TUNAWAPENDA SANA WATAZAMAJI WETU, ILI TUENDELEE KUFANYA VIZURI TUNAHITAJI SAPPORT YENU ,KUNA MCHANGO WA SHILI ELFU MOJA TU (1000) KWA AJILI YA USAFILI ILI TUWE TUNABADILI MAZINGIRA YAKUSHUTIA KUPITIA M-PESA NO +255744188105. KAMA UKO TAYARI KUTUSAPORT KWA GUSA HII LINK UJE WHATSAP KWA MAELEZO ZAIDI👇👇👇👇chat.whatsapp.com/DNLyqNPiekpDTbrXEJOjUa
Huku ni kuomba tu like hakuna comment ya kuusu vilami jameni waaah😢 baba kalobo usijali kaka mungu Yuko na wewe utapona unaishi maisha magumu sana aki lakini hapa Kuna funzo penda mtu alivyo fumuliana Kwa shida na Raha roho yaniuma sana 😢😢kipindi baba karobo anapitia mengi
Indeed mama karobo mwanamke hofyo mbaya haezi hata oshea mwanamume wake nguo akabadilisha moja tu siku zote ghai sina ubaya watching from kenya🇰🇪🇰🇪♥️♥️
Baba joani me shabiki yako kutoka mozambique naomba ujitahidi kuwahisha kazi tunasubiria sana mpaka hamu yakufatilia inaisha jitahidi sana mashabiki zako tunaenjoy sana na kazi zako
Kazi nzuri baba joan🎉🎉🎉🎉 ushauri wangu apo kwa kurecord wakt mwengine mboreshe...kwasababu kwa hali ya kawaida hio simu ilivyoshikwa mtu anaezashuku kama anarekodiwa
TUNAWAPENDA SANA WATAZAMAJI WETU, ILI TUENDELEE KUFANYA VIZURI TUNAHITAJI SAPPORT YENU ,KUNA MCHANGO WA SHILI ELFU MOJA TU (1000) KWA AJILI YA USAFILI ILI TUWE TUNABADILI MAZINGIRA YAKUSHUTIA KUPITIA M-PESA NO +255744188105. KAMA UKO TAYARI KUTUSAPORT KWA GUSA HII LINK UJE WHATSAP KWA MAELEZO ZAIDI👇👇👇👇chat.whatsapp.com/DNLyqNPiekpDTbrXEJOjUa
Kaz nzr utunzi wa story mzr pot ndakwemala chane imana igufashe
F dd hbddd za d
Twendeleye
Nakuomba link zangu
Sawa baba Joan utunzi wako ni mzuri sana unatukumbusha marehemu Kanumba
Kazi nzuri baba Joan mnatufurahisha Sana imekuwa ndefu Sana nimeipenda asanteni❤❤❤❤
Natamani sana kuwa mwana Sanaa ila sijui pakuanzia safi sanaaa kazi ni nzuri
Wapili jameni 😊😊😊 na sitaki like ya mtumimi, tutakosana tusiaribiane moods😊,,,, sitaki mchezo mimi😅😢
Wa mwisho kutoka Mombasa Kenya🇰🇪🇰🇪likes hapa tukigojea episode nyingine❤❤❤❤
Utapata mingi sana lakini tafathali twakuomba chana hela yoyote❤❤
Wow congratulations tasha kwa kukamilisha ushahidi wote thank you very much wow team nasra kibanio na mumeo Nasra congrats guys❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Filamu ya baba joan iko na mafunzo mazuri sana. Naipenda kutoka Nairobi kenya
Kazy nzur sana hatuchez mbar na baba kalobo❤
Jamani leo nimechelewa kwasababu yasafali ndefu kutoka 🇧🇮 burundi kwaiyo naomba hata like 10
Woow sijui nipongeze aje Baba karobo filamu zako ni hatari Sana wacha mungu akusaidie usije mbali saidi ya hapo🎉🎉🎉❤❤❤
❤
Hee baba kalobo fanya basi umwambie mama kalobo akubandirishiye hiro shati❤❤❤❤
😄😄😄😄kwakweli
Aki wewe 😂😂😂😂
😂😂😂😂
Cjui wangapi , kutoka kenya 🇰🇪 ila nasubilia sana hadi mwisho akh❤ baba kalobo twakupenda sana n ukamtunze mwanao kalobo ❤❤❤❤
Watching from kenya hii movie ina funzo kubwa sana thumbs to the starring baba karobo 👏 👏 👏
❤❤ nzur Sana sema imechelewa kidogo Baba kalobo
Kaka hongera sana umeva uhusika kabisa umefanya nipende iyi filamu
Watazamaji wa hii movie weka like kwa baba Joan 🎉🎉🎉
Wa ine kutoka Burundi
Munigongeye likes ba brothers
Tumuonyeshe upendo baba kalobo❤❤❤
Kutoka USA nipeni like zangu guys Leo nimewayi ❤❤❤❤❤❤❤
Hi
Hello kama hutojari ninamazungumuzo nawewe unaweza ukanitumia namba ya WhatsApp
Pande zipi?
@@jeanmariebakali-ml8sm USA
@@MereTz-xv2vu pande zipi mwenzangu?tufahamiane ao sio🤣🤣🤣
Aseeeh salute kwako kakaa baba joani this is great movie
Kama unakubali Baba Joan ndie mtunzi bora wa filamu kwa sasa kama ninavyomkubali naombeni likes zenu
Wakwanza kutoka Kenya gonga like tukisonga,nawapenda nyote
Baba Kalobo umenfurahisha Sana Kwa hio msimamo wako big up sana❤❤❤🎉
Huku ni kuomba tu like hakuna comment ya kuusu vilami jameni waaah😢 baba kalobo usijali kaka mungu Yuko na wewe utapona unaishi maisha magumu sana aki lakini hapa Kuna funzo penda mtu alivyo fumuliana Kwa shida na Raha roho yaniuma sana 😢😢kipindi baba karobo anapitia mengi
Wale wakenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪pia Mimi hapa mlike my comment 😂😂😂❤
Hapa wa pili
🤣🤣🤣🇰🇪🇰🇪🇰🇪
𝑲𝒊𝒍𝒂 𝒎𝒂𝒉𝒂𝒍𝒊 𝒕𝒖𝒌𝒐𝒐𝒐𝒐🤣🤣
😂😂😂😂wacheka na ushahidi umeenda😅
😂😂😂😂😂😂🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Hongera sana Baba Joan 🎉🎉🎉kazi yako nzuri
Ni nzuri san hii move tunaomba muwe mnaiwahisha kidogo
Wooow 🎉movie mzuri sanaa baba kalobo,,yani ina mafunzo daaah
Kuna mie wa Kenya 🇰🇪 npe hata like kumi. Naona movie Ina Bamba kweli.
Hongera baba Joan na team nzima ya baba yangu kipofu kwa kazi nzuri na yenye mafunzo M/Mungu azidi kuwainua❤❤❤ 🙏
Aki napenda karobo sana , mtoto ndogo mwenyewe akili zake zimezidi mtu mzima 🎉🎉🎉🎉❤❤much love karobo from Nairobi Kenya
❤❤❤🎉🎉🎉
Nimefika Kwa dakika5 Baba karobo kingereza kinakuchanganya jaman
Congratulations nawapenda sana baba Joan na team yako❤chukua maua yako bb Joan🌹🌹🌹💐💐
Kama wampenda baba karobo gonga likes hapa❤❤❤❤❤❤❤❤
Watching it from Imarat ..shuqrn sana baba karobo
Safi kabisa nimekubali sana
🎉 ❤ kazi nzuri kutoka kenya
Tunashukulu sanakwa move hiyi nikali sana be Gap 💪💪 🇧🇮🇧🇮
Indeed mama karobo mwanamke hofyo mbaya haezi hata oshea mwanamume wake nguo akabadilisha moja tu siku zote ghai sina ubaya watching from kenya🇰🇪🇰🇪♥️♥️
Baba Joan hongera sana kazi nzuri aisee na dakika za kutosha
Njooo kwangu baba karobo❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Whaaaa hivi mama unataka baba awendani kashakua gogoo chukuo maua kalobo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jaman ii mov n nzur Sana baba kalobo unatuburudisha
Kenya 🇰🇪 jmni leo nimewahia nipeni izo likes 😊
❤❤❤😂
Leo mimi wa kwanza kutoka Kenya nipe like
Baba joani asante kwa kazi nzuri mungu awatangulie mumalize salama movie yenu
Nimeliwait sana hili film safi sana lakini mnatueka sana angalao kwa siku tuweke mbili tutashukuru moja haitoshi samahani ❤
I’m watching from USA 🇺🇸
Nice to meet you kaka
Mungu nipe uhai nielew watoto wangu mwenyewe🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Baba Joan hongera Kwa movie nzuri
Kazi nzuri keep up movie tamu keweli
Nimechelewa Sana hata 😢😢😢ila ninaraha nimefika Kwa mda mzuri Sana 🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤tamu sanaaa ❤🎉❤🎉❤
Watching from Kenya napenda vile munaigiza
😂😂😂😂 baba joan!!! eti mama karobo ni mbaya hadi shetani anamuonea wivu noma sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 pokea upendo wa dhati kutoka kenya, sisi ni maandamano tu.
Kwa Leo nime ji tahidi fika mapema 😅😅 naombeni like jamani
Nikooo hapaaa wa kwanzaa🥰🥰🥰🥰
Wanao fuatiria baba joani na house girl ya khai gonga like🎉
Sasha ukivaa baibui wapendeza MashaAllah, na design ya corecod mtu sio hii..
Wah daah nampenda baba joan
Am enjoying the movie 🎥,,, from Uganda
Wakwanza team baba Joan gonga like hapa tujuane
Nimechelewa ila likes mbili tu ya kunionyesha upendo tuuu
Nataka wanangu wawe na akili ya kalobo nakupenda sana kalobo,,,uko wapi nikupe zawadi yako mtoto mzuri
Karibu nilale ndaa nikapata episode 16 ipo wow baba kalobo❤❤❤🇰🇪
Good Mr kandibele
Thanks too much babajoan struggle & ilove your work so much god be with you and to bless your works to grows away
Leo nimekasirika sana kwanini wame mu iba simu
Wameniuzia mm ucjali
Daaah ba Joan big up Sanaa kwa movie hii umefanya vzr.
Hongera baba kalobo
shetani anaona wivu kwajili ya mamakarobo😅😅😅😅😂😂
Wa kwanza Léo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Hiloo jina aisee mbona refuuuu hivyoo tena jina lakuchanganyaaa🤣🤣🤣🤣🤣wakuitee tuuu baba karobo baba Joan halafuu Mr jacob
😂😂😂karobo umepata boyfriend 😢
Haya time baba karobo twendeninalo hadi tamati😂😂
Nawapenda sana kutoka 🇰🇪 Mungu azidi kuwabariki sana maana munatupa mafunzo ya kimaisha ❤
Baba joani me shabiki yako kutoka mozambique naomba ujitahidi kuwahisha kazi tunasubiria sana mpaka hamu yakufatilia inaisha jitahidi sana mashabiki zako tunaenjoy sana na kazi zako
Duuh ushahid umepotea 😢😢any way mpo vzr lakn
Yani Hulu kila MTU anaomba like nyie Vipi, anyway Baba karobo I was waiting ukweli ijulikane oooohbut anyway KAZI nzuri Sanaa keep it up
Karobo kapata❤❤ mchumba. 😅😅😅 nawapenda❤❤ sanaaaaa. . Jamani. ❤❤
Kirundi sasa cakwetu nip like please
hongereni sanah........❤
Mapema kabisa😂😂😂 ndan ya baba karobo
Huyo demu anaye kufukuzia aiseee ungemuona namzimia kinyama pole sana daah kumbe huoni big up wewe ni moto wa kuotea mbali
kweli wewe uko nafanya mzuri siku une tu umetowa nyingi ne 🎉🎉
Asanteni sana kwa story mzuriiii kz iendelee mwanzo mwisho,na mama nusu na kirobo ananifurahisha kauzu❤😂
Wa 🇧🇮 tujuwane baba karobo ❤❤❤❤❤
Asante sana kwa kazi ndugu yangu, hii kazi ni Noma sana , ni watakiye kazi njema baba
❤❤❤❤😂😂😂😂 naku miss kwakwel
Thanks for your concern..... following from Kenya
Good work @babajoani
Kazi nzuri baba joan🎉🎉🎉🎉 ushauri wangu apo kwa kurecord wakt mwengine mboreshe...kwasababu kwa hali ya kawaida hio simu ilivyoshikwa mtu anaezashuku kama anarekodiwa
Nimekuwa nikimtafuta hii comment tell them again apo nimewapa 10%
Baba yng kipofu yani munanibamb🎉🎉🎉🎉
Mungu azidi kukupa maisha marefu iliuendelee nakutu burudisha nakutupa mashauri zaidi baba kakupenda kweli❤🎉🎉
Jamàni nimefika kwa wakati nipeeni like ❤
Baba Joani nakubalisana kazi nzury sana na nimeendelea kuwafatilia muda mlefu so kitu ambach nakiona mbeleyako ni utakuwa msanii mkubwa sana tanzania
Congratulations. Good Job
Umefanya vizuri sana
Nimewahi leooo piah
Asante sana Mr Ntusubire. Tunawapenda sana, kutok Burundi
Wakwanz mm leo.
Baba Joan nakuaminia aiseeunajua kuigiza🎉🎉
Jamani mie nimekuwa wakwanza leo like zenu❤
Yaan nzuri sana mtunzi hongera tena inafundusha sana