MHADHARA WA UPROFESA: DOLA, SOKO NA KUSHINDWA KWA TAASISI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 май 2024
  • Mafunzokutoka katika kujifungua kwa uchungu wa kushinikiza, maisha ya mateso, na kifo cha maumivu cha MV. Bukoba.
    Prof. Rwekaza Sympho Mukandala PhD (UC Berkeley), MA (Dar), BA (Dar), Profesa wa Sayansi ya Siasa na Utawala, Profesa wa Kiogoda cha Mwalimu J. K. Nyerer katika Taaluma za Umajumui wa Afrika, na Makamu Mkuu wa Chuo Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam.

Комментарии • 7

  • @Sr.BasilisaPanga
    @Sr.BasilisaPanga Месяц назад

    Asante sana Prof. Mukandara kwa kufanya uwasilishaji wa madha kwa lugha za Kiswahili. Umetupitisha katika mambo mengi sana ya uendeshaji wa nchi, usalama wa watu, rasilimali, maamuzi ya mtu mmoja. Prof. Mukandara, umeonyesha njia kwa wataalam Maprof. Kuonyesha umuhimu wa taaluma kwa taifa na jamii. Watu wengine wameanza kusema Prof.hauna faida,bali fedha husema ina nguvu. Lakini Prof. Mukandara amegusa mambo msingi kwa taifa,bila kelele, wala matusi, lakini kwa umakini. Umetuelimisha raia wa kawaida. Asante sana. Mungu akulinde.

  • @JacksonNovatM
    @JacksonNovatM Месяц назад

    Hongera sana Prof. Mukandala kwa mhadhara mzuri.

  • @yaredbagambilana4184
    @yaredbagambilana4184 Месяц назад

    Hii ndio mijadala tuliyoikosa muda mrefu. Ahsante sana Prof. Mukandala na walioratibu mhadhara.

  • @salumhamzahamza1920
    @salumhamzahamza1920 Месяц назад

    Raha ya Udsm 👏

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 Месяц назад

    Ulimwengu Mungu azidi kukupa umri wa utoshelevu wa kutosha

  • @jamesmacha2251
    @jamesmacha2251 Месяц назад

    Naona mambo mengi sana yanayofanana na haya ya DP World, Standard Gauge, Stigler n. k, naona professor Xyz akitoa mhadhara kama huu miaka hiyoooo, anyway tutakuwa hatupo tena

  • @rabielfadhili994
    @rabielfadhili994 Месяц назад

    kongole