I really love this girl together with her Ray! And that she even speaks Kiswahili!!!!! You are very welcome to Africa dear! We love you in Uganda too🇺🇬
I was born in S.A.- raised in Mexico until we moved to USA -Leadville at 15. I want to learn Swahilee! I yurn to find my cultures, I do not get this USA culture!😮! So impressed by language ability of these two ❤- I am huge fan of Isabella and watch her and Ray on TicToc! I think they are married.
😂😂😂Hello Isabelle beautiful love and your ❤❤❤❤❤❤bravo félicitations vous êtes une jolly femme interligente 🎉🎉🎉🎉I love you depuis Canada 🇨🇦 Montréal j'espère vous êtes marié a ton copin. 😊😊
Jomon jomon Isabella karbu bongo ni yetu sote atubagui wageni zetu sie kwakua na sie atupend ubaguzi kabsaaa na atupend kubaguliwa ndomana tunaish kirafiki Tanzania unawza panda gar ukamkuta mtu kalipia siti na akakupisha ukae inaitwa tunajua kujali na kujishusha na kuheshimu basi ndo Siri ytu
Isabella waoooo du klar rigtig godt 🇩🇰 Jeg er helt vild med Mlete Mzungu. Mtangazaji mpe moyo mgeni wako ajieleze kwa kiswahili usimchangiye changiye Kaka.
Mtangazaji usikazie kwenye hiiyo pati ya mahusiano na ushamuelewa kuwa hiyo haitaki kuiweka wazi sana but ur interview is cool na nyie watanzania mjue lugha yenu ni nzuri na inapendwa sana so wabongo mkihojiwa acheni broken zenu English ongeeni kiswahili cuz mpo Tanzania
Kama kawaida, hicho kichwa cha habari hakiwezi kua na jina moja tu la diamond, put all our Tanzanian musicians on sport light together..huu ubaguzi hauwezi kuisha sns, msiwachukulie wanamuziki wa kitanzania poa, hapo kamtaja Ali kiba, Harmonize, nandy, mario,ila hawakuandikwa kwenye kichwa cha habari.., mnaboaaa~acheni kuabudu mtu mmoja kilasiku..inachosha
Hawa Wana Habari hawajafuzu kuwa Wana Habari ! yaani wakati mwingine naona bora niangalie mambo ya mbele tuu kwanza mastar wako wengi sana, ila hapa tz kazi yao kutuboa kila wakati kwa kumpromoti mtu mmoja tu .
@@angeldejoice3202 kabisa , unajua inachosha saingine..watuchanganyie habari, majina..na vinginevyo ndo inaleta mantiki..kazi ni kusema ohh wanaigeria wanapenda vyakao, ila ukichunguza media za tanzania zina makosa makubwa, kilasiku kumtangaza mtu mmoja, wawape wote nafasi ya muonekano, wawatangaze bila kubagua huyu nani au nani hata kama ndio team mondi ila wasijisahau maana media zina heshima yake ya kutobagua wanamuziki au watu wengine
@@felisterchimtunga9386 bado hujanambia kitu, kwahiyo hao wengine haeastahili kutangazika ni mondi tu, sababu ni team mondi, tunaelewa ila vyombo vya habari havitakiwi ubaguzi, wote watanzania ila wanamng'ang'ania mtu mmoja kilasiku ya mungu huku wanadai wanigeria wanatoboa, kumbe media za nigeria hazibagui watu wake kuwapa habari..bado tutapitwa sanaaa tu..sisi watanzania ni watu wa ajabu sana ujue😩😩😩
Siku nyingine ukizungumza na mtu asiejua kiswahili anapata shida kusema kiswahili mpaka unamuambia aseme kizungu ukishajua alichomaanisha muambie nawewe kwa kiswahili ili ajue unakuwa ushamgundisha nawewe ndo maisha
I really love this girl together with her Ray! And that she even speaks Kiswahili!!!!! You are very welcome to Africa dear! We love you in Uganda too🇺🇬
I'm in the US....Philadelphia. Huge fan of Isabella and Ray.
I like her already... So friendly 🤝
She’s good in Kiswahili I like her vibes 🫶👍
Karibu Sana Isabella,, napenda kazi yako..mulete Mzungu iko sawa umefanya Vizuri Sana keep going ✌️
She has such a beautiful smile
Yasd i saw you on the Song Isabella banger🔥🔥🔥i cant wait to come home to Africa and see everyones beautiful faces. Africa lights the world 🌍❤❤❤❤
Thanks in a million. Great content. Awesome. Very well explained. Grade: A++💥
Amo vc menina sou grazielle do Brasil amo ver eles dois dançando
Napenda snaa hiyi interview yakwanza kuona ndani ya Sns love it 🤗🤗
I was born in S.A.- raised in Mexico until we moved to USA -Leadville at 15. I want to learn Swahilee! I yurn to find my cultures, I do not get this USA culture!😮! So impressed by language ability of these two ❤- I am huge fan of Isabella and watch her and Ray on TicToc! I think they are married.
😂😂😂Hello Isabelle beautiful love and your ❤❤❤❤❤❤bravo félicitations vous êtes une jolly femme interligente 🎉🎉🎉🎉I love you depuis Canada 🇨🇦 Montréal j'espère vous êtes marié a ton copin. 😊😊
Isabella keep up with kiswahili kwakweli unajua sana lugha ni nyepesi sana, karibu sana
Here of iringa Tanzania we love you so much,keep it up.
Very strong young girl, THE GREAT KISWAHILI, WILL ONE DAY BE SPOKEN WORLD WIDE,
Já é a língua mas falada de África.
We Tanzania we love you so much Isabella keep it up with music
Wow .Tillykke Isabella du klar det godt 😍🥰🇨🇩🇨🇩🇩🇰🇩🇰🇳🇴🇳🇴
nampenda mana , ana furaha kila wakati , safi sana isabella
Dah mzeee nampenda sana huyu mdada
Isabella inspires me with her beauty, brains and charm!!
Isabella is beautiful♥️😍😘.
Safi Isabella ngoma ni kali
I love you so so much from Rwanda
Isabea sis don’t worry by December you will swahili fluent don’t worry
Anasound vizuri sana kwa kiswahili
Great interview
Huwa wanakuwa wakweli ktika maisha yao I like interview
👌🥰🥰🥰 Masha Allah we are proud of you
I just love her
Good job Isabell!. More love
Tanzanian keep loving you in music industry
Waooo karibu Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿
I love both of the couple
You are amazing 🎉
i just love the girl and way she z so funny
Ile mvua ilikukuta?
Umerudi ukinenepa kabisa hadi mashavu
😘😘😘😘😘Nimependa isabela
Mwambi nampenda huyo dada
Isabella y su esposo son geniales❤❤
ISABELLA É UM ENCANTO DE PESSOA! 💝
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Realmente é!
💚💛💚💛Karibu Yanga Mawana Nchi
Karibu mzungu.. ujue kuwanga tu maana huu mziki wetu bila kuwanga🙋🏾♂️😩
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Isabellaaaa😀😀😀😀💪💪❤️
Beautiful beautiful ❤️😍 sweet lady
Jmondy! Snatched her up!!! Eeeeeyyyyy ❤❤❤❤
Bela, ISABELAAAAA❤❤❤❤❤
❤❤❤❤LOVE HER PASSION 😊❤❤❤❤😊
HUGE fan of Isabella and Ray ❤
For Urojo, try Zanzibar Aroma, Slipway 😋
Love u and ur partner
Isabella where's Ray
4K followers yeah! So happy! Now in 1 year 4 million!🙏 mind blowing now! Asante Sana!🙏
Huyu si yule dem wa comedian
Jomon jomon Isabella karbu bongo ni yetu sote atubagui wageni zetu sie kwakua na sie atupend ubaguzi kabsaaa na atupend kubaguliwa ndomana tunaish kirafiki Tanzania unawza panda gar ukamkuta mtu kalipia siti na akakupisha ukae inaitwa tunajua kujali na kujishusha na kuheshimu basi ndo Siri ytu
No compriedo
Isabella 💞💞💞💞💞
Isabella waoooo du klar rigtig godt 🇩🇰
Jeg er helt vild med Mlete Mzungu.
Mtangazaji mpe moyo mgeni wako ajieleze kwa kiswahili usimchangiye changiye Kaka.
Anamsaidia coz huoni kama Dada haelewi kiswahili na nadhani ndio maana anamchanganyia na kinge alewe swali
@@kokboo9278
Pamoja sana mku
@@kokboo9278 nahs uyu ajamsiikiliza alivyosema anaskia Ila sjui vzur kuongea kiswahili kwahyo yko kwnye kujifunza
Chido kidd
Mbona diamond amekula hio tam ya mzungu ,chini ya carpet tu Sana 🔥🔥
Jamani kwani diamond ndo waona yuwaeza kula kila anae mtaka fungua bongo lako sio kila mtu ni malaya kama huyo boss wako domo kaya platnum
Mlete mniniiiiii
19:20 Sogeaaaa sogeaaaa sogeaaa 😍😍❤️❤️
🥰👌
Mtangazaji usikazie kwenye hiiyo pati ya mahusiano na ushamuelewa kuwa hiyo haitaki kuiweka wazi sana but ur interview is cool na nyie watanzania mjue lugha yenu ni nzuri na inapendwa sana so wabongo mkihojiwa acheni broken zenu English ongeeni kiswahili cuz mpo Tanzania
Urojo unapata magomeni karibu na lango la jiji
❤❤❤❤
Isabella is amazing 💙💛💜🙏🙌❤
Ulojo, aende pale Magomeni Kagera
❤❤❤❤isabella
Damm ❤❤
Kama kawaida, hicho kichwa cha habari hakiwezi kua na jina moja tu la diamond, put all our Tanzanian musicians on sport light together..huu ubaguzi hauwezi kuisha sns, msiwachukulie wanamuziki wa kitanzania poa, hapo kamtaja Ali kiba, Harmonize, nandy, mario,ila hawakuandikwa kwenye kichwa cha habari.., mnaboaaa~acheni kuabudu mtu mmoja kilasiku..inachosha
Hawa Wana Habari hawajafuzu kuwa Wana Habari ! yaani wakati mwingine naona bora niangalie mambo ya mbele tuu kwanza mastar wako wengi sana, ila hapa tz kazi yao kutuboa kila wakati kwa kumpromoti mtu mmoja tu .
Kwasababu mond ni msanii wa kimataifa na nirahisi mataifa mengine wanaofatilia hii interview kumjua msanii gani anayezungumziwa
@@felisterchimtunga9386 wangekuwa wanaandika vichwa vya Habari vizuri bila kumtaja msanii yoyote mkubwa ,cause binadamu tumeumbwa kukinai .
@@angeldejoice3202 kabisa , unajua inachosha saingine..watuchanganyie habari, majina..na vinginevyo ndo inaleta mantiki..kazi ni kusema ohh wanaigeria wanapenda vyakao, ila ukichunguza media za tanzania zina makosa makubwa, kilasiku kumtangaza mtu mmoja, wawape wote nafasi ya muonekano, wawatangaze bila kubagua huyu nani au nani hata kama ndio team mondi ila wasijisahau maana media zina heshima yake ya kutobagua wanamuziki au watu wengine
@@felisterchimtunga9386 bado hujanambia kitu, kwahiyo hao wengine haeastahili kutangazika ni mondi tu, sababu ni team mondi, tunaelewa ila vyombo vya habari havitakiwi ubaguzi, wote watanzania ila wanamng'ang'ania mtu mmoja kilasiku ya mungu huku wanadai wanigeria wanatoboa, kumbe media za nigeria hazibagui watu wake kuwapa habari..bado tutapitwa sanaaa tu..sisi watanzania ni watu wa ajabu sana ujue😩😩😩
Hej Isabella, where in Denmark? I live in Denmark too in Aalborg.
Hvor er du så sød. Jeg elsker dig højt❤
Siku nyingine ukizungumza na mtu asiejua kiswahili anapata shida kusema kiswahili mpaka unamuambia aseme kizungu ukishajua alichomaanisha muambie nawewe kwa kiswahili ili ajue unakuwa ushamgundisha nawewe ndo maisha
❤❤❤
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
❤🎉
Muzungu sura ngumu kwakweli
Sigma❤ girl❤
Jaymondy kalamba kadada hadi raha
Kaka mpeleke Kariakoo au Magomen urojo unaupata tena kirahis
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Zanzibar sio mkoa
Zanzibar ni wilaya
Amesema anakaa miko cheni mwambie niko tayali kumfundisha tena bule bila kunilipa chochote
Mwenyewe hujui kiswahili
Nikon tayali ndo nini tofautisha L na R
🤔😏👌
🖤😊😊😊🌌❤️👌🏿👌🏿👌🏿You do very well time by time will came soon everything 🌌❤️💞🖤✌🏿✌🏿✌🏿keep close together 🖤💞❤️in all the life
Awesome London United Kingdom
Y Love me
😢
Zebibey
Sasa huyu jamaa hajui wapi unauzwa ulojo in dar es salaam!!!
Hahahaha skuiz kila mahali
Ela é namorado daquele rapaz que ela dança?
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Jaymond
Na huyo Ni mmarekani kweli ama mjerumani.Hicho kiingereza sikiamini
Uyooo ni Denmark na uko hawatumii English
@@georgerujabuka4817 kweli kabisa
Denmark kingereza kwao kinawatatiza Kama sisi tu.
Amesema mdenish elewa halafu uliza
Sa ulikua dubai ndo utangaze
😂😂😂😂😂
Jaymond huyo
Urojo aende tandika kwenye magari ya mbezi frem za msikitini
This white lady has no jock with the world. Travel baby the wirld was given to us by God. ... enjoy and travel wherever you want....
Kinokid
Anaongea kingeleza kizuli
Hawa wanakuwaga wapelelezi unaweza ukamfulahiya kumbe yupo kikazi Kuna mambo ana ya dukuwa
Ukiwa na hayo mawazo utashindwa kufanikiwa, Kwa sbb hata cc wa Tanzania tunawatu nje Tena wadukuaji wazuri tu
Mawazo duni.
Haya nimekubali
acha uoga wewe miaka hii bado mmekalia mambo hayo, fanya kazi jenga taifa
@@raymondclaud6026
Unapo Jenga taifa hakikisha taifa lipo salama.
@@raymondclaud6026 sio uoga yote yanawezekana ,kwao kuna wabongo kibao Wana talent mbona Hawawi maarufu kama wao!!!
Pakiii naujinga wako usiambukizee watu
😀😀😀😀
Okoa Mb Content ya Mwanetu Mond ipo hapa 8:42
We know who her boyfriend is lol😂