Alikiba - NUMBER 1 (Official Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 10 июл 2020
- A special Congratulatory Song to The President Of United Republic Of Tanzania, Dr.John Pombe Magufuli Together We The Leading Party (CCM) for his Excellency and Tremendous Endeavors, Achievements and Accomplishments. We as Tanzanian all Together are Highly Proud and Very Optimistic Of the future.
Wimbo huu Maalum Wa Kumpongeza Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mh. John Pombe Magufuli Na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Get it now in All Digital Platforms!
Download,Stream & BUY: ffm.to/ccmnumber1
►Tidal:www.tidal.com/track/148513178
►TikTok:vm.tiktok.com/JJ22jwN/
►iTunes: / number-1-single
►Deezer:www.deezer.com/us/album/16052...
►Napster:us.napster.com/artist/alikiba...
►Spotify:open.spotify.com/track/5opzjJ...
►Mdundo:mdundo.com/song/1624476
►Apple Music: / number-1-single
►Audiomack:audiomack.com/alikiba/song/nu...
►Amazon Music:music.amazon.com/albums/B08CX...
Connect with Alikiba on Social Media:
Instagram: / officialalikiba
Facebook: / officialalikiba
Audiomack:audiomack.com/artist/alikiba
Twitter: / officialalikiba
TikTok:vm.tiktok.com/ZSmuTQ2W/
+For More Information Booking Alikiba:
Contact:emailalikiba@gmail.com
Manager:Aidancharlie1@gmail.com
Get More Song by Alikiba
►Alikiba (DODO) - ffm.to/dodo
►Alikiba (SoHot) - ffm.to/alikibasohot
►Alikiba (Mshumaa) - ffm.to/nmwnrd7
►Alikiba (My Everything) - ffm.to/mo4kwoy
►Alikiba (Far Away) - song.link/i/1524299783
#Alikiba #Number1 #Ccm
©2020 Kings Music Records.All rights reserved. Видеоклипы
Weuweeeeee love u shemela wetu♥♥♥♥👑
Haya wimbo wa CCM jamani ndo umetoka rasmin leooooooo piga keleleeeeeeeee
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Woyooooooooooooo 💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃
Hahahaha fundi wa Nasheed na wewe upo huku
mi chadema ila magufuli atawale mpka 300000 ka atakuwepo,uzalendo kwanza ndugu zetu wamezingua
@@muryd6999 huyu jamaa anajuwa kuimba
King of bongo fleva himself
Huyu Alikiba Huyu,,, daaah❤️❤️❤️💯💯
Kumekucha mfarume ameaza Tena Alikiba ww utatuuwa Kaka 🤝🤝🤝🤝💯🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿no1
Sasa ndo wimbo wa ccm umetoka rasmi zima kelele 🔥🔥🔥
From Kenya mnipee likes za 👑 king
Hakuna wimbo nimerudia rudia kusikiliza kama huu♥️
King Kibaaaaaaa🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼...unajua mpaka unakera Wallah. King ni mmoja tuu #kingkiba👑from 🇮🇹 goma limefika ❤️❤️❤️...tupia likes za king ake weweeeee
Imeisha toka rasmi nyimbo ya magufur
Mama Samia Commando...Na Majaliwa shikilia nguzo. Hongera mama samia
Alikiba-The King of Melodies Never Disappoints...kama unamkubali gonga like.
Kwa sauti ya kingkiba maghufuli tayari amepita🇰🇪🇰🇪🇰🇪 king🔥🔥🔥
Hakika huu ni wimbo wa taifa.......!!!! Ccm washindwe wenyewe kuutumia
Nasi Wanyarwanda🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Tunakubali wesi WA Raise P Magufuri. Tz songa mbere CCM JUJU
NAWAOMBA WA🇷🇼 NA WAKENYA, MASHABIKI WA KONDE BOY MUNGE LIKE HERE.
Ulichonikela kingkiba umewatungia nyimbo nzuri ccm halafu mie nipo upande wa pili ngoma nimeidowload naickiliza peke yangu tu wakija chadema wenzangu nairusha fasta😃😃😃ikifika palee wanaogopaaaa soo dope
Alikiba we fundi sana jamani like kama zote 🔥🔥🔥
Jaman na mm nipe like kama zote kiba ni hatar aisee nimekupenda Sana
Tarumbeta baba,dah!!! Sichoki kusikiliza!!!
Alikiba ww noma sana sikuping
Kila Siku Tunawaambia Mziki Mzuri Haupatikani Kwingine King kama King
king kiba number one,magufuli number one,samia number one,majaliwa number one gonga like apo ccm number 1
Alikiba ww ni homa y tishiooo piga kelele kwa king akeeee...
Alikiba wewe hatare diamond anacheza nyimbo yetu team wcb boss wenu kama kacheza wewe ninani
ruclips.net/video/_zWK4qVxTtw/видео.html
Mimi ni mpinzani lkn pia ni mshabiki wa kingkiba nasema kiba kwanza upinzani baadae✊✊
Hahahaha
Leo nipate like ata number moja aki
Nimechelewa naomba like 60 tu
Alichokifany #alikiba kule dodoma ni kitu kikubwa San nyimbo imetulia inaimbika na kuchezeka bila makelele na hajaviponda vyam vya upinzani ila mondi kiukwer alichokifany ki makele tu na kuluka Luka haendan na beat Yan vulugu tu walioiona show ya dodom gonga like kwa #king kiba 🔊🔊🔊🎤🎤🎤🎷📻📻🎸🎛️🎷🎛️📻🎹🎹🎹🎹
Tuisongeshe audio ifikishe 1M
Leo nimekuwa mtu wa 500 naombeni like za mfalme na za yogo
KING KIBA G.O.A.T🙌🏿🙌🏿🙌🏿✨✨✨ Vocal tu.hauna mpinzani💪🏾
Yaani huyu jamaa anasiri,wimbo kama huu ni Mo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥,best song for CCM!!!!!!!!!,kama mkenya nampenda magufuli sababu ya huu wimbo wa kiba❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Kutoka 254 Mombasa 001 joho tupeni like nasisi tunaipnda ccm kwasababu ya kingi kiba
I'm the first Kenyan to listen to this tune 100%.It seems Tanzanian people love this guy(Dr.Magufuli) Anyone from Kenya hit the like button as we drip on...
First Kenyan in the house likes zikuje respect the king
Yeeeeebaba
Nyimbo bora ya ccm #likes za #kingkiba na #ccm spa
chadema watapata tabu san
Voice🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇰🇪king kiba♥️♥️♥️♥️from🇰🇪
King Alikiba i love forever ❤️❤️💕💕💞💞 plz Naomba hata like moja
👌
Chuga Comedy
Raha sana
Kiukwel mimi ni team Mond lakini haka kangoma kamekawa sawa bro unajua Mziki mzuri sana.👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
Nakubali👍👍
Big up sana KING of bongo flavour na omba like zenu
ruclips.net/video/_zWK4qVxTtw/видео.html
Magufuli number one na dodo ❤❤❤❤❤👍👍👍👍🙌
Kiba umezificha nyimbo zote 💯💯 tuinatafuta milion faster kabla video hiyo nyimbo twendeeeee
Wewe kama umependa hili song fanya kugonga likeee❣❣❣💞huyu mnyamaa bana nyingne zote wachafu waneimba utopolooo🤣🤣
@@christianbaibongebalume4439 waooh💞💞
Kabisa 🤣🤣🤣
Mtewele
Alikiba
Ni nampenda bure kwanza anajijua kua yeye ni mwanaume hana mapambo ya kike km wasani wengine wakiume pia ana heshima huo ni mtazamo wangu Hongera Pia kwa nyimbo nzur kaka angu wimbo mzurii wa chama na Rais Wetu,
Msema kweli ni kipenzi cha mungu 🔥🔥
Team mziki mthuri
Kings music for everyone now twende sawa kwa kingkiba number 1 ngoma kali
MWAKA HUU MAGU HANA MPINZAJI ADI KING KAIMBAAA.....DUUH RESPECT
Haijawahi tokea eeeh. Pia. Nae Hana mpizan
Mzee baba umetish sana I love you so much ❤❤❤❤❤
Tena anatisha Kama jaa
Ali kiba my favourite 👏👏👏 from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kingkiba forever.... Show love 💪
CCM OYEEEEEEEEEEEEEEEEE MAGUFULI OYEEEEEEEEEEEEEEEEE ALLY KIBA BROTHER UKO JUU SANA💞💕❤❤❤❤❤❤❤
Mzee baba hatumiii nguvu wallah 🤣🤣🤣 is king 👑 @alikiba
Jamani mnasikia kwanza sauti ilivyonzuri na tamu , aisee kiba katisha hili ndo goma zuri la ccm kafunika wasaniii wote Ali namba 1
Number 1 🔥🔥Magufuliiii
King kibaaa oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
King king king. Nimekuita mara 3 kingii kiba
The GOAT....ON HIS PEAK..KIBA MTU MBAYA KACHEZESHA WATU KINAFIKI AISEE...💥💥💥
Kingkibaaa Naombenii Like Zenu Jamanii
Yebaba kings4Life hatari 🎙🎙
Jamani niko team kiba lakini sijawahi pata hata like 10 n haki kweli jamni. 👑 kingofbongo music
Usijali
Tuko pamoja
Zimefka
@@zakariamachibula488 asante. Leo nmefurahi
@@husseindatto8359 pamoja sana. Leo hata mm nmejivunia likes za team kiba wenzangu.
Numero un alikiba king
Magufulii number 1 Gonga like kwa king
Yebabaaaaaa CCM No1
Kwa cku mbili inakaribia laki yaani king ni hatari Sana
👏👏👏
Magufuli is not selfless he loves himself less as a Kenyan I think you pretty blessed tz we envy you guys
Piga kelele kwa kiba wakeeeee
Aaahhhhh hiii ngoma kwny Kampeni itakuaaa Ni Balaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Yes king kiba 💯hapa kazi tu respect kwako kaka , From Buffalo NY
Nice song
Alikiba my number one singer in East Africa
Always a King, Kiba.
Yan king music hatar
Sawa papa✊🏼💪🤴🤴
me co esst africa tu yan world wide my king kiba no1
Alikiba ilove you forever uko vzr sanaaaaa 💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕 mungu aendelee kuku lindah 🙏 alikiba ,💖💖💖💖
King Kiba the best one
Best song 👌 of ccm from kingkiba❣️🌹💯 like plz guys for alikiba
Alikiba ww uanjuwa hakuna wa kufananishwa kwa tz hii
Utaishi kukumbukwa majaliwa yake mola God bless u 😉JPM
#KibaCovid19 🤴🏾hii ndonyimbo Sasa nyingine utopolo tu kelele mingi
#KibaHunaMpinzani💓💪🏾
#MagufuliNumberOne🎶
Ccm yoooo👌👌🇹🇿🇹🇿🇹🇿
We got u king from Sweden here
Wooooozaaaaaaaaaaaa
Ma best artist than others I love you Kiba 🇦🇺🇦🇺🇦🇺
Huu ndio wimbo sasa wa kuisifia CCM hizo zingine ni kerere tu✊
Haswaaa
Kwa kweli
ruclips.net/video/_zWK4qVxTtw/видео.html
Huu wimbo mtamu bana Nani anabisha kma mondi kaucheza live💪
Alikiba fundiiii#Number one#Kingsmusic4lifeeee
Kali sana king👑👑👑
🔥🔥🔥🔥🔥Gonga like kama umeuelewa wimbo❤
mmmmmmh mkeee..khaaaaaa!!
Natangaza kuwa #Number1 ya Alikiba ndio wimbo Bora wa kampeni Kwa huu mwaka wa uchaguzi 2020 🔥🔥🔥
Kama una ungana na Mimi usipite bila kusema kitu,
Wapinzani tumeisha wazima 😂 wanaogopa 🏃
The only real King🤴,,,alikiba is always be my best artist 🔥💪
True indeed ✌✌✌✌✌💯
Walio ona na show safi ya alikiba magufuli kakubali naomba likes kidog hap
Kama nawew umekoment kabla ya kusikiliaza gonga #Like maaaana najua tuu lipo hot #kingsmusicfor everybody
😂😂😂
@@ommymio3261 eeee kiba hajawahi kumuangusha mtu
Kweli kabisaa 💯 💯 kibaa hajawahi kosea anacho kipaji twaita KARMA KWA MUNGU💓
Huu wimbo nakumbuka vile diamond alikua akitikisa kichwa na miwani yake😂💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖🇰🇪
Walio imbia ccm wote nawakubali sana lakini ALIKIBA kamalizia vizurisana hongera sana kaka. Kiba) greetings From ITALY. Hello.
Wale wa chadema tudondoshe like kwa kukubali sauti tuu ya huyu mnyama✌
😃😃
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂✌
Tuko pamoja
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wa kwnza kabisa kuwazima💯💯
Mwaka huu hamuna mpizani kwahali hii nihatali ccm ☝
Mimi upinzani ila team kiba damu from CA🇨🇦 ila kwa vile my boss ni ccm basi sina budi kuanzia leo ccm rasmin😍
Kama unaamini kingkiba kazima nyimbo zote za wasanii za ccm gonga like..apa
Vp kuhusu ya zuchu mzee baba au hujaisikiza
Hajafka kwa Zuchu na Rayvanny__jembe
Ngoja nizisikilize zitakuwa mbovu tu
Kabisa ameua
@@khadijaomar8427 hataree
Alikiba kama king ngonga
Like za kutosha Yooooo 🗣🗣🗣🤘🤘
Hongera kiba
TEAM KIBA WANG'U, MKWAPI SIJAWAONA, TUTAMBUANE KWA LIKE APA,
king kiba hatna mpnzan na tumeisha wazm ali kiba no 1
King Kiba 👑👑🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Oyoooo timkiba gonga like
nakubali sna kaka mkubwa king kiba
I don't know TZ politics but i just love the song😋😋😋🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Weuweeee hadi mondi kaucheza dodoma🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥