Nikwambie sijawahi kuwa mtu wa siasa au Mziki kivile lakini hii nyimbo ime rock iko na vibe zote honge kwako Young D. 🔥 i appreciate what my present is doing 💪
Young dee kama niliota hivi utakuja kutoa wimbo kamaa huu mage nilijua bongo batimbaya lazima uilekebishe kumbe nilikua sahihi daaah ndoto zimetimia ongera mzee
Nachowaza kule muimbaji wao nani, mbona wasanii wote wapo CCM,😀😀😀😀 baba uyo anarejea na hii ndio itakayo kuwa namba moja mimi utaniambia kabda warekodi zingine kama wanataka juifunika au nyinyi mwainaje
Yaani hata kama ww ni mpinzani lakini unaweza kujikuta unaimba na kucheza haka kangoma! Basi kama ww ni mpinzani na umekaelewa haka kagoma basi gonga like za kutosha hapa
Kam unaamin #YOUND DEE #kawafunika wasanii wote kwa nyimbo ya chama gonga like za kutoxa twende saw😂😂😂
Mbona nyimbo kali halafu sisikii ikipigwa kwenye mikutano...nyimbo kali sanaaa 🔥🔥👩💻
Huu wimbo nasubiri Magu amepitishwa asubuh yake ndo nasambaza kila kona.
October ingekuwa kesho
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@janeyoj8228 hahahah....uu wimbo wa kucheza nayo sebene
Kama umeona ngoma kali kam mm gonga like
Apewe kulazake Mr President
Toka umetoka jaman naurudiarudia unanipa mihemko daaah!!!! Baba huyooo anerejea lov u you dr
Umeuwaaa
Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni dogo ameua hakuna wakuufikia bonge la amshaamsha
Dah ukweli young dee nakuelewaga sana kaka angu wajua unachokifanya may god bless your work
King umeumiza Sana kichwa bonge la PiN
Uwezooo blood aujakosea ata kidogo mule mulee
Ktk ngoma zote walomuimbia magufuli hii ni 🔥🔥🔥
SKUIZI BONGO KAMA MIAMI
embu gonga like apa kwanza
Nani anairudia huku amevaa earphones na anasoma comment🤣😂😂🤣😂😂😂🤣😂😀😀😁😁
Umenikomesha😆😆😆😆
Kama umeniona aisee😂tena earphone nyeupe😆😆
We ni mchawi umenionaje 🤣🤣🤣
Pamoja
🤣😂🤣🤣
Sema umetisha sana
Nikwambie sijawahi kuwa mtu wa siasa au Mziki kivile lakini hii nyimbo ime rock iko na vibe zote honge kwako Young D. 🔥 i appreciate what my present is doing 💪
Young dee kama niliota hivi utakuja kutoa wimbo kamaa huu mage nilijua bongo batimbaya lazima uilekebishe kumbe nilikua sahihi daaah ndoto zimetimia ongera mzee
Ngoma tamu Sana hii.nimeona Kwa msigwa kule ....nadhan ndio Ngoma Kali kuliko zote...
Unajua
Wameimba wengi ila hii imeweza boy from 254
Nimeipenda sana ngoma kali umeua bro
Hiii ndo yenyeweeeee sasa. ..cjui harmo kunan vzuchu cjui dogo janja cjui mondi wakae pembeni paka rapa katisha sana. ..
huniangushagi dee mwanang wa dam
Jamani Dah mmewakaba wapinzani kila idara dadeki
Dogo D
Dogo janja
Dogo killer
! Nawakubali sana !
Hataliiii
Oyooooooo
Makuli noma hakuna wakubishana nae tunaweka juwe tunashinda Nazi kashafanya
Boss young sijakuona Dodoma Leo
Naomben like zenu
Wasanii wote wameamua kutumbukia Kwenye siasa
Unatisha kaka hii ngoma kali namba1 kwa ngoma zote za magu za mwaka huu
Hadi rahaaa yan
Mzee wa kicheko
Kazi tu
mmmmmhhh young dee we ni hatareeee
Huu ni umeme wa young dar✌️😄
Daah umeua hamna kama nyimbo hii aisee
Duu ndogo ameua ata kuliko makonde
Y
Dadek tz mambo nimoto
Nyimb kali morali kama wote hii biti yake t .hipap sf
Hii kali yao
🎼🎼🎷🎶🎶🎶🎷🎸🎸🎸🎤🎙️🎷baba uyoo anarejea so sweet
Kama umekubali goma nipe like
Duh goma kar sana
Paker noma sanaaa Yan ingekuwa bila kubebana hi nyimbo ingekuwa naoma
Nasema mwaka uuuu adi wapinzani tupo ccm
Mm ushauri Wang magufuli angeacha tu kupiga kampeni akawaachia wasanii wakampigia yeye akakaa ndan
asante nakubali baba magufuli nakukubali
Kaz nzur sana kutok kwako young D magu mwaka huu lazma apite
Kwa hii ngoma unaweza kujikuta unaipenda ccm bila kupenda
Njoo uone Alfajiri, ya kuamkia mbugani, tushangae shangae nyani
Nimekuona Leo Tbc one nimependa huu mwimbo hadi nimejiunga bando nimeingia RUclips kuucheki Tena
Bonge la jimbo...achana na kwaya za harmonize😂😂😂😂
Huyu dogo huyu anakipaji saaaaaaaaaaaan ni fire cpati picha ipigwe kwenye kampeni
Oya ih ngoma halloo ni kali sio powa
Kali mno
Kama c habari ya kuibeba wcb kwenye campaign this year,
Huu wimbo ungekuwa best and official song ya campaign.
Maoni yangu.
Kaz nzuri young
Wabongo wanachukia ukweli usishangae wapo watakao kutusi ila ulichosema ni kweli kabisa
Nachowaza kule muimbaji wao nani, mbona wasanii wote wapo CCM,😀😀😀😀 baba uyo anarejea na hii ndio itakayo kuwa namba moja mimi utaniambia kabda warekodi zingine kama wanataka juifunika au nyinyi mwainaje
Kwan nan kasema za wasafi ndo kali
Umeongea bro
Hujakosea mzee upo sawa
Yaani hata kama ww ni mpinzani lakini unaweza kujikuta unaimba na kucheza haka kangoma! Basi kama ww ni mpinzani na umekaelewa haka kagoma basi gonga like za kutosha hapa
Chaaaaaaa BONGO BAHATI NZURI SAFII
Dee we mbunifu Sana wengi Wameimb kwa mazoea huu ndo wimbo namba moja kwa kampen za mwaka huu labda warud studio
Dah! Chorus la kibabe sana...! Young D we nuksi!
😂😂😂😂
Wimbo mzuri sana anaustaili Magufuli wangu . Thanks
noma noma, kwa namna hii lazima warudishe kadi tuu
UMETISHA SAAANA BIG MAN SALUTE
Hatarii
Kwa ngoma zote za magu namba moja Harmonize namba mbili Young Dee.wameua
Wooooow!!nyimbo kali sana.nimekumbuka miaka ile nikiwa shule hii nyimbo ilivyokuwa inapendwa sana.
Daaa young deee kauaaaaaaaaa
Hii ngoma itaamsha vibe sana kwenye campaigns
Hii umefanya maunyama haswaaaa! maana nimejikuta nairudia mara kibao tu
Katika ngoma 3 bomba sana za ccm i pia n lazima uwepo we bisha bishana ii ngoma kali
Iv mh maguful ameusikiliza huu wimbo na kama hajausikia yupo njian kuusikiliza maana goma kali sana hili
Unatafuta show bro tulisha kusahau mnafanya sana stareh sana kuzid kuandik nyimbo
Hongera kwa ngoma kali
Young dar es salaam we n nouma wangap tunamuelewa kijana like bc
Ngoma kali Sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
I say ngoma ni balaa yani balaaa na nusu 💥💥💥big up youngie
Ilaa sio bulee kunakitu mmepewa hii ndobongoo
Hamna bongo bahatimbaya sikuizi bongo kama yami kama umesikiya nipe like
Mambo ni moto
Goma lenyewe hili wapinzani Wenyewe watampigia kura ya ndio mh Rais
Nzuri sana
Nimeipenda hii ngoma nimekuelewa mwamba
Yes Safi sana hii
Nimekuelewa kaka D imekaapouwaaaa mpaka siopouwaaaaa
My best rapper of all time
Ngoma na nusu kaka big up.
Bonge la vibe
Kwan kampeni lini tukasumbue mtaan duh! Mwaka huu asilimia 100% kwa100%
Soon
@@raibethnicholaus1493 huku mtaan wote ccm
@@omaniallybakari2372 mwaka huu wapizani wataelewa somo tu
@@raibethnicholaus1493 tutawabuluza KWA %100
Hahahahahaaa binafsi ninatamani hiyo siku ifike
Umetishaaaaaa baaabaaa
Nashukuru hatupigani nchibado INA kijani hahaha
Ilikuwa nipige hii nyimbo ila kwa hicho kipigo aisee nawaonea hurumaaaa,......baba huyooooo anarejeaaaaa
Umetishaaaaaa young d
Young Dee umemaliza kazi uko sawa Mnyama umeua sana omba Mungu wakupe chance uchukue hela yako kwenye campegn
Wasanii wa bongo kwa kuandafia,😅😅olewenu muwe chama pinzani mnyimwe ugali
Ukiachana na ya harmomize hiii nayo kaliii
Katika ngoma zote za kampeni naona ni hii tu ndio naipakua kwenye simu yangu. Legendary but still young.
Kama mm mzeee
Ngoma kali young dee
Daah ngoma kali san
Umeua Sanaaa,
Dah! Huyu Dogo ni fire
Hii Nyimbo nmeikubali sana
Jiandae kwa show za kampen umetisha
Young d nkbl mdogo Wang tisha mbaya
Young Dar salam uko juu #254
Hii ngoma nitamu kuliko nyinginezo zote
Haaaa bonge la bati
Kampeni za CCM uchaguzi huu ni full shangwe!!
Ni nyimbo za kutosha sana