MZUNGU APAGAWA NA TANZANIA, AOMBA URAIA KWA RAISI SAMIA, ONA KISWAHILI CHAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 927

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 Год назад +63

    Jesse anaroho nzuri mungu akubariki tunakupenda watanzania 🇹🇿🇴🇲

  • @hallowkij5677
    @hallowkij5677 Год назад +19

    me nampenda mtangazaj jaman jins anavyo tangaza
    kama ww unamawazo kama mimi nipe like jmn

  • @matatomlik1846
    @matatomlik1846 Год назад +28

    Mungu akubariki sana na karibu Tanzania 🇹🇿 yetu

  • @nataemsuya
    @nataemsuya Год назад +15

    Wema huu hauozi, ujana wako hadi uzeen utakuwa mtu Wa furaha saana.MashaAlla watu wa pepon hawa.❤❤❤

    • @saadaAbdalla1371
      @saadaAbdalla1371 Год назад +2

      Mungu ambariki awe muislam

    • @AllyRashidy-km7sr
      @AllyRashidy-km7sr Месяц назад

      Me nawapenda Hawa wazung il nawaogopa nilidet n mchina duuh nilibloock maan roho hainipi

    • @AllyRashidy-km7sr
      @AllyRashidy-km7sr Месяц назад

      Kua muislaam besty uswal utapeendeza sanaa

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv Год назад +7

    jess Mungu akubali una roho mzuri sana mashallha karibu Tanzaniq

  • @naimahhussein8430
    @naimahhussein8430 Год назад +11

    Mtangazaji hongera 😍😍😍ni mzuri na rangi yako 😘😘😘😘😘😘nimekupendaaa🫂♥️

  • @elizabethjakobo279
    @elizabethjakobo279 Год назад +3

    Wawooo 😘 thanks
    So nice iloveyou Tanzania 🇹🇿

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 Год назад +11

    Mimi nimemuewa Jessy,hii sio biashara!ni mapenzi!nimenda tabia zako my boy,all the best and my prayers in shaa Allah salama

  • @oswaldsambaya4422
    @oswaldsambaya4422 Год назад +5

    You're welcome to Tanzania. You're a good person

  • @Mapesa01
    @Mapesa01 Год назад +3

    Dada ongea nawo kwa kiswahili chote awo mana sisi tupo nje huku wanavotusomesha lugha zao hawatuongeleshi kabisa kwa lugha ambazo tunaelewa kwa asilimia zote na wao tuwafundishe lugha ikue iyo❤

  • @alexndabatinya7953
    @alexndabatinya7953 Год назад +64

    Hii interview ni nzuri sana. Lakini kuna kitu hapo kinanishangaza saba. Huyu mzungu anajitahidi kuongea kiswahili, japo kwa shida lakini anajitahidi aeleweke. Cha ajabu huyo dada anakuwa anachanganya kiingereza. Badala amsadie mzungu aongee kiswahili lakini nikama huyu mdada anataka kuonesha kama anajua kiingereza. Tuipende lugha yetu jmn. Kama unataka kuongea kiingereza fanya interview ya kiingereza. Sahamani sana kama nitaeleweka vibaya

  • @NeemaBwomaBaraka
    @NeemaBwomaBaraka 12 дней назад

    😮Neno la mungu linasema pendaneni ko ujakosea kuwapenda watanzania❤❤❤❤❤ ukifungua kituo cha salama maomba kazi kituonikwao

  • @cleophacemahendeka4937
    @cleophacemahendeka4937 Год назад +4

    Hongera sana kwa jese kujua kiswahili vizuri sana atakuwa balozi mzuri wa kuitangaza Tanzania uko kwao

  • @HassanAli-rw5go
    @HassanAli-rw5go Год назад +8

    Nakupenda buree tabia zako nzuri sanaa kwanza hulewi naomba uingie uislamu

    • @domymerinyo8165
      @domymerinyo8165 Год назад +1

      Huo ni ubinafsi fanya sehemu yako ktk maisha uache rekodi

    • @MpekaThomas
      @MpekaThomas Год назад

      Afu mwanangu aume😂😂😂😂unashobo

    • @esthermachangu4970
      @esthermachangu4970 Год назад

      Kwa hiyo wakisto sisi ni nyau

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 Год назад +5

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Mungu ibariki TANZANIA, Mungu ibariki AFRIKA. Karibu Tanzania Kaka nchi ya Amani.

  • @dianamvuzwa-eh9ov
    @dianamvuzwa-eh9ov Год назад +1

    Jesse hongera kwa vigezo vyako ,vyakuowa karibu Tanzania tunakupenda sanaaaa unaonekana unaroho nzuri

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 Год назад +40

    Nimependa sana huyo jamaa anasema wanawake wengi wa nchi zilizoendele hawataki kuwa mke. Hilo ni kweli asilimia 100. Na dunia inawaharibu wanawake wakiafrika na haki sawa. Singlemothers wameiona hiyoo??

    • @menalikechildren8836
      @menalikechildren8836 Год назад +1

      Kwel kabisa

    • @ZamoMartin-i2e
      @ZamoMartin-i2e Год назад

      Mkweli kbs

    • @tinapius1865
      @tinapius1865 Год назад

      @@ZamoMartin-i2e kijana huyu mtu wa MUNGU sana natamani nimpate anisaidie masuala yangu ya kutoa elimu kuhusu ukatili hasa kwa watu wanaoishi na vvu UKIMWI.

  • @oman7710
    @oman7710 Год назад +2

    Masha Allah karibu Tanzania kaka

  • @cptornado5267
    @cptornado5267 Год назад +3

    Kama muzungu anajifunza Kiswahili, what about us Africans? Nimeshukuru kwa sababu I’m in intermediate level now, I’m definitely learning it🇸🇸

  • @twalebleboss9687
    @twalebleboss9687 Год назад +1

    OOOh..... VERY COOL ... Jamaa ni poa sana na anamtazamo mzuri kimaisha na anachokifanya kuwasaidia wengine ..NI KITU KIKUBWA SAAANA...#BLESSINGSS👌👍👊👊

  • @sarahkahaki1913
    @sarahkahaki1913 Год назад +4

    Watching from Kenya i like the guy.venye anasaidia hao watoto,hope anaeza kunja Kenya pia kusaidia pia

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 Год назад +2

    ❤❤ ss tunawapenda wale waotupenda, piya kma uko n ofu ya MUNGU

  • @yohanekopilato-wn3lo
    @yohanekopilato-wn3lo Год назад +16

    Kitu kimoja tunapaswa kujua kwa Wazungu, Wazungu wapo wa aina 3 wapo wazungu ambao hawapendi kabisa Waafrica hao ndo wanaiba hadi leo mali zetu, wapo wazungu ambao hawajali chochote kuhusu waafrica wamepigwa sawa wameonewa sawa kifupi hawajali chochote na wapo wazungu wanaowapenda Waafrica ndo kama huyu Jossee

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Год назад +2

      Kuibibwa nikwasababu ya upumbavu na ujinga wa waafrika wenyewe na viongozi wenyewe, so ata waafrika wapo ambao hawawapendi watu weupe nasi wazungu tu pengine na waarabu

    • @DavidKilusu-p4d
      @DavidKilusu-p4d Год назад +1

      Wa Aina ya nne ni mzungu rafiki mnafiki, makusudi kwamba ana malengo ya siri. Nahisi huyu ni wa aina hiyo. Hautamwelewa haraka. Muwe makini na ushoga -unaenezwa ktk mataifa yanayoupinga kijanja sana. "Be aware!".

    • @aishaamwalimu2887
      @aishaamwalimu2887 Год назад

      ​@@DavidKilusu-p4dKabisa Hatamkija Kujua Tayari Mambo yameharibika, Wana mbinu Nyingi Sana.

  • @PhinaAthuman
    @PhinaAthuman Год назад

    Mungu akubariki Jesse karibu sana Tanzania nimekupenda Bure I wish nikuone live 🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад +12

    Karibu sana sana Tanzania 🇹🇿

  • @aminamohamed9955
    @aminamohamed9955 Год назад +1

    Thank Jesse tuna kupenda sana am from Tanzania 🇹🇿 but I work house media in Omani well come Tanzania

  • @zainawangu5838
    @zainawangu5838 Год назад +5

    Dah nampendaga sana huyu kaka ❤❤ila dada yangu kipenzi unamuuliza maswali marefu ambayo yeye mwenyewe anazani nimagumu kumbe ni vile tu kiswahili bado akija kaa sawa kichwani 😂😂😂

  • @FaizaSalim-y6v
    @FaizaSalim-y6v Год назад +19

    Hata mimi mkenya jamani naipenda tanzania ❤❤

  • @jawahirkahinmadar1459
    @jawahirkahinmadar1459 Год назад +4

    Jecy mungu akubariki sana kijana 🎉🎉🎉❤

  • @fainesbrown6854
    @fainesbrown6854 Год назад

    Asante kwa upendo wako Jesse,Mungu akubariki

  • @DrPiusTV
    @DrPiusTV Год назад +9

    Kiswahili kizuri kuliko mtangazaji, mtangazaji anauliza kwa kingereza halafu anajibiwa kiswahili😂

  • @cipriano3040
    @cipriano3040 Год назад

    Great guy....i support the guy....i wish to get him & give him a word

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 Год назад +9

    Huyo ni.mwafrica ana dam ya kiafrica mana babake ni misri

    • @RonnieBertin
      @RonnieBertin Месяц назад

      Ukizaliwa uingeleza wewe ni muingeleza no matter what

  • @EpiphaniaMallya
    @EpiphaniaMallya Год назад +1

    Mpe hongera zake. Kiukweli amefanya kazi kubwa na nzuri

  • @laurenciazacharia9197
    @laurenciazacharia9197 Год назад +7

    Jesse ni mcheshi kweli karibu sana Tanzania❤

    • @OmanOman-m9n
      @OmanOman-m9n Год назад +1

      ubarikiwe Sana jesse na pole Sana mungu akusaidie Sana Sana mkasa

    • @OmanOman-m9n
      @OmanOman-m9n Год назад

      uliokpata

  • @cipriano3040
    @cipriano3040 Год назад

    Count in in the NGO Foundation...its my dream & this is what am working towards...

  • @salamamsusa
    @salamamsusa Год назад +17

    Karibu Tanzania 🇹🇿 tunakupenda sana❤️❤️❤️

  • @chachamtiba1069
    @chachamtiba1069 Год назад +1

    Ubarikiwe mno kaka,, I hope GOD is with you in all your life , be blessed brother

  • @vero57
    @vero57 Год назад +13

    KARIBU SANA TANZANIA, UNA ROHO NZURI SANA JESE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @SaumuAlly-i6u
    @SaumuAlly-i6u Год назад +2

    Love you 😘 sana kwa kupenda nchi yangu

  • @samwelyremy4103
    @samwelyremy4103 Год назад +3

    We are all connected in love ❤
    Good job brother 💚

  • @bahatidominic8923
    @bahatidominic8923 Год назад +1

    Mbengo TV msimpoteze huyu mtangazaji. Ni mzuri mnooo!!! Labda mumboreshe kwa vitu vidogo vidogo tu, lkn kwa kiasi kikubwa she does great ☺️☺️,, Ushauri wangu kwenu Mbengo TV mjitahidi kumnoa kwenye lugha ya kingereza.

    • @lailaabeid717
      @lailaabeid717 Год назад

      Kwakweli mtangazaji nj wetu na atabakia hapo daima

  • @PiliKhamis-mb6ty
    @PiliKhamis-mb6ty Год назад +10

    Karibu Tanzanian tuna amani sana

  • @berthatz
    @berthatz Год назад +2

    Jesse huyo kijana wa Kikurya huyo moja kwa moja toka Butiama..😂❤️❤️👏🏾

  • @AnnaMwailenge-hy3xg
    @AnnaMwailenge-hy3xg Год назад +6

    Karibu Sana Tanzania waambie waje ss tuko poaa sana

  • @MariaKojoa-dx3ru
    @MariaKojoa-dx3ru Год назад +5

    Wow kiswahili kizurisana jamani😘😘😘

  • @zuhuraibrahim2529
    @zuhuraibrahim2529 Год назад +7

    Nampenda sana huyu mtangazaji ❤❤❤❤

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 Год назад

    Thanks my brother Jeysi

  • @WaweruG
    @WaweruG Год назад +7

    They are called Lightworkers, Starseeds, Earth angels. Spirituality Awakened humans. Usually they are here on Earth to raise it's vibrations.
    His fast grasp of Swahili language or any other languages is divinely inspired so it's get easy for his earth mission.
    The problems he faces, struggles, rejections etc make him strong.

    • @abdouaishafuzna2345
      @abdouaishafuzna2345 Год назад

      Big up

    • @mohamedsaid2882
      @mohamedsaid2882 Год назад

      Bullshit dude just learn to treat each task from the point of view of first principals. Learning how to learn is the most worth while skill to master each language has 100 words that we use at least 80% of the time learn them then you move on to other things light workers my ass 😂😂😂

  • @HAPPINESSCHUWA
    @HAPPINESSCHUWA Год назад

    Very good Mr Jessie

  • @sofiamasseelyas7553
    @sofiamasseelyas7553 Год назад +17

    Bravo à toi ❤❤❤❤

  • @EsterMwendawila-wj2ks
    @EsterMwendawila-wj2ks Год назад +41

    Story ni ya kweli kabisa god bless you jese

  • @MashaSayi-ui7dz
    @MashaSayi-ui7dz Год назад +6

    Jese Mungu akubariki Kwa yote unayoyafanya...... May Lord our God bless you for what you're doing.... Additional money

  • @FatmaJuma-w6g
    @FatmaJuma-w6g Год назад +1

    Jasse nipe no yako❤ nakupendaaaa jess we unanitesaaaaa😂😂😂😂😂 mzungu kachachawa na shepu mtumeeee

  • @graceamran326
    @graceamran326 Год назад +4

    Tanzania 🇹🇿 hakuna matata❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤karibu

  • @NoelKomba-s9d
    @NoelKomba-s9d 3 месяца назад

    Jess upo vizuri sana dogo

  • @ZainbZainb-s6f
    @ZainbZainb-s6f Год назад +3

    Mambo ni 🔥🔥🔥maisha marefu kwako ❤❤❤❤❤

  • @MonkeyDLuffy-p4g
    @MonkeyDLuffy-p4g 10 месяцев назад

    Mungu azidi kukutia nguvu jessy, loved 😍 ♥️ ❤️

  • @FamtamAli-vl2wx
    @FamtamAli-vl2wx Год назад +3

    I love you Jesse ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯💯💯👍

  • @magesajohn3402
    @magesajohn3402 Год назад +1

    Ungehoji kwa Kiswahili ingekuwa vizuri zaidi. Kiingereza chako kina matege mengi. Kwa mfano kutamka lean badala ya learn., basket badala ya bucket. etc. Jesse yuko vizuri.

  • @restcyprian1598
    @restcyprian1598 Год назад +32

    You are born naturally with humanity love.

  • @linluxe101
    @linluxe101 Год назад

    Wow🎉 nice interview ❤

  • @thomasmallya2972
    @thomasmallya2972 Год назад +10

    Hawa ni wapelelez hawa wanakuja kututoa kwenye reli kwa kisingizio cha msaada ata kule kwao kuna maskini tena wa kuyupwa wanakuja kutufundisha uchafu sisi tunaona tunasaidiwa ujinga kabisa

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Год назад +2

      Yani watuwasiejielewa wanababaika na ngozi wanapagawa hawawatu hawanaga utu ni tabiambayati hawa

    • @ommymehmed8880
      @ommymehmed8880 Год назад

      Hakika kabbisaa ,hawa wanakuwa wapelelezi wa muda mrefu sana ,na riport zao ni za miaka 100 mbele ...

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 Год назад +2

    Mungu akubariki Jesse akuinue

  • @ahmedrage9664
    @ahmedrage9664 Год назад +3

    Dah umejifunza kiswahili vizuri Sanaa, usikate tamaaa

  • @PeterNzinza
    @PeterNzinza 11 месяцев назад

    Pole sana jese

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia4140 Год назад +5

    Jesse anayoyasema ni kweli kwa Ulaya Marekani nk,hasa unaposafiri ndani ya Treni na mabasi kila abiria unakuta yuko busy na sim au kusoma kitabu.Usafiri huo huo wakiwepo waafrika wanaomgea na kucheka. Life goes.
    Funny things kwa wazungu ukikutana nao kwa walking street au vituo vya usafiri ,ukimsalimia anakuangalia kwa hasira na hata wakati mwingine aweza kukuuliza je unanifahamu ndo maana unanisalimia???😢😢😢😢😂Most of them are too cold anyway.

  • @Anthony_Genge
    @Anthony_Genge Год назад +2

    Safi sana bwnmdogo jesse, karibu sana mara🇹🇿

  • @athanaschacha.9424
    @athanaschacha.9424 Год назад +20

    Tanzania ni nchi yenye fahari nyingi mno,.🇹🇿❤

  • @rechosamwel241
    @rechosamwel241 Год назад +2

    Hakika nchi yetu ninzuri sana👍

  • @mapromedia_
    @mapromedia_ Год назад +3

    Mtangazaji leo umezingua sijui unataka uonekane unajua kiingereza, mtu anaongea kiswahili wew unamuuliza kwa kiingereza

  • @KuruthumShabani-n2d
    @KuruthumShabani-n2d Год назад +1

    Jese mungu akuzidishiye niwachache sana karibu tanzania nchi yenye amani na upendo

  • @santinosabugo2114
    @santinosabugo2114 Год назад +1

    we jese kalibu tanzania ila baadhi ya watu wake wahovyo sana

  • @christinaernesto4636
    @christinaernesto4636 Год назад +6

    Yani siku zote usifananishe mzungu ana roho mzuri kuliko waaarabu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Год назад

      Mwarabu anarohonzuri kulikomzungu maashaallah ilatu nikwambie kilammoja anarohoyake awemzungu hawe mwarabu au mwa Afrika

    • @menalikechildren8836
      @menalikechildren8836 Год назад

      Waarabu wana roho nzuri ila wenyewe kw wenyewe lakin ni wabaguzi san

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 Год назад

      ​@@menalikechildren8836ubaguzi kila mahalia duniani hata Makabila y kiafrika wanabaguana usidanganye watu

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 Год назад

      Waarabu wengi wao ni wazuri sana❤

  • @carolmueni6431
    @carolmueni6431 Год назад

    Karibu Jesse we love you may God bless you

  • @kingbyaro6016
    @kingbyaro6016 Год назад +11

    Wa Kenya 🇰🇪 wanawake wanameza mate 😁😁😁wanavyo penda wazungu

  • @AsmaKassim-bj9hm
    @AsmaKassim-bj9hm Год назад +1

    Mashaallh mashaallh inapendeza kwakweli

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Год назад +7

    Mungu akutunze kijana unaroho nzur❤

  • @MonkeyDLuffy-p4g
    @MonkeyDLuffy-p4g 10 месяцев назад

    Wow nimemekupenda bure jesse❤️♥️💖💓💕👌🙏

  • @EvaristoNgimba-nq1ld
    @EvaristoNgimba-nq1ld Год назад +4

    Tanzania bad Sana yani baadaa ya kujivunia kishwahi chetu kinapenya kimataifa sasa waandishi sasa

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 Год назад

    Karibu Tz. Utawaoa wengi nahivi una kasura kazuri mh! Hatari😂😂😂

  • @khadijarashidy9304
    @khadijarashidy9304 Год назад +5

    Huwa nampenda sana vile anavyotagaza kiswahili kupitia TikTok jesse mkurya😂😂😂😂

  • @jumahamad3723
    @jumahamad3723 Год назад +1

    Kwa Imani yako Mungu akubariki

  • @Bishopdavidndaki7184
    @Bishopdavidndaki7184 Год назад +9

    Jese MUNGU akubariki sana kwa moyo huo

  • @RahelLemburis
    @RahelLemburis 9 месяцев назад

    Mungu akubariki Jesse

  • @manumeni5057
    @manumeni5057 Год назад +24

    Tunapenda wazungu ambao hawachagui rangi nyeusi kma huyu jamaa,anaheshima xana huyu mwamba,tunaeza pea mtu kma huyu uraia kuishi bila shida kwa nchi

    • @MaalimYussuf-qy9ic
      @MaalimYussuf-qy9ic Год назад +1

      Hawa jamaa niwazuri ila nenda kwao ukaisho nao utajuta waulizeni dada zenu

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 Год назад +1

      ​@@MaalimYussuf-qy9icsio wote wabaya na sio wafrika wote wema

    • @ZainakasimNgasu-bu8ml
      @ZainakasimNgasu-bu8ml Год назад

      Jamani mwanamke hatongozi anatongozwa wanawake wasasa mmekuaje jamani!

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk Год назад

      ​@@MaalimYussuf-qy9ichahaahahaha Haswa wanajua nchi yetuu ina vityu vizur Tanzania Imebarikiwaa kaishi kwao kwakwer wanabadilika😂😂

  • @terminal_tz
    @terminal_tz Год назад +1

    Mtangazaj unasema woooow mtu anataka kuuliwa 😢😢😢
    Ongea kiswahili

  • @Naima-g1n
    @Naima-g1n Год назад +3

    Mtangazaji kwa ubora wake nimependa maswali❤

  • @danielmollel5538
    @danielmollel5538 Год назад

    welcome my big brother from mbele nikweli amesema ukweli hiyo mitoto ya tz wanakuaga na mahaba sana

  • @elinapetro7136
    @elinapetro7136 Год назад +3

    Jese anatumia nguvu kuongea kiswahili mpaka mimi huku nachoka😂😂

    • @AgnesMzwalandili-kw5yz
      @AgnesMzwalandili-kw5yz Год назад

      😂😂😂

    • @PatricalBeti
      @PatricalBeti Год назад

      Af ninavyomwangalia nijikuta napandisha midadi yaani namfata anavyotumia hizo nguvu kuongea kwa vitendo

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js Год назад

    Upo vizuri jese

  • @Feisalaljeddawy
    @Feisalaljeddawy Год назад +12

    He's speak fluently in Swahili I wish I could speak it .

    • @onetake2292
      @onetake2292 Год назад +1

      Upo tayari Nikufundishe?

    • @fainesbrown6854
      @fainesbrown6854 Год назад

      Hellow,i can teach you swahili language

    • @malkiawagiza1327
      @malkiawagiza1327 Год назад

      ​​@@onetake2292Nipo tayari. Nimekuwa nikijifunza Kiswahili kwa mwezi mmoja.
      Huyu jamaa anajaribu kuongea Kiswahili, ataiongea kwa usafaha hivi punde.

  • @rozinamoshi9651
    @rozinamoshi9651 Год назад

    Asante sana kwa lupita vita ukeketaji

  • @nyotajules1732
    @nyotajules1732 Год назад +3

    Kapo kiswahili kigumu ila umejitahidi sana jesse ila hapo ku shep umenifurahiha paka nimehisi kucheka 😂😂😂

  • @AbouDahya
    @AbouDahya Год назад

    Asante kuitangaza vizuri tanzania

  • @adam_speech-languagepathol11
    @adam_speech-languagepathol11 Год назад +4

    Interview nzuri sana. Tumejifunza mengi kuhusu uzuri wa nchi yetu ukilinganisha na nyingine za Afrika. Nimecheka sana, ''Eti Lilongwe ni kama kijijini 😀😃😆🤣😂''. Nakumbuka katika moja ya video za Jesse alikuwa akijibu hoja ya Wakenya ''Kwanini anapenda sana Tanzania kuliko Kenya pamoja na Kiswahili?'', nakumbuka miongoni mwa vitu alivyoelezea, alisema ''Kiswahili cha Tanzania ni bora", kilichonigusa zaidi, alieleza kwa Kiingereza.... akasema ''ONLY FEW TANZANIANS SPEAK a very BROKEN ENGLISH...." Nafikiri labda Jesse alikuwa ana refer kiingereza cha huyu dada..🤣 ! Simkatishi tamaa kwa kujaribu kuongea kiingereza, lakini namshauri huyu dada'angu, akiwa kama CONTENT CREATER, kwenye interview kama hii angejiandaa kutoongea kabisa kiingereza...!!

  • @zalendo
    @zalendo Год назад +1

    Interview nzuri japo mtangazaji unaboa na kuongea english wakati mwenzio anaongea Kiswahili...huo ni ushamba na ulimbukeni.

  • @YusraHamadi
    @YusraHamadi Год назад +3

    Mashaallah ❤❤❤

  • @EsterMwendawila-wj2ks
    @EsterMwendawila-wj2ks Год назад +2

    Jess tuna kupenda pia god bless you

  • @RahimaMct-ik8mr
    @RahimaMct-ik8mr Год назад +4

    Mashallah anahuruma kalibu Tanzania