Mkasi - SO3E06 with Ray
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- Mkasi S03E05 Mgeni wetu ni Vicent kigosi ambaye ni muigizaji wa Filamu za Kitanzania (BongoMovies), Katika kipande hichi cha msimu wa tano, Vincent kigosi anaongelea jinsi gani Jina lake maarufu la RAY lilipotokea, pia anaongelea kuhusu uigizaji kama ajira.
Pia anazungumzia kuhusu changamato wanazokumbatana nazo katika tasnia ya filamu, pia uhusiano wake na Steven Kanumba.
Usisahau kusubscribe kwenye channel.
/ @mkasitv
our website: mkasi.tv/
10 Years Today... Big up to you
RAY umejielezea vizuri sana, hukuonyesha maringo yoyote, na salama unajitahidi mamii big up
nakukubali saaana
napenda movie zake ray leo2018 na mm nna xmart toka 2006
I love this guy ray he looks hundsme to me
Ray .hauna hata malingo nimekukubali broo sichoki kuangali move zako aseee
katika mkasi za ukweli kuna hii hapa.yaan maswali wameuliza yamaana na yakajibiwa ki ufundi zaid.pia kulikuwa na maelewano mazuri pande zote....big up sana
Ray uko poa napenda movies zako
Sure,Ray uko vizuri kaka like that
We mhandsome mashallah
Pliz Vincent kigosi look for wakina Jennifer, Patrick, Sofia, na jamila, utakua sawa na hao watoto tunawapenda sana, asante kwakutafuta johari tunampenda sana
Ray movie zako safi sna
Bongo movies imekua kwa kiasi chake, - but we still have a long way to Go! Keep it up Guys!
Ray nakupenda sana
ray anamguu mashallah
Ray nakubali sana tena sana
Nimeipenda Sana interview ya Ray anajibu maswali vizuri na Hana maringo yakujifanya mngereza hivyo ndivyo vinatakikaniwa ukiulizwa swali Kiswahili jibu Kiswahili lakini wengine maringo tuu kujifanya wangereza ilhali hawakijui vizuri sioni umuhimu wakuchanganya lugha,,,,, hongera Sana Ray na salama pia nakupongeza na wenzako wote kina muuba na john
Jefason Kingy Mrs ...Ni kweli kabisa!..pale wasanii wengine wanapochanganya English kibao yani wenyewe wanaona ni ujiko kweli!..kumbe awajui wanapoteza ladha yote!
Kubalini mkatae watanzania jamani English is international language lazima watu wajifunze sio mashauzi
love u salama, u r the best
big up Salama umeuliza maswali mazuriii me lav u sanaaa
Mmmmmh ry na hereni jamani mtihani sana hv mwanaume niwakuvaa heleni au ndio kioo cha jamiii
Fresh sana kigosi mkuu upo vizuri
solute to you bro you know what your are doing,,,, from kenya
Da kuwa star ni shida I
Salama hapana chezea!!!!!!!!!!!!
am from Kenya and I love you're movers so much. i like it
Duhuu rey mzuri jamani
good job guys i love
the shows
nakukubali ray na picha zako
Sawa mkweli
maswali mazuri
Nakukubali ray
Sai kinasema kinampenda na kilikuwa kinamchukia,, ray utafika mbinguni wewe pia.😭😭
we we mkweli
bro mbna now dayz uko kimnya sana
Ray Ray
kizazi sana
2022 still watching 👀
Salama umeolewa? unaumri gani? je list ufika watano? we unauliza maswali yakizushi na makali usi panic naomba jibu, mie shabiki wako
utafanya nini kama ikikutokea anaetakiwa kukufuta machozi lakini ndie anaekufanya ulie"
so nc rain
Keep it up
nc rain
Nani karudi uku tena tujuane.
kichwa kingine !!!
salma kwann ucwe pekee yk kwnye hii game ati?
hawa jamaa wengine hawajui kbs kuinterview hawajaenda skuli
"Kaa humo!" hapo mumeenda mchomo neno "Ripuka" ndio sahihi na sio "Lipuka" hakuna neno Lipuka katika kiswahili sahihi
nirushien movie v.I.p
Mam Danford mashaallah p
mkali
mubah usimkatishe mgeni
LOL SALAMA MARA YA MWISHO KUNINI?
nice
salama sana
nitafute whatsapp+25779729341
I like this movies
Rafiki yako ndiye hadui yako kanumba alikuwa na roho safi sana kwanini ulimuchukia mpaka kanumba alipo jiita the great eti na wewe ukajiita the greatest hmm mimi hata movie zako sizitaki
jamaa kichwa
natafuta kiki
kwanini unasema hivyo?
Inapendeza
Daniel Mbaziro tyu
First, put on groves brah!! Set up a good example people.. This guys spoke only Swahili and that is good. When people start mixing with English, they start bringing down themselves and there people. Movie that kibongo, au African story is not good tools for upbringing the youths. How are we doing that? How are we empowering the youth through stories?
muuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuba mzuri wewe
K Michelle and
Hhh.pumbafu...
maswali kama mtu hana wazazi bwana
oya! mi huyu jamaa yako mwenye t-shirt nyekundu anatuharibia kipindi, maswali yake hatumii akili kabisa...na wala hajui wapi pakuliza swali...
good interview ray