Ukimswalia Sana Mtume Matatizo Ya Dunia Na Akhera Yatakutoka / Usiku Unatumika Hivi / Shekh Walid

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 ноя 2021
  • Ukimswalia Sana Mtume Matatizo Ya Dunia Na Akhera Yatakutoka / Usiku Unatumika Hivi Kwa Wachamungu / Shekh Walid Alhad
    Sheikh Walid Alhad Akieleza kwa uzuri na ubora wa hali ya juu kabisa juu ya Darasa la tafsiri juu ya Usiku Unatumika Hivi Kwa wachamungu na ukimswalia sana mtume matatizo ya dunia na akhera yatatoka
    Darsa la tafsiri kichangani 2021 la mwezi ramadhani mwaka 1442H lilotolewa na sheikh Walid Alhad Omar kwa uzuri na ubora wa hali juu kabisa tiizama na endelea kufatilia darsa zetu na usisahau kushare kwa wingi tizama video zetu mpaka mwisho usisahau kushare
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 89

  • @Zainab-gs4mz
    @Zainab-gs4mz 2 года назад +48

    Napenda mafundizo yako sana mm n mkiristo inshallah inatakua mwisiramu

    • @alhabibismail3031
      @alhabibismail3031 2 года назад +8

      sema tu maneno haya ue muislam
      ashhadu ala ilaha ila llah wa ash hadu ana muhamada rasulu llah.
      mara tatu

    • @zenaahmedi8857
      @zenaahmedi8857 2 года назад +7

      Allah akuongoze...Inshaallah

    • @inabikorwaneema1644
      @inabikorwaneema1644 2 года назад +5

      Allah akuongoze .

    • @ahmedrashed7138
      @ahmedrashed7138 2 года назад +6

      Maashaallaah my mungu akuongoze ktk njia yawiislam uwe misalam

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 2 года назад +6

      Allah akufunguliee moyo wako na akuongozee katika kheir

  • @inabikorwaneema1644
    @inabikorwaneema1644 2 года назад +14

    Cheikh Allah akuhifadhi, nakupenda kwa ajili Yaa Allah

  • @nuruabdullah7814
    @nuruabdullah7814 2 года назад +9

    Maashallah Allah atuongoze jamii islam

  • @yusuphnassoro6584
    @yusuphnassoro6584 2 года назад +8

    Al habib Walid,,, walwah nakupenda mwalim wng kwa ajili ya Allah,,, Allah akuhifadh

  • @rahemaissa9867
    @rahemaissa9867 Год назад +4

    Allah atujaalie mwisho mwema na kheiry inshalah Amiin

  • @Munirawamunira-wf9lf
    @Munirawamunira-wf9lf 10 месяцев назад +1

    Nakupenda sana ostaz unafutisha vzr nataman ungekuwa mume Wang

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 2 года назад +4

    Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @darmaakaiyula8430
    @darmaakaiyula8430 2 года назад +3

    Shukhurani shekhee kwakutujenga zaidi nakuzid kutukumbusha

  • @ashashaban6484
    @ashashaban6484 Год назад +2

    MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHER SEIKH WETU

  • @pkmkmn6500
    @pkmkmn6500 2 года назад +4

    Napenda darsa lako mashaa sheihk

  • @halemaahmed7229
    @halemaahmed7229 2 года назад +3

    Maa Sha Allah huyu shekh napenda darsa zake saaana

  • @nasraabdaalah2575
    @nasraabdaalah2575 Год назад +2

    Allah akuzidishie ufaham shekh walid

  • @barwani890
    @barwani890 Год назад +1

    Tabarakrahmani
    Shukraan kwa mawaidha yako
    Ni kweli ukimsalia mtume unaepuka na mashakil mengi

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 2 года назад +2

    Shukran sana jadhaakallahu kheri

  • @rahmaoman5122
    @rahmaoman5122 Год назад

    Masha Allah Tabarakallah Allah akuifadhi sheikh Walid

  • @afric01
    @afric01 Год назад +1

    Aslm alkm ww..... Shukran. Jazakallah kheir 🙏

  • @fatmasaid6204
    @fatmasaid6204 11 месяцев назад

    Aa Masha Allah Allah akuzidishie kheir

  • @aciamwinyi3991
    @aciamwinyi3991 Год назад

    Mashaallah Allah akujalie kila kheli Amiin.

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 Год назад

    Maa Shaa Allah sheikh

  • @user-ju1pl7rr8n
    @user-ju1pl7rr8n 11 месяцев назад

    Aslm alkm ww.... Masha Allah 🌹. Jazakallah kheir 🙏

  • @alifaki4651
    @alifaki4651 2 года назад +1

    Mashallah

  • @nabiljumbe
    @nabiljumbe 2 года назад +3

    Mashaallah

  • @omarmotito841
    @omarmotito841 10 месяцев назад

    Swala Allah ala nabiyi malipo yake Allah akupe ayo

  • @mengirashidy-ld3lm
    @mengirashidy-ld3lm Год назад

    Kwa hakika dini hii ni ukweri kabisa

  • @abdallahmuttaq7306
    @abdallahmuttaq7306 2 года назад +3

    Shekhe insha'Allah nikija kumaliza maisha ya utafutaji nitakujakusoma kwako shekhe wangu

    • @mwanaimaabdallah7825
      @mwanaimaabdallah7825 2 года назад +1

      SubhannaAllah na kifo je

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Год назад

      @@mwanaimaabdallah7825 tafakur nzuri sana
      Tuzidi kujikurubisha kwa Allah

    • @mwanaimaabdallah7825
      @mwanaimaabdallah7825 Год назад

      @@muddymuzungu4357 🙏🙏🙏

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Год назад

      yaan mpka umalize kutafuta ndoo ukasome umeoangea namungu hufi mpka umalize kutafua kumbe kuna wanaume hawanazo 😄🤣😂😆😄🤣😂😆😄🤣😂😆😄🤣

    • @salumahmadasalum1556
      @salumahmadasalum1556 Год назад

      NI NGUMU KUMALIZA UTAFUTAJI

  • @abdallahmuttaq7306
    @abdallahmuttaq7306 2 года назад +5

    Wengine Wana sifiana eti anajaza basi mbili akiwahisabu idadi aliotembea nao

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Год назад +1

      anahesabu mazambi yake na toba hafanyi

  • @aamarsuleymain2932
    @aamarsuleymain2932 Год назад +2

    Shekhe tafadhali namba yako au unapopatikana toa number zako kwenye mada zako

  • @hadiyaally1543
    @hadiyaally1543 10 месяцев назад

    7

  • @jamalsahil2781
    @jamalsahil2781 2 года назад +1

    Movic

    • @zuenaomary8187
      @zuenaomary8187 Год назад +1

      Mashallah mafundisho mazuri Allah akupe umri mrefu

  • @mussakantumba824
    @mussakantumba824 2 года назад +4

    Kumswalia Kama vp

    • @vipenziwaallah5814
      @vipenziwaallah5814 Год назад

      Allahuma swalli a'la Sayyidna Muhammad wa a'la Alihi waas'habihi wasallim

    • @user-zz7ep5of2m
      @user-zz7ep5of2m 6 месяцев назад

      Au Allah huma swali ala muhamady walaalih waswahabihi wasalam

  • @AishaAbass-vv5uv
    @AishaAbass-vv5uv Год назад +1

    Shekhe nisaidie.nina matatizo makubwa Sana cjui nifanyeje Hadi nawaza mambo ambayo hayapo

  • @swedisalim5486
    @swedisalim5486 2 года назад +2

    Asalam'alaikum'warah'maturllahi'wabarakatuh'ya'cheik'tuna'kufata'sana'nafaida'ila'namba'yako'atuna'sisi'tua'ishikcongo''tua'penda'sana'darsa'yako

    • @swedisalim5486
      @swedisalim5486 2 года назад +1

      Asante'sana'cheik'na'darsa'yako'ila'tupe'namba'yako'yalwathsaap

  • @jolinkimaro9939
    @jolinkimaro9939 Год назад

    ni kweli lakini cha ajabu huyo mtume alijiswalia miaka 23 bado akashindwa kujitoa uchawi na sumu akafa nayo. lakini aloshindwa kumshinda shetani hadi akamsilimisha. na bado akafariki akawaachia kibarua cha kumswalia. swalini hata swala 3000 kwa siku moto ni moto shekh.