BABA YANGU KIPOFU Full episode /16/

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 954

  • @BabaJoani
    @BabaJoani  3 месяца назад +456

    TUNAWAPENDA SANA WATAZAMAJI WETU, ILI TUENDELEE KUFANYA VIZURI TUNAHITAJI SAPPORT YENU ,KUNA MCHANGO WA SHILI ELFU MOJA TU (1000) KWA AJILI YA USAFILI ILI TUWE TUNABADILI MAZINGIRA YAKUSHUTIA KUPITIA M-PESA NO +255744188105. KAMA UKO TAYARI KUTUSAPORT KWA GUSA HII LINK UJE WHATSAP KWA MAELEZO ZAIDI👇👇👇👇chat.whatsapp.com/DNLyqNPiekpDTbrXEJOjUa

  • @SmilingEquestrianHelmet-mc7lk
    @SmilingEquestrianHelmet-mc7lk 3 месяца назад +22

    Kazi nzuri baba Joan mnatufurahisha Sana imekuwa ndefu Sana nimeipenda asanteni❤❤❤❤

  • @mohammedikimbute
    @mohammedikimbute 3 месяца назад +31

    Natamani sana kuwa mwana Sanaa ila sijui pakuanzia safi sanaaa kazi ni nzuri

  • @DennisJeruiyot
    @DennisJeruiyot 3 месяца назад +50

    Wapili jameni 😊😊😊 na sitaki like ya mtumimi, tutakosana tusiaribiane moods😊,,,, sitaki mchezo mimi😅😢

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 3 месяца назад +40

    Wa mwisho kutoka Mombasa Kenya🇰🇪🇰🇪likes hapa tukigojea episode nyingine❤❤❤❤

    • @Sheriann-pg5hq
      @Sheriann-pg5hq 3 месяца назад

      Utapata mingi sana lakini tafathali twakuomba chana hela yoyote❤❤

  • @BrendaKenzie
    @BrendaKenzie 3 месяца назад +11

    Wow congratulations tasha kwa kukamilisha ushahidi wote thank you very much wow team nasra kibanio na mumeo Nasra congrats guys❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @NelcyAfrica
    @NelcyAfrica 3 месяца назад +31

    Filamu ya baba joan iko na mafunzo mazuri sana. Naipenda kutoka Nairobi kenya

  • @WilliamJoel-kz2jv
    @WilliamJoel-kz2jv 3 месяца назад +14

    Kazy nzur sana hatuchez mbar na baba kalobo❤

  • @Junior-l4u4p
    @Junior-l4u4p 3 месяца назад +34

    Jamani leo nimechelewa kwasababu yasafali ndefu kutoka 🇧🇮 burundi kwaiyo naomba hata like 10

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c 3 месяца назад +7

    Woow sijui nipongeze aje Baba karobo filamu zako ni hatari Sana wacha mungu akusaidie usije mbali saidi ya hapo🎉🎉🎉❤❤❤

  • @maryamt594
    @maryamt594 3 месяца назад +42

    Hee baba kalobo fanya basi umwambie mama kalobo akubandirishiye hiro shati❤❤❤❤

  • @gracenyauma
    @gracenyauma 3 месяца назад +7

    Cjui wangapi , kutoka kenya 🇰🇪 ila nasubilia sana hadi mwisho akh❤ baba kalobo twakupenda sana n ukamtunze mwanao kalobo ❤❤❤❤

  • @Anna-l8z2n
    @Anna-l8z2n 3 месяца назад +5

    Watching from kenya hii movie ina funzo kubwa sana thumbs to the starring baba karobo 👏 👏 👏

  • @Zainabu-q7v
    @Zainabu-q7v 3 месяца назад +6

    ❤❤ nzur Sana sema imechelewa kidogo Baba kalobo

  • @CarineJean-bi7sq
    @CarineJean-bi7sq 3 месяца назад +10

    Kaka hongera sana umeva uhusika kabisa umefanya nipende iyi filamu

  • @RehemaSaid-r4h
    @RehemaSaid-r4h 3 месяца назад +138

    Watazamaji wa hii movie weka like kwa baba Joan 🎉🎉🎉

  • @jaycburundi257
    @jaycburundi257 3 месяца назад +60

    Wa ine kutoka Burundi
    Munigongeye likes ba brothers
    Tumuonyeshe upendo baba kalobo❤❤❤

  • @MereTz-xv2vu
    @MereTz-xv2vu 3 месяца назад +50

    Kutoka USA nipeni like zangu guys Leo nimewayi ❤❤❤❤❤❤❤

  • @MsafiryChitema
    @MsafiryChitema 3 месяца назад +6

    Aseeeh salute kwako kakaa baba joani this is great movie

  • @maalimali5513
    @maalimali5513 3 месяца назад +118

    Kama unakubali Baba Joan ndie mtunzi bora wa filamu kwa sasa kama ninavyomkubali naombeni likes zenu

  • @RUIYAMOHAMED
    @RUIYAMOHAMED 3 месяца назад +94

    Wakwanza kutoka Kenya gonga like tukisonga,nawapenda nyote

  • @esterester3628
    @esterester3628 3 месяца назад +5

    Baba Kalobo umenfurahisha Sana Kwa hio msimamo wako big up sana❤❤❤🎉

  • @lilimoswambu9934
    @lilimoswambu9934 3 месяца назад +11

    Huku ni kuomba tu like hakuna comment ya kuusu vilami jameni waaah😢 baba kalobo usijali kaka mungu Yuko na wewe utapona unaishi maisha magumu sana aki lakini hapa Kuna funzo penda mtu alivyo fumuliana Kwa shida na Raha roho yaniuma sana 😢😢kipindi baba karobo anapitia mengi

  • @dadsgirl7250
    @dadsgirl7250 3 месяца назад +166

    Wale wakenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪pia Mimi hapa mlike my comment 😂😂😂❤

    • @MbekeKisaingu
      @MbekeKisaingu 3 месяца назад +5

      Hapa wa pili

    • @maryatieno9130
      @maryatieno9130 3 месяца назад +4

      🤣🤣🤣🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @Aminasaloom-bm4el
      @Aminasaloom-bm4el 3 месяца назад +5

      𝑲𝒊𝒍𝒂 𝒎𝒂𝒉𝒂𝒍𝒊 𝒕𝒖𝒌𝒐𝒐𝒐𝒐🤣🤣

    • @Cynthia-t1u
      @Cynthia-t1u 3 месяца назад +3

      😂😂😂😂wacheka na ushahidi umeenda😅

    • @salehHassan-rl8bd
      @salehHassan-rl8bd 3 месяца назад +3

      😂😂😂😂😂😂🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @LayanLayan-np6qb
    @LayanLayan-np6qb 3 месяца назад +6

    Hongera sana Baba Joan 🎉🎉🎉kazi yako nzuri

  • @pendoelias1792
    @pendoelias1792 3 месяца назад +6

    Ni nzuri san hii move tunaomba muwe mnaiwahisha kidogo

  • @ChristabelShumira
    @ChristabelShumira 3 месяца назад +4

    Wooow 🎉movie mzuri sanaa baba kalobo,,yani ina mafunzo daaah

  • @SalmahBilally
    @SalmahBilally 3 месяца назад +45

    Kuna mie wa Kenya 🇰🇪 npe hata like kumi. Naona movie Ina Bamba kweli.

  • @RoseOdilo
    @RoseOdilo 3 месяца назад +3

    Hongera baba Joan na team nzima ya baba yangu kipofu kwa kazi nzuri na yenye mafunzo M/Mungu azidi kuwainua❤❤❤ 🙏

  • @JaneWanjiru-g3c
    @JaneWanjiru-g3c 3 месяца назад +3

    Aki napenda karobo sana , mtoto ndogo mwenyewe akili zake zimezidi mtu mzima 🎉🎉🎉🎉❤❤much love karobo from Nairobi Kenya

    • @EmmyMo
      @EmmyMo 3 месяца назад +1

      ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @HarunaDanielmbanzeofficial
    @HarunaDanielmbanzeofficial 3 месяца назад +25

    Nimefika Kwa dakika5 Baba karobo kingereza kinakuchanganya jaman

  • @mkasykhamisi2587
    @mkasykhamisi2587 3 месяца назад +2

    Congratulations nawapenda sana baba Joan na team yako❤chukua maua yako bb Joan🌹🌹🌹💐💐

  • @MariamRiziki-o8x
    @MariamRiziki-o8x 3 месяца назад +64

    Kama wampenda baba karobo gonga likes hapa❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mwanalimamwanlima198
    @mwanalimamwanlima198 3 месяца назад +6

    Watching it from Imarat ..shuqrn sana baba karobo

  • @FrenkiManizo-bx1ut
    @FrenkiManizo-bx1ut 3 месяца назад +7

    Safi kabisa nimekubali sana

  • @ATHUMANSALIM-c3v
    @ATHUMANSALIM-c3v 3 месяца назад +7

    🎉 ❤ kazi nzuri kutoka kenya

  • @adielndayishimiye2122
    @adielndayishimiye2122 3 месяца назад +8

    Tunashukulu sanakwa move hiyi nikali sana be Gap 💪💪 🇧🇮🇧🇮

  • @HellenWafula-b4x
    @HellenWafula-b4x 3 месяца назад +3

    Indeed mama karobo mwanamke hofyo mbaya haezi hata oshea mwanamume wake nguo akabadilisha moja tu siku zote ghai sina ubaya watching from kenya🇰🇪🇰🇪♥️♥️

  • @EvodiaDominic
    @EvodiaDominic 3 месяца назад +5

    Baba Joan hongera sana kazi nzuri aisee na dakika za kutosha

  • @LenaMasinga
    @LenaMasinga 3 месяца назад +3

    Njooo kwangu baba karobo❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Lilly-ec4bs
    @Lilly-ec4bs 3 месяца назад +3

    Whaaaa hivi mama unataka baba awendani kashakua gogoo chukuo maua kalobo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @IyshaSaidi
    @IyshaSaidi 3 месяца назад +14

    Jaman ii mov n nzur Sana baba kalobo unatuburudisha

  • @PrettyRodah
    @PrettyRodah 3 месяца назад +27

    Kenya 🇰🇪 jmni leo nimewahia nipeni izo likes 😊

  • @thomasmwita4586
    @thomasmwita4586 3 месяца назад +15

    Leo mimi wa kwanza kutoka Kenya nipe like

  • @felstaShidu
    @felstaShidu 3 месяца назад +3

    Baba joani asante kwa kazi nzuri mungu awatangulie mumalize salama movie yenu

  • @matronicsuzie4829
    @matronicsuzie4829 3 месяца назад +9

    Nimeliwait sana hili film safi sana lakini mnatueka sana angalao kwa siku tuweke mbili tutashukuru moja haitoshi samahani ❤

  • @IssaMusa-44
    @IssaMusa-44 3 месяца назад +22

    I’m watching from USA 🇺🇸

  • @sofiakinyia2734
    @sofiakinyia2734 3 месяца назад +3

    Mungu nipe uhai nielew watoto wangu mwenyewe🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @MamabelindaBelinda
    @MamabelindaBelinda 2 месяца назад +1

    Baba Joan hongera Kwa movie nzuri

  • @EstherMutindi-z6p
    @EstherMutindi-z6p 3 месяца назад +5

    Kazi nzuri keep up movie tamu keweli

  • @J74251
    @J74251 3 месяца назад +3

    Nimechelewa Sana hata 😢😢😢ila ninaraha nimefika Kwa mda mzuri Sana 🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤tamu sanaaa ❤🎉❤🎉❤

  • @ruthwatitu89
    @ruthwatitu89 3 месяца назад +6

    Watching from Kenya napenda vile munaigiza

  • @Frederick-x2v
    @Frederick-x2v 3 месяца назад +2

    😂😂😂😂 baba joan!!! eti mama karobo ni mbaya hadi shetani anamuonea wivu noma sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 pokea upendo wa dhati kutoka kenya, sisi ni maandamano tu.

  • @SamyBoudan
    @SamyBoudan 3 месяца назад +18

    Kwa Leo nime ji tahidi fika mapema 😅😅 naombeni like jamani

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 3 месяца назад +9

    Nikooo hapaaa wa kwanzaa🥰🥰🥰🥰

  • @WistoniSiliveri
    @WistoniSiliveri 3 месяца назад +31

    Wanao fuatiria baba joani na house girl ya khai gonga like🎉

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 3 месяца назад +10

    Sasha ukivaa baibui wapendeza MashaAllah, na design ya corecod mtu sio hii..

  • @TrizerIkiru
    @TrizerIkiru 3 месяца назад +5

    Wah daah nampenda baba joan

  • @shilaanyango
    @shilaanyango 3 месяца назад +6

    Am enjoying the movie 🎥,,, from Uganda

  • @PatrickPeter-ce9zn
    @PatrickPeter-ce9zn 3 месяца назад +43

    Wakwanza team baba Joan gonga like hapa tujuane

  • @Deborahdepsy-qh4rj
    @Deborahdepsy-qh4rj 3 месяца назад +17

    Nimechelewa ila likes mbili tu ya kunionyesha upendo tuuu

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 3 месяца назад +3

    Nataka wanangu wawe na akili ya kalobo nakupenda sana kalobo,,,uko wapi nikupe zawadi yako mtoto mzuri

  • @marthawanjiru6675
    @marthawanjiru6675 3 месяца назад +4

    Karibu nilale ndaa nikapata episode 16 ipo wow baba kalobo❤❤❤🇰🇪

  • @mohammedikimbute
    @mohammedikimbute 3 месяца назад +15

    Good Mr kandibele

  • @PentergonHonesty
    @PentergonHonesty 3 месяца назад +1

    Thanks too much babajoan struggle & ilove your work so much god be with you and to bless your works to grows away

  • @AshaBinmorisho
    @AshaBinmorisho 3 месяца назад +9

    Leo nimekasirika sana kwanini wame mu iba simu

  • @NaomiNjilumi
    @NaomiNjilumi 3 месяца назад +1

    Daaah ba Joan big up Sanaa kwa movie hii umefanya vzr.

  • @MillaDeus
    @MillaDeus 3 месяца назад +6

    Hongera baba kalobo

  • @ShadrackKilosho-f9k
    @ShadrackKilosho-f9k 3 месяца назад +10

    shetani anaona wivu kwajili ya mamakarobo😅😅😅😅😂😂

  • @PhilemonBwalala
    @PhilemonBwalala 3 месяца назад +3

    Wa kwanza Léo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 месяца назад +4

    Hiloo jina aisee mbona refuuuu hivyoo tena jina lakuchanganyaaa🤣🤣🤣🤣🤣wakuitee tuuu baba karobo baba Joan halafuu Mr jacob

  • @karembo7082
    @karembo7082 3 месяца назад +6

    Haya time baba karobo twendeninalo hadi tamati😂😂

  • @DansonMwayele
    @DansonMwayele 3 месяца назад +2

    Nawapenda sana kutoka 🇰🇪 Mungu azidi kuwabariki sana maana munatupa mafunzo ya kimaisha ❤

  • @FestoMgallah-l9j
    @FestoMgallah-l9j 3 месяца назад +7

    Baba joani me shabiki yako kutoka mozambique naomba ujitahidi kuwahisha kazi tunasubiria sana mpaka hamu yakufatilia inaisha jitahidi sana mashabiki zako tunaenjoy sana na kazi zako

  • @AselaGeorge-m9u
    @AselaGeorge-m9u 2 месяца назад +1

    Duuh ushahid umepotea 😢😢any way mpo vzr lakn

  • @DorinCherop
    @DorinCherop 3 месяца назад +3

    Yani Hulu kila MTU anaomba like nyie Vipi, anyway Baba karobo I was waiting ukweli ijulikane oooohbut anyway KAZI nzuri Sanaa keep it up

  • @LilijohariLilijohari
    @LilijohariLilijohari 3 месяца назад +1

    Karobo kapata❤❤ mchumba. 😅😅😅 nawapenda❤❤ sanaaaaa. . Jamani. ❤❤

  • @jollymunezero4629
    @jollymunezero4629 3 месяца назад +26

    Kirundi sasa cakwetu nip like please

  • @IjumaaGoda
    @IjumaaGoda 3 месяца назад +1

    hongereni sanah........❤

  • @JoriJori-es2re
    @JoriJori-es2re 3 месяца назад +5

    Mapema kabisa😂😂😂 ndan ya baba karobo

  • @DaudiGoli
    @DaudiGoli 3 месяца назад +1

    Huyo demu anaye kufukuzia aiseee ungemuona namzimia kinyama pole sana daah kumbe huoni big up wewe ni moto wa kuotea mbali

  • @swediPacificswedi
    @swediPacificswedi 3 месяца назад +3

    kweli wewe uko nafanya mzuri siku une tu umetowa nyingi ne 🎉🎉

  • @MasnamussaPp
    @MasnamussaPp 3 месяца назад +2

    Asanteni sana kwa story mzuriiii kz iendelee mwanzo mwisho,na mama nusu na kirobo ananifurahisha kauzu❤😂

  • @AghHh-v3f
    @AghHh-v3f 3 месяца назад +4

    Wa 🇧🇮 tujuwane baba karobo ❤❤❤❤❤

  • @BeltesaMuhasa-mo8ti
    @BeltesaMuhasa-mo8ti 3 месяца назад +1

    Asante sana kwa kazi ndugu yangu, hii kazi ni Noma sana , ni watakiye kazi njema baba

  • @ImranHussen-l6k
    @ImranHussen-l6k 3 месяца назад +3

    ❤❤❤❤😂😂😂😂 naku miss kwakwel

  • @zephbaraka
    @zephbaraka 3 месяца назад +3

    Thanks for your concern..... following from Kenya
    Good work @babajoani

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri baba joan🎉🎉🎉🎉 ushauri wangu apo kwa kurecord wakt mwengine mboreshe...kwasababu kwa hali ya kawaida hio simu ilivyoshikwa mtu anaezashuku kama anarekodiwa

    • @winnieWangechi-gb7zz
      @winnieWangechi-gb7zz 3 месяца назад

      Nimekuwa nikimtafuta hii comment tell them again apo nimewapa 10%

  • @MerchyPaula
    @MerchyPaula 3 месяца назад +3

    Baba yng kipofu yani munanibamb🎉🎉🎉🎉

  • @MaestroRugamina
    @MaestroRugamina 3 месяца назад

    Mungu azidi kukupa maisha marefu iliuendelee nakutu burudisha nakutupa mashauri zaidi baba kakupenda kweli❤🎉🎉

  • @SetianKarino
    @SetianKarino 3 месяца назад +11

    Jamàni nimefika kwa wakati nipeeni like ❤

  • @RizikiNzalla
    @RizikiNzalla 3 месяца назад +1

    Baba Joani nakubalisana kazi nzury sana na nimeendelea kuwafatilia muda mlefu so kitu ambach nakiona mbeleyako ni utakuwa msanii mkubwa sana tanzania

  • @EliezerIrakoze
    @EliezerIrakoze 3 месяца назад +3

    Congratulations. Good Job

  • @GeorgeOdongo-u8s
    @GeorgeOdongo-u8s 3 месяца назад +2

    Umefanya vizuri sana

  • @NdyamukamaEdmund
    @NdyamukamaEdmund 3 месяца назад +3

    Nimewahi leooo piah

  • @iyumva-jonas
    @iyumva-jonas 3 месяца назад +1

    Asante sana Mr Ntusubire. Tunawapenda sana, kutok Burundi

  • @dicksonguraidi
    @dicksonguraidi 3 месяца назад +3

    Wakwanz mm leo.

  • @BeatriceCleophas
    @BeatriceCleophas 3 месяца назад

    Baba Joan nakuaminia aiseeunajua kuigiza🎉🎉

  • @ZaynabShabani-bk8mu
    @ZaynabShabani-bk8mu 3 месяца назад +24

    Jamani mie nimekuwa wakwanza leo like zenu❤

  • @HawaMuhammed-p2x
    @HawaMuhammed-p2x 11 дней назад

    Yaan nzuri sana mtunzi hongera tena inafundusha sana