Dada ongea nawo kwa kiswahili chote awo mana sisi tupo nje huku wanavotusomesha lugha zao hawatuongeleshi kabisa kwa lugha ambazo tunaelewa kwa asilimia zote na wao tuwafundishe lugha ikue iyo❤
Hii interview ni nzuri sana. Lakini kuna kitu hapo kinanishangaza saba. Huyu mzungu anajitahidi kuongea kiswahili, japo kwa shida lakini anajitahidi aeleweke. Cha ajabu huyo dada anakuwa anachanganya kiingereza. Badala amsadie mzungu aongee kiswahili lakini nikama huyu mdada anataka kuonesha kama anajua kiingereza. Tuipende lugha yetu jmn. Kama unataka kuongea kiingereza fanya interview ya kiingereza. Sahamani sana kama nitaeleweka vibaya
Nimependa sana huyo jamaa anasema wanawake wengi wa nchi zilizoendele hawataki kuwa mke. Hilo ni kweli asilimia 100. Na dunia inawaharibu wanawake wakiafrika na haki sawa. Singlemothers wameiona hiyoo??
@@ZamoMartin-i2e kijana huyu mtu wa MUNGU sana natamani nimpate anisaidie masuala yangu ya kutoa elimu kuhusu ukatili hasa kwa watu wanaoishi na vvu UKIMWI.
Kitu kimoja tunapaswa kujua kwa Wazungu, Wazungu wapo wa aina 3 wapo wazungu ambao hawapendi kabisa Waafrica hao ndo wanaiba hadi leo mali zetu, wapo wazungu ambao hawajali chochote kuhusu waafrica wamepigwa sawa wameonewa sawa kifupi hawajali chochote na wapo wazungu wanaowapenda Waafrica ndo kama huyu Jossee
Kuibibwa nikwasababu ya upumbavu na ujinga wa waafrika wenyewe na viongozi wenyewe, so ata waafrika wapo ambao hawawapendi watu weupe nasi wazungu tu pengine na waarabu
Wa Aina ya nne ni mzungu rafiki mnafiki, makusudi kwamba ana malengo ya siri. Nahisi huyu ni wa aina hiyo. Hautamwelewa haraka. Muwe makini na ushoga -unaenezwa ktk mataifa yanayoupinga kijanja sana. "Be aware!".
Dah nampendaga sana huyu kaka ❤❤ila dada yangu kipenzi unamuuliza maswali marefu ambayo yeye mwenyewe anazani nimagumu kumbe ni vile tu kiswahili bado akija kaa sawa kichwani 😂😂😂
Mbengo TV msimpoteze huyu mtangazaji. Ni mzuri mnooo!!! Labda mumboreshe kwa vitu vidogo vidogo tu, lkn kwa kiasi kikubwa she does great ☺️☺️,, Ushauri wangu kwenu Mbengo TV mjitahidi kumnoa kwenye lugha ya kingereza.
They are called Lightworkers, Starseeds, Earth angels. Spirituality Awakened humans. Usually they are here on Earth to raise it's vibrations. His fast grasp of Swahili language or any other languages is divinely inspired so it's get easy for his earth mission. The problems he faces, struggles, rejections etc make him strong.
Bullshit dude just learn to treat each task from the point of view of first principals. Learning how to learn is the most worth while skill to master each language has 100 words that we use at least 80% of the time learn them then you move on to other things light workers my ass 😂😂😂
Ungehoji kwa Kiswahili ingekuwa vizuri zaidi. Kiingereza chako kina matege mengi. Kwa mfano kutamka lean badala ya learn., basket badala ya bucket. etc. Jesse yuko vizuri.
Hawa ni wapelelez hawa wanakuja kututoa kwenye reli kwa kisingizio cha msaada ata kule kwao kuna maskini tena wa kuyupwa wanakuja kutufundisha uchafu sisi tunaona tunasaidiwa ujinga kabisa
Jesse anayoyasema ni kweli kwa Ulaya Marekani nk,hasa unaposafiri ndani ya Treni na mabasi kila abiria unakuta yuko busy na sim au kusoma kitabu.Usafiri huo huo wakiwepo waafrika wanaomgea na kucheka. Life goes. Funny things kwa wazungu ukikutana nao kwa walking street au vituo vya usafiri ,ukimsalimia anakuangalia kwa hasira na hata wakati mwingine aweza kukuuliza je unanifahamu ndo maana unanisalimia???😢😢😢😢😂Most of them are too cold anyway.
Interview nzuri sana. Tumejifunza mengi kuhusu uzuri wa nchi yetu ukilinganisha na nyingine za Afrika. Nimecheka sana, ''Eti Lilongwe ni kama kijijini 😀😃😆🤣😂''. Nakumbuka katika moja ya video za Jesse alikuwa akijibu hoja ya Wakenya ''Kwanini anapenda sana Tanzania kuliko Kenya pamoja na Kiswahili?'', nakumbuka miongoni mwa vitu alivyoelezea, alisema ''Kiswahili cha Tanzania ni bora", kilichonigusa zaidi, alieleza kwa Kiingereza.... akasema ''ONLY FEW TANZANIANS SPEAK a very BROKEN ENGLISH...." Nafikiri labda Jesse alikuwa ana refer kiingereza cha huyu dada..🤣 ! Simkatishi tamaa kwa kujaribu kuongea kiingereza, lakini namshauri huyu dada'angu, akiwa kama CONTENT CREATER, kwenye interview kama hii angejiandaa kutoongea kabisa kiingereza...!!
Jesse anaroho nzuri mungu akubariki tunakupenda watanzania 🇹🇿🇴🇲
me nampenda mtangazaj jaman jins anavyo tangaza
kama ww unamawazo kama mimi nipe like jmn
Mungu akubariki sana na karibu Tanzania 🇹🇿 yetu
Wema huu hauozi, ujana wako hadi uzeen utakuwa mtu Wa furaha saana.MashaAlla watu wa pepon hawa.❤❤❤
Mungu ambariki awe muislam
Me nawapenda Hawa wazung il nawaogopa nilidet n mchina duuh nilibloock maan roho hainipi
Kua muislaam besty uswal utapeendeza sanaa
jess Mungu akubali una roho mzuri sana mashallha karibu Tanzaniq
Mtangazaji hongera 😍😍😍ni mzuri na rangi yako 😘😘😘😘😘😘nimekupendaaa🫂♥️
Wawooo 😘 thanks
So nice iloveyou Tanzania 🇹🇿
Mimi nimemuewa Jessy,hii sio biashara!ni mapenzi!nimenda tabia zako my boy,all the best and my prayers in shaa Allah salama
You're welcome to Tanzania. You're a good person
Dada ongea nawo kwa kiswahili chote awo mana sisi tupo nje huku wanavotusomesha lugha zao hawatuongeleshi kabisa kwa lugha ambazo tunaelewa kwa asilimia zote na wao tuwafundishe lugha ikue iyo❤
Hii interview ni nzuri sana. Lakini kuna kitu hapo kinanishangaza saba. Huyu mzungu anajitahidi kuongea kiswahili, japo kwa shida lakini anajitahidi aeleweke. Cha ajabu huyo dada anakuwa anachanganya kiingereza. Badala amsadie mzungu aongee kiswahili lakini nikama huyu mdada anataka kuonesha kama anajua kiingereza. Tuipende lugha yetu jmn. Kama unataka kuongea kiingereza fanya interview ya kiingereza. Sahamani sana kama nitaeleweka vibaya
Hakika hajielewi
anajibrand sii unajua wakinadada
@@KIMBY3-z8c 😀😀
Yaaaa haiko sawa hyo my sister,
Ume eleweka lugha lazima atumie Ile inayo tumika na mhojiwa
😮Neno la mungu linasema pendaneni ko ujakosea kuwapenda watanzania❤❤❤❤❤ ukifungua kituo cha salama maomba kazi kituonikwao
Hongera sana kwa jese kujua kiswahili vizuri sana atakuwa balozi mzuri wa kuitangaza Tanzania uko kwao
Ongera sana
Nakupenda buree tabia zako nzuri sanaa kwanza hulewi naomba uingie uislamu
Huo ni ubinafsi fanya sehemu yako ktk maisha uache rekodi
Afu mwanangu aume😂😂😂😂unashobo
Kwa hiyo wakisto sisi ni nyau
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Mungu ibariki TANZANIA, Mungu ibariki AFRIKA. Karibu Tanzania Kaka nchi ya Amani.
Jesse hongera kwa vigezo vyako ,vyakuowa karibu Tanzania tunakupenda sanaaaa unaonekana unaroho nzuri
Ongera sana
Nimependa sana huyo jamaa anasema wanawake wengi wa nchi zilizoendele hawataki kuwa mke. Hilo ni kweli asilimia 100. Na dunia inawaharibu wanawake wakiafrika na haki sawa. Singlemothers wameiona hiyoo??
Kwel kabisa
Mkweli kbs
@@ZamoMartin-i2e kijana huyu mtu wa MUNGU sana natamani nimpate anisaidie masuala yangu ya kutoa elimu kuhusu ukatili hasa kwa watu wanaoishi na vvu UKIMWI.
Masha Allah karibu Tanzania kaka
Kama muzungu anajifunza Kiswahili, what about us Africans? Nimeshukuru kwa sababu I’m in intermediate level now, I’m definitely learning it🇸🇸
OOOh..... VERY COOL ... Jamaa ni poa sana na anamtazamo mzuri kimaisha na anachokifanya kuwasaidia wengine ..NI KITU KIKUBWA SAAANA...#BLESSINGSS👌👍👊👊
Watching from Kenya i like the guy.venye anasaidia hao watoto,hope anaeza kunja Kenya pia kusaidia pia
I hope one day atafika na Kenya pia
❤❤ ss tunawapenda wale waotupenda, piya kma uko n ofu ya MUNGU
Kitu kimoja tunapaswa kujua kwa Wazungu, Wazungu wapo wa aina 3 wapo wazungu ambao hawapendi kabisa Waafrica hao ndo wanaiba hadi leo mali zetu, wapo wazungu ambao hawajali chochote kuhusu waafrica wamepigwa sawa wameonewa sawa kifupi hawajali chochote na wapo wazungu wanaowapenda Waafrica ndo kama huyu Jossee
Kuibibwa nikwasababu ya upumbavu na ujinga wa waafrika wenyewe na viongozi wenyewe, so ata waafrika wapo ambao hawawapendi watu weupe nasi wazungu tu pengine na waarabu
Wa Aina ya nne ni mzungu rafiki mnafiki, makusudi kwamba ana malengo ya siri. Nahisi huyu ni wa aina hiyo. Hautamwelewa haraka. Muwe makini na ushoga -unaenezwa ktk mataifa yanayoupinga kijanja sana. "Be aware!".
@@DavidKilusu-p4dKabisa Hatamkija Kujua Tayari Mambo yameharibika, Wana mbinu Nyingi Sana.
Mungu akubariki Jesse karibu sana Tanzania nimekupenda Bure I wish nikuone live 🎉🎉🎉🎉❤❤
Karibu sana sana Tanzania 🇹🇿
Thank Jesse tuna kupenda sana am from Tanzania 🇹🇿 but I work house media in Omani well come Tanzania
Dah nampendaga sana huyu kaka ❤❤ila dada yangu kipenzi unamuuliza maswali marefu ambayo yeye mwenyewe anazani nimagumu kumbe ni vile tu kiswahili bado akija kaa sawa kichwani 😂😂😂
Hata mimi mkenya jamani naipenda tanzania ❤❤
Hata mm mtanzania nakupenda sn ww unae ipenda tz❤
@@asiamohd5516 basi tupendane kwa ajili ya allah ❤️❤️
❤❤
Njoo tukae.
@@norahfrank wapi 😂😂😂😂
Jecy mungu akubariki sana kijana 🎉🎉🎉❤
Asante kwa upendo wako Jesse,Mungu akubariki
Kiswahili kizuri kuliko mtangazaji, mtangazaji anauliza kwa kingereza halafu anajibiwa kiswahili😂
Ndo hao wanataka kujionyesha kama ana jua kingereza
Watanzania tukijua kingereza kidogo tuu ni shida,ndyo mana tunatekwa na wazungu
😂😂😂
Great guy....i support the guy....i wish to get him & give him a word
Huyo ni.mwafrica ana dam ya kiafrica mana babake ni misri
Ukizaliwa uingeleza wewe ni muingeleza no matter what
Mpe hongera zake. Kiukweli amefanya kazi kubwa na nzuri
Jesse ni mcheshi kweli karibu sana Tanzania❤
ubarikiwe Sana jesse na pole Sana mungu akusaidie Sana Sana mkasa
uliokpata
Count in in the NGO Foundation...its my dream & this is what am working towards...
Karibu Tanzania 🇹🇿 tunakupenda sana❤️❤️❤️
Ubarikiwe mno kaka,, I hope GOD is with you in all your life , be blessed brother
KARIBU SANA TANZANIA, UNA ROHO NZURI SANA JESE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Love you 😘 sana kwa kupenda nchi yangu
We are all connected in love ❤
Good job brother 💚
Mbengo TV msimpoteze huyu mtangazaji. Ni mzuri mnooo!!! Labda mumboreshe kwa vitu vidogo vidogo tu, lkn kwa kiasi kikubwa she does great ☺️☺️,, Ushauri wangu kwenu Mbengo TV mjitahidi kumnoa kwenye lugha ya kingereza.
Kwakweli mtangazaji nj wetu na atabakia hapo daima
Karibu Tanzanian tuna amani sana
Jesse huyo kijana wa Kikurya huyo moja kwa moja toka Butiama..😂❤️❤️👏🏾
Haaaa wee kurya boy tena
Karibu Sana Tanzania waambie waje ss tuko poaa sana
Wow kiswahili kizurisana jamani😘😘😘
Nampenda sana huyu mtangazaji ❤❤❤❤
Thanks my brother Jeysi
They are called Lightworkers, Starseeds, Earth angels. Spirituality Awakened humans. Usually they are here on Earth to raise it's vibrations.
His fast grasp of Swahili language or any other languages is divinely inspired so it's get easy for his earth mission.
The problems he faces, struggles, rejections etc make him strong.
Big up
Bullshit dude just learn to treat each task from the point of view of first principals. Learning how to learn is the most worth while skill to master each language has 100 words that we use at least 80% of the time learn them then you move on to other things light workers my ass 😂😂😂
Very good Mr Jessie
Bravo à toi ❤❤❤❤
Hongera kijana fanyaka utabarikiwa sana
Baki na sisi Tanzania Jessy
Ubarikiwe sana
Hongera Jessy una roho nzuri sana
Story ni ya kweli kabisa god bless you jese
god??
@@eggysulle7988It’s God /GOD
Jese Mungu akubariki Kwa yote unayoyafanya...... May Lord our God bless you for what you're doing.... Additional money
Jasse nipe no yako❤ nakupendaaaa jess we unanitesaaaaa😂😂😂😂😂 mzungu kachachawa na shepu mtumeeee
Tanzania 🇹🇿 hakuna matata❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤karibu
Jess upo vizuri sana dogo
Mambo ni 🔥🔥🔥maisha marefu kwako ❤❤❤❤❤
Mungu azidi kukutia nguvu jessy, loved 😍 ♥️ ❤️
I love you Jesse ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯💯💯👍
Ungehoji kwa Kiswahili ingekuwa vizuri zaidi. Kiingereza chako kina matege mengi. Kwa mfano kutamka lean badala ya learn., basket badala ya bucket. etc. Jesse yuko vizuri.
You are born naturally with humanity love.
Definitely
Wow🎉 nice interview ❤
Hawa ni wapelelez hawa wanakuja kututoa kwenye reli kwa kisingizio cha msaada ata kule kwao kuna maskini tena wa kuyupwa wanakuja kutufundisha uchafu sisi tunaona tunasaidiwa ujinga kabisa
Yani watuwasiejielewa wanababaika na ngozi wanapagawa hawawatu hawanaga utu ni tabiambayati hawa
Hakika kabbisaa ,hawa wanakuwa wapelelezi wa muda mrefu sana ,na riport zao ni za miaka 100 mbele ...
Mungu akubariki Jesse akuinue
Dah umejifunza kiswahili vizuri Sanaa, usikate tamaaa
Pole sana jese
Jesse anayoyasema ni kweli kwa Ulaya Marekani nk,hasa unaposafiri ndani ya Treni na mabasi kila abiria unakuta yuko busy na sim au kusoma kitabu.Usafiri huo huo wakiwepo waafrika wanaomgea na kucheka. Life goes.
Funny things kwa wazungu ukikutana nao kwa walking street au vituo vya usafiri ,ukimsalimia anakuangalia kwa hasira na hata wakati mwingine aweza kukuuliza je unanifahamu ndo maana unanisalimia???😢😢😢😢😂Most of them are too cold anyway.
Safi sana bwnmdogo jesse, karibu sana mara🇹🇿
Tanzania ni nchi yenye fahari nyingi mno,.🇹🇿❤
Hakika nchi yetu ninzuri sana👍
Mtangazaji leo umezingua sijui unataka uonekane unajua kiingereza, mtu anaongea kiswahili wew unamuuliza kwa kiingereza
Jese mungu akuzidishiye niwachache sana karibu tanzania nchi yenye amani na upendo
we jese kalibu tanzania ila baadhi ya watu wake wahovyo sana
Yani siku zote usifananishe mzungu ana roho mzuri kuliko waaarabu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mwarabu anarohonzuri kulikomzungu maashaallah ilatu nikwambie kilammoja anarohoyake awemzungu hawe mwarabu au mwa Afrika
Waarabu wana roho nzuri ila wenyewe kw wenyewe lakin ni wabaguzi san
@@menalikechildren8836ubaguzi kila mahalia duniani hata Makabila y kiafrika wanabaguana usidanganye watu
Waarabu wengi wao ni wazuri sana❤
Karibu Jesse we love you may God bless you
Wa Kenya 🇰🇪 wanawake wanameza mate 😁😁😁wanavyo penda wazungu
😂😂😂😂😂
Wanawake wengi afrika sio Kenya tu pliz!
Wanawake qengi sio Kenya tu😊
Mashaallh mashaallh inapendeza kwakweli
Mungu atakulipa Inshaallah
Mungu akutunze kijana unaroho nzur❤
Wow nimemekupenda bure jesse❤️♥️💖💓💕👌🙏
Tanzania bad Sana yani baadaa ya kujivunia kishwahi chetu kinapenya kimataifa sasa waandishi sasa
Karibu Tz. Utawaoa wengi nahivi una kasura kazuri mh! Hatari😂😂😂
Huwa nampenda sana vile anavyotagaza kiswahili kupitia TikTok jesse mkurya😂😂😂😂
Kaka angu mkurya
Sasa Unamuuliza kudadavua atajuaje neno hilo waswahili wenyewe wengi hawalijui na halitumii
P
P
P
Kwa Imani yako Mungu akubariki
Jese MUNGU akubariki sana kwa moyo huo
Mungu akubariki Jesse
Tunapenda wazungu ambao hawachagui rangi nyeusi kma huyu jamaa,anaheshima xana huyu mwamba,tunaeza pea mtu kma huyu uraia kuishi bila shida kwa nchi
Hawa jamaa niwazuri ila nenda kwao ukaisho nao utajuta waulizeni dada zenu
@@MaalimYussuf-qy9icsio wote wabaya na sio wafrika wote wema
Jamani mwanamke hatongozi anatongozwa wanawake wasasa mmekuaje jamani!
@@MaalimYussuf-qy9ichahaahahaha Haswa wanajua nchi yetuu ina vityu vizur Tanzania Imebarikiwaa kaishi kwao kwakwer wanabadilika😂😂
Mtangazaj unasema woooow mtu anataka kuuliwa 😢😢😢
Ongea kiswahili
😂😂😂😂😂😂
Mtangazaji kwa ubora wake nimependa maswali❤
welcome my big brother from mbele nikweli amesema ukweli hiyo mitoto ya tz wanakuaga na mahaba sana
Jese anatumia nguvu kuongea kiswahili mpaka mimi huku nachoka😂😂
😂😂😂
Af ninavyomwangalia nijikuta napandisha midadi yaani namfata anavyotumia hizo nguvu kuongea kwa vitendo
Upo vizuri jese
He's speak fluently in Swahili I wish I could speak it .
Upo tayari Nikufundishe?
Hellow,i can teach you swahili language
@@onetake2292Nipo tayari. Nimekuwa nikijifunza Kiswahili kwa mwezi mmoja.
Huyu jamaa anajaribu kuongea Kiswahili, ataiongea kwa usafaha hivi punde.
Asante sana kwa lupita vita ukeketaji
Kapo kiswahili kigumu ila umejitahidi sana jesse ila hapo ku shep umenifurahiha paka nimehisi kucheka 😂😂😂
Asante kuitangaza vizuri tanzania
Interview nzuri sana. Tumejifunza mengi kuhusu uzuri wa nchi yetu ukilinganisha na nyingine za Afrika. Nimecheka sana, ''Eti Lilongwe ni kama kijijini 😀😃😆🤣😂''. Nakumbuka katika moja ya video za Jesse alikuwa akijibu hoja ya Wakenya ''Kwanini anapenda sana Tanzania kuliko Kenya pamoja na Kiswahili?'', nakumbuka miongoni mwa vitu alivyoelezea, alisema ''Kiswahili cha Tanzania ni bora", kilichonigusa zaidi, alieleza kwa Kiingereza.... akasema ''ONLY FEW TANZANIANS SPEAK a very BROKEN ENGLISH...." Nafikiri labda Jesse alikuwa ana refer kiingereza cha huyu dada..🤣 ! Simkatishi tamaa kwa kujaribu kuongea kiingereza, lakini namshauri huyu dada'angu, akiwa kama CONTENT CREATER, kwenye interview kama hii angejiandaa kutoongea kabisa kiingereza...!!
Interview nzuri japo mtangazaji unaboa na kuongea english wakati mwenzio anaongea Kiswahili...huo ni ushamba na ulimbukeni.
Kabisa dada anatabia za kikenya
Mashaallah ❤❤❤
Jess tuna kupenda pia god bless you
Mashallah anahuruma kalibu Tanzania