Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

BADILISHA MAISHA YAKO KUA MAZURI NA MATAM KWA SALA HII YA MTUME SAW NA IDADI HII RAHISI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 июл 2023

Комментарии • 115

  • @ammaryammary3554
    @ammaryammary3554 Год назад +15

    Allah akulipe jannah💝💖 shekh wetu💗♥️

  • @hassanmrisho8269
    @hassanmrisho8269 Год назад +7

    SH. OTHAMN MICHAEL, SHKHEE Naombaa nkushukur snaaa shkhe shkhe uwezi AMINI uliv elekeza kumswalia Mtume Muhammad (s w a) WALLAH,, nmejitahid siku 5 namsalia ×1000 usiku alf naomba dua nlikua sin kaz ,, leo hii shkhe nmepigiw simu ya kazi shkhe kam nliv ombaaa kweny dua

  • @hassanmrisho8269
    @hassanmrisho8269 Год назад +5

    SH, OTHAMN MICHAEL,, nashukur sn kw mafunzoo yko lnshaallah nitakuombea jambo n ww kweny dua zang NASHUKUR snaaaa nmejibiwaa jmn kupitia MTUME MUHAMMAD (S W A)

  • @SociedadeSust1234
    @SociedadeSust1234 Год назад +5

    Sheikh Othman shukran sana. Allah akuifadh nimeisambaza Swala ya Mtume Muhammad (S.A.W) kwenye group ya WhatsApp mpaka leo watu wananipa majibu mazuri . Alhamdulillah

    • @nuuraalinoor3630
      @nuuraalinoor3630 11 месяцев назад

      Thanks my sister,ulisoma ipi please write it for me thanks.

    • @SociedadeSust1234
      @SociedadeSust1234 11 месяцев назад

      @@nuuraalinoor3630 Allahuma swali Alaaa saidina Muhammadin waalihi waswahabiih wasalimo .

    • @NunuKupela
      @NunuKupela 9 месяцев назад +1

      Naomba uniandikie vizur dada yangu

    • @nuuraalinoor3630
      @nuuraalinoor3630 9 месяцев назад

      @@NunuKupela Asalamu caleykum,I was asking which salawat were you reading thanks.

  • @HabibaRija-ll6gp
    @HabibaRija-ll6gp Год назад +4

    Shukrani sana shekhe tangu nilipoanza kumswalia mtume kwa wingi kheri naziona zinaanza kuja na nilikaa nikamuomba Allah kupitia swala ya mtume aniponye mguu ulokua unanisumbua Hadi Leo nishapona Niko poa.Pia nilipomswalia mtume zaid ya mara 1000 niliumwa sana Mambo ya ajabu lakini hadi leo naendelea yameanza kupungua .Hivyo watu waache kubeza.Allah akulipe shekhe.

  • @user-yr3mn6nn7l
    @user-yr3mn6nn7l 2 месяца назад

    Amina yaral-ghalamina allah akupe umri mrefu shekhe Othuman

  • @khadijaalihamad7086
    @khadijaalihamad7086 Год назад +5

    Allah akulipe kheri na umree mreef uzid kutufunza

  • @AlikhamisHamad-eb6gr
    @AlikhamisHamad-eb6gr 18 дней назад

    Shekhe othuman wallah sana sana kwaajili ya Allah natamani hata Allah akituruzuku Pepo badala yamtume kua jarani zetu bas nawwe pia uwe pembeniyetu

  • @nkurunzizaabdul-aziz7211
    @nkurunzizaabdul-aziz7211 Год назад +2

    Naam maanshaallah tabarakallah kheir sheikh wetu kwakutuhamasisha na swalatul alanabii
    Nasitu tunakutakia mwaka huu mahujaji Allah amewakadilia kwenda nawe uwemo
    Tunaimani tutanufaika sana zaidi nasafari Yako hiyi ya hidja
    Allahum amin ya rabb

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 Год назад +4

    Masha Allah very beneficial lecture, BarakAllah feek

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 Год назад +3

    Allah akupe shifaaa na kila aliemgonjwa Allah amjalie shifaa ya haraka
    Ameen ya Rabby Alamin 🤲🤲🤲

  • @miishhassn
    @miishhassn Год назад +2

    Mashallah shekh umeni inspire san kumswalia mtume allah akulipe kher dunian na kesho akhera 🥰🥰

  • @naimaally1559
    @naimaally1559 Год назад +5

    Insha allah atakulipa kheri zake. Uchamungu nilionao, namshukulu Allah ni kupitia kazi ya shekhe othuman. Niliumwa nikaenda kutibiwa kwake nikamuuliza, sasa shekhe nikipona hakuna kinga utakayo nipa? Shekhe akaniambia kinga iko kwa Allah kwa sababu mashetani tunaishi nayo na wachawi tunaishi nao, kwahio wewe fanya sana ibada siku zote za umri wako, na simama usiku umuombe Allah. ALHAMDULLAH Allah alinijalia wepesi nikafanya yote kwa yaqini kwakweli nashukulu sana nilikuwa nimejaliwa watoto wengi wakiwa ni wakike nimeomba mtoto wakiume Allah akuhifadhi shekhe

  • @sarahronoh540
    @sarahronoh540 Год назад +2

    Allah akujalie .kila kheri na familia yako Sheikh Othuman

  • @fatmafaki4896
    @fatmafaki4896 Год назад +4

    Allah barik

  • @eshasalim1471
    @eshasalim1471 Год назад +2

    MashaLLAH sheikh wetu Allah Akujazi kheri hapa duniyani na kesho Akhera Ameen yaa RABB

  • @user-sh5zv6fl6s
    @user-sh5zv6fl6s Год назад +1

    Mashallah ❤❤ Allah akupe pepo ya juu pamoja na kipenz chetu nabii Muhammad (swala lahhu allaiy wasalam)Amiin 🌹🌹🌹

  • @habibtihayati5311
    @habibtihayati5311 Год назад +1

    Mashallah tabarkallah shukran sheikh yetu Allah akulep ❤❤❤❤

  • @yakubtaib6085
    @yakubtaib6085 Год назад +1

    Nakubali sheh wang ...Allah akuzidishie ...hakika nidarsa nzur san ...

  • @JumaZahoro2000
    @JumaZahoro2000 Год назад +7

    اللهم صل على سيدنا محمد وآله وصحبه وسلم ❤

  • @Al-aminMwengebutsa-bw6mb
    @Al-aminMwengebutsa-bw6mb Год назад

    Sheikh Othman Michael. Shukran sana. Na Allah akuzidishe mapenzi kubwa kwa bwana Mutume Muhammad.(sw)

  • @Azuu-rq6te
    @Azuu-rq6te Год назад +1

    MaashaAllah Sheikh Allah akulipe kila la khair

  • @naimaally1559
    @naimaally1559 Год назад +2

    Na huyo mtoto wakiume nilie muomba Allah amenijalia nimempata, ALHAMDULLAH kanzi nzuri shekhe malipo yako utayakuta mwisho wa safari yako ya maisha,

  • @salimbiaisha6466
    @salimbiaisha6466 Год назад

    Masha Allah. Allah akujaalie kila la Kheri Duniani na Akhera. Sheikh wetu.

  • @ZuhuraMikidadi-d5r
    @ZuhuraMikidadi-d5r 5 дней назад

    Asalm alaykum warahmatullah.asante. 👏
    Othuman michel

  • @user-pw1zd1qw5i
    @user-pw1zd1qw5i Год назад +1

    Mungu akulinde sana sheikh unafanya kaz kubwa sana ya kuutangaza uislam

  • @salimbakarhilal2838
    @salimbakarhilal2838 Год назад

    Jazaka LLahu Khayr, Inshaa Allah Ameen. Allah akupe kivuli siku ambayo haina kivuli isipokuwa kivuli chake yeye Allah. Inshaa Allah Ameen. Shukran Sheikh

  • @aminahmuhindo584
    @aminahmuhindo584 Год назад

    Jazakallahu kheri naomba Allah akulipe kila kheri fi dunia wali akhira yarabi na akubali kazi zako zoote unafanya Kwa ajili yake Allah

  • @GloriaNdeleva
    @GloriaNdeleva Год назад +1

    Allah akupee Keri na akuzidishie

  • @sheikhaalamoudi3390
    @sheikhaalamoudi3390 Год назад +1

    Mashaallah umetupa faida sana jazakallahu kheri

  • @user-ok4cp1rw7r
    @user-ok4cp1rw7r Месяц назад

    Ya ,Allah .Inshaallah Atakulipa kwahisani yake kheri ambayo hukuitaraji.Ya,Ghafar Ya, Mujibu.

  • @mwanaashambogo351
    @mwanaashambogo351 Год назад +1

    Mashallaah
    Mwenyez mungu akuhifadh shekh

  • @miishhassn
    @miishhassn Год назад +2

    Allah akup umr mref weny manufaa ❤❤

  • @ala1608
    @ala1608 Год назад

    MA nsha Allah nakupenda kwajili ya Allah sheikh Othman Michael ♥️🇧🇮🇴🇲

  • @user-ju1pl7rr8n
    @user-ju1pl7rr8n 11 месяцев назад +1

    Aslm alkm ww..... Masha Allah!!! Sheikh wetu kipenzi. Nakupenda bila kuficha. Dua zako zimefika insha Allah 🙏. Allah anakupenda sanaa. Napenda kuskiliza mawaidha yako unapo msifu Nabii Muhammad S. A. W. Unamtaja kwa mahaba ya hali ya juu... Yasssalllam bila shaka na yeye anakupenda sheikh wetu kipenzi. ❤❤❤❤❤❤❤❤. Allahu maswali wasalim allaa sayyidina Muhammad waala ahlihi wa swahbihi wasalim. Masha Allah. All'ah akulinde 🙏🌹💕💕💕💕❤️

  • @user-xu1qg4sm6e
    @user-xu1qg4sm6e 4 месяца назад

    Allah akulipe kheri akupe zaidi ya ulichonacho...akupe pepo 🤲🤲🤲🤲.....

  • @amanifadhi
    @amanifadhi Год назад +3

    Allha Akuhifadhi akufungulie tiziki akuperiziki pana

  • @user-ju9mi1ft4v
    @user-ju9mi1ft4v Год назад +2

    Shukran jazakallah kheri

  • @ibrahimsalim2262
    @ibrahimsalim2262 Год назад

    Allah akuzidishie shekher wetu akupe umr mrefu inshallah masha Allah,😍

  • @tausiabdallah6402
    @tausiabdallah6402 Год назад

    Amiiyna sheikhe iwe kwako pia isha allah allah akuzidishie khery

  • @halimakenya3632
    @halimakenya3632 Год назад

    Mungu akujalie mwisho mwema sheikh wetu inshaallah

  • @umazimwambezi8092
    @umazimwambezi8092 Год назад +1

    Allah akuzidishie heri njema inshallah

  • @fetyomary698
    @fetyomary698 Год назад

    Mashaallah napenda sana khutba zako Allah akulipe kila akher

  • @PILLYKHOMBO-kn5ud
    @PILLYKHOMBO-kn5ud Год назад

    Allah akuzidishie kila la kheri duniani na akhera kwa unavyo tufundisha.

  • @user-xx6ls7wy5s
    @user-xx6ls7wy5s Год назад

    Allah akujaze kheir sheikh wetu kipenzi🙏♥️

  • @halimakenya3632
    @halimakenya3632 Год назад +1

    Mashallah

  • @MohamedHussein-ng1lw
    @MohamedHussein-ng1lw Год назад

    Shukran jazakumullahu khairan shekh wetu masha allah tabarak allah

  • @blackwarrior-animations593
    @blackwarrior-animations593 Год назад +1

    mashaallah allah akuzidishie

  • @niyongerehalima6
    @niyongerehalima6 Год назад

    Naam swalat alaa nabi muhim sana,mswaliy mtume wetu Muhammad (saw) kadr uwezavyo ni muhim sana na lau kama una mambo mabaya mwilini mwako yatajitokeza tu

  • @ashanibigira5898
    @ashanibigira5898 Год назад

    Allah akulipe kila laheri apa duniyani nakesho ahera naAtukingi

  • @seifhamed2605
    @seifhamed2605 Год назад

    Asnt sana ustadh allah akupe umr mrf wenye kher innshaallah

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw Год назад +2

    Asante shekh

  • @nuuraalinoor3630
    @nuuraalinoor3630 11 месяцев назад

    Quick recovery sheikh praying for you salallahu caleyhi wasalam Allahuma Amiin ya Allah thanks

  • @aminaamina3972
    @aminaamina3972 Год назад +2

    Allahma amin yarabi

  • @HairahSayyed-hs9sb
    @HairahSayyed-hs9sb Год назад

    Mashaallah huyu sheikh Allah amlipe jannat

  • @AshaMussa-bo2dw
    @AshaMussa-bo2dw Год назад

    Masha Allah. Allahumma Amiin. Mwenyenzi Mungu akujaalie khery. In Shaa Allah

  • @fatumakambi960
    @fatumakambi960 11 месяцев назад

    MWENYEZI Mungu Akupe neema inshaallah

  • @aminie-dn8jn
    @aminie-dn8jn 8 месяцев назад

    Amin yarab

  • @user-zz7ep5of2m
    @user-zz7ep5of2m 7 месяцев назад

    Allah huma swali saydina muhamady walaalih waswahabih wasalam

  • @djumaassumani5169
    @djumaassumani5169 4 месяца назад

    Tuna swali ila bado mambo magumu sheikh wangu😢

  • @halimakenya3632
    @halimakenya3632 Год назад

    MI pia nakupenda Sana sheikh kwa ajili Allah

  • @user-bf5jo9eb5o
    @user-bf5jo9eb5o 9 месяцев назад

    Mashallah nilikuona tu mara ya kwanza nikakupenda nipo Kenya

  • @halimakenya3632
    @halimakenya3632 Год назад +1

    Mungu akujalie jannah

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 Год назад

    Sasa nipo rebanoni niombee sara hii ❤❤❤❤❤

  • @aminahkimwana109
    @aminahkimwana109 Год назад

    Mwenyezi_Mungu akuhifadhi

  • @ramadhanisungwini6423
    @ramadhanisungwini6423 Год назад

    Allhahu mmaswalliy aalah saidinaaaaa Muhammad 🤲🤲🤲

  • @allynasibu9120
    @allynasibu9120 Год назад

    Alhamdoullilah Allah akulipe kheir fill dunia wao ahera

  • @aziziligonde3270
    @aziziligonde3270 Год назад

    Rabbih akujaliye pepo amin🙏🙏🙏

  • @user-jh6uu1td1i
    @user-jh6uu1td1i 3 месяца назад

    Natamani ndoa niombeeni dua na mim nistirike

  • @mohameda.i.baranyikwa6551
    @mohameda.i.baranyikwa6551 Год назад

    Masha ALLAH, nakupenda kwa ajili ya ALLAH

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 Год назад

    Mashaallah Amina

  • @sharifajosia879
    @sharifajosia879 Год назад

    Maashaallah

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 Год назад

    Allah bless your love ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ kwa ajili ya Alla

  • @user-us9xy7os2y
    @user-us9xy7os2y Год назад

    MashaAllh

  • @user-dh1dz9rz2t
    @user-dh1dz9rz2t Год назад

    Allah akulipe inshallah

  • @AminaShukya-xm8gk
    @AminaShukya-xm8gk Год назад

    Allah akulipe kwa mawaidhaa yako

  • @nuuraalinoor3630
    @nuuraalinoor3630 11 месяцев назад

    mashaAllah tabarakallah, sheikh which one did you recite ten thousand or five thousand please tell me.shukran

  • @GodanoFatuma-dx4lk
    @GodanoFatuma-dx4lk Год назад

    Amiin jazzakum Allah

  • @firstlady9848
    @firstlady9848 Год назад

    Allahumma ameen 🤲

  • @Mbarukbinibrahimo
    @Mbarukbinibrahimo Год назад +3

    ❤❤❤❤❤🇲🇿

  • @manajr9155
    @manajr9155 Год назад

    Shukran 🙏

  • @HajiNgaeka-qw3kz
    @HajiNgaeka-qw3kz Год назад

    Amin Allah akulipe heli

  • @animamichael3968
    @animamichael3968 Год назад

    Nampenda Sana huyu shekh pamoja na nasaha zake

  • @AlikhamisHamad-eb6gr
    @AlikhamisHamad-eb6gr 18 дней назад

    Shekhe Mimi nilipokuja kwako nilitamani hata nikukumbatie kwa mapenzi ila kwa haziyako niliogopa

  • @fuatmh-mashallahsheikhwetu534
    @fuatmh-mashallahsheikhwetu534 Год назад

    Mashaallah tabarakallah Allah akuifadhi uzidi kutufunza yalo ya kheri Inshaallah

  • @issahusseinissa5009
    @issahusseinissa5009 9 месяцев назад

    Kusema kweli napenda kufata mawahidha yako yanijenga Sana nilikuwa na shida nimesali Sara za usiku nimejibuwa kwa haraka kila kitu kwa allah chepesi

  • @alaminjuma
    @alaminjuma Год назад +2

    Shekh wangu umekataa kabisaa kuongelelea tanbihi ya swalatun Naariyah. Hii alladhi tanhal-lu lahul ni Kwa sababu yake ama vipi please clarify

    • @Teacher........
      @Teacher........ 9 месяцев назад

      *Tan hallu ﴾bihi﴿l uqad*shekh wangu hapo hiyo bihi niloweka qaws hiyo ni maanaake ni ﴾kwasababu﴿ ya mtume lakini sio yeye mfungua vifungo ni *ALLAH* ila mtume ni sababu mfano kidonge unameza hakiponyeshi ila mponyeshaji ni nani ni ALLAH kidonge ni sababu yaa Akhuy

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 Год назад

    Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️

  • @pilijuma4940
    @pilijuma4940 Год назад

    ❤️❤️❤️

  • @Marjeby
    @Marjeby Год назад

    Sheikhe Othuman wallah nilijitahidi sana kukutafuta wakati nipo Dar lakini mungu hakujalia kukuona lakini nia yangu hasa ilikuwa kwanza kukushukur sana lakini la pili nilitaka nikupe ushuhuda wangu kwako kwanini kwako.Sababu wewe na sheikhe Walid Alhad ndio watu mlionifanya nijue umuhimu na nini swala za bwana mtume basi wallah nimedumu katika hilo allah shahid imenibadilisha kuanzia maisha yangu na kila kitu changu kwa hali ya juu sana.
    Mimi ni mwanasheria nilihitimu masomo yangu tangu mwaka 2015 kipindi chote hicho sikuwa na chochote kile kwa maana ya chochote lakini nilipomua kudumu na swala za bwana mtume kila siku kabla ya kulala kwa muda wa kama miezi saba na idadi ilikuwa 500 tu basi wallah mungu ana niona sasa hivi nna kila kitu kwa maana ya kila kitu napata kazi kwa maana kesi za kusimamia mpaka zingine nawapa jamaa zangu naingiza pesa hasa alhadulilah.
    Sheikh Othuman na Walid Alhad nia yangu niwaone niwashukuru na kuwapongeza wanafanya kazi kubwa sana kila siku kwenye dua zangu mpo mungu awape uhai mrefu na afya njema nyinyi ni hazina ya uislam ni mashekh ambao mnaeleweka na kila rika Mungu awazidishie kila kheri

  • @fatnazainabo5184
    @fatnazainabo5184 Год назад

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh,sheikh pls naomba namba ya sim Nina matatizo nahitaji msada kwa ajili ya Allah

  • @miishhassn
    @miishhassn Год назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @aminaoman8418
    @aminaoman8418 Год назад

    Assalamu alaykum 🤲🤲🤲

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 Год назад

    Siku nikijariwa kukuona takuhadisia kweri nimefanya nimefauru

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 Год назад

    ❤❤❤😢😢😢😢 kweli kabisa yaani mimi pia ninaushuuda na nimefanikiwa na sara hii