Mkasi - SO2E13 with Kibonde

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • mkasi.tv

Комментарии • 115

  • @MwanamkuuMumbe
    @MwanamkuuMumbe 4 месяца назад

    ❤ tulimpenda Ila mungu amempenda zaidi

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 7 лет назад +21

    Salama una kipindi gani kwa sasa? You know I miss your work jamaniii. Bring back mkasi or tunaomba something new jmn fans tunakumiss

    • @mydiary39
      @mydiary39 5 лет назад +2

      Ana kipindi kinaitwa Shabiki On Saturday kila Jumamosi saa 5 asubuhi Eatv

    • @antybabybintrashid2333
      @antybabybintrashid2333 5 лет назад

      I love Jesus same to me

  • @darlinmamawatatu6411
    @darlinmamawatatu6411 5 лет назад +3

    Plz salama bring back mkasi

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 5 лет назад +5

    Kanumba, Ruge, Kibonde, King Majuto, wote hawa Salama alipata bahati ya kuwahoji kipindi cha uhai wao katika kipindi cha Mkasi. May there souls rest in peace

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 5 лет назад +7

    Walotangulia mbele za haki na waliowahi kuhojiwa katika mkasi, Kibonde, Ruge, Kanumba, Majuto, Sajuki, Banza Stone, Gamba, Komba, Gurumo.

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 5 месяцев назад +1

    KIBONDE UMKUTE ANAFANYA TANGAZO LA VIDEO,,,😊,,,UYO MZEE NUKSI

  • @agoroanduru6233
    @agoroanduru6233 2 месяца назад

    Rest in peace my brother KIBONDE

  • @angelntandu4648
    @angelntandu4648 5 лет назад +5

    Salama rudisha hiki kipindi hewani umefanyia watu mahojiano mazuri sana yanaonekana mapya kila siku.hapa ndio watu wanaelewa hawa watu waliongea nini kabla ya kufa

  • @sandekanyamala2456
    @sandekanyamala2456 5 лет назад +3

    dah!!... Nilianza kukufuatilia toka kipind hiki kirushwe,Ni wanaume wachache wenye uelewa kama wako,Pumzika kibonde,kila nafsi itaonja mauti

  • @rashidisaidi8535
    @rashidisaidi8535 5 месяцев назад +1

    Gadna na kibonde daah tutawakumbuka sanaaa❤

  • @jeffersonsimon477
    @jeffersonsimon477 5 лет назад +2

    R.I.P kibonde we miss u broh

  • @embedodo11
    @embedodo11 12 лет назад +6

    kibonde this interview umeiweza..bigup salama!!

    • @sadimiko1387
      @sadimiko1387 5 лет назад

      salama rudisha hichi kipindi tafadhali r.i.p kaka kibonde

  • @hurumaevarest1690
    @hurumaevarest1690 5 лет назад

    Salama huwa nakukubali sana ila mwanzo nilikua sikuelewi elewi lakini nakuelewa sasa uko vizuri sana hiki kipindi hebu kiendeleze tena nakukiboresha zaidi. Tunapata elimu kwanjia moja au nyingine. By the way R.I.P Kibonde

  • @neycoleclassic4426
    @neycoleclassic4426 6 лет назад +4

    hawa watangazaji wote, nilikua nawapenda na nitawapenda. maana wana utofauti

  • @patrickmsuguri
    @patrickmsuguri 5 лет назад +8

    Rip Kibonde ulikuwa smart..

  • @mohamedalaraimi6813
    @mohamedalaraimi6813 5 лет назад +3

    Kibonde katutoka jamani Inna lilah waina ileihi Raj un

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 6 лет назад +1

    very professional nimempenda mno huyu kaka pole na msiba

    • @saidangel8958
      @saidangel8958 5 лет назад

      Hapa ulimpa yy pole leo na yy kaenda aisee inauma

  • @hamzambasha8577
    @hamzambasha8577 3 года назад

    R.i.p kibonde jahazi kumepoa Sana now

  • @emmanuelimaxxaka754
    @emmanuelimaxxaka754 5 лет назад +1

    R.l.p kibonde good Ailaze Roho yako mahali pema pepon Amen🕯🕯🕯🙏🙏🙈

  • @alfanshonde2438
    @alfanshonde2438 5 лет назад +4

    Daaa kibonde jaman pumnzika kwa aman

  • @jeremiahmujinja4451
    @jeremiahmujinja4451 Год назад

    R. I. P Kibonde

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 5 месяцев назад

    😢 SHAME SO much memories

  • @motanzanya6723
    @motanzanya6723 5 лет назад

    Daaah umauti hauna urafiki ,,,,,,,punzika kwa aman KIBONDE

  • @janekapela1967
    @janekapela1967 5 лет назад +1

    Daaaaah 😢😭

  • @queenyahaya3147
    @queenyahaya3147 5 лет назад +2

    R.i.P kibonde 😭😭😭

  • @doramwanyika5826
    @doramwanyika5826 5 лет назад +4

    Rip kibonde😭😭

  • @a.856
    @a.856 5 лет назад +1

    Salama rudisha mkasi dada

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 5 лет назад +1

    Rest In Peace Kibonde

  • @nickalreadyknows
    @nickalreadyknows 5 лет назад +2

    Asee hichi kipindi kirudishwe Jaman dah

  • @emanuel4148
    @emanuel4148 5 лет назад +4

    Daah jamaa katutoka RIP

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 11 лет назад +1

    Yemeni ni nchi maskini sana uarabuni; hivyo hawana nguvu ya kijeshi au kiuchumi kuweza kurudisha influence yao kwenye makoloni ya awali hasa inapohusisha kuwepo kwa malighafi kama mafuta; Wangekuwa na nguvu kijeshi wa kupingana na marekani na wababe wangweza kurudi zanzibar wakafanya uchimbaji wa mafuta yaliyogunduliwa katika bahari pale; Lakini ubavu hawana.

  • @masoudrashid8381
    @masoudrashid8381 5 лет назад +1

    Kaka tumekupenda ila mungu kakupenda zaidi

  • @TheDinhoDesign
    @TheDinhoDesign 12 лет назад +4

    nywere zimekwisha kichwani mbona unaendelea kunyoa?...una nyoa nini hapo?

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga8334 5 лет назад

    Pumzika kwa amani kaka...sote tulikuja na tutaondoka

  • @nakukanyatena3060
    @nakukanyatena3060 11 лет назад +5

    jameel871 wewe ni sawa na nguruwe, maneno unayo sema ni kama kula mavi yako nafikili ha muonekano wako utakuwa kama nguruwe, hata mkeo unaishi nae kwa maneno ya kijiweni kwa akili huna

    • @antoniageorge5369
      @antoniageorge5369 5 лет назад

      nakukanya tena una hadabu

    • @zumbaabiyah3184
      @zumbaabiyah3184 5 лет назад

      Huyo jamaa asamehewe bure, kuna haja kbs SERIKALI HII SIKIVU,IMTAFUTE NDIPO AKILI YAKE ITAKAA SAWA,ana ujasiri gani, wakuongea huo utumbo? KI UKWELI, BNAFSI NIMEUMIA SANA, KUMTUKANA BABA WA TAIFA?!! 😷😱😇😤❗️TCRA, Polisi, tafuta hii Jamaa. 😱😱❗️ili aadabishwe ili liwe fundisho.

  • @TheDinhoDesign
    @TheDinhoDesign 12 лет назад +2

    Salama hivi kuhusu BLOCKING, ulikuwa una uhakika kama FACEBOOK hakuna kitu kama hicho?...FACEBOOK ndio rahisi kushinda TWITTER basi kama hujui nakuabalisha...kuweni makini mnatazamwa na watu wengi so mkiwa vitu vidogo kama hivyo hamu vifahamu inakuwa inatia udhuni,,,maana naona bora nije mimi hapo nisikilizwe!...pamoja sana!

  • @mariyaal5366
    @mariyaal5366 5 лет назад +2

    Rip kibonde

  • @mihayoonline1573
    @mihayoonline1573 7 месяцев назад

    Endelea kupumnzika

  • @evelynmon6491
    @evelynmon6491 5 лет назад +6

    Afadhali salama mwenzetu ulikuwa unamwambia mtu ukweli kama unampenda unampa sifa zake kabla ajafa

  • @ahmedkapera6989
    @ahmedkapera6989 5 лет назад +1

    Nakumbuka ndungu yangu

  • @سبحانالله-ح7د
    @سبحانالله-ح7د 5 лет назад

    INALILAH WAINAILAYH RAJIUNI.

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 5 лет назад +1

    R.I.P BROO

  • @suzanpatrick8381
    @suzanpatrick8381 5 лет назад +1

    r.I.p baba

  • @sultankaburutajr7422
    @sultankaburutajr7422 5 лет назад

    Pumzika kibonde r. i . p

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 5 лет назад

    salama, hivo ulivokua umekaa si ustaarabu wala maendeleo mbele ya mkubwa wako unaemfanyia interview. tizama leo tumempoteza Kibonde, utaweza vipi kurudi myuma. na yeye bila ya shaka alikua pia anaona hivo.

  • @lutemelele9619
    @lutemelele9619 5 лет назад +1

    r.i.p kibonde

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 11 лет назад +8

    Seminari zinafundisha dini na elimu ya kawaida. Automatically wakristo watakuwa na wasomi wengi hivyo kuwa wengi serikalini; Huweezi soma madras pekee halafu uweze kujiunga na CHUO! au uwe waziri wa fedha!. Nyerere alibadili Pugu, Kwiro na seminaries nyingine kuwa public schools na wasomi wengi waislamu kama Lipumba walisoma kwa juhudi hiyo. Jiulize waislamu wangekubali shule za kiislamu zibadilishwe kuwa shule za wote?

    • @narrob4teentebeconnexion
      @narrob4teentebeconnexion 5 лет назад +1

      Hao wakristo waliweka maseminari yao kwa lengo la kutunyonya tuu sio wakupe elimu kwa maslahi yako. Ndio maana mpk leo makanisa yamekuwa ni bihashara kama magenge ya mbogamboga. Mkasi, kibonde wapi na wapi na uislam. Waislam ndio walipigania uhuru wa nchi wakiiwa na nyerere kama kijana msomi wakamwachia madaraka, wakristo wangeweza kupambania uhuru zen waache waislam waongoze? Uislam haupo kama akili zako zinavyokutuma........

  • @askaounga6456
    @askaounga6456 5 лет назад

    Vipi mrembo ana sagg

  • @bahatymsungu2779
    @bahatymsungu2779 5 лет назад

    Rip baba

  • @AbouDalgubay
    @AbouDalgubay 11 лет назад +2

    Ni kipindi chake sasa unategemea nini? kama unataka useme wewe zaidi then uanzishe chacko ama sivyo??

  • @pikipiki_market
    @pikipiki_market 5 лет назад +2

    🔥🔥🔥

  • @marymathew6529
    @marymathew6529 5 лет назад

    R.I.P Kaka Kibonde

  • @ElizabethHosea
    @ElizabethHosea 12 лет назад

    Salama, unaweza kuwazuia watu kukuandikia facebook pia :)

  • @princehamad4225
    @princehamad4225 5 лет назад

    Tutakukumbuka daima

  • @gervasmkini6341
    @gervasmkini6341 4 года назад

    unanyoa MTU hana nywele

  • @hamisreegan3738
    @hamisreegan3738 5 лет назад +2

    Pumzka Kwa amani kibonde

  • @rajabk1
    @rajabk1 11 лет назад +1

    Salama ana tendency ya kukatisha maswali yake na kulazimisha yake. its her say kwanza the wengine wafuate

  • @kevinbona7669
    @kevinbona7669 11 лет назад

    hehehehhehehe eti huwezi blck mtu facbk haya bhana ila sio kosa lako ni kujua ti hop now utakua umeshaelewa

  • @festomlowegypsum8214
    @festomlowegypsum8214 5 лет назад +1

    Pumzika kwaamani blo mseimie boss RUGe

  • @shedrackmaluli1373
    @shedrackmaluli1373 5 лет назад

    RIP Kibondee

  • @IshiKistaa
    @IshiKistaa 5 лет назад

    TEMBELEA UKURASA WETU KUFAHAMU NYOTA YAKO ruclips.net/channel/UCxBrgr6eSdKzbt1PUSZ9dWQvideos?view_as=subscriber

  • @ramadhanimagomba7395
    @ramadhanimagomba7395 6 лет назад +2

    Mtaalam na mkongwe wa #Jahazi

  • @hadijaabdallah5477
    @hadijaabdallah5477 5 лет назад

    Salama hio mikao angejamba hahahahah r.i.p kibonde

  • @erickemmanuel9511
    @erickemmanuel9511 5 лет назад

    May your soul rest in eternal peace brother

  • @a.856
    @a.856 5 лет назад

    Rip baba poleni wte

  • @ramadhanihayeshi5812
    @ramadhanihayeshi5812 10 лет назад +1

    Kila nisomapo maoni ya baadhi ya Watanzania wenzangu hususan juu ya masuala ya imani na dini, napata hisia kuwa tunakoelekea ni kule kule kama walipo Jamhuri ya Afrika ya Kati.

    • @masoudmanya7488
      @masoudmanya7488 10 лет назад

      Kwa kuwa hutujui shida ya kujuana kiimani ndo mana hizi Choko choki zinakuwepo,serious we need kukemea ujinga wa kutetea ujinga wa udini

    • @ramadhanihayeshi5812
      @ramadhanihayeshi5812 10 лет назад +1

      Masoud Manya Ni hatari sana bro, inatia hofu na kama ulivyosema yatupasa kukemea huu ujinga kwa nguvu zote, halafu kinachonishangaza, ukimuuliza Mtanzania yoyote yule kuhusu mafungamano yake na mtu au watu wa imani tofauti na yake lazima utakuta nao mpaka ndugu wa damu, jamaa na marafiki wa karibu, sasa ifike mahali tukubali jambo hili halina tija wala maslahi kwa taifa letu.

    • @ombenisomi2210
      @ombenisomi2210 9 лет назад

      Ramadhani Hayeshi Hili ni taztizo kubwa na ukubwa unaongezeka maana nchi imekosa wakukemea kila mtu analalamika ukiona hata wenye kutuonesha njia wanalalamika uone hatari zaidi. Nchi imekua ya wafanya biashara viongozi wanaongoza wanatafuta pesa, nchi hii kila mwenye pesa anawaza kuwa kiongozi. Angalia Prof Lipumba anataka kuwa rais wetu lakini na yeye kashaingia kwenye mkumbo wa dini unawaza anaweza kutusaidia?? We seriously need to change, getting a very respected man like J.K Nyerere will take us years

    • @ramadhanihayeshi5812
      @ramadhanihayeshi5812 9 лет назад

      Inatia hofu Ombeni Somi lakini hapa tusimlaumu Lipumba peke yake, hata wengine pia wapo kwenye mkondo huo wa dini. Kifupi tuseme Misikiti na Makanisa nayo imeamua kuwatumikia watu

    • @ombenisomi2210
      @ombenisomi2210 9 лет назад

      You are very right Brother!

  • @Frankvanmuniko
    @Frankvanmuniko 11 лет назад

    KIBOBOBOBOBOBOBO a.k.a KIBzzzzz

  • @rehemahassan4779
    @rehemahassan4779 6 лет назад

    Pole my bro

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 5 лет назад +1

    Nisaidieni takwimu za waliofanya interview na hatunao tena !!!!!!!!

    • @gracethomas683
      @gracethomas683 5 лет назад

      Mama Chris yaaani naona orodha inazidi kupungua tuuu...Mungu awasaidie kwa neema yake.

    • @badmanno.1650
      @badmanno.1650 5 лет назад +2

      Kibonde, Ruge, Kanumba, Majuto, Sajuki, Banza Stone, Gamba, Komba, Gurumo.

    • @witnessmbwasi892
      @witnessmbwasi892 5 лет назад

      Mungu awape kauli dhabiti

  • @briannyiti208
    @briannyiti208 5 лет назад

    Duuuu! E Mola tusaidie tupate akili ZA kujua siku ZA kukaaa hapa duniani!

  • @jandaboytztz6314
    @jandaboytztz6314 5 лет назад

    RipKibonde

  • @jandaboytztz6314
    @jandaboytztz6314 5 лет назад

    #RipKibonde

  • @fredyqmaa4680
    @fredyqmaa4680 7 лет назад

    Haya

  • @mohamedothman9769
    @mohamedothman9769 5 лет назад

    Kwa hapo kwa Nyerere kukuta watu sio wasomi marehemu hakusema kweli. Wasomi walikuwepo na yeye aliwakuta akaishia kuwafukuza na wengine kuwauwa kwa hofu ya kupinduliwa.

    • @paulmpazi5358
      @paulmpazi5358 5 лет назад

      Mohamed Othman wasomi waliokuwepo wakati huo walikuwa na elimu ya kikoloni na tabia za kikoloni na ndio waliokuwa wanatumika kuwanyanyasa wazawa.

    • @mohamedothman9769
      @mohamedothman9769 5 лет назад

      @@paulmpazi5358 Elimu ya kikoloni ndo ikoje hiyo, unataka kusema hata Osca Kambona, Bibititi Mohamed hakusoma.....? Soma historia acha kusikiliza maneno ya watu bro

    • @mariaedward6946
      @mariaedward6946 5 лет назад +1

      Nadhani walikuwepo lakini sio kwa idadi iliyohitajika supply was less than demand

    • @djsantah9429
      @djsantah9429 5 лет назад

      r. I. p kibonde

    • @lucasdismas4314
      @lucasdismas4314 4 года назад

      kibonde alisema kweli ila wewe ndio hujui Historia,ngoja nikupe mfano wa Congo,Rais Mobutu alikuta nchi haina msomi hata mmoja wa chuo kikuu Congo nzima na ukubwa wake wote,mimi kuna wazee walinambia wakati wanasoma chuo kikuu hapa Tanzania walikuwa ni wachache mno kiasi kwamba wanafahamiana wote,hapakuwa na wasomi wengi Tz nadhani hata hawakufika 50 (university graduates)

  • @shiraann632
    @shiraann632 5 лет назад

    Rip kibonde

  • @shedrackmaluli1373
    @shedrackmaluli1373 5 лет назад

    RIP Kibondee

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 5 лет назад

    Rip kibonde

  • @jacksonrichard6639
    @jacksonrichard6639 5 лет назад

    Rip kibonde