Mkasi - SO3E06 with Ray

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Mkasi S03E05 Mgeni wetu ni Vicent kigosi ambaye ni muigizaji wa Filamu za Kitanzania (BongoMovies), Katika kipande hichi cha msimu wa tano, Vincent kigosi anaongelea jinsi gani Jina lake maarufu la RAY lilipotokea, pia anaongelea kuhusu uigizaji kama ajira.
    Pia anazungumzia kuhusu changamato wanazokumbatana nazo katika tasnia ya filamu, pia uhusiano wake na Steven Kanumba.
    Usisahau kusubscribe kwenye channel.
    / @mkasitv
    our website: mkasi.tv/

Комментарии • 69

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 Год назад +3

    10 Years Today... Big up to you

  • @shakiramohammed5015
    @shakiramohammed5015 12 лет назад +4

    RAY umejielezea vizuri sana, hukuonyesha maringo yoyote, na salama unajitahidi mamii big up
    nakukubali saaana

  • @sharifunurdini3240
    @sharifunurdini3240 6 лет назад +3

    napenda movie zake ray leo2018 na mm nna xmart toka 2006

  • @lindahmwakitawa8988
    @lindahmwakitawa8988 6 лет назад +7

    I love this guy ray he looks hundsme to me

  • @ridiayohana9311
    @ridiayohana9311 6 лет назад +3

    Ray .hauna hata malingo nimekukubali broo sichoki kuangali move zako aseee

  • @msauziable
    @msauziable 12 лет назад +4

    katika mkasi za ukweli kuna hii hapa.yaan maswali wameuliza yamaana na yakajibiwa ki ufundi zaid.pia kulikuwa na maelewano mazuri pande zote....big up sana

  • @emmysteyia8972
    @emmysteyia8972 6 лет назад +3

    Ray uko poa napenda movies zako

  • @divaifrank4192
    @divaifrank4192 7 лет назад +5

    Sure,Ray uko vizuri kaka like that

  • @user-cl9xz5tv3t
    @user-cl9xz5tv3t 3 года назад +1

    We mhandsome mashallah

  • @mathildemwangaza109
    @mathildemwangaza109 4 года назад +1

    Pliz Vincent kigosi look for wakina Jennifer, Patrick, Sofia, na jamila, utakua sawa na hao watoto tunawapenda sana, asante kwakutafuta johari tunampenda sana

  • @alexismfalme751
    @alexismfalme751 6 лет назад +2

    Ray movie zako safi sna

  • @jackswat
    @jackswat 11 лет назад +5

    Bongo movies imekua kwa kiasi chake, - but we still have a long way to Go! Keep it up Guys!

  • @annanki9315
    @annanki9315 11 лет назад +4

    Ray nakupenda sana

  • @TheGulo123
    @TheGulo123 12 лет назад +2

    ray anamguu mashallah

  • @furahamialano85
    @furahamialano85 4 года назад +1

    Ray nakubali sana tena sana

  • @sallykanze
    @sallykanze 9 лет назад +2

    Nimeipenda Sana interview ya Ray anajibu maswali vizuri na Hana maringo yakujifanya mngereza hivyo ndivyo vinatakikaniwa ukiulizwa swali Kiswahili jibu Kiswahili lakini wengine maringo tuu kujifanya wangereza ilhali hawakijui vizuri sioni umuhimu wakuchanganya lugha,,,,, hongera Sana Ray na salama pia nakupongeza na wenzako wote kina muuba na john

    • @70SIXER7
      @70SIXER7 6 лет назад

      Jefason Kingy Mrs ...Ni kweli kabisa!..pale wasanii wengine wanapochanganya English kibao yani wenyewe wanaona ni ujiko kweli!..kumbe awajui wanapoteza ladha yote!

    • @greklauryn6277
      @greklauryn6277 5 лет назад

      Kubalini mkatae watanzania jamani English is international language lazima watu wajifunze sio mashauzi

  • @farhantz1989
    @farhantz1989 11 лет назад +1

    love u salama, u r the best

  • @ibel4lf
    @ibel4lf 12 лет назад +1

    big up Salama umeuliza maswali mazuriii me lav u sanaaa

  • @mariyam-on8oc
    @mariyam-on8oc 7 лет назад +2

    Mmmmmh ry na hereni jamani mtihani sana hv mwanaume niwakuvaa heleni au ndio kioo cha jamiii

  • @JumaMabera-es7xj
    @JumaMabera-es7xj Год назад

    Fresh sana kigosi mkuu upo vizuri

  • @politicianmwenga813
    @politicianmwenga813 8 лет назад +1

    solute to you bro you know what your are doing,,,, from kenya

  • @josephchanga8654
    @josephchanga8654 8 лет назад +1

    Da kuwa star ni shida I

  • @barikijofrey4394
    @barikijofrey4394 10 лет назад +3

    Salama hapana chezea!!!!!!!!!!!!

  • @dolinamarende4338
    @dolinamarende4338 7 лет назад +4

    am from Kenya and I love you're movers so much. i like it

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад

    Duhuu rey mzuri jamani

  • @SuperChala1
    @SuperChala1 12 лет назад +2

    good job guys i love
    the shows

  • @jessieomari2753
    @jessieomari2753 5 лет назад +1

    nakukubali ray na picha zako

  • @belanwambondo545
    @belanwambondo545 8 лет назад +2

    Sawa mkweli

  • @ihathoya3956
    @ihathoya3956 8 лет назад +4

    maswali mazuri

  • @issaomary7718
    @issaomary7718 6 лет назад

    Nakukubali ray

  • @conneykinjo7063
    @conneykinjo7063 Год назад

    Sai kinasema kinampenda na kilikuwa kinamchukia,, ray utafika mbinguni wewe pia.😭😭

  • @belanwambondo545
    @belanwambondo545 8 лет назад +1

    we we mkweli

  • @marynchinga1666
    @marynchinga1666 11 лет назад +2

    bro mbna now dayz uko kimnya sana

  • @juliatabelamwa761
    @juliatabelamwa761 8 лет назад

    Ray Ray

  • @matumlaasaid6895
    @matumlaasaid6895 6 лет назад

    kizazi sana

  • @ramlaisaac665
    @ramlaisaac665 Год назад

    2022 still watching 👀

  • @JemedariKalundi
    @JemedariKalundi 12 лет назад +2

    Salama umeolewa? unaumri gani? je list ufika watano? we unauliza maswali yakizushi na makali usi panic naomba jibu, mie shabiki wako

  • @hancephabian7234
    @hancephabian7234 7 лет назад +1

    utafanya nini kama ikikutokea anaetakiwa kukufuta machozi lakini ndie anaekufanya ulie"

  • @OtorinMasinda
    @OtorinMasinda 11 лет назад

    Keep it up

  • @willsonpetter4660
    @willsonpetter4660 7 лет назад

    nc rain

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk 9 месяцев назад +1

    Nani karudi uku tena tujuane.

  • @tumpiliksye
    @tumpiliksye 12 лет назад +1

    kichwa kingine !!!

  • @farhantz1989
    @farhantz1989 11 лет назад +2

    salma kwann ucwe pekee yk kwnye hii game ati?
    hawa jamaa wengine hawajui kbs kuinterview hawajaenda skuli

  • @FMUnderscore
    @FMUnderscore 12 лет назад +1

    "Kaa humo!" hapo mumeenda mchomo neno "Ripuka" ndio sahihi na sio "Lipuka" hakuna neno Lipuka katika kiswahili sahihi

  • @mamdanfordmashaallah8907
    @mamdanfordmashaallah8907 7 лет назад +1

    nirushien movie v.I.p

  • @belanwambondo545
    @belanwambondo545 8 лет назад

    mkali

  • @jameskilavo4478
    @jameskilavo4478 8 лет назад +1

    mubah usimkatishe mgeni

  • @kadungulu1
    @kadungulu1 6 лет назад +1

    LOL SALAMA MARA YA MWISHO KUNINI?

  • @angelinajoseph5439
    @angelinajoseph5439 8 лет назад

    nice

  • @irenekambi4705
    @irenekambi4705 5 лет назад +2

    Rafiki yako ndiye hadui yako kanumba alikuwa na roho safi sana kwanini ulimuchukia mpaka kanumba alipo jiita the great eti na wewe ukajiita the greatest hmm mimi hata movie zako sizitaki

  • @tgeofrey
    @tgeofrey 11 лет назад

    jamaa kichwa

  • @kasianmahenge4532
    @kasianmahenge4532 8 лет назад +2

    natafuta kiki

  • @mashiabdul4997
    @mashiabdul4997 11 лет назад

    kwanini unasema hivyo?

  • @danielmbaziro6100
    @danielmbaziro6100 7 лет назад

    Inapendeza

  • @Katabwa
    @Katabwa 12 лет назад +1

    First, put on groves brah!! Set up a good example people.. This guys spoke only Swahili and that is good. When people start mixing with English, they start bringing down themselves and there people. Movie that kibongo, au African story is not good tools for upbringing the youths. How are we doing that? How are we empowering the youth through stories?

  • @TheGulo123
    @TheGulo123 12 лет назад +1

    muuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuba mzuri wewe

  • @rahmauwizeyecom1105
    @rahmauwizeyecom1105 9 лет назад +2

    Hhh.pumbafu...

  • @joshuayusufu7343
    @joshuayusufu7343 8 лет назад

    maswali kama mtu hana wazazi bwana

  • @TheDinhoDesign
    @TheDinhoDesign 12 лет назад +1

    oya! mi huyu jamaa yako mwenye t-shirt nyekundu anatuharibia kipindi, maswali yake hatumii akili kabisa...na wala hajui wapi pakuliza swali...