omg ...great show, young dee sound very wellspoken and he's right kuhusu bongo flevar yan .. we need a big support kwa mzki wa bongo it even bother me kwa wa nje ya nchi most of them wanaujua mzk wa Uganda an Kenya na nitofauti sana kwa mzik wa tz wanavyoujua
Leo Joni Aka Awilo lungumba amejisikia vibaya yaani ameuliza suala kuhusu Lulu halijajibiwa ukitazama macho yake tu Utafahamu body language yake Pointi yangu yapili Salama stop kumuitarapt Muba anapouliza suali,nimejaribu kutazama series zako zote nusu katika hizo unamtoa nishai Muda sijui watu wameliona hilo..shukran mdau mtoni
dogo inabidi usome vitabu vingi sana ili kukuza uwezo wako wakufikiri na kujielezea.... alafu bado huja kuwa kimawazo..uongei kama star...anyway labda nakupa mda labda utakuwa na kukomaa akili...show ya kawaida sana hii ya leo..
Pls Salama and the group,stop mis-using the Word"EBOLA" tumepoteza watu wengi ile wewe wacheka,style up otherwise we shall take action with immediate effect enough of that,RUclips should ban your program.
You lost people to ebola? sorry fro you lakini RUclips hawawezi ku ban the program just because of ebola jokes.. you should watch other vids in here people are laughing about ebola saying things like "people deserve to die of ebola" na watu wa youtube hawajali
omg ...great show, young dee sound very wellspoken and he's right kuhusu bongo flevar yan .. we need a big support kwa mzki wa bongo it even bother me kwa wa nje ya nchi most of them wanaujua mzk wa Uganda an Kenya na nitofauti sana kwa mzik wa tz wanavyoujua
Nice show
WHEN CITY OF DAVIDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDDD
salama kazi unayo du! by Mkali A2Z
jaman huyo young dee anaongea ovyoooo mm cjapenda show,kama cyo star vile
daah,,tunasafar ndefu sana kwa awa wasanii wetu
Moses toka pande za mbeya mkasi nomaaa
Ana kipaji sana lkn hana nidhamu pia ajifunze kusikiliza nakujibu maswali vizuri kama staa
School first...
Leo Joni Aka Awilo lungumba amejisikia vibaya yaani ameuliza suala kuhusu Lulu halijajibiwa ukitazama macho yake tu Utafahamu body language yake
Pointi yangu yapili Salama stop kumuitarapt Muba anapouliza suali,nimejaribu kutazama series zako zote nusu katika hizo unamtoa nishai Muda sijui watu wameliona hilo..shukran mdau mtoni
Fahad10
Mwanamme kama demu sio powa
Hey I want to say that kipindi ni kizur but ningefurah day one bdozen fetty mchomvu ata diva wangepata airtime nasi tufurah
hii video imefutwa ama??
Namukubalu
dogo inabidi usome vitabu vingi sana ili kukuza uwezo wako wakufikiri na kujielezea.... alafu bado huja kuwa kimawazo..uongei kama star...anyway labda nakupa mda labda utakuwa na kukomaa akili...show ya kawaida sana hii ya leo..
kutosoma nayo
Choose someone who know how to talk in gud way
dee
ni ignorance ndio inamsumbua huyu salama, joking about ebola!! kuwa na ustarabu ,shiii
Salama some times usi hoji mtu nanma hiyo haraja haraka kama ambae kuna mahali wakimbilia
Pls Salama and the group,stop mis-using the Word"EBOLA" tumepoteza watu wengi ile wewe wacheka,style up otherwise we shall take action with immediate effect enough of that,RUclips should ban your program.
You lost people to ebola? sorry fro you lakini RUclips hawawezi ku ban the program just because of ebola jokes.. you should watch other vids in here people are laughing about ebola saying things like "people deserve to die of ebola" na watu wa youtube hawajali
Nice joke about Ebola...
this nigga kama ana dharau furani hivi..
nakweli bora na ww umeona