

      poa ujengewe sanamu lako pale posta kaka ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @tabihaauko9146
    @tabihaauko9146 Месяц назад +62

    Baba karobo ndiye atajaza pengo lenye kanumba ameachwa huko Tanzania congratulations 🎉🎉and continue good job ❤

  • @jacksonchingwaba1626
    @jacksonchingwaba1626 Месяц назад +31

    Hongera sana Tusuvile, Baba Joan mwenzangu ,
    Kazi zako nazikubali sana mkuu big up, your professional

  • @SARIVE.LAME_123
    @SARIVE.LAME_123 Месяц назад +63

    Ongera sana bro unaleta movie mapema guys nipeni likes zangu by show love to baba Joan ❤❤❤❤

  • @zephbaraka
    @zephbaraka Месяц назад +45

    Awesome❤ thanks once more..... following from KENYA🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @BahatiTimilai-v2x
    @BahatiTimilai-v2x Месяц назад +53

    Nipeni like zangu hakika hii simama naipenda sana

  • @user-fz5yz4gy8t
    @user-fz5yz4gy8t Месяц назад +20

    Dah mmecheza sana pongezi kwa wote, hasa zaidi kwa Baba mwakarobo na mwakarobo kiukweli mmenibamba sana.

  • @FailaOg-c2q
    @FailaOg-c2q Месяц назад +35

    Jameni saa saba AM hivi nilisubili iyo movie like team kalobo

  • @kyngozi
    @kyngozi Месяц назад +96

    Wa Kwanza kutoka 🇧🇮🇧🇮 nipeni like

  • @ValentinahKwavai
    @ValentinahKwavai Месяц назад +91

    Watching from Kenya wapi like zangu Kwa kuwa wa kwanza kulike

    • @Odhiambofamily38
      @Odhiambofamily38 Месяц назад +1

      Let's grow together

    • @user-qw3ds7lz7o
      @user-qw3ds7lz7o Месяц назад +1

      Watching from Kenya 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

    • @user-yv9cj7ul9r
      @user-yv9cj7ul9r Месяц назад

      Watching live From Kenya

    • @Tobiasmaina57
      @Tobiasmaina57 Месяц назад

      Baba karobo mm natoka nairobi BT nataka hii Ngoma yako sana

  • @kimgraphics9488
    @kimgraphics9488 Месяц назад +22

    movie nzuri sana baba karombo big love from kenya

  • @johnwaafyaannex
    @johnwaafyaannex Месяц назад +26

    Baba Joan munafanya kazi nzuri kutuelimisha hapa Kenya tunafurahia kazi yenyu nzuri

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Месяц назад +7

    Good work team baba joan 👏 huyo mdada mwanasaikolojia napenda anavyoongea ni kama kiswahili amefanya kujifunza😊

  • @ChristabelShumira
    @ChristabelShumira Месяц назад +9

    Hongera sanaa baba kalobo,,movie nzuri sanaa 🎊 🎉

  • @user-xh3cc7yp6o
    @user-xh3cc7yp6o Месяц назад +11

    Na mimi nimechekewa lakini watapokuja nyuma naomba like ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-zx3uc2pc6o
    @user-zx3uc2pc6o Месяц назад +16

    A very interesting movie, I love it more and more ❤❤❤❤❤

  • @maalimali5513
    @maalimali5513 Месяц назад +9

    Hongera sana Baba Joan, binafsi nimefurahia muda leo, niseme tu katika filamu zako hii ndio bora zaidi❤❤❤

  • @babutalemituno
    @babutalemituno Месяц назад +21

    Baba joan msichelewe san kutoa vpande maan sometimes tunakaa sku nyngi kabla hamjatoa vipande vingne,,,,tunawapenda sana kaz nzur Mungu awabariki san

  • @user-kq7xg6rh7r
    @user-kq7xg6rh7r Месяц назад +19

    Wowow dakika 50 aise nyie ni wa2 Bora sana nafwatilia tamhiliya nyingi San lakini xjawah pata yenye dakika nyingi hivi na ikatoka kwa wakati bila kuchelewesha dah mpo seriously sana mungu awazidishie vipaji ili mzidi kutufurahisha

  • @fahmyhussein8147
    @fahmyhussein8147 Месяц назад +20

    Baba Joan Kazi IPO nzuri nimeikubali Uwe waitowa dakika 50

  • @RUIYAMOHAMED
    @RUIYAMOHAMED Месяц назад +161

    Leo nimewai,wa Kwanza kutoka🇰🇪naomba like na mm

  • @user-ro1fg5ur9l
    @user-ro1fg5ur9l Месяц назад +31

    Watazamaji wa baba Joan gonga like apa 🎉🎉🎉

  • @user-zo2pt9pd8d
    @user-zo2pt9pd8d Месяц назад +17

    Inaumiza sana lakini ni story nzuri baba kalobo Mungu akupe maisha marefu na akuepushe na na baya❤❤🔥

  • @swediPacificswedi
    @swediPacificswedi Месяц назад +24

    wakwanza kutoka Burundi Congo 🇨🇩🇧🇮

  • @RoseOdilo
    @RoseOdilo Месяц назад +13

    Kiukweli nampenda baba karobo ila mama karobo wa kufikia apewe maua yake anaweza hadi anaweza tena yn kiukwl anachangamsha movie yetu❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂

  • @EmanuelKabola
    @EmanuelKabola Месяц назад +15

    Unaweza Sana kila siku naisubilia Sana itoke big up baba joan

  • @user-nr4pj4nf8t
    @user-nr4pj4nf8t Месяц назад +21

    baba Joan umetisha sana ilA NAMPENDA SANA zujati

  • @user-fr4wf5sl2r
    @user-fr4wf5sl2r Месяц назад +140

    Jmani leo kwavile nimechelewa kwasababu natoka 🇧🇮 burundi naomba basi nauli yangu hata like 10 basi😊

  • @user-xq2op3vn7g
    @user-xq2op3vn7g Месяц назад +24

    Wonderful ❤❤❤❤like zangu kutoka Kenya jamani

  • @BrianbBashir
    @BrianbBashir Месяц назад +22

    Baba Joan kazi nzuri napenda show zako

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 Месяц назад +7

    Kwa stail aloshikiliaa hyo simu mama kalobo hata hajashtuka woiiii mm ningeisi tu😆😆😆hapaaa kunaa namnaa

  • @JudithJudy-hz6wr
    @JudithJudy-hz6wr Месяц назад +78

    Hii tabia muache jamani eti namba one nipee like badala mkoment na mlike pia mshee,tumupongeze ndugu yetu

    • @JajiKazungu
      @JajiKazungu Месяц назад +1

      nashangaa kama like zinasaidia nn

    • @RoseOdilo
      @RoseOdilo Месяц назад +2

      Kwn huwa inafaida gn?

    • @Odhiambofamily38
      @Odhiambofamily38 Месяц назад

      Pay back please

    • @EvalineKadogo-eb5xr
      @EvalineKadogo-eb5xr Месяц назад

      Hata nashangaa nini mbaya nao,ni kama like zina faida kwao,hao ndio wanastahili kulike kucoment na hata kushare

    • @maryamt594
      @maryamt594 Месяц назад

      Kwl hatami naishiwa wanazitaka ziwasaindie nini mutu anajuwa hiyo faida yahawa watu kuomba like aniambie

  • @user-xo8kh8ir9e
    @user-xo8kh8ir9e Месяц назад +11

    Number one from India give me my like

  • @user-qq1kt3hg1l
    @user-qq1kt3hg1l Месяц назад +16

    Inaumiza sana hii story ya baba. Karobo mungu akuepushe amin

  • @user-no8sz5nx7b
    @user-no8sz5nx7b Месяц назад +8

    yaani hapa patamu nyie baba Joan kazi zako hazina mbambamba ximenyooka na utamu juu yake barikiwa kakaangu uzidi kuendelea vizuri❤❤❤🎉🎉

  • @jacklinesesile5136
    @jacklinesesile5136 Месяц назад +91

    Number one ☝️ please if you love this movie give me some likes ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊

    • @mapopo23
      @mapopo23 Месяц назад +1

      Hello My friend Me am Number one to Join and to Love this is Movie 🇰🇪 100% 🎉🙏💪

    • @PaulOjiambo-p1f
      @PaulOjiambo-p1f Месяц назад +1

      ❤❤❤

    • @Tobiasmaina57
      @Tobiasmaina57 Месяц назад +2

      Napenda kabisa hii movie

    • @jacklinesesile5136
      @jacklinesesile5136 Месяц назад

      @@mapopo23❤❤❤❤❤

  • @Khavanny
    @Khavanny Месяц назад +29

    Eheee movie inadakika20 tu mtandaoni ila sijawa wa kwanza @babajoani Leo nipe like mzeee

  • @wambuamutemi2019
    @wambuamutemi2019 Месяц назад +78

    Kutoka 🇰🇪 nipeni like jamaa

    • @Odhiambofamily38
      @Odhiambofamily38 Месяц назад

      Pay back please

    • @Melvy-kb3lc
      @Melvy-kb3lc Месяц назад

      Pia 🇰🇪 mko hpa kuomba like ni aibuuuuu kwanza umelipa tax mkenya mwenzangu 😂😂😂😂

    • @user-yl1re2cy3h
      @user-yl1re2cy3h Месяц назад

      Njoo uchukue

    • @NaomiMalel-hs6kn
      @NaomiMalel-hs6kn Месяц назад

      😂

    • @feihfaih254
      @feihfaih254 Месяц назад

      Wakenya hatuombi likes bhana we sema movie imependeza bhana😂😂😂

  • @Agnes550
    @Agnes550 Месяц назад +89

    Team kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪tulike hapaa

  • @MsafiryChitema
    @MsafiryChitema Месяц назад +5

    Hiiii movie 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉nzuri sana pia inafundisha na kuelimisha vitu vingi sana barikiwa kaka

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 Месяц назад +42

    Wa kwanza ilaa sitak like hadi nione mchezoo❤

  • @IldaRafaelElias
    @IldaRafaelElias Месяц назад +7

    From Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿,nawapenda Bure safi sana.

  • @ABIGAIL67-tria
    @ABIGAIL67-tria Месяц назад +7

    Grandpa wa @kalobo nakupenda sana
    Sasa hivi naelekea kukutana na wewe @busati tv❤❤❤❤❤

  • @DominguezdaFátimaNacir
    @DominguezdaFátimaNacir Месяц назад +13

    Parabéns pelo seu trabalho historial,te rendo muito pelo lindo trabalho que tem feito.
    Estou assistindo a partir de Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 asante sana baba joan kwa kazi nzuri aise umetisha sana.hongera

  • @user-kk3pu7rl7u
    @user-kk3pu7rl7u Месяц назад +2

    Jamani na Mimi nimewah❤❤❤❤❤

  • @joycebageni9040
    @joycebageni9040 Месяц назад +4

    From DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 courage mon frère baba Joan,tu fais de bonne chose vraiment ❤

  • @user-dt9iz2gq3s
    @user-dt9iz2gq3s Месяц назад +6

    Mwana saikolojia yuko vizuri ni moto ❤❤❤

  • @Mercy-pw6yw
    @Mercy-pw6yw Месяц назад +5

    Watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪 i like it

  • @user-ke9ye1dy6r
    @user-ke9ye1dy6r Месяц назад +8

    From kibondo kigoma nafuatilia movie hii ya baba angu kipofu nimeipenda sanaa mungu akubliki sanaa baba Joan na team yako kwa ujumla mungu awajalie afya njema ili muendelee kutuburudisha ILOVE YOU 💕🇹🇿

  • @user-hw2xl9kp8q
    @user-hw2xl9kp8q Месяц назад +3

    Napenda sana hiki kipindi❤am watching from Dubai

  • @Sharon-c9b
    @Sharon-c9b Месяц назад +2

    Kama kuna movies tamu hakuna ifikiao za Baba joan.big up bro I love you so much.your big love frm🇰🇪.

  • @shilaanyango
    @shilaanyango Месяц назад +7

    I'm really enjoying the movie

  • @user-iw5nr5ue4k
    @user-iw5nr5ue4k Месяц назад +2

    Movie nzur hongela sana baba karibo🎉🎉🎉🎉nawapenda wote mko good

  • @NellyKandolo
    @NellyKandolo Месяц назад +13

    Nipeni like zangu wa kwanza leo Congo

  • @stewartmgallah
    @stewartmgallah Месяц назад +3

    Nice movie inaletwa on time🔥🔥🔥big up from kinshasa

  • @Barnizeboy
    @Barnizeboy Месяц назад +15

    Leo sija chelewa Sana naomba like mbili tu 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-cj9pe5ts6c
    @user-cj9pe5ts6c Месяц назад +1

    Naipenda sana ivi mama karobo ashajikaranga😂😂

  • @NancySibiaOnguti-gb9yq
    @NancySibiaOnguti-gb9yq Месяц назад +3

    Nampenda sana huyu mpererezi naoni mission itakamilika asilimia mia. Mama karobo na mjipuko wake wamekonda juu ya ushirikina na maovu wanaofanya😢😢😢

  • @MerchyPaula
    @MerchyPaula Месяц назад +4

    Wallh mmn kalobo feki mukali xn🎉🎉

  • @user-wt7bg1mr9t
    @user-wt7bg1mr9t Месяц назад +3

    Asente sana baba Joan Kwa movie zako zuri na furahia

  • @dieudonnekimengele
    @dieudonnekimengele Месяц назад +9

    JI KAZR UTU TOSHEYE 16 mbiyo mbiyo sana kabisa tuna choka na iyi maisha

  • @user-fy5qs6bj9e
    @user-fy5qs6bj9e Месяц назад +7

    Yaaan Baba Joan big up Sana bro wewe unajua na unajua tena unatuwekea dakika za kutosha ❤❤❤

  • @DamasiBihayimana
    @DamasiBihayimana Месяц назад +13

    Yani nyienikiboko sana mamakarobo kuaninini
    anarohombaa. ❤mamakalobowenimwanamuke Soo mwanaume kuahiyowejitambuwe

  • @madjynakatembo9897
    @madjynakatembo9897 Месяц назад +11

    Ninakufuata kutoka Msumbiji, napenda sana kazi yako 🇲🇿

  • @Ezraloyibobo10
    @Ezraloyibobo10 Месяц назад +2

    Kazi nzuri kabisa ❤❤🇧🇮🇧🇮

  • @AssanitoSufo
    @AssanitoSufo Месяц назад +7

    Kazi mzur kaka

  • @ButoyiThierry-j8e
    @ButoyiThierry-j8e Месяц назад +2

    Bujumbura 🇧🇮 tunawafatilia sana natena tuna❤ like hapo wabongo

  • @olivierhemed3590
    @olivierhemed3590 Месяц назад +8

    Kaz nzuri

  • @wamboiwamboh
    @wamboiwamboh Месяц назад +3

    this channel is surpssed to be watched all over❤❤❤❤skills after skills,,,bravooh to the team baba joan❤❤

  • @njutujedeofficial2998
    @njutujedeofficial2998 Месяц назад +2

    ❤from Burundi🇧🇮 shukrani kwa team nzima nafasi zenu mnazitendea haki

  • @FaithMasika-oi9vd
    @FaithMasika-oi9vd Месяц назад +3

    Watching from Kenya naomba like thafadhali

  • @gladysnzula4456
    @gladysnzula4456 Месяц назад +2

    Yaani movie hii yatufunza mengi jamani,usimwamini kila mtu ujapatana naye😂be careful of strange freinds😅😊😊😊

  • @ksaskaka
    @ksaskaka Месяц назад +3

    Leo nimependa sana mwana sheria kazi njuri mungu akutangulie baba joan❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @adielndayishimiye2122
    @adielndayishimiye2122 Месяц назад +8

    Nawapenda sana wachezaji wote move zuli 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @user-mm2oe3tx4j
    @user-mm2oe3tx4j Месяц назад +6

    Kazi nzuri baba Joan mungu awabariki sana kipaji chenu

  • @Yusufzahal254
    @Yusufzahal254 Месяц назад +3

    Nawakubali wanangu ...tutaendelea kuwashabiki ..hatutaki watu wenye mchezo kwa kazi kama wale wa WRONG HOUSE...i pray for you guys 🎉 from kenya🇰🇪

  • @JacklineAlivitsa-cj5ir
    @JacklineAlivitsa-cj5ir Месяц назад +6

    wakwanza ni wafadhili wenyewe jamani😂😂😂napenda baba kalobo

  • @user-lo7ly3yc1h
    @user-lo7ly3yc1h Месяц назад +2

    From kenya kazi zuri nawapenda sana wote

  • @user-qq1kt3hg1l
    @user-qq1kt3hg1l Месяц назад +11

    Jaman kumbe ilikuwa ni ndoto thu mm nataman sana apone

  • @mildredowino7323
    @mildredowino7323 Месяц назад +1

    Baba Joan nakupenda bure❤❤ movie zako zko na mafundisho poa sana😘😘😘be blessed 🙏🙏

  • @hemstoneindiazi5678
    @hemstoneindiazi5678 Месяц назад +3

    KAZI mazuri Sana hempstone from Kenya

  • @protusisiaho8241
    @protusisiaho8241 Месяц назад +3

    Watching from Daadab, movie iko freshy kinoma.

  • @wamboiwamboh
    @wamboiwamboh Месяц назад +3

    waswahili na matusi nawavulia kofia😂😂😂😂😂matusi daaah nmekoma mimi apa😅😅😅😅😅team baba karobo we love you guys from kenya❤❤

  • @user-op2nc4ts2s
    @user-op2nc4ts2s Месяц назад +8

    Só a primeira pessoa a sistir

  • @J74251
    @J74251 Месяц назад +5

    Tamu sanaaa kaka umecheza kama wewe❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤

  • @GdhhdXbxhdyd
    @GdhhdXbxhdyd Месяц назад +1

    Kazi Zuri nawapenda sana ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m Месяц назад +5

    Jamani mnajua mimi nampenda sana mama karobo ❤kwa ukauzu wake tu

  • @jmmwauramusic6588
    @jmmwauramusic6588 Месяц назад +2

    Hapo sawa dugu yetu,umeiongeza ladha kumweka mamakarobo original

  • @horakibondo6667
    @horakibondo6667 Месяц назад +2

    I don't know Swahili but I followed EP1 to this current ep
    I believe that with the time I will understand Swahili
    Kipofu: blindness
    I love this team even their content

  • @GuillaumeNabwenda
    @GuillaumeNabwenda Месяц назад +4

    Kutoka congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩tu like hapo

  • @sophiamwambire
    @sophiamwambire Месяц назад +2

    hongera baba karobo-Mtwapa kenya-
    mafunzo mazuri...

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp Месяц назад +7

    Tupo sambamba dkk teje from 🇲🇫 ila tunapnda lini inatoka maaana ss wengine tunaibukia tu

  • @lydiahnyamokami5058
    @lydiahnyamokami5058 Месяц назад +1

    Kwisha mam karoo leo umeroboka yte 😂😂😂😂

  • @user-sv2bk8ek1z
    @user-sv2bk8ek1z Месяц назад +4

    Nawapenda sanaaaaa 💓🫶 Kwa kazi yenu nzuri sana

  • @user-ye8pd1mx3e
    @user-ye8pd1mx3e Месяц назад +3

    Asante sana baba karobo kwa kuogeza dakika nimejienjoy kinoma na hii movie

  • @SarahBimuloko
    @SarahBimuloko Месяц назад +3

    Jameni mama kalobo ume uza siri nzito kwa shoga feki kwa elfu kumi tu kweli.

  • @AngeloSamweli-vt3jy
    @AngeloSamweli-vt3jy Месяц назад +2

    Respect good job

  • @TemboPettro
    @TemboPettro Месяц назад +2

    Kaka kweli umekaa nimeipenda sana kazi yako mungu akuzidishie upeo uzidi kufanya kazi nzuri zenye mafundisho yakuelimisha jamii hongera

  • @KHALIPHARCE-ud8hx
    @KHALIPHARCE-ud8hx Месяц назад +1

    KHALIPHARCE bukoba kagera kazi nzuri sanaa🎉

  • @harrisonkapombe8759
    @harrisonkapombe8759 Месяц назад +3

    Nakufatilia sana kaka uko sawa