Young Daresalama - Baba Anarejea

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 356

  • @athumanijuma1475
    @athumanijuma1475 4 года назад +1

    Kam unaamin #YOUND DEE #kawafunika wasanii wote kwa nyimbo ya chama gonga like za kutoxa twende saw😂😂😂

  • @ommythegreatblog7040
    @ommythegreatblog7040 4 года назад +1

    Mbona nyimbo kali halafu sisikii ikipigwa kwenye mikutano...nyimbo kali sanaaa 🔥🔥👩‍💻

    • @janeyoj8228
      @janeyoj8228 4 года назад

      Huu wimbo nasubiri Magu amepitishwa asubuh yake ndo nasambaza kila kona.
      October ingekuwa kesho
      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @ommythegreatblog7040
      @ommythegreatblog7040 4 года назад +1

      @@janeyoj8228 hahahah....uu wimbo wa kucheza nayo sebene

  • @emaabdumzava6318
    @emaabdumzava6318 4 года назад +91

    Kama umeona ngoma kali kam mm gonga like

  • @husnaidrisa1968
    @husnaidrisa1968 4 года назад +1

    Apewe kulazake Mr President

  • @reveliaseni5002
    @reveliaseni5002 4 года назад +1

    Toka umetoka jaman naurudiarudia unanipa mihemko daaah!!!! Baba huyooo anerejea lov u you dr

  • @fulgencelucas8702
    @fulgencelucas8702 4 года назад +1

    Umeuwaaa

  • @ndaromwijarubi3480
    @ndaromwijarubi3480 4 года назад +12

    Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni dogo ameua hakuna wakuufikia bonge la amshaamsha

  • @ramgainmkubila1213
    @ramgainmkubila1213 4 года назад +1

    Dah ukweli young dee nakuelewaga sana kaka angu wajua unachokifanya may god bless your work

  • @mcgabby
    @mcgabby 4 года назад +1

    King umeumiza Sana kichwa bonge la PiN

  • @frankfaustinefrankfaustine3739
    @frankfaustinefrankfaustine3739 4 года назад

    Uwezooo blood aujakosea ata kidogo mule mulee

  • @kelvinbeezy1942
    @kelvinbeezy1942 4 года назад +17

    Ktk ngoma zote walomuimbia magufuli hii ni 🔥🔥🔥
    SKUIZI BONGO KAMA MIAMI
    embu gonga like apa kwanza

  • @robertsheria3383
    @robertsheria3383 4 года назад +72

    Nani anairudia huku amevaa earphones na anasoma comment🤣😂😂🤣😂😂😂🤣😂😀😀😁😁

  • @officialganas
    @officialganas 4 года назад +3

    Sema umetisha sana

  • @atkentravelafrica4361
    @atkentravelafrica4361 4 года назад +6

    Nikwambie sijawahi kuwa mtu wa siasa au Mziki kivile lakini hii nyimbo ime rock iko na vibe zote honge kwako Young D. 🔥 i appreciate what my present is doing 💪

  • @leemabibaphotography8053
    @leemabibaphotography8053 4 года назад +4

    Young dee kama niliota hivi utakuja kutoa wimbo kamaa huu mage nilijua bongo batimbaya lazima uilekebishe kumbe nilikua sahihi daaah ndoto zimetimia ongera mzee

  • @basilifrank
    @basilifrank 4 года назад +1

    Ngoma tamu Sana hii.nimeona Kwa msigwa kule ....nadhan ndio Ngoma Kali kuliko zote...

  • @exaverymnyanyi9051
    @exaverymnyanyi9051 4 года назад +1

    Unajua

  • @hopenassary7666
    @hopenassary7666 4 года назад +3

    Wameimba wengi ila hii imeweza boy from 254

  • @cassimmalcolm1326
    @cassimmalcolm1326 4 года назад +1

    Nimeipenda sana ngoma kali umeua bro

  • @dutchsafari7562
    @dutchsafari7562 4 года назад

    Hiii ndo yenyeweeeee sasa. ..cjui harmo kunan vzuchu cjui dogo janja cjui mondi wakae pembeni paka rapa katisha sana. ..

  • @brownd6360
    @brownd6360 4 года назад +1

    huniangushagi dee mwanang wa dam

  • @erodeshayo8672
    @erodeshayo8672 4 года назад +1

    Jamani Dah mmewakaba wapinzani kila idara dadeki

  • @footballhighlights8889
    @footballhighlights8889 4 года назад +64

    Dogo D
    Dogo janja
    Dogo killer
    ! Nawakubali sana !

  • @abdulkaremhafez8106
    @abdulkaremhafez8106 4 года назад +2

    Boss young sijakuona Dodoma Leo
    Naomben like zenu

  • @djsandi4419
    @djsandi4419 4 года назад +1

    Wasanii wote wameamua kutumbukia Kwenye siasa

  • @mnomahboybright4743
    @mnomahboybright4743 4 года назад +46

    Unatisha kaka hii ngoma kali namba1 kwa ngoma zote za magu za mwaka huu

  • @leemabibaphotography8053
    @leemabibaphotography8053 4 года назад +1

    Hadi rahaaa yan

  • @jacksontv7735
    @jacksontv7735 4 года назад +1

    Mzee wa kicheko

  • @frankchamba8894
    @frankchamba8894 4 года назад +1

    Kazi tu

  • @eversonofficial4214
    @eversonofficial4214 4 года назад +1

    mmmmmhhh young dee we ni hatareeee

  • @benyvoice9415
    @benyvoice9415 4 года назад +16

    Huu ni umeme wa young dar✌️😄

  • @muury9723
    @muury9723 4 года назад +50

    Daah umeua hamna kama nyimbo hii aisee

  • @emanuelmosses1524
    @emanuelmosses1524 4 года назад +2

    Hii kali yao

  • @reveliaseni5002
    @reveliaseni5002 4 года назад +1

    🎼🎼🎷🎶🎶🎶🎷🎸🎸🎸🎤🎙️🎷baba uyoo anarejea so sweet

  • @vanessabuza5631
    @vanessabuza5631 4 года назад +62

    Kama umekubali goma nipe like

  • @chescomwakipese3422
    @chescomwakipese3422 4 года назад +1

    Duh goma kar sana

  • @mabulaone3140
    @mabulaone3140 4 года назад

    Paker noma sanaaa Yan ingekuwa bila kubebana hi nyimbo ingekuwa naoma

  • @kennytech
    @kennytech 4 года назад

    Nasema mwaka uuuu adi wapinzani tupo ccm

  • @ayoubsuleiman3675
    @ayoubsuleiman3675 4 года назад +1

    Mm ushauri Wang magufuli angeacha tu kupiga kampeni akawaachia wasanii wakampigia yeye akakaa ndan

  • @hddhhddhdhhd7466
    @hddhhddhdhhd7466 4 года назад +1

    asante nakubali baba magufuli nakukubali

  • @innocentadolf7284
    @innocentadolf7284 4 года назад +1

    Kaz nzur sana kutok kwako young D magu mwaka huu lazma apite

  • @terrieblieyz4818
    @terrieblieyz4818 4 года назад +2

    Kwa hii ngoma unaweza kujikuta unaipenda ccm bila kupenda

  • @godwinbenedict4146
    @godwinbenedict4146 4 года назад +7

    Njoo uone Alfajiri, ya kuamkia mbugani, tushangae shangae nyani

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 4 года назад +9

    Nimekuona Leo Tbc one nimependa huu mwimbo hadi nimejiunga bando nimeingia RUclips kuucheki Tena

  • @tausially6866
    @tausially6866 4 года назад +8

    Bonge la jimbo...achana na kwaya za harmonize😂😂😂😂

  • @uwezolutanile4120
    @uwezolutanile4120 4 года назад +1

    Huyu dogo huyu anakipaji saaaaaaaaaaaan ni fire cpati picha ipigwe kwenye kampeni

  • @allynassoro7254
    @allynassoro7254 4 года назад

    Oya ih ngoma halloo ni kali sio powa

  • @hawakim9940
    @hawakim9940 4 года назад

    Kali mno

  • @jumakatoto6119
    @jumakatoto6119 4 года назад +86

    Kama c habari ya kuibeba wcb kwenye campaign this year,
    Huu wimbo ungekuwa best and official song ya campaign.
    Maoni yangu.
    Kaz nzuri young

    • @michaelmdoe9368
      @michaelmdoe9368 4 года назад +4

      Wabongo wanachukia ukweli usishangae wapo watakao kutusi ila ulichosema ni kweli kabisa

    • @ibrahimjoseph2789
      @ibrahimjoseph2789 4 года назад +4

      Nachowaza kule muimbaji wao nani, mbona wasanii wote wapo CCM,😀😀😀😀 baba uyo anarejea na hii ndio itakayo kuwa namba moja mimi utaniambia kabda warekodi zingine kama wanataka juifunika au nyinyi mwainaje

    • @reganibostons5961
      @reganibostons5961 4 года назад +3

      Kwan nan kasema za wasafi ndo kali

    • @sospeterhabel4702
      @sospeterhabel4702 4 года назад +1

      Umeongea bro

    • @digital21.13
      @digital21.13 4 года назад +1

      Hujakosea mzee upo sawa

  • @ezekielyossia9639
    @ezekielyossia9639 4 года назад +18

    Yaani hata kama ww ni mpinzani lakini unaweza kujikuta unaimba na kucheza haka kangoma! Basi kama ww ni mpinzani na umekaelewa haka kagoma basi gonga like za kutosha hapa

  • @echagwhy4442
    @echagwhy4442 4 года назад +1

    Chaaaaaaa BONGO BAHATI NZURI SAFII

  • @digital21.13
    @digital21.13 4 года назад +2

    Dee we mbunifu Sana wengi Wameimb kwa mazoea huu ndo wimbo namba moja kwa kampen za mwaka huu labda warud studio

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 4 года назад +11

    Dah! Chorus la kibabe sana...! Young D we nuksi!

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 4 года назад

    Wimbo mzuri sana anaustaili Magufuli wangu . Thanks

  • @whizzabraham7629
    @whizzabraham7629 4 года назад

    noma noma, kwa namna hii lazima warudishe kadi tuu

  • @Utulivu444
    @Utulivu444 4 года назад

    UMETISHA SAAANA BIG MAN SALUTE

  • @samsonezekiel9232
    @samsonezekiel9232 4 года назад

    Hatarii

  • @jasonbahath6570
    @jasonbahath6570 4 года назад

    Kwa ngoma zote za magu namba moja Harmonize namba mbili Young Dee.wameua

  • @mariarose7447
    @mariarose7447 4 года назад +2

    Wooooow!!nyimbo kali sana.nimekumbuka miaka ile nikiwa shule hii nyimbo ilivyokuwa inapendwa sana.

  • @vicentvalelian20
    @vicentvalelian20 4 года назад +1

    Daaa young deee kauaaaaaaaaa

  • @edwins5804
    @edwins5804 4 года назад +1

    Hii ngoma itaamsha vibe sana kwenye campaigns

  • @erickgulayi2089
    @erickgulayi2089 4 года назад +7

    Hii umefanya maunyama haswaaaa! maana nimejikuta nairudia mara kibao tu

  • @boy2785
    @boy2785 4 года назад +1

    Katika ngoma 3 bomba sana za ccm i pia n lazima uwepo we bisha bishana ii ngoma kali

  • @hosseakikokwe1656
    @hosseakikokwe1656 4 года назад +1

    Iv mh maguful ameusikiliza huu wimbo na kama hajausikia yupo njian kuusikiliza maana goma kali sana hili

  • @whitexstudio
    @whitexstudio 4 года назад

    Unatafuta show bro tulisha kusahau mnafanya sana stareh sana kuzid kuandik nyimbo

  • @samboy5033
    @samboy5033 4 года назад

    Hongera kwa ngoma kali

  • @ankosahad5032
    @ankosahad5032 4 года назад +7

    Young dar es salaam we n nouma wangap tunamuelewa kijana like bc

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 4 года назад +21

    Ngoma kali Sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿.

  • @jumahussein8912
    @jumahussein8912 4 года назад +9

    I say ngoma ni balaa yani balaaa na nusu 💥💥💥big up youngie

  • @kalingashukuruney4121
    @kalingashukuruney4121 4 года назад

    Ilaa sio bulee kunakitu mmepewa hii ndobongoo

  • @hassanissa7108
    @hassanissa7108 4 года назад +3

    Hamna bongo bahatimbaya sikuizi bongo kama yami kama umesikiya nipe like

  • @abanndosa
    @abanndosa 4 года назад +2

    Mambo ni moto

  • @kimwerionlinetv5574
    @kimwerionlinetv5574 4 года назад +3

    Goma lenyewe hili wapinzani Wenyewe watampigia kura ya ndio mh Rais

  • @chichinongara8669
    @chichinongara8669 4 года назад +1

    Nzuri sana

  • @allymalega252
    @allymalega252 4 года назад

    Nimeipenda hii ngoma nimekuelewa mwamba

  • @omkamabing1767
    @omkamabing1767 4 года назад +1

    Yes Safi sana hii

  • @manothorhymes6137
    @manothorhymes6137 4 года назад +1

    Nimekuelewa kaka D imekaapouwaaaa mpaka siopouwaaaaa

  • @veeJesus
    @veeJesus 4 года назад

    My best rapper of all time

  • @chrissinyinza1172
    @chrissinyinza1172 4 года назад +1

    Ngoma na nusu kaka big up.

  • @raphaelbruno2743
    @raphaelbruno2743 4 года назад +1

    Bonge la vibe

  • @omaniallybakari2372
    @omaniallybakari2372 4 года назад +22

    Kwan kampeni lini tukasumbue mtaan duh! Mwaka huu asilimia 100% kwa100%

  • @ramadhanirashid7798
    @ramadhanirashid7798 4 года назад

    Umetishaaaaaa baaabaaa

  • @kingwigo2961
    @kingwigo2961 4 года назад +1

    Nashukuru hatupigani nchibado INA kijani hahaha

  • @janeyoj8228
    @janeyoj8228 4 года назад

    Ilikuwa nipige hii nyimbo ila kwa hicho kipigo aisee nawaonea hurumaaaa,......baba huyooooo anarejeaaaaa

  • @richardthomas4487
    @richardthomas4487 4 года назад +1

    Umetishaaaaaa young d

  • @saidmzee8792
    @saidmzee8792 4 года назад +1

    Young Dee umemaliza kazi uko sawa Mnyama umeua sana omba Mungu wakupe chance uchukue hela yako kwenye campegn

  • @sulleybethuel6998
    @sulleybethuel6998 4 года назад

    Wasanii wa bongo kwa kuandafia,😅😅olewenu muwe chama pinzani mnyimwe ugali

  • @movie-season-action-story1741
    @movie-season-action-story1741 4 года назад +1

    Ukiachana na ya harmomize hiii nayo kaliii

  • @kingcopper_tz
    @kingcopper_tz 4 года назад +1

    Katika ngoma zote za kampeni naona ni hii tu ndio naipakua kwenye simu yangu. Legendary but still young.

  • @fanuelrastamantv7453
    @fanuelrastamantv7453 4 года назад

    Ngoma kali young dee

  • @kephandilivale5021
    @kephandilivale5021 3 года назад

    Daah ngoma kali san

  • @luanamwambigija5266
    @luanamwambigija5266 4 года назад +1

    Umeua Sanaaa,

  • @katukamwe8243
    @katukamwe8243 4 года назад +2

    Dah! Huyu Dogo ni fire

  • @salummpala4176
    @salummpala4176 4 года назад

    Hii Nyimbo nmeikubali sana

  • @sebastianmwita103
    @sebastianmwita103 4 года назад

    Jiandae kwa show za kampen umetisha

  • @officialdesigner5556
    @officialdesigner5556 4 года назад +1

    Young d nkbl mdogo Wang tisha mbaya

  • @Kijosh854
    @Kijosh854 4 года назад +1

    Young Dar salam uko juu #254

  • @daudimichaelntambala6096
    @daudimichaelntambala6096 4 года назад

    Hii ngoma nitamu kuliko nyinginezo zote

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 4 года назад

    Haaaa bonge la bati

  • @gregorychogelo2013
    @gregorychogelo2013 4 года назад +6

    Kampeni za CCM uchaguzi huu ni full shangwe!!