Huu ndiyo Muziki wetu wa Asili, kiufupi ni Mashabiki ndiyo walioleta tafrani kwa Raia hili uonekane wa kihuni Lakini Marehemu Dogo jack kiufupi alivaa viatu vya Baba j na vilimtosha kabisa lakini ndiyo hivyo tena Mbele nyuma yetu MwenyeziMungu amewapenda zaidi Aamin
It was very bad accident happened Nanenane Morogoro near petrol station so sad rest in eternal Peace mwanangu Jackson Aluta Kazimoto Jacksimela.......!
😢😢😢 najiuliza mpaka leo naumia mwenyewe tuu😢😢😢
Jagwaaaaaaaaa♥️♥️♥️
Mwenyezi mungu akupunguzie adhabu ya kaburi 🙏🙏🙏🙏
Dah hadi nahisi kulia❤❤❤❤. R I P Jack simela
Mwanangu sana dogo jack harakati zetu mwembe songo manzese buguruni Argentina nakumisi sana tumepoteza kiungo muhimu sana ,wauni unatuachaje jack daa!
Daaah inauma sana kipaji kimeenda
Very nice to see my people performs Mchiriku music here in USA.
Buriani Jack Simela,,uliwakilisha nchi vizuri uliifanya kazi ya kizalendo....Kunta...Kinte.
Huu ndiyo Muziki wetu wa Asili, kiufupi ni Mashabiki ndiyo walioleta tafrani kwa Raia hili uonekane wa kihuni Lakini Marehemu Dogo jack kiufupi alivaa viatu vya Baba j na vilimtosha kabisa lakini ndiyo hivyo tena Mbele nyuma yetu MwenyeziMungu amewapenda zaidi Aamin
R.I.P Jackson simela(a singer)
Tanzania to the world
Dat front man died two days ago..car accident in morogoro.🙏🏽
Dah r.i.p kaka jack nakukumbuka sana kwa misondo yko mungu akuepushe na adhabu zote
It was very bad accident happened Nanenane Morogoro near petrol station so sad rest in eternal Peace mwanangu Jackson Aluta Kazimoto Jacksimela.......!
rip jack simela
we gonna always cherish your music
R.i.p Jack Simela
hawa jamaa na huu mziki wao hatari sana !
stewart kilewo sna nina mzigo mkubwa sana
Jembe ilikua unaupeleka mbali sana muziki wetu daah
Acha kabisa kaka
jack simela
Kiboko kabisa mpiga mishindo bwana tp WA matemelela
Daaaaaah Jagwaaaaaa
mbele yako nyuma yetu kaka
Daaah miss you jagwa music
RIP Jack simela😭😭💔💔
R.I.p king of tradition artist Jack
Simchezooooo jagwaaaaaaaaaa
wana bado mnawakilisha safi
Rip jack simela
Mmambe na misondo yako nakuona
Show mpaka mwisho wazee wa kazi
Sad RIP Dogo Jack Simela
RIP dogo jack simela
R I P jack
R I P mwamba 🤦🏾🤦🏾🤦🏾🦾🇹🇿
rip
Ascshi
Azszrwn 1:47
huo ndio ungepromotiwa ungetupaisha kimataifa, sio tunavyoimba nyimbo za wazungu
Ndio Bongo sometimes kuna ujinga
Daaaaaah Jagwaaaaaa