BMG TV: Uzuri wa Tanzania (S02-E15) Kahama inakimbia kimaendeleo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • BMG Online Media- Pamoja Daima!
    Tovuti www.bmgblog.co...
    Facebook / bmghabari
    Twitter / bmghabari
    Instagram / bmghabari
    #BMGTV #BMGBLOG #BMGHABARI Pamoja Daima BMG

Комментарии • 36

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula4870 2 года назад

    Asante sana Pazzo
    BMG TV kazi yenu nzuri sana
    🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 2 года назад +2

    Uko vizuri sana mr, tunaomba utuonyeshe na Bariadi pia Geita

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  2 года назад +2

      Nitafanya hivyo

    • @GBPazzo
      @GBPazzo Месяц назад

      Bariadi ruclips.net/video/xiEmvka5u4Q/видео.htmlsi=OHuwwJJVMARXkmKv Simiyu

  • @pmc281
    @pmc281 Год назад +2

    Nice

  • @richrichard3322
    @richrichard3322 2 года назад +2

    Naona Leo umetembelea wilayani kwetu big up sana

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  2 года назад

      Pamoja sana Rich

    • @richrichard3322
      @richrichard3322 2 года назад +1

      @@BMGOnlineTV ukipata mda waulize viongozi mbona barabara na stand ya mabasi haviendani na hadhi ya manispaa

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  2 года назад

      @@richrichard3322 sawa

  • @mohammedsalum3502
    @mohammedsalum3502 Год назад +2

    Nyumban nimepamic aise

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 2 года назад +2

    Siku moja muitembelee na Bariadi, nasikiaga nako eti ni pazuri.

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  2 года назад

      Sawa, tutafurahi kufanyia kazi maoni yako

    • @yohanabundala9162
      @yohanabundala9162 2 года назад

      Kweli na bariadi waitembelee

    • @GBPazzo
      @GBPazzo Месяц назад

      Bariadi ruclips.net/video/xiEmvka5u4Q/видео.htmlsi=OHuwwJJVMARXkmKv Simiyu

  • @mohammedsalum3502
    @mohammedsalum3502 Год назад +2

    Kwa mgeja apo

  • @noelmashaka9066
    @noelmashaka9066 2 года назад +2

    Mje na Songea ,mjukue na picha ya juu yaan drone

  • @frenkifrenki4775
    @frenkifrenki4775 Год назад +2

    Watu wanavyo piga kelele kuusu kaama kawa bonge la mji kumbe akuna lolote apo kama wilaya nyingine tu pia kunafanana na kigoma

  • @lazarodaudi1689
    @lazarodaudi1689 Год назад +2

    Jitahd utumie drone camera kazi yako itakuwa Bora zaidi

  • @valentineshembilu1256
    @valentineshembilu1256 2 года назад +2

    Usiwe muongo eti kahama ni halmashauri ya tatu kimapato baada ya kinondoni na mufindi

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  2 года назад +2

      Weka hapa ukweli wako tujifunze. Lakini kwanza tuliza moyo, sikiliza kwa umakini, kisha tuendelee kufundishana.

    • @valentineshembilu1256
      @valentineshembilu1256 2 года назад +1

      @@BMGOnlineTV mwaka huu wa fedha ulioisha halmashauri zilizokusanya sana kwa wingi ni dsm jiji (ilala),kinondoni, dodoma, temeke, arusha,mwanza, tanga,ubungo,kigamboni na mbeya

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  2 года назад +2

      @@valentineshembilu1256 Tofautisha kwanza Halmashauri za Majiji na Manispaa kisha tuendelee.

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  2 года назад +1

      @@valentineshembilu1256 Manispaa tatu Bora kwa kukusanya mapato mwaka 2021/22 zilikuwa ni Kahama (67%), Musoma (65%) na Ilemela (55%). Je kwenye video tumetaja takwimu za mwaka gani hadi ukabaini ni uongo? Na je unatambua kuna kundi la Halmashauri mbalimbali kama Wilaya, Miji, Manisapaa na Majiji? Haya karibu tujengeane uelewa!

    • @valentineshembilu1256
      @valentineshembilu1256 2 года назад

      @@BMGOnlineTV ukiongelea kwa asilimia za manispaa 2021/22 kahama wana 104% bil 9.9,ilemela 108%bil 10,musoma 96% hizi manispaa ulizotaja hazipo kwenye tatu bora kwa asilimia ila kahama na ilemela ndio zimeingia kwenye manispaa mbili bora zilizopo mikoani kwa pato halisi si asilimia, shinyanga 126%,ubungo na kigamboni zimeingia tatu bora kwa kundi la manispaa kwa kufanya vizuri kwa asilimia, source Tamisemi sachi mapato tamisemi udowload pdf file